Alhamdullillah ......tafadhalini waislamu sote tufanyeni juhudi yakusaidia wenzetu ....Allah ndio mwenye kupeana na ndie mwenye kukunyima ..tutoeni kwaajili yake
Asalam alaikum jamani huyo mama usaidiwe nijambo muhimu sana lakinipia serikali inawahifadhi wazeekama hao wenye maisha magumu huyo mama apelekwe katika nyumba za Wazeee akatulie nafsiyake
Sisi tuliokementi je tunamsaidiaje..ushauri apatikane mmoja wetu ambae anauwezo wa kufika hapo alipo na aangaliwe nini tunamsaidia kwa kumchangia chochote...awe na imani mmoja wetu ya kupokea michango na kuifikisha...
Bismillah rahman rahim.ALLAH akulipeni kwa jitihada izo na atutosheleze kila moja miongoni mwetu maana soote twamtegemea yeye aliyetukuka na ndo tajiri mwenye kujitosheleza.ila hakunagisi ingejengwa sehem yakuwakusanya watu aina iyi ?yakajengwa majumba yawazee ivo inakuwa wepesi katika kuwafatilia?ALLAH akupeni muongozi sahihi .
Alhamdullillah ......tafadhalini waislamu sote tufanyeni juhudi yakusaidia wenzetu ....Allah ndio mwenye kupeana na ndie mwenye kukunyima ..tutoeni kwaajili yake
Pole sana bibi mungu atkutolea njia
Leo munge kuwa muko mbali kama sio mapenduzi 1964 👏🏻👏🏻👏🏻👏🏻👏🏻 poleni sana
Subhanallah viongozi tuliokalia viti tuko wapi ?? Inasikitisha sana
Asalam Alaykum ndugu zangu tumsaidieni huyu bibi hata kwa chumba kimoja tu.... Alivyokuwa tayari kwa msaada mkono juuuu
Maskini kwa apo msaada wa mwanzo asaidiwe kula nguo na ilobanda japo chumba na choo lirekebishwe liwe latofali wasiingie machatu.
Subhanallah allah muifazi mjawako mtengenezee maisha hapaduniani nakesho akher
Yaallah inasikitisha kwakweli allah atupe nguvu tumsaidie mama yetu
Zuz Habsia inshallah mungu awe pamoja nae
Masikini wanaonyesha imani,
Waislam jamani pepo hii tuinunueni kwa mali yake Allah
Hata kuhoji hamjuwi
😢😢😢ya Allah tupe moyo zaidi wa kutoa .
Kama hamtojali nipeni bb nikae nae 0673369571namba zangu hizo
Nipeni bb huyo jmn
uyo Bibi anatkiwa asaidiwe
Jamani hivi viongozi mnayaona haya? Hebu tuchukue hatua, Hawa wazee tuwasaidie,tusiwazie jinsi kukusanya kura za udiwani au ubunge tu.
Tunamsaidia vp sasa
Allah atamfarij na yup nae ishaallah
amiin
Yaaarabi tujaalie tuwe wepes wa kutoa inshaaallaah
SUBHANALLAH.
Masikini Bibi anatia huruma.
Mnaonajee?
Masoud manganga nilikumiss ,,ktv kumbe uko Huku,,
SASA tutampataje
Allah ampe wepes
Mungu amfanyie mwepc mam hyu ni maish ya kusikitish kwa kweli
Vip ameshapata wa kumchukua
Sasa akiumwa anasaidiwa na nani
namba ya kuchangia ?
😢😢😢😢😢😢😢😢😢
😭😭😭😭😭😭😭😭ilo chatu mwenzangu😭😭😭😭😭
Bibi je! uko tayari nikunusuru uwe mke wa nne?🙏🙏🙏 😎
Huna Akili muombe msamaha hoyo bibi muna siku utajuta
Unaaki kweli wewe
Ibrahim Chami ibrahim
Mpange kisha mtwambie mrichoamua juu ya bibi
Anamtania si bibi yake
Asalam alaikum jamani huyo mama usaidiwe nijambo muhimu sana lakinipia serikali inawahifadhi wazeekama hao wenye maisha magumu huyo mama apelekwe katika nyumba za Wazeee akatulie nafsiyake
Allah amfanyie wepesi inshaallah tujitahidini waislam kutoa unachokitoa ndio chako
Subhanallah.tunpoziona shida zetu ngumu tuangilie wale wazaidi yetu.
