EXCLUSIVE: MJUE JOB NDUGAI "SPIKA ALIYEJIUZULU" Tangu AONDOKE HAJULIKANI ALIPO"na ASIKIKI KABISA

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 16 ส.ค. 2024
  • Fuatilia Mkasa Huu Mwanzo Mwisho Hapo Tutakufahamisha NI wapi Spika ALIYEJIUZULU Kwasasa Yupo wapi Na kwanini Amekaa KIMYA Kipindi chote hichi
    • MAKALA ZA VIONGOZI🥂
    #simulizinasauti #wasafimedia #cloudsmedia #exclusive #millardayo #dullysantz #santzmedia #ccm #efm #history
  • บันเทิง

ความคิดเห็น • 91

  • @Zengeni-gz8fe
    @Zengeni-gz8fe หลายเดือนก่อน +8

    Job NDUGAI.kasimu majaliwa.poul makonda.❤❤❤❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉hawa watu wakivaa viatu vya MAGUFURI vitawatosha kabisa..havita wabana wakuwapwaya..wanastahili kabisa kukaa kiti cha urais.nawapenda sana hawawatu🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤❤❤

    • @hassanially8381
      @hassanially8381 หลายเดือนก่อน +1

      Ukiutaka ukweri utakufanya uwe mashakani

    • @salehkioza-xo8ti
      @salehkioza-xo8ti 27 วันที่ผ่านมา

      Mbona haingii bungeni na hatumsiikii hapewi adhabu?

    • @MabulaSheli
      @MabulaSheli 21 วันที่ผ่านมา

      3:17 😢😮​@@hassanially8381

  • @MagrethKatondo-qs9oz
    @MagrethKatondo-qs9oz หลายเดือนก่อน +6

    Mmmh tanzania hiyooo jamani. Mungu utuhurumie.

  • @MartineShija
    @MartineShija หลายเดือนก่อน +5

    Ndugai Oyeee

  • @AlphaLehao
    @AlphaLehao วันที่ผ่านมา +1

    Anaweza aka gombea uraisi

  • @David-if6nk
    @David-if6nk หลายเดือนก่อน +8

    Sijawahi kuona kiongozi fala kama huyu mama

    • @KatabaroCleophace
      @KatabaroCleophace หลายเดือนก่อน +1

      Utapigwa mnada wewe Nyamaza tu hii ni Tanzania

    • @DottoMussa-ro6rw
      @DottoMussa-ro6rw หลายเดือนก่อน +1

      4 sure

    • @user-xl4io3or7r
      @user-xl4io3or7r หลายเดือนก่อน

      Kiswahili kina maneno mengi Sana ya kukosoa. Ukosoaji huu sio wa kistaarabu. Ni kweli mama huyu anafanya mengi yasiyo ya wananchi

    • @JeanMuzaliwa-bs6qh
      @JeanMuzaliwa-bs6qh 8 วันที่ผ่านมา

      uyu mama sio yy anaongoza no mwenye kuongoza ni kikwete!

  • @imaniandrea-ib6fy
    @imaniandrea-ib6fy หลายเดือนก่อน +6

    ndugai anafaa kua rais tunaomba 25 agombee

  • @jafetykaberege4948
    @jafetykaberege4948 หลายเดือนก่อน +5

    JOBU YUSTINO NDUGAI
    MWANASHERIA NGULI
    MBUNGE MIAKA ZAIDI YA 20, NAIBU SPIKA, SPIKA NA KADHALIKA.

    • @Santzmedia
      @Santzmedia  หลายเดือนก่อน +2

      Safi "Short story

  • @SmilingCityMap-xb9md
    @SmilingCityMap-xb9md หลายเดือนก่อน +2

    Ndugai ❤❤❤❤❤❤❤

  • @user-hu9bf7nw4c
    @user-hu9bf7nw4c หลายเดือนก่อน +7

    Ndugai alisema ukwel, na alisema kua nchi itauzwa, kwasabab aliyaona ndio maana aliyatamka, ndio haya yanayoonekana leo hii nazan mnafaham yaliopo bandalin na nengneo

    • @Santzmedia
      @Santzmedia  หลายเดือนก่อน +1

      📌

    • @wadeelegbogun3015
      @wadeelegbogun3015 หลายเดือนก่อน +1

      Kweli kabisa

    • @hassanially8381
      @hassanially8381 หลายเดือนก่อน

      Na tutapata taabu sanaaaa😢😢😢😢😢

  • @issaYusuf-u7w
    @issaYusuf-u7w หลายเดือนก่อน +3

    Watanganyika wanaongozwa na Mzanzibari imekua zogo.Hebu tusubirieni tumalize miaka yetu. 2030, tutakuachieni kiti Chenu. Lkn kwa sasa muachieni Mama atengeneze Historia

