NIOKOE, USINIACHE NITEKETEE

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 21 มี.ค. 2023
  • Kutoka AL FATAH TV .
    Usisahau ku like, comment naku subscribe kwenye chanal Alfatah tv online kwa mawasiliano zaidi piga simu: +255 777 858 490
    #AlfatahTvOnline​​​​​​​​​​​​
    #AlfatahCharitableAssociation​​​​​​​​​​​​
    #ZANZIBAR​​

ความคิดเห็น • 95

  • @MariyamusefukhamissiMariyamuse
    @MariyamusefukhamissiMariyamuse 2 หลายเดือนก่อน +1

    Subhannal-llah ya Rabby tuweke wepesi tuwe miongoni mwa wale wanao jitoleya kwakila jambo😢😢😢🤲🤲🤲🤲🤲

  • @nailamohd7693
    @nailamohd7693 ปีที่แล้ว +11

    Subhanallah inahuzunisha mtangazaji mbona hua husemi wapi au nyumbani huko zanzibar hata ukiomba mzanzibar basi umefikwa saana sio desturi yetu lkn inabidi iwe hivo kwa njaa iloingia na umaskini sio mashamba tuu mtangazaji hata huku mjini usione tunawasha taa kula hamna unavoamka ndivo unavolala Allah atustiri na atufanyie wepesi na ramadhani hii

    • @saeedmassoud256
      @saeedmassoud256 ปีที่แล้ว +4

      Hyo ni unguja vijijini huko ndugu yngu tuwasaidie ndugu zetu kw hli yyte tuliojaliwa nayo na Allah atahualpa na ramadhan hii inshallah

    • @othmaniddi7637
      @othmaniddi7637 ปีที่แล้ว +1

      Amiin ya Allah

    • @salumjuma3152
      @salumjuma3152 ปีที่แล้ว +1

      Subhana llah tunaomba mtupatie direction ya hichi kijiji jamani tuende tukatembe na tujifunze kupitia wao kwa kweli Hali ngumu sana

  • @zainabissa7851
    @zainabissa7851 ปีที่แล้ว +2

    Dhambi zetu nakama haichagui mwema na mbaya Allah atupe taufik tutubie

  • @yousufyousuf5963
    @yousufyousuf5963 ปีที่แล้ว +1

    Subhanna allah awaruzuk awape wepes duh tuwaseidien allah atatulpa twendako

  • @arafajabir3194
    @arafajabir3194 ปีที่แล้ว +1

    Subhanallah yarab wape sahali waja wako Ameen

  • @fatmabakar5767
    @fatmabakar5767 ปีที่แล้ว +2

    Subhanallah.Alfatah tv mtu akitaka kuchangia anatumia njia gani

    • @munaytwinkle8106
      @munaytwinkle8106 ปีที่แล้ว

      Namba za simu zipo kwenye video au ofisi ipo amani, msikiti wa amani zanzibar

  • @halimaa9367
    @halimaa9367 ปีที่แล้ว +1

    Subhanalha Alhamdulhai hala kuli naama

  • @user-rk9qj9ob1p
    @user-rk9qj9ob1p 3 หลายเดือนก่อน

    Allah akujengeye nyumba ktk pepo yake ya firdausi hakika Allah akuona jitihada zako sheke rashdi pia Allah akupe mwisho uliobora ww na familia yako

  • @waheedaw1953
    @waheedaw1953 ปีที่แล้ว +1

    inshaAllah Allah atuwezeshe inshaAllah

  • @user-oo1vz3zi1t
    @user-oo1vz3zi1t 4 หลายเดือนก่อน +1

    Mbona weng wazee niwap huko Allah tunakuomba simamia Familia hizi

  • @fatmakhatib2935
    @fatmakhatib2935 ปีที่แล้ว +1

    Ww kama unatoa msaada towa usijadili kizazi sjui watoto wengi hayo ni majaaliwa ya Mungu

