Kupitia kufunga na kuomba kwa Leo na Kesho naomba Mungu ukaachilie Kila baraka zangu na familia yangu,,ukatende jambo juu ya maisha Katika Jina la Yesu wa Nazareth Alohai
Kupitia kwa kufunga na kuomba siku ya leo,Mungu wangu naomba breakthrough kwa kazi yangu haijalishi nimepitia mambo ngapi,haijalishi niko na deni kiasi gani,haijalishi imechukua mda gani,naomba siku ya leo ikuwe ndio mwisho wa mashida zangu na ikuwe muamko mpya in the mighty name of Jesus.... Amen 🙏🙏
Mungu wangu na baba yangu nitafunga ndani ya wiki mmoja ninaomba uniongoze vyema nisitetereke hatamaramoja kusikue nachangamoto yoyote yakunifanya mvungo wangu uharibiki kwajina la yesu uniongoze vyema na katika mfungo huu naomba Mlinde mama yangu familia yangu mpenzi wangu nawapenda wangu naomba uwape afya njema wape ujasir wafanye wakujue wewe zaidi Amen
Amina 🙏 Mungu naomba katika Mfungo wangu wa siku ya leo nikuone wewe.. bariki familia yangu na unifanyie wepesi katika yote ambayo ni magumu kwa wewe Mungu unaweza yote 🙏🙏
Amina nimebarikiwa sana na mafundisho yako naimani katika mfungo wangu waleo nimepata kitu na ujuzi zaidi naimani kupitia mfungo huu nitafunguliwa vitu vingi
Asanten sana nimetambua kwamba kira mafungo unayo funga uwe unatowa sadaka,mi napenda kufunga mafungo ya week siku 7 kila mwezi lakini sijajua kwamba ni lazima utoe sadaka kwajili ya hayo maombi,lakini najua kitu nacho simamia kuomba kwa mafungo nayo fanya, asante sana kutufunza,Mungu azidi kukubalik🙏
Ubalikiwe mtumishi umenitoa gizani na kuniweka kwenye nululu make sikuwai kujua nini maana yaku funaga na sikujua ninamna gani nifunge ,ubalikiwe na bwana na mungu akutie nguvu
Kupitia kufunga na kuomba kwa Leo na Kesho naomba Mungu ukaachilie Kila baraka zangu na familia yangu,,ukatende jambo juu ya maisha Katika Jina la Yesu wa Nazareth Alohai
Ukifunga usiambie watu fanya kisiri
Amen MUNGU akubariki
Amen amen 🙏📖 nimeyapenda sana mafundisho Yako MUNGU Akubariki sana 🙏🙏🙏🙏📖
Amen 🙏 na mungu anisaidie nimalize mfungo wangu kwa jina la yesu
Kupitia kwa kufunga na kuomba siku ya leo,Mungu wangu naomba breakthrough kwa kazi yangu haijalishi nimepitia mambo ngapi,haijalishi niko na deni kiasi gani,haijalishi imechukua mda gani,naomba siku ya leo ikuwe ndio mwisho wa mashida zangu na ikuwe muamko mpya in the mighty name of Jesus.... Amen 🙏🙏
Mungu wangu na baba yangu nitafunga ndani ya wiki mmoja ninaomba uniongoze vyema nisitetereke hatamaramoja kusikue nachangamoto yoyote yakunifanya mvungo wangu uharibiki kwajina la yesu uniongoze vyema na katika mfungo huu naomba Mlinde mama yangu familia yangu mpenzi wangu nawapenda wangu naomba uwape afya njema wape ujasir wafanye wakujue wewe zaidi Amen
Amina 🙏 Mungu naomba katika Mfungo wangu wa siku ya leo nikuone wewe.. bariki familia yangu na unifanyie wepesi katika yote ambayo ni magumu kwa wewe Mungu unaweza yote 🙏🙏
Mungu nimwema siku zote aliyonitendea wiki hii jamani mungu anafanya hadi tusivyotalajia
Amen and Amen pastor tumboni mungu yupo nasi 🧎♂️🙏
Kweli ni vizuri kufunga na kuomba. Wacha Mungu atusaidie
Vraiment tunashukuru sana kwakutusaidia kwa maombi haya tukiwa ndani ya magumu yakufatiliwa
Honger mtumish kwa somo zuri
Mungu naomba kupitia mfungo wa tatu kavu Mungu nikomboe na vifungo vilivyo nishikilia ndan yangu kwa jina la Yesu
Amina nimebarikiwa sana na mafundisho yako naimani katika mfungo wangu waleo nimepata kitu na ujuzi zaidi naimani kupitia mfungo huu nitafunguliwa vitu vingi
Asante sana nimepata nilichokua natafuta kwa ajili ya mungo be blessed pastor 🎉😊
Asanten sana nimetambua kwamba kira mafungo unayo funga uwe unatowa sadaka,mi napenda kufunga mafungo ya week siku 7 kila mwezi lakini sijajua kwamba ni lazima utoe sadaka kwajili ya hayo maombi,lakini najua kitu nacho simamia kuomba kwa mafungo nayo fanya, asante sana kutufunza,Mungu azidi kukubalik🙏
Asante sana pasta hakika meelewa, Amina
Amen mungu nipe imani ya kufungua nani kuimba niweze kupata jibu katika jina la yesu kresto amina
Ashunguli Mungu Kwa maombi na mafundisho mazuri God bless you
Amen.. barikiwa sana mtumishi wa Mungu 🙏🏿🙏🏿
Barikiwa sana
Asante mtumishi umenifumbua sasa naongezea maombi ya kumtafuta mungu ubarikiwe sana
Amen God bless you Pastor🙏🙏🙏
Asante sana kwa kutufahamisha gisi ya kufunga
Pastor ni kweli kufunga na kuomba amen
Amina
Amen and amen 🙏 🙌 👏
Ee mungu kufunga na kuomba kwangu naomba mung ufungue milango yang yote
Kupitia maombi yangu ya leo ya kufunga naomba Mungu ukanifungulie kila vifungo vilivyofungwa ; ukaniinue kiuchumi mimi na familia yetu
Amen Pastor 🎉 kulingana na kufunga kwangu mungu atende miukisa kwa familia yangu na maisha yangu
Amen Amen Mungu akubariki Mtumishi kwa Mafundisho haya
Bwana yesu kupitia funga yangu ya leo na kesho naomba ukaonekane katika maisha yangu na familia yangu
Mungu wangu aniwezeshe sana
Amen... Nashukuru Kwa Mungu Kukutumia kutupitishia ujumbe..
