TUHUMA NZITO: POLISI WADAIWA KUGAWANA MILIONI 9 za MFANYABIASHARA na MTUHUMIWA MANYARA...
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 2 เม.ย. 2023
- TUHUMA NZITO: POLISI WADAIWA KUGAWANA MILIONI 9 za MFANYABIASHARA na MTUHUMIWA MANYARA...
Hii ni taarifa kutokea Magugu Mkoani Manyara ambapo inahusu wizi wa zaidi ya Mil 9. Inadaiwa mnamo January Sita mwaka ishirini na tatu mfanyabiashara wa huduma za fedha HASSAN ALLY NGARE kutoka Ngarenegro Agency aliibiwa zaidi ya tsh Mil 9 na aliyekuwa mfanyakazi wake Peter Stanley.
Inaelezwa kuwa baada ya tukio hilo NGARE alikwenda kutoa taarifa polisi lakini inadaiwa hakupata ushirikiano wa moja kwa moja kitendo ambacho kilimfanya aingie mtaani mwenyewe na kuwakamata wanaodaiwa kuwa watuhumiwa waliohusika kupanga chama ya kumuibia fedha hizo.
Katika siku tofauti na maeneo tofauti NGARE aliwakamata watuhumiwa watano akiwemo aliyekuwa mfanyakazi wake Peter Stanley anayedaiwa kuwa mtuhumiwa namba moja na kuwafikisha katika vituo vya polisi vya magugu na Babati vilivyopo mkoani manyara.
Baadae watuhumiwa hao wote waliachiwa kwa dhamana ikielezwa uchunguzi unaendelea dhidi yao,
lakini maelezo hayo ni tofauti na Minong'ono iliyopo mitaani inayodai polisi wanachelewesha shauri hilo kwa kudaiwa kuwa waligawana fedha alizoiba mtuhumiwa huyo.
Wanadai kipindi NGARE alipokwenda kuripoti tukio la kuibiwa polisi walimpigia simu Mtuhumiwa na kumwomba kiasi Cha fedha ili wafute kesi yake.
Minong'ono hiyo imetufanya tumtafute kamanda wa jeshi la polisi la mkoa wa manyara ACP GEORGE KATABAZI ili ayatoe madukuduku yaliyomo mitaani juu ya sakata hilo.
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
⚫️ VISIT COMEDY PLAYLIST: • GLOBAL COMEDY/MOVIES
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltvonline
Nikawaida ya police wa Tz,
Bora hata hawajakuua ndugu.
aki ya mungu yaani polis badala ya kutoa msaada na wao wanachukua kweli pesa mwanaharamu
Samehe tu.yasikukute mabaya zaidi ya hayo.kikubwa uzima.Duwa la mwenye kudhurumiwa alikwami ,Mlilie Allah kesha ukilia.😭😭😭😭😭🙏
Asamehe Milioni 9 kwani aliziokota? We unaweza au unarahisisha kwa mwenzako tu🤷 jasho la Mtu achana nalo kabisa we ndugu!
Jeshi la polisi linahusika na matukio mengi ya kitapeli hata kamanda wa polisi mkoa anajitetea tu kwa vyovyote polisi watabebana kwenye hilo tukio
Kabisa ni sawa na ile ya Mtwara sio waaminifu
Ndio maana wengine wanachukua Sheria mkononi na kuua lakini vyanzo ni watu tunaowategemea kutusaidia.
Sahh kabisa kaka
Wote wazilipe hizo pesa polisi janjajanja nyingi sana
Polisi polisi polisi. Mnajizalilisha sana tena sana. Nchi hii ninakila sababu ya kujakugombea urais vitu kama hivi sintataka kuona uchafu kama huu .
Njaa Kali hawa
Heee! Hii ndiyo Polisi ta TZ Bwanaaa. Porojo.Tutarudi sheria MIKONONI HIVI PUNDE
Hata aibu yana mungu tusaidie sana
Polisi mnakera Sana na mnajaaa mno.
Hiiniatali sana pole sana
Wafukuzwe kazi haraka hao police hao ndio wanao lichafua jeshi la police
Sasa wanachunguza nn wakati Alie chukua hizo pesa kasema wamegawana na police. Kamanda anapo ongea ajue anaongea na watu wenye akili.
