MASKANI GABO ZIGAMBA NA MKEWE ( TIFFANY STORE ), BALQIS NJUKI & SALUM ABIJAHI || Ep 14
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 21 ม.ค. 2022
- Kipindi Cha Maskani kinawakutanisha watu mbalimbali katika Jamii kwa lengo la kuzungumzia Mada zenye kufundisha, Kuelimisha, Kuburudisha na Kutambua Vitu ambavyo Huvifahamu.
Kama ilivyo maana halisi ya neno Maskani, sehemu ambapo watu hukutana, kukaa na kuzungumza mambo mbalimbali.
Kipindi hiki kinalenga kufata maadili yote ya utangazaji yanayoendana na sera na sheria za utangazaji nchini, bila kwenda kinyume na utaratibu wa nchi.
Kaa karibu na chaneli yetu ya @GABZMEDIA ili usipitwe na uhondo huu wa MASKANI
SUBSCRIBE TO OUR CHANNEL : / @gabzmediaproduction
Follow Us On
Twitter : maskanilife?s=21
Instagram : maskanilife?utm... - บันเทิง
Nimependa sana hiyo kipd bg up bro gabo 🙌
Mko vzr sana jamaa zangu
Napenda movie za gambo dzigamba
Saf kabisa Mrs Gabo hata Mimi spend ukewenza
Kishaa muko poa kweli kwenye kijiwe maskani
Yani Gabo kanifanya nimecheka pekeangu nampendaga sana kiswaili chake nimecheka sana
Mashaallah nzuri sana mwenzangu waweza pata mzuri ila tabia ikawa mbaya na yuko na akili utafanya nn
Salum abijah akili zake bhana,😂😂😂😂😂et hata miaka 60 ukiletewa unaoa salum eee😂😂😂
Kipindi nimekipendaa Masha Allah ,broo Salim anaa akili Sanaa Masha Allah
Alhamdulilah, Shukran.
Gabo kipindi chenu kizuri sana najifunza mengi kupitia nyie 🙏
Shukran sanq
Nmeipenda sana2 hii bro GABO 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Shukran
Mada nzuri nimeipenda! Pia nimecheka sana😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅
Shukran
Wajaala baynakum mawwaddatan warahma
🙏🏾🙏🏾🙏🏾
Nakuelewa sana gabo
Shukran
Safy sana kaka salum kipindi Kipo vizuri sana kwa kweli.
Shukran Sana..
Mimi natumia mswaki 1 na mumewangu hivo nimbaya am
Safi sana. Twendelee vivyo hivyo 👏👏👏
🙏🏾🙏🏾👏🏾👏🏾
Gambo zigamba💯💪
💪🏽💪🏽💪🏽
Napenda Sana kuwasikiliza jamani natamani Namimi siku moja niwepamoja nanyinyi hapo mezani
In Shaa Allah..
❤
Ashafeli
Nimeenjoyyyy hiii video
Karibu
Unaposema unataka m,me mzuri ujue na uyo m,me mzr anataka m,mke mzr pia so ulielewe hlo
Following 📌
🤝🤝
Nimempenda uyo dada alovaa baibui ni mstaarab anaongea kwa heshma
I proud of you brother @SALUMU ABIGAY😂😂 mwalimu wangu.
👏🏾👏🏾👏🏾
You are my inspiration bro
Thanks
i apriciate bro
Thanks
Wengi tunaoa
Na wengi wanaolewa
Lakini hatuzijui ndoa zina maana gani.Tunaoa na kuolewa kutafuta heshima.
Sahihi
🤣🤣Gabo napenda sana the way unaswitch lafudhi yako..the way unacontroll maongez kijiwen..the way unanogesha kijiwe..the way unawarudixha wanakijiwe kwenye mada wakijaribu kuchoropa kwny njia..kna hako kastail mnagonga mikono then mnabuxu halaf mnaguxa kifua imekaa mkao sana...hapo kwnye swala la kuoga hapo naomba agiza tende za 5k nakuja kulipa 🥱🤗🤣🤣🤣🙌🙌
😂😂🙌🏾🙌🏾
Kuna kitu nimepata hapa aise shukran sna kwa darsa hili
Sasa mimi nauliza dini inasema tuowe wala tuolewe kwa kufuata vingezo viinne sawa kwanza mwenye dini pili uzuri tatu uwezo yani mali zake pia na familia ?kumbe upande wenu akun mambo ya dini ?
Wa akili ndio wanaotafutwa saii...mataira wasio na akili watabaki na mamazao majumbani.
Omba mume mwema uzuri hata nyoka anauzuri wake, utaula huo uzuri?
😀😀 labda anakula 🏃🏽
@@gabzmediaproduction wacha ajisifie tu huyo bwana ameacha wangapi? Halafu siku zote sisi wanawake huwa tukisha jijua tuna ile rangi nyeupe huwa tunajiona kuwa sisindo wazuri jaman soon atamtafuta hata huyo mbaya anaesema
@@hannanommy302 🤣🤣