Masaa 54 ya utekaji wa ndege ya Air Tanzania-1982/AirTanzania plane hijack 1982

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 25 ส.ค. 2024
  • Fuatilia kisa hiki cha vijana wa kitanzania walioteka ndege ya shirika la ndege la Tanzania kutoka walipotokea katika uwanja wa Mwanza mpaka kwenda kumalizia jaribio lao la utekaji jijini London. Ni tukio lililoteka vyombo vyote vya habari mwaka 1982.
    Je, una habari? wasiliana nasi kupitia Telegram/WhatsApp +255 753 815 105
    The Chanzo Initiative, 2022 © All Rights Reserved

ความคิดเห็น • 78

  • @johnbidya119
    @johnbidya119 ปีที่แล้ว +8

    Baba yang alipenda kunihadithia story hii hakika alinihadithia ukweli RIP my dad John bidya this is your utube account ilove u..

  • @jacksonmathayo3859
    @jacksonmathayo3859 10 หลายเดือนก่อน +4

    Mmenikumbusha Mbali hongera sana,Nchi ilitaharuki wakati huo

  • @victorjames3730
    @victorjames3730 2 ปีที่แล้ว +21

    TBC wameificha hii ishu, kumbe kuna mambo mazito yamewahi kutokea Tanzania

  • @evancemuhenga5696
    @evancemuhenga5696 2 ปีที่แล้ว +8

    Sikuwahi kusikia hii issue, hongera chanzo

    • @stevensteve7519
      @stevensteve7519 3 หลายเดือนก่อน

      Sihii tuu vijana waliwahi kuteka ndege baada ya utekaji huu. Ndani ya ndege ile alikuwemo waziristan wa mambo ya ndani Generali fulani simtaji.vijana wale walitumia embe dodo nakudai kwamba ni bomb hatari sana. Rubani aliwahadaa watekaji akairudisha ndege Airport huku akiwaaminisha watekaji kuwa wanatua Nairobi Kenya ndipo wakakamatwa.

  • @surusuru1994
    @surusuru1994 2 หลายเดือนก่อน +2

    Akili ya mwalim Nyerere❤allah amifaz

  • @andrewkazungu6542
    @andrewkazungu6542 ปีที่แล้ว +3

    Nzrhyoo 🎧🎤🌟🇹🇿

  • @user-kx4wd5vb4j
    @user-kx4wd5vb4j 3 หลายเดือนก่อน +3

    Mbona hii issue kwa huku Zanzibar inafahamika kitambo tu.na utekaji wa ndege kwa Tz sio mara moja tu

  • @stanslausbernard5950
    @stanslausbernard5950 4 หลายเดือนก่อน +8

    Walifungwa jela uingereza. Baada ya kifungo walirejeshwa Tanzania ambako walifungwa pia. Baada ya kifungo waliomba msamaha na baadhi wakawa makada wa CCM. Mfano Yasin Memba.

    • @laurad32
      @laurad32 หลายเดือนก่อน

      Ahaaa kumbe hlf na ukada akapewa duh

  • @damianmstambi848
    @damianmstambi848 ปีที่แล้ว +7

    Kumbe kulikuwa na vijana wanajielewa kipindi hicho si saiv wote wamekuwa machawa serikal na viongozi wake wamekuwa washenzi wanafanya watakayo wao

    • @saidbakar-qo6ri
      @saidbakar-qo6ri 7 หลายเดือนก่อน +1

      Sababu zilizofanya wateke ndege wakati huo kwa sasa hazipo tena ndio maana memba alirudi na kuwa kada wa ccm,

    • @clousgabriel7713
      @clousgabriel7713 2 หลายเดือนก่อน

      😂

  • @dechardavid2555
    @dechardavid2555 3 หลายเดือนก่อน +3

    Nna miaka 28 leo ndio nasikia hii mbarangati asee

  • @mwanamvuaally3570
    @mwanamvuaally3570 3 หลายเดือนก่อน +3

    Walipewa uraia ungereza kuna hawa wengine vijana wakizanzibari mpaka leo wapo uk wakati huo watu walikuwa na hamasa ya kwenda ulaya

