Juma Zangira: Afisa Usalama wa Taifa Aliyeshitakiwa Kwa Kosa la Ujasusi Dhidi ya TZ (Espionage) 1977

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 3 ต.ค. 2024
  • Hii ni Makala maalumu kuhusu mkasa wa Juma Thomas Zangira, Mtanzania wa kwanza kushitakiwa na kufungwa kwa kosa la ujasusi (Espionage) dhidi ya Tanzania mwaka 1977.
    Unaweza kutufuatilia kupitia;
    TWITTER: / thechanzo
    INSTAGRAM: / thechanzo
    FACEBOOK: / thechanzo
    TIKTOK: www.tiktok.com....
    Au tembelea tovuti yetu: www.thechanzo.com
    Je, una habari? wasiliana nasi kupitia Telegram/WhatsApp +255 753 815 105
    The Chanzo Initiative, 2024 © All Rights Reserved.

ความคิดเห็น • 64

  • @apostleck
    @apostleck 3 หลายเดือนก่อน +12

    Mheshimiwa, hii kazi ya documentaries za aina hii ni utaalamu wa hali ya juu na husaidia sana jamii kufahamu historia, matukio nyeti kwenye jamii, na upanuzi wa demokrasia na uhuru wa taarifa katika jamii.
    Hongera sana, mheshima kwa taaluma hii haba katika nchi yetu. Hii ndiyo kwa kitaalamu huitwa forensic journalism. Ni.moja ya taaluma ambayo imechochea sana ukuaji wa demokrasia na maendeleo katika nchi nyingi zilizoendelea. Nakutia moyo ukuze kipaji hicho na kukiendekeza. Mwenyezi Mungu akupe kheri 🙏

  • @ibrahimmaulid2704
    @ibrahimmaulid2704 3 หลายเดือนก่อน +18

    Duh umenikumbusha mbali sana chanzo Mzee Tena mbali sana mchambuzi wa chanzo Shafiee KHAMIS so nice to remember that I still remember I was small boy on that time thks so much

    • @shafiihamisi1984
      @shafiihamisi1984 3 หลายเดือนก่อน +2

      Pamoja sana brother!

    • @SimonMwita-k8s
      @SimonMwita-k8s 3 หลายเดือนก่อน +3

      Sasa ndio zangira ashitakiwe et anauza Siri za inchi ya Tanzania Nini Tanzania inacho chakujivunia upuzii mtupu

    • @shafiihamisi1984
      @shafiihamisi1984 3 หลายเดือนก่อน

      @@SimonMwita-k8s 🤣🤣

    • @allyshomari7417
      @allyshomari7417 3 หลายเดือนก่อน +3

      🙏🙏

    • @margarethpolepole7438
      @margarethpolepole7438 3 หลายเดือนก่อน +1

      Duuuuu umenikumbusha mbali sanaaaa nikiwa mfanyakazi binti mdogo Nationalist Uhuru

  • @erastosanga1694
    @erastosanga1694 3 หลายเดือนก่อน +4

    Sharper man zangira, very iodiotic one

  • @JamshidiKiobya
    @JamshidiKiobya 2 หลายเดือนก่อน +1

    Duu#Bado yuko salama Zangira,,nimemlinda sana Butimba-Mwanza

  • @mshengajuma.9113
    @mshengajuma.9113 3 หลายเดือนก่อน +2

    Ahsante sana the chanzo

  • @rausathsued8852
    @rausathsued8852 3 หลายเดือนก่อน +3

    Makala nzuri Sana, Ila sauti imetushika masikio 🔥🔥🔥🔥🔥

  • @marylibaba2589
    @marylibaba2589 3 หลายเดือนก่อน +2

    KAMA HAUNA KARAMA HII UNAWEZA KWELI KUTOA MAELEZO YOOOOTE HAYA❤

  • @MANENOHEMEDYTV
    @MANENOHEMEDYTV 3 หลายเดือนก่อน +6

    Africa tuna roho za ajabu sana yaani unadiliki kuisaliti nchi yako doh

    • @Mapenzi2635
      @Mapenzi2635 3 หลายเดือนก่อน +1

      Tuna akili nyingi sana hivyo hatuna maarifa

  • @HassanWasiwasi-lq1kh
    @HassanWasiwasi-lq1kh 3 หลายเดือนก่อน +1

    KAZI nzuri 🎉

  • @Mapenzi2635
    @Mapenzi2635 3 หลายเดือนก่อน

    Hongera sana, Ndugu Shafii

  • @MinskBelarus-il2tl
    @MinskBelarus-il2tl 3 หลายเดือนก่อน +4

    Je,huyo Juma Zangira,alitumikia kifungo chake, bado yuko Hai,na hakuwa na Washirika katika ujasusi huu. Ningeshauri AFANDE MSIKA atengeneze Filamu ya tukio hilo

