KAKA WA LISSU AELEZEA MASIKITIKO YAO JUU YA HAKI YA MDOGO WAKE, ADAI WATAPAMBANA HADI HAKI IPATIKANE

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 18 พ.ค. 2024

ความคิดเห็น • 173

  • @reginamwendwa6709
    @reginamwendwa6709 หลายเดือนก่อน +22

    Pole sana ndugu yangu mwenyezi Mungu alionyesha kwamba you were Inocent na hukuhitaji ulipwe kifo kwa kutetea haki zaWatanzania na watu wako

  • @cyprianboniphace-oz5lw
    @cyprianboniphace-oz5lw 29 วันที่ผ่านมา +5

    Mungu akulinde na akupe maisha marefu Tundu Lisu

  • @rajababrahman4365
    @rajababrahman4365 หลายเดือนก่อน +15

    Taifa letu litasimama na ww lisu
    Na 2025 Tutakutawaza kuwa Rais na Utatuondolea dhuluma ktk nchi hihi
    Mungu akubariki

    • @reginamwendwa6709
      @reginamwendwa6709 หลายเดือนก่อน +1

      Pole sana ndugu yangu mwenyezi Mungu alionyesha kwamba you were Inocent hukuhitaji malipo ya kifo kwa kutetea Nchi na watu wako Damu ya YESU ikufunike

  • @NdeshaPaul-uz9bw
    @NdeshaPaul-uz9bw หลายเดือนก่อน +16

    Tumwombe Mungu atujalie uwe rais wa Tanzania. Inaonesha mmekulia kwenye maadili meme na mna ushirikiano mzito. Kama mnavyoshirikiana ndivyo tungetamani taifa letu lisshirikiane. Inafaa kuwa kiongozi Bora kwa kuwa umekulia kwenye maadili ya upendo, HAKI, nidhamu na maadili mema. Mungu akubariki sana wewe na ukoo wako na hatimaye akufanye chaguo lake kwa Watanzania.

    • @adamlubawa1281
      @adamlubawa1281 หลายเดือนก่อน

      SIFA ZA KUWA RAIS WA NCHI HANA
      SABABU NI MLEMAVU
      SIO KWA TANZANIA BALI NI DUNIANI KOOOTE

    • @Commentsplus
      @Commentsplus หลายเดือนก่อน

      Umeongea pumba futa haraka sana haraka futa

    • @elimringimoshi590
      @elimringimoshi590 หลายเดือนก่อน

      Wewe mwenyewe ni mlemavu ni huruma za Mungu tu zinakulinda ndiyo maana unapata nguvu zakuropoka

    • @gadisonmichael7805
      @gadisonmichael7805 หลายเดือนก่อน

      mlemavu mwenyewe muombe mungu msamaha hujui uliongealo unaishi kwa neema2 kesho yako huijui

    • @kisinza6077
      @kisinza6077 หลายเดือนก่อน

      ​​@@elimringimoshi590kama yeye ni Kwa neema anaishi, wewe unaishi Kwa pmbu za Mzee wako?

  • @happyjeremiahmhuli4043
    @happyjeremiahmhuli4043 หลายเดือนก่อน +4

    Familia la kisomi sana hongera sana FAMILIA. YA LISU.

  • @MohammedAbdallahSaid
    @MohammedAbdallahSaid 27 วันที่ผ่านมา +1

    Ni utamaduni mzuri ktk maisha ya kiafrika, hata Mimi na familia yangu tunafanya hivyo, mungu akupe umri mrefu wenye manufaa Kwa watanzania wote na watu wote wanaopenda haki duniani

  • @nabimanyafesto5014
    @nabimanyafesto5014 หลายเดือนก่อน +1

    Mungu anakupigania mwenyewe, wala haina haja ya kukimbizana nao hata sasa walisha shindwa na Mungu anakupa hii nchi.Amina.

  • @KelvinKimambo
    @KelvinKimambo หลายเดือนก่อน +10

    Kamanda umesha shinda fita mpaka hapo tuombe uzima

  • @natafutamatatizo4382
    @natafutamatatizo4382 หลายเดือนก่อน +5

    MWIGULU NCHEMBA NDIE ANAEWAJUA WALIOMSHAMBULIA LISSU, MAANA MWIGULU NDIE ALIEKUA WAZIRI WA MAMBO YA NDANI NA NDIE ALIYEAMRISHA ULINZI KUONDOLEWA KTK BUNGE!