Amen Amen
Ameni 🙏🙏🙏 nimebarikiwa sanaa
Amen
Amina🙏
Amen 🙏
Ubarikiwe sana Mtumishi wa Bwana, asante sana kwa NENO la Baraka
Ameeeeeen
MUNGU WANGU MEFUFUNGA LEO NAOMBA NIPATE UPONYAJI . AMEN
Ubarikiwe mtumishi nimebarikiwa na mafundisho haya
Mtumishi nashukuru maombi haya yamegusa moyo wangu kweli.
Ni kweli Mimi sijawah kufunga nakuomba ufunge pamoja na Mimi nimejifunza kuomba ata usiku wa manane la ulivyonifundsha
Namini mungu katika kufunga kwangu kwa leo mungu utinda asante paste mungu akumbari tunapo kuwakwa kufunga leo tutia moho katika kufunga
Amen and amen 🙏🙏
Eee mungu nafunga leo naomba nijiwe naombi yangu
amen mtumishi
Amen Amen barikiwa Sana mtumishi wa Mungu Amen
Amen 🙏🙏
Ni kweli tunahitaji nguvu ya kuomba
eee mungu ktk kufunga kwangu leo ukanifungulie malango yangu ya fedha na mwanangu akafunguliwe akili zake aweze kumuelewa mwalimu anachomfundisha
🙏
🙏🙏🙏
Nimefunga SKU 3 nauna mkono WA mungu akubark mtumishi
Thank you so much God bless you
Nimefunga Leo naomba mungu kubadilidsha maisha yangu
Ubarikiwe sana mchungaji nimependaa mafundiho yako
Amen Amen, maelezo na mafunzo mema. Barikiwa sana Mtumishi, nimepata kufahamu Kufunga na Kuomba ni nini.
Amen🙏🏻
Mungu akitubariki nasisi hatuwezi kukusahulika sababu unatuweka bidii yakuomba
Ni meelewa kitu apo pastor asanti
Nafuga leo kutoka sai and kesho juu ya maisha yangu na family yetu
Mwenyezi mungu katika funga yangu ya Leo naomba ukanitrnganushe na kila vizuizi kwenye maisha yangu, na familia yangu🙏
Ahsante Mungu nisaidie katika funga yangu ya leo
Bwana yesu asifiwe mchungaji mimi nipo kwenye mfungo wa siku 21 ila chakula nakula usiku tu je inaitajika hivo
AMEN
Ameen
Naomba mungu nifunguliwe mm na wajukuu zangu nifunguliwe mm na femili yng
Tuelekeze baba yetu wa kiroho🙏🙏
Amen sana 🙏
Amen and amen
Mungu katika maombii yangu ya siku tatu mungu ingililiaa kati
Emen emen🙏🙏🙏🙏🙏
AMEEN
Mungu naomba kibalichako katika sikuhizi naomba majibu kamili ya safari yangu
Ubalikiwe mtumishi umenitoa gizani na kuniweka kwenye nululu make sikuwai kujua nini maana yaku funaga na sikujua ninamna gani nifunge ,ubalikiwe na bwana na mungu akutie nguvu
Amen and Ameen
Amen ❤🎉🎉
Hallelujah hallelujah amen na yote yatendeka in Jesus Christ
amen 🙏🙏
Barikiwa sana.
Ameeen
Mtumishi mungu Akubariki
Amen amen 🙏🙏
Jambon mutumishi wamungu
Jambon mutumishi wamungu nalomba namba zako za wtsp Niko wamupia.
Nataka mungu nifu guliwe kirahisi i nletee chaguo langu generali mng nivutie ylyl tukutane mtandaoni
Amen 🙌🙌🙏
Amena
Mungu naomba kufunga na kuomba leo na kesho naomba ukanifungue nione siku zangu
ubarikiwe sana,,nmejifunza kitu
Emungu naomba kufunga kwangu naomba uniondolee magonjwa mazitomwilin kwangu
Aminaaaaaaa 🙏
Aminaa
Pls ukiwa mukurito umawesa kufunga ukiwa kwa period
True word
Kifunga kwa leo mungu atatenda
Aminaa Sana
ni kweli
Haya maombi yamegusa moyo Leo.
🙏🙏🙏🙏
Ameni