Mimi sijui sana siasa lkn ninachokiona kwa Msigwa ni mtu ambaye anajua kujieleza vizuri na kujitetea ya wezekana hiyo ni kalama yake,ila kwa utendaji sio mzuri
Kweli ndugu msigwa anajua SN kujieleza kujibu hoja lkn UTENDAJI hajui sn pili huwa anajua yy yupo superior than others tatu hajui miiko na mipaka na yake na viongozi wake alinukuliwa akipingana na makamu mwenyekiti hadharani ni kosa lile
indigenous • \in-DIJ-uh-nuss\ • adjective. 1 : having originated in and being produced, growing, living, or occurring naturally in a particular region or environment 2 : innate, inborn.May 12, 2024 Msigwa Hapo au hajui au Kapotosha, Indignous Haina Maana ya Suti au Nyumba Ina Maana (Watu wa Asili wa Mahali, Iwe wana Suti au rubega) Wamasai ni Indiginous wa Maeneo hayo.
What happened to his Lips, Kwenye Public Speaking Utashangaa Small things zinawaziba watu wasisikie Kitu Unasema Ukiwapa sababu ya Kubaki wanashangaa na kujiuliza Kuhusu Mwonekano.
Chadema mmekuwa mfano mfano mzr one mnavyofanya mdahalo live ili kumpata kiongozi bila mizengwe aise hii ni demokrasia ya hali ya juu sn. Safi sana vyama vingine viige mchakato huu wa kupata viongozi
Level ya mh. Msigwa ni level ya mh. Lema ; mh. J. Heche lkn mh. Sugu Bado una muda kujifunza na kukomaa ili ifike hapo alipo mh. Msigwa. Ombi langu kwa mh. Msigwa endapo Chama kitakupitisha usiwe na kinyongo juu ya kundi la sugu. Mh. Sugu ana hasira na na tamaa ya Uongozi nadhani Kuna watu wanachama wanamdanganya kua anaweza kuvaa viatu vya mh. Msigwa Imani yangu km mpenzi wa CHADEMA Bado mh. Sugu anahitaji kujifunza mengi kupitia kwa mh. Msigwa. Maswali mengi kwa mh. Msigwa wamekua na hoja dhaifu zinazoweza Jenga mgawanyiko ndani ya taasisi tunayoipenda tuipendayo CHADEMA na kua mh. Sugu alipanga watu kumsaidia ktk mdahalo huo. Mm ni miongoni mwa wa-tz na wapenzi wengi wa CHADEMA tunaoamini kua mh . Msigwa Bado ana uwezo ; na anafaa kuendelea kua m/kiti wa Kanda ya NYASA. Mh. Sugu endelea kumuomba MUNGU akupe hekima. Uongozi hautaki fitina Bali hekima ya MUNGU inahitajika. Mh. Sugu na kundi lako ktk mdahalo huo mmetusononesha sn wapenzi wa demokrasia. Kuna watu nawaheshimu na wameshiriki ktk mdahalo huo lkn kwa hiki kilichotokea Leo ktk michango Yao ilijipanga km ngome ya mh. Sugu nadhani wengi tumekua na mashaka km kesho wanaweza kufikiliwa kua VIONGOZI wetu !
mbna ofisi hazikosehemu nyingisana katka w,namikoani hakuna, mh msigwa mulango upo.wazi ccm njooo,wakikukata,kamakweri kunademocrasia. na nafasi ya uenyeketi taifa ufanyike mdaharo
Ndg yangu hapa ni kuangushana sio kushindana ndani ya Chama halipaswi hili maana baada ya huu uchaguzi mmoja Kati Yao ataanguka kisiasa sayansi ya siasa haitakiwi Chama kimoja viongozi wawili tena wa ngazi za juu kufanya hayo madhara yake ni makubwa Sana ndani ya Chama kisiasa
Hii dhana ya kusema maendeleo siyo vitu bali ni watu ni mtego utakao toa good excuse ya kutowajibika. Ni kweli hatuhitaji vitu kama majengo, miundo mbinu n.k?
