JIFUNZE KUOMBEA NDOTO UNAZOZIOTA KILA SIKU // DAY 7
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 17 ต.ค. 2024
- Kwa maana dunia itajazwa maarifa ya utukufu wa BWANA, kama maji yaifunikavyo bahari.
Habakuki 2:14
Maarifa ya Ki-Mungu
@SIRI ZA BIBLIA
www.sirizabiblia.com
+255 758 708 804
linktr.ee/siri...
Instagram Account
/ siri_za_biblia
SADAKA YAKO YA KUCHANGIA INJILI IFIKE MBALI ZAIDI:
M-PESA +255 758 708804 INNOCENT MASHAURI
CRDB ACC: 0152523574100 INNOCENT LEONARD MASHAURI
Mungu tu hawabariki
Bwana yesu asifiwe mimi naota nyoto niko gizan mbele shimo refu
Amen ubatikiwesana🙏🙏🙏🙏🙏
Amina Amina nakupenda sana mungu wangu usiniache baba yangu nisaidiye mana nakuitaji sana katika maisha yangu natamani sana nikuhone yesu wangu kupitiya mazabahu ya SIRI ZA BIBILIA natamani nikuhone yesu natamani huwe mbele yangu yesu wangu uwemsaanda tosha katika maisha yangu mimi mungu wangu AMINA AMINA 🙏🙏🙏
Amen, and I receive all the blessings
Àmen 🙏🙏
YESU ni rafiki yangu mwema 🌹💯♥️ ,,,,,,,, mtumishi ubarikiwe sana
Amenamen barikikwa sana mutumishi wa Mungu kwa mahubiri yananisongoze sehemu nyingin hakia ahimidiwe Yesu🎉
Amina mtumishi wa Mungu ili somo linahusana na maisha yangu mm mwanaume ameondoka nyumban ee Mungu nipe imaniAmina
Amen mtumishi wamungu unatusayidiya sana kiroho na imani
Wah Sina usemiii...Yani the way I feel since I meant this channel. Kweli Mungu nimwaminifu hawezi muacha aliye wake apoteee Mungu akubarki sana mtumishi 😢🙏🙏
amen amen !!mungu ukubaliki mchangaji !!
Amen amen
Amen mtumishi barikiwa kwamaana tunapona
Ameni 🙏 Ameni Pastor
Ubarikiwe Sana mtumishi naenderea kujifunza
Naamin Mungu atabadirisha historya ya maisha yangu
Amina mtumishi kwa maombi haya ubarikiwe sana
Amen mwenyezi mungu akubariki kwa anjil ya hayo mafundisho yametia moyo
Hallelujah Ubarikiwe Sana mtumishi wa KRISTO YESU, Napokea BARAKA na Ukurasa mpya WA maisha yangu, na familia YANGU katika Jina la Yesu, AMEN.
Amina napokea kwa jina la yesu
Amen
Asante mtumishi niombee sana
Aminaaaaaaaaa
Amen amen mtumishi wa Mungu kwa mafundisho na maombi ambayo yapenipa mzizimko wa hatua ingine katika kiroho be blessed 🙏
Asante YESU
Napokea nguvu ya MUNGU ya utajiri kwa jina la YESU KRISTO
Santa mtumish kwa. Neno la uzima
Amina mtumishi mungu akutumie sawa na mpenz yake
Amen , Mungu wangu nisaidie tu ,niurumie nipe bidii ili niweze kukutafuta wewe Baba yangu
Hallelujah hallelujah atukuzwe mwokozi yesu
Amen 🙏🏾 Mungu alinitoa huko kama Yakobo na kunipa hatma harisi ya maisha Asante Mungu kwa wema na hekima yako kuu
Mtumisho mungu akubaliki sana nadenda sana mafidoso Yako mungu akupe guvu sana ❤🙏🙏
Uje Roho mtakatifu kiongozi kwa ndogo hii hakika Mungu baba anatupenda.
Pia mm nashukuru Kwa kupata ufahamu Wa kuombea ndoto ubarikiwe mtumishi
Asante Kwa kunifunulia
Amina
Amen Amen 🙏🙏
Nambarikiwa sana❤❤
Niombee mtumishi wa Mungu nimefungwa kwa maroho marehemu za wafu na ndoto za wafu kwenye simo ya umasikini uliokithiri sana maishani mwangu, niko Kenya 🇰🇪
Amen amen amen asante yesu
Ameeena sana tena sana mungu aku bariki sana 🥰🙏🙏🙏🙌🙌🙌🙌🙌
Bwana naomba unirejrshre tena Roho akae nami, aseme nami. Bwana nisamehe saana kwa ndoto ulizonilete hapo nyuma nikazipuuzia, ehe Baba nisaidie nini cha kufanya ehe Baba. Baba natamani mabadiliko, natamani kuwa nami ehe Baba. Naomba nikupendeze wewe Mungu wangu. Nipe hamu ya kusoma Neno lako ehe Baba.
