Gabo huniagushagi kakangu kwa sisi wanawake tunaopenda kusifiwa na waume zetu hakika huniangushagi ila na mimi ipo siku wangu atasimama na kusema asantee
furaha ya moyo,sura mbaya ya mwanamke inahusu nini? acha husda ya wazi.wanapendana ,wanaheshimiana na kuthaminiana kwa kutudhihirishia wamefanya hivyo waache kwa raha zao,mungu awajalie maisha marefu.
hata mimi na mupenda sana Gabo ni mwanaume muzuri sana anajali ,upendo uruma umendo wa Gabo niikweli siyo maigizo na mimi nilikuwa nawaza kuja kumutafuta awe mume wangu
Yaani huyu Tiffer anapenda shughuli mzaramo akasome hawezi maliza mwaka bila shughuli ht akianguka chooni ataita watu wafanye part kah anajitahidi kumtengeneza bwana asisepe
Nawapendeni xan jmn .....mnapendezana mungu awatunze 🙏🙏❣️❣️♥️🥰
Kwamm nisie na pesa. Ninaona hayana mana lakin pesa ingekuwepo wenda yangefanyika haya kwahy tusimalize maneno sisi wenye hali ya chin
Naipenda hii couple❤️
Hongereni Allah awape miaka 100❤❤❤
Mashallah tabarakaallah khery twawaombea
Gabo na Mr Blue ni mfano wa kuigwa sana aiseee
Gabo huniagushagi kakangu kwa sisi wanawake tunaopenda kusifiwa na waume zetu hakika huniangushagi ila na mimi ipo siku wangu atasimama na kusema asantee
Tuna miaka16 ktk ndoa alhamdulillah 🤲
Mr&madam misifa
pesa baba kwakweli mie nna miaka 40 lakini sifahamu umuhimu huu. hela shikamooo mungu simama na hawa viumbe wafikie umfi watu ameen
Hongereni jamani kwanza mmependeza kweli Mungu awabariki katika ndoa yenu
furaha ya moyo,sura mbaya ya mwanamke inahusu nini? acha husda ya wazi.wanapendana ,wanaheshimiana na kuthaminiana kwa kutudhihirishia wamefanya hivyo waache kwa raha zao,mungu awajalie maisha marefu.
Ameen
Napenda mume akimsifia mkewe ivyo Tena mbele zawatu isse mpakaraha
Yaaniiii
Mashallllah naic❤
Mashallah ❤❤❤❤ mingi mungu awazidishie
Mimi naona kaka unampenda sana mkeo aiseee namimi niipate wapi furaha jamanii kila sikuuu majutooo nawaonea wivu sana
Gabo ni mzuri kwakweli
Mashallah ❤❤
Miaka mitano kama harus 😅😅😅😅 mastar w bongo bhn
Nawapenda sana❤❤❤❤
hata mimi na mupenda sana Gabo ni mwanaume muzuri sana anajali ,upendo uruma umendo wa Gabo niikweli siyo maigizo na mimi nilikuwa nawaza kuja kumutafuta awe mume wangu
Hongera saaan kwa hiloo
Hizi gari hizi zitakuwa nzuri kila anae igiza lazima zawadi iwe range
❤️❤️❤️❤️
Couple smart
Nawapenda sana
5 Bado angalau 10
Mitano tuu bado sana broo
Mwambie
Uyo mwanamke anapenda apo ujinga
Gabo na nywele tn. Mwenzenu nna zaid ya miaka 15 na sitamani ata kuchinja kuku.
😂😂😂😂
Kwa nini sasa usifanye muombe mungu
@@annagesura8375 kwani nna ham bas
Utafanya tuu mungu ni mwema..@gabo nahisi hizo coz ya tamthilia ya jua kali
Hii anniversary ni Golden au Silver everything have meaning and time. Bongo they mixed up events😂😂
Muhim kume pendeza sio shida zetu
Hiyo ni marriage Buthday Not anniversary, Unniversary ni 25years, 50years, 75years, 100years, Wabongo bana WASHAMBA ALAFU WANAJIFANYA WANAJUA SANA!!
Hakuna watu mbona
Maadili hakuna muogopeni Allaah
Mm mpk najiuliza hivi hawa wanawaza kaburi siku ya kiama allah awajaalie wawe miongoni mwa waja wema allahumma amiin.
Kweli
😂😂😂eti wanawake ni akina Tomaso😂😂....Gabo bhana
TV ,friji,sound bar zipo offer ya warranty mwaka mzima na free delivery
Friji unauzaje nipe bei
Yaani huyu Tiffer anapenda shughuli mzaramo akasome hawezi maliza mwaka bila shughuli ht akianguka chooni ataita watu wafanye part kah anajitahidi kumtengeneza bwana asisepe
😆😆😆😆😆
😂😂😂😂😂😂😂😂aki ww loh 😂😂😂😂
Kwanini wazaramo lakini mbona mnatuonea jamani sasaiv makabila yote yanapenda shuhuri mpaka wametuzid wazaramo 😂
Kweli
@@raybby9291 Mm mwemyewe mzaramo kabisa lkn shughuli nazisikia kwa watu ila tuna sudi mbaya tu
inaonesha jinsi gani mlikuwa amuaminiani kama mtamaliza hata mwaka sasa mmepitiliza mitano mumeona ajabu mkaona mjipongeze ongereni
Wameingiza pesa dr hi kazi
Haha
Mi naomba niulize gabo kuna kipindi niliskia umeoa mke wa pili vp iyo ndoa iyo ndoa ipo au
Tulo na miaka 20 kwenye ndoa tuna comment wapi na hatujawah kufanya sherehe yyt. Ata njiwa hatujachinja 😂😂😂😂
😂😂
😂😂😂
Hahahaahahahhaah
Era😂😂😂😂
😂😂😂 haya yote hyana faida mm naona ila apo maigizo tu
Na siku mukiachana fanyeni sherehe na mtujulishe pia
Hahahaha
Kama si waislamu vile
Afu uyu Dada ni mbaya tu😢
Mmmh sio vizuri ....acha wivu hujui anampenda nini.halafu Lilia bahati sio uzuri
Mbna me naona ni mzuri sanaa me naona
Izo ps si wangelish mayatima 😂
Shingo dada itachokaa
🤣🤣🤣🤣
Ibada kichwa wazi
Umeona eeeh
Wanaweka usuper star mbele ibada nyuma,mtihan sn .
@@aishahasan7722 nakwambia wanawake sisi mtiani sana
Subhanallah 😢
Mashaka ya dunia tumeibeba dunia sana
Nywele wazi🤣
Wanaona wameupiga mwiiiingi😎 watu wana miaka 50 wengine zaidi ya hapo na hakuna matangazo.
Mi 5 😎😁😁 kazi kwakweli.
Furaha yao inakukesha aiseee hatari sana
Wamezdi sasa