Abdallah Mssika Aeleza namna alivyomkamata Jasusi wa kwanza Mtanzania Juma Thomas Zangira

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 22 พ.ค. 2023
  • Abdallah Mssika
    Aeleza namna alivyomkamata Jasusi wa kwanza Mtanzania Juma Thomas Zangira

ความคิดเห็น • 115

  • @andrew29468
    @andrew29468 3 หลายเดือนก่อน +10

    Huyu mzee ni mzalendo,ingekuwa watoto wa sasa wangeingia kolabo,asante sana nimependa uzalendo wako hii ndio inatakiwa.

  • @mwasakafyukasamson
    @mwasakafyukasamson 3 วันที่ผ่านมา +1

    ISHI sana kamanda Mssika, tunajivuniakazi zako

  • @angelinamwakilufi8881
    @angelinamwakilufi8881 4 หลายเดือนก่อน +11

    Miaka 74 anonekana .muhandsome bado mwili mzur sana. Hongera pia kamanda Msika! Kwa kazi nzur

    • @akonaayako7185
      @akonaayako7185 4 หลายเดือนก่อน

      Huyu ni Mwongo. Thomas Zangira alipigwa risasi.

    • @angelinamwakilufi8881
      @angelinamwakilufi8881 4 หลายเดือนก่อน

      Eti enheee ahajahahha

    • @user-km1do5lq7c
      @user-km1do5lq7c 14 วันที่ผ่านมา

      Mwaka 74 anaka awa 45

    • @Kabeya410
      @Kabeya410 8 วันที่ผ่านมา

      ​@@akonaayako7185wee mtoto wa juzi hujui kitu aliepigwa risasi ni jeneral kombe mkuu wa usalama wa taifa siyo zangira, na mwingine ni yule komando alierukia gari la bia aluoiwatoroka mapolisi na usalama wa taifa pale kinondoni nimemsahau jina na hii ilikua kesi ya kumoindua nyerere kesi ya zanngira ilikua nyingine

  • @mc-omoro2366
    @mc-omoro2366 4 หลายเดือนก่อน +20

    Namkumbuka Kamanda Msika alipokuwa mkuu wa kituo cha polisi Osterbay alikuwa mtu wa msaada sana asiyependa watu kuwekwa kituoni bila sababu ya msingi. Mweledi na mtu wa kuielewa kazi yake. Mungu ampe umri zaidi.

  • @USACAUDIOVISUALMATERIALS
    @USACAUDIOVISUALMATERIALS 4 หลายเดือนก่อน +14

    Mzee Msika ulinitendea haki nilipotupwa lumande pale Central, nikiwa Chuo Kikuu DSM. Nakukumbuka sana sana Mzee. Mungu akubariki sana.

  • @didimeandrewngowi
    @didimeandrewngowi 5 หลายเดือนก่อน +14

    Namkumbuka sana kamanda msika, aliwahi kuwa hapa moshi akiwa Inpector wa polisi, nakumbuka alikuwa mwendesha mashtaka katika mahakama hapa moshi alikuwa tinashari aliyekuwa anajipenda na smart,nashukuru sana mpaka sasa yuko vizuri.Hongera sana afande mstaafu, uko vizuri😂😅🎉Didime Andrew Ngowi, Moshi Tanzania.

  • @mohammedsaqry3036
    @mohammedsaqry3036 4 หลายเดือนก่อน +8

    Abdallah Msika Allah akuhifadhi sikujuwa kama upo Dar es Salaam Insha Allah nitakutafuta

  • @user-py4kv5gk5y
    @user-py4kv5gk5y 4 หลายเดือนก่อน +8

    Huu ndo uzalendo wa nchi👏👏👏

  • @viatorymkama8925
    @viatorymkama8925 6 วันที่ผ่านมา +4

    Kwa operation yenye mafanikio nakufananisha na Rafi Eitan aliyeongoza mossad katika operation ya kumkamata Ricardo Clement. Hongera sana kwa utumishi uliotukuka.