Eee Mungu wangu na Baba yangu na ukanisaidie nikasimame imara katika kukutegemea wewe uketiye mahali pa juu pa kiti cha enzi.
Nikweli ndoto Zina haribu maisha yetu,Mungu ananena nasi Kwa ndoto lakini tunashindwa kuelewa,tuwe I mara katika ulimwengu wa roho,sheta halali ana pigana nasi...Eeee Mwenyezi Mungu utusaidie.ubarikiwe mtumishi wamungu, Amen 🙏❤️🌹
Asante Kwa jina la YESU napokea Kwa jina ya YESU Amen
Amen nmejifunza k2 kupitia madhabahu hii mbarikiwe mungu azidi kuwalinda mzidi kutufunguwa zaid
Ameni
Mungu naomba unikomboe kutoka kwenye ndoto ya kuota niko choon
Mungu naomba unikomboe kutoka kwenye mikosi na balaa
Bwana yesu asifiwe pastor mm huwa na shida ya kuota ndoto baadaye sizikimbuki huwa nasumbuka saana natamani nizikumbuke bt zapotea kabisa
Ni tatizo hilo kiroho,omba Mungu akupe kibali ili uwe unakumbuka na unachukua hatua
Sahihi mtumishi mambo yangu mengi yanaharibika na kufanikiwa kupitia ndoto asante Sana mtumishi
Mungu akubariki sana mtumishi wa mungu kwa kutupa ufahamu huu
AMEEEN AMEEEN
Naskiliza Leo tarehe9/03/2024 nimebarikiwa sana ameni
Emen 🙏 thank you God 🙏🙏 hallelujah hallelujah 🔥🔥
Mchungaji akulinde mafundisho yko yananifundisha sana! Nina changamoto nying sana me cjui kuomba nahitaj msaada wako mchungaji! Biashara zangu haziendi mchungaji!
Mungu ni mwema Sanaa
ameen 🙏🙏🙏
Amina mtu ya Mungu ubarikiwe katika jina la yesu christon
Amen mtumishi
Ameen 🙏 mtumishi wa mungu..madhabao ya Siri za Biblia🙏
Amen mtumishi wa mngu Leo madhabahu siri ya bibilia imezungumzia maisha yangu kabisa ninaimani clã kitu kitakwenda kuisha kupitia madhabahu hii
Amen🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Amen naomba roho mtakatifu anipe ufahamu na utambuzi,aondoe roho inayonisaulsha ninapo OTA mungu nasaidie🙏🙏
Ameen
Amen hakika madhabahu hii imenifungua sana ubarikiwe sana mtumishi kwa mafundisho mazur
Amen 🙏 🙏 🙏
Amina Amina Asante mungu Asante baba sielewi hata nimshukulu mungu vip Asante baba wambinguni mbaliki sana mtumishi wako ulie Tupa endeleya baba kumfunuliya yalio mengi sana Mimi jamani Sjuwi nisemeje ulinipenda mungu wangu ukanionyesha madhabahu hii nli Anza kama utani kumbe ndiyo ulinipenda hivi baba Asante kwakuni onesha madhabahu hii mbaliki mtumishi kwajina la yesu Asante mungu wangu Sina chakusema sielewi niseme vp baba wambinguni Amina baba naomba unibalik Asante baba wambinguni
Napokea ripoti ya ushindi kwa jina la YESU KRISTO
Nakemea ndoto ya shule Kwa jina la Yesu🙏🙏
Ameni bar ikiwa sana mtumishi wetu
Amen mtmish kw ujumbe Mimi hua siombia ndoto lakin leo nimejifunza kitu ubarikiwa xana kwa ujumbe wa leo
AMEN AMEN BARIKIWA MTUMISHI WA MUNGU
Nimebarikiwa xana xana
Ameen ameeeen🙏🙏🙏
Amen amen mungu ni mwema Wakati wote 🙏🙏🙏🙏 asante mungu Kwa Neema yako Amen 🙏🙏
Ameeeen 🙏🙏🙏Mungu akubariki sanaaaa Kwa mfundishoo mazur sanaa 🌹
Amen 🙏 0:50
Mimi namshukuru Mungu nimepokea nguvu za kuomba vikwazo viliinuka vya kuzuia maombi ya mfungo lakini nilisimama kwa neema ya Bwana .Amen
hallelujah 🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻
Nikeli kadisa Kuna kazi tuna zifana Zina tunima amani ya moyo🧎🙌🙌🙌
Kwakweli mungu ni mwaminifu kwetu
Baba nisaidie nikusikie na kuona majibu yangu kwenye ndoto kwa jina la YESU KRISTO
Amen and amen.Mungu ni muaminifu.asante mtumishi.Mungu akutunze
Amen 🙏🙏
Ni kweli mtumishi naota Mara nyingi naenda safari ambazo sifiki ninakokwenda mara naamka. Asante napona.
