TUMEZAMA KWEUPE MCHANA NJOONI MUTUOKOWE

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 23 พ.ค. 2019
  • Usisahau ku like, comment naku subscribe kwenye chanal
    Alfatah tv online
    kwa mawasiliano zaidi piga simu: +255 777 858 490

ความคิดเห็น • 131

  • @msowanelson5452
    @msowanelson5452 5 ปีที่แล้ว +7

    Ukisema muislam ndugu yake muislam neno ili Lina ukakasi wote sisi ni ndugu

  • @alhimnamussasaid3619
    @alhimnamussasaid3619 5 ปีที่แล้ว +20

    ALLAH awalipe khery alfatah kazi kubwa munafanya gonga like kama unawakubali

  • @shaabanothman2454
    @shaabanothman2454 5 ปีที่แล้ว +9

    Subhanallah, wallah ni mtihani sisi tunalala ktk nyumba nzuri wenzetu wanalala ktk vibanda hatuwasaidii, Allah ataenda kutuuliza juu ya neema alizotupa tusipozitoa kwa wenye kuhitaji.

    • @fifo262
      @fifo262 5 ปีที่แล้ว

      Si hamtaki kupungukiwa

  • @alikhalfan9551
    @alikhalfan9551 5 ปีที่แล้ว +7

    Allah awaruzuku kwa rehma zake Naomba utujulishe hichi kijiji kipo maeneo gani sheigh Rashid jazzak llahh kheiyr

  • @zayyatiyussuf9566
    @zayyatiyussuf9566 5 ปีที่แล้ว +8

    SUBUHANALLAH SHEIKH RASHID ALLAH AKULIPE KHERI FIDUNIA WALI AKHERA NA KOO ZIMA YA AL FATAH DAWA

  • @abdalahsuleiman8989
    @abdalahsuleiman8989 5 ปีที่แล้ว +8

    Rashid Allah awarudhuk kwa kazi mnaoifanye

  • @abdullmalik7847
    @abdullmalik7847 4 ปีที่แล้ว

    Ya raab tujalie tuwe wenye kutowa ,,,Allah awazidishia al Fatah Dua zetu muhimu 🇰🇪

  • @munamuhammad211
    @munamuhammad211 5 ปีที่แล้ว +6

    Subuhana Allah,Allah awafanyie wepec ndugu zetu wanapata tabu sana😢😢😢

  • @bichaujuma8065
    @bichaujuma8065 5 ปีที่แล้ว

    INNA LILLAHI WAINNA ILAYHI RAJIUUN MUNGU atupe iman ya kusaidiana waislam

  • @tumtumkhan3115
    @tumtumkhan3115 5 ปีที่แล้ว +6

    Mwenyezi Mungu atawahifadhi In shaa Allah

  • @abdularuffin9308
    @abdularuffin9308 2 ปีที่แล้ว

    Subhannallah eee mola wetu wajaalie waja wako waondokani na umaskini

  • @hamzarajabomari5408
    @hamzarajabomari5408 4 ปีที่แล้ว

    Shukran kubwa sana al fatah TV kwa kuangazia hali kama hii ,wazanzibari mwenyezi mungu awafungulie kila la kheri, wengine wana jilimbizia mishahara minene, hali wengine walala hoi.

  • @abdullahjihaad5793
    @abdullahjihaad5793 5 ปีที่แล้ว +5

    Subhaanallah.
    Allah atuwezeshe kuwasaidia maskini, inasikitisha sana

    • @leyouthaaljabri4949
      @leyouthaaljabri4949 5 ปีที่แล้ว

      Kweli Hali ni ngumu Sana inasikitisha Sana
      Allah awalipe subrah
      Hali inatoa machozi

  • @dcutechbkochbko6617
    @dcutechbkochbko6617 5 ปีที่แล้ว +8

    Tajir na pesa yake maskin na wanawe mungu yuko pamoja nanyi Insha Allah atawalipa

  • @iddysaidihamisi5429
    @iddysaidihamisi5429 5 ปีที่แล้ว +3

    tusilaumu serekali itasaidia wangapi sis wenyew watanzania tupo wengi tukitoa hata 5000 kila mwenye huruma nipesa nyingi sana

