PART 1: LOKOLE ATIA NENO-" DR. MWAKA KUKATAA KUVUNJWA NDOA-"KUNA KITU QUEEN TALAKA MAPEMA".

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 3 ต.ค. 2024
  • WATCH WASAFI TV📺
    AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
    LISTEN WASAFI FM 📻
    88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
    Follow Us On:
    INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
    TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
    FACEBOOK: / wasafitv
    𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #wasafitv #wasafifm

ความคิดเห็น • 125

  • @zainabtumba1186
    @zainabtumba1186 ปีที่แล้ว +5

    🇹🇿🇺🇲👏👏Yaaaniii Nimechekaaa mpaka mbavuna kutoa LIkE Yaani Kitaa Na dida wanavyonukuu techniques za Mwaka akitibuuuu dahh 🤣🤣🤣💥💥💥Hatariii kumbwaaaa

  • @ladyr.hamsini2311
    @ladyr.hamsini2311 ปีที่แล้ว +2

    Daa dida na kaka idrisa mumenichekesha kuhusu hizo comedy ya dr.mwaka😂😂😂😂

  • @carolinemariki4029
    @carolinemariki4029 ปีที่แล้ว +3

    Talaka ni neno tuu... Wewe Queen kama una mtu wako endelea na maisha yako. atoe talaka.. asitoe atajijua mwenyewe

    • @sarahgaula2220
      @sarahgaula2220 ปีที่แล้ว

      Sasa neno mwaka hajasema . Queen ndio anadai

    • @mamuumuu4999
      @mamuumuu4999 ปีที่แล้ว

      @@sarahgaula2220 lkn bado anahaki yakutoa talaka huwez force mtu akupende

  • @florachogo243
    @florachogo243 ปีที่แล้ว

    Mjukuu wangu Dida umetishaaaa

  • @zubedamagambo8139
    @zubedamagambo8139 ปีที่แล้ว +13

    Kama mwanamke hakutaki tena toa tu talaka, hata ukimlazimisha, hawezi kurudi, na akirudi kwa kulazimishwa mume unajiweka hatarini kuishi na mtu asiekuhitaji Tena. Mwanamke akishakuchukia ndo amekuchukia harudi nyuma. Bora muachane tu .

    • @oyay2821
      @oyay2821 ปีที่แล้ว +1

      Hata yeye Dkt Mwaka hamtaki huyo mke. Yeye ana linda mali yake isi chukuliwe na mtalaka. Alafu Sheikh wa mkoa amejiingiza mtegoni bila ya shuruti. Shida ya mwaka ataka mke asipewe mali yoyote

    • @mariakibwana3700
      @mariakibwana3700 ปีที่แล้ว

      Zubeda uko sahihi

    • @ashuuuaisha9122
      @ashuuuaisha9122 ปีที่แล้ว

      @@oyay2821 mali gani zaidi ya nyumba. Yule ana watoto hawezi akamwambia ampe nusu ya mali zaidi ya kuhitaji malezi ya watoto na makazi basi

    • @azizaaziza7996
      @azizaaziza7996 ปีที่แล้ว

      @@oyay2821 nikweli kabisa

    • @mugishalaurian3311
      @mugishalaurian3311 ปีที่แล้ว

      @@ashuuuaisha9122 makaz ya Nini Tena,asepee

  • @hassanmitayo1875
    @hassanmitayo1875 ปีที่แล้ว +2

    Kuna watu wanajificha kwenye dini kubana haki za wenzao, ndoa hiyo kuvunjwa ni halali

  • @jumaamartin7929
    @jumaamartin7929 ปีที่แล้ว

    innalilah wa inna lilah rajuu-uun.kama msemavyo ni kweli kua dr mwaka alimnyang'anya meenzie mke huu ni mtihani .mana kamma atadinu tudanu.ukimtendea mwenzio nawe utatendewa.ukiuwa kwa upa nga nawe utauwawa kwa upanga.

