"USALAMA WA TAIFA HAWARUHUSIWI KUKAMATA, KAZI ZAKE ZAWEKWA WAZI BUNGENI"

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 15 เม.ย. 2018
  • Waziri wa nchi ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Kapteni George Mkuchika amefafanua bungeni majukumu ya idara ya usalama wa Taifa kwa mujibu wa sheria huku akiainisha mipaka yake katika utendaji kazi
  • บันเทิง

ความคิดเห็น • 28

  • @utukufueliya5279
    @utukufueliya5279 4 ปีที่แล้ว +11

    Wanatakiwa wajue tofauti ya usalama wa Taifa na Makachero wa police....

  • @whanson2001
    @whanson2001 ปีที่แล้ว +3

    Nchi inaendeshwa kwa kutumia sifware ya zamani sana.

  • @michaelmrindoko2849
    @michaelmrindoko2849 4 ปีที่แล้ว +6

    Mzee mkuchika uko sawa ! Lakini hawa vijana wa usalama wanaingilia Sasa kazi za polisi.... ! Nao wanataka waonekane tuuuuu !

    • @ignasiissaya1718
      @ignasiissaya1718 3 ปีที่แล้ว +2

      unachotakiwa kujua ni kwamba usalama wa taifa hawana mipaka na hicjo ndicjo kinachofanya hadi wanaogopeka kuliko hata Wanajeshi na huwez kuwajua hadi uwachunguze sana na katika utendaji kazi wao na ndomana kila unapoenda katika kila ofisi,taasis binafsi na za kiserikali hao watu wapo huwekwa kwa kisili ili kufanya kazi husika...na usalama wa taifa hawashtakiwi na hawapandishwi mahakaman labda awe feki...huyo mzee hapo aliwatetea tu
      na kingine usalama wa taifa ni idara iliyochini ya Rais ..mkuu wanchi.

    • @kwisa4899
      @kwisa4899 10 หลายเดือนก่อน

      Tatizo polisi wakipewa report hawazifanyii kazi

    • @mwassamwassa7264
      @mwassamwassa7264 9 หลายเดือนก่อน

      ​@@ignasiissaya1718Hawashitakiwi kwasababu ccm inawalinda maana TISS wapo chini ya ccm

  • @gaagwasaugustino2584
    @gaagwasaugustino2584 9 หลายเดือนก่อน +1

    Hayo yapo kwenye vitabu vya sheria lakini vitendo ni tofauti!

  • @othmanmapunda2310
    @othmanmapunda2310 ปีที่แล้ว +2

    Sawa comrade huruma

  • @chamwinobts
    @chamwinobts ปีที่แล้ว +3

    wanatakiwa kutofautisha usalama wa taifa na makachero wa polisi

  • @enezermwafrica7443
    @enezermwafrica7443 2 ปีที่แล้ว +3

    Umeongea kweli aisee Mkuchika; Hongera sana.

  • @ricksonmrema1693
    @ricksonmrema1693 5 ปีที่แล้ว +9

    Wale waliomfuata Zakaria ni police au ni usalama wa taifa acheni kujifanya amjui wakati ushaidi hupo na kwa nape je yule aliemtolea nape silaha ni police

  • @gaspermodise9644
    @gaspermodise9644 10 หลายเดือนก่อน +1

    tz sheria haifatwi wabunge mnatunga sheria viongozi hao hao ndio wakwanza kuivunja hainamana yakuwa nashnn

  • @susankilimtali5025
    @susankilimtali5025 10 หลายเดือนก่อน +1

    Tanzania hata palisi Jamie wakielekezwa wanawakamata watu na kuwatafutia kesi ilimradi mioyo yao iridhike

  • @sonbramadhani2822
    @sonbramadhani2822 5 ปีที่แล้ว +5

    hahahahaa sasa kwazakaria tajiri wamabasi ilikuaje?kama usalama wataifa walitaka kumkamata

  • @deusmauka9626
    @deusmauka9626 3 ปีที่แล้ว +4

    Waongezewe majukumu kwa masrahi ya Taifa, ugaidi na ufisadi imekuwa ni shida sana.

  • @mariamumechara3398
    @mariamumechara3398 ปีที่แล้ว +1

    Nyinyi mnatuchanganya bona mnawatuma wanakamata watu

  • @nikodemkajange3257
    @nikodemkajange3257 ปีที่แล้ว +1

    Kwelii kabisaa Shida ya watanzania wengi tunalaumu TU ila hatufuatilii undani wa kitu,.TISS siku zote ipo Kwa ajili ya kukusanya taarifa tu za ndani na nje ili kuzuia mambo ya kigaidi mbali mbali

  • @smartismine1127
    @smartismine1127 2 ปีที่แล้ว +3

    Waambie gwiji

  • @DamasEmanuel-gw7lj
    @DamasEmanuel-gw7lj 9 หลายเดือนก่อน +1

    Mhh jaman yaani uongo mtupu

  • @ziadasadiki8196
    @ziadasadiki8196 4 ปีที่แล้ว +1

    Mh. 🙏👏

  • @aminaomary5567
    @aminaomary5567 ปีที่แล้ว

    Mzee kushukru afadhali umewaambia ukweli,

  • @IddySimba-wr5nm
    @IddySimba-wr5nm ปีที่แล้ว

    Barcelona vs real Madrid Copa de la rey

  • @kwisa4899
    @kwisa4899 10 หลายเดือนก่อน

    mbona issue ya Dp world wame ufyata

  • @myself4128
    @myself4128 4 ปีที่แล้ว +5

    Tanzania unaweza kamatwa na hata mgambo wakati kisheria hawana power of arrest,nchi yetu ni kuoneana tuu sababu hao wasiojulikana ndio usalama wenyewe na lini waliwahi kuchukuliwa hatua????? Wanainhilia kazi za polisi kila siku na wanaachwa tuu

  • @philemonpaulo2172
    @philemonpaulo2172 2 ปีที่แล้ว +1

    Plz plz hizo kazi za law enforcement ni kazi za polisi naomba msiwaingilie polisi hizi ni kazi zao

  • @murattywamuratty9778
    @murattywamuratty9778 ปีที่แล้ว +2

    Mie nawapa ushauri usalama wanapo ajiri wasichukuwe tu kundi kwa mfano wote kutoka jkt wanakosea wakifanya ivo kama walivyo fanya 2019 huwezi kupata sifa zote, sikuizi watoto wakirud mafunzo wanaropokwa tu na hii tatizo naona ni kuwacha kuchukuwa wale wanostahili mana wengine usije shangaa ajira iyo watu ikawapata kwa kununua, wastaafu mumewatenga hamuchukiwi watoto wao wakati duniani idara inaenda na combination ya urithi pia hilo mumeliwacha na kungefanya hivyo sidhani kama habari zingeweza kuvuja vuja ovyo, maana mtoto hufata nyayoo za ulezii za wazee wake na hata ushaur mda mwengine huwa anapewa na mzee wake ila sikuiz watu wanajifanya wanajua sana ndo mana kumevurugika mnoo uko rejeshen mdumo wazaman

    • @thomastarimo
      @thomastarimo ปีที่แล้ว

      Sas vip kuhusu tozo za hovyo na kupora wamachinga vitu vyao