A-Z Mwabukusi Afunguka Mazito Kuenguliwa Jina Lake Kugombea Urais TLS

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 6 ก.ค. 2024
  • #ijuesheria #TLSAGM2024
    Video kwa hisani ya Jambo TV

ความคิดเห็น • 105

  • @sammykateregga6238
    @sammykateregga6238 15 วันที่ผ่านมา +10

    Hongera Sana Msomi Mwambukusi mimi naona unatoa dawa ingawaje ni chungu lakini tunapaswa kuinywa ili tupone

  • @alfredsotoka2852
    @alfredsotoka2852 7 วันที่ผ่านมา +2

    Me as a Lawyer and Advocate of the High Court I support this 💯 %

  • @denisipaulo7785
    @denisipaulo7785 16 วันที่ผ่านมา +9

    Watetea haki lazima tuwalinde yani Lisu mpina mwabukusi na wengine tuwaombe sana

  • @abdull_hafidh
    @abdull_hafidh 15 วันที่ผ่านมา +4

    Unakuta kuna mtu anamchukia huyu jamaaa mbona anachokizungumza ukimsikiliza kwa makini bila ya uchama au udini ndani yake kinamantiki sana

  • @nestor384
    @nestor384 16 วันที่ผ่านมา +3

    Kuna mbuzi moja ktk comment hizi inadhani kuwa kiongozi ni kusifia wanasiasa! Katika Bar ilipaswa kuwa imara na the real defender of law and justice.. Mkuu wa mkoa ana lawiti hakuna independent bar ya kuweza kutetea watu wa aina ile,
    Ni mpumbavu wa hali ya juu sana aweza dhania kuwa Boniface Mwabukusi asitahili kuwa kiongozi akizungumza kwa uchungu na ukweli..

  • @clarencehilary5588
    @clarencehilary5588 16 วันที่ผ่านมา +4

    Yaani nakuunga mkono kwa asilimia 800

  • @jovinbikongoro3469
    @jovinbikongoro3469 15 วันที่ผ่านมา +3

    Hongel sana watanganyik tuko nyuma yako unajua TLS baadhi Yao wamekua majangili

  • @gracekagoma3231
    @gracekagoma3231 13 วันที่ผ่านมา +2

    Hatari.Gen-Z n diyo dawa😮 Unase m a ukweli.❤🎉

  • @dignakanje4508
    @dignakanje4508 14 วันที่ผ่านมา +1

    Duuuuu htari sana,mungu zidi kujidhiirisha juu yadhwmbi hizi zinazoumiza wananchi wko.Pole kaka mungu mkuu kwko hki atakupa kutoka kwenye mikono yke.

  • @christinenyagiro6662
    @christinenyagiro6662 16 วันที่ผ่านมา +2

    Waandishi hao ndiyo wanatuangusha kweli kweli kwa sababu karibu wengi ni wachawa wa watawala tu.

  • @BarnabaChota-tw7ol
    @BarnabaChota-tw7ol 14 วันที่ผ่านมา +2

    Kuzuia kipawa cha mtu ni kosa maana ni cha Mungu

  • @user-ii7yw9ng5d
    @user-ii7yw9ng5d 16 วันที่ผ่านมา +3

    Wamenunuliwa kwa bei ya njaa zao,Dola ina mkono wake hapo,baadhi ya mawakili wenzio ni wasaka tonge!

  • @FabianJustine-bq6qv
    @FabianJustine-bq6qv 15 วันที่ผ่านมา +2

    Nikweli unachokisema Lakini nikundi la mambepali diyo kundi lao hatutawaweza kishelia mpaka jeshi liamue au wanaichi bila hivyo hatutomboi

  • @TemuCalvinWilbard
    @TemuCalvinWilbard 14 วันที่ผ่านมา +1

    Kaka nakuamini sana na kwa uwezo wa Mungu vita hii kwapamoja tutashinda

  • @christinenyagiro6662
    @christinenyagiro6662 16 วันที่ผ่านมา +2

    Tunawaombea Mwambukusi, Mpina na wote ambayo wachawa. Sasa kama TLS ati ni wachawa pia. Wanatufanya kutowamini kabisa.

  • @josephpetro2968
    @josephpetro2968 15 วันที่ผ่านมา +3

    wasaka tonge na machawa wamekufanyia figisu watanganyika tunakuunga mkono

  • @christinenyagiro6662
    @christinenyagiro6662 16 วันที่ผ่านมา +1

    Hongera sana Mwambukusi Mungu akubariki aendelee kukipigania. Hao wanasheria wote ni WANACCM tu wakati wa michango wanazila kwa raha kukubwa.

