LIVE: MABAYA YASIKUPATE WEWE // MAOMBI YA USIKU
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 28 พ.ย. 2023
- Zab 91:10
Mabaya hayatakupata wewe, Wala tauni haitaikaribia hema yako.
Maarifa ya Ki-Mungu
@SIRI ZA BIBLIA
www.sirizabiblia.com
+255 758 708 804
linktr.ee/sirizabiblia
Instagram Account
/ siri_za_biblia
SADAKA YAKO YA KUCHANGIA INJILI IFIKE MBALI ZAIDI:
M-PESA +255 758 708804 INNOCENT MASHAURI
CRDB ACC: 0152523574100 INNOCENT LEONARD MASHAURI
Asante yesu wangu kwa yote.
Namshukuru Sana Mungu kwakunikutanisha maombi haya Niko morogoro kinguruwira ninakuskia vizuri Sana saa hizi saa Tisa na dakika Tisa.
Unasikika vzr mtumishi wa MUNGU ubarikiwe sana
Ee mungu naomba Fanya wepesi kwenye kazi ya mikono yangu.
Ee mungu nipe Amani nautulivu katk magum yang
Mungu akuinue Sana kwa viwango vya juu zaidi.ukahifadhiwe Sana
Ahsante sana Mungu kwa kunilinda dhidi ya adui zangu.ahsante kwa silaha ya neno lako..nakupenda sana Mungu
Bwana YESU asifiwe Asanty sana nakusikiliza mtumish nikiwa Omani
Naomba ibada ya leo bwana anapo zuru wengine namimi asinipite namimi zamu yangu
SIKIYÀ MAOMBI YETU YESU❤
Ubarikiwe mtumishi nakupata vizuri hakika mungu ni mwema
Naomba uniombee mume wangu aludi nyumbani
Amen mtumishi niombe mi ni mgonjwa niko oman
Nakushukuru MUNGU kwa neema ya wokovu ulionipa
Ee Mungu naomba nipiganie tena mm nimeugua mda mrefu bila kupata nafuu naomba uponyaji wako Baba
Mungu nisaidi nikujue wewe zaidi roho mtakatifu ni saidie
Kenya nakupata vizuri sana
Asante mungu kwaku ni ponya
Mungu naomba nikujue sana wewe Ili niwe na amani
Asante yesu Kwa baraka ,na wema na fafhili zako
Barikiwa sana mtumishi tunakupata vyema bwana awe nawe na familia yako
Ee MUNGU nakuomba usipite
mm na familia yangu
Mungu naomba ulinzi kwa watoto wangu
Jehova Mungu wangu, ninaomba unipe amani ya moyo,ondoa hofu ndani ya moyo wangu,nipe kuliamini neno lako bwana Mungu,wewe watosha bwana
Hasante mtumishi ubaliki kwa neno) _nimekula chakula chabwana🙏🏽🙏🏽🙏🏽
Nakupata mtumishi Amina
Amen mungu wangu fungua macho yangu na masikio yangu nisikie na Macho ya ndani mungu wangu niko gizani 😢😢yes wangu nifungulie njia zangu na nyota yangu ika angaze mwaga
Mtumishi wa Mungu, sielewi hii somo ambayo inafundishwa.
Ee mungu najua unatupenda sana basi mungu naomba family yangu ikujue ww mungu .
Mungu Azidi kukubarik mtumishi
Ni kweliiii bila mungu siwezii chochote naomba unilonde mungu wangu
Amen mtumishi wa Mungu, barikiw sana, unasikika vema
Mungu ni mwema unasikika kigoma
MUNGU naomba uniongezee imani naona inapungua.
UWE KIRA KITU KWANGU YESU WANGU 🙏🙏
UBALIKIWE SANA MUCHUNGAJI WA MUNGU
🙌🙌
Roho mtakatifu nisaidie urafiki wangu na kristo mwovu asiingilie kati
Ee mungu naomba ubadili istory ya maisha yangu
Asante Mungu kwa kuendelea kunilinda na familia yangu ktk changamoto zote ninazopitia
Amina Amina Amina Amina
Hasante mtumishi wa bwana naamini wewe nichombo cha bwana naamini maumivu yangu yamekwisha niombee nimjue kirsito AmINA
Nakuskia vizuri kutoka Kenya, Nena nami Bwana
Asante mungu ni mwema ktk maisha yetu
Kampala nakufata vizuri sana mtumishi wa Mungu
Baba kutana na mahitaji yangu kulingana na maoenzi yako
Mungu baba wanijua jinsi nilivyo nitakase huu Moyo uliopondeka kwa damu ya Yesu kristo wa Nazareth
Ameen 🙏 ubalikiwe
Shalom mtumishi. Fides. Kutoka arusha
mungu apewe sifa
Tunawasikia vizuri naomba nguvu zakiroho
Amen amen amen asante yesu.
