In actual fact huwezi kuwa mwanasiasa at the same time kuwa mchungaji, pia ustaarabu wa binadamu ni kwamba ukimwacha MKE au mme hutakiwi kueleza madhaifu yake, inabidi tufungue Tena darasa la ethics of leadership
Changamoto mlizonazo Chadema ni kidogo sana kuliko mahali pengine popote, Msigwa na wenzio mlitakiwa kubaki chadema na kupambana kuondoa hizo changamoto mkiwa ndani ya chama na si kuondoka ,KUONDOKA NI UDHAIFU MKUBWA SANA.
Umepoteza ushuhuda Wewe kama Mchungaji 😢😢😢😢😢😢😢😢,ulisema ukienda ccm watu wachome nyumba yako na magari,sasa unamuhubiri Kristo anaye geuka geuka?daa ,ungeonesha uzalendo ukiwa Mbunge na kuacha ubunge lakini sio umeshindwa uchaguzi unasema kile kikundi ni saccosi?mimi sina chama ila umepoteza ushuhuda 😢😢😢😢😢😢
Kwa mwenendo huu tutaendelea kuwapoteza viongozi wenye ITIKADI ya kweli ya CCM kwa kuwapokea wanachama wapya na ndani ya muda mfupi kupatia Vyeo iwe Serikalini au kwenye CHAMA. Ndani ya CCM tutaendelea kucheza ngoma yenye midundo mipya na kutenzgeneza matokeo Mabovu ya Itikadi ya Chama chetu.
Ni haki yake kikatiba lakini hana jipya! Eti Mbowe hana nuru! Nuru ya Mbowe imetoweka baada ya yeye kushindwa kwenye uchaguzi! Yeye mwenyewe hana nuru, akiongea utadhania analia! Walondoka kina Zito, Lowasa na wengine wenye majina makubwa itakuwa huyu mchungaji njaa!
Kweli viongozi wa Chadema kinamapungufu makubwa sana ata wewe Msigwa umekosea sana basi ungeanzisha Chama chako Ili uwende na demokrasia na Tena unamtuhumu Marehe Makufuli hauna jipya na haupati chochote huko uliko enda
Msigwa kweli Chadema hawana agenda au huna agenda. Samia anauza bandari, misitu, anawafukuza wamasai, anawalinda mafisadi, kweli hawana agenda? Nilikuona wa maana leo nakuona IQ yako ya kuku.
Huyu nae kawa Mchungaji wa CCM kawa CHAWA WA CCM kafika bei kawa boya huko CCM kumejaa Wizi , Rushwa, Ufisadi, Uongo na Ubinafsi ,acheni Ujinga CCM haina DIRA hii Nchi wamewashinda
Baada ya kupata misimamo ya Wanachadema Iringa dhidi ya unafiki wa Msigwa akaamua kukimbia. Umesema upinzani wanadandia hoja, wewe juzijuxi huko Singida tumekuona ukiikosoa CCM , hoja zako za kudandia unaziacha wapi?
Msigwa ona hata aibu wewe ni mtu mzima...wewe kajenge tumbo lako.... Kichefuchefu tupu..! Hiyo ndiyo legacy yako, kwa vijana wa Tanzania. Hauna moral kabisa...
Msigwa na Upendo Peneza ni njaa, hamna mapya, mmekosa kujiuza kwa wananchi, huko hatutawasikia tena. Hamna hoja. Wajinga nyie Rasilimali za wananchi zinauzwa mnaunga mkono?
Kweli njaa mbaya
Jaman hiyo ni njaa tu na hana uchungaji wowote huyo
In actual fact huwezi kuwa mwanasiasa at the same time kuwa mchungaji, pia ustaarabu wa binadamu ni kwamba ukimwacha MKE au mme hutakiwi kueleza madhaifu yake, inabidi tufungue Tena darasa la ethics of leadership
Kwani wewe hujawahi kwenda chooni kimya huku unapigamshwaki
Njaaa
Yan msigwa muogope mungu chadema imekulea kua na maneno ya akiba kumbuka kuna kesho pia
Tuzingatie ushauri wa Warioba: alisema"tuache siasa za madaraka na turudi kwenye siasa za maendeleo" maana shida kubwa Afrika iko hapo.
Msigwa msariti miaka yote uriyo kaaa chadema mbona urivyo kuwa mbunge mbona urikuwa wapi wewe yuda msariti
Changamoto mlizonazo Chadema ni kidogo sana kuliko mahali pengine popote, Msigwa na wenzio mlitakiwa kubaki chadema na kupambana kuondoa hizo changamoto mkiwa ndani ya chama na si kuondoka ,KUONDOKA NI UDHAIFU MKUBWA SANA.
Njaa inanyosha msigwa
njaa kali
Umepoteza ushuhuda Wewe kama Mchungaji 😢😢😢😢😢😢😢😢,ulisema ukienda ccm watu wachome nyumba yako na magari,sasa unamuhubiri Kristo anaye geuka geuka?daa ,ungeonesha uzalendo ukiwa Mbunge na kuacha ubunge lakini sio umeshindwa uchaguzi unasema kile kikundi ni saccosi?mimi sina chama ila umepoteza ushuhuda 😢😢😢😢😢😢
sasa tunaakili watanzania MUNGU ametuhurumia, tunajua upi ukweli upi unafiki
Upupu amejimwagia mwenyewe!