  • @hamzakimbe374
    @hamzakimbe374 5 ปีที่แล้ว

    Mwenyezi mungu awajalie wepesi

  • @nadrikhamis1399
    @nadrikhamis1399 5 ปีที่แล้ว +6

    Subhanallah mola tufanyie wepesi waja wakooo

  • @hermankoba4970
    @hermankoba4970 5 ปีที่แล้ว

    Mungu awafanyie wepes kwakwer

  • @asaamwalim8131
    @asaamwalim8131 5 ปีที่แล้ว +8

    ان لله مع صبرينtuwe nasubira tu maishayadunianimapambo ty yenye thaman duni SNA kuliko bawa lambu Allah atakuondosheeni thiki akher kwakuwalipa jannatufirdaus inshaallah

  • @yahyaibrahim6934
    @yahyaibrahim6934 4 ปีที่แล้ว

    Ukiwa unalala pazuri unakula kizuri halaf ukasema mungu hakuoni wallah wallah nnapa unakufuru na kiumbe wewe huna shukurani kwamungu tizama familia inavyoishi kwashida wewe kiumbe mungu kakuruzuku neema yakulala pazuri namafeni yanakupepea ukae ulalamike maisha magumu wallah narudia tena wewe huna shukurani hata kidogo Kwa Allah wallah hio hali inasikitisha sana waisalm wenzetu wanaishi ktk shida kma hio maskeen insikitisha sana sana sana

  • @jumakapilima5674
    @jumakapilima5674 5 ปีที่แล้ว +3

    Mungu awalipe heri inshaallah!!!

  • @jumashaame1270
    @jumashaame1270 5 ปีที่แล้ว +2

    Mungu awalipe kheri alfatah na awaajalie wenye uwezo imani ya kuwaasaidia hawa

  • @amouramour7143
    @amouramour7143 5 ปีที่แล้ว

    Wanaoiba kura waongoze nchi kwa tamaa ya Dunia iko Allah atawauliza na kila mchunga atawaulizwa na atajibu Jiandaeni siku so nyingi Dunia mapito

  • @bintsalimalbimany5340
    @bintsalimalbimany5340 5 ปีที่แล้ว +6

    Innalillah wainnailaih rajiun Machozi yamenitoka Alhamdulillah alaa kulli hal😓 Jaman wenzet wanashida kweli Uarab nakushkur kwa neema ulizotupa jaman mola wetu tuwezeshe kuwasaidia wenzetu hawa

  • @semyjosphat6138
    @semyjosphat6138 5 ปีที่แล้ว +1

    Alhamdulillah tumshkuru mungu kheri na shari zote znatoka kwake mungu atawastiri pamoja na watoto wao

  • @zaynabomar6746
    @zaynabomar6746 5 ปีที่แล้ว

    Dah mackin mngu awafanyie wepc mckin

  • @musasinapalule1767
    @musasinapalule1767 5 ปีที่แล้ว +3

    samahani ndugu mtangazaji kama ndakuwa nimekukosea naomba tuchangie wote sio waislamu tu lekebisha kauli mana sote ni ndugu

    • @iddysaidihamisi5429
      @iddysaidihamisi5429 5 ปีที่แล้ว

      msamehe tu ndugu yetu ameteleza binadam ss sote nindugu sio kidini wala kabila!

  • @twaariqahmad7249
    @twaariqahmad7249 5 ปีที่แล้ว

    Allah awaja'lie kila la kheri dunian na akhera na awaepushe n kila la shari duniani n akhera
    Halaf kuna mtu anakuja anadeslike nashindwa kuelewa wana mioya ya aina gan hawa wasiopend hii

  • @alhimnamussasaid3619
    @alhimnamussasaid3619 5 ปีที่แล้ว +8

    Ni vijiji gani hivi wallahi machozi yanakutoka

    • @zayyatiyussuf9566
      @zayyatiyussuf9566 5 ปีที่แล้ว

      Ndiomana mm huwa siwezi kutizama video

    • @ausihaji2398
      @ausihaji2398 5 ปีที่แล้ว +1

      WaPi hapa

    • @mtumwasamaki6911
      @mtumwasamaki6911 5 ปีที่แล้ว +1

      Plastics na cancer Allah atunusuru na atuhifadhi , atupe subra na tuwasaidie wenye mahitaji zaid

    • @kapuboydaud5209
      @kapuboydaud5209 5 ปีที่แล้ว +1

      Huku nazan nipemba vijijin nimelia Mimi anae jua m/mungu

    • @anelkaking9342
      @anelkaking9342 5 ปีที่แล้ว +1

      Mungu wangu

  • @nurumunguakutangurirabdull4472
    @nurumunguakutangurirabdull4472 5 ปีที่แล้ว +1

    Viongozi washapata wanacho kitaka wamejisahau wote hao wariwafata kuwaomba kura wamejisahau sasa kama kunaviumbe wanawaitaji msaada mungu awafalij 😢😢

  • @salimkhamis3638
    @salimkhamis3638 5 ปีที่แล้ว +8

    Nimelia Walahi nimelia, ni zaidi ya Udhalili! What kind of life?

