UNAPOCHOKA,NANI ANAKUBEBA KATIKA MAOMBI?? // MUHIMU SANA
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 6 ต.ค. 2024
- MATENDO 12
1 Karibu wakati huohuo, mfalme Herode alianza kuwatesa baadhi ya Wakristo.
2 Alimuua kwa upanga Yakobo, ndugu yake Yohane.
3 Alipoona kuwa kitendo hicho kiliwapendeza Wayahudi, aliendelea, akamkamata Petro. (Hiyo ilifanyika wakati wa sikukuu ya mikate isiyotiwa chachu).
4 Baada ya kutiwa nguvuni, Petro alifungwa gerezani, akawekwa chini ya ulinzi wa vikundi vinne vya askari wannewanne. Herode alikusudia kumtoa hadharani baada ya sikukuu ya Pasaka.
5 Basi, Petro alipokuwa gerezani, kanisa lilikuwa linamwombea kwa Mungu kwa moyo.
Malaika anamtoa Petro gerezani
6 Usiku, kabla ya siku ile ambayo Herode angemtoa Petro hadharani, Petro alikuwa amelala kati ya askari wawili. Alikuwa amefungwa minyororo miwili, na walinzi walikuwa wanalinda lango la gereza.
7 Ghafla, malaika wa Bwana akasimama karibu naye na mwanga ukaangaza kile chumba cha gereza. Malaika akamgusa ubavuni akamwamsha akisema, “Ondoka upesi!” Mara ile minyororo iliyomfunga mikono ikakatika na kuanguka chini.
8 Malaika akamwambia, “Jifunge mshipi wako, vaa viatu vyako.” Akafanya hivyo. Kisha huyo malaika akamwambia, “Vaa koti lako, unifuate.”
9 Petro akamfuata nje lakini hakujua kama hayo yaliyofanywa na huyo malaika yalikuwa ya kweli; alidhani alikuwa anaota ndoto.
10 Walipita kituo cha kwanza cha ulinzi na cha pili, halafu wakafika kwenye mlango wa chuma wa kuingilia mjini. Huo mlango ukawafungukia wenyewe, nao wakatoka nje. Wakawa wanatembea katika barabara moja na mara yule malaika akamwacha Petro peke yake.
11 Hapo ndipo Petro alipotambua yaliyotukia, akasema, “Sasa najua kwa hakika kwamba Bwana amemtuma malaika wake akaniokoa mikononi mwa Herode na kutoka katika mambo yale yote watu wa Israeli waliyotazamia.”
Maarifa ya Ki-Mungu
@SIRI ZA BIBLIA
www.sirizabiblia.com
+255 758 708 804
linktr.ee/siri...
Instagram Account
/ siri_za_biblia
SADAKA YAKO YA KUCHANGIA INJILI IFIKE MBALI ZAIDI:
M-PESA +255 758 708804 INNOCENT MASHAURI
CRDB ACC: 0152523574100 INNOCENT LEONARD MASHAURI
Nawapenda sana watumishi wamungu.munatutia moyo kila wakati God bless you always
Asante nashukuru kwa maombi y jioni hii yameribiki sana ubarikiwe
Amen mtu wa Mungu, kwa Imani yote yawezekana
Sina chaguo Naamini umeomba Mengi kwa Ajili yangu kwaniliyokuwa nikiyapitia😭😢 maana Imani yangu Inaniambia Tayari Mungu Amemtuma Malaika wake kwa Ajili yangu Utunzwe na Bwana Yesu Mtumishi wa Mungu Na Ubarikiwe sana Na nitarudi kwaajili ya Ushuhuda kwaatakayoyatenda kwangu 🙏🙏🙏
Amen Amen ubarikiwe sana mutumishi wa mungu
Bwana Yesu asifiwe, nipo ktk mahusiano ambayo sio sahihi ila nashindwa kutoka naomba niombee niweze kutoka
@@renfridakomba7499
Omba Toba kwa kuingia kwenye hayo mahusiano
Halafu Anza kujitoa Kwa kutumia damu ya Yesu, FUTA Kwa damu ya Yesu km umeingizwa kwenye maagano yyt usiyoyajua
Zaburi 51,Isaya 1:18......tubu
Halafu Kiri ,sema nafutaa Kwa damu ya Yesu haya mahusiano
Mtumishi naomba maombi Kwa ajili ya changamoto yandoa nimarayakwanza kutuma ombihili la ndoa nilikuwanikiomba nawewekupitia yutyubu naomba msaada Kwa hili
Bwana yesu asifiwe mtumishi wa Mungu roho ya talaka iondoke kwa familia yetu niombee mtumishi wa Mungu
Praise the Lord! Ninahitaji maombi yako mtumishi wa Mungu
Asante mtumishi, namshukuru Mungu kuniunganisha katika madhabahu hii amen