  • @simonnaivasha6393
    @simonnaivasha6393 14 วันที่ผ่านมา +1

    Kumbe ndiyo sababu hawataki Katiba mpya kuna kundi la wahuni wanafaidi . Sema wakili sema ,usiposema mawe yatasema ! Amandla!

  • @AyzalRicco-mi6iu
    @AyzalRicco-mi6iu 15 วันที่ผ่านมา +2

    Ni mzuri sana ktk sheria ila apunguze mihemko.

  • @simonnaivasha6393
    @simonnaivasha6393 14 วันที่ผ่านมา +1

    Waambie wakili Mwmbukusi wameahidiwa kupelekwa Dubai kunywa wine kwa Tozo zetu.

  • @daudimichael7338
    @daudimichael7338 15 วันที่ผ่านมา +2

    Hawa ndo watetea haki?

  • @simonnaivasha6393
    @simonnaivasha6393 14 วันที่ผ่านมา +1

    Tanzania tunahitaji Ibrahim Traore wa Bukinafaso,!!

  • @user-fm3ew9tu9y
    @user-fm3ew9tu9y 16 วันที่ผ่านมา +2

    Akili kubwaaa hii ni hatari kwa majizi

  • @christinenyagiro6662
    @christinenyagiro6662 16 วันที่ผ่านมา +1

    Mungu yupo na atatutetea na wakati huu Mungu anatutetea.

  • @user-ii7yw9ng5d
    @user-ii7yw9ng5d 16 วันที่ผ่านมา +3

    Wamekuengua kwa sababu ya ukweli unaouishi,mfumo wetu umetengenezewa kuupora uwazi na ukweli!

  • @migerajacob581
    @migerajacob581 15 วันที่ผ่านมา +1

    We are always together bro,, Tz ukisimama ktk haki wanakutengezea zengwe,,

  • @japhethbaalinda1756
    @japhethbaalinda1756 9 วันที่ผ่านมา

    unani inspire sana kaka nakukubali sana Mungu akulinde dhidi ya hao maharamia

  • @D.P.O
    @D.P.O 6 วันที่ผ่านมา

    Tuko pamoja na wewe mzee wetu mpaka kieleweke

  • @NixonJohnson-zn8nk
    @NixonJohnson-zn8nk 15 วันที่ผ่านมา +1

    Hivi huyu mbona anauchungu na nchi tumper tuone Hays majizi yatakimbilie wapi

  • @MethodkasyupaMwifyusi
    @MethodkasyupaMwifyusi 15 วันที่ผ่านมา +1

    Kwan milad ayo hakujuaa kama una conference leoo Daaa jamaaa Kunguru sana yuleeee

    • @rizikiminga3010
      @rizikiminga3010 13 วันที่ผ่านมา

      Sio uyo TU kalibu media zote yaani WCB TBC clouds ITV na zingine zote awawezi kutoa taarifa kama hii kwa uma, ila ingekuwa taarifa ya kwamba MWABUKUSI anaamia CCM ungeona media zote za Bongo Zina report😢

  • @user-sw7tf1ob1b
    @user-sw7tf1ob1b 6 วันที่ผ่านมา

    Wana nchi wa inje wa ndani tuna kuunga mkono ungegombea ubunge utuondoleye tuliya au ulaisi kabisa mungu amekupitisha angalizo usiwe kalibu na dr.silaa ni chawa wa ccm

  • @anosiata8242
    @anosiata8242 16 วันที่ผ่านมา +1

    Nakupenda Uko vizuri kujenga hoja

  • @japhethbaalinda1756
    @japhethbaalinda1756 9 วันที่ผ่านมา

    Hongera mwabukuzi umeweka Legacy katika Taifa letu

  • @isackphilipo9870
    @isackphilipo9870 16 วันที่ผ่านมา +2

    Hili hatukubaliani nalo

  • @isackphilipo9870
    @isackphilipo9870 16 วันที่ผ่านมา +2

    This is double standard we won't vote

  • @denisipaulo7785
    @denisipaulo7785 16 วันที่ผ่านมา +1

    Atuna Bunduki lakini tuna Mungu Tutakuombea

  • @christinenyagiro6662
    @christinenyagiro6662 16 วันที่ผ่านมา +1

    Ukienda kuomba msaada unapelekwa kule kule ulikotoka kwa njia za ajabu sana.