  • @kibundapesamadimba6352
    @kibundapesamadimba6352 3 หลายเดือนก่อน +3

    Well trained Police Officer with ethics and integrity, respect hero!!!!!!

  • @kibundapesamadimba6352
    @kibundapesamadimba6352 3 หลายเดือนก่อน +5

    Safi Sana wazalendo ndio hawa,sasa sio hawa wanajitapa majukwaaani.

  • @suzanambatta1126
    @suzanambatta1126 4 หลายเดือนก่อน +6

    Kwa kweli nimejifunza kitu👏

  • @ghatichomete74
    @ghatichomete74 4 หลายเดือนก่อน +4

    Mungu akulinde mzee

  • @soplisjoachim5884
    @soplisjoachim5884 5 หลายเดือนก่อน +9

    Huyo jamaa is a real champion

  • @justinmichael768
    @justinmichael768 3 หลายเดือนก่อน +6

    Kwanza pongezi nyingi kwa huyu Mzalendo. Jeshi la police linapaswa kujifunza mengi kupitia kwa huyu bwana

  • @yusufmohamed8874
    @yusufmohamed8874 9 หลายเดือนก่อน +7

    Huyu jamaa ni mtu muhimu sana ktk hili taifa

  • @emmanuelmambarera141
    @emmanuelmambarera141 หลายเดือนก่อน +2

    Hongera zako kamanda Msika

  • @Marjeby
    @Marjeby 11 วันที่ผ่านมา +3

    Kamanda Msika mtu mwema sana kuwahi kutokea kati jeshi la polisi bila shaka now anaishi kwa furaha sana

  • @halemmmbarak16
    @halemmmbarak16 4 หลายเดือนก่อน +6

    Very intelligent officer.

  • @soplisjoachim5884
    @soplisjoachim5884 5 หลายเดือนก่อน +7

    Kwa kipindi kile technology ilikuwa ndogo lakini mwamba uliweza kufanya upelelezi....... Ulijitahidi sana

  • @robisonikadogo7371
    @robisonikadogo7371 7 วันที่ผ่านมา +2

    Namjuwa vizuri uyo msika akiwa Kagera na shinyanga ,nimtata kweri kweri

    • @devothasimbi6495
      @devothasimbi6495 12 ชั่วโมงที่ผ่านมา

      Utata wake unatokana na misimamao Yake kiutendani au ulitaka afuate unachokitaka wewe kifanyike? 😂

  • @kazikazini1042
    @kazikazini1042 ปีที่แล้ว +9

    Mzee yuko vizuri. Jargon zinamtoka pasi na shaka.

  • @hajjsuleiman3317
    @hajjsuleiman3317 5 หลายเดือนก่อน +3

    Namkumbuka kamanda msika alikuwa kamanda anayefanya kazi yake vizuri saana na kwa uhakika kabisa na uweledi wa hali ya juu

  • @michaelmatonange630
    @michaelmatonange630 3 หลายเดือนก่อน +2

    Nimefurahi sana kusikia story hii

  • @abubakarimburu9096
    @abubakarimburu9096 4 หลายเดือนก่อน +6

    Kila aliyewahi kufanyanaye KaziI hawezi kumsahau msika

  • @salumhassanallymkurdistan7006
    @salumhassanallymkurdistan7006 4 หลายเดือนก่อน +8

    CHEZEA NCHI ZOTE DUNIANI LAKINI USIICHEZEE TANZANIA KATIKA ULINZI NA USALAMA.

    • @israelmkaka2807
      @israelmkaka2807 4 หลายเดือนก่อน +2

      Enzi zile....Sikuhizi Siri za Nchi zinavuja hovyo,,Wanaoajiriwa hawana nadhani Vigezo ni Undugu

  • @husseinibnuhassan1272
    @husseinibnuhassan1272 4 หลายเดือนก่อน +7

    Kasaidia wengi sana pale shinyanga

  • @user-jj7mw7fi4q
    @user-jj7mw7fi4q 4 หลายเดือนก่อน +6

    Hili tukio nalikumbuka la helicopter kuanguka lilitokea tukiwa darasan tulisikia kishindo tulikimbilia kwenda kuangalia uwanja wa polis 1996 nikiwa darasa la sita.