Nchi imeoza.
Mama samia aingilie kati maan hapo hakutendewa haki kabisa
Arusha kila siku matukio dah 🤲🤲🤲🤲
We nae huna listening skills. Umesikia magugu mkoa Manyara bado unasema Arusha. Kiboooo uwe unasikiliza vzr
Hakuna upelelezi hapo Daaaaa R.i.p Baba ulisema tutakukumbuka kweli kwenye hili nakukumbuka.
Bora JKT.
Maneno mengii haya a maana yoyote, km kiongozi ilitakiwa kuchukua hatua tu , daah PolisiTz njaa zitawauwa
Wamesahau mambo ya zanzibar kilicho mkuta yule polisi shoga
tz jmn polic sio waminifu kabsaa nawao ni wezi wakubwaa mtu kashakiri sasa mnachunguza nn na mnapeleleza kitu gan sio kama mnarea majambazi kwenye jeshi ra polic mnayafanya mambo makubwa wakanti ni simpori
Hili jeshi kama ningekua Raisi ningelifuta kabisa. Na kazi hii ningewapa jkt.
Daah umewaza kwa usahihi sana
Kabisaa ni matapeli
Duh!
Tumefika hapo jamani?
Kweli urefu wa kamba una matatizo yake.
Ata yeye kala hzo pesa, yaani hapo alieiba ndio wanamlinda alieibiwa imekula kwake, daah! inauma sana
Wananjaa Kali Hawa police wetu
Yani kama watu wa kukamatwa kwanza ni police😅kwakula rushwa japo sio wote lakini wengi wao wanajali matumbo yao tu nasio kulinda Raia na Mali zao 🤸
Hapo police anasema alie ibiwa aje ofisin hana haya anataka rushwa upelelezi gani huo kama sinja tu we sema tu alipe rushwa n pesa yake mumpe hivi serikal mko wapi police ndo wakumtetea akapewa pesa yke kesi ya dakika moja tu mkurudishia pesa yke lakin kwa njaa wanamzungusha jaman acheni dhulma hasan ndugu yangu nenda katowe rushwa utarudishiwa pesa yko nusu
Mtihan jaman police badiliken mnaichafuwa tanzania
Polisi Tanzania wana njaa sana mshahara nimdogo sana, wanajikuta wanakula rushwa bila kificho, ila hawa polis hawa, wangetukabidhi wananchi tudili nao tu wenyewe wangenyooka basi tu.😞😞😞
Polis shida sio mishahara unaijua mishahara yao???? Ni roho ya kikatili tu
Jina la polisi wangebadili tu liitwe kulingana na kazi wanazofanya et mnasemaje wananchi
Majambazi walio sajiliwa na
Serkari 👉🤣😂
@@josephmugala1970 umeona ee 😁
Mbona ata hayo maelezo ya huyo kamanda mwenyewe yanatia shaka sana Tena sana mmmmmh
Tumchangie hassan walau bukubuku aendelee na BIASHARA yake mi nipo tayar walau buku1
Uyo Mzee ao police 👮🏿♀️ wata muuwa police wa Tz nawajua sana ili wapoteze ushaidi kwanz anavyo ongea ana onyesha ana anajua kila kitu niko paleeeeeeh wasipo muuwa basi wata mjerui
Umsikilize vip kamanda kwani wew hupokei ripoti kutoka kwa watendaji wako na kama haujaletewa ripoti unapopata malalamiko je hujui jukumu lako hadi useme aje ofisini kwako?
MAFUA YA WAONEZI YASIPONE HADI WATUBU.
Maswali mazuri sana sema mjibuji ndo chenga
Dooo Nduguyangu Kwa maneno ya Kamanda apo umepigiwa hakuna haki itakayopatikana maana Kamanda anajikanyaga tu
Ushahidi Gani Tena?mbona Kila kitu Kiko wazi?Hakika Polisi wetu ni hatari sana.RPC unaongea Nini?Kwa Nini usiamze na hao askari wako?Hq
Mmmmmmh,
Awe makini wakati wakufika ofisini kwa kamanda,,
Binafsi nashindwa kumuelewa kabisaaaa.