    • @abdulshaq-qx8wz
      @abdulshaq-qx8wz 2 หลายเดือนก่อน

      wa Zanzibar waliteka ndege

  • @user-bs1od1zl4m
    @user-bs1od1zl4m 4 หลายเดือนก่อน +6

    Uistoria ya maisha nilikaa na mtekaji mmojawapo nilimwona mchamungu mpole mkarimu mnyenyekevu swalatano safi kule chukwani karibu na kiembe samaki kweli kugundua kilicho ndani ya mtu niuweza mwingine maana jamaa mmojawapo tumekuwa malafiki mpaka pale nilipopata habari yake naye hakunificha alipenda sana filamu ya mwanamke mmoja shineza mnyarwanda wa kike aliye patamatatizo ya mahusiabo nk ---------

  • @idrisahmed1220
    @idrisahmed1220 2 หลายเดือนก่อน +2

    hawa watu walitakiwa wawepo sasa hivi maana serikali ya huyu bibi wala sielewi

  • @humbemusa3480
    @humbemusa3480 ปีที่แล้ว +5

    Haya mambo ni historia kali sana sijawahi kuisikia aseee haisemwi sana

    • @KhadijaG-rm8fu
      @KhadijaG-rm8fu 2 หลายเดือนก่อน

      Tanzania mambo mengi ni Siri kaka hata mapinduz ya zanzibar yamefichwa watu wamekaririshwa uongo ila ukwel upo sema kwel upotelee kusikojulikana😅😅

  • @Beidswalker
    @Beidswalker หลายเดือนก่อน

    Ahh hii movie sasa

  • @homeboybeyondtheborders4935
    @homeboybeyondtheborders4935 ปีที่แล้ว +2

    Duh hatari sana

  • @hemedjackson2261
    @hemedjackson2261 3 หลายเดือนก่อน +2

    Waengereza mbwa tu

  • @chage97
    @chage97 ปีที่แล้ว +3

    Matukio yapo mengii sana TBC ni maviii tuu

  • @IbrahimShan-qu3um
    @IbrahimShan-qu3um 3 หลายเดือนก่อน +2

    Kumbe kuna familia 1 UKOO wa MEMBAA

  • @pierreh255
    @pierreh255 20 วันที่ผ่านมา

    Mtafuteni hata muhanga mmoja mumuhoji atuhadithie ulivyokuwa

  • @HussainMaula-mw8vz
    @HussainMaula-mw8vz 9 หลายเดือนก่อน +1

    Hujatuambia watekaji wamechukuliwa hatua zipi za kisheria.

  • @waukweelinikkon6555
    @waukweelinikkon6555 7 หลายเดือนก่อน +1

    Hata sikuzaliwa bado daah

  • @user-zz9gr1vd9h
    @user-zz9gr1vd9h 2 หลายเดือนก่อน +2

    Ndiyo hivyo majina yametajwa

  • @shabanponera2895
    @shabanponera2895 3 หลายเดือนก่อน +3

    Kijana wa miaka21 anateka ndege, hivi hawa wa miaka21 leo wanaweza kufanya nini?

    • @Gift-q3j
      @Gift-q3j 21 วันที่ผ่านมา

      Kucheza kangaroo

  • @hemedjackson2261
    @hemedjackson2261 3 หลายเดือนก่อน +2

    Watekaji ni vibaraka wa Uengereza kutokan na nyerere alikuw mtu wa kufuat Soviet sio magharibi

    • @salma0000
      @salma0000 3 หลายเดือนก่อน

      Itakua walitaka aachane na ukoministi, it makes sense.