Mimi nataka Mungu anisaidie kuiokoa familia yangu ilio katika maisha magumu na vita vya waovu amina🙏🙏🙏🙏🙏🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Asante mtumishi wa Mungu hakika neno hili limeyagusa maisha yangu, nami nimepokea maombezi haya na asante sana Mungu akubariki na madhabahu hii idumu daima katika kutukomboa🤲🙏
Bwana yesu asifiwe mtumishi , hakika wewe umetumwa na roho wa mungu , mungu aendelee kunipa kibali cha kuweza kukusikiliza , kwan moyo wangu umechoka sana , nipo ktk gereza lisiloelezeka , naomba msaada wako mtumishi , nazizidi kudidimia kiuchumi , kila nikifanyacho hakuna nachofanikiwa , mm ni wamagonjwa kila kukikucha , roho za kichawi zimenizonga kila sehemu ya maisha yangu , niokoe kwenye hili gereza 🙏🙏
Najua nmechelewa kupata haya main ila nime niko kwenyechangamoto ya familia tangu changamoto ya chini mshikaji kabsa mtu wa kukushika mkononi nmebanwa kwenye kona kabisa
Naomba uongee na mm kwa kina
Asante sana Mtumishi wa Mungu.
Baba watoto wangu kwa ajiri ya kazi pastor unanibariki sama
Nakusia nikiwa Saudi Arabia nashukuru kwa mafunzo Yako umenifuza mengi mungu hakubariki sana mtumishi wa mungu 🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Thank you Lord
Mtumishi wa mungu akika umeiguza moyo wangu ni zedrick kutoka western Kenya
Asante mtumishi Mungu akubariki
Asante mtumishi wa MNGU tunakushukuru kwa mafundisho yako
Amen .Amen nashukuru kwa Mungu anavyoktumia tunapata ufaammu wa nano la Mungu na maarifa na nguvu iliyomo ndani ya nani la Mungu 37:41 37:41
Siriyabibilia12 ❤🎉😊37:41
Mimi ni mjane bwana amekufa juzi nafanya kazi Kwa nguvu dio watoto wangu wasilale badala nihinuke katika kibiasara ina zorota tuu niombee nitoke katika umaskini Amen
Bwana asifiwe pst ni Alice mim mmoja ninaye pitia mambo mengi sana Sina ndoa usiku silali mchungaji naomba uniweke kwa maombi
@@AliceBarasa-ko9ulMungu akujibu kwa wakati wake
Acha Mungu anifungulie njia nyepesi nitoke hapa EE Mungu wayakobo Niko mbele Zako msalabani Na nyenyekea unitangulie unifinike Na damu ya mwanao yesu Christo Amen
Nimimi mtumishi nipo chini sana kiuchumi nahotaji mtu anibebe kiroho
😢😢😢😢😢😢😢 Mungu nikumbuke na family yangu roho yavumasikini nimekataa roho ya ugovi Kwa mausianovyangu aut😢😢😢
Asante kwa neno na mafundisho hayo Mungu akubariki sana
Nimepokea msimu mpya wa kucheko kipya tena Amina💞😘👏 God bless prophet 😘
Bwana yesu asifiwe mtumishi naomba uniombee mambo yangu yamefungwa kila nitakachokifanya hakionekani,na natamani mungu anijalie mume wangu nifunge ndoa
Ameeen napokea uchumi mzuri, elimu, watoto, afya njema, kwa jina la Yesu
Mungu anitoe kwenye magumu ninayopitia
Eemungu nakuomb uniepushe n watu wabay kwenyefamiliy yang amina
Ni kweli kabisa nahitaji mtu atakayenisaidia juu ya Afya yangu na afya za familia yangu
Natamani Mungu anitie kwenye gereza la magonjwa mm pamoja na familia yangu
Kweli kabisaa ninahitaji mtu wakunisaindia kwa maombi 😢..kwa ajiri ya doa yangu 😢🙏
Asante mtumishi kwa maombi yako yamenijenga
Asante mtumishi wa mungu hakika umenipa matumaini ya kumjua mungu.mungu akubariki
Mtumishi uliyoyaongea yote haya ndio ninayopitia mimi, naamini kupitia maombi haya MUNGU atafanya jambo jipya kwenye maisha yangu 😭😭😭😭😭😭😭 naweza kuwa na furaha siku 2 mwezi nalia Mungu nisaidie
Pastor ubarikiwe sana wewe MUNGU amekutumia kusaidia maisha yangu na maisha ya wengine asante sana
Na mm naomba uniombee pastor
Amen naomba Mungu anitoe kwenye gereza la magonnjwa yote ktka mwili wangu na familia yetu na ukoo wetu ,gereza la madeni yasiyoisha , ,naamini Maombi haya yatafungua Kila kitu
Bwana Yesu asifiwe Mtumishi Mungu, nashukuru kwa hayo maarifa ya neno. Naamini Mungu nami anaenda kunitoa katika gereza mateso
