LIVE: MAOMBI YALIYOBEBA MAJIBU YETU // KUFUNGUA MBINGU
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 12 พ.ย. 2023
- Mathayo 18:20
Kwa kuwa walipo wawili watatu wamekusanyika kwa jina langu, nami nipo papo hapo katikati yao.
SADAKA YAKO YA KUCHANGIA INJILI IFIKE MBALI ZAIDI:
M-PESA +255 758 708804 INNOCENT MASHAURI
CRDB ACC: 0152523574100 INNOCENT LEONARD MASHAURI
Yesu wngu naomba unibariki nishinde majalibu ya dunia tizma maadui walivyo mizunguko wnasubili anguko langu na familia yangu bwana yesu nishinde mkono usiache bwana usiniache majaribu yamekuwa mengi niko mbele yako bwana usiku usiniache yesu wangu bariki kazi ya mikono yangu bariki familia yangu na mtoto wangu unibariki aweze kufanya mtihani wa kidato cha nne vizuri mpe ushindi yesu wangu maadui wamekuwa wengi wanataka kuangamiza maisha yangu Mungu simama nami bwana kila ninacho kufanya hakiendi bwana tenda miujiza kwangu bwana
nakusikia vizuri mtumishi naomba uponyaji katika afya yangu
nahitaji afya mtumishi nakusikia vizuri
Ninaomba. Mungu anitoe kwenye madeni na Mungu aikomboe ndoa yangu iliyoingiliwa na mwanamke suzy aamuachie mume wangu, namm Mungu anipe moyo wa kumsamehe mume wangu, Mungu atuwezeshe kumaliza ujenzi tulionao, na watoto wangu wasome wafikie viwango vya juu naomba uchumi wetu ufunguo iwe na Mungu a niwezeshe kupata biashara kubwa .
MUNGU AKUFANYIE WEPESI DADA ANGU, APIGANE NAO WANAO PIGANA NAWE.
Nisaidie mungu wangu familia yao inipoke kwa furaha na uluma mm pamoja na uzao wangu
Mungu nisaidie nijufungue salama amina
Naksikia ktsoka qatar
Ameeerrrn
Kuwaunganisha watoto wangu wapendane wasaidiane na kushirikiana vzuri mimi ni mjane Mungu anipe nguvu zaidi niweze kumtumikia vema Mungu akuubariki mtumishi kwa kazi njema unaayoifanya
Yesu wangu naomba unijibiye itajizangu mbili niko nakuomba mwa iyi mwezi tunaanza bitimilike kwa jina la Yesu naomba niki amini Amen
17:01
Bwana Yesu nimekuja Tena mbele zako unisikie Nakuomba:¿Mwanangu Adamu afanye mitihani ya form four vizuri na kufaulu pamoja na wenzake wote,Mwanangu Cleah apate shule,Leo naenda kwenye kesi ya kiwanja nishindie,Imarisha Uchumi wangu,Ugonjwa wa UTI wa mgongo kwa mwanangu apone,nipate kazi nzuri nipate fedha nzuri inisaidie,Nilipie madeni yangu, Nipe Heshima Nitoe kwenye matatizo kwa ujumla kwenye nyumba yangu, Bwana umeona usinyamaze fanya hima inisaidie nope Amani AMINA
Naomba Mungu anisaidie mwaka huu usipite ajitoe kwenye. Madeni na anipe kiwanja na watoto.wangu wapate maijati ya watoto ya shule na Mungu amuinue na mume wangu
Mungu asikie dua zako na akujibu
Mungu ni mwaminifu tumtumaini kwa lolote tuombalo na atatujibu kwa wakati wake tuko pamoja kwa haya majitaji nami naomba roho ya madeni iniondokee. Amen
Ee mungu wangu naomba unisaidie kufungua ukoo wangu katika minyororo ya laana tuondolee roho ya umasikini,roho ya kukataliwa nikutanishe na watu sahihi bwana kanimilikishe vitu vya thaman kwa jina la yesu kristo nikawe msaada kwa watu wanaohitaji msaada bwana oooh jesus niinue naikataa roho ya umasikini utajiri,maarifa akili na ujuzi vikadumu ndani yangu na roho wa hekima akajazwe ndani yangu ee bwana kwa damu ya yesu kupitua maombi haya yanaenda kutimia kuazia sasa thank u jesus
Mungu wangu.naomba baraka ktk maisha yangu unifungulie vifingo vya mapepo wabaya unipe mtaji niweze kumiliki biashara kubwa . Amen
Nina mahitaji mawili:1mungu anisaidiye ni pate mme bora 2unisaidiye nipate kazi nakingine niwe salama 👏👏👏👏👏👏👏
Hamina
Goodmrng, Madhabaoni ya siri za Biblia
"I want to be like Jesus christ inner my heart oh holy spirit take more of me and give me more of your holiness, love, goodness, kindness, fatherlyhood, mercy....
