LIVE: JINSI YA KUOMBA MAOMBI YA VITA NYAKATI ZA USIKU
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 4 ต.ค. 2024
- 2 Tim 4:7
Nimevipiga vita vilivyo vizuri, mwendo nimeumaliza, Imani nimeilinda
Maarifa ya Ki-Mungu
@SIRI ZA BIBLIA
www.sirizabiblia.com
+255 758 708 804
linktr.ee/siri...
Instagram Account
/ siri_za_biblia
SADAKA YAKO YA KUCHANGIA INJILI IFIKE MBALI ZAIDI:
M-PESA +255 758 708804 INNOCENT MASHAURI
CRDB ACC: 0152523574100 INNOCENT LEONARD MASHAURI
Ee Mungu naomba uniepushe na Magonjwa nipo mbali na nyumban unisaidie. Nirudi katik Hali yangu uniepushe na ndoto mbaya ee Mungu usikie kilio changu utege sikio lako kwa maombi yangu😢😢😢🤲🤲🤲
Bwana Yesu tusaidie ulimwenguni tunayo dhiki umesema TUSIOGOPE NAMI NAAMINI KABISA AMEEN
Asante Mungu kwa kwa kunipigania katika vita yangu. Mbariki Mtumishi wako unayemtumia kutukomboa kutoka vifungo mbalimbali vya adui kupitia maarifa Yako.
Asante baba ulie mbinguni kwakutuletea mtumishi wako kutuokoa tuliotekwa nashetani AMINA
Amen
Amen
Amen
Nakushukuru sana maana kuna uwepo wa nguvu imeingia kwenye maisha yangu mimi napitia changamoto mbaya sana ktk maisha yangu ni Mungu tu na kwa maombi ninayoomba sana UBARIKIWE sanaaa Mungu aendelee kukutia nguvu ili uendelee kutuombea Amina🙏🙏🙏
Naomba kuwa huru kuanzia leo Mimi familia yangu kutokakatika vifungo vyote ogunga maisha yetu,faya zeta uchumi wetu ,kazi biashara,na hata katika elimu, Mungu Baba kwa jina la mwanao Yesu Naomba unikumbuke katika haya maombi na katika sala zeta za kila siku,
Mtumishi naomba maombi naumwa kichwa ni zaidi ya miaka 5 hospital hawaoni tatizo zaidi ya kunipa dawa za maumivu naamini Mungu wa Bwana wetu Yesu hashindwi
Damu ya yesu kristu ipite katika maisha yangu , ya familia yangu, kwa biashara zangu na kwa mahusiano yangu 🙏🙏🙏🙏
Amen, Mungu nisaidie nijuwe jinzi ya kufanya vita ya kiroho
Asantee mungu kwa kunipigania vita vyangu wakati mwingine hatujui tunapigani vita vya nini mungu nashukuru kwa kunishindia vita vyangu🙏🙏🙏🙏🙏
Amen mtumishi wa Mungu Mungu atusaidie
Vunja babamilango iliyotengenezwa kwa ajili ya uchumi wangu mungu fungua
Naomba Mtumishi unitumie hivo vipengere vya maombi ubarikiwe sana
Asante mtumishi wa MUNGU, nimepata kitu hapa.
Namshukuru mungu kw kuona cku hii.ya leo
Ameni vita hii itembee nakukomboa ndoa yangu🙏
Amen mtumishi wa Mungu vita ni nyingi lkn yupo Mungu mponyaji watu 😢
Mungu wangu najiungamanisha usiku huu nipate afya
Amina 🙏
Kweli mungu ulimtoa mtumishi wako Inno atufumbue macho mungu weka ulinzi juu yke👏
ubarikiwe mtumishi
Nimejifunza kitu, " vita ya kiroho haipiganwi kimwili" Asante mtumishi wa Mungu.
Ee mungu nakushkuru kwa yote unayonitendea
Nipone mungu na linda mama na. Baba na watoto wagu mungu awapegufu
Barikiwa sana mtumishi🙏
Kupitia maombi haya mungu nifulie njia.
