JUSSA AFICHUA SIRI NZITO YA MUUNGANO
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 21 เม.ย. 2024
- Kutoka AL FATAH TV .
Usisahau ku like, comment naku subscribe kwenye chanal Alfatah tv online kwa mawasiliano zaidi piga simu: +255 777 858 490
#AlfatahTvOnline
#AlfatahCharitableAssociation
#ZANZIBAR
Angalia tunavochafuliwa na Wazanzibar kumamake. Halafu sisi tukizungumza Tunasutwa na watanganyika Wenzetu Mazwazwa wachumia tumbo. Nyerere anasemwa anatukanwa anabezwa na hakuna anayetoka hadharani kukemea. Kumaanina haya mambo yanaudhi. Ukigusa Zanzibar watu wanakujia juu kisenge. Mungu yupo
O,
Kwanini Huwa inaonekana ni dhambi Mtanganyika kuuponda Muungano lakin Mzanzibar akiunanga Muungano inaonekana ni Haki???
Kunamijitu inaumia sana yenye sura za manyan unapo ongelewa ukweli kama huo..lakn kama yanaumia yakajinyonge na laana ziwashukie..
Hayati Jumbe alikuwa na sura kama unayosema lakini alipambania Zanzibar iwe nje ya muungano sasa iwe vp mtu mwenye sura ya mtu Kama wewe kuchonga umbea kupelekea Jambo azimu unalolitaka kushindwa? Labda Kuna mambo yapo nyuma ya pazia mliyonayo nyie wenye sura za watu tofauti ya Zanzibar huru? Ni ya namna gani hiyo ikiwa mwenzene alibutua sahani ya chakula kizuri Cha Wazanzibar
Muhamad hicho ni kisiwa cha watumwa na wewe mwenyewe umezaliwa ndani ya utumwa huna hyjui hata kabila lako zaidi ya kiarabu na kiswahili hujui ba hujasoma na umezaliwa mwaka 2000 nenda zako na ujinga wako umetawaliwa na ubaguzi wa rangi na kabila
Nimeona nilijibu kwa kukuonya lugha yako chafu na hata maadili huna wewe umejiumba mwenyewe kwa hiyo wenye sura mbaya wamejivisha vinyago. Angalia lugha yako Hujafa Allah atakupa usilolijua na laana ikarudi kwako. Omba msamaha kwa Allah na usirudir tena.
Wacha ikufe kwa roho zao mbaya
Imekalia ujambazi tu hiyo
Tuwe na upendo suala la kuwaweza Watanganyika ni kama shilingi kuna pande mbili , Akishika Mtanganyika mjiandae kuvumilia tuache kashfa, leo ukicheka jiandae na kilio pia !
Sasa sijui hizi lawama unampelekea nani wakati anayeshikilia huu muungano kwa sasa ni Mzanzibari mwenzenu Samia
😂😂😂😂wame changa nyikiwa hawa
Wanajua wanachokitaka alafu Kama hawataki vile .. 😂😂😂😂 ... Dah!, kweli mtu anaeongea Sana mara nyingi haitimishi kwa vitendo, ..
Ni kweli Jussa tumeishi katika uongo tangu kujifanya kuungana. Mimi nasema tumeishi kwenya unafiki
Mambo haya ya Jussa ebu yaungane na yale ya comde Lissu wa CHADEMA. Majuzi kati alipotamka hadharani kwamba kuna madhaifu makubwa katika katiba ya muungano na kwamba katiba inaleta ubaguzi na hivyo kutokuwepo haki kwa pande mbili za muungano, alilaaniwa sana tena kupitia bunge la jamhuri na wanasiasa wa bara ambao hawasomi historia isipokuwa ni wataalamu wa uchawa wakiongozwa na NAPE MNAWIE.
TX
Zanzibar has her own constitution,which provide her House of representatives with instruments to enact laws.Why is it that Zanzibar is not free? Secondly,if it is true that Zanzibar has not ratified the Union agreement with Tanganyika why are the Zanzibar people in the Union for 60 years?
Academic argument!
Hawa wazanzibari kwa sasa wasitudanganye wao ndio wanufaika wa muungano wangekuwa sio wanufaika huyu mama kwa sababu ni Mzanzibari mwenzao angekuwa ameshauvunja huo muungano
@@eliajimmy95muungano una utaratibu wake wa kuuvunja.kwanza unataka Rais jasiri na mwenye uwezo na hekima na busara ya hali ya juu sana.Ila huu muungano haufai na hautendi haki kabisa kwa pande zote.
