Lisemwalo lipo. Baadhi ya vyombo vya Habari haviwezi kukurupuka. Kikubwa Mungu ampe shifaa Mh Makonda. Amlinde huko aliko. Tushawajua mnaficha nini wakati mmeshampa sumu iliafe Mungu atawalaani.
Mungu mwema wakati wote atamlinda Kwa jina la yesu kristo aliye haii milele amina poster wiston melakiti LAIZER diwani mstaafu kata ya sambasha Arusha DC
Makonda mungu ndiye muweza wayote kama nimipango ya binadamu na sio mipango yamungu wiki hii utaoneka nautaongea mungu atakusimamia na amekusimamia simama na uongee mungu akuponye yote tumemwachia mungu
Mungu no mkubwa hata siwezamin habar ya likizo Kama kamanda wetu uko likizo tunakuomba ujitokeze hadharan tukuone tunakupenda Sana na mungu akulindepopote ulipo kipenz Cha watuhad Sina hata Aman jaman labda mungu amsaidie aonekane hadharan jaman Nchi yetu hii duu mnatupa wakat mgumu watanzania
Acheni kusikitika ili kumsaidia apone ombeni kwa bidii sana bila kukoma mikiibeba silaha ya IMANI kwani Mùngu wetu wa kweli na wa pekee tunayemtumikia ni MKUU kuliko miungu yao nasi tutashinda ķatika yeye anayetupenda
Makonda Mungu wa mbinguni akulinde, huko ulipo, urudi salama uje unisaidie jambo langu, kwani wewe mungu kakuleta ututetee sisi wanyonge maana Arusha Kila mtu mbabe Makonda njooo nisaidie, Mungu atakulinda maneno Yao hayasaidii mungu ndio mlinzi binadamu washindweee
Naamini watu wasiopenda haki sikuzote huwa wanatafuta kashfa yoyote kumuharibia mpigania haki za watu mimi namuombea kila la heri mdogo wangu makonda ipo siku kwa uweza wa mungu atakabidhiwa nchi bila pingamizi kwa hayo anayotenda kwa wanaichi wanyonge wa hali ya chini ndio watakao mpa kula zote amin inshallah
Kwa vipi ushindwe kuandamana kwa watoto wadogo wanaotekwa nyara, kwa maiti zinazookotwa kila kikicha, unataka kuandamana kwa uvumi! Unafiki, unafiki, watanzania unafiki mwingi!
Mimi ni mrundi lakini ninashukulu kazi za makonda ,viongozi kama makonda barani afrika niwachache ila wangekuwa wengi afrika ingekuwa bara lisilo na utata
Yuko likizo Mars au Jupiter. Kwann asiseme yy yupo likizo wapi. Magu akiwa likizo kwake home Chato kila mtanzania alijua, sbb alionekana wkt huo akiwa na familia yake. Huyu vp!
Mimi nawajua Watz kwa kuzusha na kusambaza wako fasta sana katika mambo ya kutengeneza yalikuja makoko bawa watu wakawa wanalala nje, ikaja Loliondo, na wanyweshaji vikombe nao na mengi mengineyo.
Ccm viongoz wenyewe hawapendan hawamtaki mtu mwenye hekima za kimungu ya kuwasaidia wananchi wanaoteseka jaman mungu uko wap jaman mrudishe makonda waaibishe wafedheshe wanaoinuka juu yake jaman
Wakenya sio wajinga kuandamana kumtoa kiongozi ambae hawezi kuwasikiliza wananchi ambao wao ndio waliomueka pale alipo kuna haja gani ya kua na amani then wachache wafaidi mali na matunda ya nchi na walio wengi wateseke kwa njaa na maradhi bila kupata msaad wanaostahik kupata kw sababu ya viongoz njaa
Mwisho wa yote ni neema yakupata nchi ya ahadi nchi yenye malaika nawatakatifuwaMungu wakiruka hapa napale tena waliozishinda nguvuzashetani baadae .Tanzania mpya nawatuwenye afyatele wakirukaruka kwafuraha .
