USIKU WA ANNIVERSARY MIAKA MITANO YA GABO NA MKEWE WAFUNGUKA, ZAWADI YA RANGE ALIYOMPATIA

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 11 ก.ค. 2023

ความคิดเห็น • 98

  • @chausikumasau8194
    @chausikumasau8194 ปีที่แล้ว +4

    Nawapendeni xan jmn .....mnapendezana mungu awatunze 🙏🙏❣️❣️♥️🥰

  • @shakilabakari6928
    @shakilabakari6928 ปีที่แล้ว +5

    Kwamm nisie na pesa. Ninaona hayana mana lakin pesa ingekuwepo wenda yangefanyika haya kwahy tusimalize maneno sisi wenye hali ya chin

  • @user-gk6oc8pm8f
    @user-gk6oc8pm8f ปีที่แล้ว +2

    Naipenda hii couple❤️

  • @Mariam-fm8vq
    @Mariam-fm8vq ปีที่แล้ว +3

    Hongereni Allah awape miaka 100❤❤❤

  • @siriyangu4724
    @siriyangu4724 ปีที่แล้ว +3

    Mashallah tabarakaallah khery twawaombea

  • @mashakashobo2529
    @mashakashobo2529 11 หลายเดือนก่อน +2

    Gabo na Mr Blue ni mfano wa kuigwa sana aiseee

  • @rukiasalum2248
    @rukiasalum2248 11 หลายเดือนก่อน +2

    Gabo huniagushagi kakangu kwa sisi wanawake tunaopenda kusifiwa na waume zetu hakika huniangushagi ila na mimi ipo siku wangu atasimama na kusema asantee

  • @ashaali6125
    @ashaali6125 11 หลายเดือนก่อน

    Tuna miaka16 ktk ndoa alhamdulillah 🤲

  • @user-xe9uu6wu3z
    @user-xe9uu6wu3z ปีที่แล้ว +2

    Mr&madam misifa

  • @bimkubwaali1605
    @bimkubwaali1605 11 หลายเดือนก่อน

    pesa baba kwakweli mie nna miaka 40 lakini sifahamu umuhimu huu. hela shikamooo mungu simama na hawa viumbe wafikie umfi watu ameen

  • @frolabenjamin6243
    @frolabenjamin6243 11 หลายเดือนก่อน

    Hongereni jamani kwanza mmependeza kweli Mungu awabariki katika ndoa yenu

  • @anoldamkumba3208
    @anoldamkumba3208 11 หลายเดือนก่อน +1

    furaha ya moyo,sura mbaya ya mwanamke inahusu nini? acha husda ya wazi.wanapendana ,wanaheshimiana na kuthaminiana kwa kutudhihirishia wamefanya hivyo waache kwa raha zao,mungu awajalie maisha marefu.

  • @theresiamwacha7845
    @theresiamwacha7845 11 หลายเดือนก่อน +4

    Napenda mume akimsifia mkewe ivyo Tena mbele zawatu isse mpakaraha

  • @omanmct135
    @omanmct135 ปีที่แล้ว +1

    Mashallllah naic❤

  • @faizamohamed6993
    @faizamohamed6993 10 หลายเดือนก่อน

    Mashallah ❤❤❤❤ mingi mungu awazidishie

  • @sagboison6297
    @sagboison6297 11 หลายเดือนก่อน +2

    Mimi naona kaka unampenda sana mkeo aiseee namimi niipate wapi furaha jamanii kila sikuuu majutooo nawaonea wivu sana