Msigwa kuhusu jambo la ngorongoro ni kama ulikuwa CCM, Jaribu Tena kujisahihisha kulingana na Imani ya Chama chako, Kuhusu lugha jaribu kupunguza kingereza, Watanzania walio wengi utawaacha nyuma hivyo ujumbe wako kutowafikia Sawa sawa
Msigwa kujipa sifa umekwama acha watu wakupe sifa Pili tuhuma simekuchafua Pili unajibu kwa hasira ambayo na jaziba usilazimishe mambo wakati umebugi stape Nipo nasugu
Pamoja siyo mzoefu wa siasa ,ila mfumo wa kifikiri ndio engine ya Kila jambo,wote hao wanamazuri na madhaifu ,ila mchungaji ni mbobevu kwenye leadership,sugu ni hodari wa kumobilize watu,sugu he have to lean more.
Nawaomba viongozi wangu wapongezane wao kwa wao mi nawakubari wako vzr hawawezi kufanana ndo maana ya democrasia atakaeshinda tumeshinda wote chadema kizazi kipya cha kuhoji Mungu ibariki chadema na watu wake
Kweli hichi Chama Sasa ni kama cha chadema kugonganisha viongozi na kukosoana namna hii mbele ya watu ni kuangushana kisiasa au Kuna agenda? Maana sijabarikiwa na ukosoanaji wa namna hii viongozi wa Chama kimoja maana hadi Sasa kwa mtu mwelewa ameshamwona mmoja hapo kuwa hafai Sasa kesho yake kisiasa ndani ya Chama ni nn?
Sasa atajengaje wakati anayetakiwa kutoa RUHUSA si kipaumbele chake? Uwe unafatilia hoja za mdahalo vizuri, Ivi haukusikia mh Mbilinyi akisema alishanunua uwanja for the official akawa akipigiwa mizengwe kuanza kwa ujenzi kwa sababu hakuwa msemaji mkuu?
Ataanza ujenzi baa ndani ya siku saba msigwa acha kupotosha eti atakenga ndani ya siku saba. Sisi tupo tayari tunahitaji pakukutania sasa nakujadili yetu ya chama.
Tuseme kweli ila njululuu ina nguvu sana.Kusema kweli ktk fikra za wagombea hawa 2 Mchungaji Msigwa alistahili ushindi asubuhi kabisa.Naliona anguko kuu la chama hiki in the near future
Wewe kijana Abdallah akili yako iko likizo, na MUDA mwingine ili kujitunzia heshima si lazima uropoke kwenye kila jambo au topic hata usiyojua. Unakera
Acha kuwapangia wajumbe nani achaguliwe, wapigakura watachagua kiongozi wao kutokana na mahitaji yao ikiwepo vipaumbele vyao. Isitoshe wote bado wataendelea kufanya kazi za chama hata kama si viongozi, aliyekwambia mtu akidondoka kwenye kura hafanyi kazi za chama? Acha akili mgando
Nawatakia kila la kherry, wote wawili wawe makini muwe makini kutoigawa chama kandabya nyasa, atakayeshinda na atakayeshindwa wahakikishe mapenzi yenu katika chama yanazidi katika kukiendeleza chama, kukitoa kilipo na kukifikisha mahali ambapo wananchi wataendelea kuwa na imani ya kujiunga nacho.
Tuache makundi ya hivyo ili tushinde uchaguzi wa serikali za mitaa mwako 2024 na uchaguzi mkuu 2025. God Bless Us - CHADEMA
Hapo mmeonesha ukomavu mkubwa wa kisiasa, ila kiukwel wote mko vizuri, nimependa sana hii.
Sugu ana hoja za kitoto sana, comedians
Sio kweli ila nimependa mdahalo huu
Na ameshibda; Sugu anaongea simple lakini strong
Hoja za Kitoto kama??
Haya ndiyo mawazo huru ninayoyataka yanajenga yanamuamsha kiongozi asibweteke nipo na Sugu
Nilikuwa najua yale ya wamasai yatamfuata Msigwa pole hili litakuangusha trust me bro check your arrogance
Great prediction @karestephen
Waooooh kaka,we ni mtu na nusu sugu.