  • @husseinkonz5192
    @husseinkonz5192 หลายเดือนก่อน +6

    Ndugai jiwe

    • @Santzmedia
      @Santzmedia  หลายเดือนก่อน

      👊👊

  • @hassanially8381
    @hassanially8381 หลายเดือนก่อน +5

    Hili taifa bado siamini na sipati picha...!
    Wananchi
    Vs
    Wenye nchi
    😢😢😢😢😢😢😢

  • @MariaCassian-e2i
    @MariaCassian-e2i 24 วันที่ผ่านมา +2

    Mama kaupigaa mwingii fimbo mliotupigia watanzania inawapiga wenyewe wspiga makofi ndugai kafichua siri bila mwenyewe kujua

  • @PaulMsema
    @PaulMsema หลายเดือนก่อน +4

    Anafaa kuwa rais, maana anauchungu na nchi yake hataki mizigo ya kukopa

  • @godfreyMethew3689
    @godfreyMethew3689 หลายเดือนก่อน +10

    Tumemchoka mama tunatam atoke halaka

  • @AbubakariBausi-zd6xf
    @AbubakariBausi-zd6xf 28 วันที่ผ่านมา +1

    Job uko sawa

  • @bonifacerobert2960
    @bonifacerobert2960 7 วันที่ผ่านมา +1

    Yaani Rais unasema bila woga kuwa mmemkabidhi mtu muhimili? Upuuzi gani huu? Mihimili ipo kwa mujibu wa KATIBA. BUNGE na MAHAKAMA vinapaswa kuwa na nguvu na uhuru wa kutosha kama wasimamizi wa utendaji wenu ninyi serekali.

  • @mambas264
    @mambas264 หลายเดือนก่อน +3

    Hakuna mkopo mzuri mama. Unatudhalilisha

    • @Eliasmagangaa
      @Eliasmagangaa 9 วันที่ผ่านมา

      Du ukweri utabakikua ukweri hapomwenyeakiri anajua arirekuasasahihi niyupi katiya mama au ndugay😂😂😂

  • @epimackjohn461
    @epimackjohn461 หลายเดือนก่อน +2

    Hapa kuna KICHWA !! Watu kama hawa hatutawasahau .😊

  • @AbbasiMohamed-o7h
    @AbbasiMohamed-o7h หลายเดือนก่อน +4

    Ndugai anayopitia ndio majibu yawatu kama yy hapa duniani ni mmoja ya watu washenzi wakubwa wapatapo nafasi za uongozi

  • @busaleh5494
    @busaleh5494 หลายเดือนก่อน +1

    Ndugai akasimamie mbuga za wanyama pori. Amuache mama apige kazi❤❤

  • @FabianPaul-mq4ec
    @FabianPaul-mq4ec 12 วันที่ผ่านมา +1

    Ndugai nampendasana ebu zubutu 2025

  • @SmilingApron-zw6ne
    @SmilingApron-zw6ne 16 วันที่ผ่านมา +1

    NI KOSA SANA HAYA MANENO YA NDUGAI, MBAYA SANA,TENA SANA, KWA NINI ASIMAME NA ASEME HAYO KWENYE VYOMBO? NI KWA NINI KWANZA? JE HANA NAMBA YA MAMA SAMIA? KWA NIINI ASITAFUTE MUDA AKAENDA KUKETI NAYE? JE NDO NINI SASA? LENGO NINI KWANZA. Any way, KWERI TAIFA LETU MUNGU ATUSAIDIE WANADAM

  • @joelinzumi4494
    @joelinzumi4494 28 วันที่ผ่านมา +2

    Awelaisi watanzania atatuokowa Mimi nijoeli maulidi nzumi nikomkowa warukwa

  • @CashKassim
    @CashKassim หลายเดือนก่อน +1

    Sisi watanzania wafiki sana tulishangilia kujiuzulu kwake,leo tunammic kwa umuhimu wake,watu wenye maono hawadumu huwaga wanahujumuwa bora mzee ndugai ulikufa umesimama kuliko kuishi umepiga magoti

  • @wadeelegbogun3015
    @wadeelegbogun3015 หลายเดือนก่อน +4

    Ni kweli rais wa mpito ,2O25 mama kapumzike.