Huyu chizi katatua Nini zaidi ya maigizo yaani watanzania wamelogwa na mwenge hamwezi kutofautisha maizo na kazi? Wahuni na wawajibikaji mnawafananisha ? Jamani Bashite ni muhuni tu wakawaida na CCM ya wahuni
kwa staili hii tz ni nchi yang lkn kama kwel PAUL kapewa sumu..bc nitaichukia Tanzania milele
Damu ya yesu ikufiche moto wa roho mtakatifu ukuzingile makonda mungu akure akutoe kwenye mikono yawatu wabaya tuna kupenda
Lisemwalo lipo. Baadhi ya vyombo vya Habari haviwezi kukurupuka. Kikubwa Mungu ampe shifaa Mh Makonda. Amlinde huko aliko. Tushawajua mnaficha nini wakati mmeshampa sumu iliafe Mungu atawalaani.
Mungu akuponye shujaa wetu tz ukisema ukweli unawekwaharini lakini mungu ndie msmamizi wako malaika walinzi wakulinde baba makonda
Mwenyez mungu popote alipo mh Makonda mjaalie mema
Tuna imani Kubwa Sana Na Makonda mwenyezi Mungu akulinde
Mungu mlinde mkuu wetu makonda huko aliko amina
M,MUNGU MLINDE RC PAUL MAKONDA
Ameen🙏
Mungu akuponye
Kuna Jambo linafichwa hapa, Mungu amlinde Makonda,
Jmn muungu amujarie apone kbs binadamu Ana hurum jmn daah 🤲
Namuomba Mungu aleje Arusha nakupenda sana baba WA wanyonge
Eeee Mungu wa Mungu na nchi mlinde mtumishi wako,hawe salama
Mungu amuepushe na hilarious zote!!
Pole sana Mkuu wawanyonge
Mariam shomari huyo kiongozi Jesus sio mtu mzuri
JASUSI KUFA MWENYEWE MAKONDA WETU HAFI YUPO NA MUNGU
Nchi hii inawatu wabaya sana,amani ipo midomoni lkn mioyoni mwa watu kuna ubaya sana
Mungu mwema wakati wote atamlinda Kwa jina la yesu kristo aliye haii milele amina poster wiston melakiti LAIZER diwani mstaafu kata ya sambasha Arusha DC
Mungu akulinde popote ulipo Makonda
Asipo pona makonda kazi kwenu mungu anaona
Makonda mungu ndiye muweza wayote kama nimipango ya binadamu na sio mipango yamungu wiki hii utaoneka nautaongea mungu atakusimamia na amekusimamia simama na uongee mungu akuponye yote tumemwachia mungu
Tz eti nchi ya Amani mnatiliana sumu yarabb mponye makonda 😢😢
Mungu aendelee kukulinda Rc Makonda huko ulipo
Kikubwa ni kumwombea uzima na afya njema tunapenda sana
Eee mwenyezi mungu mtangulieh mweshimiwa makonda popote halipo
Makonda wetu MUNGU akuponye katika jina la YESU KRISTO
Mungu akuponye makonda wetu,bado tunakuhitajia
Mungu ukuponye
Mwacheni chapakazi wetu najemedari Mungu amlinde
HAKIKA RC MAKONDA MUNGU ANAMPIGANIA KWA DHATI DHULUMA DHIDI YA MAKONDA MUNGU HATARUHUSU.
kama nikweri amekunya sumu sikuzake zitakuwa zimefika kutakuwa hamuna shida
Mungu tends haki!