Chama kingine kiige hiv Kama wataweza
walianza ACT hii
Mdahalo huu kwa kweli ni meupenda hongera sana
Natamani hii midahalo ifanyike kwa viongozi wote wa kanda tutapata watu wazuri sana kuinua utawala bora hadi level ya chini kabisa
Mjadala haukuwa wa afya
Chama kinakuwa sasa zamani chama wanachaguaana tu sasa ivi mtifuano
Kweli sugu upo vizuri kaka yangu,me nakuaminia,kumbe sugu uliona huyo Mzee anaenda kuindoka,saafi sana sugu
Midahalo kama hii ina stimuleti thinking. Big up chadema na Act wazalendo kwa kuliona hilo
Hii ndiyo demokrasia ya kweli, big up chadema❤❤❤❤❤
Mimi sijui sana siasa lkn ninachokiona kwa Msigwa ni mtu ambaye anajua kujieleza vizuri na kujitetea ya wezekana hiyo ni kalama yake,ila kwa utendaji sio mzuri
Uko vzuri
Uko Sahihi Msigwa anakipaji Chakujieleza Vizuri sana
Kweli ndugu msigwa anajua SN kujieleza kujibu hoja lkn UTENDAJI hajui sn pili huwa anajua yy yupo superior than others tatu hajui miiko na mipaka na yake na viongozi wake alinukuliwa akipingana na makamu mwenyekiti hadharani ni kosa lile
Msigwa, kwenye ngorongoro mmmmh, ulijikwaa
Mbona anajikanusha miaka 10 sio mzaha kama hakuna sampo ya miaka 10 umeshindwa
Msigwa mjanja mjanja tu hana jipya atulie tu amuache sugu nae
Hii debate ni excellent. Wamefanya vinzuri ĝ
Ni mapema mno. Lazima uzijue siasa za Africa ndugu yangu. Tusiige wamagharibi kila kitu.
Kumbe waliokimbia walikosea sana
Kwanini mmoja asimuachie mwenzake.... Msigwa tayari umetutumikia... Muachie Sugu ndio uzalendo...
Cm nao wafanye mdahalo kama huu tutaona vioja kwa kweli
indigenous • \in-DIJ-uh-nuss\ • adjective. 1 : having originated in and being produced, growing, living, or occurring naturally in a particular region or environment 2 : innate, inborn.May 12, 2024 Msigwa Hapo au hajui au Kapotosha, Indignous Haina Maana ya Suti au Nyumba Ina Maana (Watu wa Asili wa Mahali, Iwe wana Suti au rubega) Wamasai ni Indiginous wa Maeneo hayo.
Ila maswali ya Odemba yamenyoka sana🙌🙌🙌🙌
😂😂
Mpeni ushindi sugu sugu ameshinda huu mdahalo
Sugu swala la kilimo umejibu kwa Utulivu wa maono
Msigwa umeferi kwenye huu mdahalo
Nyie ni maswaiba nawajua na kiukweli mko vizuri maana tunhitaji hoja kamili kama hizi,wote mko vizuri kimawazo tunawatakia heri ktk uchaguzi.
Bonge la hoja, unajitambua
What happened to his Lips, Kwenye Public Speaking Utashangaa Small things zinawaziba watu wasisikie Kitu Unasema Ukiwapa sababu ya Kubaki wanashangaa na kujiuliza Kuhusu Mwonekano.
Msigwa mdahalo umekushinda yaan hauleeweki
Chief Odemba ni hbar nyingne kwa wanahabar
Msigwa apishe nainatosha kama amejenga chama na mboye
Kipepeo msigwa mbona anapanic ?
Kuna wakati msiwa ataisaliti chadema
Ulishabikia na kuungana na ccm kuwafukuza wamasai ngorongoro
Chill bro msigwa
Musikwazane wote moo vizuri kisiasa katika taifa letu
Chadema mmekuwa mfano mfano mzr one mnavyofanya mdahalo live ili kumpata kiongozi bila mizengwe aise hii ni demokrasia ya hali ya juu sn. Safi sana vyama vingine viige mchakato huu wa kupata viongozi
Wana ccm tuingie tujifunze Chadema mambo mema si vibaya kuviiga.