Kuunda jeshi hakukuzungumzwa,na ndilo jambo la msingi lililomfanya Karume akubali muungano. Baada ya kuua watu mwaka 1964, badala ya kutengeneza jeshi,walikaa kugawana madaraka, na kuoa waarabu. Tanganyika ikaweka majeshi Znz.
Kweli kabisa kuna watawala wa TANU baadaye CCM ni wababe wa kutaka kutumikisha wanainchi. Kwa sababu watawala wengine walikuwa wanataka kutawala wengine tu.
ASANTE kwa historia nzuli. Lakini kwa sasa tuishi kwa wakati. Hata YESU alivyokuja ndugu zake hawakumuelewa. we should now live on contemporary history not as previously one. should you suggest anyone? Sawa Zanzibar wafanye kurejea maridhiano...poa tuu. haliihitaji somo. kama wana muda poa. waaheni wananchi waamue sio wanasiasa tuu.
Mimi namkubali sana Jussa na nafatilia sana vitabu ila Watanganyika waelewe kama Zabzibar sio huru na Tanganyika sio huru maana wanaogopa hata kujitambulisha kama wanatoka Tanganyika na kuielezea nchi zaliwa yao (Watanganyika ni waoga na wao hawana uhuru amini hivi)
Hakuna mtanganyika anataka muungano kwa lipi Zanzibar lililopo, Zanzibar hakuna chochote, hakuna mtanganyika anafaidika.
Hamjawahi hata kuandamana manapiga como tu
Msijali wazanzibari wenzangu iliyopita ni dhulma ila msisahau mfundisho yetu yanasema hatozidisha chochote idhalimu ila hasara ila dhalala hakuna kinachodumu chini ya jua ni suala la muda tu hata kama itapita miaka 100 znz itapata uhuru wake tena mungu huleta mkombozi kutoka katika jamii ya hao wakandamizaji na dalili ipo hivo ndivo Mungu anapoleta nusra yake .
Nimekupenda bure ila ongeza Elimu ya Alh kulikoni ya hii dunia
Kwani zanzibar ni yenuu au ni mwarabu alipita hapo akaacha machotaraaa kwenye ni Arabuni. Sio zanziba 😂😂
Masuala ya kiutawala ni mapana sana. Mbali na udugu kati ya watu wa Tanganyika na Zanzibar kuna suala la usalama. Kila mmoja anamtegemea mwenzie. Ukiangalia kinachoendelea HAITI sasa hivi utaelewa. Tuwe na shukurani na tupambane kizalendo kuboresha muungano wetu. Haya mengine hayana maslahi kwetu.
Upo Sahihi Sana Kwa Hilo
Hiyo sio hoja.suluhu ni serikali 3
usalama
@@edwardmkwelele ndio maana wanashauri kuwe na serikali tatu.Mfano sijui wa haiti ni hoja mfu isiyo maana yoyote.
Mbona sudan waligawinya kusini na kaskazini kama kuna kero kwann kila mtu asishike zake
Nzanzibar nikisiwa sio inchi jamani harufu wasitokee wetu wakavuruga mungano huu nzuri kwa maneno maneno ya uragai wazee watu walikubaliana vizuri
Hebu jifundishe kuandika kwanza kuma la mama ako
Shida km ni family za kizanzibar muwe na makubakiano sacrifice family ziliko Tanganyika ziwe za Tanganyika na Zanzibar ziwe Zanzibar wachache Wanaka kuwa raia wa Tanganyika or Zanzibar wapewe passport ya Tanganyika na wanzanzibari wapwee passport za Zanzibar
Kwanini wa Zanzibari amuwezi kuanzisha chama au vyama vyenu mpaka mtegemee vyama vya bara
Hizi chokochoko zitaisha siku tukiwa serious yaani tuichukue Zanzibar moja kwa moja kama Crimea iliyochukuliwa
Mama Samia amewaweza sana watanganyika
Watanganyika ndiyo wanafiki wakubwa ndiyo sababu Watanganyika wanaona dhambi kubwa kukosoa muungano. Kuficha unafiki watu
Sasa ikiwa yote hayo ni mipango ya muingereza ivi tutatumia njia gani ya kuipata zanzibar
Hakika umeweka bayana ya audui mkoloni ambaye wengi hatumjui na huenda tunamkwepa kumuhusisha na KERO NA MATOKEO YA MUUNGANO tangu ushindi wa vita ya pili ya dunia Hadi kuja kumpoteza Mjerumani Tanganyika na kupoteza tena Sultan Unguja na Pemba kisha kuunda mifumo yake ambayo leo hii Waandishi maarufu na hodari wa siasa za mapinduzi Afrika hapa bara na visiwani hawaelezi isipokuwa kama wanafurahia upande fulani ikionekana ndio walioshika muhuri wa wakutaabisha mwingine laa hasha huu Ni muendelezo wa ila za mkoloni wa Ulaya ambaye alimtoa Sultan bara Arab ambako biashara chafu ya watu na vingine ilishakomesha kwa misingi ya dini hivyo wao ndio waliyomteua mtu wao kufanya naye biashara huku bara Zenji Kisha mabadiliko ya siasa za dunia walimuondosha kwa mikono yao kisha kukimiliki kisiwa na bara huku kwa namna waipangayo ...