  • @lailahumaid2011
    @lailahumaid2011 ปีที่แล้ว +1

    Subhanallah Allah atawapa inshaallah

  • @mwanaidatkhamis5310
    @mwanaidatkhamis5310 ปีที่แล้ว +1

    Subhana Allah Allah awape Subra 😭

  • @zaitunisinamenye1799
    @zaitunisinamenye1799 ปีที่แล้ว +1

    Subhanallah, Allah akowa waja wako

  • @Muslim-gs6rn
    @Muslim-gs6rn ปีที่แล้ว +3

    Yaaarab watanzania tumsaidie huyu mama wallah 😢😢😢😢

  • @user-gg5ow9bg6y
    @user-gg5ow9bg6y 27 วันที่ผ่านมา

    😭😭😭. Ahrahu akbaru

  • @AlAl-sd9pl
    @AlAl-sd9pl 2 หลายเดือนก่อน

    Jaman watt kumi umezaaa mwenzetu ulikua hausikii uchungu

    • @OmanOman-dd5qk
      @OmanOman-dd5qk หลายเดือนก่อน

      Yani huyu mama nitajili wakesho mungu anarehemazake

  • @user-kx5yr4vr5r
    @user-kx5yr4vr5r 3 หลายเดือนก่อน +1

    Kwa ukweli inahuzunisha hivi serikali haiwaoni watu kama Hawa

  • @abdullatifomar111
    @abdullatifomar111 ปีที่แล้ว +2

    Allah awape subra ndugu zetu na wazazi wetu hao Allah awajaalie kila la kheri katik maish haya na waifunge ramadhan wakiwa hai na uzima na kwa furah tele kikubwa zaid wawe na subra na iman kubwa kwa Allah hakika yeye siku zote hamuachi mkono mja wake ipo siku Allah ataleta kher na baraka kutoka kwa Allah kilichobakia n kuwaombea dua kwa Allah ili maisha yao yawe mazur kama wengine

  • @sadaalsheibani7106
    @sadaalsheibani7106 ปีที่แล้ว +3

    😢😢 yaallah

  • @shafiisalim1686
    @shafiisalim1686 ปีที่แล้ว +2

    Samahani naomba kufahamu hichi ni kijiji gani

  • @Muslim-gs6rn
    @Muslim-gs6rn ปีที่แล้ว +7

    Hamna group la wasp nataka hizi clip niwape waarabu wangu mashallah wanato sana nashare hii clip

    • @myunaniniahmad6463
      @myunaniniahmad6463 ปีที่แล้ว +2

      Kabisa, na hatakama kuna uwezekano wa kutafusiriwa kiarabu ni vizuri. Kuna waarabu hawajui kiswahili wale wenyewe.

    • @mustaphakijazi9807
      @mustaphakijazi9807 ปีที่แล้ว +1

      Assalamu alaikum Ninashida na namba yako ya whatsapp nikutumie picha ii ujuwe ni jinsi gan utaweza kuwasaidia

    • @Muslim-gs6rn
      @Muslim-gs6rn ปีที่แล้ว +1

      @@mustaphakijazi9807 ipo

    • @mustaphakijazi9807
      @mustaphakijazi9807 ปีที่แล้ว

      @@Muslim-gs6rn nisaidie namba yako ya whatsapp ndugu

    • @munaahmed8499
      @munaahmed8499 ปีที่แล้ว +1

      Nisaidie na mm nike huko nifanye kazi sina mama na baba maisha yng ni taabu ndugu yng

  • @mamitomamita6284
    @mamitomamita6284 5 หลายเดือนก่อน

    SUBHANA ALLAH

  • @fatimasaid9469
    @fatimasaid9469 ปีที่แล้ว +1

    Subbuhanallah 😓.

  • @arafamke
    @arafamke ปีที่แล้ว +4

    Asalam walaiku jaman naomba mtoto moja nitamle kwajili ya Allah 😭😭😭

  • @hashilfarahany
    @hashilfarahany ปีที่แล้ว +1

    Hakuna kitu muhimu kama Taq-wa na wengi wa hao wanataq-wa yaa Allah nijaalie tuwe na Taq-waa

  • @Shdy2569
    @Shdy2569 ปีที่แล้ว +1

    Al fatah tujuilisheni hiki ni kijiji gani

    • @FatmaAlly-wm6xb
      @FatmaAlly-wm6xb 6 หลายเดือนก่อน

      Hichoi Kijiji gani????