Mdahalo mzuri sana
Chadema bigup sana kwa njia hii inawajengea uwezo zaidi chadema
huyujamaa pumbavu nichawa. wasugu, eti anayeondoka mwenyeketi!!!! hapo msigwa umepigwa ni mipangoya mbowe,wachie lichamalao
Level ya mh. Msigwa ni level ya mh. Lema ; mh. J. Heche lkn mh. Sugu Bado una muda kujifunza na kukomaa ili ifike hapo alipo mh. Msigwa.
Ombi langu kwa mh. Msigwa endapo Chama kitakupitisha usiwe na kinyongo juu ya kundi la sugu.
Mh. Sugu ana hasira na na tamaa ya Uongozi nadhani Kuna watu wanachama wanamdanganya kua anaweza kuvaa viatu vya mh. Msigwa Imani yangu km mpenzi wa CHADEMA Bado mh. Sugu anahitaji kujifunza mengi kupitia kwa mh. Msigwa.
Maswali mengi kwa mh. Msigwa wamekua na hoja dhaifu zinazoweza Jenga mgawanyiko ndani ya taasisi tunayoipenda tuipendayo CHADEMA na kua mh. Sugu alipanga watu kumsaidia ktk mdahalo huo.
Mm ni miongoni mwa wa-tz na wapenzi wengi wa CHADEMA tunaoamini kua mh . Msigwa Bado ana uwezo ; na anafaa kuendelea kua m/kiti wa Kanda ya NYASA.
Mh. Sugu endelea kumuomba MUNGU akupe hekima.
Uongozi hautaki fitina Bali hekima ya MUNGU inahitajika.
Mh. Sugu na kundi lako ktk mdahalo huo mmetusononesha sn wapenzi wa demokrasia.
Kuna watu nawaheshimu na wameshiriki ktk mdahalo huo lkn kwa hiki kilichotokea Leo ktk michango Yao ilijipanga km ngome ya mh. Sugu nadhani wengi tumekua na mashaka km kesho wanaweza kufikiliwa kua VIONGOZI wetu !
Kabisa Yan mpka nimeshangaa msigwa ana hoja lakin nimeaamin alichosema lissu
hapa hakunademocrasia wamepangana kumung,oa kumbukeni.mhemko si utendaji ,dhambi hii haitawawachasalama, msigwatokahuko. hufananinao,
Tumpe sugu Kwa Sasa nyasa msigwa miaka kumi imetosha
Kanda ya Nyasa mnawatu wazuri sana mimi nawashauri wajumbe wawape wote, maana simwoni wakumwacha.
hahahaaaas
Msigwa anapaniki, twende na Sugu nyasa.
mbna ofisi hazikosehemu nyingisana katka w,namikoani hakuna, mh msigwa mulango upo.wazi ccm njooo,wakikukata,kamakweri kunademocrasia. na nafasi ya uenyeketi taifa ufanyike mdaharo
Aliwaita nyumbu kwakuwa nyie ni nyumbu kweli. 😂😂
Huna akili
Katika huu mdahalo nimeamini sasa kuwa sugu ni mwanasiasa mkubwa sugu ameshinda huu mdahalo
Mdahalo mzuri sana. Tunapata wasaa wa kuelewa thinking, goals na the end... Nafurahi sana kuwasikiliza mnavyorespond hoja na maswali.
Kiongozi mmoja kubaki madarakani muda mrefu hakuui demokrasia.Akikubalika hata milele
Chadema mko vzur hongera kwa mabadiliko
Big post
ÌNGEKUWA CCM WANAJIGEUZA CHAWA KWA MTU MMOJA HII NDIYO CHADEMA TUNAYOIJUA❤❤❤
Usikivu went very poor hamna wataalam wa saui kwenye TV yenu? Jipangeni mko nyuma sana distortion kibao!
Safii kabisa hiyo ndio democrasia
Huko ndiyo kushindana kwa hoja,mwisho wa siku mmoja akishinda mnapongezana.
CHADEMA safi sana.