  • @edwardmkwelele
    @edwardmkwelele ปีที่แล้ว +4

    Alinyang'anya mke mtu acha na yeye anyang'anywe. "What goes around comes around" that is karma

  • @bakariomari8758
    @bakariomari8758 ปีที่แล้ว +6

    Ndoa, sio kifungo sheria yadini kule tu mke kumchukia mume akitaka talaka nihaki apewe.ililetwa public sababu mwanamke alileta habari public

  • @rozinaswenya43
    @rozinaswenya43 ปีที่แล้ว +1

    Nyie wambea mmenichekesha mieee😂😂😂😂❤

  • @yomenikabombwe4939
    @yomenikabombwe4939 ปีที่แล้ว

    Iyi wasafi media.siyo ya waisilamu bali ni waswahili mtupu mukiatcha cheria nakuambatana na usutwa uchangingi mukizarau utamaduni .atoke na kuatcha kilakitu niisha. RAISI amusaidiye nini alipenda na kuatcha mwenyewe tamaa anajuta...bayibye

  • @gracehm7274
    @gracehm7274 ปีที่แล้ว +1

    Yaani hawa watu😄😄😄🙌🏽

  • @hasaniabdalah6148
    @hasaniabdalah6148 ปีที่แล้ว +1

    🤣🤣🤣 da!! Ila nyinyi watu wa dar😅😅😅 mna maneno nmecheka 😂😂 kweli mh

  • @johnsosy3128
    @johnsosy3128 ปีที่แล้ว +1

    Ilakamavile mmepiga pesa za Dr.

  • @kamikazisalma5209
    @kamikazisalma5209 ปีที่แล้ว +2

    Mbavuzangu miye 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @ramsaymtando1742
    @ramsaymtando1742 ปีที่แล้ว +1

    Sikulizeni kisheria ya ndoa hiyo bado ni ndowa kisheria sheria ya ndoa ya mwaka 1971 inasema kwamba ili mwana ndoa kutambuliki kuwa ameachika au ndowa imekwisha ni hadi talaka itolewe mahakamani. yani namanisha kwamba Hilo swala la doctor mwaka na mkewe kama kweli walifunga ndowa ya kidini ya kislam na wana cheti cha ndoa basi hiyo ndoa niyalali kisheria bado nimke halali.sheria ya ndoa ya mwaka 1971 inasema kwamba kukiwa na malalamiko kati ya ndoa au kama kati ya mmoja wao anataka talaka hata kama kislam heti kusema nakupa talaka moja au Tatu hiyo aitambuliki kisheria kama ndoa hiyo himevujwa.bali itaonekana kama wanandoa Hao wanania yakuomba talaka.kwaiyo namanisha kwamba .ndoa yoyote iliyo fungwa kidini maana ya .kikisto na kislam.wote wanaweza kuomba talaka.lakini kwakufata utaratibu kisheria.bali mtu aliye funga ndoa kikistu Kabla ajafunguwa shauri ya madai ya talaka mahakamani au maombi ya mahakama kumpa talaka kwanza nilazima wapitiye kwenye baraza la usuluwishi wakishindana kukosa kuwelewana basi baraza litatakiwa au litampa mlalamikaji Hati ya kwenda mahakamani. Kwaiyo .kisheria na kama ndao yaho ilifanwa kisheria.mke wa doctor mwaka bado ni mke alali.kisheria hata kama baraza za bakwata lingetowa vuja ndoa hiyo.bado isingejulikana kama ndoa hiyo imefunjika kisheria.chombo pekee chaku vunja ndoa na kutowa talaka ni mahakama tu.kwaiyo kazi ya baraza ya bakwata nikujaribu kusaidiya ndoa hiyo isivunjike.tu endapo hiki shindwa hinatakiwa kuwapa Hati yaku funguwa shauri mahakama tu.pia mtu yeyote ni mweslamu aliye hoa wanawake wa nne 4.arusiwi kuongeza mke wa tano. Kwaiyo hata kama ndoa ya manara Kawa ajafata utaratibu na walifunga ndoa kialali na wana cheti.hata kama atampa talaka ya maneno au ya maandishi.hiyo talaka aitabuliki kisheria bado nimke na mme.mpaka wafate utaratubi Ana mpaka takala yakuvuja ndoa itolewe mahakama.tu.asante ndo kisheria ninavyo tambulika.

