INTERVIEW ya Lissu YATIKISA NCHI, Amwaga SIRI MBAYA, Dunia YASIMAMAAAA!!!

แชร์
ฝัง

ความคิดเห็น • 70

  • @hafidhnzota2142
    @hafidhnzota2142 19 วันที่ผ่านมา +6

    TATIZO Huyu mtangazaji HAJASOMA HAFUATILII MAJIBU ANAFANYA MAKUSUDI KATUMWA NA BWANA WAKE MPUUZI HUYO.

  • @wazomyakinifu2301
    @wazomyakinifu2301 20 วันที่ผ่านมา +5

    Mtangazaji hujitambui kikazi. Hujui kuuliza maswali na pia si msikivu. Upo kiHiyo zaidi hapo

  • @user-le7ek2zs4t
    @user-le7ek2zs4t 23 วันที่ผ่านมา +5

    Safi sana Lisu majibu yako ni kweli na sahihi shida ni katiba mbovu na ujinga wetu kuwa mtaji wa watawala wa ccm

  • @galamwendagalikunga8587
    @galamwendagalikunga8587 15 วันที่ผ่านมา +1

    Huyu mzee hv akili yake inatunza kumbukumbu kiasi gan.....hasahau kitu ...Mungu mjalie maisha marefu

  • @user-pn5gv7ix3g
    @user-pn5gv7ix3g 22 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Mtangazaji mbobevu sana uyu. Nakukubali sana kwa mahojiano mkabala yasiyoacha mwanya katika platform zako zote! Tunahitaji mwandishi mahiri. Itapendeza kupata mahojiano mkabala zaidi na viongozi mbalimbali kataka The Big Agenda

  • @user-yh3dv2bl7u
    @user-yh3dv2bl7u 23 วันที่ผ่านมา +2

    Tunashukur Tundu Lisu kwakutusemea nchi hii imejaa viongoz wetu wezi mno niwezniwez wakutisha

  • @ephraimkabeya9648
    @ephraimkabeya9648 23 วันที่ผ่านมา +4

    Nyanda kaa vizuri kwenye mahojiano. Weka uwanja sawa, toa nafasi upate majibu yaliyokamilika ndipo ulete swali lingine tafadhali

  • @user-le7ek2zs4t
    @user-le7ek2zs4t 23 วันที่ผ่านมา +2

    You are a righteousness man and a hero of Africa may the Lord the God of armies bless you big up Mr Lisu

  • @AlfredAlfred-yd2mg
    @AlfredAlfred-yd2mg 18 วันที่ผ่านมา +2

    Mungu akupe nguvu lisu tumechoka na dhulma

  • @josephsamwel8145
    @josephsamwel8145 20 วันที่ผ่านมา +3

    Mpe mtu nafasi ajibu maswali vizuri

  • @AbdallaMwagora-sm1rj
    @AbdallaMwagora-sm1rj 24 วันที่ผ่านมา +12

    Ningekua mm ninge toka Kwenye hiyo interview.masna huyo mtangazaji ni muoga .nikama anakwepa masaibu ya Lisu.

    • @xaverymakwi
      @xaverymakwi 20 วันที่ผ่านมา

      Rais Mwinyi 1976 alipokuwa Waziri wa Mambo ya Ndani alijiuzulu kwa kile kilichoitwa mauaji ya Shinyanga maarufu kwa weka pilipili changanya na maji. Baada ya hapo aliweza kuwa Rais wa Tanzania. Je angebaki kuwa na kosa lilelile hata baada ya kujiuzulu?

  • @ZephaniaMwailugula
    @ZephaniaMwailugula 23 วันที่ผ่านมา +4

    Tundu upo vizuri kaka

  • @user-yh3dv2bl7u
    @user-yh3dv2bl7u 23 วันที่ผ่านมา +2

    Huyo mwandishi ametumwa mbona unapoongea ukwer hataki kikusikiliza

  • @issaali1321
    @issaali1321 23 วันที่ผ่านมา +2

    Huyu mtangazaji haufai ata kuitaviw mbuzi .

  • @rebekakulwa6159
    @rebekakulwa6159 24 วันที่ผ่านมา +4

    We lifisiyemu achana na lisu akili kubwa

  • @ramadhaniomarishauri9905
    @ramadhaniomarishauri9905 24 วันที่ผ่านมา +10

    Mnamuita Mtu Ku interview halafu Hamtaki Majibu yake...