Yangu macho😂
Msigwa nae ni mnafiki tu yaani kukosa uenyekiti wa kanda ya nyasa tu umeamua kusaliti mabadiliko kwelii!
Mzee mbona unatumia nguvu NYINGI kusukumwa hoja yako? Kiukweli umejichanganya aisee kilicho kupelekwa huko nimkate wa esau Asante
Ccm tumepigwa hapo, hakana lolote kanafiki hako. Njaa inakasumbua
Mchungaji sio mwaminifu,unapotaja jina lake kivumishi mchungaji ni kuzalilisha taasisi ya wachungaji.
Msigwa anasaka maokoto kwa nguvu😂
Ni haki kwake
Walikuwa 12 akatoka mmoja Yuda
Ccm y sasa vchekesho ukiwa mbulula ndio unapewA cheo ukiwa mzalendo unawekwebenchi
Kwa mwenendo huu tutaendelea kuwapoteza viongozi wenye ITIKADI ya kweli ya CCM kwa kuwapokea wanachama wapya na ndani ya muda mfupi kupatia Vyeo iwe Serikalini au kwenye CHAMA.
Ndani ya CCM tutaendelea kucheza ngoma yenye midundo mipya na kutenzgeneza matokeo Mabovu ya Itikadi ya Chama chetu.
Ni haki yake kikatiba lakini hana jipya! Eti Mbowe hana nuru! Nuru ya Mbowe imetoweka baada ya yeye kushindwa kwenye uchaguzi! Yeye mwenyewe hana nuru, akiongea utadhania analia! Walondoka kina Zito, Lowasa na wengine wenye majina makubwa itakuwa huyu mchungaji njaa!
Hao wote hawafai kabisa ni njaa zinawasumbua tu
Huna jipyaaza
Msigwa Jiulize kwa nini hakufanya maamuzi kabla ya uchaguzi wa kanda?
Kwenye uchaguzi ndiko kaona ubovu
Kwa Nini unakaa kwenye saccos?
Msigwa eheeee we ni mnafiki
Anakuja kutuvuruga huyo nindumilakuwili.
Njaaa mbya jmn acheni 2
Ni hali yake ila Kuna shida ya maadili
Hapo ndooo itakuwa mwisho wa kusikika nilimuona peneza saiv hatumuon pale geita
Dudubaya anasema una mdeni huwezi kuyalipa na ndio maana Ccm wamekulipia na ukahamia huko Pole sana nyie wasiasi ni waongo tuuu
Msigwa kasahau lisu alivyopigwa risasi na watu wasio julikana
Msigwa apewe ukuu wa mkoa au apigwe kwenye wizara
Asipopewa cheo atahama
Kweli viongozi wa Chadema kinamapungufu makubwa sana ata wewe Msigwa umekosea sana basi ungeanzisha Chama chako Ili uwende na demokrasia na Tena unamtuhumu Marehe Makufuli hauna jipya na haupati chochote huko uliko enda
Ongela sana msigwa iyo ndio demoklasia una mamuzi saii kabisa
Kalibu ccm chama imala
Kwahiyo ccm ndio wanatenda haki watu watano wanatuchagulia rais
Nimeipenda hiyo😊😊😊😊😊😊😊
Msigwa kweli Chadema hawana agenda au huna agenda. Samia anauza bandari, misitu, anawafukuza wamasai, anawalinda mafisadi, kweli hawana agenda? Nilikuona wa maana leo nakuona IQ yako ya kuku.
Huyu nae kawa Mchungaji wa CCM kawa CHAWA WA CCM kafika bei kawa boya huko CCM kumejaa Wizi , Rushwa, Ufisadi, Uongo na Ubinafsi ,acheni Ujinga CCM haina DIRA hii Nchi wamewashinda
Umeama wewe sisi raia auwezi kutubadilisha fikra zetu msigwa
Msigwa Wacha unfiki
Baada ya kupata misimamo ya Wanachadema Iringa dhidi ya unafiki wa Msigwa akaamua kukimbia. Umesema upinzani wanadandia hoja, wewe juzijuxi huko Singida tumekuona ukiikosoa CCM , hoja zako za kudandia unaziacha wapi?
Yani wewe naupendo mnafaa kuchomwa moto sio watu kumbe wewe ndio walitaka wakutumie nyasa ccm lisu akayasema kuna hela imeletwa angalia
Msigwa ona hata aibu wewe ni mtu mzima...wewe kajenge tumbo lako....
Kichefuchefu tupu..!
Hiyo ndiyo legacy yako, kwa vijana wa Tanzania. Hauna moral kabisa...
Huna hoja yamsingi kenge wewe neenda ukafie huko
Mnafiki mkubwa
Msigwa na Upendo Peneza ni njaa, hamna mapya, mmekosa kujiuza kwa wananchi, huko hatutawasikia tena. Hamna hoja. Wajinga nyie Rasilimali za wananchi zinauzwa mnaunga mkono?
Chiz kbs wewe