  • @hadijamsati8813
    @hadijamsati8813 ปีที่แล้ว +3

    Kwani alhaji alimwita qeen bakwata au alimtuma huyo mwaka asihudumie familia yakeee??? Achen uchawaaa

  • @leymanleyman7426
    @leymanleyman7426 ปีที่แล้ว +1

    Nyie wagonjwa sana yani mnaleta mzaha msibani 😂😂😂😂😂😂😂

  • @khalidbakari8505
    @khalidbakari8505 ปีที่แล้ว +1

    Wote mmenunuliwa manyang'au nyie huyo dida mnayemuuliza kuhusu ndoa yakwake imedumu miez mingap Hana chochote anachokielewa kuhusu maisha ya ndoa yeye anajua kuolewa asubuh na kuachika jioni

  • @ahmedrashid7638
    @ahmedrashid7638 ปีที่แล้ว

    Jamani vizuri mukae mutafute njia hii ndowa isivunjike, na mngu atafurahi

  • @judditedunia5292
    @judditedunia5292 ปีที่แล้ว

    Ni kweli kbs

  • @miriamdavis3893
    @miriamdavis3893 ปีที่แล้ว +1

    Hiyo sio sababu Mwaka akafie mbele

  • @repsphrs5051
    @repsphrs5051 ปีที่แล้ว +1

    Mmmmh hawa watu hawa

  • @saidmajeba9791
    @saidmajeba9791 ปีที่แล้ว

    Dida umetishaa😂😂

  • @joharikasuwi6973
    @joharikasuwi6973 ปีที่แล้ว

    Waswahili wanasema usitukane mamba kabla hujavuka mto. Ndo hayo yanayomkuta Dr mwaka

  • @yomenikabombwe4939
    @yomenikabombwe4939 ปีที่แล้ว

    Salm 2..kuatchana kwawema nikufata cheriya ya ndoa tu niisha

  • @tausihussein
    @tausihussein ปีที่แล้ว

    😁😁😁 Aya matangazi ya ovyo sana

  • @ummyira9653
    @ummyira9653 ปีที่แล้ว +1

    Sasa mnavosema qeen arudi kwa mme wake khaaa Kwan lazma mke akitaka talaka lazma itolewe huwez kukaa na mme ambae humtaki na Sheria zipo

  • @rogathemassong1788
    @rogathemassong1788 ปีที่แล้ว +1

    Zinga slopas
    MayomaYomata
    😂😂😂😂😂😂

  • @sadih5333
    @sadih5333 ปีที่แล้ว

    Wow Wow, Yanga wamepata msemaji mtarajiwa!

  • @mwanatz5980
    @mwanatz5980 ปีที่แล้ว +1

    😃🤣 Mapenzi shikamoo

  • @saidmajeba9791
    @saidmajeba9791 ปีที่แล้ว

    Nimecheka sanaa😂😂😂😂

  • @FREENETNAME
    @FREENETNAME ปีที่แล้ว

    Mufti hutoa amri lakini hawezi kuitekeleza. Qaadhi ana uwezo wa kutekeleza.
    Mufti - mtaalam wa sheria wa Kiislamu ambaye amepewa mamlaka ya kutoa maamuzi juu ya mambo ya kidini.
    Qaadhi - hakimu wa Kiislamu anayetoa maamuzi kwa mujibu wa Shari’ah (sheria ya Kiislamu)
    Kama mke au mume hakutaki ndoa haiwezekani hata Allah ameamrisha talaka si haram. Dr., Mwaka hakupendeleya kuachwa na mkewe pengine angefurahika amtese kwa talaka kama vile waume wa kiislamu wanavyo wadhalilisha na kuwanyanyasa wanawake wa kiislamu kuhusu talaka na malezi ya watoto baada ndoa kuvunjika subhan’Allah mungu amlinde na adui huyu ammiyn