  • @user-yh3dv2bl7u
    @user-yh3dv2bl7u 23 วันที่ผ่านมา +2

    Mwandishi huyo wahabali ametumwa mbona mbishi sana

  • @samasob8233
    @samasob8233 19 วันที่ผ่านมา +2

    Mwandishi wa habari anauliza maswali halafu anaogopa majibu, katisha katisha majibu kila wakati, interview gani sasa hutoi nafasi ya mgeni wako kujibu maswali ?? Inaonekana kama mwandishi ameruhusiwa na chama chake au watu fulani kupaka watu matope, kakutana na mwamba!

  • @christinenyagiro6662
    @christinenyagiro6662 24 วันที่ผ่านมา +6

    Wote hao ni wanafiki sana. Na Tundu Lissu hana unafiki ndani yake. Na Mungu ambariki sana katika maisha yake kwa sababu yeye hana unafiki hata chembe.
    Yuko katika kusaidia wanainchi na anapigania Inchi yetu Tanganyika.

  • @leahmgunda4154
    @leahmgunda4154 22 วันที่ผ่านมา +3

    Kumhoji huyu mtu unatakiwa unywe uji wa lishe unyooshe miguu ujitie nguvu ndipo ushinde.

    • @onetwo12981
      @onetwo12981 10 วันที่ผ่านมา

      🤣🤣🤣

  • @shizoshop2469
    @shizoshop2469 17 วันที่ผ่านมา

    Eti magufuli alikuwa na kingereza kibovu kibovu sana😂😂😂😂😂😂

  • @WmareteMarete
    @WmareteMarete 13 วันที่ผ่านมา

    Toka hapo we mnafiki! .Mbona huridhiki na majibu? Unamlinda Nani?

  • @PaulKabungo
    @PaulKabungo 24 วันที่ผ่านมา +1

    Kwa haya mambo ukiweka uccm na chadema huwezi Pata point

  • @NardhisMhagama-sy3eq
    @NardhisMhagama-sy3eq 23 วันที่ผ่านมา +1

    Hata mwinyi alitubu akapewa uraisi

  • @IddyMustapha-tj4du
    @IddyMustapha-tj4du 23 วันที่ผ่านมา +1

    Lisu ni jinias wanamuogopa atawaaibisha kinoma nomaaaa

  • @emanuelsinyinza
    @emanuelsinyinza 23 วันที่ผ่านมา +2

    Mtamgazaji usiwe mnafiki.kwanini hutaki kuelewa.

  • @AbdallaMwagora-sm1rj
    @AbdallaMwagora-sm1rj 24 วันที่ผ่านมา +1

    Huyu mtangazaji hana tajriba ya mahojiano ange mpa mtu nafasi ya kumaliza mahojiano.

  • @beinafuu6219
    @beinafuu6219 24 วันที่ผ่านมา +1

    Mnavyoviandika hata havina usiano na kilicho semwa na lisu

  • @experiusmrefu1003
    @experiusmrefu1003 24 วันที่ผ่านมา +2

    Nyanda ni pure CCM😮

    • @nanguniMtaita-hz4zt
      @nanguniMtaita-hz4zt 23 วันที่ผ่านมา

      Hapana; Nyanda aweza asiwe.Chama cha wapuuzi, lakini.ni mwoga. Anawaogopa.akima.Nape na machawa wa chama tawala. Nyanda woga wako kwamini ulimwita Lissu wakati huna.uwezo kumsikiliza? Usije dhania sisi ni Chadema.