    • @MuhidiniLebba
      @MuhidiniLebba หลายเดือนก่อน

      ALIYEKUWA WAZIRI WA MAMBO YA NDANI KIPINDI LISSU ANAPIGWA RISASI NI KANGE LUGOLA

    • @faustinombilinyi9809
      @faustinombilinyi9809 27 วันที่ผ่านมา

      Kaka alikuwa Cirro sio kangi logola alikuwa saimon Cirro na kumteka MO ALIKUWA HUYO HUYO CIRRO NDUGU YANGU.. NA ALITOLEWA NA MAMA KUMPELEKA UBALOZI

  • @florencejohn6427
    @florencejohn6427 หลายเดือนก่อน +13

    Jamaa wanafanana. Hata kwa kuongea

  • @juliusphaustine
    @juliusphaustine 26 วันที่ผ่านมา +1

    Napenda sana hoja za chadema ilah kaka mtu ameupiga mwingi

  • @Samwel-kz4nq
    @Samwel-kz4nq 29 วันที่ผ่านมา +1

    Pole sanaa bwana tundulisu na ongera sanaaa shujaaa

  • @johngibson3089
    @johngibson3089 หลายเดือนก่อน +1

    Asanteni sana Lissu family. MUNGI aendelee kuwa nanyi

  • @aminaomary5567
    @aminaomary5567 29 วันที่ผ่านมา +2

    Waone watu hawa walivyofanana hadi sauti. Kaka yake ana busara nyingi sana❤❤❤❤

  • @AnneNdabila-uv2qh
    @AnneNdabila-uv2qh หลายเดือนก่อน +4

    Polen sana tunaumia lakin hatuna namuna lissu baba yeti tunampenda na mung anampenda ndo maana yupo anaishi mung aendelee kumpa neema zaid

  • @oliviaseth4652
    @oliviaseth4652 หลายเดือนก่อน +10

    Mungu ni mwema kwa kweli

  • @user-yi3jk5vd8l
    @user-yi3jk5vd8l 29 วันที่ผ่านมา +1

    Mungu.ni mkuu. Kwakilajambo. Mubarikiwe sana

  • @ummySheikh72
    @ummySheikh72 29 วันที่ผ่านมา +1

    Wamefanana sura mpaka sauti mashaAllah

  • @subilagalyimo9917
    @subilagalyimo9917 29 วันที่ผ่านมา

    Mungu wetu wa ajabu, anampenda sana Lisu, kamtendea mambo makuu. Huwezi amini baada ya kumiminiwa risasi zote hizo akamjalia uhai hiki ni kutu cha ajabu, naamini ana jambo kubwa naye. Tunakushukuru Mungu wetu,mjalie Maisha marefu

  • @PaulMuna
    @PaulMuna หลายเดือนก่อน +6

    Mungu wa Israel ni Mungu wetu. Hatutakufa bali tutaishi na kuyasimulia matendo ya makuu siku zote.

  • @mussaabraham1475
    @mussaabraham1475 22 วันที่ผ่านมา

    Safi san

  • @francismomo7067
    @francismomo7067 หลายเดือนก่อน +6

    Mnaweza kujifunza jambo hapa.
    Huu ukoo n mkubwa.
    Ukoo mkubwa n ulinzi na mafanikio makubwa...vijana oeni msiogope kutunza familia.kwan Babu zetu waliwezaje na sisi tunashindwaje?

    • @user-vh7ll3vp7w
      @user-vh7ll3vp7w หลายเดือนก่อน

      Amina' Kaka....