Aminaa 🙏🙏 mungu akubariki mtumishi wa mungu
Ningependa mungu aniondolee gereza la kupendana na wanaume wa wenyewe ,anipariki na ndoa yangu mwenyewe ,anibariki na kifedha 😢🤲🙏
Mngu nitoe kwenye gereza lá umaskini namagonjwa ya mapepo
Amen
Natamani kufunguliwa nielewe neno la mungu pia kupokea uponyaji
Naomba msaada wa Mungu anitoe katika gereza ya Magonjwa, Madhabahu ya kutofanikiwa ,kukosa Amani katika maisha yangu Mungu afungue familia yangu katika mateso.. Amen
Amina 🙏🏽
Naomba Mungu aniondolee roho ya mauti kwenye familia yangu, magonjwa ya kufanana ya akili yaliyofatilia watoto wangu waliotangulia mbele za haki, yasiendelee kwenye vizazi vijavyo vya uzao wa tumbo langu
Nahitaji mtu wa kusimama na mimi kwenye maombi.
Mungu akubariki sana Mtumishi 🙏🏽
Amina mimi na zarauliwa saaanaaa na mme wangu kwajili ya wamalaya mpaka hameniacha mimi na watoto na hameenda kuhishi nao bali ni mengi saaaaaaaanaaaa
'
Barikiwa mtumishi wa Mungu hakika Mungu ni mwema kila siku Mungu akuongezee mwaka 10000000 ❤❤❤❤
Mungu akubariki kwa mafundisho niombee Mungu anipe Kibali na anitumie apendavyo
AMEN 🙏🙏
Naomba Mungu aguse maisha yangu
AMEEEN AMEEEN AMEEEN 🙏🏼
Shalom Mtumishi Ni kweli kabisa Mimi na Watoto wangu tunamuhitaji MUNGU maana Mimi Ni Mama Mimi na Watoto wangu tuna matatizo makubwa Ni kweli tunahitaji Maombi ya nguvu
Tunapitia magumu Nina Mtoto wangu yupo Ujermani na ndio Msaidizi wa hatma yangu kafukuzwa kazi haya na mdogo wake kaolewa Mume wake pia kafukuzwa kazi wote Hawa wanawatoto nahuyu mdogo wake alikua amefungu Saloon lakini Wateja hakuna haya na mdogo wao wa mwisho nae pia Hana kazi inayoeleweka Mimi Mama sasa Niko njia panda kote naona Giza Mtumishi Naomba msaada wa Maombi
Namshukuru Sana MUNGU Kwa Maombi haya Roho Mt ameyaleta kwaajili yangu na familia yangu Asante Roho wa MUNGU
Naomba kufunguliwa katika pingu na minyororo pamoja na watoto wangu na mume wangu na jamii yangu yoote madhabahu ya ukoo kuteseka katika masomo yao naomba Mungu atukumbuke ameen
Gereza ya mashetani magonjwa umaskini,madeni,ndoa uzinzi naomba kufunguliwa,masomo ya watoto wangu,huduma ya mtoto wangu
Namimi naitaji msahada wamaombi kwashida ninazo pitiya katika maisha yangu mimi nilikuwa napenda sana kusoma neno la mungu naku funga siku moja moja nakuhenda ibadani kila ifikapo Sunday lakini kwasasa Sina hamu tena yaku soma neno lamungu nakwenda ibadani amu imenitoka kabisa lakini namshukuru mungu sana kwaku kuleta wewe mtu mishi wake ambaye maombi yako inayo patiya watu nguvu zakusimama imara bila kukata tamaha naamini iposiku kwaimani yangu nita funguliwa milango Asante sana na mungu aku bariki Amina 🙏🙏🙏🙌🙌
Mimi ni maman miriamu Niko apa kongo naitaji maombi maisha yangu ikokatika jifungo jyagiza Mimi pamoja namume wangu
Amen amen
Hatamm nahitaji MTU wakunibeba n mefungu sana
N mm Mtumishi niko Lebanon napitia changamoto sana nilikuja mwezi wakumi namoja lakini bass aliye nitoa kenya akanirejesha kwa office nimekua napitia shida mm nahitaji kurudi kenya plz nmeomba sana hatanakosa chakuomba tena nahitaj msada nrudi kenya sina msada wowote naomba
Najua Mungu kupitia mtumishi wako, utafungua vifungo vyote katk maisha ya familia yangu na biashara yangu itakuwa kiuchumi
Amen mtumishi wa mungu naitaji nisaidie kwa maombi
Amina mchungaji Mungu azidi kukubari umebarikiwa uzidi kubarikiwa natamani niwe mwombaji wa viwango vya juu Nisaidie kuniombea
Asante mtumishi kwa neno hili nina imani litanisaidia maana nlkofika n mbal
Asante aasnta mutumishi mungu akubariki.
