ไม่สามารถเล่นวิดีโอนี้
ขออภัยในความไม่สะดวก
MAOMBI YA KUTOKA KWENYE NYAKATI NGUMU
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 24 ส.ค. 2023
- Upitapo katika maji mengi nitakuwa pamoja nawe; na katika mito, haitakugharikisha; uendapo katika moto, hutateketea; wala mwali wa moto hautakuunguza.
Maarifa ya Ki-Mungu
@SIRI ZA BIBLIA
www.sirizabiblia.com
+255 758 708 804
linktr.ee/sirizabiblia
Instagram Account
/ siri_za_biblia
SADAKA YAKO YA KUCHANGIA INJILI IFIKE MBALI ZAIDI:
M-PESA +255 758 708804 INNOCENT MASHAURI
CRDB ACC: 0152523574100 INNOCENT LEONARD MASHAURI
Mungu ni mwema tuko pamoja madhabahuni
Baba MUNGU pokea sadaka yangu ya shukrani madhabahu hapa,,
Mungu utuhokowe Mimi nafamilia yangu utufungulie safari yetu iyo fungwa myaka mingi tukifikiliwa watesi wanainuka nakuziwia mungu tukombowe mungu wangu
Amen nahisi kubarikiwa mungu yu pamoja nami
Mungu naomba unisaidie ktk mapito yote uwe nami naomba unisamehe pale nilpokukosea Mjngu wangu
Amen Mungu azidi kutushindania
Amen
Asante yesu wangu,kwa kunitumia mtumishi wako innocent mashauri,ju ya kuachilia neno lako la uzima kwangu.amen
Eee Mungu wangu,unaujua uchungu uliko ndani yangu,niondolee kudharauliwa,umaskini,machozi na manjozi,nibariki Mungu wangu kupitia madhabahu haya,AMINA
Asante MUNGU kwa kunifungua leo
Aminaa aendelee kutupigania
Mungu nimwema sana Ameni
Unapo zuru wengine yesu usinipite kupitia kwa mathabao ya siri za biblia naomba amani, kibali na timizo la moyo wangu amen.
Asante Bwana Yesu siku hii ya leo.
Mashauri mungu akutumie naguswa nakila punje ya neno mungu mpiganie pekee yke hawezi
Ameen baba mungu akuzidishie nguvu uzidi kutubaliki
Ameen mtumishi wa Mungu
Ameen barikiwa sana mungu akuongoze kwa kila jambo
Niombee sana baba mungu anakusia sana niombee haja ya maitaji yangu nitakushukuru baba ktk jina la yesu kristu
Mungu wangu Naomba sikio la kusikiliza saudí yako kila secunde ya maisha yangu Baba
Usinipite Bwana Yesu
Amina mtumish, be blessed
Asante Yesu kwa maombi haya kweli unachunguza moyo wa mwanadamu. Asante mtumishi kwa maombi haya maana yote umenena ndio ninayapitia kwa sasa
Amen mungu nionekanie
Ee Bwana YESU mponye mama yangu cancer.🙏🏾🙏🏾🙏🏾
Mungu uishie milele naomba umponye mama Huyo popote alipo,si Kwa ajili yetu bali kwa utukufu wa jina lako.
