EXCLUSIVE: MJUE JOB NDUGAI "SPIKA ALIYEJIUZULU" Tangu AONDOKE HAJULIKANI ALIPO"na ASIKIKI KABISA
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 16 ส.ค. 2024
- Fuatilia Mkasa Huu Mwanzo Mwisho Hapo Tutakufahamisha NI wapi Spika ALIYEJIUZULU Kwasasa Yupo wapi Na kwanini Amekaa KIMYA Kipindi chote hichi
• MAKALA ZA VIONGOZI🥂
#simulizinasauti #wasafimedia #cloudsmedia #exclusive #millardayo #dullysantz #santzmedia #ccm #efm #history - บันเทิง
Job NDUGAI.kasimu majaliwa.poul makonda.❤❤❤❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉hawa watu wakivaa viatu vya MAGUFURI vitawatosha kabisa..havita wabana wakuwapwaya..wanastahili kabisa kukaa kiti cha urais.nawapenda sana hawawatu🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤❤❤
Ukiutaka ukweri utakufanya uwe mashakani
Mbona haingii bungeni na hatumsiikii hapewi adhabu?
3:17 😢😮@@hassanially8381
Mmmh tanzania hiyooo jamani. Mungu utuhurumie.
Ndugai Oyeee
Anaweza aka gombea uraisi
Sijawahi kuona kiongozi fala kama huyu mama
Utapigwa mnada wewe Nyamaza tu hii ni Tanzania
4 sure
Kiswahili kina maneno mengi Sana ya kukosoa. Ukosoaji huu sio wa kistaarabu. Ni kweli mama huyu anafanya mengi yasiyo ya wananchi
uyu mama sio yy anaongoza no mwenye kuongoza ni kikwete!
ndugai anafaa kua rais tunaomba 25 agombee
JOBU YUSTINO NDUGAI
MWANASHERIA NGULI
MBUNGE MIAKA ZAIDI YA 20, NAIBU SPIKA, SPIKA NA KADHALIKA.
Safi "Short story
Ndugai ❤❤❤❤❤❤❤
Ndugai alisema ukwel, na alisema kua nchi itauzwa, kwasabab aliyaona ndio maana aliyatamka, ndio haya yanayoonekana leo hii nazan mnafaham yaliopo bandalin na nengneo
📌
Kweli kabisa
Na tutapata taabu sanaaaa😢😢😢😢😢
Watanganyika wanaongozwa na Mzanzibari imekua zogo.Hebu tusubirieni tumalize miaka yetu. 2030, tutakuachieni kiti Chenu. Lkn kwa sasa muachieni Mama atengeneze Historia
Historia ya kipumbavu
Ndugai jiwe
👊👊
Hili taifa bado siamini na sipati picha...!
Wananchi
Vs
Wenye nchi
😢😢😢😢😢😢😢
Mama kaupigaa mwingii fimbo mliotupigia watanzania inawapiga wenyewe wspiga makofi ndugai kafichua siri bila mwenyewe kujua
Anafaa kuwa rais, maana anauchungu na nchi yake hataki mizigo ya kukopa
Tumemchoka mama tunatam atoke halaka
🙏
Job uko sawa
Yaani Rais unasema bila woga kuwa mmemkabidhi mtu muhimili? Upuuzi gani huu? Mihimili ipo kwa mujibu wa KATIBA. BUNGE na MAHAKAMA vinapaswa kuwa na nguvu na uhuru wa kutosha kama wasimamizi wa utendaji wenu ninyi serekali.
Hakuna mkopo mzuri mama. Unatudhalilisha
Du ukweri utabakikua ukweri hapomwenyeakiri anajua arirekuasasahihi niyupi katiya mama au ndugay😂😂😂
Hapa kuna KICHWA !! Watu kama hawa hatutawasahau .😊
Ndugai anayopitia ndio majibu yawatu kama yy hapa duniani ni mmoja ya watu washenzi wakubwa wapatapo nafasi za uongozi
😥
Ushenzi wake ni upi?
@@muganyizibuzubona7160 ni nn alichomfabyia lisu
Ndugai akasimamie mbuga za wanyama pori. Amuache mama apige kazi❤❤
Ndugai nampendasana ebu zubutu 2025
NI KOSA SANA HAYA MANENO YA NDUGAI, MBAYA SANA,TENA SANA, KWA NINI ASIMAME NA ASEME HAYO KWENYE VYOMBO? NI KWA NINI KWANZA? JE HANA NAMBA YA MAMA SAMIA? KWA NIINI ASITAFUTE MUDA AKAENDA KUKETI NAYE? JE NDO NINI SASA? LENGO NINI KWANZA. Any way, KWERI TAIFA LETU MUNGU ATUSAIDIE WANADAM
Awelaisi watanzania atatuokowa Mimi nijoeli maulidi nzumi nikomkowa warukwa
Sisi watanzania wafiki sana tulishangilia kujiuzulu kwake,leo tunammic kwa umuhimu wake,watu wenye maono hawadumu huwaga wanahujumuwa bora mzee ndugai ulikufa umesimama kuliko kuishi umepiga magoti
Tatizo elimu
Ni kweli rais wa mpito ,2O25 mama kapumzike.
