GABO ZIGAMBA/MKEWANGU ALIKUWA MSUMBUFU SANA/NILIRANDANAE USIKU KUCHA/NAPENDA CHIPS MAYAI
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 23 ส.ค. 2024
- Usisahau ku "SUBSCRIBE" Channel yetu kwa habari nyinginezo nyingi na nzuri
GABO ZIGAMBA/MKEWANGU ALIKUWA MSUMBUFU SANA/NILIRANDANAE USIKU KUCHA/NAPENDA CHIPS MAYAI
#Bonatv #Exclusive - บันเทิง
Eti mtoto wa kiume,shukuru Mungu akikupa mtoto usichague jinsia eti hata sherehe imekuwa kubwa zaidi ...hujayajua maajabu ya watt wa kike weweee kwa familia zao
muache tu huyo amkasirishe Allah na kauli yake mtoto wa kike ndio mwenye huruma na mapenzi kwa wazazi tunayaona kwenye familia zetu
Mtoto ni mtoto tu, lakini mwanaume amefadhilushwa na ALLAH na ndio alisema wanaume ni wasimamizi wa wanawake.
Pia manabii wote ni wanaume
Waw kama naiyona furaha ya baba akipata mtoto Wa kiume mbona hongereni na Allah awakuzie mtoto wenu🥰🥰
🙏🙏🙏😂😂
Kwahiyo wakike hawana thamani ila mukumbuke hakuna watu wenye upendo na wazazi wao kana watoto wakike
Na ndio walezi wa wazazi wao
Kauli ya gabo sijaipenda😭😭😭
Wanawake ndio kilakitu
Kaongea utopolo
hujamuelewa nahisi, nikawaida ya mtu yoyote akiwa na mtoto zaidi ya mmoja wa jinsia moja anakhofia kutopata jinsia nyengine hivyo anakuwa na hamu sana. mfano kuna watu wanawatoto wanne wote wakiume au wote wa kike .
Wao kumbe gabo islamic very nice
Tiffarstore mwenye vipodozi vyake og hongera mpenzi
😂😂😂jamani Mimba yangu inataka kwenda Dubei 😊😊vyakula hapana😆😆😆🤗
Mie naona mimba hii unataka nilale ikulu 🙄😆😆😆
🤣🤣🤣
@Jasmin Juma, yako kali 😂😂😂😂😂😂😂haina wengi 😂😂😂😂
Mwenzenu mtoto wangu wa pili kaninywesha bia sio kitoto yaani kila mda harufu ya Casto lite ilikua inanijia na ilikua lazima nipate Ase mimba izi 🙌🙌
Ha ha ha ha ha haaaaaaa
@@zalhatamakange2627 mtihan kwakwel adi Dada angu alikua anachukia yni
Mie mimba yangu niltaman harufu ya mavi ya ng'ombe. Nilkua Namwambia mume wangu akaniache kwa zizi la ng'ombe. Harufu yke niliipenda mnooo
Umeulizwa pongeza shuuli
Ongera sana Gabo
MashaaAllah MashaaAllah
Mashallah kwa jina zuri lakini ukiliita jitajid usilikosee jina hilo hasa huitwa SHARHABILL ndivyo linavyoitwa
Swadakta 👍
Ndo nami najiuliza au nmeskia vbaya Navojua me ni hivo SHARHABIL, ama pengine yako mawili ngoja nkasearch🏃♀️
sharhabil
Mbona mama kama hana furaha jamani 😂😂😂😂
Mshamba wa mitandao 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
😂😂😂😂😂😂anajibu Kam hataki vile
MashaAllah barakallah
Mm mwenzenu ujauzito ndo kipindi ambacho chips,soseji,kuku, mayai vina nafasi kubwa kuliko dagaa maana najua nisipokula wakati wa ujauzito ndo bas tena
Hahahaaaaaa lyo kweli
😂😂😂😂
😆😆😆😆😆😆
Aawee mjanja 😂😂😂💕
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Duuh hatar kweli
Ongera
I like it
Mmependeza mno
Mashaallah wajina wa mwanangu shurahbiil
Masha Allah
MashaAllah
Waoooo
Mashaallah
Wow Mashaalh👑👑👑🥰🥰🥰🤲
❤️❤️❤️❤️
Usiku tu ndio anakuwa na hamu .mchana hana hamu.mhhhhh wati mnapenda kiki
Wote ni watoto bhana acha ubaguz
Mtoto wa kwanza wakati wa pili mbona tunakujuwa
Hakika imeshehena
Msaada anae jua gabo n wa mkoa gani
Tanga
@@faridaessa7844 oky ahsante man kun mtu alinambia ety mmakonde
Tanga, mdigo
Hahahahahaaa wamakonde wanataka kumuiba gabo
Ni mtu wa tanga na iringa mama yake ni mtanga baba yake ni mtu wa iringa ndio mana anajiita zigamba manayake ni n'gombe dume
Gabo umesema ni mtoto wako wa tatu na huyo mkeo amesema ni mtoto Wake wa Kwanza kwahiyo huyu Latifa ni mkeo wa pili au ni vipiii? Jamani anaejua anipe jibu tafadhali 🙏
Huyo mke wake wa pili
Ndiyo mke wapili
Watoto wakike wako3 namkehuyo alie Zaanae haowatoto 3 alisha achananae Ahsante
@@yahkiwera3611 c kasema ako na watoto wa3?
Niwapili ndio
Mama shura habil mikono yanguo yako haukupi uhuru nayo maana unaivutavuta
kavaa ya mikono mifup uku anataka stara ramadhan hii
Shga ango Tifa ongra mwaya
Masha Allah
Shurahbills wow
IYO TABIA YA KUWA NA MIMBA KUTAKA VITU USIKU WA MANANE SIO MZULI MAANAILIMKUTA MADEBE LIDAI KAENDA KUTAFUTA UDOGO AKAITILIWA MWIZI MAANA MKE WAKE ALITAKA UDOGO WA NYUMBA SIO WA KUNUNUA MADUKANI SI ALITAKA WA NYUMBA SIO VZR JAMANI MSIENDEKEZE MIMBA ZENU
Mke mkubwa mbona hatumuon jomon 🤔🤔
Mmmh kumbe Gabo anawake wawili?
hana thamani tena
Sikujua Gabo anaweza kuongea shit kiasi hiki....Kwa hiyo kwake watoto wa kike hawana thamani kabisa...!!!
Unamsahihisha MWENYENZI MUNGU?
Kateleza gabo subhuhaann Allah
@@sasharahma7360 wallahi
Kaka una mkufuru mwenyezi mungu
Kwanini wadishi mu wafukunuku wakuhuliza na sio kuhusunu
Jaman Kwa hiyo wakike hawakufanyiwa ila wakiume ndo amefanyiwa
Tena ameongea kwa dharau sana amekufuru kwa kweli mtoto hujui mdhuri ni yupi ni kuomba dua tu kwa kweli
Bina damu hamuachiiii lloooohhh
@@xxmidnightzepetosuni8106 ndio tena anaonekana mke uyu ndo anamapenz nae kuliko mkubwa wanaume shikamoon
@@mahmoodalghefeili5370 nasikia mkubwa wameachana kwa hiyo mdogo kashika hatam
M
😂😂😂jamani Mimba yangu inataka kwenda Dubei 😊😊vyakula hapana😆😆😆🤗
Waoooh