🍁Napenda sana watu ambao wako "real" he is genius.... kaka Gabo shikamoo 🙏🙏🙏 nikisema nichague "interview" zangu 5 za hiki kipindi kwenye 5 bora yangu upo #Gabo na pengine kwenye top 3 yangu ukaingia. Nimependa sana ubunifu wako na uthubutu. Sikufikiria jina lako lilitoka na hayo maelezo aiseeh na limekukaa sana. #Mr_Gabon 🔥🔥🍁
......the BEST INTERVIEW EVER.....THIS GUY IS GENIUS AND IT SEEMS LIKE HE DIDN'T FINISH , HE HAS A LOT TO TALK ABOUT...... PLEASE SALAMA , WE NEED ANOTHER ONE 🙏🙏🙏🙏
Mm nampenda saana da salama jaman alivyo tuuuuu yakupasa umpendee ntamchukia mwanaume atakae mkera kma ameolewa lakn kma bado mungu akupe mmee mwenye fikraa kma za gabo kwa mwanamkee
Tunamtaka rammy galess msomaliii salama tusaidie huyo mtuuu maana wengine sio fans wa miziki Ila bongo movie tumo kwahio wainjoy saaana tukiwapata watu kma hawa
amin amin nawaambiaeni gabo ndo RAISI WA TASNIA YA FILAMU TANZANIA nakupenda ZIGAMBA KWA AJILI YA ALLAH
🍁Napenda sana watu ambao wako "real" he is genius.... kaka Gabo shikamoo 🙏🙏🙏 nikisema nichague "interview" zangu 5 za hiki kipindi kwenye 5 bora yangu upo #Gabo na pengine kwenye top 3 yangu ukaingia. Nimependa sana ubunifu wako na uthubutu. Sikufikiria jina lako lilitoka na hayo maelezo aiseeh na limekukaa sana. #Mr_Gabon 🔥🔥🍁
Ila Salama anacheka vizuri... Maaan when she smiles it's like she opens a new World😩❤. I love you Salama Allah akuweke 🙏
U feel the same I do Yaan,, nami nasmile akichek,, Ani ht haiko n noises
Kaka Gabon uko vizuri nakukubali sana Zigamba unajuwa wemkali kama nawewe wakumbali gonga like yako apo chini😜😍😘🎥😍
Kuna watu huchoki kuwasikiliza wakiongea, Gabo kwangu ni namba moja. Love u Salama Allah barik
Banaaah umeona this my second time to watch this interview
Nani Amegundua Gabo Anaongea Kiswahili Cha Peke Yake 😁😁😁
👍
Salama ongeraaa sana umebarikiwa na Salim pia amebarikiwa ongeren sana inshaallah
Salama leo umecheka saaana😍...kn watu hawachoshi kusikiliza jamani Gabo mmoja wapo....tunaendelea kujifunza!!
Imekua fupi yaan
Naomba kaka Gabo arudi Tena jamani mbona bado hajamalizaaa.. "kazi nzuri"
A. Alaykum warahmatullah wabarakat mambo vp salama nimependa sana mazungumzo we na Gabo nime ijoy na kucheka
Interview ya pili kuielewa sana ya ki-genius sana Baada ya ile ya Jokate Mwegelo ni hii ya zigamba zigambani 🔥🙌
Mashallah nimeipenda stori hiiiya Gabozigamba wapo wengi hiii imo kwenye hesabu yangu mashallah
Kuna baadhi ya watu huwa wanateka kipindi gabo your the one.
MashAllah Gabo mungu azid kukuongoza ila hiyo story ya kaka yako daah imeniumiza sana
Salama please rudia interview na gabo haja maliza, it seems bdo ana mengi sana
Thenks my sister salama.tumeku miss Sana kwavipindi vyako uku Australia Halah.mungu akuzidishie
11.04..mzungu:what's your plan
Gabo:this skin no plann😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂my all time favorite actor
Hahaha
namkubali sana huyu mchizi gabo zigamba nimefurahi alivyosema ukweli kua anakula kitu cha jamaica
Pleas hii interview irudiwe..Gabo still have a lot of things to say
......the BEST INTERVIEW EVER.....THIS GUY IS GENIUS AND IT SEEMS LIKE HE DIDN'T FINISH , HE HAS A LOT TO TALK ABOUT...... PLEASE SALAMA , WE NEED ANOTHER ONE 🙏🙏🙏🙏
naiona bongo move itarud jomon gabu fanya mambo tuekee ata you tubu kaz zako sisi mashabiki zako tupo 😍😍
Nimecheka mpaka machozi yana nitoka dah, huyu Gwalu noma 😂😂😂😂
This skin does no plan 🤣🤣🤣🤣🤣 gabo kumbe uko very fanny nimekupenda bure ❤
Interview nzuri sana
big up yahStone Town salama unafanya poa sana
Salama na #Gabo#Darassa zinaingia kwenye top 5 yangu
Kabisaaa, ya Darasa ilikuwa noma sanaa, akifuatia Jide
Salamaaa I wishi umrudieee makochalii aiseeeee anavituuu vingiii sana vya kujifunzaaaaa
Kaka allah akufikishe kwenye malengo yako yote ya kher in shaa allah unajua sana
Dah! Salama rudia na huyu fundi plz.... nimeenjoy mnooo
Sauti kama Nenga hivi mwana namkubali sana na wish one day ntafanya nae kazi
The best interview 2020..Gabo ur going to be my role modol...kip it up
Can i get linked to gabo plz...