    • @farhatfatma12
      @farhatfatma12 5 ปีที่แล้ว +1

      Usilie sana. Tuma ulichonacho

  • @mchapakazi3713
    @mchapakazi3713 5 ปีที่แล้ว +1

    Huuu ni msiba mzito siku za kampeni kuelekea uchaguzi gari mzuri zinapaki viwanjani mwa madhalili kama sisi wakitangazwa2 vijiji hivi huwa vinyaa allah awe nanyi msimu huuu wa ramadhani tukiwa tunaelekea edd alfitrii

  • @ayoubabdull1265
    @ayoubabdull1265 5 ปีที่แล้ว

    Alaf mnasema nyumban kumenoga rudin hali ndio hii wazee wetu wanateseka namna hii mungu anawaona subirin mtaona uwezo wake Sub'hanah hamuwez mkaachwa salama ht kidogo
    kwanin mnafanya nchi kama mali yenu na watoto wenu...al fatah shukran za dhat kwenu haya ndio ya kutuonyeshe ...c c watoto wa kimaskin tulio jaribu kujikongoja kidogo tukawaachia hao jamaa hiyo nchi bado inauma ht huku tuliko nyumban ni nyumban tu dah' Enyi wenye uchu wa madaraka na mlio lewa misifa na umaaruuf wangalien haw sio kukod maukumbi na kufutulisha wt mwenyez anawaona ...

  • @omarjoombi8802
    @omarjoombi8802 5 ปีที่แล้ว +2

    Allah atakulipeni alfatah kwa kaz yenu mzur 😢😢mtihan kwel

  • @alikhamis6033
    @alikhamis6033 5 ปีที่แล้ว

    Allah awajaalie inshaAllah

  • @anwaryabdallah7782
    @anwaryabdallah7782 5 ปีที่แล้ว +2

    SUBHANNALLAH,kunawenzetu wanaishi maisha magumu sna😤😤😤

  • @user-dg8qe9rf9h
    @user-dg8qe9rf9h 5 ปีที่แล้ว

    Subhana llah. Allah akulipe kheir dunia hadi akhera sheikh rashid. Na awafanyie wepesi nduguzetu

  • @khadijahkhdoo6387
    @khadijahkhdoo6387 5 ปีที่แล้ว

    Maskiniii dunia hiii kuna watu wanateseka kweli jamaniii duuh,mungu awatizame kwa huruma zake,shukran Al fatah

  • @sportsentertainmentvideo6633
    @sportsentertainmentvideo6633 5 ปีที่แล้ว

    Inna lillah wa inna ilayhi rajiuun!! Kuna watu wanakula wanasaza wanatupa chakula bado wanajiita waislamu hali ya kuwa Kuna watu hawajui hata Daku yao wanaipata vipi ftari yao wanaipata vipi waislamu ni jukumu letu soote kuhakikisha tunawapa faraja ndugu zetu!! Watu wanafadhili mambo ya hovyo yasiyo na manufaa na wao duniani wala akhera wanaacha Kheri hizi!! Allah atuzindue...... Oooh inauma sana!!!

  • @AbdallahJuma-wb8lq
    @AbdallahJuma-wb8lq หลายเดือนก่อน

    Hii,nchi,hainaviongozi,wazanzibar,tushikane,mkono,

  • @abasamwame6583
    @abasamwame6583 5 ปีที่แล้ว +2

    Subhanallah ni wapi huko ndugu mtangazaji Allah awape subira tunaomba direction

  • @salamakhamis7245
    @salamakhamis7245 5 ปีที่แล้ว +1

    Kazi yenu ni nzuri sana kuiubua yaliyofichikana lakini musiwaulize nyama umekula lini mazingira waliyonayo yanatosha kuelewa kila kitu

