PENEZA ANASEMA CCM OYEEEEE,,,,UZINDUZI WA KAMPENI CHADEMA GEITA MJIINI
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 6 ก.ย. 2020
- hayaa sasaa!!! Upendo wa CHADEMA azindua kampeni zake kwa kuwasalimia wananchi CCM OYEEEE!!!!!
AMESEMA ANALAZIMIKA KUSALIMIA HIVYO KWAKUWA ANATARAJIA KUCHAGULIWA NA WANANCHI WA VYAMA VYOTE NA ATAKAPOENDA BUNGENI ATAWATETEA WANANCHI WOTE BILA KUJALI VYAMA VYAO.
Uko.tutakuona.
Upendo.unamsali
.watu.
Mungu akutangulie dada yangu
Huyu MJINGA alikuwa ccm kitambo
Huyu ni Msaliti Sana kumbe ni Fisadi Kama Mafisadi wengine
Yani mwanamke nihatari Sana kuwa kiongozi Yani mi siwaminigi kabisa
Nimekukubalii sanaaaaa
I love you upendo peneza kura yangu ushaipata
Inaonekana unawezaaaa
Kumbe alikuwa akimaanisha kwakuwa yalikuwa ni matarajio yake
Kweli.nduni.hada
Tanganyika bwna 😂😂😂😂 inawatu waajabu sana wanaweza kukuuza bila wewe kujijuwa
Hiz ndizo kampen zahekima bira kutishana
Unataka bungee sahau
Kazuri
Dah huyu dada nimbwa tu
Naomba chadema WaWez makini
ewe si ndio utakuwa jibwa koko kabisa na huenda uumbwa wako umesababisha uwaone binaadam wenzakoo wote mbwa pole sana
CCM oyeeee,ukweli ni kwamba ilikuwa inatoka moyoni " kinachotoka mdomoni,ndicho kilichokuwa moyoni " amedhihirisha hilo mwaka huu.
Achagua.mtu.anaye.faa
HUYU ANAKASURA KAZUR SURA KAMA HII HAIWEZ KUWA UPINZAN HUYU N CCM KABISA HUKO CHADEMA ANASOGEZA SIKU TU😂😂
Kumbe usaliti aliuanza zaman
😂😂
Uongo hauwezi kubadilika,,, msaka tonge kwa wajinga..
Huyu useless sana
CCM oyeeee,ukweli ni kwamba ilikuwa inatoka moyoni " kinachotoka mdomoni,ndicho kilichokuwa moyoni " amedhihirisha hilo mwaka huu.
CCM oyeeee,ukweli ni kwamba ilikuwa inatoka moyoni " kinachotoka mdomoni,ndicho kilichokuwa moyoni " amedhihirisha hilo mwaka huu.
CCM oyeeee,ukweli ni kwamba ilikuwa inatoka moyoni " kinachotoka mdomoni,ndicho kilichokuwa moyoni " amedhihirisha hilo mwaka huu.
CCM oyeeee,ukweli ni kwamba ilikuwa inatoka moyoni " kinachotoka mdomoni,ndicho kilichokuwa moyoni " amedhihirisha hilo mwaka huu.