  • @barnabasmwingira7063
    @barnabasmwingira7063 5 วันที่ผ่านมา +1

    You are the best one of the best 🫡

  • @mwabuselectors
    @mwabuselectors 7 วันที่ผ่านมา

    Aisee hizi hazina za story zinahitajika sana kwa taifa,

  • @shedyjr3227
    @shedyjr3227 4 หลายเดือนก่อน +1

    Hyo nyimbo kwa background inaitwajwe!?

  • @selemanshineni7809
    @selemanshineni7809 ปีที่แล้ว +5

    Salute Kamanda

  • @user-vp8vc3ko7d
    @user-vp8vc3ko7d 10 วันที่ผ่านมา +3

    Anaongea pole pole sana atia uvuvi

  • @user-qt1bi3rr5h
    @user-qt1bi3rr5h 4 หลายเดือนก่อน +3

    KAMANDA UMETISHA SANA HONGERA SANA

  • @mtzhalisi2232
    @mtzhalisi2232 5 วันที่ผ่านมา +1

    Juma thomas zangira yuko wapi kwa sasa? Je bado yuko jela? Au alifariki?

  • @georgelugwisha8798
    @georgelugwisha8798 26 วันที่ผ่านมา +1

    Angetunga kitabu ingekuwa poa sana

  • @cbegram6161
    @cbegram6161 4 หลายเดือนก่อน +24

    Sasa bongo movie Mbona movie Ndiyo hizi au waandika story ndiyo wanazingua? Maana watu wanaponda sana😂😂 ushauri wa bure

    • @imamuhamisi4421
      @imamuhamisi4421 4 หลายเดือนก่อน +4

      Bonge la story sema nd ivo apo kunaitaj investment bongo movie wanatak movie zisizo zid milion 2 budget

    • @justinmichael768
      @justinmichael768 3 หลายเดือนก่อน

      Hawana akili hizo boss

    • @hassannzota7442
      @hassannzota7442 10 วันที่ผ่านมา

      Liuuuu​@@justinmichael768

    • @mtzhalisi2232
      @mtzhalisi2232 5 วันที่ผ่านมา

      Umenena point sana

    • @AntidiusFelix11
      @AntidiusFelix11 4 วันที่ผ่านมา

      Shida ni budget na ubunifu.

  • @johndominic7754
    @johndominic7754 4 หลายเดือนก่อน +4

    Hongera sana abdala sasa ndio wajue CCM ni baba wa waafrika wanasiasa msichezee ccm imetoka mbali

  • @jamestaifa3461
    @jamestaifa3461 4 หลายเดือนก่อน +5

    Hii ndo maana ya utumishi uliotukuka

  • @aziza9093
    @aziza9093 4 หลายเดือนก่อน +2

    Mashaallah

  • @suratibrahim6417
    @suratibrahim6417 4 หลายเดือนก่อน +2

    ❤❤❤🤝🤝🤝madini kabisa.

  • @abbiecox1
    @abbiecox1 4 หลายเดือนก่อน +2

    muhim mngetuambia yu wapi Thomas Zangila je kama alifungwa gereza gani na yuko wapi sasa! kama alikufa ni mwaka gani na alifia gereza gani na lini!

  • @salumjabir813
    @salumjabir813 4 หลายเดือนก่อน +1

    😂😂😂😂...intelligence ya tanzania imekuwa sana..😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @mariakibwana3700
    @mariakibwana3700 6 วันที่ผ่านมา +1

    Tunaomba Diet yako mzee,mana bado uko fit.Mimi nina 50yrs tu,lkn niko hoi.