  • @jamilashabani8580
    @jamilashabani8580 ปีที่แล้ว

    Allah kheir

  • @Ndiyooo
    @Ndiyooo ปีที่แล้ว +2

    Jumaa jamani chukuwa Talaka neenda ukauze vitumbuwa😂😂😂😂

  • @diebrock6494
    @diebrock6494 ปีที่แล้ว

    An ktk dini yetu talaka ikitok bas ardhi inatikisika ss tuombe Mungu ndoa isivunjike

  • @Zenny89
    @Zenny89 ปีที่แล้ว +1

    Mimi mkritu lakini Hii ishu utafikiri na mie muislam🤣🤣

  • @oyay2821
    @oyay2821 ปีที่แล้ว +1

    Kwa hivyo Rushayna anauza Vitumbua?

  • @rehemadaudi4390
    @rehemadaudi4390 ปีที่แล้ว

    Wambea nyie 🤣🤣🤣🤣❤️

  • @mariamnuru9939
    @mariamnuru9939 ปีที่แล้ว +1

    Ndoa za Tanzania daily kuachana

  • @matimfuko641
    @matimfuko641 ปีที่แล้ว +2

    Ila nyie mbona hamueleweki mnataka Nini juz mlikuwa upande wa kwini Leo wa mwaka

  • @nurasalimu2403
    @nurasalimu2403 ปีที่แล้ว +2

    Km mwanamke hataki ndoa hatak ht mfanyaje ndoa hakuna we mwaka 1 hapati tendo la ndoa na ht km analipata tendo km kachoka mbona bi mariam alikuwa anatimiziwa kila kitu ila kachoka mtume muhammad s.a.w akamwambiya alejeshe shamba aachwe ss nyie mnazuiyaje huyo kwin asiachwe nyie ht nani ndiyo taraka Allah anaichukiya ila ss hakuna kukalifishiyan ktk dini

  • @bbanyikwa
    @bbanyikwa ปีที่แล้ว

    Acheni umbea Dr. Mwaka hajakataa Ndoa isivunjwe yeye anachotaka ni utaratibu wa kuvunjwa Ndoa hiyo ufuatwe.

  • @sacg9783
    @sacg9783 ปีที่แล้ว

    Watangazaji MUNGU anawaona jamanii hapo mwisho nimechekaa mpaka basi 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🙌

  • @sauda4505
    @sauda4505 ปีที่แล้ว +2

    Uyu mwanamkee alienda kulalamika akaita na waandishi wa habari kuilalamikia bakwata nyie mlitakajee ni sawaa kupewa talaka ni haki yake na hakuna ndoa hapo

  • @lawabidingcitizen3427
    @lawabidingcitizen3427 ปีที่แล้ว

    Haya ndio madhara ya kuwa na sheria butu. Wanefuta sheria ya Huduma za Vyombo vya Habari 2015. Sheria ilitaka waandishi wasome walau Diploma ya Media tu. Sasa hawa vimburu wanachofanya hapo studioni ni kusherekea uhuru wa mafisi, kutukana watu, kulopoka na kudhihaki watu na kubeza elimu. Yaani hapo ndio upumbavu ulipopata mipumbavu na jaziri lao linachekelea huko liliko bila shaka!

  • @moniepaul8972
    @moniepaul8972 ปีที่แล้ว +2

    Ndoa yakiislmu ni ndoa sasa?? Jioneeni wenyewe wanavyo kanyagana

    • @MpajiAli
      @MpajiAli 3 หลายเดือนก่อน

      Na hio y kikiristo jeee hata uwe unapigwa mapanga uvumilie tu kisa hawez kuvunjika we mjinga nn fala wee

  • @moodyzanzibar4336
    @moodyzanzibar4336 ปีที่แล้ว +1

    HANA LOLOTE HUYO NI KAMA MARAIS WANAO PENDULIWA HATA SADAAAM WAKATI ANAHUKUMIWA ALISEMA MIMI BADO NI RAHISI HALALI WA IRAQ. SASA HUYO MWAKA HANA LOLOTE MNAFIKI WALA HAJUI SHERIA ZA NDOA . TALAKA NI HAKI YAKE AKITAKA APEWE