Ihv amazing script 4him
GABO ZIGAMBA NA SALAMA mmejua kunifurahisha
Nimekubali sana ...salute kwako salama na gabo
KATIKA INTVYUU KIBOKO SALAMA HII 2020 IMEUWA TURUDISHIE TENA GABO KWENYE INTAVYUU HUYU MTU MTAMU KWELI HUCHOKI KUMSKILIZA😅😅😅😅
Waoooo
I like this conversation
Big up saaana Gabo. Aisee wewe ni pande la raia. Binafsi nakukubali from +254
Namkubali sana gabo
Interview tamuuuuuuuuuuuuu sanaaaaa🥰
Nimefurah sn na kipnd nime enjoy
Nakukubali xana Gabooo
Hahaha huyu mwamba kweli noma aisee,,eti wazee mnanijadili?,😂😂
Big up gabo nakukubali 100% let them say
What a fine show✍
Mm nampenda saana da salama jaman alivyo tuuuuu yakupasa umpendee ntamchukia mwanaume atakae mkera kma ameolewa lakn kma bado mungu akupe mmee mwenye fikraa kma za gabo kwa mwanamkee
Mm namkubali saaana gabo
Salim maashàallah
Namkubali sana jamaa
Nakupenda gabo wangu na salama wangu😍
Gabo big up same to you salama
Daaah mbn imekuwa fupi sanaa madam salama
Interview flani hivi imesimama sana
Love u salama💓💖
Salama msosi unapoa wallah😋
Nimefulahi intaviwee
Gabo is gud
Mambo ya albadil hayanaga utani..... Ndo maana hata ukitaka kufanya hivyo unaambiwa ufikirie mara mbili mbili maana ikienda Imeenda kurudi haiwezi 🙌🏽
Gabo welcome to +254
The words anatumia dis man👌
Dada salama na gabo mmetisha sana
Bravo Gabo Ur a gud speaker.
Tunamtaka rammy galess msomaliii salama tusaidie huyo mtuuu maana wengine sio fans wa miziki Ila bongo movie tumo kwahio wainjoy saaana tukiwapata watu kma hawa
SALAMA AKITUA #DIAMOND PLATNUMZ itanoga sanaaa
Duuuu this is smart interview
Big up xaaan gabo nakukubalii xaaan🔥🔥🔥🙏🙏
Gabo love u
😂😂😂😂😂😂 Gabo Bana wallahy u the best
Intaviyuu fupi sanaaa wallah
Jamani sikufaham kasema nini hapo kuhusu halibadili? 🤔
The show is GUD
Japo kuwa utaishi miaka mingi ujuwe huto ishi miaka yote
Salama imenoga shoo imenoga
rafiki wa king na Samatta
Why did I have to watch this in 2022?
Gabo zigamba ✊
Ww wa moto sn
Wallahy huyu jaama yani unacheka kma chizi ukimsikia uko sawa
Gabo uko vzr shikamooo🙄🙄🙄🙄🙄
Good show
Salama tunamtaka king Kiba pls
Yuko real sana gabo
Salamaaaaa
Gabo 100%
💯✅
Umetubania show imekua fupi sana
Haha watu wa mpepe utawajua tu....
Jamani mbona imekuwa fupi
Kwenye utamu Zaid ndo kumeisha jaman
Gabo kama Pusha
Gabo vs salam more ipticiate
Kipindi kiko pouwa
Haaaaaaaah
Gabon
Eti unakuw mkenya ghafla 🤣😂🤣😂🤣
Jamani gabo niowe wa pili bc
🤣🤣🤣🤣...wanaume km hawa wapo wachache😍
Sanaaa 💞💞
Nami watatu 😀
Hahahaaa
Eti kipingu umemkumbuka eeh mwalm wako wa English na michezo
Salama uweunaleta watu kama hawa sio wakina ladyjadee wananyodo kila kitu siwezi ongelea.
Kwer kabisa
Gabo umetisha big up brooo
😂😂😂😂