  • @frolabenjamin6243
    @frolabenjamin6243 11 หลายเดือนก่อน +1

    Gabo ni mzuri kwakweli

  • @HalimaHalima-id2cb
    @HalimaHalima-id2cb 11 หลายเดือนก่อน

    Mashallah ❤❤

  • @sarahmohd-qj5hn
    @sarahmohd-qj5hn ปีที่แล้ว +1

    Miaka mitano kama harus 😅😅😅😅 mastar w bongo bhn

  • @user-bi6uf7mr3y
    @user-bi6uf7mr3y 11 หลายเดือนก่อน

    Nawapenda sana❤❤❤❤

  • @rayanndizeyes3161
    @rayanndizeyes3161 11 หลายเดือนก่อน

    hata mimi na mupenda sana Gabo ni mwanaume muzuri sana anajali ,upendo uruma umendo wa Gabo niikweli siyo maigizo na mimi nilikuwa nawaza kuja kumutafuta awe mume wangu

  • @magrethyeremia2279
    @magrethyeremia2279 11 หลายเดือนก่อน

    Hongera saaan kwa hiloo

  • @melanialeonard4031
    @melanialeonard4031 ปีที่แล้ว

    Hizi gari hizi zitakuwa nzuri kila anae igiza lazima zawadi iwe range

  • @dayana5513story
    @dayana5513story ปีที่แล้ว

    ❤️❤️❤️❤️

  • @rachelaisha5084
    @rachelaisha5084 11 หลายเดือนก่อน

    Couple smart

  • @zainabfarashua1861
    @zainabfarashua1861 11 หลายเดือนก่อน

    Nawapenda sana

  • @elizabethmajaliwa5189
    @elizabethmajaliwa5189 ปีที่แล้ว +1

    5 Bado angalau 10

  • @gudimbwana8088
    @gudimbwana8088 11 หลายเดือนก่อน

    Mitano tuu bado sana broo

  • @RacherBakari-qh2gx
    @RacherBakari-qh2gx ปีที่แล้ว +1

    Uyo mwanamke anapenda apo ujinga

  • @asiamohd5516
    @asiamohd5516 ปีที่แล้ว +3

    Gabo na nywele tn. Mwenzenu nna zaid ya miaka 15 na sitamani ata kuchinja kuku.

    • @tamemahmad9902
      @tamemahmad9902 ปีที่แล้ว

      😂😂😂😂

    • @annagesura8375
      @annagesura8375 11 หลายเดือนก่อน

      Kwa nini sasa usifanye muombe mungu

    • @asiamohd5516
      @asiamohd5516 11 หลายเดือนก่อน

      @@annagesura8375 kwani nna ham bas

    • @hellengunda5666
      @hellengunda5666 11 หลายเดือนก่อน

      Utafanya tuu mungu ni mwema..@gabo nahisi hizo coz ya tamthilia ya jua kali

  • @jennytugara9470
    @jennytugara9470 ปีที่แล้ว +3

    Hii anniversary ni Golden au Silver everything have meaning and time. Bongo they mixed up events😂😂

    • @miryamswee1064
      @miryamswee1064 ปีที่แล้ว +1

      Muhim kume pendeza sio shida zetu

    • @florangido202
      @florangido202 ปีที่แล้ว +3

      Hiyo ni marriage Buthday Not anniversary, Unniversary ni 25years, 50years, 75years, 100years, Wabongo bana WASHAMBA ALAFU WANAJIFANYA WANAJUA SANA!!

    • @magrethmbuma3045
      @magrethmbuma3045 ปีที่แล้ว

      Hakuna watu mbona

  • @faridaally-jp1gx
    @faridaally-jp1gx ปีที่แล้ว +5

    Maadili hakuna muogopeni Allaah

    • @malak-lz6kx
      @malak-lz6kx ปีที่แล้ว

      Mm mpk najiuliza hivi hawa wanawaza kaburi siku ya kiama allah awajaalie wawe miongoni mwa waja wema allahumma amiin.