    • @kasimkassam9565
      @kasimkassam9565 29 วันที่ผ่านมา

      alafu mababu zetu waliowa wake wengi sisi mmoja tu noma

  • @stefanomasolwa8979
    @stefanomasolwa8979 28 วันที่ผ่านมา +1

    Naipenda sana hii Familie

  • @punguzauzitofurahiamaisha
    @punguzauzitofurahiamaisha หลายเดือนก่อน +3

    Huyu Ni Mwamba Kwelilweli. Mungu Aendelee Kumtunza

  • @simbawateranga7020
    @simbawateranga7020 หลายเดือนก่อน +3

    CHADEMA KWANINI WANAMTENGA MHE. LISU? WAMPE MIL'150 KTK ZILE BIL'2.7 ANUNUE GARI

  • @chrisphabyevents7826
    @chrisphabyevents7826 หลายเดือนก่อน +5

    Ila ujumbe umefika....
    Mungu ndiye mfariji na mtetezi mkuu

  • @faustinebahenobi3412
    @faustinebahenobi3412 หลายเดือนก่อน +4

    Yaani siku lissu akifa Tanzania aitokaa atokee mtu shujaa kama lissu na mwana siasa nguli kama uyu sijawai ona mtu makini kama lissu kwanza ametufundisha mambo mengi ktk taifa hili siku zote ccm na serikali nzima nikusema uongo tuu .Tumuombe Mungu lissu awe Raisi wetu

  • @ashahamad-mq3iz
    @ashahamad-mq3iz 19 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Wamefanana kweli na mdogo wake hata kuzungumza sawa sawa na ndugu yake

  • @Boniphaceshayo5
    @Boniphaceshayo5 หลายเดือนก่อน +3

    Kwaiyo mzee anakes maliasili😢 ya kuua simba

  • @mussaabraham1475
    @mussaabraham1475 22 วันที่ผ่านมา

    Hongereni san wazee wetu

  • @EliasJohn-lc8nu
    @EliasJohn-lc8nu หลายเดือนก่อน +5

    Hivi tundu lisu nguo za chadema unatoaga kwel

  • @HamisMghuna-fj3vz
    @HamisMghuna-fj3vz หลายเดือนก่อน

    Wajifia myampaa Alutree,mughwai, Allah akuhifadhi na mdogo,ntundu L mghwai,

  • @dominicksangu8934
    @dominicksangu8934 27 วันที่ผ่านมา

    Good family❤❤❤

  • @bonifacemeela5247
    @bonifacemeela5247 หลายเดือนก่อน +5

    Ukoo Bora Sanaa na Makini Hakika Mungu Amewabariki

  • @user-hj3ky9zy6y
    @user-hj3ky9zy6y หลายเดือนก่อน +1

    Hongeren Sana mungu awatunze muishi miaka 10000 na risu akiwa rais tz

    • @nikkimbishiunju2402
      @nikkimbishiunju2402 29 วันที่ผ่านมา

      Unaona na unajua anaitwa LISSU bado unakuja kuandika Risu....Vilaza wengi sana

  • @josephmakutano7067
    @josephmakutano7067 14 วันที่ผ่านมา

    Eemungu tusaidiye utujariye watu wenye rohozakupenda Haki kamamheshimiwa lissu

  • @DamasAmos
    @DamasAmos หลายเดือนก่อน +2

    Mbalikiwe kuwawamoja mungu awabaki san muwe naupendo uwouwo

  • @malkavoice2570
    @malkavoice2570 หลายเดือนก่อน +2

    Tundu ni mdogo sana lkn ndiye anayeunganisha huu ukoo

  • @prospermalala6636
    @prospermalala6636 หลายเดือนก่อน

    Hakika utukufu wa Mungu unaotembea kupitia MH Lisu Mungu ndiye muweza wa yooote ktk maisha ya mh Lisu

  • @petroyohana1126
    @petroyohana1126 หลายเดือนก่อน +2

    Amazing family 🎉

  • @sadinimtinangi-zt4pv
    @sadinimtinangi-zt4pv หลายเดือนก่อน +4

    Unaonekana n ukoo wa walevi😂

    • @yassinm69
      @yassinm69 หลายเดือนก่อน

      😂😂😂😂 kabisa upuuzi mtupu

  • @petroyohana1126
    @petroyohana1126 หลายเดือนก่อน +2

    Kweli mungu yupo jamani ❤

  • @dechardavid2555
    @dechardavid2555 29 วันที่ผ่านมา

    Nimeipenda sana wazee wameshikilia vinywaji wanawaka

  • @africosimonmattogoro6986
    @africosimonmattogoro6986 28 วันที่ผ่านมา

    Wakili Msomi Tundu Lisu, Sadaka yako ni kubwa Mbele za Bwana..Mtegemee Mungu wako kwa kila jambo. HADI KUFIKA HAPO NI MUNGU KASIMAMA NA WEWE. HAUTAKUFA , BALI UTAISHI ILK USIMULIE MATENDO MAKUU YA BWANA