Ndg yangu hapa ni kuangushana sio kushindana ndani ya Chama halipaswi hili maana baada ya huu uchaguzi mmoja Kati Yao ataanguka kisiasa sayansi ya siasa haitakiwi Chama kimoja viongozi wawili tena wa ngazi za juu kufanya hayo madhara yake ni makubwa Sana ndani ya Chama kisiasa
Mko vzr sana Chadema
Hii dhana ya kusema maendeleo siyo vitu bali ni watu ni mtego utakao toa good excuse ya kutowajibika. Ni kweli hatuhitaji vitu kama majengo, miundo mbinu n.k?
Shida ya huu mdahalo mlileta machawa wa wagombea kuwa wauliza maswali mlitakiwa kuleta watu wasiofungamana na upande wowote .. stupid kabisa
Mdahalo mzuri ila chama changu chadema muoache kutumia mabavu pia tumia maoni ya watu nawakumbusha kwa lowasa pia naona chama kingefumliwa juu
Chadema ni chama kikubwa sana kinakuabsiku Hadi siku.
Asante sana kwakufafanua hapo maana mh msigwa anapotosha uma
Msigwa kuhusu jambo la ngorongoro ni kama ulikuwa CCM,
Jaribu Tena kujisahihisha kulingana na Imani ya Chama chako,
Kuhusu lugha jaribu kupunguza kingereza,
Watanzania walio wengi utawaacha nyuma hivyo ujumbe wako kutowafikia Sawa sawa
Muungwana ni vitendo, hoja nzuri @edomukiruswa
Kwa hiyo ofisi hazina maana,wakitaka kukuona watakukuta wapu sema mchungaji unachemsha
Msigwa kujipa sifa umekwama acha watu wakupe sifa
Pili tuhuma simekuchafua
Pili unajibu kwa hasira ambayo na jaziba usilazimishe mambo wakati umebugi stape
Nipo nasugu
Chadema mnasema mnasimamia demokrasi mbona mwenyekiti wenu habadilishi madaraka
Msigwa tayari umetumika mwachie sugu aongoze nyasa
Sugu nchi haijengwi kwa connection ni policy
Pamoja siyo mzoefu wa siasa ,ila mfumo wa kifikiri ndio engine ya Kila jambo,wote hao wanamazuri na madhaifu ,ila mchungaji ni mbobevu kwenye leadership,sugu ni hodari wa kumobilize watu,sugu he have to lean more.
Jamani msigombane ndani yachama
Mmhh kumbe msigwa alisapoti CCM kufukuzwa kwa masai
Nawaomba viongozi wangu wapongezane wao kwa wao mi nawakubari wako vzr hawawezi kufanana ndo maana ya democrasia atakaeshinda tumeshinda wote chadema kizazi kipya cha kuhoji Mungu ibariki chadema na watu wake
Hongera sana Naiona Nuru Chadema Mungu awabariki sana na wakubali
Kweli hichi Chama Sasa ni kama cha chadema kugonganisha viongozi na kukosoana namna hii mbele ya watu ni kuangushana kisiasa au Kuna agenda? Maana sijabarikiwa na ukosoanaji wa namna hii viongozi wa Chama kimoja maana hadi Sasa kwa mtu mwelewa ameshamwona mmoja hapo kuwa hafai Sasa kesho yake kisiasa ndani ya Chama ni nn?
Umesahau wakati wa kura za maoni za ubunge CCM majimboni watu mpaka wanagombana kama sio wa chama kimoja.
Siyo ccm waige ccm wameisha toka huko chadema ndiyo mnaanza
Sugu wewe kiongozi bado ila chama ndicho kinakubeba
Mdaharo mzuri sana ila siku nyingine boresheni sauti
Kwa hiyo mhe Sugu usipopata kuchaguliwa hautajenga ofisi??
Sasa atajengaje wakati anayetakiwa kutoa RUHUSA si kipaumbele chake?
Uwe unafatilia hoja za mdahalo vizuri, Ivi haukusikia mh Mbilinyi akisema alishanunua uwanja for the official akawa akipigiwa mizengwe kuanza kwa ujenzi kwa sababu hakuwa msemaji mkuu?