Njia ya kuigomboa Zanzibar ni wazanzibar kuwa wakweli na wasimamie kauli moja tu bila ya kujali itakadi zao za kisiasa au masilahi binafsi nayo ni Zanzibar kwanza .biidhin lahi tutafanikiwa
Maisarir wewe hujui siasa kuwa ni mchezo mchafu wewe unapenda kurudi utumwani usiwe mjinga wenzio hao wanasiasa wanataka vyeo acha kupenda utumwa hapo ulipo hujui hata kabila lako wewe mtumwa tu tulia Hussein Mwinyi aitengeneze Zanzibar njema
@@margarethpolepole7438 Akili kisoda kabisa! huo ndo ukomo wako wa kujenga hoja au una maslahi binafsi? kwa ulichokiandika hapo wewe ni either mnafiki mwenye maslahi binafsi dhidi ya Wazanzibari au ni mtumwa wa fikra kwa kiwango cha juu kabisa!
At least unapokosoa jambo kama hili la maslahi makubwa ya watu basi kosoa kwa hoja sio unazi!
@@margarethpolepole7438kuma la Mama ako Mmbwaa wewe Mtoto wa Malaya hatukutakini Zanzibar
Muungano uvunjwe tu, ila hawa ccm ndo wana ushikiria, asilinia kubwa ya wazanzibar hawataki huu muungano, hata mimi muungano siutaki abadani hauna maana,
Huyu mzee anasema kweli kabisa
Ukiangalia kwa undani Wazanzibar hawautaki huu muungano kbs kbs jmn!! Wengi wetu sisi Watanganyika sisi hatuna makelele wala maneno km hawa wenzetu. Km hawautaki basi wapewe n nchi yao tuu jmn.
Njia ya kuipata Zanzibar ni moja tu kuwa wakweli Wazanzibari na kumuelekea Allah naamini Zanzibar itajitawala tu
Unataka ijitawale mara ngapi hiyo zanzibar
Kwana hawana Allah ubaguzi mkubwa
Uchoyo na ubinafsi na uroho wa madaraka ,
Njia ya kwanza ni kujuta kwa waliyoyafanya 1964, na wawe qanaomboleza kila mwaka,badala ya kujivunia, kutoa neno "mapinduzi" ktk kamusi zote, kuvunja sherehe ya mapinduzi,na kusherehekea siku ya uhuru, kutoa vielelezo vyote vya uongo vinavoonesha utumwa wa waarabu, kwa sbb biashara hii hata mabwana zao wazungu na wahindi waliifanya.
Ijitawale mara ngapi, na Tanganyika je acheni uroho dose ya mtu mzima hawezi kupewa mtoto
Kwani kufufua makubari kunaubaya gani? Kutokufufua makuburi ni unafiki. Kwa kweli watawala wa Africa udictator ni mwingi sana.
Muungano ulipaswa kuwa wa wa watu na fursa....sasa hapa watu wa nchi mbili wanaogelea fursa za nchi moja...hiyo nchi ingine fursa za ke ni zake....sijui ni muungano wa aina gani..so perplexing 2 my opinion...
Hongera sana Jusa vunjeni muungano. Sasa kwa nini sasa hivi Samia hataki KATIBA ambayo tunataka Inchi tatu. Ili Zanzibar iendelee kuwa Inchi kamili. Na Tanganyika irudishwe kama wanapenda jina la Tanzania basi wajibatize kuwa "Tanzania " waweze kusema zamani tuitwa Tanganyika na sasa tutaitwa Tanzania. Si wanaipenda? Lakini siyo kulazimisha na kuchukuwa uhuru wake kwa nguvu ati Tanzania ni muungano waksti ni unafiki wa CCM na watawala wake wanapenda sifa za unafiki.
Aminn
There are arguments of this called Union of Tanganyika and Zanzibar, First off all there was no referendum from people of both part whether to unite or not it was just the vision of the leader from Tanganyika and other leader was threaten if he decide not to unite, so there are Griaviances from both part of union Mainland and islands
Hoja ya Jussa ingekuwa na mantiki zaidi kama Historia ya kutawaliwa Zanzibar ingeanzia tokea mwaka 1832.Jee anatuamimisha kwamba waliokuwa wakitawala kipindi hicho walikuwa ni wazanzibar kindakindaki?!!Ni tafakuri tu!!