  • @glorymtinangi8002
    @glorymtinangi8002 ปีที่แล้ว +1

    Ety kakumbuka

  • @janiaoma7093
    @janiaoma7093 ปีที่แล้ว +2

    Yiyi wa pumbavu mnae ogea wasafi mapezi hayalazimishi na yiyi hamjuwi sharia ya dini dini ukiwa humudumi mkeo Kwa muda wa miyezisita simkewako tena yiyi wapubavu

  • @ziadasalimu1730
    @ziadasalimu1730 ปีที่แล้ว +3

    Ina wezekana akawa na wanawake tele lakini akawa huyu anayeomba talaka ndio roho yake mapenzi bwana ooooo

  • @pendochimammy5013
    @pendochimammy5013 ปีที่แล้ว

    Wambea hao wacha nitegeshee kutoka 254

  • @carolinemariki4029
    @carolinemariki4029 ปีที่แล้ว +6

    Dida na timu yako nyie Mungu anawaona haki.... Homon yako imbalance🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @jumaamartin7929
    @jumaamartin7929 ปีที่แล้ว

    jammani kupendana kupo na kuachana kupo.Allah anasema tuoane kwa wema na tuwachane kwa wema jamani.nawale wanao fakisha watu iwe kwa maneno au kwa shiriki mungu ana waona😂😂😂😂

  • @edwardmkwelele
    @edwardmkwelele ปีที่แล้ว +1

    SI MWANAMKKE ASIRUDI TU, HUWEZI KUMLAZIMISHA KURUDI

  • @sadiamassage9589
    @sadiamassage9589 ปีที่แล้ว +2

    Na ww dida uliachwa ama umeacha

  • @fatmaalkhuleidy1728
    @fatmaalkhuleidy1728 ปีที่แล้ว +1

    Sisi wanawake wakiislamu tunahaki kuchagua waume na tuna haki kudai talaka tusiporidhika kwenye ndoa wacheni unafik dida na wambea wenzako na mwanaume akikataa kuitoa talaka kuna ofisi ya dini ya masuala hayo ambapo kadhi atatoa kitu kinachoitwa fasakh kuivunja hio ndoa

    • @mamuumuu4999
      @mamuumuu4999 ปีที่แล้ว

      Huko bakwata hakuna msaada wowote,niko na situation hiyo hiyo.Nimeamua kuwa km Dida sidai tena kila mtu anaishi kivyake 🤣🤣🤣🤣🤣

  • @oswaldnjole904
    @oswaldnjole904 ปีที่แล้ว +3

    Dida wewe !! Eti kwanini hormone haibalance? Eti stigma!!!

  • @judditedunia5292
    @judditedunia5292 ปีที่แล้ว

    Jambo

  • @ThiagoMessi10-f4g
    @ThiagoMessi10-f4g ปีที่แล้ว

    STIGMA imeshuka 🤣🤣

  • @abdallahally842
    @abdallahally842 ปีที่แล้ว +1

    Ni upuuziii mnaongea hayo maswali yanayohusu Imani na sio umbea au kutumia akili zenu

  • @suzanamwangingo2995
    @suzanamwangingo2995 ปีที่แล้ว +1

    Nakweli yalimshinda mjeda namtutu wake

  • @mirrykirungi5078
    @mirrykirungi5078 ปีที่แล้ว +1

    Mtu anapoomba talaka apewe mana king'angania jino bovu nisawasawa na kazi bure mapenzi ndani hakuna ya nini tena mwaka akubali tu

  • @ziadaskitchen5060
    @ziadaskitchen5060 ปีที่แล้ว

    Makubwa mtihani

  • @mamajaphety1624
    @mamajaphety1624 ปีที่แล้ว

    hiki kipindi kinachekesha sana😂😂😂😂😂😂😂

  • @salomemhina2811
    @salomemhina2811 ปีที่แล้ว

    Hana faragha binafsi huyo mganga wa kienyeji,alivyowatangaza mahaba hadharani atupishe hukoooo