  • @user-qb1jv2dy2d
    @user-qb1jv2dy2d 24 วันที่ผ่านมา

    Walaaniwe walaanika wale na wapumbavu wapuuzi waliofanya uhovyo ule wa kutaka Kumuua Mtu Muhimu na Ambaye ni Zawadi Kutoka kwake Mwenyezi Mungu. Na Hakika Wao na Vizazi Vyao Damu ya Haki ya Ndugu Tundu Antipas Lissu.

  • @malkavoice2570
    @malkavoice2570 หลายเดือนก่อน +2

    Kiukweli wanyaturu tunaoipenda pombe huwa tukiipata hatufanyagi ajizi tunaipa za uso live

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything หลายเดือนก่อน +1

    👊✌👍.

  • @rabsonchisumo6640
    @rabsonchisumo6640 หลายเดือนก่อน

    Amina

  • @azavelilwaitama1975
    @azavelilwaitama1975 29 วันที่ผ่านมา

    Kweli gari hilo lenye risasi zilizolenga kuondoa uhai wa Kamanda Tundu Lissu lazima libaki kumbukumbu kwa vizazi na vizazi kuwa uovu haulipi na daima watu wema wasiruhusu uovu ulipe.

  • @ngotikongotiko2711
    @ngotikongotiko2711 12 วันที่ผ่านมา

    Natamani huyu bwana arudi bungeni akawachangamshe watu wamelala

  • @EmanuelMwambu
    @EmanuelMwambu 28 วันที่ผ่านมา

    Nimeona Mambo yanafanywa fanywa hapo kwenye gari,waliofanya kitendo hicho wakaombe msamaha mungu ni mweme.

  • @benedictmrisho1800
    @benedictmrisho1800 หลายเดือนก่อน +1

    Advocate kweli anaongea ki uanasheria.

  • @kisinza6077
    @kisinza6077 หลายเดือนก่อน +1

    Hawa jamaa hatari lakini salama🤣🤣🤣🤣

  • @dallasmusic6465
    @dallasmusic6465 28 วันที่ผ่านมา

    Wamefanana Hadi sauti aiseeee 🎉🎉🎉🎉🎉🎉

    • @ziadasalimu1730
      @ziadasalimu1730 27 วันที่ผ่านมา

      Sana wamefanya mpaka sauti

  • @FrancisThomas-jc8wq
    @FrancisThomas-jc8wq หลายเดือนก่อน

    Mungu ni mkuu na mwema kwa mja wake

  • @mathiaslyamunda2526
    @mathiaslyamunda2526 29 วันที่ผ่านมา

    Pole Lisu

  • @odoieriasmonga6591
    @odoieriasmonga6591 หลายเดือนก่อน +2

    Familia kubwa yenye baraka tele tena kumbe tunashea BABU yaani MURO

  • @user-ij6eo6pq6z
    @user-ij6eo6pq6z หลายเดือนก่อน +1

    Mnafanana sauti Sana kaka mtu

  • @user-sl1ko9me7u
    @user-sl1ko9me7u 29 วันที่ผ่านมา

    MWENYEZI MUNGU MTUKUFU AWABARIKI WOTE...FAMILIA YOTE NA UKOO WA COMRADE LISSU.