Nimekuwa nyuma sana juu ya net ,bwana nipinganie haijishi ni vita aina gani
Ameeeeeeeen mtumishi wa Mungu
Asante mungu Kwa kunipigania kwenye vita yangu
Asante mungu unanitoa kweny vita biashara yangu kukosa wateja wenye fedha
Damu ya yesu ifunike maisha yangu na mume wangu na watoto wangu na familia yangu
Asante yesu kwa kuñipigania vita zangu
Amina,ninaamini hata nguvu zikaongeke
Ameeeeeen 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙌🙏🙌🙌🙏
Neema ya mungu itusaidie
Ameen mtumishi wa Nungu
Mungu wangu nisaidie nitoke kwenye ndoto changu ambazo shetani ananiletea usiku nimechoka Mungu wangu nisaidie
Naomba MUNGU Kupitia Maombi yangu. Nitolee roho hii nikiwa wakati wa machungaji anaomba napatwa na usingizi mkali Sana. Nakemea Hilo pepo kwa jina la Yesu
Ameen. Napokea kwa Imani. Kwa jina la Yesu Moto upite kote kwenye family yangu upite kwenye hofisi yangu kwajina. La yesu. Nikutanishwe na watu sahihi
Asante Mungu wangu kunifungua
Amen. Nitumicnge na Mimi maombi
Amina
Ameni ameni Wana wamungu
Asante mungu kwa kunikomboa sitachoka kukutumikia eeh mungu wangu🙏🙏🙏
Barikiwa sana mtumishi wa mungu na mwenyezi mungu azidi kukupa umri
❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏❤️
Utukufu kwa Mungu aliyekuwepo,yupo na atakuwepo🙏🏾🙏🏾
Oooo yesss ubarikiwe sana mtumishi wa Mungu🙏🏻🙏🏻🙏🏻
Mungu Asate Mungu Kwa kutuwezesha kufika apatulipo fikaleo ni kwauwezo wako nihondoleye mbipigamizi vaibirisi vinavyo nipotosha navivyojavyoja Kwa Damu YESU Kristo
Asante sana mutumishi wa MWENYEZI MUNGu
Imekaa sawa mno maombi ni vita kama wakristo tungefanya vita namna hii shetani asingepata nafasi na mungu angetenda mambo makuBwa sana kwetu ❤❤
Mungu niludishie mausiano yangu🤲
Nimebarikiwa sana
Jambo papa pasteur
Asante mungu wangu kwa kunipingania vita Kali sana.
Asante Yesu Kristo
ubalikiwe mtumishi napokea ushindi nakibali chahali yajuu
Barikiwa sana mtumishi wa mungu Kwa maombi mazuri.
Asante roho wamungu kwakunishindia vita yangu ya umasikini magonjwa uchungu huzuni mashaka kutokuamini upumbavu ujinga kuchanganyikiwa ukichaa uwaribifu tamaa hisia mbaya 🙏
Nakenea kila kilochonishikilia kuharibu imani yangu kwa jina Yesu
nakemea roho za chumaulete,kukataliwa,kuibiwa kila kilicho changu kwa mamlaka ya jina Yesu. Amen
Ameen
Asante Yesu kwa ukombozi kwa maisha yangu pamoja na familia yangu na watoto wote wa Siri za Bibilia ❤❤❤
Mungu wewe ninguzo sitaacha kukutumikia
Nguvu ya Mungu iponye kazi yangu
Amen 🙏 🙏 Utukufuu kwa mwenyezi Mungu.... .
Barikiwa Sana mtumishi wa Mungu
MUNGU nipiganie mm mana moyo umechoka mungu nisaidie yeyote aliye nidhulumu mungu namleta mbele Yako muone Amal ndoro Kwa chochote alicho nifanyie mm na dadangu😭😭😭🙏🙇🙇
Amen nimefunguliwa na kuwekwa huru
Simama mwenyew mungu wangu mwenyew siweziii bab
Asante mungu kwawatu wakounaotmiya kutuombeya katika shida nafalijika Sana maombi haya yananitiya nguvu napata nguvu tena magu nimengi lakini lakini hapa napata msada mungu akutunze
Nakushukuru jehova❤
Bwana kapigane katka vita iliyopo mbele yangu
Asante mtumishi kwa mafundisho yako mungu azidi kukupa hekima naufunuo ubarikiwe sana tuko pamoja
Asante mungu Kwa kusikia maombi yangu.