  • @mustafakipuka2230
    @mustafakipuka2230 ปีที่แล้ว +2

    Je hiiiii Ndege asaiv ipo sehem gan

    • @saidbakar-qo6ri
      @saidbakar-qo6ri 7 หลายเดือนก่อน

      Ndege ilikuwa ni Boeing 737 sikumbuki ilienda wapi kama iliuzwa au imekufa hatujui

    • @bakrhussayn102
      @bakrhussayn102 2 หลายเดือนก่อน

      .

  • @w4058
    @w4058 ปีที่แล้ว +1

    Waliishia Uingereza

  • @arnoldmambali3770
    @arnoldmambali3770 หลายเดือนก่อน

    magreth Tatcher Mfano halisi wa mwanamke nangai

  • @godwinkileo7702
    @godwinkileo7702 25 วันที่ผ่านมา

    Hao ndio wanaume washoka

  • @SalumJuma-iz2gj
    @SalumJuma-iz2gj 3 หลายเดือนก่อน +2

    Kama watekaji hawakuwa na slaha hao wLio wapiga risasi walizipata wap

    • @omarcarlos4595
      @omarcarlos4595 2 หลายเดือนก่อน +2

      Nimefahamu kuwa watekaji hawakuwa na silaha za ukweli ila walikuwa na silaha bandia. Silaha walizipata kutoka kwa wahudumu ambao walikabidhiwa na abiria ambao walizisalimisha wakati wanasafiri. Ila hii habari hawakutuambia mwisho wa watekaji nyara ilikuwaje.

    • @SalumJuma-iz2gj
      @SalumJuma-iz2gj 2 หลายเดือนก่อน

      @@omarcarlos4595 p

  • @carterkomm8639
    @carterkomm8639 หลายเดือนก่อน

    Nawajua

  • @MichaelMathew-ke6bi
    @MichaelMathew-ke6bi ปีที่แล้ว +1

    Sasa kwa usumbufu huu wote, mtu anafungwa miaka mitatu tu? Ingefaa kama miaka 15 hivi. Adhabu kali kwelikweli. Naona kipindi hicho ahhh Tanzania ni raha kwelikweli.

    • @hamidamrisho6908
      @hamidamrisho6908 8 หลายเดือนก่อน +1

      Walifungwa Uingereza na hawajarudi mmoja alikuja kuwa lawyer mkubwa nchini UK mwamba anaitwa Yusuf Membe

    • @AllySarumbo
      @AllySarumbo 3 หลายเดือนก่อน

      Kwanini

  • @FrancisRM-ex8vf
    @FrancisRM-ex8vf 19 วันที่ผ่านมา

    mbna hii siku ya 26 february huwa haizungumziwi hata kwenye kalenda, au ndo inaweza kuhamasisha wakereketwa?

  • @seifjosph2056
    @seifjosph2056 29 วันที่ผ่านมา

    Buu sijawahi sikia history Hadi nazeeka sasa

  • @ronaldsariah8760
    @ronaldsariah8760 2 ปีที่แล้ว +3

    Watekaji wakaishia wapi?

  • @salvakimati1944
    @salvakimati1944 ปีที่แล้ว +1

    Gharama za kuweka mafuta katika hivyo viwanja mbalimbali zilikuwa zinalipwa na nani?

    • @subirae4619
      @subirae4619 10 หลายเดือนก่อน

      Hata mim najiuliza hili swali

    • @rechalbarama6758
      @rechalbarama6758 7 หลายเดือนก่อน

      Hii inaonesha ilikuwa dili ya uingereza hii

    • @nyawawawanyawawa935
      @nyawawawanyawawa935 7 หลายเดือนก่อน

      Mafuta yalikuwa yanawekwa kwa sharti la watekaji ya tisho la kutokuilipua ndege.