❤
Hivi kwa nini mtu akisema ukweli mnamuita mbaguzi? Ninyi wanafiki kweli. Kuna Inchi iliyo na waafrika weusi pekee siku hizi? Ninyi ndiyo wabaguzi wakubwa. Hata hapa Tanganyika tunawhindi, warabu namakabila wengine mengi na pia rangi mbali mbali lakini ni watanganyika? Itakuwa Zanzibar? Kwanza warabu walikuwa wengi kuliko hao wasukuma na wanyamwezi kama siyo kuwafukuza kwa uhuni fulani.
Bwana Jusa unataka mungano wa Zanzibar India . Acha kurembusha macho , hujui hata unalosema unatafuta gia TU ya maisha .
Hapana@
Mara zingine kuendelea kwa kujitenga ni kuzuri zaidi.
Ndoa zinakatika sembuse nchi!
Mungano Mungano mpk wametuondoshea passport zetu saiv tunatumia Tanzania 😅
Ah tena ndo usiseme apo wametuondoshea mamlaka yote
Kila lenye mwanzo na mwisho wake upo
Hapa ndio kosa letu lilipo kuingiza siasa badala ya ukweli. Wakati tupo kwenye Muungano iwe kwa hiari au lazima HAITAWEZEKANA kuwa na passport, USA ina state 52 zenye mamlaka ya ndani kama ilivyo Zanzibar lakini USA ina Passport 1 tu. Uingereza ina nchi 4 England, Scotland, Wales and Northern Ireland lakini kuna Passport 1. Hivyo tuachane na Muungano tupate Passport. Lakini kuna mambo ya kutafakari pia kabla ya uamuzi huo juu ya hatma ya Wazanzibar waliopo Tanganyika ambapo Wazanzibar wengi wapo Tanganyika na mali nyingi zisizohamishika. Pia kabla ya 1964 hadi 1980's Wazanzibar (Waunguja na Wapemba) kila mmoja alikuwa kwao lakini leo tupo pamoja na hasa Unguja je tutakubali tuishi kwa uwiano visiwani petu? Zanzibar ni ndogo sana sio tatizo kwa Watanganyika waliopo Zanzibar kurudi kwao na Tanganyika haitahisi kwamba wamepokea mzigo hasa kwa vile Watanganyika waliopo Zanzibar hawana mali. Jingine malipo ya Watumishi koplo wa JWTZ analipwa vizuri kuliko Meja general wa vikosi. Kubwa kuliko yote nani atalipa passion yya Wastaafu .
Hebu ondoa Tz Port ujue km unajulikana wapi duniani
Kama mzanzibari halisi muungano hatuutaki lo vinganganizi na wauwaji walokuja kutumaliza wanzibari kila wakati wa uchaguzi na kujazana zanzibar
watu wote wa zanzibari asiri yao ni bara tena kabira za wanyamwezi na makabira mengine walochukuliwa na waarab kama watumwa😮 wakazaliaana pare ndo maananhakuna kabira
Ifike pahali km hakuna meza yamazungumzo tulazimishane cc ndio raiya wa nchi hii viongozi wao waongoze tu liwalo naliwe papatu kwa papatu tuligawe jahazi la mabao
Huyu Jusa Ni mnafiki.kwa Nini afufue makaburi yaliyokwisha zikwa? Maneno haya wangezungumzwa wakati Mzee Karume yupoo. Sasa Zanzibar nzuri,Ina maendeleo.watu wamezaliana,na wengine wapi bars. Mpaka na wajukuu wamezaliwa..hapa tunaangalia umma wa wazanzibar na watanganyika upo salama?Kuna amani? Huo ndio umuhimu wa nchi yamepitwa na wakati..Nakuuliza Jusa Nia na madhu
Oko sawa baba wafunguee macho
Jusa unataka madaraka lakini usichokijua ........ Kwani unazani sisi Wabara wakawaida tunashida na nyinyi we kama unaweza pambana ktk boksi upate unachokitaka
Jussa yuko sahihi sana
Mimi ni mkenya.Unamwita Jussa kuwa ni Muhindi!!!Ikomboe akili yako.Jussa anakuteteeni.
Zanzibar Walizisamisha kwa Serikali ya TANGANYIKA. Kulinda usalama wao Sultan wa Omani asirudi.