Mtumishi nashuru mtumish mungu akubariki Sanaa napend kukufuwatiri mfunzo yako namaombi kuhusu ndoto nimekupa nkiota natembeya kwenye mapori njiya yakusonga na mtumishi kuhusu afiya .nimeokoka chàkushaza muchungaji nikiumwa kila dawa inanikataa hatimayake simalizi dozi naomsada wako Napa mumelala ñimbee mungu akutunzee nakile kitu kikubwa ulicho beba cha😅
Niombee mtumishi Niko na vita vikali ,Niko kenya
Ameen Ameen Amen Barikiwa Sana Ee Mungu sema neno na maisha yangu katika mfungo huu , nivushe Bwana , niheshimishe Bwana Katika Jina la Yesu Kristo🙏🙏🙏🙏🙏🙏.
Amen kubwa 🙏🙏🙏😭
Mungu aendelee kukubariki sana mtumishi wa mungu hakika nimejifunza kuombea ndoto
God bless you Baba ubarikiwe sn nimebarkiwa sn
Ubarikiwe sana 🙏🙏🙏
Amen yesu christo ni mwema siku zote
Amina amina🙏🙏🙏
Amen amen mtumishi naomba unisaidiee naota Mara kwa Mara mme wangu kafunga ndoa namwanamke wakislamu mkoa anaetokea huyo mwanamke nimtu wa tangaa namaranyine nikaota Tena mme wangu anamkee amelala naee kitandani naukiangalia upande wandoa nauchumi nimbaya naomba nisaidiee
Amen amen mtumishi wa Mungu
Amen Amen Amen 🙏..ubarikiwe sana mtumishi wa MUNGU
Ameeeen Ameeeen mtumishi,nimebarikiwa,baba asante,kwa maana umenikutanisha na hapa uimitiwe ,yehova,barikiwa saana mtumishi wa mungu nimetoka mbali kwa mafundisho yako,nanyenyekea, mungu wa mbingu unifunze wanielewa yehova
amina ninebariwa sana
Amen 🙏 ubarikiwe Sana mtumshi wa mungu kuwa mafundisho yako
emeni Ameni 🙏
ubarikiwe sana mtumshi wamungu the jasas nemu 🙏
Ameen Mungu awe pamoja nasi sote, kwa nyakati zote, Ameen🙏🙏
namushukuru mungu sana kwasababu ananiepusha zaidi kindoto
Ameen ameeen ubarikiwe sana dady 🙏🙏🙏 me namshukuru sana sana MUNGU kunikutanisha na madhabahu za siri za bibilia tangia nimeanza kukufuatilia nimepona na mengi sana tena sana yaan MUNGU💪 huyu atukuzwe milele💪💃💃 azidi kukutunza na akupe nguvu zaidi mtumishi wa MUNGU🙏🙏🙏🙏
Amen amen, mungu nikumbuke katika Maisha yangu watoto wangu pamoja na familia niliyo zaliwa ndani,nikumbuke kwa kazi yangu na katika kila hitaji ninalo hitaji kwako usiniache mungu wangu
Najihisi Kama nimeguswa sana katika maisha yangu vitu vingi nilikua sijui katika biblia na ndoto,mungu ni mwema sana
Barikiwa sana mtumishi wa mungu
Thank you Jesus thank you Jesus thank you Jesus 🙌🙌🙌🙏🙏 kwa maarifa haya ukweli najihisi tofauti na nilivyo kua kwanza mungu azidi kutukomboa sote sote sote kuptia madhabahu yakoo yesu 🙏🙏🙏
Mtumishi ningependa kujua kuwa mtu atajisuhia aje ktk hizi ndoto za ngono kulishwa ukiwa usingizini na usinzi ukiwa kama ulifungwa nazo?
Ameeni ubarikiwe
Amen mtumishi wa bwana....nmepokea kwa iman
Ubarkiwe sana
Amina mtumishi wa mungu ubarikiwe Kwa mafundisho mazuri
Ndiyo kabisa sio huongo
Amina mtumishi, anauliza kama Mtu Ana tatizo la kulishwa usingizini, kufanya ngono na kufungwa kwa usinzi