  • @joshuaswai8203
    @joshuaswai8203 23 วันที่ผ่านมา +1

    Wanajua wewe ni mwanaume usieshindika hata kwa risasi Akili kubwà ya tz risasi ziligonga mwamba kwako kwa sababu Mungu yuko upande wako

  • @EmanueliThomas
    @EmanueliThomas 24 วันที่ผ่านมา +1

    Jibu sahihi ni kwamba siyo kweli CDM hupokea mtu yoyote kama ana mvuto bia kujali maadili kwa lowasa kosa lake Iko kimfumo ambayo kwa CDM asingeweza kupata

  • @PaulMhufu
    @PaulMhufu 23 วันที่ผ่านมา

    😮 bbh

  • @SaidMrisho-du1fm
    @SaidMrisho-du1fm 23 วันที่ผ่านมา +1

    ✌✌✌

  • @MegaVhp
    @MegaVhp 11 วันที่ผ่านมา

    Huyo ndio mwanaume Antipas Tundu Lissu Laiti Watanzania wangempa nchi japo mara moja pengine wangejilaumu ni kwa nn walichelewa kufanya hivyo

  • @natafutamatatizo4382
    @natafutamatatizo4382 22 วันที่ผ่านมา +1

    MTANGAZAJI KAMA MWANAMKE, HAELEWEKI NA HAJUI ANACHOKIALIZA AKAJIFAHAMU🤣🤣🤣👀 MTANGAZAJI NI BANGI TUPU👁️👁️

  • @emanuelsinyinza
    @emanuelsinyinza 23 วันที่ผ่านมา +3

    Tundu lisu hayupo mwandishi mwenye uwezo kuhoji asijibiwe naweza kusema hayupo mwenye skili ya hali yajuu tanzania yote ukianzia visiwani hadi bara.

    • @emanuelsinyinza
      @emanuelsinyinza 23 วันที่ผ่านมา

      Wandishi wa habari habari zao zinaandaliwa na wizara ya habari hata sisi darasa.la saba hatusomi magazeti yenu watu wanasoma kwa sababu ya michezo.

    • @emanuelsinyinza
      @emanuelsinyinza 23 วันที่ผ่านมา

      Poa

    • @user-qb1jv2dy2d
      @user-qb1jv2dy2d 17 วันที่ผ่านมา

      Yeah kwa Ulimwenguni hayupo mwandishi wa namna hiyo.

  • @elibarikimollel7149
    @elibarikimollel7149 24 วันที่ผ่านมา +1

    Wewe mtangazaji unataka majibu au unatafuta Lissu anashindwaje mbona unachimba ruzuku ya mtego wakati hawategeki?! Ccm watumie mabavu lakini uongo una mwisho

  • @gowekogoweko5803
    @gowekogoweko5803 24 วันที่ผ่านมา +1

    NYANDA MWACHE LISSU AKUELEWESHE ANAYOYAFAHAMU

  • @user-qb1jv2dy2d
    @user-qb1jv2dy2d 17 วันที่ผ่านมา

    Ndugu yangu Nyanda nafahamu uwezo wako wa kiweledi ni mzuri tena usio na mashaka, suala la kushambuliwa kwa Mhe. Tundu Antipas Lissu, lipo wazi kama anavyo elezea yeye mwenyewe wala usipate shida ya kumwelewa.

  • @mbukumagiubukumagu406
    @mbukumagiubukumagu406 23 วันที่ผ่านมา

    Wazungu wamepiga hela kiurahisi

  • @alextarimo4972
    @alextarimo4972 14 วันที่ผ่านมา

    Mwandishi kasome huna iq kabisa

  • @hafidhnzota2142
    @hafidhnzota2142 19 วันที่ผ่านมา

    Wee Msenge mtangazaji UNAPEWA MFANO unakataa kwa Nini?

  • @ramadhaniomarishauri9905
    @ramadhaniomarishauri9905 17 วันที่ผ่านมา

    Nchi Imrkuws Ya Kikuma Sana, Sasa wewe mtangazaji unamaswali ya kutumwa..acheni ujinga Star Tv

  • @MichaelJoashi
    @MichaelJoashi 23 วันที่ผ่านมา

    Hiki kichwa ukikaa nae kwenye mjadala ujipange

  • @hafidhnzota2142
    @hafidhnzota2142 19 วันที่ผ่านมา

    HUYU anauliza Swali la kupigwa risasi, Huyu Msenge KWELI yeye HAJUI mfumo Huyu

  • @BonaBonala-bp5qm
    @BonaBonala-bp5qm 18 วันที่ผ่านมา +1

    Kwaujuwaji wako na ungwana wako awakuwezi kwa point zako na pia wewe sio mwizi kama ma ccm wakoloni Weusi kwa sasa wauza bandari za tanganyika

  • @petsmore9955
    @petsmore9955 16 วันที่ผ่านมา

    Huyu mtangazaji ni feki tena lichawa likubwa. Sijui amesoma wapi hiyo taaluma yake. Anauliza swali halafu badala ya kutoa nafasi ya majibu sahihi yatolewe kwa kina anavuga tena hayo majibu. Ni akili kweli au tope?