Huo ndio ukweli lakini je serikali hizi mbili je zimeanza leo tunapo fungua macho na je tumeamua kuwa Nguruwe asie tosheka kulikoni Binaadamu na je nchi hizi 2 zimekubali kuingia umwagaji damu wa hadhara na kwanini serikali 2 ila moja haina hatma na ikiwa inakosekana yapili hata uwakilishi wake na askari tena du vitisho vimekuwa sehemu ya maisha ya watu tena sirini sana Shikamoo Tanzania
Atoke sasa mtu apinge haya kwa hoja ili kwa pamoja tutafakari na badae sote kwa pamoja au kwa uwingi wetu tujirdhishe kama ni kweli au vinginevyo.
jusa nae anajua sana ila nataka kumwambia auangalie muungano kwa faida cyo mapungufu ya muundo awe realistic je ni muda sahihi kufikiria kuuvunja muungano kwa sababu ya ulevi wa ubinafsi
MH JUSSA UNASTAHIKI KUWA MWENYEKITI WA CHAMA kwasababu una uwezo mkubwa wa UONGOZI,
Nyerere alimzidi akiri karume
Sio akili
Alimzidi nguvu
Hakuna ulaghai wala nguvu yoyote wote walikuwa na nia ya dhati, isitoshe Karume alikuwa na mamlaka kamili kama Makamo wa Rais akiwa na mamlaka yote ya Rais ikiwemo kusani miswaada. Tatizo tunaloliona sasa ni kwamba kabla ya Muungano kuna vitu/mambo yalikuwa yakiendeshwa kijumuiya ya Afrika Mashariki kama Elimu ya Juu, Fedha nk hafla baada ya Muungano Jumuiya ilikufa hivyo yale mambo yalibebwa kimuungano kwa sababu zinazoelezeka na zinazoeleweka. Kama sasa hatuna nia ile tuuvunjeni.
Mimi naona yeye ndiye alizidiwa akiri. Karume alibaki na katiba ya nchi yake, serikali, baraza la wawakilishi, na nchi ikiwa intact. Nyerere aliitelekeza Tanganyika ambayo sasa hivi hata haijulikani ilipo.
Ipo siku inshallah zanzibar itakuwa huru
Wazanzibari watu wachache wanataka kuwachanganya maana mnahamasishwa kuvunja muungano ikitokea muungano unavunjika wote mnarudi kwenu mtatoshea kwenye nchi yenu
Jamani wakati wanasiasa wanawamezesha chuki kwa manufaa yao muwe pia mnachuja mambo kwa kina
Haya masalia ya warabu laana ya ubagizi inawatesa yani shida yao sio uzanzibar bali wanataka wapewe zanzibar ili wawanyanyase ngozi nyeusi
😂😂😂hawa machotara wanashida sanaaaa
@@awadhally1052zanzibar wana haki ya kujitawala.kuendelea na muungano ambao hautendi haki ni dhuluma na ujinga.
Acha ubaguzi wewe kwa hyo anyamaze tu kama hana ubongo au amekatwa kichwa?
Mbona wewe ni muhindi Africa unafnya nn,,ki asili wewe sio mu Africa unafnya nn Africa,,muuza stationary wewe
Kabila haliwezi kushindana na ukoo na ukoo hauwezi kushindana na utawala ......
WEWE JUSA MBONA WEWE SIO MNZANZIBAR..
SI MWARABU WEWE HAYA ZANZIBAR NA WAARABU VP
Kwani zanzibar sio huru?
Zanzibar uarabu siyo hoja kwa kua kuna wazanzibari warabu kama ilivyo Tanzania, niambie naibu spika wetu ni ......
Kwani waarabu hawana haki ya kuwa raia wa Zanzibar?
Mbona Dewji ni mtanzania bara kwa hyo na yeye arudi india? msiwe wabaguzi kama kuna kero akae tu kimya? Rejea wafalme2 ktk Biblia MUNGU aligawanya taifa la israeli yaani israeli na Yuda sembuse huu muungano wa kiimla?
Zanzibar ni kisiwa?
Sio nchi?
Kw io na japan sio nchi?
Na hiyo uingereza naio sio nchi?!!
Ama kweli,tunesoma sana!!
Jitahidini Jussa na wenzio muungano uvunjike hata mwaka huu ili Tanganyika ipone
Sisi wenyewe WA Tanganyika hatuoni umuhimu wenu 😂 mmejaa tu ilala na magomen
Si wamwambie Samia Mzanzibari mwenzao arekebishe hizo changamoto za muungano?