Aibu kubwa sana
Ndomaana mganza wamechoma kituo kwaajili ya ujinga wenuuu
Polisi anakuwa hana majibu ya msingi duuh! Mtihani sana
Dah! Kweli huu ni muda wa kupiga Dili hatal
Mambo ya Hamza hayo halafu baadae mje kusema gaidi.
Polisi ni matakataka
Police wamezoeya kazi
Yakithibitishwa hayo yanayosemwa mh!..warudishe Fedha, wafukuzwe Kazi na wafungwe!🔗
Polis hawa Mungu anawaona ,mtakuja kuwalipa haya yote mnayoyafanya haya
ushaibiwa unasikia majibu ni kurushiana mzigo sio ufuatiliaje hapo give up and learn to keep off people watu ni wabaya so best soln ni ku keep off people iwe fundisho kwako usimsaidie mtu yeyote
Yaani police ni tatizo sana yaani wakae tu nawajitafakari,na chanzo cha matatizo ukichunguza ni police.Police wanatamaa police wana roho mbaya yaani police sio sehemu salama.Kwanza mi nawachukia police mno
Kweli wqnatia hasira basi tu
Kweli maisha ni magumu duh
Kesi ya nyani umpelekee ngedele, Police wa Tanzania lao moja wanakula na ao wakubwa wao
Mi sina ham na police wa TZ Et ukitaka haki nenda police hicho kitu hakipo bado dhulma ni kubwa, mama anapashwa kuliangalia hili. Kesi ya mwizi na mtuhumiwa yupo toka mwezi wa kwanza haijafikishwa mahakamaniiiii. alafu anakuja kiongozi wa police wa juu anatetea ujinga.
Hii ndio Mana raia wanachukua sheria mkono askar wanabebana sana
Hata maelezo anayotoa kamanda wa polisi yanatia shaka juu ya uadilifu wake,huenda naye ni sehemu ya tatizo.
Acha siasa kamanda hutoshi kuwa kamanda wa police mkoa ewe hewa kabisa
Uniibie pesa zangu alafu uniambie umegawana na polisi halafu nikuache salama? … Hii mechi ingeishia mtaani tena mapema sana..
Saaana
Sasa huyo afisa mwenyewe mbona anamung'unya maneno tu..nyie mmemuelelewa anachokiongea jamani?
Hii ndiyo police Tanzania
Ni kweli ndio zao hizo
Huyu mlalamikaji ana Mungu sana maana mpka sasa hamza wa pili angetokea huku manyara
Baadhi ya police ni wapuuzi sana,na ndiyo chanzo cha kuishi maisha ya wasiwasi na hofu nyingi kwa mtuhumiwa,hata kama police wamemuhakikishia ulinzi kwake kama ana akili timamu hana amani na hatakuwa na amani maishani mwake,atafute pesa amlipe aliyemibia direct aishi kwa amani mtaani,aachane na police,njaa na kujiendekeza zimewashusha sana thamani ya kazi ya police
Kila nikiandika comment nafuta... ngoja nisiandike zaidi ya hapa
Hayo maelezo ya kamanda hayana matumain kwa mlalamikaji mi ushauri hata huyo kamanda afanyiwe uchunguzi haiwezekani kesi inataka kuwachoma hata wao alafu mtuhumiwa Yuko huru kwa zamana nin hiyo au wanalegeza wakali ya mlalamikaji
Duuuu IGP ingilia kati hili huyu police hafai kukalia hicho kiti. Maelezo yake inaonyesha huu mchezo anaujua mwanzo mwisho.
Polisi Tanzania 🏃🏃🏃🏃🏃🏃
Kwikwi
ukifungua biashara ajiri ndugu yako ili akikuibia ni kama msaada kwa ukooo hawa watu baki usiwasaidie hata anadanja hapo muangalie muambie ni maamuzi yako hili jambo limenisikitisha sanaaa unatafuta pesa kwa shida mtu ambaye hajui misingi ya hizo pesa anakuibia soln ni usimsaidie mtu yeyote ndugu yako tuu
Hapa hakuna jeshi ni genge tu la wahuni wengi hawana weledi wanafanya kazi kama vibaka.