    • @Santzmedia
      @Santzmedia  หลายเดือนก่อน

      😆😆😆

  • @EbenezerJohn-qu6cv
    @EbenezerJohn-qu6cv 21 วันที่ผ่านมา +1

    Uwe unataja mikoa wanayozaliwa ni baadhi unataja lakini wengine usemi jitaidi mkuu naamini itakuwa inakaa vizuri zaidi

    • @Santzmedia
      @Santzmedia  21 วันที่ผ่านมา +1

      Shukrani Sana mdau wetu 🤝 Tunakuahidi tutafanya kama Unavyoitaji😊

  • @malimusmollel2176
    @malimusmollel2176 12 วันที่ผ่านมา +1

    Kuna jamii ya kitanzania tuna nyanyasika asa wamasai

  • @gasukasombokasultanmasuga8792
    @gasukasombokasultanmasuga8792 19 วันที่ผ่านมา +1

    ❤ aje aombe urais

  • @MariaCassian-e2i
    @MariaCassian-e2i 24 วันที่ผ่านมา +1

    Yaani kusema ikweli kutoka moyoni mm sitaki kuwa mtumwa wa mwarabu wala wamzungu hata wa mwafrika mwenzangu uzeni nchi kopeni kopeshaneni stakubali kutumikia binaadamu. Yeyote yule kwa cheo dini wala kwadiasa

  • @Micpaul.o
    @Micpaul.o 15 วันที่ผ่านมา +1

    Sinaga shida na chama cha thiatha, mimi kikubwa tu asimame kiongozi madhubuti kwenye kiti alaf inakuwa ngoma kwisha. Mwambukusi oyoooo

  • @EdigivaKacheina
    @EdigivaKacheina หลายเดือนก่อน +2

    daaaaaahh

  • @janethchidobe5919
    @janethchidobe5919 หลายเดือนก่อน +1

    bora mgogo chukuwa uraisi tumechoka😢

  • @rodrickkimaro-fb5tn
    @rodrickkimaro-fb5tn 24 วันที่ผ่านมา +1

    Yuko wapi ndugai mbona simsikii ,makonda naye bungeni mbona hatumsiki mbona msukuma tunamuona na wengine

  • @SmilingCityMap-xb9md
    @SmilingCityMap-xb9md หลายเดือนก่อน +1

    Mtu anaelipenda taifa lake kama ndugai anakuwa ndio adui yake

  • @CashKassim
    @CashKassim หลายเดือนก่อน +1

    Tuheshimu maoni ya mtuu anachokiona na kutafakari mwanaume hawi na misimamo yahuku na huku amekufa na tai shingoni one day tutamkumbuka kama shujaa kueleza hisia zake juu kesho ya watanzania,viongozi nyumbu wapo kujipendekeza,ziro brain

  • @SmilingCityMap-xb9md
    @SmilingCityMap-xb9md หลายเดือนก่อน +1

    Mwenye haki hawezi nyamaza kwa kilio cha watu wake hawezi kamwe

  • @KassimHanga-xr7rb
    @KassimHanga-xr7rb หลายเดือนก่อน +1

    Mama kakope achana nae huyo ameshazoea kubwabwaja aliwahi kusema (akitaka asitake ataongezewa muda)

  • @TadeySamwwli
    @TadeySamwwli 3 วันที่ผ่านมา +1

    Kaka tumekumis

  • @geofreybakina6010
    @geofreybakina6010 หลายเดือนก่อน +2

    Uongozi ni kiti cha daladala huenda akapandia hapo mbele kwa mara nyingine coz huyo ni miongoni mwa wasafiri wazuri tu, tena akiwa miongoni mwa watakaokaa seat ya mbele kabisa 😢😮😮😮

    • @Santzmedia
      @Santzmedia  หลายเดือนก่อน +1

      😢

  • @CyprianSapi-tq7qj
    @CyprianSapi-tq7qj 20 วันที่ผ่านมา +1

    Gombea urahisi mwamba au poo makonda,Mgufuli aliwahamini nyinyi.

  • @janethchidobe5919
    @janethchidobe5919 หลายเดือนก่อน +1

    yani simuerewi jamani

  • @LovelyBubbleTea-vz4ol
    @LovelyBubbleTea-vz4ol หลายเดือนก่อน +2

    Ndugay yupo na atajitokeza

    • @Santzmedia
      @Santzmedia  หลายเดือนก่อน

      Umemaliza📌🤝

  • @FaruhMarite
    @FaruhMarite หลายเดือนก่อน +1

    Hao miamba wanafanya nn uko waliko ile hali nchi inateketea kwa uongozi wa kifala wa bibi huyu isietambua matakwa ya watu wanaowaomgoza

  • @SmilingFlowerBouquet-hs2hv
    @SmilingFlowerBouquet-hs2hv 26 วันที่ผ่านมา +1

    WATANZANIA TUJUE HAKUNA DENI RAISI DUNIANI CHUKULIA MFANO HAI WWE NENDA KAKOPE DENI HZTA KWA LAFIKIYAKO KAMA UTAKUA NA AMANI NA UHURU KWA HUYO LAFIKI YAKO NI VITU AMBAVYO HAVIITAJI HATA ELIMU KUBWA HATA WWE ULIYE ISHIA CHEKECHEA UNA JUA MAZALA YA MADENI

  • @andrewassey5108
    @andrewassey5108 หลายเดือนก่อน +2

    Leo mama anasema amechoka kukopa.