Your are a Unique Almighty God, open our heart to knw you better oh my lord God, locate me in your mercy and your favor we're victorious having you my God on my side
Thank you Jesus christ for the salvation of our souls and lives ❤❤❤🙏🙏🙏🙌🙌👏💯💯
Naomba Mungu anikumbuke watoto wangu waokolewe wamjue Mungu pia naomba Mungu anisaidie kiuchumi nahitaji mtaji afungue milango yangu pia Mungu amsaidie Mume wangu alipwe mafao yake ya ustaafu tangu astaafu ana miaka mingj hajalipwa pesheni yake na anaumwa Mungu aondoe roho ya umaskini naomba Mungu anijibu amina
Eeeh mungu asante kwa kibali pekee naomba usikie maombi yangu naomba unisaidie kunifungua vifungo vyote nilivyofugwa naomba nifungue njia ya kujifungua, nijifungue salama nijifungue kwa njia ya kawaida, roho ya oppression naikataa kwa damu ya yesu naamin mungu utatenda na nitajifungua kawaida na salama naomba usikie maombi yangu ezzh mungu
Mungu wangu wa mbinguni naomba niepushe na roho ya kucheleweshwa uniepushe na roho ya usingle mother nakataa katika jina la Yesu kristo alie hai, naomba uinue roho ya maombi juu yangu Mungu wangu neno lako likawe kiu na njaa maishani Mwangu.
Bwana asifiwe"Naitaj Nipate uwezo wakusimamisha ujenzi WA nyumba yangu kwazia na mwezi kwa jina la yesu amen 🇲🇿🇲🇿🇲🇿🙏🙏🙏
Naomba mungu unisaidie usiniache nakataa maisha ya ufukara kumcha bwana ni chanzo cha maarifa bali wapumbavu wanao dharau hekima na adhabu nikiamini ipo siku utatenda jambo ni kwaajili ya familia yangu amen naitwa jesca niko iraq asante sana mtumishi wa mingu
Mungu naomba ukamfungue mtu ambae ninamdai hela yangu nyingi aweze kunilipa kwa uwezo wako baba na shukuru baba kwa neema zako baba na nguvu zako baba ukaniomgoze katika safari yangu niende salama na nifike salama baba
Naomba Mungu akumbuke watoto wangu wapewe ulinzi kwenye Maisha yao wawe wanamtumania Mungu kwa kila jambo.
Natakata mungunanisaidie nizahe vozuri Bila upasuaji na Itaji mungu anisaidie nipatekazi maumivu yatumbo yanihondoke kabisa namuone pia dada yangu amponye machoyake Yana muwasha nakuuma kwajina layesu kwristo anisaidie nipate kazi kwajinalayesukristo amen
Mungu naomba kwa ajili ya familia yangu uwape furaha na upendo na uwakutanishe wote wawe pamoja kwa ajili ya brother yangu naomba umpatilishe kwa yale anatenda na umwaipishe shetani katika maisha yetu siku ya leo naomba uyatende ...........na unifungulie njia za kupata na biashara
Nafunga roho za uzinzi nafunga roho za umaskini nafunga roho zote chafu katika maisha yangu Naomba na roho mtakatifu anisaidie kuomba vitu vyema nivipate kutoka kwa Mungu Baba pia nafunga roho za Magonjwa na roho za ndoto mbaya katika maisha yangu yote
Yesu nipe Imani mungu nifungue maisha yangu pamoja na uzao wangu