😢😢Mungu usimpite mama yetu
Eeee mungu ponya nafsi yangu niondolee hii kikombe ya mahangaiko ya kazi simama namie hizi nyakati ngumu nipe neema yawezekana kupata nguvu mpya kwa jinalayesu
Amen mtoto wangu atatembea kwa jina ya yesu
Amina mtumishi ❤❤❤❤
Eeh MUNGU,kama ikikupendeza kupitia madhabahu hii,nipatie mke mwema,Amina
Eeee mungu wangu unajua shida zangu nitendee
Ameen Neno La Mungu Ndio Uhai Maishani Wetu🙏
Usiniache Ee Mungu wa mbinguni unisikie mfalme
Amen naomba msada wamaombi
amina mungu ni mwema tupo pamoja kwenye mazabahu
Amen amena? Asante mungu wangu kwa kuzidivkunipigania, naomba ili uweze kuniondoa katika hizi nyakati ngumu za kimaisha
Mungu ninaomba unitoe katika nyakat ngum
Asante sana mtumishi
Amina mtumishi
Najiungamanisha na mazabahu hii ya Siri za bibilia, Mungu nitoe kwenye nyakati ngumu katika jina la yesu😢😢🙏
Ee Mungu achia uamsho ndani yangu
Leo niko hapa naona haya maombi yanavy nitoa kwa Jina la Yesu Mungu akubariki Mtumishi
Hapa mtumishi wa Mungu umeniongelea mm toka mwanzo hadi mwsho
Asante bwana yesu kwa kunifungua
Amen 🙏🏼🙏🏼 Mama yangu atapona Kwa njina la Yesu 🙏🏽
Ee. Baba. Mungu. Naomba. Uniondolee. Maumivu. Makali. Ninayopata. Kupitia. Madonda. Ya. Tumbo. Naomba. Niponye.
Asante kwa mafundisho mazuri Mungu akubariki
Amen amen
Mungu naomba uguse maisha ya baba yangu Richard apone ugonjwa wa kupooza awe huru kupitia ibada ya leo
Najiunganisha na madhabahu ya Siri za biblia ya Mungu aliye hai amen
Mungu naomba ukanipe kazi,
Ee bwana Mungu wayajua mapito yangu nikumbuke utendee haja ya moyo wangu
Mungu nitetee kwenye uchumi wangu, ndoa yanguu eee mungu wa wokovu wangu 🙏
Amin bab naamin kw kushirk katik madhbau hii naamin mung atabadilsh maish yang
Amina
Mungu anifunguw kwajina layesu
Mungu niokoe kupitia madhabahu hii napita wakati mgumu Sana katika masomo yangu.Yesu niokoe, amen
Napitia magumu Sana Mungu naomba unisaidie Yesu naomba usikie kumba kwangu nisaidie kumba mtumishi maombi ya wengi yananguvu
Amen amen amen
🙏 🙏 🙏 Amen
Amen Amen Amen 🙏 mungu wangu unatosha
Amen. Amen
Ahsant mungu kwa uliv nifungua hakika nmeona Jin's uliv nipigania mungu kutoka katka kifungoo
Ni kweli kabisa mtumishi
napokea uponyaji wa mme wangu kupitia maombi yako mtumishi wa mungu kuna mengi yanagusa maisha yangu lakin naamin mateso yayngu yote yatakwisha
Napitia wakati mgumu sana ktk maisha yangu
Amen mutumishi
Asante YESU
Amen mtumishi wa Mungu, haya yote ndio ninayapitia niko mbali na Jamii yangu but nashukuru Mungu mafundisho yako yamenisaidia sana
Asante Mungu naomba unitoe kwenye nyakati ngumu Amen
Mungu mwema
Amen 🙏🏼 I
Mungu nisaidie napitia mambo magum san mungu nisaidie mm
Mimi ni noelah Munyakazi kutoka congo, papa usini saabu ku maombi ju mina pitiya wakati mugumu sana,vita ina simama sana kwenyi maicha yangu
Amen pastor,ni ukweli kabisa hata mimi nimepitia maneno mengi'karibu nichoke na Mungu wangu,but kuanzia leo nimepata nguvu ya kusonga mbele na kidogo ambacho nimepaki nacho kwa imani.niombee pastor Mimi ni Dorah Alfayo kutoka malava kenya.
Amina Amina nimeelewa mtumish huwa Kuna kitu kinaniamsha usiku lakin nasinzia Sana ubarikiwe mtumishi sana
Mungu ninakuomba umfanyie muujiza na umponye Ama ,please please God i am down on my knees begging you please 😢, Mungu tuhurumie kwa afya ya Ama.