    • @Santzmedia
      @Santzmedia  หลายเดือนก่อน +1

      😆😆

  • @ekadomwambene899
    @ekadomwambene899 หลายเดือนก่อน +1

    Ya ndugai yapo kutimia yule alikua na maono malefu

  • @user-lg5my3hx2t
    @user-lg5my3hx2t หลายเดือนก่อน +1

    Napenda awe raisi

  • @ramadhaniyahaya7286
    @ramadhaniyahaya7286 28 วันที่ผ่านมา +1

    Ngonjela kwenye hotuba inakela sana

  • @eliasnicolaurobath6864
    @eliasnicolaurobath6864 หลายเดือนก่อน +1

    Taifa retu ra tanzania wapo watu wa kushangaza sana na ndio taifa ra kwanza duniani kuwa na mabwana ndio mpaka siku ya kiama mtanzania ukimuongoza wewe mpe maziwa sukari ugari basi hapo unakuwa umempata kwa rorote na atakutetea hata kama unamchapa viboko hao ndio watanzania

    • @Santzmedia
      @Santzmedia  หลายเดือนก่อน +1

      😂😂😂

  • @malkiasimitoi5438
    @malkiasimitoi5438 หลายเดือนก่อน +2

    Mnafiki ndugai alidhani watanzania watamuunga mkono kwa ujinga wake,wakati wa awamu ya 5 walipora,waliua,walikopa na walifanya kila baya lakini sasa mishahara yao inawarudia wenyewe,
    Mwisho wa ubaya ni aibu

    • @hassanially8381
      @hassanially8381 หลายเดือนก่อน +2

      Acha kujiuza ili ununuliwe na wenye mamlaka...!
      Unajichelewesha

  • @antonyndinga8890
    @antonyndinga8890 หลายเดือนก่อน +1

    Spika alikuwa SITA tuu

  • @amossamson8955
    @amossamson8955 หลายเดือนก่อน +2

    Agombee urais

  • @josephmulula440
    @josephmulula440 หลายเดือนก่อน +2

    Anaongea ukweli

  • @SmilingCityMap-xb9md
    @SmilingCityMap-xb9md หลายเดือนก่อน +1

    Eti mzima kama ni mzima mwache ajisemee kwa nini mwamsemea

    • @Santzmedia
      @Santzmedia  หลายเดือนก่อน

      Uliitaji Afe??

  • @saadallah6287
    @saadallah6287 24 วันที่ผ่านมา +1

    Watu wanafiki sana yeye huyo huyo kabla ya mma ndiyo aliyekuwa anapitisha mikopo leo kageuka nawatu nao eti wanamsapoti acheni udini vilaza nyinyi

  • @MaikoMkwawa-fk9tc
    @MaikoMkwawa-fk9tc หลายเดือนก่อน +1

    Siasa ni mchezo mchafu sana

  • @EmmanuelBanzi
    @EmmanuelBanzi หลายเดือนก่อน +1

    Chukua fom ya uraisi wewe au makonda au msukuma apakazitu magufuli afi

  • @user-yi1oi8rs6v
    @user-yi1oi8rs6v หลายเดือนก่อน +1

    Mnaongea km msiojitambua.
    Msitukere na hyo mpuuzi.
    Hamkumbuki alivyoshiriki kuihujumu katiba ya nchi?
    1. Alitumika kuwepo na rais wa kudumu.
    2. Alifuta ubunge wa mtu bila sheria.
    3. Alizuia gharama za matibabu ya mbunge bila sheria.
    4. Alifukuza bdh y wabunge wa upinzani bungeni bila sheria.
    5. Alimfanyizia Prf. Mussa Asadi.
    Hafai hata kuwa baba nyumbani kwake. Acha ale mavuno aliyoyapanda. Hao n watu walkoshindwa kulitafsiri neno (KESHO) yetu hatuijui.

  • @MartineShija
    @MartineShija หลายเดือนก่อน +9

    Ndugai Oyeee

    • @Santzmedia
      @Santzmedia  หลายเดือนก่อน +1

      🤷🤷

  • @RichardMgweno
    @RichardMgweno 26 วันที่ผ่านมา +1

    Ndugai maendeleo hayana chama ukweli chama chako hakitaki kweli mfano Tanzania bila rushwe inawezekana wakati haiwezekani lakini hakuna hata aliyekusapoti wote tumbo mbele

  • @samwelkavwanga4491
    @samwelkavwanga4491 หลายเดือนก่อน +1

    NDUGAI ALIVUNA ALICHOPANDA MALIPO NI HAPA HAPA TU KIPINDI CHA MWENDAZAKE ALITESA BAADHI YA WATU😮😮