Ee Mwenyezi Mungu asante kwa kuniungamanisha kwa maombi naomba damu ya mwanao Yesu kristo ikawafunike familiya yangu ikavinje hila za maadui baba naomba wanangu wakarudi kwenye ndoa zao baba
Ehe mola wangu, ninaekuabudu usiku na mchana, naomba unitoe kwenye giza nene la madeni, na niweze kumaliza nyumba yangu iliyoshindikana kumalizika, na nakuomba umjalie mwanangu aweze kusoma vizuri katika masomo yake, ameen
Nakuitaji mungu katika maixha yangu uniepuxhe na ndoto za ngiza nakuitaji mungu huibaliki familia yangu ninakiu na ww yesu nakuitaji kabaliki KAZI yangu kapabaliki maali popote napo xhika nakuitaji mungu nina Imani mungu usiku waleo nikuone ww mungu ukitenda mtazame na mama angu mungu
Yes wangu naomba unibariki nishinde majaribu ya dunia tizma waona nizunguka wananisubiri ni anguko langu familia yangu bwana yesu nishinde mkono usiache bwana mm niko na shida pastor ya kichwa cha nisubuwa kweli cha tamba mududu hata kulala ni shida naomba uniombe pastor
Nakupata vzr,naomba mungu anifungue mimi pamoja na familia yangu mungu tuponye magonjwa tunaomba ulinzi wako nahitaji maisha mapya eeeh mungu wangu....anglia moyo wangu
Mungu naomba ukamponye dada yangu magonjwa yanayomsumbua ,naomba ukanisqidue niweze kusimama kiuchumi biashara zangu zikasimame pia ukanisaidie niweze kupata mwenza mwenye hofu ya mungu ukanipe moyo wa kusamehe madui xangu hata walionikosea mungu wangu pia ukanipe Kigali cha kumiliki chombo cha moto na viwanja na uwabariki wanangu katik masomo yao wakawe vichwa na si mkia naikaaaa hy roho ya kushindwa kwa Jina la yesu ameni
Mungu aniponye jino linaniuma sana ugongwa wa meno naukataa kwa kizazi changu chote mungu anifanikishe nijifungue salama mungu aionekanie ndoa yangu ikawe na amani na furaha watoto wngu wakafunguliwe shuleni akawape uelewa vema mungu aniepushe na mawazo mabaya nayakataa hata kwa kizazi changu mungu akamwonekanie mume wangu akalipe madeni ya watu asiwe wakudaiwa mungu aniandalie biashara yakufanya nisiwe wakukaa bola kazi mungu akaguse kwenye ukoo wa baba yangu. Mungu akawaguse wazazi wangu wakawe na amanj na upendo wametengana ila mungu akawaunganishe mungu atuwezeshe tumalizie nyumba yetu.
Ee Mungu naomba nikawe funguo niweze kufungua Kila Lilo jema kwenye familia yangu.naomba nikutane na mwenza sahihi .Mungu naomba ulinzi kwenye uzao wangu na kazi yangu Ee Mungu naomba niondolee roho ya kisasi ndani yangu najua ni ngumu 😭😭😭 Bali Mungu niumbie roho ya msamaha ndani yangu 🙏🙏🙏🙏🙏
Naitaj ulinzi ktka mwenendo WA maisha yangu kwa jina la yesu Amen 🇲🇿🇲🇿🇲🇿🙏🙏🙏
Baba wa mbinguni naomba uibariki ndoa yangu, mlinde mume wangu, mlinde na mwanangu, uibariki familia yangu kwa jina la Yesu Kristo. Napokea