  • @joycemgonja8156
    @joycemgonja8156 ปีที่แล้ว

    😂😂😂 we mtoto washaibu wewe hebu niache kwanza

  • @bahatirobert1009
    @bahatirobert1009 ปีที่แล้ว +1

    MUNGU anawaona nyie😀😀😀😀😀

  • @hasaniabdalah6148
    @hasaniabdalah6148 ปีที่แล้ว

    😂😂😂😂oo kweli dunia hadaa walimwengu shujaa

  • @sophiamumbe888
    @sophiamumbe888 ปีที่แล้ว

    Wacheni ujinga mwanamke mwenye ndiie anae dai talaka kwani lazima kama mtu ameichoka ndoa wakumbwiru

  • @jumanassoro1552
    @jumanassoro1552 ปีที่แล้ว

    Masheikh wanajigamuzia yeye abaki na kubwa bwaja

  • @modestsharia7127
    @modestsharia7127 ปีที่แล้ว +1

    Kung'ang'ania au kugombea mwanamke ni uboya

  • @gloriachristian1470
    @gloriachristian1470 ปีที่แล้ว +1

    Yaani umbeyaa nanenepa

  • @mussabuhe8881
    @mussabuhe8881 ปีที่แล้ว +1

    Mnapo elekea mtasema Kuna shehe anamtaka sasa

  • @babybaby8384
    @babybaby8384 ปีที่แล้ว +1

    😅😅😅😅😅😅😅Dida bhana😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅

  • @craraaizack9072
    @craraaizack9072 ปีที่แล้ว

    Nawapenda nyie watu jaman mnanipa laha

  • @neemashuma5595
    @neemashuma5595 ปีที่แล้ว

    Mmmmhhhhhhhhhhhhhhhhhh

  • @mulishidhamada861
    @mulishidhamada861 ปีที่แล้ว

    Nyie watu wambea

  • @mzuwandayusuph442
    @mzuwandayusuph442 ปีที่แล้ว

    Kumbe alipola uyomke

  • @kulthumkhan1935
    @kulthumkhan1935 ปีที่แล้ว

    Jamani talaka hata mwanamke anatoa Mbona mambo yako wazi maana sheria ya dini inasema mwanamke Akitoa talaka arudishe mahari alolipiwa na anatoa talaka mwanamke pia na Ana kaa eda miezi mitatu

    • @aminaramdan3283
      @aminaramdan3283 ปีที่แล้ว

      Hakuna Talaka Inayotolewa na Mwanamke.... Ispokuwa Mwanamke Anapodai Talaka Bila Sababu Yeyote Ile Hapo Ndio Anatakiwa Arudishe Mahari,,, Na Anayepaswa kutoa Talaka Ni Mwanaume... Ila Ikiwa Kamshtaki Na Akiitwa Bakwata mwanaume Asipokuja Akiitwa Tena Aspoenda Mara 3.. ndio Kadhi Anatoa Talaka.... Ila Hakuna Talaka Anayetoa mwanamke...

    • @mwanaishaabubakar5013
      @mwanaishaabubakar5013 ปีที่แล้ว

      Usipitoshe watu wewe umesoma wapi mwanamke anatoa talaka. Acha kabisa kusema uzushi katika mambo yanayohusu dini. Ndoa ni ibada katika uislamu na inasheria yake kati ya ndoa na talaka. Hakuna hata mahali pamoja ambapo pameandikwa mwanamke anaweza kutoa talaka. Usipotoshe watu kasome kwanza. Au labda umechukua sheria yako ya dini nyengine ukadhani na waislamu nivyo. Kama ujasoma dini ya kiislamu acha kusemea utaingia motoni kwa mlango wa mbele

  • @fhyubhhh2881
    @fhyubhhh2881 ปีที่แล้ว

    Wee mwaka ukiachwa hebu achika!! cha ung'ang'ania nini?