Kweli kabisa hata wakati wa ukoloni shule zilikuwepo chini ya miembe na watu walipata elimu ndo waliopata elimu wamejenga shule
Wote wazuri wananifrahisha
Ataanza ujenzi baa ndani ya siku saba msigwa acha kupotosha eti atakenga ndani ya siku saba.
Sisi tupo tayari tunahitaji pakukutania sasa nakujadili yetu ya chama.
Kweny jibu la nyumbu mch umejib vzr san.
Safi Sana kwa mdahalo mzuri
Msigwa yuko vizuri sugu akae pembeni kwa heshima ya chama
Apa nakubali kiongozi sio kuchaguliwa tuu ila kupewa charenge kesho akishindwa wanamwacha!.
Mjadala mzuri Sana
Mimi si chadema lakini nawaunga mkono kwa mjadala mnaofanya hii itasaidia wananchi kuchagua viongozi makini
Bonge la hoja @user
Tumpe Sugu kura Zetu, Mchungaji msigwa aeleweki,mmetutukana,pili ameunga mkono kufukuzwa Kwa wamasai
Alishawahi kuunga mkono juhudi za mr prdnt asubuhi alafu jioni akapinga.dable standard.😅
Tuseme kweli ila njululuu ina nguvu sana.Kusema kweli ktk fikra za wagombea hawa 2 Mchungaji Msigwa alistahili ushindi asubuhi kabisa.Naliona anguko kuu la chama hiki in the near future
Wewe kijana Abdallah akili yako iko likizo, na MUDA mwingine ili kujitunzia heshima si lazima uropoke kwenye kila jambo au topic hata usiyojua.
Unakera
Msingwa ni Kiongozi, Wanachama wa CHADEMA waamue vizuri. Wakichagua vibaya watapotea
Acha kuwapangia wajumbe nani achaguliwe, wapigakura watachagua kiongozi wao kutokana na mahitaji yao ikiwepo vipaumbele vyao.
Isitoshe wote bado wataendelea kufanya kazi za chama hata kama si viongozi, aliyekwambia mtu akidondoka kwenye kura hafanyi kazi za chama?
Acha akili mgando
Msigwa msaliti kala helaza Abduli
Well said Mchungaji Peter Msigwa.
Nimegundua msigwa kinachomsumbua ni suala la wamasai 😂
Good! Hiki ndicho chama cha siasa bhana
Kweli kabisa kamanda, umehoji na kutoa mawazo yako kizalendo... materialistic
Safi sana CDM
CCM wajifunze mdahalo kama huu
Angalieni msikipasue chama bado tuwahiji
Wazo ZURI sana, hakika umekomaa kifikra kamanda@user
Mdaahalo mhim kati msigwa na mbilinyi
CHADEMA wanaonyesha MFANO.. kuweka mijadala ya hoja namna hii, na ndio nzuri.
Hii midahalo wameanzisha ACT tangu mwaka 2019
The weight of Chadema candidates out weighs ACT debates
Msigwa sio gas ya Lithium ni Helium gas!
Nawatakia kila la kherry, wote wawili wawe makini muwe makini kutoigawa chama kandabya nyasa, atakayeshinda na atakayeshindwa wahakikishe mapenzi yenu katika chama yanazidi katika kukiendeleza chama, kukitoa kilipo na kukifikisha mahali ambapo wananchi wataendelea kuwa na imani ya kujiunga nacho.
Msingwa alikuwa ccm kimya kimya
Hapo ni SUGU tu tunaenda naye.
Wotee mnafaa ila mna mihemuko
Hii ni nzuri sana....hata atakaeshinda atajua ana kazi ya kufanya na si kujibweteka tu!!
Sana, walioshinda watimize majukumu yao kwa bidii na ubunifu mkubwa kwa mujibu wa katiba.
Congratulations for the voted leaders, all are winners
@illomowerner7690 sure, they have a great job to do!!
Not Impressed by anyone!
Tatizo la msigwa huwaga unasapoti ccm ,,sugu anamsimamo ila hoja ni ndogo
Mmmh lini alisapoti ccm,msigwa huyu c alikataa kutolewa jela na ccm na bado alikaa kununuliwa
Msigwa hamna kitu,