INTERVIEW ya Lissu YATIKISA NCHI, Amwaga SIRI MBAYA, Dunia YASIMAMAAAA!!!

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 26 ก.ย. 2024

ความคิดเห็น • 71

  • @hafidhnzota2142
    @hafidhnzota2142 4 หลายเดือนก่อน +7

    TATIZO Huyu mtangazaji HAJASOMA HAFUATILII MAJIBU ANAFANYA MAKUSUDI KATUMWA NA BWANA WAKE MPUUZI HUYO.

  • @wazomyakinifu2301
    @wazomyakinifu2301 4 หลายเดือนก่อน +5

    Mtangazaji hujitambui kikazi. Hujui kuuliza maswali na pia si msikivu. Upo kiHiyo zaidi hapo

  • @MasungaNekwa
    @MasungaNekwa 4 หลายเดือนก่อน +5

    Safi sana Lisu majibu yako ni kweli na sahihi shida ni katiba mbovu na ujinga wetu kuwa mtaji wa watawala wa ccm

  • @galamwendagalikunga8587
    @galamwendagalikunga8587 3 หลายเดือนก่อน +2

    Huyu mzee hv akili yake inatunza kumbukumbu kiasi gan.....hasahau kitu ...Mungu mjalie maisha marefu

  • @ephraimkabeya9648
    @ephraimkabeya9648 4 หลายเดือนก่อน +4

    Nyanda kaa vizuri kwenye mahojiano. Weka uwanja sawa, toa nafasi upate majibu yaliyokamilika ndipo ulete swali lingine tafadhali

  • @MasungaNekwa
    @MasungaNekwa 4 หลายเดือนก่อน +2

    You are a righteousness man and a hero of Africa may the Lord the God of armies bless you big up Mr Lisu

  • @AlfredAlfred-yd2mg
    @AlfredAlfred-yd2mg 4 หลายเดือนก่อน +2

    Mungu akupe nguvu lisu tumechoka na dhulma

  • @josephsamwel8145
    @josephsamwel8145 4 หลายเดือนก่อน +3

    Mpe mtu nafasi ajibu maswali vizuri

  • @samasob8233
    @samasob8233 4 หลายเดือนก่อน +2

    Mwandishi wa habari anauliza maswali halafu anaogopa majibu, katisha katisha majibu kila wakati, interview gani sasa hutoi nafasi ya mgeni wako kujibu maswali ?? Inaonekana kama mwandishi ameruhusiwa na chama chake au watu fulani kupaka watu matope, kakutana na mwamba!

  • @Gilbert-w9e
    @Gilbert-w9e 3 หลายเดือนก่อน

    Mtangazaji mbobevu sana uyu. Nakukubali sana kwa mahojiano mkabala yasiyoacha mwanya katika platform zako zote! Tunahitaji mwandishi mahiri. Itapendeza kupata mahojiano mkabala zaidi na viongozi mbalimbali kataka The Big Agenda

  • @AbdallaMwagora-sm1rj
    @AbdallaMwagora-sm1rj 4 หลายเดือนก่อน +12

    Ningekua mm ninge toka Kwenye hiyo interview.masna huyo mtangazaji ni muoga .nikama anakwepa masaibu ya Lisu.

    • @xaverymakwi
      @xaverymakwi 4 หลายเดือนก่อน

      Rais Mwinyi 1976 alipokuwa Waziri wa Mambo ya Ndani alijiuzulu kwa kile kilichoitwa mauaji ya Shinyanga maarufu kwa weka pilipili changanya na maji. Baada ya hapo aliweza kuwa Rais wa Tanzania. Je angebaki kuwa na kosa lilelile hata baada ya kujiuzulu?

  • @leahmgunda4154
    @leahmgunda4154 4 หลายเดือนก่อน +3

    Kumhoji huyu mtu unatakiwa unywe uji wa lishe unyooshe miguu ujitie nguvu ndipo ushinde.

    • @onetwo12981
      @onetwo12981 3 หลายเดือนก่อน

      🤣🤣🤣

  • @ZephaniaMwailugula
    @ZephaniaMwailugula 4 หลายเดือนก่อน +4

    Tundu upo vizuri kaka

  • @emanuelsinyinza
    @emanuelsinyinza 4 หลายเดือนก่อน +3

    Tundu lisu hayupo mwandishi mwenye uwezo kuhoji asijibiwe naweza kusema hayupo mwenye skili ya hali yajuu tanzania yote ukianzia visiwani hadi bara.