Ujui kitu wewe nyerere alipendekeza mzee jomo kenyatta ndio awe raisi endapo tungeungana na kenya ujui kitu wewe
Zanzibar kutokakwenyemikonoyatanganyika sirahisi kwasababu wazanzibar niwanafiki wahawanadini
Hawana dini kivipi, wanaonekana ni washika dini
@@MiriamAbdallah washikajini nasiwashikadin kushikadinisichezo alieshikadini yauisilam kwamalekezo kutoka kwa Allah mtuhuyo kila akivutapunzi anasikiaharufuyapepo wazanzibar akivutapunzi wasikaharufuyamavi
Mulipigwa Na Nyerere Vibaya Mno Bila Kujielewa Kana Kwamba Mlirogwa Nyie..... Sasa Ashawatawala Shukuruni Mungu Au Muuvunje Mkataba Kila Mtu Abakie Kwake Hakuna Makubaliano Ya sharuti Hapa Kuwa Nilazima Mubakie Kwenye Muungano Na Atakae Kuuvunja Muungano Awe Ni Adui Hapana Huo Sio Muungano Ila Utakua Ni Uhaini Wa Kifikra Na Maridhiano. #maoniyangutu
SIO watawala wakubali kwa ridhaa yao, bali WALAZIMISHWE KUKUBALI. Kama Wazanzibari hawakubali aina ya Muungano uliopo na Katiba yake, kama ilivyo kwa Watanganyika wasivyo ukubali Muungano na Katiba yake. Ni nani anayeng'ang'ania huu Muungano na Katiba yake?? Kwa manufaa ya NANI??
Baadhi ya watanganyika wanamtuka rais wetu mama samia
Hawa muungano ukifa watakula mavi kumanina😂
Wazanzibar sijui kwa nini mnashida gani ya kujitawala na kuendesha mambo yenu? Mimi ningekuwa mzanzibari ningefanya kujitoa muungo huu ambayo haukushisha watu hata zaidi ya wawili. Kwani Wazanzibar mbafungwa na nini kutangaza mamlaka yeu kamili na mnajiunga kwenye shirikusho la Mashariki. Kama na ndiyo sababu ya huo unafiki wanapoteza Inchi ya Tanganyika. Kweli kabisa msikubali umateka huu. Hata CHADEMA msije mkafanya Zanzibar kama ukoloni. Kama hakuna kwa sababu hii nadhani ni dhahili kuvunja muungano ili tubaki na shirikisho la Mashariki.
Tatizo ni viongozi kutoka Tanzania bara na viongozi wasaliti kutoka Zanzibar ndio wanaong'ang'ania huu muungano usio na usawa wala haki.Ingekuwa mimi ndio Rais ningeuvunjilia mbali.
Hivi Mh. Jusa wewe ni kabila Gani? Hata sisi tumewachoka mnaongea sana! Haya Samia ni mzanzibar na mwinyi ni mzanzibar waambieni wavunje basi msiongee sanaaaaaaaa!
Unajua kila mzanzibari nimtanzaia lakini si kila mtanzania ni mzanzibari na nikwanini?
Huyu mwarabu kala maharage ya wapi?Hajui kuwa Yeye si Mzanzibari? Zanzibar siyo ya waarabu.Zanzibar Ni ya Waafrika weusi.Awulize. Waarabu waenzake wa Oman.Sultan wa Oman alifika eneo Hilo kutafuta watumwa akanogewa na uzuri wa eneo Hilo hasa maji baridi na kina Cha bahari akaamuwa kuweka makazi yake pale
Kaani kwebu.
JUSSA ACHA UWONGO SIRI YA MUUNGANO UTAIJUAJE WAKATI WALIOAMUA KUSAINI HIZO HATI WEWE ULIKUWEPO?? ACHA UZUSHI HATA UFANYE NINI MUUNGANO HAUVUNJIKI
Sasa wewe jussa na sisi huku bara tunaitaka Tanganyika yetu,Tanganyika imepotea ivi Zanzbar imeungana na nchi gani?Si mjitoe tu kwenye muungano na sisi tubaki na Tanganyika yetu jamani mnatunisha misuli tuu ya nini jitoeni tu kwenye muungano huu kelele tumechoka.
Bora ufukie na bahar
Umekusudia nini
MH
Iv chanzo cha huu mfukuto ni nini nani katonesha kidonda ushauri tu Watanzania ni watulivu kwa utawala uliopo madarakani shughulikieni kero na changamoto zinazowachefua na kuwakosesha usingizi watanzania kabla hazijaja siku ngumu
Wa zazbar kuweni free kama mnataka kujitenga semani watu tuwaskiye
TANGANYIKA IBAKI NA ZANZIBA IBAKI BAADAE NDO TUUNGANE
Wewe ni mchochezi tu,unachotaka ni kuifanya Zanzibar kuwa ni nchi ya kiislam basi.