Bwana yesu asifiwe mtumishi wa mungu naomba ukanishike mkono kwa ajili ya kazi ygu na ndoa
Asante mtumishi..mimi ninaitaji mungu..anise kibali na kunifungua kwenye ndoa..na mtu atakae nisimami katika maisha yangu..niombee mchungaji niko na bidii sana ya kutafuta kweli nashukuru mungu napata aya lama ni kidogo.lkn kukaa na pesa ata shillings aikai kwa kibeti wala kwa Bank wala kwa simu..yaani nimekua kama mtoto tu sijui kujiekea pesa..na ilianza tu kwa mda miaka 14 yes sasa..sikai na pesa ataah..nisaidie kwa maombi mtumishi innocent.God bless you ❤🎉❤🎉
Amen amen, barikiwa zaidi ❤❤❤
God bless you my brother yote yanawezekan kwa mungu
Mtumishi Umekuwa baraka katika maisha yangu me napita sana katika gereza la magonjwa Mungu anikumbuke leo
Bwana asifiwe mtumishi wa mungu mimi naomba maombi kwa ajili ya watoto wangu kuhusu Elimu wafanikiwe Amin
Amen napokea mabadiko kwà jina la yesu..naimani mungu atayendo yote🙏
Nashukurukwaufariji muchungaji laneno mungu akuinueju Sana nikonakufata APA Congo mji wa tenke Jimbo la Katanga asante kwaneno
Asante mtumishi nimepokea
Nilisimamishwa job bila sababu naitaji mungu anisaidie Asante ndungu.
Asante sana mtumichi wamungu nagufuatiria sana kwamafundicho mazulia Mungu akubariki sana mimi lengo langu naomba Mungu ainuwe nguvu niew sana sana muombaji na kuwa nahisi nimekwama lakini Mungu asikie ombilangu kabix ni inuke tena
Amin tunashukur mtumishi wa mung kwa neno hill mungu atusaidie amen mungu atufungulie milango ya amina
Bwana yesu asifiwe mtumishi. Naomba ukomboz wa Familia yangu biashara yangu.umaskin. Maden. Watoto wangu.