  • @AllySully
    @AllySully 3 หลายเดือนก่อน +1

    Ccm oye raisi mwinyi oye.

  • @saidkaim768
    @saidkaim768 ปีที่แล้ว

    Allah tufungulie Zanzibar yetu

  • @adam-saffi211
    @adam-saffi211 ปีที่แล้ว +1

    Is this real? What is all this about uchumi wa bluu, I can’t comprehend this happening in 2023?????

  • @hadiaiddi2589
    @hadiaiddi2589 ปีที่แล้ว

    Allah azidi kuwapa nguvu

  • @asiasalim9323
    @asiasalim9323 ปีที่แล้ว

    Subhana ALLAH 😢😢

  • @youngbob9761
    @youngbob9761 ปีที่แล้ว +2

    NAIOMBA SEREKALI YANGU TUKUFU IWE INANYOOOSHAAA MKONO KWA WATU WENYE MAHITAJI KAMA KAWA....

    • @hamicpina1151
      @hamicpina1151 ปีที่แล้ว

      Serekali ya kisengee ya kikafiri Haina maana watu wanateseka hawana la kufanya 😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭

  • @AbeidkhalfanAbdalla
    @AbeidkhalfanAbdalla 3 หลายเดือนก่อน

    😂machoz yanitok kw kwel M'Mungu awasaidie . Wapi hao watu wapo mkienda km hvo tutajien na maeneo walipo

  • @iddidd3979
    @iddidd3979 6 หลายเดือนก่อน

    Ni kweli hii ndio zanbar kweli

  • @husnasalim9614
    @husnasalim9614 3 หลายเดือนก่อน

    Mtihani wallahi 😢😢

  • @awadhsalim2680
    @awadhsalim2680 3 หลายเดือนก่อน

    Jaman hii serekali iko wapi mpaka ikawa ata watu kama hawa haiwaangaliii ?!!!! Ebu nifahamisheni kidogo ivi kazi ya serekali hass ni ipi ?!! Mbona watu kama hawa wanahitaji huruma sana jamn.

  • @sein.208
    @sein.208 ปีที่แล้ว

    Subhana Allah 😢😢😢

  • @shazilali945
    @shazilali945 6 หลายเดือนก่อน

    Alfatah tunaomba mutuambie wapi ao watu tunaweza kuwapata na ss tuwafikie

  • @aishaamwalimu2887
    @aishaamwalimu2887 ปีที่แล้ว

    Nimetoka machozi tu jamani, Mwingine Anakula mpaka Anatia Jalalani😭.

  • @kassimomar7589
    @kassimomar7589 ปีที่แล้ว

    Allah Akbar

  • @HajjHajj-he6ey
    @HajjHajj-he6ey 2 หลายเดือนก่อน

    Niwapi tuelekeze nguvu zetu na sisi

  • @rizikiabdalla2501
    @rizikiabdalla2501 ปีที่แล้ว +1

    Mbona hujibu kijiji gani hichi tunataka na ss fadhilaaa kaka tunakuomba tuwambieee wapi

  • @alhamdulillahalhamdulillah7529
    @alhamdulillahalhamdulillah7529 ปีที่แล้ว +1

    Usimuulize nyama pakukaa Hana maskini

  • @husnasalim9614
    @husnasalim9614 3 หลายเดือนก่อน

    Subuhanallah

  • @hamicpina1151
    @hamicpina1151 ปีที่แล้ว

    Enyi viongozi wa serikali hamyaoni haya mipasa yote iyo mnayoiba mnafanya sivo kabisa hii ni serikali ya kikafiri kabisa haijal watu zake

  • @SoudShuraim
    @SoudShuraim หลายเดือนก่อน

    Boban wasaidie hawa..wewe ni mtoaji sana

  • @user-wl8ng3pj5r
    @user-wl8ng3pj5r 11 วันที่ผ่านมา

    Ni unguja hii au Pemba?

