Simulizi Maasi ya Kijeshi 1964: Utata Kuhusu Namna Nyerere Alitoroshwa Ikulu Magogoni | Mohamed Said

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 6 ก.พ. 2025
  • Mwanahistoria Mohamed Said anaeleza namna hali ilivyokuwa mjini Dar es Salaam siku yalipozuka maasi ya Jeshi la Tanganyika (Tanganyika Rifles) Januari 20, 1964.
    Mzee Said ambaye pia ni mwandishi wa kitabu kuhusu maisha ya Abduwakili Syekes mmoja wa waasisi wa TANU mwaka 1954, anaeleza utata kuhusu simulizi za namna Nyerere alivyotoreshwa kutoka Ikulu siku ya maasi kwa kuangazia kitabu cha aliyekuwa mlinzi wa Mwalimu Nyerere Peter Bwimbo na simulizi ya Kihistoria aliyeipata kutoka kwa mzee Kondo ambaye naye aliwahi kufanya kazi katika Special Branch na badae Idara ya Usalama wa Taifa.
    Unaweza kutufuatilia kupitia;
    TWITTER: / thechanzo
    INSTAGRAM: / thechanzo
    FACEBOOK: / thechanzo
    TIKTOK: www.tiktok.com....
    Au tembelea tovuti yetu: www.thechanzo.com
    Je, una habari? wasiliana nasi kupitia Telegram/WhatsApp +255 753 815 105
    The Chanzo Initiative, 2024 © All Rights Reserved.

ความคิดเห็น • 49

  • @ShukurkollAngel
    @ShukurkollAngel 2 หลายเดือนก่อน +3

    Unayosema ni kweli kabisa. Mimi wakati huo mwaka 1964 nilikuwa Darasa la nne nikiishi Magomeni Mikumi. Balaa hiyo niliishuhudia.

  • @angojothammbossa6385
    @angojothammbossa6385 3 หลายเดือนก่อน +4

    Hicho kijiji kipo, na hiyo familia ipo na nilikuwa sijui kama wana historia hiyo ktk nchi hii mimi ni mwenyeji wa Kigamboni.

    • @kindysuleiman5935
      @kindysuleiman5935 หลายเดือนก่อน

      Ukiangalia mtiririko utaona ulikuwa mchezo Wa kuigiza

    • @thechanzo
      @thechanzo  หลายเดือนก่อน

      Habari, unaweza kutusaidia mawasiliano ya hiyo familia? Unaweza kutupata kwa namba 0753815105

    • @andrewnyerere3153
      @andrewnyerere3153 หลายเดือนก่อน

      Exactly,ndicho nachotaka kunwambia Mohammed Said,Nyerere asingeweza kwenda Ruvu.

  • @LadislausyStanislausy
    @LadislausyStanislausy 2 หลายเดือนก่อน

    Hasante sana Mzee Mohamed

  • @rashidkapile
    @rashidkapile 4 หลายเดือนก่อน +1

    Shekhe Mohammed Una story mzuli Sana moyo wangu umejuwa mengi mungu akulinde uzee dawa

  • @jumamwanga6634
    @jumamwanga6634 4 หลายเดือนก่อน

    Hongera mwana History Namba Nikutembelee Ofisini Kwako Kwa Kupata Elimu Zaidi

  • @stellamanda4466
    @stellamanda4466 3 หลายเดือนก่อน

    Wooow mimi nlikuwa darasa la nne Tabora experience inafanana Pale kulikuwa na Mirambo Barracks

  • @Mapenzi2635
    @Mapenzi2635 4 หลายเดือนก่อน

    Powerful. Asante sana

  • @orestessotta7400
    @orestessotta7400 4 หลายเดือนก่อน +3

    Mawasiliano yako mzee wetu tunaomba

    • @zahorokimwaga3787
      @zahorokimwaga3787 4 หลายเดือนก่อน

      Zahoro Suleiman, Kimwaga wa Shambalai,
      Nipo Mtaa wa One-way Str - Magaoni "A" - Magaoni - Tanga (CC) "

  • @andrewnyerere3153
    @andrewnyerere3153 หลายเดือนก่อน

    Mwalimu Nyerere hiyo hideout ya Ruvu ingekuwa nzuri lakini ingekuwa impractical kwa Mwalimu kwenda huko.
    Mwalimu alipelekwa hideout nyingine lakini it is better not to mention it kwa sababu inaweza kuhitajika tena.

  • @joshuachuwa5695
    @joshuachuwa5695 4 หลายเดือนก่อน +2

    Hongera mzeee .Kuzazi cha kuanzia 1980 tunakuhitaji sana

    • @AhmedAbdallah-wb7zp
      @AhmedAbdallah-wb7zp 4 หลายเดือนก่อน +1

      Hata Sisi WA afu2 tunamhitaji😅

    • @innocentrichard2945
      @innocentrichard2945 2 หลายเดือนก่อน

      ​@@AhmedAbdallah-wb7zpwanajipendelea sana😂

  • @Babawamapaka
    @Babawamapaka 4 หลายเดือนก่อน

    Sh Muhammed napenda kazi yako

  • @Truenegro-q7r
    @Truenegro-q7r 4 หลายเดือนก่อน +3

    Nice story mzee

  • @Magotimwteregina
    @Magotimwteregina 3 หลายเดือนก่อน +2

    Marehemu babu yangu mzaa mama husein obeid ndiye aliyemficha nyerere Tarime mara kwa mujibu wa maelezo ya mama yangu

    • @ShukurkollAngel
      @ShukurkollAngel 2 หลายเดือนก่อน +1

      Siyo kweli.