    • @emanuelsinyinza
      @emanuelsinyinza 4 หลายเดือนก่อน

      Wandishi wa habari habari zao zinaandaliwa na wizara ya habari hata sisi darasa.la saba hatusomi magazeti yenu watu wanasoma kwa sababu ya michezo.

    • @emanuelsinyinza
      @emanuelsinyinza 4 หลายเดือนก่อน

      Poa

    • @GodwinIssack
      @GodwinIssack 4 หลายเดือนก่อน

      Yeah kwa Ulimwenguni hayupo mwandishi wa namna hiyo.

  • @christinenyagiro6662
    @christinenyagiro6662 4 หลายเดือนก่อน +6

    Wote hao ni wanafiki sana. Na Tundu Lissu hana unafiki ndani yake. Na Mungu ambariki sana katika maisha yake kwa sababu yeye hana unafiki hata chembe.
    Yuko katika kusaidia wanainchi na anapigania Inchi yetu Tanganyika.

  • @TomasiklistophaMwinuka
    @TomasiklistophaMwinuka 4 หลายเดือนก่อน +2

    Mwandishi huyo wahabali ametumwa mbona mbishi sana

  • @MegaVhp
    @MegaVhp 3 หลายเดือนก่อน

    Huyo ndio mwanaume Antipas Tundu Lissu Laiti Watanzania wangempa nchi japo mara moja pengine wangejilaumu ni kwa nn walichelewa kufanya hivyo

  • @TomasiklistophaMwinuka
    @TomasiklistophaMwinuka 4 หลายเดือนก่อน +2

    Huyo mwandishi ametumwa mbona unapoongea ukwer hataki kikusikiliza

  • @issaali1321
    @issaali1321 4 หลายเดือนก่อน +2

    Huyu mtangazaji haufai ata kuitaviw mbuzi .

  • @GodwinIssack
    @GodwinIssack 4 หลายเดือนก่อน

    Ndugu yangu Nyanda nafahamu uwezo wako wa kiweledi ni mzuri tena usio na mashaka, suala la kushambuliwa kwa Mhe. Tundu Antipas Lissu, lipo wazi kama anavyo elezea yeye mwenyewe wala usipate shida ya kumwelewa.

  • @ramadhaniomarishauri9905
    @ramadhaniomarishauri9905 4 หลายเดือนก่อน +10

    Mnamuita Mtu Ku interview halafu Hamtaki Majibu yake...

  • @rebekakulwa6159
    @rebekakulwa6159 4 หลายเดือนก่อน +4

    We lifisiyemu achana na lisu akili kubwa

  • @BonaBonala-bp5qm
    @BonaBonala-bp5qm 4 หลายเดือนก่อน +1

    Kwaujuwaji wako na ungwana wako awakuwezi kwa point zako na pia wewe sio mwizi kama ma ccm wakoloni Weusi kwa sasa wauza bandari za tanganyika

  • @IddyMustapha-tj4du
    @IddyMustapha-tj4du 4 หลายเดือนก่อน +1

    Lisu ni jinias wanamuogopa atawaaibisha kinoma nomaaaa

  • @PaulKabungo
    @PaulKabungo 4 หลายเดือนก่อน +1

    Kwa haya mambo ukiweka uccm na chadema huwezi Pata point

  • @joshuaswai8203
    @joshuaswai8203 4 หลายเดือนก่อน +1

    Wanajua wewe ni mwanaume usieshindika hata kwa risasi Akili kubwà ya tz risasi ziligonga mwamba kwako kwa sababu Mungu yuko upande wako

  • @petsmore9955
    @petsmore9955 3 หลายเดือนก่อน

    Huyu mtangazaji ni feki tena lichawa likubwa. Sijui amesoma wapi hiyo taaluma yake. Anauliza swali halafu badala ya kutoa nafasi ya majibu sahihi yatolewe kwa kina anavuga tena hayo majibu. Ni akili kweli au tope?