  • @romanamassawe814
    @romanamassawe814 หลายเดือนก่อน +1

    Tundu lisseu unakunywa Nini hapo ?. Naona Kuna kitu unakunywa kwenye kikombe

  • @HenryKasaje-on4xq
    @HenryKasaje-on4xq 27 วันที่ผ่านมา

    Nakama polis wako makin upelezi nimiaka mingi atakama walizuiliwa kiongozi mkubwa saiz wakamatwe hao ila kwakua ccm inamfumo mmoja shida

  • @rashidkihunga2938
    @rashidkihunga2938 29 วันที่ผ่านมา

    napenda hilo gar awe anaendanalo popote aendako ila matundu asiyazibe iwe onesho kila kona kwa mwananch mpigania uhuru.kama maonesho ya kila mwananch popote awapo

  • @user-uo9tq8cc7q
    @user-uo9tq8cc7q 28 วันที่ผ่านมา

    Mungu ni mwema aliyebariki jambo Hilo mungu ameshamuhukumu mheshimiwa lisu aliyepigwa risasi 16 bado anadunda kwani hamjiulizi walinzi waliondolewa na nani ?pia hamjiulizi kamela ziliondolewa nanani?na kwa idhini ya nani?mtawalaumu polisi kutofanya upelelezi lakini wao pia wanafuata maelekezo hakuna binadamu anaependa kulaumiwa cha msingi tukubali yaishe maana mungu alishachukua hatua ndio maana .mheshimiwa lisu Yuko hai lakini mheshimiwa?????mungu alishachukua hatua

  • @wemaMichael-fr4th
    @wemaMichael-fr4th หลายเดือนก่อน

    kaka ake lisu mzuri

  • @ebitariho9720
    @ebitariho9720 หลายเดือนก่อน

    Kabisa Hilo Gari lijengewe makubusho. Na itangozwe siku ya tundu lissu day.

  • @aminaomary5567
    @aminaomary5567 29 วันที่ผ่านมา

    Lissu njoo Ccm. Huko chadema wanakunyanyasa. Ukiludi Ccm chukua Jimbo lako bungeni.

  • @andersonnyahove2867
    @andersonnyahove2867 หลายเดือนก่อน

    Nnahakika serikali inajua Kila kitu kuhusiana na Mpango dharimu wa kuondosha maisha ya Mh. TL hata wanapoyaskia haya wanaona aibu. Hii dhambi haitawaacha huru au nchi hii haitatawaliwa kwa utulivu lazma ccm na ukoo wenu wote mtapitia moto daima pamoja na kumiliki Kila kitu mtakula na kuishi kwa taabu kwa dhuluma zenu halaf mbaya zaidi bado mnahangaika kumchafua Mh Lissu mtakufa vibaya kama walivyotamgulia mamia ya viongozi waandamizi tangu baada ya mlichomtendea Mh. Lissu

  • @yasiniabdallah2412
    @yasiniabdallah2412 29 วันที่ผ่านมา

    Mungu Alisha lips zamani alietenda hicho kitendo Alisha tangulia

  • @ZaidAKissinza
    @ZaidAKissinza หลายเดือนก่อน +1

    Mzee Alute inaonekana umekunywa mma.

  • @SundaySteven-bz4yq
    @SundaySteven-bz4yq หลายเดือนก่อน +2

    Kweli bwana mungu ni mwema amemuokoa na mauti mtetezi ,,msemaji wa wanyonge na waoga wa taifa letu la Tanganyika mungu akutie nguvu na sisi watanganyika tunaojitambua tuko pamoja AMINNA

  • @RestTarimo
    @RestTarimo 22 วันที่ผ่านมา

    Anaongea kama Lisu kabisaa

  • @davidmziray2048
    @davidmziray2048 หลายเดือนก่อน +1

    Baba anapiga kill beer 🍻

  • @nyerere1259
    @nyerere1259 27 วันที่ผ่านมา

    Advocate uko vyombo

  • @Mshuta
    @Mshuta หลายเดือนก่อน +3

    Familia ibalikiwe

  • @benedictmrisho1800
    @benedictmrisho1800 หลายเดือนก่อน

    Mzee advocate Alute.