  • @victoriamazula5592
    @victoriamazula5592 4 หลายเดือนก่อน +1

    Nilimfahamu Zangira. Alikuwa karibu sana na Ikulu. Kwa kweli alikuwa ni mtu muongo sanaaa

    • @ericktesha7046
      @ericktesha7046 4 หลายเดือนก่อน

      Embu tupee Kidogo tips,Alidanganya jambo gani?

    • @suratibrahim6417
      @suratibrahim6417 4 หลายเดือนก่อน

      😅😅😅😂😂😂

    • @michaelmulokozi1512
      @michaelmulokozi1512 10 วันที่ผ่านมา

      Zangira alikua na Kamba nyingi Sana sitamsahau uyu jamaaa 😅

    • @mataypanga5262
      @mataypanga5262 5 วันที่ผ่านมา

      😂

  • @simbilomwakipamba6970
    @simbilomwakipamba6970 8 วันที่ผ่านมา +1

    MALANGALI💥

  • @kinanaomar
    @kinanaomar 7 วันที่ผ่านมา +1

    Samahani wakati huo kikwete hakuwa raisi bali mkapa ndiye aliye kuwa raisi

  • @masalakulwa7601
    @masalakulwa7601 4 หลายเดือนก่อน +1

    Mzee Abdalah namtafuta mwanao mmoja alisema wwe babake mdogo kama sikosei...anaitwa Mohamed Msika...aliend south Africa...mwenye taarifa zske pls..nilikutana naye Mbeya miaka ya 2000's

    • @princematumbo
      @princematumbo 4 หลายเดือนก่อน +2

      Mohammed msika ni mwanae haswa,Sio babake mdogo,na hayupo Africa kusini.

    • @masalakulwa7601
      @masalakulwa7601 4 หลายเดือนก่อน +1

      @@princematumbo duh...yuko wapi?? nisaidie namba zake...

    • @user-ct4vj9gg6w
      @user-ct4vj9gg6w 4 หลายเดือนก่อน +1

      Mohamed msika ni mwanae wa kumzaa

    • @masalakulwa7601
      @masalakulwa7601 4 หลายเดือนก่อน

      @@user-ct4vj9gg6w yuko wap?

  • @Kabeya410
    @Kabeya410 8 วันที่ผ่านมา

    Asante ila kuna story iliendelea kuhusu hukumu ya Zangira kuna sehemu tuliambiwa alihukumiwa miaka 23 akakata rufaa kapunguziwa mpaka miaka 12 nadhani atakua kisha toka, la pili huyu mtu yupo vizuri kiuongozi alifaa kuwa IGP maana mwanafunzi siro kaja kuwa IGP 😅hongera kwa uvumilivu kamanda Msika

  • @EmmmaTembo
    @EmmmaTembo 8 หลายเดือนก่อน +2

    01:30 nimecheka huyu baba mtu mzuri

  • @athumanizinga-wi3ze
    @athumanizinga-wi3ze 11 หลายเดือนก่อน +3

    Akufungwa.maisha.iliukumiwa.miaka.²⁰.akakata.rufaa.akapunguziwa.akafugwa.miaka.¹2

  • @simonnyangusi9973
    @simonnyangusi9973 4 หลายเดือนก่อน +1

    Mzee yuko fit,kweli kustaafu sio mwisho wa maisha.Tutafutie na kamanda mstaafu zpaul chagonja