Mungu no mkubwa hata siwezamin habar ya likizo Kama kamanda wetu uko likizo tunakuomba ujitokeze hadharan tukuone tunakupenda Sana na mungu akulindepopote ulipo kipenz Cha watuhad Sina hata Aman jaman labda mungu amsaidie aonekane hadharan jaman Nchi yetu hii duu mnatupa wakat mgumu watanzania
Mungu mlinde makonda wetu
Mungu musaidie
Rikizo tashidwa kunekana azalan
Paulo makonda mtu wa watu mwenyezi mungu amuepushe na majangil8 watu
nani anaye weza kupata wasiwa huyamakonda nanyie wandishi mnadanganya
Acheni kusikitika ili kumsaidia apone ombeni kwa bidii sana bila kukoma mikiibeba silaha ya IMANI kwani Mùngu wetu wa kweli na wa pekee tunayemtumikia ni MKUU kuliko miungu yao nasi tutashinda ķatika yeye anayetupenda
Jamani Mungu msaidie mwanangu apone haraka. Kama ni kweli Mungu ataihukumu nchi yetu
Jamani mungu amponye huko alipo
Mmmmmmm.
Mkonda.usile.chakula.hotelini.mtani.wangu.acha.mama.akupikie.utaniletea.presha.kaka
Ata microphone ya kuongelea atembee nayo mfukoni mwakoti lake
Hata chakula cha mke wake asile
Aseme yeye wenyewe
Mungu mlende hualiko
Awe wapi likizo au kwingine tunachotaka kwake ni uzima tu
Makonda Mungu wa mbinguni akulinde, huko ulipo, urudi salama uje unisaidie jambo langu, kwani wewe mungu kakuleta ututetee sisi wanyonge maana Arusha Kila mtu mbabe Makonda njooo nisaidie, Mungu atakulinda maneno Yao hayasaidii mungu ndio mlinzi binadamu washindweee
Tuambie Makonda yuko wapi msitufanye kama jembe letu Makufuri
Naamini watu wasiopenda haki sikuzote huwa wanatafuta kashfa yoyote kumuharibia mpigania haki za watu mimi namuombea kila la heri mdogo wangu makonda ipo siku kwa uweza wa mungu atakabidhiwa nchi bila pingamizi kwa hayo anayotenda kwa wanaichi wanyonge wa hali ya chini ndio watakao mpa kula zote amin inshallah
Sema vizuri mbona Kama Kuna kitu unaficha
Endeleeni kutudanganya tu
Kama kweli mapumziko he deserves it amezunguka mno without a break i hope you are enjoying the break❤..kama mmemlisha sumu wanaohusika watangulie
mbona sijaona anaye muriziya
Akifa ndiyo utasikia alikuwa nzena
Na alikuwa anatibiwa na Janaba
ati alikua wapi???? hahaha 😅😂
Mungu mguze makonda apone
Mungu akutie nguvu popote ulipo
Muhimu awe mzima!tunamuitaji zaidi
Mbn kama nyie wandishi wa habari na nyieee kama mnawogaaa sanaaaaa sasa mnasemajee kuwa hizo ni taarifaa za uongo wakati hamna uthibitishoo
Mungu amponye uko aliko tunamuombea
Nchi hii,ukitetea wananchi tu, mafisadi wanakuona ni adui wao,
Lisemwalo lipo
MUNGU awe pamoja na wew Makonda
Yalianza kwa Magu sasa kwa Mako kisha kwangu. Aya mungu awepo ktk uwepo wake milele.
AKIWA LIKIZO JAJIHUSISHI NA MITANDAO? HAO NDIYO WAUWAJI WENYEWE FYUUUUUUUUUU
Eee Mungu peleka uponyaji ugh
Nivema watujulishe alipo maana anawashabikiwengii
yani trip hii kwa makonda hatuto kubari isiwe kama trik ya magu kwa shindwa kuandamana nita andamana mie familia yang
Kwa vipi ushindwe kuandamana kwa watoto wadogo wanaotekwa nyara, kwa maiti zinazookotwa kila kikicha, unataka kuandamana kwa uvumi! Unafiki, unafiki, watanzania unafiki mwingi!