  • @aflahrajabu9919
    @aflahrajabu9919 3 หลายเดือนก่อน +1

    Hongera sana kamanda mssika

  • @rshidmwasa8493
    @rshidmwasa8493 3 หลายเดือนก่อน +3

    Makala nzuri

  • @erastosanga1694
    @erastosanga1694 3 หลายเดือนก่อน +1

    Let's be patriotic as was during nyerere days

  • @eliaezekiel6766
    @eliaezekiel6766 3 หลายเดือนก่อน +5

    Mwamba Shafie Khamis anajua kushika masikio ya msikilizaji

    • @shafiihamisi1984
      @shafiihamisi1984 3 หลายเดือนก่อน +2

      Pamoja sana bro Elia

    • @salimmalaka256
      @salimmalaka256 3 หลายเดือนก่อน

      ​@@shafiihamisi1984TUPE STORI ILE BARUWA BOMU ILIO MUUWA MONDLANI NA KIJITI KILIENDELEZWA NA SAMORA MASHEL PLZ

  • @mwaikuka
    @mwaikuka 3 หลายเดือนก่อน +1

    Great

  • @lovenessvisent9408
    @lovenessvisent9408 2 หลายเดือนก่อน +1

    Daraja la salenda kuna stori moja matata sana naiomba kwa sauti mkuu

  • @shukranisibale1739
    @shukranisibale1739 3 หลายเดือนก่อน +2

    Somo zuri kwa vizazi vyetu

  • @erastosanga1694
    @erastosanga1694 3 หลายเดือนก่อน +1

    Je zangira yupo hadi sikuhizi?

  • @salumjuma3152
    @salumjuma3152 3 หลายเดือนก่อน +5

    Where is zangira now ??

    • @MinskBelarus-il2tl
      @MinskBelarus-il2tl 3 หลายเดือนก่อน +1

      Hilo ndio Swali zuri sana.

    • @boban16
      @boban16 3 หลายเดือนก่อน +1

      hawezi kuwa hai hata siku moja

    • @shafiihamisi1984
      @shafiihamisi1984 2 หลายเดือนก่อน +1

      Zangira alitumikia kifungo chake na alipomaliza alitoka akawa huru...baadae alifariki

    • @MinskBelarus-il2tl
      @MinskBelarus-il2tl 2 หลายเดือนก่อน

      @@shafiihamisi1984 Ooh,Asante kwa Taarifa🙏🙏

  • @ibrahimomari2458
    @ibrahimomari2458 3 หลายเดือนก่อน +1

    Je alitoa hizo siri?...

  • @nigananurunjema
    @nigananurunjema 2 หลายเดือนก่อน

    Huyo alikuwa haini kabisa wala hakuwa raia mwema na hakustahili kulitumikia taifa letu pendwa. Inastaajabisha na ni aibu kubwa sana walimjuaje kuwa anafanya hiyo kazi nyeti mpaka wakamtumia? Hatari sana.

  • @MichaelShigela
    @MichaelShigela 3 หลายเดือนก่อน +3

    Huyuu ndio DOUBLE AGENT mkuu😂😂😂

  • @shabanponera2895
    @shabanponera2895 3 หลายเดือนก่อน

    Yaani hakuna anaejua alipo Juma Zangira?

  • @erastosanga1694
    @erastosanga1694 3 หลายเดือนก่อน +1

    Aah zangira , aah zangira why this?

  • @WilfredChomo
    @WilfredChomo 9 วันที่ผ่านมา

    HAMWOGOPI!
    HII ILIKUWA 1971-1977.
    JE,HAMWOGOPI KUWA KUTOKANA NA KUPEVUKA KWA TEKNOLOJIA KUMEPELEKEA KUKOMAA KWA UJASUSI WA VITENGO VYETU? TAKE CARE!!!!

  • @marylibaba2589
    @marylibaba2589 3 หลายเดือนก่อน

    HONGERENI WATUMISHI WOOOOOTE WA USALAMA WATAIFA WANA KAZI KUBWA SANA.

  • @marylibaba2589
    @marylibaba2589 3 หลายเดือนก่อน

    NI KARAMA HIYOOO KUTOKA KWA MWENYEZI MUNGU

  • @homeboybeyondtheborders4935
    @homeboybeyondtheborders4935 3 หลายเดือนก่อน +4

    Mssika yupo hai mpaka leo

    • @michaelmulokozi1512
      @michaelmulokozi1512 3 หลายเดือนก่อน +2

      Yupo hai

    • @MinskBelarus-il2tl
      @MinskBelarus-il2tl 3 หลายเดือนก่อน +1

      Amehojiwa hivi karibuni AZAM TV( UTV) katika kipindi cha ZUMARI kinacho endeshwa na JAAFAR MPONDA

    • @homeboybeyondtheborders4935
      @homeboybeyondtheborders4935 3 หลายเดือนก่อน

      @@MinskBelarus-il2tl Kweli kabisa

  • @anastaziuscyriacus5415
    @anastaziuscyriacus5415 2 หลายเดือนก่อน

    Tz ilipanic tu,

  • @EmmaMselle
    @EmmaMselle 2 หลายเดือนก่อน

    Makachero

  • @OttoChiduo
    @OttoChiduo 3 หลายเดือนก่อน +1

    Huyo hakuwa tena jasusi Bali kibaraka wa mabeberu, mhaini na msaliti wa Taifa !

    • @mtzhalisi2232
      @mtzhalisi2232 3 หลายเดือนก่อน

      Jua kwanza maana ya ujasusi..

  • @marylibaba2589
    @marylibaba2589 3 หลายเดือนก่อน

    MUNGU AWALINDENI TU

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything 3 หลายเดือนก่อน

    ✌️👍👊.

  • @LishaPasha
    @LishaPasha 3 หลายเดือนก่อน +1

    saafi sana.
    tu document historia na matukio ya nchi yetu