  • @bintiiomary9500
    @bintiiomary9500 5 ปีที่แล้ว +5

    Yani mumenkumbusha mbali maisha nliokuwa nkihishi n babu n nyanya yangu mungu awarehemu😭😭😭

  • @shamsahassan2586
    @shamsahassan2586 5 ปีที่แล้ว

    inshallah mungu awafanyie tahfeef na wepesi awape stara mama zangu bibi zangu na watoto woote kwa jumla,,na subra iwe pamoja nanyi,,hadi chozi

  • @jumakapilima5674
    @jumakapilima5674 5 ปีที่แล้ว +2

    Kama kweli wewe ni kiongozi halafu una imani, kwa hali hii huwezi kuiba hata kidogo serikalini

    • @mohdmoshi8041
      @mohdmoshi8041 5 ปีที่แล้ว +1

      Mungu atwapa heri halafu unakuta mtu moja anakula rushwa mamilioni masikini hawana hata riski ya siku moja kama mm ndiyo raisi nawanyonga wote wanaokula rushwa

  • @bichaujuma8065
    @bichaujuma8065 5 ปีที่แล้ว

    Inanikumbusha mbali mama yangu ALLAH akurehemu ulipitia machungu km hy YARABBI tuhifadhi

  • @mohammedomar1569
    @mohammedomar1569 5 ปีที่แล้ว

    inalilah wainailaihi rajiun nijukumu letu waislam kusaidiana, katika maisha yangu yote sijawahi kuona watu na hali ngumu kama hii jamani kuna umuhimu wa kutembea vijijini ili tujue hali za ndugu zetu zikoje ewe mola tupe uwezo na nyoyo za kusaidiana 😓

  • @issawaziri2335
    @issawaziri2335 5 ปีที่แล้ว

    Wapi hapo

  • @shunaside8956
    @shunaside8956 5 ปีที่แล้ว

    Subhanallah😢😢😢jmn roho inaniumaaa miee watoto wadg wanatesekaa Allah atafanya wepes amin🤝🤝

  • @al-bsaidykhalef6897
    @al-bsaidykhalef6897 5 ปีที่แล้ว

    Alafu c.c.m wanasema zanzibar wameleta maendeleo fyuuuu

  • @SalahAli-rq5sp
    @SalahAli-rq5sp 5 ปีที่แล้ว

    Kiukweli naumia sana tena sana sisi tunalala pazuri tnakula vzuri kumbe wallah kuna waislamu wenzetu hawana chkula wala makazi Tuzidi kutoa swadaka zetu ili zweze kusaidia kwa ndugu zetu hawa

  • @damsafir2576
    @damsafir2576 5 ปีที่แล้ว +7

    Government issue wakat wa uchaguz wanakuja mbio mbio wakishapata kura bx wanaangalia matumbo yao

  • @alikudura1429
    @alikudura1429 5 ปีที่แล้ว +2

    peleni inauma Sana sehemu Gani hiko mtangazaji Nataka nijuwe wapi huko

  • @mdunguupdates4779
    @mdunguupdates4779 5 ปีที่แล้ว

    Subhaanallah

  • @abdallahally5398
    @abdallahally5398 5 ปีที่แล้ว

    sheikh rashid hicho kijiji gani au shamba gani

  • @mariamlupatu5907
    @mariamlupatu5907 5 ปีที่แล้ว

    Subuhananllah inasikitisha wallah ewe mola wetu wape wepesi waja wako haw waweze kuondikana na maish haya

  • @rahmahussein4019
    @rahmahussein4019 5 ปีที่แล้ว

    M/mungu atawafanyia wepesi Inshallah .

  • @jumahamiduhamidu1076
    @jumahamiduhamidu1076 5 ปีที่แล้ว

    Innaalillaah. M/mungu atawasaidia.. Inasikitisha kila mwenye kuiona hii video asitoe machoz huo ni mpungufu wa iman

  • @hamisiduru1146
    @hamisiduru1146 5 ปีที่แล้ว

    Naomben acaunt Namba ya alfataa nitume zaktulifitrii na sadaka yang kidogo ili niwe miongon mwa walio jisikia nimeona nibora niwatumie hao kulikukon niwape masikin wa hapa mjini ni harasa kubwa ndo mana tunapatwa na maswahibu kila wakati ila hali wwnye kuhitaji msaada wapo wanteseka

  • @alirashid3239
    @alirashid3239 5 ปีที่แล้ว +1

    Yaa Allah machozi yananitoka.