Mungu naomba msaada wako katika afya yangu na ndoa yangu na pia katika ulimwengu wa ndoto,pia mungu naomba uniondolee roho ya hofu baya,,ee mwenyezi mungu nisaidie🙏🙏
Emungu wangu naomba unisaidiee pia naomba uniongoze katika maisha yangu yotee ili nisikutendee dhambi mungu nisaidie bila wewe siwezi asante mungu kwa yotee 🙏🙏
Bwana mungu katika jina la yesu umesma katika kitabu cha isaya kuwa yuko adui ameiba lile sanduku langu la baraka mimi nachukua nafasi hii kurejesha kila kitu ambacho adui amekiiba kwatika uchumi ,uzao wangu ,mume wangu na ndoa yangu, utaua na utakatifu, karama yangu, maendeleo katika familia na narejeaha nafasi nyingine katika kazi yangu ,kibali ,afya katika mifupa yangu nimeomba na kushukuru amen ❤❤
Naomba kujazwa roho mtakatifu na mwananguarundishiwe nyota yake
Mungu wangu naomba ubariki ndoa yangu ikawe ndoa YA furaha 🙏🙏🙌
Mungu nipiganie nimekuwa mtumwa wa ndoto baya,,nmekuwa mtu wakujiwazia mabaya,, nimekosa hamu ya tendo la ndoa mungu wangu😢nmekua mtu wa kukauka uke hdi nakosa raha ya ndoa😭😭mungu naomba uponyaji kutoka kwako🙏🙏🙏
Nataka mungu anisaidiye asikiye maitaji yangu namimi anisaidiye anipe ekima naguvu yakushinda majarimbu ❤ayodio maitaji yangu kwamungu namini mungu yupo mahalipote atatenda maitaji Yetu yakilasiku 🙏 Soma ZABURI 117:2nina imani mungu atajimbu maombi Yetu 👏 yakilasiku 🙏 mungu nimuweza wayote
Naitaj nipoke simo zakunipa mradi na watu saihi kwa jina la yesu Amen 🇲🇿🇲🇿🇲🇿🙏🙏🙏
Mungu ninaomba unijaze roho wako mtatifu Zaid nina kiu nawe pia naomba baraka zako katka kaz yangu nipate wateja katika Jina la Yesu AMEN.
Ee Mungu naomba uibariki biashara yang,naomba pia Mungu Wang niingie kwenye ndoa takatifu,Mungu nawaombea watoto wangu wapate kaz na pia waondolee roho ya kukataliwa,naomba Kwa ajili ya ndugu zang Ee Mungu tuondolee roho ya magomvi tupe upendo wa kweli🙏🙏
Mungu nipe bahati ya kupata pesa iri niripe madeni yote unipe bahati kazini uniepushe napombe nakuweza kua na akiba unirinde kuzurumiwa Tena amen😢
Leo nina Imani kabisa nitashinda katika mapito haya… yakusingiziwa juu yangu naomba Neema yako….Amini
Mathabahu ya achawi inanitesa saana mungu ni shuhulikia na kusihi babaa Ee Mungu wangu
BWANA Yesu,naomba unipiganie,naomba unijibu maombi yangu Bwana ❤❤
Yesu mim nimechoka kufanya kazi bila mishahara, uciku wa leo nikumbuke yesu, kaifungue milango yangu 😭 😭🙏🙏🙏🙏🙏
Naitaj kupandishwa cheo tarhe 24 ya mwezi huuu na kulipwa pesa zangu zote na kufunguliwa kiuchumi kwazia sasaivi kwa jina la yesu Amen 🇲🇿🇲🇿🇲🇿🙏 🙏🙏
Naomba unsaidi kuomba juu ya watoto wangu wapapte ajira na kuwa karibu naMungu na kuponya wanougua nami kulipa madeni nakuskia vizuri sana ubarikwe mtumishi
Bwana Yesu naomba ujibu maombi yangu leo katika Jina la Yesu Kristo.