  • @ramadhaniomarishauri9905
    @ramadhaniomarishauri9905 4 หลายเดือนก่อน

    Nchi Imrkuws Ya Kikuma Sana, Sasa wewe mtangazaji unamaswali ya kutumwa..acheni ujinga Star Tv

  • @emanuelsinyinza
    @emanuelsinyinza 4 หลายเดือนก่อน +2

    Mtamgazaji usiwe mnafiki.kwanini hutaki kuelewa.

  • @WmareteMarete
    @WmareteMarete 3 หลายเดือนก่อน

    Toka hapo we mnafiki! .Mbona huridhiki na majibu? Unamlinda Nani?

  • @natafutamatatizo4382
    @natafutamatatizo4382 4 หลายเดือนก่อน +1

    MTANGAZAJI KAMA MWANAMKE, HAELEWEKI NA HAJUI ANACHOKIALIZA AKAJIFAHAMU🤣🤣🤣👀 MTANGAZAJI NI BANGI TUPU👁️👁️

  • @EmanueliThomas
    @EmanueliThomas 4 หลายเดือนก่อน +1

    Jibu sahihi ni kwamba siyo kweli CDM hupokea mtu yoyote kama ana mvuto bia kujali maadili kwa lowasa kosa lake Iko kimfumo ambayo kwa CDM asingeweza kupata

  • @AbdallaMwagora-sm1rj
    @AbdallaMwagora-sm1rj 4 หลายเดือนก่อน +1

    Huyu mtangazaji hana tajriba ya mahojiano ange mpa mtu nafasi ya kumaliza mahojiano.

  • @yohanakadiva839
    @yohanakadiva839 3 หลายเดือนก่อน

    Ukimuinterview Lissu hutakiwi kuogopa, utaharibu interview au personality yako. Wewe mwandishi ungetulia upewe majibu yako uliyouliza.

  • @NardhisMhagama-sy3eq
    @NardhisMhagama-sy3eq 4 หลายเดือนก่อน +1

    Hata mwinyi alitubu akapewa uraisi

  • @TomasiklistophaMwinuka
    @TomasiklistophaMwinuka 4 หลายเดือนก่อน +2

    Tunashukur Tundu Lisu kwakutusemea nchi hii imejaa viongoz wetu wezi mno niwezniwez wakutisha

  • @beinafuu6219
    @beinafuu6219 4 หลายเดือนก่อน +1

    Mnavyoviandika hata havina usiano na kilicho semwa na lisu

  • @experiusmrefu1003
    @experiusmrefu1003 4 หลายเดือนก่อน +2

    Nyanda ni pure CCM😮

    • @nanguniMtaita-hz4zt
      @nanguniMtaita-hz4zt 4 หลายเดือนก่อน

      Hapana; Nyanda aweza asiwe.Chama cha wapuuzi, lakini.ni mwoga. Anawaogopa.akima.Nape na machawa wa chama tawala. Nyanda woga wako kwamini ulimwita Lissu wakati huna.uwezo kumsikiliza? Usije dhania sisi ni Chadema.

  • @elibarikimollel7149
    @elibarikimollel7149 4 หลายเดือนก่อน +1

    Wewe mtangazaji unataka majibu au unatafuta Lissu anashindwaje mbona unachimba ruzuku ya mtego wakati hawategeki?! Ccm watumie mabavu lakini uongo una mwisho

  • @SaidMrisho-du1fm
    @SaidMrisho-du1fm 4 หลายเดือนก่อน +1

    ✌✌✌

  • @shizoshop2469
    @shizoshop2469 4 หลายเดือนก่อน

    Eti magufuli alikuwa na kingereza kibovu kibovu sana😂😂😂😂😂😂

  • @PaulMhufu
    @PaulMhufu 4 หลายเดือนก่อน

    😮 bbh

  • @gowekogoweko5803
    @gowekogoweko5803 4 หลายเดือนก่อน +1

    NYANDA MWACHE LISSU AKUELEWESHE ANAYOYAFAHAMU

  • @FortyMwamba-kq5js
    @FortyMwamba-kq5js 3 หลายเดือนก่อน

    Kenge umetumia picha ya kikeke wakati sio yeye,,fala wewe

  • @rasnchimbi
    @rasnchimbi 4 หลายเดือนก่อน

    👇🏿
    #katibampyanisasa #TUSIKUBALIKUSHIRIKICHAGUZIBILAKATIBAMPYA !Hiyo ni kushiriki Dhambi(kujikabidhi kwa shetani) !✍🏿

  • @alextarimo4972
    @alextarimo4972 3 หลายเดือนก่อน

    Mwandishi kasome huna iq kabisa

  • @mbukumagiubukumagu406
    @mbukumagiubukumagu406 4 หลายเดือนก่อน

    Wazungu wamepiga hela kiurahisi

  • @hafidhnzota2142
    @hafidhnzota2142 4 หลายเดือนก่อน

    Wee Msenge mtangazaji UNAPEWA MFANO unakataa kwa Nini?