  • @sanhutabdalla9873
    @sanhutabdalla9873 5 ปีที่แล้ว

    Insha AllAh mungu awape subra

  • @shakiramwenye1683
    @shakiramwenye1683 5 ปีที่แล้ว

    Eee,mungu awabarik mnaowajal masikin

  • @husnasalim9614
    @husnasalim9614 3 หลายเดือนก่อน

    😭😭😭😭😭mtihani

  • @missfa4650
    @missfa4650 5 ปีที่แล้ว

    Alhamdulillah

  • @tabuselemani6869
    @tabuselemani6869 5 ปีที่แล้ว

    pole sana ndugu zetu allah atawafanyia wapesi insha allah,ila kwa upeo wangu wangepatiwa japo bati tu kwani wanaweza jenga hata kwa tofali za tope na wakaishi uzuri2

  • @dharesfadhil2236
    @dharesfadhil2236 5 ปีที่แล้ว

    Subhannah llah.alhamdulillah mungu atawasitiri.matajiri mko wapi muastiri wenzenuwallah imeniliza

  • @mesalimrashid6312
    @mesalimrashid6312 5 ปีที่แล้ว

    Very sad wallahi niwapi huko jamani tuwachangie niko mombasa .Chakula kitaisha pia kitaharibika na mvua malazi muhimu mungu mkubwa humo humo mwazaana kupita maelezo.

  • @aliy3303
    @aliy3303 5 ปีที่แล้ว +1

    إنا لله وإنا إليه راجعون.
    يا ألله احفظ من كل بلاء

  • @fahadalbusaidy7182
    @fahadalbusaidy7182 5 ปีที่แล้ว

    Sheikh Rashed hichi ni kijiji gani

  • @hildababyabdullah5627
    @hildababyabdullah5627 5 ปีที่แล้ว +3

    Video inaliza Allah tupe mioyo ya huruma tuwasadie wanyonge

  • @omarhakizimanakishikbongo2186
    @omarhakizimanakishikbongo2186 5 ปีที่แล้ว

    Nikwel baba mungu awarip

  • @user-qr2gj3jp9l
    @user-qr2gj3jp9l 5 ปีที่แล้ว

    Jamani adi nalia mimi dunia hii wengine tumekuja kusindikiza wenzetu 😭

  • @zainabhassan1514
    @zainabhassan1514 5 ปีที่แล้ว +1

    Subbuhanallah

  • @kapuboydaud5209
    @kapuboydaud5209 5 ปีที่แล้ว

    Eee eee m/mungu niongezee lizik niweze kuflahisha masikin wenzangu eee mwenyez mungu machozi haya nayotoa nazan iposiku yata dondokea mikononi mwawatu kama hawa ndugizangu kutoa nisekhem mojawapo jabada naukitoa ulicho nacho na M/mungu hakika atakuongeazea lizki inshaanlah Leo hii kunawatu wanauwezo kwachakur toa ndugu Yangu chakula hiki tuki kitumia vibaya hakika kita tupeleka kwenye shimo lamoto lililo andaliwa watu waovu vyote tuta viacha ila siku yamalipo vita kusanywa vitu vyoto ulivyo kua ukivimilik kama ulikua namakontena yavyakula utaulizwa ulikua ukivitua VIP vitu hiv ndugu Yangu tukumbuke yakua hii dunia sio nchi yetu sisi viumbe tuchukulie mifano kwewezetu tulokua nao hatuko naotena tuishi kama ugenini Wansalahm Anlahnkum

  • @salehsuleiman1218
    @salehsuleiman1218 5 ปีที่แล้ว

    Subhanallah nashindwa hata Ku comment wallah

  • @maryammussa7522
    @maryammussa7522 5 ปีที่แล้ว

    mungu atakulipa inshallah

  • @moodkhamis3850
    @moodkhamis3850 5 ปีที่แล้ว +1

    subhan Allah

    • @maryamali1992
      @maryamali1992 5 ปีที่แล้ว

      Alhamdulilah sisi waislamu Tunategemea Qadari ya Allaah.Nasubira hakika-Allaah yupo nasi.tujitahidi tutoe kidogo tulichojaliwa na Allaah kwa Allaah nikumbwa-sanatu.

