Makutano Show: Muungano UmeKufa - Tundu Lissu

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 11 ต.ค. 2024
  • Mbunge wa Singida Mashariki akiongea kwa nini anaamini Muungano wa Tanzania umekufa alipokuwa katika kipindi cha Makutano Magic FM kinachoendeshwa na Fina Mango.

ความคิดเห็น • 25

  • @utaani1
    @utaani1 10 ปีที่แล้ว +8

    Wazanzibar hatutaki muungano na tanganyika

  • @alihijiiddi8977
    @alihijiiddi8977 3 ปีที่แล้ว +2

    SAWA SAWA RAISI HERO TUNDULISU UPUMBAVU WA CCM AU MCC HAWAJUWI WAKIFANYACHO WIZI TUVWA PESA ZA ZNZ NA KUTUUWA KWA KULERA WABURUNDO WATUUWE 🇹🇿🇮🇱😇🌎👹🇹🇿🇮🇱🌎😇👹🇹🇿🇮🇱🌎😇👹🇹🇿👿🌎😇👹

  • @williamkirway5074
    @williamkirway5074 3 ปีที่แล้ว +2

    Hisia za LISSU,tutafakari.5-12-2020

  • @hundamaniamania872
    @hundamaniamania872 5 ปีที่แล้ว +2

    Kweli huyu amesima dah😑🤙🤙Jah bless

  • @YohanaNkhambi
    @YohanaNkhambi 4 หลายเดือนก่อน

    Factly memorial

  • @kamesk73
    @kamesk73 11 ปีที่แล้ว +6

    jamaa anaongea points sio hao wazembe wengine.

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything 8 หลายเดือนก่อน

    👍✌️👊.

  • @petersilas4234
    @petersilas4234 4 ปีที่แล้ว

    Jaribu kufikiri zaidi kidogo, muungano haulazimishwi, ila kutokuwa na muungano ndio unalazimishwa. Population ni factor kubwa sana ambayo watu wa mawazo mafupi hawayaoni. Watu wenye mawazo mapana wasiofungwa na madhaifu ya kibinadamu hupenda umoja.

  • @andrewsadiki9914
    @andrewsadiki9914 11 ปีที่แล้ว +3

    Baraka hujui kitu ndiyo maana unaongea tu kama mtoto.katiba ya zenji wenye mamlaka ya nchi ni raia wa zenji sio ccm au watanganyika na hatushangai ndio maana mnajazana mji mmoja dar cos huko kwengine balaa tupu.kita eleweka tu kama maneno baba yenu nyerere laana ya mungu iwe juu yake kaongea sana lakini yeye kaondoka na zenji iko pale pale na hao wengine wasiotaka mabadiliko wakati utawabadilisha.

  • @anwaritesal4695
    @anwaritesal4695 4 ปีที่แล้ว +4

    Tuvuruge kisha urudi kwako ubeligiji na unatuvuruga kweri wewe.

    • @lindambilinyi6253
      @lindambilinyi6253 4 ปีที่แล้ว +1

      Atakuvuluga baba ako na mama ako

    • @kassim1262
      @kassim1262 5 หลายเดือนก่อน

      Utavurugwa tu manaake hujatumwa ue mjinga 😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @rukiamuwango5409
    @rukiamuwango5409 10 ปีที่แล้ว +2

    Mhhhi mombasa sio kisiwa. Nenda kwenye ramani sio kila kitu ni politic tu.

    • @oopsm3574
      @oopsm3574 4 ปีที่แล้ว

      NI asili yake ni kisiwa

  • @othumanbakari1404
    @othumanbakari1404 11 ปีที่แล้ว +2

    Tunasema kwamba hivi muungano niwanchi mbili kwanini inufaike moja moja iwe inabanwa hivi tuangalie z.bar haiwezi kutoa akawa wa muungano wapi na lini rais ametoka z,bar twataka nchiyetu z,bar kwanza

  • @harithmohd6318
    @harithmohd6318 5 หลายเดือนก่อน

    Mjmb uko sahihi serekali tatu ndio muhimu au kila mtu kwako watanganyika mubaki kweli na sisi wanzanzibar tubaki kweli hatuon samah ya muungano nauchukia huu munganooo wa kiharamu Inshaallah ipo siku zanzibar yetu itakuwa huru

  • @ClemoohPeter
    @ClemoohPeter 4 หลายเดือนก่อน

    Sisi watanganyika hatutaki muungano tumechoka kero za wazanzibari hatutaki

  • @mgallason...5686
    @mgallason...5686 4 ปีที่แล้ว

    Hakika we ni kipele kabisa