  • @josephlorri431
    @josephlorri431 4 หลายเดือนก่อน +3

    Hapo 19:00 usimwamini mtu aliyemsaliti rafiki yake

  • @AbdulGermany210
    @AbdulGermany210 4 หลายเดือนก่อน +4

    Çha kujiuliza sasa hivi je bado yupo ndani au kashatoka maàna mmmh

    • @mssikan9223
      @mssikan9223 3 หลายเดือนก่อน

      Hayupo tena

    • @mwabuselectors
      @mwabuselectors 7 วันที่ผ่านมา

      Lazima anakua anatumika

  • @hon.fahadijumalikwena1012
    @hon.fahadijumalikwena1012 ปีที่แล้ว +7

    Kama movie vile

    • @SHEIKHMWAIPOPOTV
      @SHEIKHMWAIPOPOTV 6 หลายเดือนก่อน

      Kamanda msika nakupata sana kama wangu nilikuwa na wewe mwanza ongela sana

  • @user-xf6pg4vf2t
    @user-xf6pg4vf2t 4 หลายเดือนก่อน +1

    Je mna undugu na Abdalah Waziri Msika au ndio we mwenyewe , mwaka 1973 alikuwa CCP Moshi akiwa na lank ya Cpl

  • @user-rs3zg1wj6q
    @user-rs3zg1wj6q 4 หลายเดือนก่อน +1

    Kama kamanda ulifikia rank gani ktk karate??

  • @jacksonsilaa415
    @jacksonsilaa415 4 หลายเดือนก่อน +1

    Jet Ranger mliiacha Nachingwea Bwana

  • @mussakingazi8875
    @mussakingazi8875 4 หลายเดือนก่อน +1

    Alitapeliwa na deo mgasa kwamba angempa ua igp,

  • @hajjsuleiman3317
    @hajjsuleiman3317 5 หลายเดือนก่อน +1

    Hongera saaana mkuu kamanda Abdallah ulikuwa jasiri mno na wewe ni mtu muungwana saana

  • @user-db6gr1gn2d
    @user-db6gr1gn2d 5 หลายเดือนก่อน +2

    Andika Kitabu

  • @akonaayako7185
    @akonaayako7185 4 หลายเดือนก่อน +1

    Tukio la Thomas Zangira ilikuwa wakati wa Utawala wa Nyerere. Nashangaa huyu Msika abazungumza kwamba Bosi wake alikuwa Adadi Rajabu na Tibaigana. Hawa ni watu wa juzi. Zangira alipigwa risasi wakati wa jaribio la kupindua serikali mwaka 1982. Mhusika Mkuu alikuwa Mabere Marando

    • @akonaayako7185
      @akonaayako7185 4 หลายเดือนก่อน +2

      Huyuni Mwongo

    • @victortemba
      @victortemba 4 หลายเดือนก่อน +1

      Nilivyomuelewa mimi Adadi Rajabu na Tibaigana walienda kupekua nyumbani kwa Zangira hivyo walikua askari wa chini kivyeo,kama huyu alikua Sajenti.Walikua vijana wadogo wa jeshi la polisi wapelelezi.

    • @halfanitambu525
      @halfanitambu525 3 หลายเดือนก่อน +3

      Msikilize vzr utamuelewa

    • @jee9473
      @jee9473 3 หลายเดือนก่อน +1

      @akonaayako7185
      Jaribio la mapinduzi la mwaka 1982, halikumuhusisha Thomas Zangira. Hivyo basi, hakuuliwa katika sakata hilo la 1982.
      1982 iliwahusisha kina Pius Lugangira, Hatibu Gandhi (McGhee), na wengine 17.

  • @vayeen
    @vayeen 4 หลายเดือนก่อน +1

    Huyu mwandishi anatakiwa kuwa controlled

  • @meckcassius3983
    @meckcassius3983 4 หลายเดือนก่อน +4

    Iringa boy

  • @akonaayako7185
    @akonaayako7185 4 หลายเดือนก่อน +1

    Mbona inafahamika Zangira alifariki kwa kupigwa Risasi?

    • @jee9473
      @jee9473 3 หลายเดือนก่อน +1

      Utakuwa umechanganya na taarifa ya mtu mwingine.

  • @saidimwishehekienda933
    @saidimwishehekienda933 4 หลายเดือนก่อน +4

    Hiki ndio kizazi cha mwisho cha jeshi la polisi kilichojenga heshima ya taasisi ya usalama na jeshi kwa ujumla.Baada ya kizazi hiki kilichofuata kilikua ni fungu la kukosa........mpaka sasa hivi.