UDINI TU UMEKUJAA TU NA UKIWA MBAGUZI HUWEZI KUFANIKISHA UNACHO WAZA KWANI UNANIA YAKO ILIYOJIFICHA
Haitakuwa mbaya kwani mpaka sasa wengi huko ni waislamu takriban 99%.
Kwani ikiwa ni nchi ya uislam kuna ubaya gani?
Lakini kwa nini wazanzibar wanapouza ardhi ya tz bara lengo lao ni nini
Hata sionagi faida ya huu muungano
Sasa MWINYI na samia wote SI wazanzibar wambieni watangqze kuvunja mungano mbona jambo dogo😂😂😂
😅😅😅😊
Wafanye su!
😂😂😂😂😂😂huyuu kavimbiwa urojooo yaheeeee
Semeni moja kama unataka kujitenga ndomana Africa tunarudi nyuma sikuzote pahali tuungane tuna bomowa haye twende
Jusa hao Waafrika unaowahubiria hapo wazazi wao walikua raia daraja la tatu, hizo habari za Israel walizijulia wapi labda useme waarabu ndio waliandamana
Tanganyika wabaguz kaeni kwenu
JINA LA TANZANIA NI JANGA KUBWA KWA WAZANZIBARI, NDIO MAANA WATANGANYIKA HAWATAKI NCHI YAO TANGANYIKA!
Ni kweli jina lako na maoni yako sawa huna akili na wala hujui historia myumwa wa hedi
@@margarethpolepole7438 KAA KIMYA WE MSUKULE🤣🤣
Km kuna kitu cha kukuombea zaid ya dua bc ningekuombea lkn sina ila nakuombea mungu akupe umri mrefu na afya njema
Amin yaarabbi
@@saeedmassoud256 Amin
TAMAAAA YA MALI NDO INAAUMBUWAA.
Watanganyikaa wakae kwao
Huyu mzee kuna mambo mengi kadanganya sana tena sana
Hebu yaorodheshe na uyafafanue kwa ushahidi hayo aliyodanganya, ili tupate Elimu ya kweli kutoka kwako.
Mzee anaongea ukweli na haki tupu
Sisi tuna amani lakini nyie wanasiasa mnatuharibia sana
Which one ikifika uchaguzi kuja kuuwa watu ndio Amani au
Amani!! Hiyo amani iko wapi
Wanasiasa ndio huweka malengo ya nchi
Zanzibar ilijitawala na serikali iliyochaguliwa na wazanzibari ni kuanzia 10Dec 1963 mpaka 12 Jan 1964.ukaja utawala wa kumwaga damu mpaka 26Apr 1964, baada ya hapo ikarudi kutawaliwa.
Exact Na utashangaa eti kuna wazanzibar wakisikia haya hua wanasapot watanganyika
Kuna Watanganyika hapa kwasasa wanapewa kibali cha hapa na wameshaanza kumiliki ardh ccm oyeee nipo pale nasubiri hatma ya wazanzibar 2030
@@abdull_hafidh Mtanganyika kumiliki ardhi Zanzibar sio kosa akikidhi vigezo ikiwa ni pamoja na kuwa Mkaazi wa Zanzibar kwa kuishi miaka 3. Sote ni Watanzania tofauti ni kwamba Mzanzibar ana HAKI zote Tanganyika siku yoyote akifika huko.
je ni kitu gani ambocho tanganyika inafaidika na hawa wazanzibari kwa nini huu mungano ufiriiye mbali hawa wanzanzibari ni watumwa wa kiarabu
@@abdull_hafidhHataaa tafadhali sio ajabu ya wale waliotaka Sultan awepo madarakani na kukutaa mapinduzi Kwenye nyoyo zao ambazo zimepigwa muhuri wa
mapenzi ya minyororo ya Sultan...
SHUGHULIKENI NA HAO MA CCM
Huyu katumwa na waarabu!
Wewe unayetaka taarifa hizi tujuulishe yafuatayo:-
I) Kabla ya Mapinduzi wewe ulikuwa Upande wa nani? Karume au Hizbu?
ii) Wajuulishe hao unaowaita Vijana kabla ya Mapinduzi, Mwafrika alikuwa Daraja la 3 ndani ya Zanzibar.
III) Wajuulishe hao Vijana Kundi la Waarabu walipata mafunzo Cuba walitaka kuja kumpindua Serikali ya Mapinduzi.Wafahamishe na hilo wajue.
Si uwongo ni kweli kabisa.
Kuna ajenda nyuma ya pazia.Anazunguka tu.Muungano ndiyo uliyompa HADHI Mzanzibari Mwafrika badala ya kuitwa Raia Daraja la 3.Ndiyo chanzo cha Karume kufanya Mapinduzi.