Sisi tuliokementi je tunamsaidiaje..ushauri apatikane mmoja wetu ambae anauwezo wa kufika hapo alipo na aangaliwe nini tunamsaidia kwa kumchangia chochote...awe na imani mmoja wetu ya kupokea michango na kuifikisha...
Wallah Allah Raheem Allah ni mkubwa jaman bibi uyu anaishi mwenyewe lkn Allah amempa afya na amani 😭😭😭😭
JAMAN WAISLAM TUNA MSAIDIAJE MM INANIUZUNISHA
Maskini mama anahuzunisha daaaah mungu yupo pamoja na ww mama
Alfatah tv Online Dira ya Ummah
Akikubali kuchukuliwa je mi nipo tyr nije niishi nae msikilizeni
Kweli utakuwa umefanya jambola maana naam akasikiliwe kwa imani yakoutapata tu watu wa kukuunga mkono
Napia atakua hajihisi mpweke
Allah akubarik atakulipa kwa wema wako..mchukue Allah atakuwa na ww
ssomtu ana mungu yeye ndie atakaejibu maombi yake inshaallah
Pole sana mama yetu .Allah aleta wepes inshallah
hawa ndio w2 wakuangaliwa nakusaidiwa ela serikali iliyopo haijitambui kabisa
Waislam tushikane tumuokoe bibietu,,,
Inasikitisha kweli jamani Alfatah msaaidiani nyumba yenyewe yavuja mtafutie watu wakiishi nae kuna ugonjwa jamani dooo
Mm naona kwanza chakula na huku tunamjengea nyumba japo chumba kimoja,jiko,ukumbi na choo
Kwa kweli ni sad kubwa duniani kwa kweli tuna mitihani wanadamu tumuombe Allah atuondolee mitihani inaskitisha hii video kwa kweli machozi yatiririka
Daghh leo ndio nineamini ukijiona ww ni maskini elewa kua kuna maskini zaidi yako😥😓
Alley Mau unakaa sehemu gani mwenzangu ata ukaamini leo
Yaa Allah tupe moyo wakuwasaidia maskin hata kwa kidog tulichonacho
Ndio hivyo
Ameen
Amen
Masikini Bibi anatia huruma.
Masikini bibi, nivyema tujitolee kuwasadia wenzetu iwapo tunauwezo
Bismillah rahman rahim.ALLAH akulipeni kwa jitihada izo na atutosheleze kila moja miongoni mwetu maana soote twamtegemea yeye aliyetukuka na ndo tajiri mwenye kujitosheleza.ila hakunagisi ingejengwa sehem yakuwakusanya watu aina iyi ?yakajengwa majumba yawazee ivo inakuwa wepesi katika kuwafatilia?ALLAH akupeni muongozi sahihi .
itabidi apelekwe kwa wazee co kukaa peke yke sio maisha mazur inawezkn ikawa tatzo likitokea Hakuna wakumsaidia
Serikali watu kama hawa ndio wakusaidia
pole sana bibi allah atupe kheri ishaallah
Na nyie serekali muwawake nyumba za wazee kama hao mana ndani msitu kama huo ndio utakuja kusikia kabakwa mana washenz wapo tele. Mitihani kweli
Allah muifazi mjawako hiyu mvue mazito alonayo
Subuhanallah
Muwe munaweka na namba pia ili iwe rahisi kutuma chochotr
pole sana mama.
Bora ajegewe nyumba ndogo riski hakosi
Daa inauma kwa sasa anakaa wapi
Bora achukuliwe kwa wazee kwa sababu hana mtu itakua bora kwake
Duh! Bibi anatia huruma sana zaidi ya sana !!
Anahitaji kua na mtu khasa wakukaa nae kujengewa hebu Waislam kweli tujiulize imani zetu ziko wapi Viongozi wako wapi lailaha ila llah tutakwenda ulizwa kesho mbele yaAllah
sinalakusema😭😭😭😭
As salam aleykum...watu washare hii video kwa social media zote ili huyu bibi apate kusaidiwa kwa uwezo ya Allah
How can I help I need contact pls
Contact alfatah TV the woman has said will accept whatever you will donate for her. Thank you for showing interest of helping this old woman.
😭
Mimi huko sikujuwi,,,, nitampatajee huyo mama,,,, nitajitoleya kukaa nae Mimi,,,,napatikana nungwi 0620634029 namba zangu hizo