    • @user-cg6sq4qy5l
      @user-cg6sq4qy5l ปีที่แล้ว

      Kweli

  • @huldamichael4445
    @huldamichael4445 ปีที่แล้ว

    😂😂😂eti wanawake ni akina Tomaso😂😂....Gabo bhana

  • @alleyxonjnrtv1725
    @alleyxonjnrtv1725 ปีที่แล้ว +1

    TV ,friji,sound bar zipo offer ya warranty mwaka mzima na free delivery

  • @Official83640
    @Official83640 ปีที่แล้ว +7

    Yaani huyu Tiffer anapenda shughuli mzaramo akasome hawezi maliza mwaka bila shughuli ht akianguka chooni ataita watu wafanye part kah anajitahidi kumtengeneza bwana asisepe

    • @salamasaidi6620
      @salamasaidi6620 ปีที่แล้ว +1

      😆😆😆😆😆

    • @messaabbas739
      @messaabbas739 ปีที่แล้ว +1

      😂😂😂😂😂😂😂😂aki ww loh 😂😂😂😂

    • @raybby9291
      @raybby9291 ปีที่แล้ว +2

      Kwanini wazaramo lakini mbona mnatuonea jamani sasaiv makabila yote yanapenda shuhuri mpaka wametuzid wazaramo 😂

    • @user-cg6sq4qy5l
      @user-cg6sq4qy5l ปีที่แล้ว

      Kweli

    • @Official83640
      @Official83640 ปีที่แล้ว

      @@raybby9291 Mm mwemyewe mzaramo kabisa lkn shughuli nazisikia kwa watu ila tuna sudi mbaya tu

  • @simonitaagesti4765
    @simonitaagesti4765 ปีที่แล้ว +2

    inaonesha jinsi gani mlikuwa amuaminiani kama mtamaliza hata mwaka sasa mmepitiliza mitano mumeona ajabu mkaona mjipongeze ongereni

  • @bebebebe5677
    @bebebebe5677 11 หลายเดือนก่อน

    Mi naomba niulize gabo kuna kipindi niliskia umeoa mke wa pili vp iyo ndoa iyo ndoa ipo au

  • @tamemahmad9902
    @tamemahmad9902 ปีที่แล้ว +23

    Tulo na miaka 20 kwenye ndoa tuna comment wapi na hatujawah kufanya sherehe yyt. Ata njiwa hatujachinja 😂😂😂😂

  • @HalimaSalym-jl2ui
    @HalimaSalym-jl2ui 11 หลายเดือนก่อน

    Na siku mukiachana fanyeni sherehe na mtujulishe pia

  • @HalimaSalym-jl2ui
    @HalimaSalym-jl2ui 11 หลายเดือนก่อน

    Kama si waislamu vile

  • @SekelaJakson-ls7dd
    @SekelaJakson-ls7dd 11 หลายเดือนก่อน

    Afu uyu Dada ni mbaya tu😢

    • @gracekenan4665
      @gracekenan4665 11 หลายเดือนก่อน

      Mmmh sio vizuri ....acha wivu hujui anampenda nini.halafu Lilia bahati sio uzuri

    • @mimikimanga3126
      @mimikimanga3126 11 หลายเดือนก่อน

      Mbna me naona ni mzuri sanaa me naona

  • @ashaali6125
    @ashaali6125 11 หลายเดือนก่อน

    Izo ps si wangelish mayatima 😂

  • @TahilaRamadhan-hz3pd
    @TahilaRamadhan-hz3pd ปีที่แล้ว +2

    Shingo dada itachokaa

    • @SaudaNgonyani
      @SaudaNgonyani 11 หลายเดือนก่อน

      🤣🤣🤣🤣

  • @AsdDsa-fi5qk
    @AsdDsa-fi5qk ปีที่แล้ว +2

    Ibada kichwa wazi

  • @abdulazizimohd4230
    @abdulazizimohd4230 ปีที่แล้ว

    Nywele wazi🤣

  • @myunaniniahmad6463
    @myunaniniahmad6463 ปีที่แล้ว +1

    Wanaona wameupiga mwiiiingi😎 watu wana miaka 50 wengine zaidi ya hapo na hakuna matangazo.
    Mi 5 😎😁😁 kazi kwakweli.