Mtumishi wa mungu Niko kateka vivungo nikama za laana ama za kimapepo kinizuilia kuendelea kihuduma umasiki mungu akiniaidi kitu kina zuiliwa nataka gari ya kufanya kazi ya mungu nikama imezuliwa lakini naamini Leo zimeachiliwa Kwa jina LA yesu my name is pastor Patrick musyoka nikubuke mtumishi wa mungu umbarikiwe sana nimeshukuru
Amina kwa damu ya Yesu Kristo
Bwana Yesu asifiwe mtumishi wa Mungu, naomba unibebe kwenye maombi nitoke kwenye gereza La kutohokewa, nimeteseka Sana kwenye mahusiano,
Mimi hapa muzigo.umekua.asante sana kwasomo hiri.mungu amekutuma.kwamba.nifunguriwe.niripo aza.kusikiriza.asubuhireo.nimemuonamungu mukubwa akapitia.kwako
Asente mungu kwa kunitumiya mtumishi wako kwa Jina la Yesu 🙏
Amen. Mtumishi naomba unisaidie kwa hiyo hali napitia
Ameeeeeen ameeeeeen pstr barikiwa sanaaaana
Nipo katika gereza ma nguvu zagiza limeharibu maisha yangu kazi mahusiano mgonjwa kukosa Amani kujikataa nakukataliwa Sina msaada isipokuwa Mungu pekee🙌🙌
Praise God man of God,nahitaji msaada kabisa kuhusu biashara yangu nimeomba sana nimetoa sadaka lakini bado haifinguki
Amina mtumishi nahitaji kuombeewa kwa habari ya familia yangu
Amen ,naomba mungu amtembelee boss wangu anilipe mshahara wangu ,nimechoka kilio kila nikumbukapo
😢😢 amen ubarikiwe mtumishi wa Mungu
Bwana asifiwe🙏, naomba nisaidie kimaombi kutoka kwenye gerezan la umaskin na maden,mtume maden ni mengi,sana mtume😭😭🙏nisaidie baba
Mungu wangu ninahitaji Mtu kama msaada wangu katika maisha yangu na familia yangu
Wao Mungu akumbaliki pia nimesaindika sana
Amina Amina Mungu ni mwaninifu
Amina🙏
Asante sana mtimishi wangu kwa mafundisho naona leo kwangu ni siku ya neema ubarikiwe sana naomba unisaidie kwa maombi mtumishi wangu
Amen amen napokea msimu mpya
Namshukuru Mungu kwa ajili yako Mtumishi wa Mungu
Hakika nshitaji mtu atakae nineba kwenye hili pito langu 🙏😭
Mungu akubariki mtumishi wa mungu
Nasikia kugusika sana barikiwa sana mtumishi
Amina
Nahitaji,kijana wangu.apate kazi Mungu nisaidie.nahitaji kushikwa mkono katika swala hili
Mtumish wa mungu unafundish ile kweli ya mungu ni kweli tunapoteza muda ,miez, miaka kwa kuomba vibaya mpaka tunakata tamaa ya kuomba Tena Asante mungu kwa kukutumia ww kutufundisha jinsi ya kuomba vizuri na bila kupoteza miez mwaka na muda
Amin
Mtumishi wa mungu niombee kuusu afya yangu, niombee mwana wa mungu, nimepofuka jicho Moja lakulia kwa ajiri ya situroko ya kichwa .
Mtumishi Mungu akubariki, natamani Mungu anivushe ndoa katika ndoa yangu
Hallelujah hallelujah hallelujah hallelujah hallelujah hallelujah hallelujah hallelujah
❤❤❤❤Amina Ubarikiwe yalishanikuta baada ya kufiwa na wazazi wangu lakini Muñgu hakuwai kuniacha alisimama na alinipa ujasili wa Hali ya juu
Amina napokea
Bwana yesu asifiwe,namuhitaji Mungu katika maisha yangu, Mungu atuponye mimi na mme wangu,
Shallom mutumishi wangu ....mimi maishanyangu nikama hayo ya petro naomaba mbaombi yako Mungu anifungue in jesus name
Barikiwa mtumishi
Ubarikiwe mtumishi
Mtumishi was Mungu kwa kweli umenibariki sana Naomba Sana unibebe kwa maombi Mimi ni mgonjwa miguu inaniuma Sana siwezi kutembea naumwa
Naomba mungu anitoe kwenye gereza la umasikini 🙌🙌
Amina mtumishi wa Mungu Nibebe nami katika maombi haya, mwanangu amelazwa hospital anaumwa na Jumatatu anafanyiwa upasuaji wa kutoa kizazi
Bwana Yesu asifiwe, mahitaji mtu atakayenibeba kwenye maombi napitia changamoto ya kutopiga hatua kwenye maisha yangu, masomo ya watoto wangu
Naomba Mungu anivushe kwenye vifungo vilivyo shikiria uchumi wangu
Nashukuru Mungu kwa ajoli yako myumishi, nisaidie maombi kwa ajili ya mzaliwa wangu wa kwanza.Yuko chuoni mwaka wa tatu lakini anasa za dunia zimemvaa kiasi cha kutoroka darasa.Ni binti wa miaka 23
Ameeeen,Neno limenigusa kabisa,Nahitaji kushikwa mkono kabisa.
Ameeen🙏🙏 Aminaa 🙏🙏
Ubarikiwe sana baba
Amina as mtumish wa bwana