Asante MUNGU 🙏 nakupenda sana ❤ wewe ni furaha yangu na faraja yangu siku zote za maisha yangu, nakupenda sana sina Mungu Mungu mwingine zaidi yako baba,, hakika wewe ni Mungu upasae kuabudi 🙏
Wew ni mungu mwenyew rehema
Mtumishi tuko pamoja sana jina La bwana kuu sana
Asante mungu akubaliki nakupata nikiwa Kampala uganda
Asante mungu kwaupendo nauruma kwetu nakutujar Mimi nafamiria yangu tunakukabizi usiku huu tunaomba urinzi na damu yayesu ituzingire kwenye miili yetu nachumba chetu amina
Unasikika vizur nipo kibaha bwana yesu asifiwe
Naitwa elizabeth john najiungamanisha kwenye maombi haya naamini mungu amenitendea amen
Amina sana mtumishi nimejifunza kitu kikubwa sana
Asante sana mutumishi wa mungu Nami sita acha kusikiliza kile ambacho mungu amekutuma kwethu naitaji usiku wa Léo naitaji mungu anifundishe kuomba n'a kukesha katita roho asante mungu kwakunilinda Siku nzima n'a jamii langu popote walipo mungu wangu nakuitaji usinipite usinisahau katika atuwa ninazo pitiya katika maisha yangu mungu uni chunge kwausiku waleo piya sita acha kukiri zambi namakosa eeeeeh mungu nisamehe kwayote kimetenda kwasikubya Léo eeeeeh mungu usiniesabiliye wingi wamakosa yangu lakini ki esabiliye wingi warehema zako mungu wangu sikiya maombi yangu piya n'a maitaji yangu bwana asante mungu pigana nawanao pigana Nami kwausiku waleo nichunge n'a uchunge mama yangu muzazi naumupitishiye kikombe kyamateso umuulize teteye eeeeeh mungu wangu asante sana Amen Amen Amen Amen Amen 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Eee MUNGU naomba unirehemu mrehemu mume wangu warehemu watoto wangu. warehemu wazazi wangu.warehemu ndugu zangu
Nakushukuru tu YESU wangu
Mungu ni mwema
Amen Amen bwanakunilisha neno lako roho mtakatifu akae nami
Ahsante Yesu Wang 5:42
Ameen jina la bwana lihimidiwe
Unasikika sawa barikiwa Sana
Amen mtumishi
Amen mtumishi wamungu nakufata kila Mara nikiwa Bujumbura Burundi una sikika kabisa ubarikiwe pia kwakazi unayofanya
Mungu nimwema tunakupata vizuri
Mtumishi unasikia vizuri sana chalinze
Mungu fungua ufaham wangu
Nabarikiwa mno mchungaji
Amina 🙏 nabalikiwa sana Mungu akubaliki
Yesu wangu fungua ufahamu wangu
Yesu fungua ufahamu wangu na akili zangu ili niweze kukujua zaidi, na naomba nibadili mwenendo wangu mbaya na kukugeukia ww na kuziacha njia za shetani njia yako. Amen
Bwana yesu asifiwe nakupata vizur nikiwa saud🙏🙏
Ninakupata sana mtumishi
Mungu naomba uifanikishe harusi ya mwanangu Noel itakayo fanyika leo saa nane mchana asante Bwana Yesu
Mungu akubariki mutumishi wa mungu umefanya nimejua mengi yenye ckuwa natambua
Asante Baba kwa kutupigania hata pale maadui waliinuka kutukatisha tamaa na kuharibu mipango siku ya tarehe 25/11 lakini Mungu wetu ulitukingia kifua walishindwa nasi tukafanikisha shughuli yetu ya mahari ktk jina la Yesu Kristo alie Hai tuko chini ya miguu yako Baba ili wewe uinuliwe mfalme
Mungu usku wa leo kaa ndani ya moyo want I uniponye Kila aina ya magonjwa na usikie kilio Cha uchumi wangu ameen mtumish was mungu
Mwenyezi Mungu naomba amani itokayo kwako.
Ameen ubarikiwe mutumishi
Mtu wa Mungu barikiwa Sasa
Asante yesu nimeweza kuamka usiku huu nakusikiliza maombi
Asnte Mungu uzidi kunipa maarifa ya kuzidi kukujua na kutembelea mapenzi yako na rehema yako itufuate na upendo wako uniongoze
Na asante kwa kutuumbia mchungaji mwema anae tufadha kufunguka zaidi pastor Innoncent Mashauri uzidi kumuinua na kumukinga kwa kila hatua ndni ya neno lako❤
Ameni barikiwa
Eee Yesu Usinipite Mimi na Familia Yangu Usiku huu make adui ni wengi, ila wee Bwana Unaweza Yote Tushinde vita make pekee Yetu hatuwezi ila wewe tuu
Ubarikiwe sana pastor kwa mafundisho
❤❤❤❤tunasikia vizur Sana na unamtangaza Muñgu Alie hai Siwa Kama wababaishaji nadema Muñgu alubariki wewe na kizazibchako niombee mtumishi wa Muñgu Mimi na familia yangu
Hakika Mungu muweza wa yote katika ii dunia 🙏
Nakupata vizuri Kisumu Kenya
Nashukuru mungu Sana sis ndosiwaminifu Kwa mungu lakini mungu nimkamilifu
Mungu sio mungu siku zote Mungu huwa inaanza na herufi Kubwa na sio ndogo
Mungu naomba use me na moyo wangu leo
NAMSHURU MUNGU KWA WEMA WAKE naamini kua yeye ndo tegemeo langu Asante mungu kwa ulizi wake na kupenda mungu wangu ❤❤❤
Mutumishi nakusikia vizuri nikiwa kenya
Ameni Baba
Unasikia vizuri mtumishi
Unasikika,viziri,mtmishi
Asanti yesu
Roho mtakatifu niongoze nipate kukujua MUNGU zaidi Amen🙏🙏🙏🙏
Amina mtumishi
Thankyou Lord janet germany