Kumbe wa kulaumu ni Uingereza? Nenda ubalozi wa Uingereza kamwage povu.
😂😂mbona povu
Lengo lako nini
Lengo wazanziba waujue ukweli
Baada ya kuuzwa bandari zote za Tanganyika na mapori yake Sasa Zanzibar wanaweza kujitenga na kujitawala bila bughdi yeyote. 😊😊
Wewe mtumwa wa kiarabu tulia sayyid unalijua kabila lako halisi hawa waasisi wameleta muungano mzuri sanaaaa kama wasingefanya hivyo nyie mbona mmeja bara kisiwa kidogo hicho hao wanataka madaraka usiwe mjinga amuache Hussein Mwinyi aitengeneze Zanzibar huyo Jusa mwenyewe mwarabu msukuma mtumwa tu afunge mdomo wake wa kutaka waarabu warudi wampe cheo pumbavu zake
Hapana kulikuwa hamna referendum(opinion polls) kutoka kwa wananchi yalikuwa ni maamuzi ya kuburuzwa tu kwa hyo demokrasia ya wananchi ilikuwa hijacked nchi ni mali ya wananchi na si viongozi pia hata ukirejea ktk Kitabu cha WAFALME 2 MUNGU aligwanya mataifa mawili ya israeli, yaani taifa la israeli makabila10 upande wa kaskazini na Yuda makabila 2 upande wa kusini sasa sembuse huu muungano?
Hatutaki muungano
Wapinzani hifulana yenu vipi mbona ina kisiwa kimoja tu cha pemba ?
Nani alokwambia znz hawalip umeme mbwaa wee
FISADI TU HUYU MUARABU KOKO , TUNAJUA BABA ZAKE NDIO TULIWAKIMBIZA WAKATI WA KUDAI UHURU NA SASA ANATAKA TENA KUHARIBU NGUVU ZA AFRIKA SASA TUNAFIKIRI KUUNGANA AFRIKA HUYU NAONA NI MUARABU TU ,
Anaekataa kwao mtumwa,mgeni ni wewe mpumbavu,na hao wakuu wa mikoa mmoja atakua mamayako,wa pili baba yako.
Jusa tuambie hao wanajeshi wa Tanganyika walikujaje huko Zanzibar? Kama sio makubaliano? Kumbe cc watanganyika ndio tuliofanya mapinduzi ya Zanzibar na kuwafanya nyie muwe huru.na malipo Kwa Watanganyika ilikuwa nini?
Kwanza tafuta muungano wewe kama muhindi na zanzibar ni nani aliekuunganisha na kwa faida ya nani mpaka leo hii ujadili muungano wa waafrica na wewe ukiwa sio muafrica
Kwa hiyo tufanyeje ili ulidhike na muungano
Hivi ni nani anaye nufaika na Muungano kati ya Zanzibar na Tanganyika? na nani wanapata hasara ? Kuna faida au hasara gani tukivunja Muungano ? Nani ataumia zaidi?
Binafsi mm naona serikali hizi mbili ndo zinazojua haswaaa faida na hasara za huu muungano nasiyo sisi raia wa kawaida tuu. Tusijazane chuki mpk kufikia hatua yakutoelewana, wazanzibar walio wengi wanaona muungano unawabana na hawapati haki zilizo Sawa. Sasa tujiulize sisi watu wa Tanganyika huku nn tunakipata zaidi.....tujiulize hapaa.
@@MackameHassaniUko sahihi sana na wanaohangaika na hoja hizo ni wanasiasa ambao lengo lao kubwa ni kupata madaraka yatakayo wanufaisha wao huku wananchi wa kawaida hawana cha kunufaika nacho. Unawashangaa hawataki muungano uvunjike kabisa ila wanataka serikali tatu na sio mbili. Kwani Kwa Nini usivunjwe kabisa au kwa nini usiwe wa serikali Moja? Kuna unafiki fulani Huwa siupendi kwa wanasiasa wetu. Hawako wazi na ingefaa tu watanzania wapige kura za ;
1. Wale ambao hawataki kabisa Muungano
2. Wanaotaka serikali moja,
3. Wanaotaka serikali mbili
4. Wanaotaka serikali tatu.
Kwa sababu tunajua Zanzibari imekaliwa na watu Toka makabila na nchi mbalimbali na kimsingi Bado sababu xilizo wafanya waje Zanzibar haxijawatoka akilini na hasa waliotoka nchi za mbali na hao ndio tatizo kubwa kwa sababu bado Wana ndugu na jamaa zao ambao wanaikumbuka Zanzibar na bado wanaitaka na sidhani kama wameridhika na jinsi walivyoondolewa huko Zanzibar.