Mungu naomba unibariki namwenza mwema atakaye nipenda nakutebereya ndani yaamurizako sikumingi nikisubiyiya kwakuwa wame ninvujamoyo niwengi munguwangu nakumba mwenza anayejaa roho mutakatifu na kukutumikiya na anayejaa hakiri nahekima mwenye atakufuraisha namimi piya anifiraishe siku zote zamaisha yetu yote E Mungu wangu nisaindiye nimechoka mimi siweze nikubuke masia nanini unipariki nadowa takatifu nikubukemwana nimengi bwanayesu niungani she naye mwanayesu
Eeee Mungu naomba uweze kunionyesha mume sahihi kwangu pia unifungurie mirango ya mafanikio yangu pia unirindie mwanangu kwa kira hari Mungu kwa jina la yesu kristo amen
Mungu aniumbie roho mupya,aniwezeshe kuishi maisha matakatifu kwa jina la Yesu
Ee Mungu wangu namuweka Mume wangu mbali na uyo mwanamke anaetaka kuivunja amani ya ndoa yangu,nawasambaratisha kwa jina la Yesu, namseta kuzimu uyo mwanamke,Ee Mungu aka ifanye ndoa yangu kuwa ndoa yenye amani na upendo,wafunike watoto wangu wa kiume,funika wazazi na ndugu yangu,bariki uchumi wetu ukanipe kibari kwenye biashara zangu, bariki kazi ya Mume wangu,usiniache Baba, nisaidie kukamilisha ujenzi wangu simama mwenyewe Baba yangu,nipe afya njema utukufu ni wako Bwana
Mungu wangu NAMI naomba nifunguliwe usku huu
ninaomba mungu anipenguvu za kumba na mungu aniumbie moyo mzuri na aniongezee kiwango cha imani na anitowe kwenye umaskin na aniponye magojwa yote na anifungue ufaham wangu nipite kwenye njiya zimpendezayo
Mungu anibariki nichaguliwe na mimi nipate vizza ya U.S na anibariki niweze kujenga nyumba,awaongoze walinde watoto wangu usiku na mchana🙏
Namwomba Mungu ampe mwenzi wake wamaisha Mwanangu Jeweli
Mungu nakuomba unipe ushidi wagushinda kira dhambi majalibu niw mutulivu unikosheshe nguvu zakujibu waliyo nisema vibaya ata namasikio yakuwasikia uyafunge nibaki naneno lako rila time niw nanyimbo zakuabudu your name thanks my God nigupitia uwezo wako yesu imanweli amen Amen ❤❤❤❤
Toa uzuni ndani ya moyo wangu ili furaha yako iwe ndani yangu mungu wa pastor innocent mashauri
Mungu baba naomba ushugulike naku ingiliya Kati mafanyikiyo yangu naku ondowa roho ya mapo oza ingiliya Pia ndowa yangu kwa jina la Yesu Christo wa Nazareth
Mungu anirejeshe kwenye njia nilikua nikiomba sasa sina iyo nguvu tena mungu anitie nguvu tena naomba kwa jina lake anirehemu
Naomba Mungu anifungue mimi na mama yangu na atuponye maradhi atushibishe jwa miaka mingi sawa sawa na Zaburi 91
Sharom mtumishi wa mungu naomba nisaidie tuombe kuusu biashara yangu nisaidie kuomba pamoja naitaji kuiamisha niamie sehemu nyengine kwa maombi haya ikatimie ameen 🙏
Amen 🙏🙏 nikumbuke yesu mahali nafanya kazi usiniache yesu wangu pekeangu sitaweza nipee nguvu mungu wangu nakuhitji kumbuka familiar yangu kwa kila changamoto za maisha 😢
Amen 🙏🙏naomba mungu unikumbuke ktk hitaji langu la kutafuta kazi pamoja unitete ktk ndoa ninayoiingia maana maadui wamesimama kunitenganisha n mchumba wangu kwa maneno ya uongo mungu naomba unisaidie kupitia madhabahu hii 🙏
Ee mungu NAMI naitaji nikaongezeke kiuchumi na wateja wakaongezeke kazin kwangu
Naomba Mungu mafanikio ya masoma kwa watoto wangu hanifungue kwa uchumi wangu na kuniondolea madeni ya mikopo
Ee mwenyezi MUNGU nakuomba uniondolee watu wasio sahihi katika maisha yangu napia nakuomba unikutanishe na mme sahihi wa maisha yangu naimani utanikutanisha nae Ameni
Mungu naomba mume wangu akaweze kurudi na watoto wangu wakaweze kuelewa suleni wakapate kibali juu yamasomo yao
Naomba Bwana uniponye magonjwa yote kwa jina la Yesu.
Naomba yesu usiku wa leo uniokoe katika roho ya kukataliwa,, madeni na kuimarisha ndoa yangu.
EE Mungu Wangu Wangu naomba unifunulia chenye kinaandele kwenye kazi yagu Kwa ajali Kuna Hali Sio za kawaida 🤲
Mungu nakuomba unipe mtu wa kunisadia wa kuniweze kwenye Ujenzi wa nyumba niliyoianza.