  • @George-jz3jg
    @George-jz3jg 4 หลายเดือนก่อน

    Hapo kwenye kufanya utafiti ndo chenga inapoanziaga hapo uhuni wa chadema na uchafu wa chadema ndo ulipoanzia hapo. Issue ya lowasa kugombea urais kupitia chadema huo ulikuwa uhuni tu na utapeli tu tunachokijua hapo nyie mlikikodisha chama kwa lowasa na mlimpa lowasa chama kwa pesa ndefu sana. Na hamjawahi wataja waliohojiwa na hiyo timu ya watafti

  • @yokoi3970
    @yokoi3970 4 หลายเดือนก่อน

    Msenge tena shoga ana cheka kma fala. Mshamba sana

    • @allonjoseph5467
      @allonjoseph5467 4 หลายเดือนก่อน

      hakuna msenge kama ww unae tukana shoga ni ww

    • @yokoi3970
      @yokoi3970 4 หลายเดือนก่อน

      @@allonjoseph5467 imekutouch eeeeh ndio tabia zenu kuwaswa waswa.

  • @TomasiklistophaMwinuka
    @TomasiklistophaMwinuka 4 หลายเดือนก่อน +1

    Kiukwer mahakama zetu zinapewa maelekezo nawatu sio kufata Sheria nishida sana

  • @eliasmedutieki7578
    @eliasmedutieki7578 4 หลายเดือนก่อน

    Hongera Nyanda

  • @MichaelJoashi
    @MichaelJoashi 4 หลายเดือนก่อน

    Hiki kichwa ukikaa nae kwenye mjadala ujipange

  • @MoinaminaAmina-qh1jb
    @MoinaminaAmina-qh1jb 4 หลายเดือนก่อน

    acha ubaa wako makonda anafanya kazi nzuri Arusha kama alivio fanya dar es Salaam wana nchi wanafurahi sana jinsi anavowahudumia kama mh Ali hapi alivo wahudumia wana nchi wa iringa

  • @MoinaminaAmina-qh1jb
    @MoinaminaAmina-qh1jb 4 หลายเดือนก่อน

    Tundu lissu ??? leta Kabila Yako tuijue ya Halima mdee inajulijana kwanzia walio zaa mababu yake lakini Yako haijulikani Tanzania kuna Kabila 124 Yako niipi ??Kati yahizo Kabila Mia na ishirini nane ???

    • @godamc
      @godamc 3 หลายเดือนก่อน

      Lissu mnyaturu

  • @MoinaminaAmina-qh1jb
    @MoinaminaAmina-qh1jb 4 หลายเดือนก่อน

    Kama wewe unavotaka kuharibu taifa

  • @George-jz3jg
    @George-jz3jg 4 หลายเดือนก่อน +1

    Mwandishi ningepata namba za tundu lissu nimwambie ukweli namna anavyojichafua na na hiyo habari ya lowasa kugombea urais kupitia chadema

    • @elibarikimollel7149
      @elibarikimollel7149 4 หลายเดือนก่อน

      Wewe George unatokea wapi? Tundu lissu anajichafuaje wakati kuna kana miaka 7 mbele tangu Lowassa ajiuzulu na chama kilimpitisha mapapa wakagoma ndipo Slaa akampokea?!

  • @joshuaswai8203
    @joshuaswai8203 4 หลายเดือนก่อน +1

    Wanajua wewe ni mwanaume usieshindika hata kwa risasi Akili kubwà ya tz risasi ziligonga mwamba kwako kwa sababu Mungu yuko upande wako

  • @hafidhnzota2142
    @hafidhnzota2142 4 หลายเดือนก่อน

    HUYU anauliza Swali la kupigwa risasi, Huyu Msenge KWELI yeye HAJUI mfumo Huyu