    • @devothasimbi6495
      @devothasimbi6495 11 ชั่วโมงที่ผ่านมา +1

      Nimecheka kwa ujumbe wako

  • @edwingideon3606
    @edwingideon3606 4 หลายเดือนก่อน +1

    Mbona shati imeloa na jasho, alikuwa anatembea kuja kwenye kipindi?

    • @mssikan9223
      @mssikan9223 3 หลายเดือนก่อน

      Hilo ni shati la light blur, na hapo ni nyumbani kwake, sebleni kwake na ni full AC... kwahiyo ni aina ya shati na sio jasho 😊

  • @AbdalahDudu
    @AbdalahDudu 7 วันที่ผ่านมา +1

    Nakumbuka sana tukio ili la ajali ya ndege nachingwea

  • @jotafungo4622
    @jotafungo4622 10 หลายเดือนก่อน +1

    Usaliti haujaanza leo

  • @thelistener8357
    @thelistener8357 2 หลายเดือนก่อน +1

    Jeshi la polisi ?? Polisi ni polisi jeshi ni jeshi mbona mna-confuse watu

    • @allymoshi2053
      @allymoshi2053 4 วันที่ผ่านมา +1

      Hakuna kuconfuse labda kama unachanganya majeshi yako mbalimbali watu wengi wamekalili tu jeshi la wananchi lakini ni zaidi mfano= kuna jeshi la polisi,jeshi la magereza, jeshi la zimamoto na uokoaji

  • @cbegram6161
    @cbegram6161 4 หลายเดือนก่อน +2

    Sasa hapo inabidi na Zangira mwenyewe ahojiwe

    • @ramsojimmykelly3379
      @ramsojimmykelly3379 4 หลายเดือนก่อน +1

      ahojiwe akiwa jela au

    • @israelmkaka2807
      @israelmkaka2807 4 หลายเดือนก่อน

      Tena atafutwe, aelezee..Wenzetu kule Nchi zilizoendelea, Siri za namna hiyo baada ya miaka kadhaa, inakuwa sio siri

    • @cbegram6161
      @cbegram6161 4 หลายเดือนก่อน

      @@ramsojimmykelly3379 waandishi wanajua namna ya kufanya na sharia zinasemaje

  • @theteacherchance6750
    @theteacherchance6750 ปีที่แล้ว +6

    Day, miaka hiyo kumpeleleza/kumfatilia mtu hulali, hunywi, huendi, hurudi. Eeh bwana wee, si Mark Zuckerberg kaja na Facebook, iPhone na Samsung wakaja na spy cam 📷. Upo kitandani mwako na jamaa wanajua maua ya shuka na rangi ya chumba. NSA, FBI, CIA, GCHQ, MI5, MI6 ... shikamooni.
    Edward Snowden shikamoo.

  • @florencejohn6427
    @florencejohn6427 4 หลายเดือนก่อน +10

    Mzee anaonekana ni msafi na yuko well coordinated kwenye mavazi. White shirt, blue suit, soksi, and watch. Black kofia and shoe.
    Kwenye lugha ya kiswahili and kiingereza na lafudhi zake nzuri. Huwezi kujua ni mzaliwa wa wapi.
    Anajua kujenga hoja pia.
    Afya yake kwa nje inaonekana nzuri. Anaonekana ni kijana kuliko mtangazaji. Ambako mtangazaji bila shaka ni mdogo sana kiumri

  • @aliferuzi1537
    @aliferuzi1537 4 หลายเดือนก่อน +1

    ITUMIKE MARA NYENGINE HELIKOPTER IKIENDA KUTUA UWANJA WA VUMBI WAMWAGE MAJI YA KUTOSHA UWANJA ULOWE NA KUZIPA TABAKA LA VUMBI.
    HONGERA KAMANDA, KWA UWELEDI