    • @lugwetunje3896
      @lugwetunje3896 2 หลายเดือนก่อน

      Tanzania ililipa hata chakula

  • @edrickniwamanya5665
    @edrickniwamanya5665 9 หลายเดือนก่อน +1

    Kwahy majambazi ni wote ni waisilamu

    • @saidbakar-qo6ri
      @saidbakar-qo6ri 7 หลายเดือนก่อน

      Walikuwa watanzania sio waislamu vita ya uganda walipigana watanzania japo kuna mchanganyiko wa dini ondoa fikra za kidini jailing hoja

    • @shabanponera2895
      @shabanponera2895 3 หลายเดือนก่อน

      Kwani kuna jambazi hapo?

    • @Muhammad1Suleiman
      @Muhammad1Suleiman หลายเดือนก่อน

      Number hazikutosh

    • @user-qk4lx4hg7g
      @user-qk4lx4hg7g หลายเดือนก่อน

      😅😅😅😅

    • @msabatozeson9023
      @msabatozeson9023 28 วันที่ผ่านมา

      😂😂😂

  • @wilfredmambu9635
    @wilfredmambu9635 ปีที่แล้ว +1

    Na hao jamaa walienda wapi?

    • @saidbakar-qo6ri
      @saidbakar-qo6ri 7 หลายเดือนก่อน

      Walipewa hifadhi na serikali ya uingereza baadae wengine wakarudi nyumbani

    • @abdulshaq-qx8wz
      @abdulshaq-qx8wz 2 หลายเดือนก่อน

      wa Zenj washazeeka

  • @victorcephas3618
    @victorcephas3618 2 หลายเดือนก่อน +1

    Hivi Kwa nini watekaji Huwa ni waislamu?

    • @arunarashid8306
      @arunarashid8306 2 หลายเดือนก่อน

      N wajasir sana

    • @victorcephas3618
      @victorcephas3618 2 หลายเดือนก่อน

      @@arunarashid8306
      Kweli hapo nakubali maana Kuna wale wanajilipuaga wanajitoa muhanga yaani hawaogopi

    • @bahiyalumelezy3016
      @bahiyalumelezy3016 27 วันที่ผ่านมา

      Sio mabwege

  • @khamisally9559
    @khamisally9559 3 หลายเดือนก่อน

    Documentary haijakamilika. Watekaji walipelekwa wapi? Baada ya kurudishwa Tanzania serikali ilichukua hatua gani? Kwanini wakimuhitaji Oscar Kambona? Ndege huyo iliishia wapi baada ya utekaji? Mngefanya utafiti mkaleta kitu kilichokamilika. Hovyo kabisa yaani?

    • @jnr_gong5815
      @jnr_gong5815 2 หลายเดือนก่อน

      Ongeza umakini kidogo utapata majibu ya maswali Yako video imeeleza vyote..

  • @swalehaltooq5233
    @swalehaltooq5233 ปีที่แล้ว

    Aha sasahivi watu anachezewa akili kwa starehe😂

    • @saidbakar-qo6ri
      @saidbakar-qo6ri 7 หลายเดือนก่อน

      Na hao watekaji walikuwa na fikra za starehe pia kwani sababu za kuiteka ndege na kuilekeza uingereza ili wakapate hifadhi ya ukimbizi walijifanya ni wapinzani wa nyerere na ukizingatia wakati huo nyerere na wazungu walikuwa hawaelewani na walipewa hifadhi ya ukimbizi na familia zao watekaji gani wanateka hku wakiwa na familia zao watoto mke

    • @rechalbarama6758
      @rechalbarama6758 7 หลายเดือนก่อน

      @@saidbakar-qo6ri😂😂😂

  • @AbdallaMwagora-sm1rj
    @AbdallaMwagora-sm1rj 10 วันที่ผ่านมา

    Huo mdhiki naupenda Kuna watu wanajua kuchora.

  • @abdulshaq-qx8wz
    @abdulshaq-qx8wz 2 หลายเดือนก่อน

    wa zanzibar waliiteka ndege wanakaa pale magomeni kwa najim walitaka wapelekwe ulaya