Amina🙏🏼🙏🏼
Eeh mungu nimekwama sijuw ni nini kitatokea kweny kazi yangu mungu mm sijuw hatima yangu kazin maana ninaandanwa sana kazini kwangu nachukiwa na kila mtu natafutiwa sababu ya kufukuzwa kazi nimefika mwisho wa ufahamu wangu baba nivushe nitete baba mwanao
Ee bwana unajuwa machungu niliyonayo katika maisha yangu unapozuru wengine usinipite nisikie
Amen 🙏🙏🙏🙏
Amen
Wapendwa naombeni mniombee naandamwa na roho ya madeni kila nikilipa yanakuja sijui yanatoka wapii nmechoka jamani😢 Ee Mungu nisaidie mimi😢
Pole utapita mm nilipitia hayo na sasa n8na unafuu
Asante mungu naamini utaenda kuniondolea kila nyakati ngumu ninayo pitia nisaidiy bwana asant mungu
amin🙏
Kumwabudu mungu
Nayaweza mambo yote katika yeye anitiae nguvu yote yanawezeka katika jina la yesu kristo.madhabahu hii ya siri za Biblia mungu ngome yako
Asante Sana Yesu kwa kunitendea
Asante yesu kwakunitetea kwenye biashara yangu leo nimeono mkono wako ukitenda mambo makuu na makubwa kazin kwangu leo. Naomba uwapigania watoto wangu kielimu waweze kufanya vizur masomo yao
Asante mungu kwa maarifa yako na kunifungua katika Jina la yesu kristo.. AMEN
Asante sana mtumishi maombi yako yamenifariji sana
Yesuuuu usinipiteeee 👏🙏Msaada wa karibu ni ww nafsi yangu yakuangalia ww bwanaaa usiniacheeee 😭roho mtakatifu pita kwenye maisha yangu pia nakuhitaji
Amen🙏
Asante Yesu kwa ukombozi.Amen
Aksanti Aksanti baba kwa yote unasema amene
Najuwa BWANA unaweza Kwan lisilowezekana kwa mwanadam kwako wwe yawezekana sikia kilio changu BWANA 😢😢😢.......🙏🙏🙏
Barikiwa sana mtumishi wa MUNGU,,,,kwa Imani nimefika kileleni ,,mlima nimeumaliza kwa jina la YESU KRISTO
Mungu Baba naomba unitoe kwenye nyakati ngumu katika maisha yangu,katika kazi yangu..nakuomba pia uitoe familia yangu kwenye nyakati ngumu na katika kazi zao uzilinde ,, AMINA 🙏🙏
Mungu kupitia madhabahu hii naomba unipe mume mwema,,unipe uchumi mzuri ,naomba mungu unitoe mikononi mwa adui wanaonizungukw
Nashukuru pastor Kwa mafunzo yako Hakika nimepitia lkn Wacha nipaki na yesu pekee
Ni kweli mtumishi umewekwa ili univushe nimekwama kila eneo Mungu nisaidie
Mungu nivushe kipindi hiki kigumu kwenye ndoa, shetani yupo kazini, watesi wetu wameinuka, baba tunakutegemea sana, wewe ndio kimbilio letu baba, naamini kabisa watajaribu lakini hawataweza, Mungu tutetee Amen
Kweli papa hataa nami njia ninazo pitia Wenda kuna mda hataa kuomba niko nashindwa ajili ya Za madeni,uaminifu na zambi za uzinifu na maisha ya my famille ajakaa sw Ndio maana sina raha hata kuomba nashindwa kuwa sw ila naomba mnisaidie kwa maombi yenu 😢😢😢
Mungu akushindie katika Jina la Yesu🙏🙏
Amen mam yangu atapona
Amen and Amen 🙏 🙌 👏
Haleluya haleluya.. Mungu baba niokoe katika nyakti hiz nazo pitia ktik maishani yangu mausiano yangu mara nying baba ayaelewekii niokoee ktik vizuiz