😆😆😆
Uwe unataja mikoa wanayozaliwa ni baadhi unataja lakini wengine usemi jitaidi mkuu naamini itakuwa inakaa vizuri zaidi
Shukrani Sana mdau wetu 🤝 Tunakuahidi tutafanya kama Unavyoitaji😊
Kuna jamii ya kitanzania tuna nyanyasika asa wamasai
❤ aje aombe urais
Yaani kusema ikweli kutoka moyoni mm sitaki kuwa mtumwa wa mwarabu wala wamzungu hata wa mwafrika mwenzangu uzeni nchi kopeni kopeshaneni stakubali kutumikia binaadamu. Yeyote yule kwa cheo dini wala kwadiasa
Sinaga shida na chama cha thiatha, mimi kikubwa tu asimame kiongozi madhubuti kwenye kiti alaf inakuwa ngoma kwisha. Mwambukusi oyoooo
daaaaaahh
bora mgogo chukuwa uraisi tumechoka😢
Yuko wapi ndugai mbona simsikii ,makonda naye bungeni mbona hatumsiki mbona msukuma tunamuona na wengine
Mtu anaelipenda taifa lake kama ndugai anakuwa ndio adui yake
Tuheshimu maoni ya mtuu anachokiona na kutafakari mwanaume hawi na misimamo yahuku na huku amekufa na tai shingoni one day tutamkumbuka kama shujaa kueleza hisia zake juu kesho ya watanzania,viongozi nyumbu wapo kujipendekeza,ziro brain
Mwenye haki hawezi nyamaza kwa kilio cha watu wake hawezi kamwe
Mama kakope achana nae huyo ameshazoea kubwabwaja aliwahi kusema (akitaka asitake ataongezewa muda)
Kaka tumekumis
Uongozi ni kiti cha daladala huenda akapandia hapo mbele kwa mara nyingine coz huyo ni miongoni mwa wasafiri wazuri tu, tena akiwa miongoni mwa watakaokaa seat ya mbele kabisa 😢😮😮😮
😢
Gombea urahisi mwamba au poo makonda,Mgufuli aliwahamini nyinyi.
yani simuerewi jamani
Ndugay yupo na atajitokeza
Umemaliza📌🤝
Hao miamba wanafanya nn uko waliko ile hali nchi inateketea kwa uongozi wa kifala wa bibi huyu isietambua matakwa ya watu wanaowaomgoza
WATANZANIA TUJUE HAKUNA DENI RAISI DUNIANI CHUKULIA MFANO HAI WWE NENDA KAKOPE DENI HZTA KWA LAFIKIYAKO KAMA UTAKUA NA AMANI NA UHURU KWA HUYO LAFIKI YAKO NI VITU AMBAVYO HAVIITAJI HATA ELIMU KUBWA HATA WWE ULIYE ISHIA CHEKECHEA UNA JUA MAZALA YA MADENI
Leo mama anasema amechoka kukopa.
😆😆
Ya ndugai yapo kutimia yule alikua na maono malefu
Napenda awe raisi
Mavi awawezi kumpa
Ngonjela kwenye hotuba inakela sana
Taifa retu ra tanzania wapo watu wa kushangaza sana na ndio taifa ra kwanza duniani kuwa na mabwana ndio mpaka siku ya kiama mtanzania ukimuongoza wewe mpe maziwa sukari ugari basi hapo unakuwa umempata kwa rorote na atakutetea hata kama unamchapa viboko hao ndio watanzania
😂😂😂
Mnafiki ndugai alidhani watanzania watamuunga mkono kwa ujinga wake,wakati wa awamu ya 5 walipora,waliua,walikopa na walifanya kila baya lakini sasa mishahara yao inawarudia wenyewe,
Mwisho wa ubaya ni aibu
Acha kujiuza ili ununuliwe na wenye mamlaka...!
Unajichelewesha
Spika alikuwa SITA tuu
Agombee urais
Anaongea ukweli
Eti mzima kama ni mzima mwache ajisemee kwa nini mwamsemea
Uliitaji Afe??
Watu wanafiki sana yeye huyo huyo kabla ya mma ndiyo aliyekuwa anapitisha mikopo leo kageuka nawatu nao eti wanamsapoti acheni udini vilaza nyinyi
Siasa ni mchezo mchafu sana
Chukua fom ya uraisi wewe au makonda au msukuma apakazitu magufuli afi
Mnaongea km msiojitambua.
Msitukere na hyo mpuuzi.
Hamkumbuki alivyoshiriki kuihujumu katiba ya nchi?
1. Alitumika kuwepo na rais wa kudumu.
2. Alifuta ubunge wa mtu bila sheria.
3. Alizuia gharama za matibabu ya mbunge bila sheria.
4. Alifukuza bdh y wabunge wa upinzani bungeni bila sheria.
5. Alimfanyizia Prf. Mussa Asadi.
Hafai hata kuwa baba nyumbani kwake. Acha ale mavuno aliyoyapanda. Hao n watu walkoshindwa kulitafsiri neno (KESHO) yetu hatuijui.
Ndugai Oyeee
🤷🤷
Ndugai maendeleo hayana chama ukweli chama chako hakitaki kweli mfano Tanzania bila rushwe inawezekana wakati haiwezekani lakini hakuna hata aliyekusapoti wote tumbo mbele
NDUGAI ALIVUNA ALICHOPANDA MALIPO NI HAPA HAPA TU KIPINDI CHA MWENDAZAKE ALITESA BAADHI YA WATU😮😮