ZANZIBAR NA OMAN NI NDUGU WA KWELI

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 5 ก.ค. 2024
  • Kutoka AL FATAH TV .
    Usisahau ku like, comment naku subscribe kwenye chanal Alfatah tv online kwa mawasiliano zaidi piga simu: +255 777 858 490
    #AlfatahTvOnline​​​​​​​​​​​​
    #AlfatahCharitableAssociation​​​​​​​​​​​​
    #ZANZIBAR​​

ความคิดเห็น • 34

  • @MAPETEE
    @MAPETEE 5 วันที่ผ่านมา +8

    Oman na zanzibar.zanzibar ni warab na km oman najivunia kua Mzanzibari je ww

    • @Hilali-ff5ul
      @Hilali-ff5ul 4 วันที่ผ่านมา

      Ndio

    • @111dudi
      @111dudi วันที่ผ่านมา

      @@MAPETEE znz Ilikuwa ya mataifa mengi, Wahindi, Washirazi (Irani) Waafrika weusi, Wazungu, wachina

  • @Hawa-rt3jl
    @Hawa-rt3jl วันที่ผ่านมา

    Masha Allah nafurahi sana kuona Oman wana moyo thabit na ndugu zao zanzibar Allah ibariki Oman 🇴🇲 na watu wake ibariki zanzibar na watu wake❤❤

  • @seifseif9215
    @seifseif9215 5 วันที่ผ่านมา +2

    Mashaallah hii misaada isiishie hapo iendelee na ya mambo ya kifua kikuu na cancer wao wako na vyombo vya kisasa walete wasaidie hispital zetu allah awajaaalien kila la kher

  • @johariabdalla3319
    @johariabdalla3319 5 วันที่ผ่านมา +4

    Sio Oman na Tanzania,ni OMAN na ZANZIBAR.

  • @SultanAllyazaiz
    @SultanAllyazaiz 6 วันที่ผ่านมา +1

    Acheni mambo yakiswahili sasa eti nilithani waarabu hatuwataki ndonin sasa sema Mashallah

  • @rajabrajab9747
    @rajabrajab9747 6 วันที่ผ่านมา +2

    Mashallah Allah akupeni kila la kheri ❤

  • @obeidgalib1878
    @obeidgalib1878 4 วันที่ผ่านมา +1

    ondosheni ubaguzi oman nz zanzibar ni ndugu pia hhuduma hazitomfaa mzanzibar kila mtu itamfaa ondoen ubaguz watu wote ni wamoja

  • @mohammedkhkombo4439
    @mohammedkhkombo4439 5 วันที่ผ่านมา +1

    Watoto wa bwejuu mashallah wanajua kuongea kwa kujiamini.

  • @saudalharthy9398
    @saudalharthy9398 2 วันที่ผ่านมา +1

    ❤🇴🇲

  • @TalibMuhsin
    @TalibMuhsin 6 วันที่ผ่านมา +3

    Oman na ZANZIBAR

  • @muhammadmuhammad5043
    @muhammadmuhammad5043 5 วันที่ผ่านมา +1

    Haya Nimaneno Tuu Siasa Wanyumbo Wanaimba Mpaka Kesho Mtoto Wanyoka Ni Nyoka..Nikawaida Unampenda Mtu Kwakitu Sio Utu..ila Allah Ndio..NK..

  • @husseynomar9523
    @husseynomar9523 6 วันที่ผ่านมา +1

    MashaAllah 💚 🎉🎉🎉

  • @w4058
    @w4058 วันที่ผ่านมา

    Ubaguzi uondolewe ikifika kupiga kura waseme hawatowi Serikali hijaishia hapo tu na pia kusema maneno ya utovu wa adabu na kukiuka mpaka eti Mpemba kuingia ikulu haiwezekani Subhanallah kusamehe watu watasamehe lakini CCM hawasemeheki maana kila ikifika uchaguzi huwa kuliko hao wanyama

  • @alhamiraj4570
    @alhamiraj4570 6 วันที่ผ่านมา +1

    Mashalla mama

  • @BestBest-rx3sb
    @BestBest-rx3sb 5 วันที่ผ่านมา +1

    Yaliyopita ni ndwele tukange yajayo someni uislam nini mtume kafanyiwa mecca na vipi alisamehe pia mzee mandela alisamehe

  • @ZubeirJuma-up7kb
    @ZubeirJuma-up7kb 4 วันที่ผ่านมา

    Mbwana ally kuwa mzalendo wacha kutaja tanzania zanzibar freee yule mbwana wa redeo nuru na wa hapa tofauti wa hapa anapangiwa cha kuongea

  • @111dudi
    @111dudi 6 วันที่ผ่านมา +1

    Mwaka 1964, undugu uliwekwa kando, akaja John Okello ndugu mpya.

    • @froma3732
      @froma3732 5 วันที่ผ่านมา +2

      Akauwa watu wasikuwa na hatia na anajivunia kwa kwa Hilo

    • @ZubeirJuma-up7kb
      @ZubeirJuma-up7kb 4 วันที่ผ่านมา

      Kakwambia nan zanzibar zimeungana na Oman na sio unyamwezini

    • @salehkhamis9994
      @salehkhamis9994 3 วันที่ผ่านมา +2

      Hivi jaman watoa comment mnabishana siasa2 Tuacheni migawanyiko wanayozungumzwa hapo maswala ya afya sio siasa

    • @awatifalghanim1106
      @awatifalghanim1106 2 วันที่ผ่านมา +1

      Huwezi kuitowa histry ya Omani bila ya Zanzibar.

    • @awatifalghanim1106
      @awatifalghanim1106 2 วันที่ผ่านมา +1

      ⁠@@salehkhamis9994Kweli…. Wao lazima watie siasa na ubaguzi. 😂😂😂 hawataki afya kwenye Nchi yao wala furaha wao Siasa mbaya tuu ya kuharibu vizazi vyao.

  • @kadijahajali3918
    @kadijahajali3918 6 วันที่ผ่านมา

    😅

    • @Ali-uh9wb
      @Ali-uh9wb 6 วันที่ผ่านมา

      @Khadijahajajiali3918 naona unacheka😅

  • @pira7439
    @pira7439 6 วันที่ผ่านมา

    Oman ni ndugu wa kweli , wa bara ndugu wa vp ?

  • @salyali7807
    @salyali7807 6 วันที่ผ่านมา

    Nilidhani waarabu hatuwataki.. wamerudishwa kabla ACT kuingia madarakani

    • @salumalriyamy
      @salumalriyamy 3 วันที่ผ่านมา

      Akija mzungu kuleta madaktari unasema hivohivo pia?

  • @obeidgalib1878
    @obeidgalib1878 4 วันที่ผ่านมา +1

    ondosheni ubaguzi oman nz zanzibar ni ndugu pia hhuduma hazitomfaa mzanzibar kila mtu itamfaa ondoen ubaguz watu wote ni wamoja

  • @obeidgalib1878
    @obeidgalib1878 4 วันที่ผ่านมา +2

    ondosheni ubaguzi oman nz zanzibar ni ndugu pia hhuduma hazitomfaa mzanzibar kila mtu itamfaa ondoen ubaguz watu wote ni wamoja

    • @111dudi
      @111dudi วันที่ผ่านมา

      @@obeidgalib1878 Kuna watu wenye chuki hawataki kulisikia hili.