Me nashauli makonda ajitokeze hadhalani akanushe mwenyewe mana kwatanzania hii ninavyoijua hii nchi maneno ayataisha mpaka wamuone
Ajitokeze kwenye ukurasa wake wa x kuondoa hayo maneno ya eti.....
Mimi ni mrundi lakini ninashukulu kazi za makonda ,viongozi kama makonda barani afrika niwachache ila wangekuwa wengi afrika ingekuwa bara lisilo na utata
Mnaanzaga ujinga
Lazima tuwe na shaka kwajili ya mliyotufanyia kwa magufuli hatuwezi kusahau
Yuko likizo Mars au Jupiter.
Kwann asiseme yy yupo likizo wapi.
Magu akiwa likizo kwake home Chato kila mtanzania alijua, sbb alionekana wkt huo akiwa na familia yake.
Huyu vp!
Mimi nawajua Watz kwa kuzusha na kusambaza wako fasta sana katika mambo ya kutengeneza yalikuja makoko bawa watu wakawa wanalala nje, ikaja Loliondo, na wanyweshaji vikombe nao na mengi mengineyo.
Yaani hapo hatuta elewa lolote, mpaka Makonda aongee mwenyewe. Musitupotoshe
Kwann atumuoni kijana wetu
Mungu akujalie afya njema
Ccm viongoz wenyewe hawapendan hawamtaki mtu mwenye hekima za kimungu ya kuwasaidia wananchi wanaoteseka jaman mungu uko wap jaman mrudishe makonda waaibishe wafedheshe wanaoinuka juu yake jaman
Hi nchi ya kifala sana kama ni kweli basi kuna tatizo kubwa sana
Tunamtakaa makonda wetu
Hatuwaamini
Hii nchi😢
Wakenya sio wajinga kuandamana kumtoa kiongozi ambae hawezi kuwasikiliza wananchi ambao wao ndio waliomueka pale alipo kuna haja gani ya kua na amani then wachache wafaidi mali na matunda ya nchi na walio wengi wateseke kwa njaa na maradhi bila kupata msaad wanaostahik kupata kw sababu ya viongoz njaa
ila mmh mmetuvunja mioyo jaman
Mwamba anaumwa kweli acheni masiala
Wapuuzi Kuna kipindi walimzulia mzee mpango
Tuelezeni yuko wapi tujue kwani nikipenzi chawengi kwasasa
Mwisho wa yote ni neema yakupata nchi ya ahadi nchi yenye malaika nawatakatifuwaMungu wakiruka hapa napale tena waliozishinda nguvuzashetani baadae .Tanzania mpya nawatuwenye afyatele wakirukaruka kwafuraha .
Sasa kweel jamani huyu jamaa anavyo kaa na watu vizuri halafu habari za sumu the a duuuuh binaadam wabaya jamani
Mm Huwa najiuliza kila sku tunasoma vitabu vya mungu inakuwaje viongozi wanakuwa hivyo????
Ata kama anaumwa si angeonekana ata kwenye mtandao
Hata hivyo sioni jina la Paul Makonda, hapo anatajwa Bashite ambaye sio mkuu wa Mkoa wa Arusha.
Mimi musukuma mwenzake wa mwanza nauriza njomba angu yupo wapi janani mimi nitakufa na putesha jamani makoda rikizo wapi aripo
Tunataka makonda awe salama
Huyu chizi katatua Nini zaidi ya maigizo yaani watanzania wamelogwa na mwenge hamwezi kutofautisha maizo na kazi? Wahuni na wawajibikaji mnawafananisha ? Jamani Bashite ni muhuni tu wakawaida na CCM ya wahuni
Hila zote!!
Jezi za yanga bei gani jamani?.
????????????????
Mungu akulinde kokote ulipo makonda kila baya liwarudie wenyewe chuki na weye
MUNGU TUNAKUSUBIRI WEWE.