    • @abdullahabdull3172
      @abdullahabdull3172 หลายเดือนก่อน +1

      Kakudanganya

    • @furahachuma9039
      @furahachuma9039 หลายเดือนก่อน

      Yaani mapinduzi yafanyike Dar es Salaam then muda huo aonekane kafichwa Tarime wakati hata uwanja wa ndege hakuna Tarime?

  • @stellamanda4466
    @stellamanda4466 3 หลายเดือนก่อน +1

    Ingawa nlikuwa ndo true Kambona ndo iliongoza nchi akitangataza kupitia Tanzania Briadcasting Corporation - TBC. Na ndo alotangaza kuwa madai yameisha.

  • @florencechalo
    @florencechalo 3 หลายเดือนก่อน

    I was in Dar es salaam

  • @shomarisangari-rt6le
    @shomarisangari-rt6le 3 หลายเดือนก่อน +1

    Mwl Nyerere alijificha Ruvu mlandizi kwa sasa katika eneo hilo imejengwa kambi Ruvu jkt mlandizi

  • @frimatuslupimo2031
    @frimatuslupimo2031 หลายเดือนก่อน

    Maria yupo pateni hakika ya mambo haya kutoka kwake

  • @msakuzikondo536
    @msakuzikondo536 3 หลายเดือนก่อน

    Ukweli anaujua Mungu.

  • @alialamoudi9729
    @alialamoudi9729 27 วันที่ผ่านมา

    Kambona angechukua urais ingekuwa afathali hao walitwana nyerere

  • @abdulrasulissa5063
    @abdulrasulissa5063 3 หลายเดือนก่อน

    Sababu kubwa ya uaasi ni nini khasaa nijuze shekh mohamed

    • @furahachuma9039
      @furahachuma9039 หลายเดือนก่อน

      Madai ya askari juu ya maslahi yao.

  • @karmelibob
    @karmelibob 3 หลายเดือนก่อน

    Ninavyo vyote kasiro icho cha Abdul Sykes. Nakipataje??

  • @kindysuleiman5935
    @kindysuleiman5935 หลายเดือนก่อน

    Mwanahistory Mohamed huoni hayo so called mapinduzi yamepangwa kuwadanganya Wa Tanganyika kama ilivyofanywa Zanzibar tukiambiwa tujiambie

  • @Montana12-v2c
    @Montana12-v2c 4 หลายเดือนก่อน

    Kwa stori hii mwalimu alifichwa kwenye hilo shamba lenye handaki na sultana kizwezwe ni huyohuyuo rafiki yake mwenye shamba huo ndo ukweli uliofichwa

  • @tizamapandezingine
    @tizamapandezingine หลายเดือนก่อน

    Ndugu Mtangazaji wa #thechanzo Hivyo Vitabu Vitatu vya Mzee Hapo: Sehemu ya 1, Sehemu ya Pili na Tatu. Vyote vinapatikanaje...!!

    • @thechanzo
      @thechanzo  หลายเดือนก่อน +1

      Vinapatikana katika dula la vitabu la TPH lililopo mtaa wa Samora, jijini Dar es Salaam. Kama upo mkoani wasiliana nao kupitia kurasa zao za mitandao ya kijamiii ikiwemo Instagram na Facebook wanatumia jina la Mkuki na Nyota Publishers. Karibu sana.

    • @tizamapandezingine
      @tizamapandezingine หลายเดือนก่อน

      @thechanzo asante sana

    • @tizamapandezingine
      @tizamapandezingine หลายเดือนก่อน

      @thechanzo naomba umuulize msimuliaji kuwa; kitabu chake kinapatikana wapi..? Kwa maana kwenye ofisi ya mkuki na nyota hakipo. Natanguliza shukrani. Au ikiwezekana niunganishe naye. Asante

    • @tizamapandezingine
      @tizamapandezingine หลายเดือนก่อน

      Mohammed Said

  • @HamisMghuna-fj3vz
    @HamisMghuna-fj3vz 4 หลายเดือนก่อน +1

    Wazee walitafuta haki lkn sasahiv, hawataki katiba,itawabana,wanajua hata Nyerere,aliyumbishw, akina kambona,walikimbia,, upinzan ulikwepo enz y Nyerere,c sasa,tu kopi,

  • @ramadhanmazije3882
    @ramadhanmazije3882 4 หลายเดือนก่อน

    Kumbe sisi na wachina damdam

  • @innocentrichard2945
    @innocentrichard2945 2 หลายเดือนก่อน

    Manuwari za Royal marine 😂😂😂

  • @ManswetKimario
    @ManswetKimario 4 หลายเดือนก่อน +1

    Tunapataje hivyo vitabu? mawasiliano jamani

    • @aronathanas4997
      @aronathanas4997 3 หลายเดือนก่อน

      Ukipata contacts nitumie ,nipate hivi vitabu tafadhali

    • @AminielKombe-c1t
      @AminielKombe-c1t 2 หลายเดือนก่อน

      Kwenye makala zake anasema uende maktaba za UDSM na vyuo vya CCM

  • @101_Didas
    @101_Didas 4 หลายเดือนก่อน

    1964 MAGARI YAPI SHEKH?