  • @frowinmgimba8513
    @frowinmgimba8513 27 วันที่ผ่านมา

    Anasauti kama ya lisu

  • @user-yw1rq3xj1q
    @user-yw1rq3xj1q 29 วันที่ผ่านมา

    Wamefanana adi kuongeaa😂

  • @dominicksangu8934
    @dominicksangu8934 27 วันที่ผ่านมา

    Polesana bro lissu

  • @judithtitomalyeta4000
    @judithtitomalyeta4000 หลายเดือนก่อน +1

    Heeee wanafanana hadi sauti

  • @josephatmakuka4860
    @josephatmakuka4860 หลายเดือนก่อน

    Hakika mbarikiwe sana

  • @muniraahmed624
    @muniraahmed624 หลายเดือนก่อน

    Polenii

  • @Skomi-0nedayyes
    @Skomi-0nedayyes หลายเดือนก่อน

    Zidaiwe Footage za mitaa na majengo ndo upererezi uanzie hapo kama zilifichwa na mtu basi awajibishwe, na pia itabidi sasa serikali inayotawala iweke cctv cameras mitaani kwa ajiri ya usalama maana wanao miliki silaa mtaani ni wachache na wengi wao ni watu wa serikali ambao Raia atuna imani nao kwasababu nchi aiko huru kwa sasa matukio ni mengi.

  • @liberatusjackson5045
    @liberatusjackson5045 28 วันที่ผ่านมา

    Watanzania wengii hawaaminiii kujenga nyumbaniiii

  • @bilakawaboynew978
    @bilakawaboynew978 27 วันที่ผ่านมา +1

    Wapo wanakula vitu

    • @frankremishoy5778
      @frankremishoy5778 25 วันที่ผ่านมา

      Kawsida sana.wacha watu wale vyitu maisha mfupi mno

  • @MihayoMageta
    @MihayoMageta 29 วันที่ผ่านมา

    Naona wazee wananyonya kirauri tarrrrrratu😂

  • @user-xc7qj7ze7m
    @user-xc7qj7ze7m หลายเดือนก่อน

    Na wanaxhuxhia ka kuli safiiii

  • @AnnoyedFlowerPot-mr2ps
    @AnnoyedFlowerPot-mr2ps หลายเดือนก่อน +1

    Kufananaje huko

  • @lasteckmmary9741
    @lasteckmmary9741 หลายเดือนก่อน

    Hizo bia sasaa?

  • @user-fz9bg1qg9j
    @user-fz9bg1qg9j หลายเดือนก่อน +1

    CCM kwa heri 2025. Shida watanzania wote wajinga today ikulu hadi diwani. Gari ipelekwe makumbusho ya taifa.

    • @huyu1993
      @huyu1993 หลายเดือนก่อน +1

      Kwaeri wewe sio ccm mpuuzi wewe

  • @sharoshine9984
    @sharoshine9984 หลายเดือนก่อน +1

    Kila k2 ni lisu m2pu

  • @frankjuma5654
    @frankjuma5654 23 วันที่ผ่านมา

    Lisu wewe ni mwamba bhana hata na wao wanakujua

  • @allymwanga
    @allymwanga 27 วันที่ผ่านมา

    Hivyo vikopo

  • @edsonmnego4030
    @edsonmnego4030 หลายเดือนก่อน

    Lisu hyo chuma usiiache tengeneza v8 hyo mazeee

  • @qudraismail5160
    @qudraismail5160 หลายเดือนก่อน

    Wanafanana sana

  • @noeljacob9644
    @noeljacob9644 หลายเดือนก่อน

    Ila mzee muwae wake watatu😂😂😂😂

  • @jogechi2105
    @jogechi2105 28 วันที่ผ่านมา

    Lisu ni Maasai?

  • @user-qy4vk2qp9t
    @user-qy4vk2qp9t หลายเดือนก่อน

    Mwamba anapiga kilimanjaro taratiiiibuuu

  • @leothardngonya4842
    @leothardngonya4842 29 วันที่ผ่านมา

    Magaidi ninyi nendeni kwa watu wenu huko wakopumulisha.

  • @bensenlukumai4691
    @bensenlukumai4691 28 วันที่ผ่านมา

    Mbona wanakunywa bia sana 😂😂😂

    • @vedastusmlavumba1158
      @vedastusmlavumba1158 27 วันที่ผ่านมา

      Wanasherehekea sikukuu ya kukutana na ndugu yao, pigeni bia mpaka kieleweke, natamani kuzaliwa ktk ukoo huu❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @YahayaKishakwi
    @YahayaKishakwi หลายเดือนก่อน

    Usinge mpa pole tu