  • @AndrewMwenda-ib1mx
    @AndrewMwenda-ib1mx 10 วันที่ผ่านมา

    Hawa ni watu wenye utu uliopitiliza be strong tunakuheshimu sawa sawa uko sawa mkuu

  • @phantyrhymes9536
    @phantyrhymes9536 14 วันที่ผ่านมา

    Duuh I wish TLS watafanyia kazi. Maana Wakili msomi kaeleza kwa ufasaha sana.

  • @christinenyagiro6662
    @christinenyagiro6662 16 วันที่ผ่านมา +1

    Ati hao ndiyo wanasheria? Tena wanashughulikia mwanasheria mwenzie je wakishughulikia sisi wanainchi na kama CCM ikiwemo?

  • @EphraimMwasonya-s1w
    @EphraimMwasonya-s1w 8 วันที่ผ่านมา

    Wewe wauongo sana huaminiki ulusema bandai hawatachukua wawekezaji yakowapi sasa hunajipya

  • @AnnoyedFlowerPot-mr2ps
    @AnnoyedFlowerPot-mr2ps 15 วันที่ผ่านมา +1

    Tls iheshimiwe isiwe ya chama iwe ya Sheria tu

  • @thagondale9041
    @thagondale9041 6 วันที่ผ่านมา

    I stand with you learned counsel

  • @user-jj7qv7kh2s
    @user-jj7qv7kh2s 15 วันที่ผ่านมา +1

    Tutakuunga mkono wakili msomi wala usihofu

  • @HenryShaury
    @HenryShaury 14 วันที่ผ่านมา +2

    🙏🙏🙏🙏🙏🙏

  • @AmosRugaimukamu
    @AmosRugaimukamu 7 วันที่ผ่านมา

    Yaani mwabukusi, unanipa Raha, Kuna jambo najifunza kwako, hakika uko poa sana

  • @user-bs7cw1oi6z
    @user-bs7cw1oi6z 15 วันที่ผ่านมา +1

    Hatariiiiiiiiiiiiiiiii Mungu atupe uzima

    • @Eulalia-zs5vd
      @Eulalia-zs5vd 15 วันที่ผ่านมา +1

      Mungu akusaidie na aendelee kukupa nguvu.

    • @adelinelyaruu3036
      @adelinelyaruu3036 14 วันที่ผ่านมา

      Akutunze na kukulinda 🙏

  • @user-pv8iu6em6l
    @user-pv8iu6em6l 16 วันที่ผ่านมา +2

    Watu kamanynyi ndo,mliobak kutetea nchi baba simama Imala

  • @abdulmajidmageja6562
    @abdulmajidmageja6562 13 วันที่ผ่านมา

    Hongera sana wakili ❤

  • @christinenyagiro6662
    @christinenyagiro6662 16 วันที่ผ่านมา +2

    Kwa kweli wewe ni mkweli na unapigania watu. Sasa hawa TlS hii ni CCM tupu. Kwa nini walimtoa Fatuma? Kwa kweli sidhani kama bado hawasimamia sheria sasa wanaweza kweli kukidhi sheria hata kidogo TLS. ndiyo sababu hata Mahakama pia hawafanyi majukumu yao pia.

  • @gabapentin8070
    @gabapentin8070 15 วันที่ผ่านมา +1

    Mwabukusi🔥

  • @NorbethJosphath-hm1zb
    @NorbethJosphath-hm1zb 14 วันที่ผ่านมา

    Hizi nisku za mwisho kilicho baki Mungu tu wachungaji wakweli wote Tanzania kuomba Mungu tulipofika baya maonezi peupe shetani anatebea mtani bila woga mbalikiwa analia mtoto aliuwa ngolongolo wanalia sativa analia nk tunategemea mawakili nao magumashi tu tuko wapi Mungu tusaidie tutaponea wapi kweli hela baya Yesu alisema siku za mwisho watu wata penda fedha jamani wa Tanzania tuwe kitu kimoja Mungu futa vyama vya siasi lli tuwe wamoja siasa zitatupeleka pabaya

  • @NixonJohnson-zn8nk
    @NixonJohnson-zn8nk 15 วันที่ผ่านมา +1

    Mwamba tunakuhitaji mno

  • @juliusjohnii7823
    @juliusjohnii7823 15 วันที่ผ่านมา +1

    Yap💪💪💪💪💪

  • @mathiasombella7516
    @mathiasombella7516 16 วันที่ผ่านมา +1

    Naomben mamba yake aise

  • @freddymdassa
    @freddymdassa 13 วันที่ผ่านมา

    Kwakweli sisi siyo wanasheria lakini kama hufai wakuache ukashindwe kwenye sanduku la kura.
    Kukunyima haki yako ya kidemokrasia tena ndani ya jopo la wanasheria inaleta ukakasi.