  • @hajivuai3454
    @hajivuai3454 5 ปีที่แล้ว

    Nyumba kama hio inatakiwa iwe ya kiongozi ,

  • @abdurahimsaidittobadofplay5815
    @abdurahimsaidittobadofplay5815 5 ปีที่แล้ว

    Subhan ALLAH

  • @aliazani3909
    @aliazani3909 5 ปีที่แล้ว

    Akhi..... huku ni maeneo ya wapi....

  • @nezumamakame3565
    @nezumamakame3565 5 ปีที่แล้ว +1

    Alfatah kijiji gani hiki

    • @user-ts8im2us1s
      @user-ts8im2us1s 5 ปีที่แล้ว

      Zip zanzibar (Kilombero na Matemwe )

    • @jumamohamed2638
      @jumamohamed2638 5 ปีที่แล้ว

      SUBHANA ALLAH ALLAH AWAFANYIE WEPESI NDUGU ZETU HAWA INSHALLAH

    • @khalidsalim5299
      @khalidsalim5299 5 ปีที่แล้ว

      Subhaanallaahi wabihamdihi subhaanallaahil adhwiim, ALLAHU AKBAAR

    • @mtumwasamaki6911
      @mtumwasamaki6911 5 ปีที่แล้ว

      We Amana acha siasa hii jumuiya lengo lake in kuwaibua wenye mahitaji ili wasaidiwe kama una uwezo saidia, huu sio uwanja wa Kampeni jielewe

  • @ayunramadhan3104
    @ayunramadhan3104 5 ปีที่แล้ว

    Subhannallah

  • @anelkaking9342
    @anelkaking9342 5 ปีที่แล้ว

    Mungu wangu.kijiji icho kipo wapi?

  • @musakhalff1850
    @musakhalff1850 5 ปีที่แล้ว

    Mpo wapi ofisi zenu

  • @susangibai2691
    @susangibai2691 5 ปีที่แล้ว

    duuu, niwapi hapo mkoa gani,wilaya gani?

  • @tezuratezura8452
    @tezuratezura8452 5 ปีที่แล้ว

    Da hii nidhima kiukweli mhh huku mjini tunazimwaga nyama

  • @halimangereza3587
    @halimangereza3587 5 ปีที่แล้ว

    Mbona guozao zuri hata mm familia yangu haina uwezo kwamm masini najua ukiwana shida padezote utaona zinashi nguo zuri nyumba baya mmm

  • @alibaraka6699
    @alibaraka6699 5 ปีที่แล้ว

    Ni Unguja au Tanga?

  • @khalfansharji9790
    @khalfansharji9790 5 ปีที่แล้ว

    LAILAHAILALLAH MUHAMADUN RASUULULLAH Dhima waisilamu hasa wenye mali toeni zaka za mali zenu na muzielekeze huku lakini AL FATAH Waambieni watu ni kijiji gani?

  • @magrethmanintveld2486
    @magrethmanintveld2486 5 ปีที่แล้ว

    Kwani hapo Ni wapi

  • @hajivuai3454
    @hajivuai3454 5 ปีที่แล้ว +2

    Kwanini wasijengewe nyumba 2 kama vile za michenzani?

    • @farhatfatma12
      @farhatfatma12 5 ปีที่แล้ว

      Nani ajenge, serikali ya Mapinduzi? Tusahau

  • @nassorobinalli3687
    @nassorobinalli3687 5 ปีที่แล้ว

    Subuhana llah

  • @neemagambere9987
    @neemagambere9987 5 ปีที่แล้ว

    subuhanaallahh

  • @AliAli-xi3hu
    @AliAli-xi3hu 5 ปีที่แล้ว

    Pelekeni hiyo clip ustawi wa jamii

  • @Aisha-om9go
    @Aisha-om9go 5 ปีที่แล้ว

    Subhanallah

  • @khalifanassor5349
    @khalifanassor5349 5 ปีที่แล้ว

    Mimi nipo uk vipi naweza Kurosawa chochote

  • @fatumamwalimu5765
    @fatumamwalimu5765 5 ปีที่แล้ว

    Muwatafutie na makaazi pia japo nyumba ya vyumba viwili

  • @ausihaji2398
    @ausihaji2398 5 ปีที่แล้ว

    Kijiji gani hichi hapa znz

  • @lusajomwakalinga1374
    @lusajomwakalinga1374 5 ปีที่แล้ว

    Ni wapi huko jamani kaa movie

  • @mussahilika9622
    @mussahilika9622 5 ปีที่แล้ว

    Shekh rashid hii ni sehm gani