Duuu, polisi bwana 🤣🤣🤣🤣
😄😄😄😄😄😄
Kwa kuruka ndio wenyewe ile ya Mtwara tu imefukiwa hawa sio waaminifu
Polisi kuwadhurumu wananchi yanatokea bongo tu huku majuu mambo kama hayo hayakei bongo ingeanzisha sheria ya kila mwananchi afungue BankID ili watu waitumie kulipa kila kitu ili hata ukiibiwa kwenye mitandao itaonyesha pesa imeenda kwa nani na utarudishiwa pesa zako sababu utakuwa na ushahidi watu wengi huku majuu tunatumia BankID imesaidia sana kupunguza wizi kuliko kutembea na pesa
Polisi wa ichi hii ni zaidi ya majambazi
Jeshi mnatia aibu sana kamanda unajikanyaga hata huna majibu sahihi, utapeli
HIVI KWA MATUKIO HAYA NA MENGINEYO IMANI KWA JESHI LA POLISI ITATOKA WAPI??? WASHENZI SANA HAWA NDOROBO
Police hapo ndipo mnakuwaga mnafeli rushwaaaaaa
polisi ni shida sana tena sana upumbavu tu
RIP Baba Magufuli Tutakukumbuka.
Uchunguzi wa nn kannda wakati wezi wapi na wanao lichafua jeshi la police wapo
BORA KUSIWE NA KAZI YA POLISI LIWEPO JWTZ
Wanapeleleza nini wakati mtuhumiwa kakiri jamani jamani polisi pua kabisa🤣🤣🤣
Hapana kamanda inaelekea ujui kinacho endelea.fatilia kama mtuu miwa mmeshindwa mkamata.inakuaje.wacha majibu mepesi.msiwape watu hasira
Kwaiyo.nyinyi.mnatafuata.upelelezi.gani.wakati.muizi.mnamjua.mimi.binafsi.nawachukia.sana.kwa.tabia.zenu.ndio.
Hapa Kuna shida
Aende kwa mkuu wa wilaya
Hakuna msaada
Mbona ulisema alikuwa hapokei simu sasa hao polisi waliongea naye vipi
Sasa unafikiri angesema nn zaidi ya alichokisema..kwamba jeshi la police linaendelea na uchunguzi..sasa kazi kwako wewe uliebiwa.ndo maana watu wengine wanamalizana huku huku ukipeleka police imekula kwako..
We
Jama ajitaidi afike kwa IGP
Hayo ndio yanayofanyika Tanzania yetu polisi wanafanya hivyo hata mm nilishafanyiwa hivyo.
Police amchunguze police mazingaombwe
Hawa ni shida
Kamata askari wote hao
Polisi wamezoe wizi Mtwara wamemuibia mtu na kumtoa uhai adi leo hakuna kilicho fanyika
Kesi ya nyani hawezi kuhukumu ngedere
Hii nchi Tanzania ni nchi ya mavi kunuka na hao wanyama police ni washenzi na wezi tu hawana hata maana , halafu mkuu wa nchi yupo huyo bibi tozo busy na vikao na kuomba omba waziri wa mambo ya ndani yuko kimya , haikuwa ajabu wananchi geita kuchoma kituo cha police maana wamechoka na hao wahuni na wezi police, na lazima kuwe na chombo maalumu cha ku deal na uhalifu wa police
Hakuna lolote upelelezi wa nini mwizi amekamatwa na fedha amekili kweli fedha ameiba na kagawana na polisi mizunguko ya nini?
Kwa nini alomdamini hajalipa?
Huyu mkuu hanayohongea mwizi hinajulisha hii pesa kala himepita mikononi mwake jambazi mkubwa 😂
MAJAMBAZI HAYO
Hilo ni kosa la madai cyo jinai
Upelelezi huo hauna weledi jamani hauzidi siku tatu hapo vipi?
Upelelez gan bhn mda unaenda iyo hela ndo maisha ya uyo mtu