  • @user-pw8ml6ts8r
    @user-pw8ml6ts8r 16 วันที่ผ่านมา +1

    👏👏👏👏👏👏👏👏

  • @AndrewMwenda-ib1mx
    @AndrewMwenda-ib1mx 10 วันที่ผ่านมา

    Corruption to our country only God will prevail

  • @AmosRugaimukamu
    @AmosRugaimukamu 7 วันที่ผ่านมา

    Mwabukusi nijembe sana

  • @user-bs7cw1oi6z
    @user-bs7cw1oi6z 15 วันที่ผ่านมา

    Hapo saachochea au mnaonaje, siku Moja nilimuona anaandamana mwanza dar es mwanza

  • @akramissa3393
    @akramissa3393 12 วันที่ผ่านมา

    TLS ILISHAOZA, INAHITAJI WHOLE OVERALL. Sasa kama wanasheria wenyewe hawaamini sheria nakuisimamia,😂 maskini atapata haki kweli😃😃

  • @D.P.O
    @D.P.O 6 วันที่ผ่านมา

    Akinyea pilau😂😂😂

  • @user-sw7tf1ob1b
    @user-sw7tf1ob1b 6 วันที่ผ่านมา

    Mawakili mulishindwa machinga wataiondoa ccm

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything 8 วันที่ผ่านมา

    👊👍✌️

  • @user-ph7ht5iw8x
    @user-ph7ht5iw8x 14 วันที่ผ่านมา

    Kaka povu la nn ongea na mawakili wenzio na muelewane kuliko kukimbilia mitandaoni,jipange na kujuwa unakosea wapi mpaka wanakubaguwa,?

  • @GidionKombe-h1p
    @GidionKombe-h1p 12 วันที่ผ่านมา

    Huyu jamaa anachoongea kina mantiki jaribun kutumia hekima nyie Tls mtazalilika

  • @FedrickNgonyani
    @FedrickNgonyani 14 วันที่ผ่านมา

    Duuu kumbe ni michango😂😂😂😂basi acha povu zamu yako ikifika na wewe utakula tu

  • @manethmwiyanja7654
    @manethmwiyanja7654 4 วันที่ผ่านมา

    Hao waliomwondoa mwabukusi kwa sababu ya kukosoa viongozi kwani sheria namba ngapi inasema ukikosoa viongozi ni kosa? sasa waliofanya hilo kosa la kukuondoa ni chawa pia wanadumaza nchi wanapaswa kuuwawa hao.

  • @jumamnumbwa9483
    @jumamnumbwa9483 8 วันที่ผ่านมา

    Huyu hana akili kweli ,ndio wanasheria wetu hawa wavivu wa kufikiri toka lini bandari ikawekwa kwenye resources exploitation? Huyu jamaa bure kabisa bandari inatoroshwa kwenda wapi?im3kua madini au pesa foreign exchange?

  • @sagandamalechampullo659
    @sagandamalechampullo659 14 วันที่ผ่านมา

    Mwabukusi weka Namba ya Phone/ Bank Account tukuchangie kiasi cha Pesa Sisi Wapenda Haki

  • @hawaelymaricca7602
    @hawaelymaricca7602 8 วันที่ผ่านมา

    Kumbe kelele zote ni uroho wa madaraka ili uwapande watu kichwani.

  • @DiwaniMwafongo
    @DiwaniMwafongo 12 วันที่ผ่านมา

    Wewe ni mwamba kaka... Kama maCCM yamepeleka Hela kumng'oa yule mchungaji shoga wa kihehe, ahamie CCM, serikali hiyo itashindwa kukinunua ,nisamehe kwa kuuita, " kikoba" Cha wanasheria?