  • @Tijarakabendera
    @Tijarakabendera ปีที่แล้ว +1

    Mwanamke ajivue bwanA amrudishie Mahari yake

  • @nurasalimu2403
    @nurasalimu2403 ปีที่แล้ว +1

    Kwanza nyie ni hamjasoma ss mtu ht km anamsuguwana sijuwi ugomvi ndo asitendehaki kwa kumuogopa mtu nyie vp nendeni ktk QURUAN JUZUU YA 29 KATI YA SURAT MUDATHIRY AU MUDHAMMIRY Allah kazungumza unapokuwa kiongozi wa dini bc achana na mambo ya anasa ya kidunia IKRA SOMA

  • @alymaryam2331
    @alymaryam2331 ปีที่แล้ว +1

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣Aki nyie

  • @priscakassim4356
    @priscakassim4356 ปีที่แล้ว +1

    🤣🤣

  • @selhasaydullah8467
    @selhasaydullah8467 ปีที่แล้ว

    😏

  • @shakilaabdallah7890
    @shakilaabdallah7890 ปีที่แล้ว

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @theonedjbonny3952
    @theonedjbonny3952 ปีที่แล้ว

    😂😂

  • @mulishidhamada861
    @mulishidhamada861 ปีที่แล้ว

    T

  • @aisharamdan8358
    @aisharamdan8358 ปีที่แล้ว

    Acha ujinga lokole mpumbavu ww nyooo

  • @samniza1763
    @samniza1763 ปีที่แล้ว +1

    Fallopian tube!

  • @yyjlallkuuhnn2651
    @yyjlallkuuhnn2651 ปีที่แล้ว

    😂😂😂

  • @hanifaa1487
    @hanifaa1487 ปีที่แล้ว

    😅🤣😂🤩

  • @moodyzanzibar4336
    @moodyzanzibar4336 ปีที่แล้ว

    JUMA LUKOLE NDOA ZA KIISLAM ZINAPOAMULIWA KWA KADHI AU MUFTI NI LAZIMA ZITANGAZWE ILI JIMBO LIJULIKANE KAMA LIPO HURU SASA. SI MAKOSA KUITA WAANDISHI WA HABARI JAMAA ZAKO ZERU ZERU NA HUYO MJUWAJI WAMECHEMKA KAKA😜😜

  • @lilyluholela8924
    @lilyluholela8924 ปีที่แล้ว

    😂😂😂😂😂😂Haki umbea una raha yake

  • @aminamikidadi7754
    @aminamikidadi7754 ปีที่แล้ว

    Muft mmemsikia kasema acheni unafiki ....

    • @donlinechanell4760
      @donlinechanell4760 ปีที่แล้ว

      Muft kasemaaa kwan ww hujamsikia ???

    • @aminamikidadi7754
      @aminamikidadi7754 ปีที่แล้ว

      @@donlinechanell4760 kwenye midia gani binafsi siamini mpk nimuone muft kama mufft ansaema Kama wanavyoonekana ..hao wa chini yake ...binafsi nimeshangazwa sn muhimili mkubwa kama baqwata kukosa msimamo kila mtu anapojisikia kuongea anakuwa yeye ndio msemaji nini maana ya kuteuwa viongozi ....wanataka kuupeleka wapi uisilam ....na wakati hiyo hukumu ya kwanza ilpotolewa hao viongozi wengine maulamaa walikuwa wp tulitaka kujua au walikuwa nje ya nchi waache ubabaifu ...kumbe baadhi ya viongozi wa bakwata wameamini nakukubali walivyoitwa na dk mwaka kuwa ni wahuni ....kwakukosa kwao msimamo musiba mkubwa huu ....

  • @jumasalimo6360
    @jumasalimo6360 ปีที่แล้ว

    😂😂😂😂😂

  • @amidjaja5695
    @amidjaja5695 ปีที่แล้ว

    😂😂😂😂

  • @rayrayndiema
    @rayrayndiema ปีที่แล้ว

    😂😂😂😂😂😂