Asante YESU kwajili ya mafundisho naomba roho mtakatifu anisaidie kuelewa neno la MUNGU
Asante yesu wangu kwaukombozi 😭😭😭😭🙏🙏🙏
Asante yesu wangu kwaukombozi
Mm Ni Muislam but I thank Nmefunguliwa kutoka kwenye Mikono ya adui🥺🙏
Ufalme wa Mungu uzidi kutamalaki duniani na mbinguni
Kaka.asnte.sana. Amina 👏👏👏
Asante mungu kwa siku hii ya leo na Asante pia kwa kunifikisha hapa nilipo amina Asante mtumishi
Asante YESU
Damu ya yesu ituokoe eeh mungu
Asantee Bwana yesu kwa maomb ya kumpiga shetan, tunaomba pia uzd kubarik. Mtumish wako uliemleta kwetu. Kwaajili ya kutufundisha nano lako
Imeni
Amen mtumishi
Asante yesu,kwa neno lako.
Asante mungu kwa siku nyingine tena nakuomba baba fanya muujiza juu ya watoto wangu na mm mzaxi wao, mungu bila wewe mm siwezi.
Amen Amen Amen
Karibu bwana katika vita yangu nipe ujasiri wala imani yangu isitingisike kwa jina la byesu.Shalom
I'm connected
Ameen ameen asnte kw maombi Hy naomba Mungu azidi kuniungasha n maombi hyaa barikiwe
asante kwa maombi ya vita ubarikiwe n'a mungu
Ndoto za kivita nazivinja kwa Jina La Yesu
Amen amen na sa sa Mungu ametusaidia katushindia haleluya amen 🙏🙏
Asante mungu Kwa kusikiliz maombi yangu Ee mungu naomba unipe nguv nizidi kuku omba Asante mungu wangu mbariki mtumishi wangu azidi Ku ombe Kwa jina lako
Mungu naomba vita niliyokuwa nayo unipiganie yuko Mungu ambaye hashndwi na lolote.Amen
Mungu anisaidie ktk maisha yangu! Mimi na watoto wangu aniongoze na anifungilie mlango wa mafanikio
Amen 🙏
Siku ya Leo najiweka mikono mwangu ukazindi kunipingania kwa mikono ya wachawi amen.
Ameen,Mungu naomba kupitia haya Maombi ukanipe ushindi mbele adui ktk maisha yangu na Imani yangu akaongezeke kwa viwango vingine
Mungu nisaidie kutoka katika sheria za kuzimu
maombi haya ya leo najiungamanisha nayo mm na uzao wangu tunajitoa huko kwa nguvu ya Damu ya Yesu Mungu tusaidie kutoka huko.
In jesus name amen🙏🙏
Ameen
hallelujah hallelujah hallelujah hallelujah hallelujah hallelujah hallelujah hallelujah hallelujah hallelujah hallelujah hallelujah hallelujah hallelujah 🙏🙏🙏
Ashukuliwe Mungu wa mbinguni Kwa muongozo wa maombi haya nateketeza na kuvunja nila zote za muovu shetani hazina mamlaka Tena Kwa damu ya Yesu...naachilia nguvu za Mungu zitawale kote pale niliposhindwa ,Mungu Baba ananipitisha na kunipa umiliki hallelujah 🙏🙏
Damu ya yesu ifunike nyumba yangu na watoto wangu na ndugu zangu roho za magonjwa ziwe mbali na familia yangu 🙏🙏
amina asantebyesu
Niponye magonjwa yote yanayojitokeza kwangu na familia pia. Nifungue macho yangu nione vizuri kabisa. Amina
Asantee MUNGU wangu kwakunipigania kwenye Vita baba namuombea Mchungaji wetu aendelee na Kibali chake Kutenda mema 🙏🙏🙏🙏🙏