  • @ayububrantaya6624
    @ayububrantaya6624 13 วันที่ผ่านมา

    Myaki tulipamopene

  • @simonnaivasha6393
    @simonnaivasha6393 14 วันที่ผ่านมา +1

    TLS ACHENI AIBU, WATANZANIA TUTAKIMBILIA WAPI??😂 HAPA MMEKUTANA NA MTAALAM WA SHERIA W😢AKILI MWAMBUSI, MTAJUA KUMBE HAMJUI !

  • @user-bq4tk6yq2q
    @user-bq4tk6yq2q 13 วันที่ผ่านมา

    Hao mawakili waonaogozwa na rushwa kuunga mkono maovu ya ukandamizaji ni hatari kwa taifa

    • @menyemusic
      @menyemusic 13 วันที่ผ่านมา

      Na wao kwa rushwa? hapo vipi? hii ni kesi shetani vs shetani. laana ya dhuluma ndio inawatafuna

  • @lucymsheshi5871
    @lucymsheshi5871 14 วันที่ผ่านมา

    Hatutapiga kura wakati ukifika

  • @gracekagoma3231
    @gracekagoma3231 13 วันที่ผ่านมา

    Siasa ni m b aya

  • @GidionKombe-h1p
    @GidionKombe-h1p 12 วันที่ผ่านมา

    Unajua nyie wasomi ndy tunawategemea xaxa mnakuwaje hamjielewi tena

  • @josephpetro2968
    @josephpetro2968 15 วันที่ผ่านมา

    machawa yana comment uchawa toa hoja mwabukusi hoja zake zinamashiko shindanisha hoja .

  • @christianmwabukusi8132
    @christianmwabukusi8132 14 วันที่ผ่านมา +1

    Sasa inabidi urais wa nchi na sio TLS… Nitakusaidia kiroho na kimwili

  • @denisipaulo7785
    @denisipaulo7785 16 วันที่ผ่านมา

    Niko nyuma yako mkuu

  • @laninjeje8290
    @laninjeje8290 13 วันที่ผ่านมา

    Hata huyu mropokaji anataka uongozi?? Duuh!! Dunia imeisha, uongozi unataka mtu mwenye busara na hekima

  • @user-nl3vn6dg6j
    @user-nl3vn6dg6j 16 วันที่ผ่านมา +2

    Mbona unajikamua sanaaaa?
    Angalia usijetokwa na haja kubwa

  • @hamidmussa838
    @hamidmussa838 16 วันที่ผ่านมา

    Ww unacheza na serikali. Wala bado.

  • @user-nl3vn6dg6j
    @user-nl3vn6dg6j 16 วันที่ผ่านมา +1

    Palipobaki tafuta ngurue ufuge .

  • @user-nl3vn6dg6j
    @user-nl3vn6dg6j 16 วันที่ผ่านมา

    Wewe kwa mazungumzo yako tu huwezi kua kiongozi hata wa nyumba kumi achilia mbali kua rais wa TLS.
    Huna sifa zakuongoza ndugu

    • @Kwelihukuwekahuru
      @Kwelihukuwekahuru 16 วันที่ผ่านมา +1

      Ni sifa zipi alizokosa ndugu kamilisha hoja

    • @cyprianonesmo1832
      @cyprianonesmo1832 16 วันที่ผ่านมา +1

      Kwenye msafara wa mamba na kenge wamo ndg! ​@@Kwelihukuwekahuru

    • @user-jj7qv7kh2s
      @user-jj7qv7kh2s 15 วันที่ผ่านมา +1

      wewe jizi kubwa katika Taifa letu.

    • @user-lw3tg3yg5b
      @user-lw3tg3yg5b 15 วันที่ผ่านมา +2

      Na wewe una sifa gani ?ya uchawa ?achana na Mwabukusi wewe huyu ni wale waliotumwa na Mungu kutetea raia na taifa kwa ujumla

    • @abdull_hafidh
      @abdull_hafidh 15 วันที่ผ่านมา +1

      Kiongozi makini ni yule mwenye msimamo kama huyu Magu alikua na msimamo ndio maana Watanzania tulio wengi tulimpenda sana

  • @aloycemruma6552
    @aloycemruma6552 14 วันที่ผ่านมา +1

    Tupo sehem mbaya sana. Kama Taifa mwizi anakuibia. Halafu mahakama iseme kaelewaneni kwani. Mwizi .hawezi chukuliwa hatua

  • @sebastianmwantuge5597
    @sebastianmwantuge5597 16 วันที่ผ่านมา +3

    Ndani ya TLS kuna vibaka wa Demokrasia