  • @George-jz3jg
    @George-jz3jg 24 วันที่ผ่านมา

    Hapo kwenye kufanya utafiti ndo chenga inapoanziaga hapo uhuni wa chadema na uchafu wa chadema ndo ulipoanzia hapo. Issue ya lowasa kugombea urais kupitia chadema huo ulikuwa uhuni tu na utapeli tu tunachokijua hapo nyie mlikikodisha chama kwa lowasa na mlimpa lowasa chama kwa pesa ndefu sana. Na hamjawahi wataja waliohojiwa na hiyo timu ya watafti

  • @yohanakadiva839
    @yohanakadiva839 14 วันที่ผ่านมา

    Ukimuinterview Lissu hutakiwi kuogopa, utaharibu interview au personality yako. Wewe mwandishi ungetulia upewe majibu yako uliyouliza.

  • @rasnchimbi
    @rasnchimbi 19 วันที่ผ่านมา

    👇🏿
    #katibampyanisasa #TUSIKUBALIKUSHIRIKICHAGUZIBILAKATIBAMPYA !Hiyo ni kushiriki Dhambi(kujikabidhi kwa shetani) !✍🏿

  • @eliasmedutieki7578
    @eliasmedutieki7578 18 วันที่ผ่านมา

    Hongera Nyanda

  • @MoinaminaAmina-qh1jb
    @MoinaminaAmina-qh1jb 23 วันที่ผ่านมา

    acha ubaa wako makonda anafanya kazi nzuri Arusha kama alivio fanya dar es Salaam wana nchi wanafurahi sana jinsi anavowahudumia kama mh Ali hapi alivo wahudumia wana nchi wa iringa

  • @MoinaminaAmina-qh1jb
    @MoinaminaAmina-qh1jb 23 วันที่ผ่านมา

    Kama wewe unavotaka kuharibu taifa

  • @yokoi3970
    @yokoi3970 19 วันที่ผ่านมา

    Msenge tena shoga ana cheka kma fala. Mshamba sana

    • @allonjoseph5467
      @allonjoseph5467 17 วันที่ผ่านมา

      hakuna msenge kama ww unae tukana shoga ni ww

    • @yokoi3970
      @yokoi3970 17 วันที่ผ่านมา

      @@allonjoseph5467 imekutouch eeeeh ndio tabia zenu kuwaswa waswa.

  • @user-yh3dv2bl7u
    @user-yh3dv2bl7u 23 วันที่ผ่านมา +1

    Kiukwer mahakama zetu zinapewa maelekezo nawatu sio kufata Sheria nishida sana

  • @MoinaminaAmina-qh1jb
    @MoinaminaAmina-qh1jb 23 วันที่ผ่านมา

    Tundu lissu ??? leta Kabila Yako tuijue ya Halima mdee inajulijana kwanzia walio zaa mababu yake lakini Yako haijulikani Tanzania kuna Kabila 124 Yako niipi ??Kati yahizo Kabila Mia na ishirini nane ???

    • @godamc
      @godamc 14 วันที่ผ่านมา

      Lissu mnyaturu

  • @George-jz3jg
    @George-jz3jg 24 วันที่ผ่านมา +1

    Mwandishi ningepata namba za tundu lissu nimwambie ukweli namna anavyojichafua na na hiyo habari ya lowasa kugombea urais kupitia chadema

    • @elibarikimollel7149
      @elibarikimollel7149 24 วันที่ผ่านมา

      Wewe George unatokea wapi? Tundu lissu anajichafuaje wakati kuna kana miaka 7 mbele tangu Lowassa ajiuzulu na chama kilimpitisha mapapa wakagoma ndipo Slaa akampokea?!

  • @joshuaswai8203
    @joshuaswai8203 23 วันที่ผ่านมา +1

    Wanajua wewe ni mwanaume usieshindika hata kwa risasi Akili kubwà ya tz risasi ziligonga mwamba kwako kwa sababu Mungu yuko upande wako