Mungu wangu nashukuru kwa amani na riziki unazonijalia kila siku kwenye Misha yangu,naomba Nuru iongezeke katika biashara yangu wateja waongezeke
Natoma Mungu akomboe ufaham wangu nakaziyangu pamoja na mahusiano yangu
Tunasikilizana vizuri kwa jina la yesu Amen 🇲🇿🇲🇿🇲🇿🙏🙏🙏
Asante Yesu wewe ni mwema sana unakwenda kusikia maimbi yangu
Bwana Yesu Naomba kibali na ulinzi na mafanikio ya maisha na afya yangu na watoto wangu na wajukuu Ameen
Mungu arejesha afya yangu magonjwa leo ni mwisho amen😊
Mungu wangu neno lako likawe kiu na njaa maishani Mwangu niwe nguvu za kukuabudu katika roho na kweli niepushe na roho ya usingle mother nakataa roho ya kucheleweshwa katika jina la Yesu kristo alie hai.
Naomba Mungu naomba aniondolee magonjwa kwa jina la Yesukristo
Mungu fungua mlango wa kufinguliwa kiuchumi, hasa niweze kuanzisha kazi ya kufuga nguruwe, na mgonjwa ya familia yao doke Kwa Baba ile figo, na Mdogo wangu Agostino na mkewe Mungu kawaponye Sasa imetosha na uwasamehe makosa yao
Mungu naomba.watoto wangu ufahm wao shuleni.nami pia nipate ndoa na kazini nibali sehemu moja
Mungu anisaidie nipate moyo wakusamehe na kusahau atupe upendo kwenye ndoa yetu. Awasaidie watoto wangu wapate kiu ya kusoma na kujitambua .. Mungu anisaidie nisimame nafasi yangu kama mke na mama Bora.
Nipone kisukari, nifunge ndoa na kuishi maisha ya kukupendeza wewe Mungu,watoto wangu wabarikiwe, Nikujue Mungu, niwe na Amani, Nijalie moyo wa shukrani
Mungu anipe afya njema na aniponye maradhi niliyonayo🙏
Mungu aijalie familia yangu afya njema,kufunguliwa kiroho,kiuchumi na kiafya.
Ee mungu naomba unifutie maagano ya ukoo na madhabahu ya familia
Mungu naomba unijaze roho mtakatifu nitembee katika nuru yako siku zote. Uniondoe katika ndoto chafu zinazotesa moyo wangu. Na uponye ndoa yangu iliyoingiliwa na shetani hadi mahakamani na nioneshe mke sahihi wa maisha yangu. Nimechoka kuvunja ndoa kwa kukataliwa mara kwa mara.
Yesu anisaidie ndoa yangu iwe na amani na tupendane sana na kuchukuliana madhaifu yetu. Mungu anisaidie nimalize deni na pia biashara yangu ikuwee
Nakupata vizuri Naomba uniombee watoto wangu wanisikilize. Niko kilimanjaro.
Mungu afunguwe milango ya afya, kazi, ndoa, masikilizano kwenye familiya
Mungu anisaidie kuiinua familia yangu kiuchumi na anipe mume sahihi
Afungue uzao wangu kutokana na vifungo vya ajira ulevi na kusonga viwango vingine mungu tenda Kwa jina la yesu
Naomba niolewe na mama yangu ashuhudie ndoa yangu, Baba yangu ashuhudie ndoa yangu kwa jina la Yesu kristo
Mungu naomba juni kumbuke mchezo wangu nnao ucheza wakupokea milioni 15 ndani ya miezi mi nne naomba unikumbuke nikamilishe amina
Naomba mungu anibadilishe kiroho nimtumikie yy Kwa maisha yangu
Ee mwenyezi mungu naomba unifanyie muujiza wakuweza kufungua biashara yangu wafungue watoto wangu fungua familia yangu gusa mioyo ya wazazi wangu wakujue wewe mungu wangu naamini huu mwaka naomba uwe wa baraka kwangu
Ugonjwa,uchumi,changamoto za familia mungu awe nami Niya shinde.
Mungu msaidie Mjukuu wangu aliyeoko chuo ,aweze kupata mkopo na awe kichwa asiwe mkia tena
Bwana Yesu naomba unishike mkono,uachilie ulinzi juu yangu na familia yangu,Baraka zako ziwe juu ya maisha yangu na familia yangu na ukaachilie ongezeko katika familia, uchumi,ndoa,,kazi,uzao na biashara
Mungu naomba uachilie kibali Cha afya juu ya familia yetu,Ustawi wa kila eneo,ulinzi, kibali Cha kazi,na kufunga kila Roho za madhabahu za Giza zinazotufwatilia katika Jina la Yesu Kristu wa Nazareth