  • @zainabissa7851
    @zainabissa7851 ปีที่แล้ว +1

    Rashid naomba namba yako

  • @abiboseleman1649
    @abiboseleman1649 ปีที่แล้ว

    Wazanzibar jamaan sawa shida nimipango namitihan ila punguzen uzazi watoto 8 wote hao bila kazi bila biashara mnaanzaje

  • @lilianmakwati5228
    @lilianmakwati5228 ปีที่แล้ว +2

    Ni wapi hii jmn?

  • @hamicpina1151
    @hamicpina1151 ปีที่แล้ว +1

    😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭

  • @youngbob9761
    @youngbob9761 ปีที่แล้ว +1

    Hii ni wap jaman

  • @iddidd3979
    @iddidd3979 6 หลายเดือนก่อน

    Hii ni wpi

  • @maryamalli9090
    @maryamalli9090 ปีที่แล้ว +2

    Alfattah mbona hamtoi namba za wahusika wasaidiwe direct

    • @Shdy2569
      @Shdy2569 ปีที่แล้ว +1

      Hawatowi number hao wala jina la pahala wanataka uwapelekee wao

    • @maryamalli9090
      @maryamalli9090 ปีที่แล้ว

      @@Shdy2569 ndio maana yake hiyo hawafanyi Kama channel nyengine hutoa namba za wahusika misaada huwafikia moja kwa moja

    • @maryamalli9090
      @maryamalli9090 ปีที่แล้ว +1

      @@Shdy2569 sisi hatupendi hivyo tunataka watoe namba za we walengwa direct

    • @rogojr712
      @rogojr712 ปีที่แล้ว

      Hawa wapo wengi huezi toa namba ya kila mtu . Ndio wametoa namba zao za channel ili wasaidiwe wote kwa pamoja kwa kitakachopatikana

  • @user-wl8ng3pj5r
    @user-wl8ng3pj5r 11 วันที่ผ่านมา

    Serikali maaana yake nn na inafanya kazi gani?

  • @Arishafa547
    @Arishafa547 ปีที่แล้ว

    Niwp huko jamn na mbn no inayopita hapo ni ya Dubai hakuna no ya tz

    • @maryamalli9090
      @maryamalli9090 ปีที่แล้ว

      Zanzibar hapa ni sehemu za vijijini

    • @alfatahtvonline3374
      @alfatahtvonline3374  ปีที่แล้ว

      Hatuwezi kutoa namba za kijiji kizima.wasiliana na ofisini.

    • @shafiisalim1686
      @shafiisalim1686 ปีที่แล้ว +1

      Sawa ni vijijini je je nikijiji gani maana si wenyewe tupi zanzibar hiyohiyo

  • @youmemeyou2976
    @youmemeyou2976 ปีที่แล้ว

    Viongozi wa nchi wanasema wao waislam , wamsome Saydina Omar alikuwa kiongozi wa aina gani , sio kupanda Land cruser na office yenye kiyoyozi , Hawaogopi maswali ya ALLAH?

    • @hadiaiddi2589
      @hadiaiddi2589 ปีที่แล้ว

      Mtoto moja nitamsaidia kulea

  • @safiayussuf9308
    @safiayussuf9308 ปีที่แล้ว +1

    Kwanini hamusemi wapi hapo? Ni kijiji gani?

  • @maidamwaipopo9603
    @maidamwaipopo9603 ปีที่แล้ว +1

    Sasa mtu masikini hao watoto wote wa nini

    • @mwanaishamande8880
      @mwanaishamande8880 ปีที่แล้ว +1

      watoto nimajaaliwa yaallah

    • @user-wc4um7eh4e
      @user-wc4um7eh4e ปีที่แล้ว

      Subhanallah

    • @aminaalabri4170
      @aminaalabri4170 ปีที่แล้ว

      Usiseme ivo my wengine hpo wazee wao wameshafark

    • @abduliddi7821
      @abduliddi7821 ปีที่แล้ว +2

      Dogo mbona ivyo ao watoto ni majaaliwa ya Mungu ktk kukupa mitihani duniani so unachojaaliwa na Mungu hakuna lawama, mfano ulemavu wowote ule ni majaaliwa na afya njema pia majaaliwa

    • @mubakhatib
      @mubakhatib ปีที่แล้ว +1

      😭