MWALIMU WANGU ALIKUA MBAGUZI | NAJIVUNIA KUMPATA MUME WANGU | UKIFIKA ULAYA KIMBILIA KUSOMA
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 21 ต.ค. 2023
- Latifa Gloria ameeleza namna alivyokutana na mume wake baada ya kua na bahati mbaya na mahusiano kwa kipindi kirefu.
Ameeleza maisha ya Ujerumani, ubaguzi wa rangi kutoka kwa mwalimu wake na maisha ya kusoma na kazi.
Ametufungua juu na Mini Jobs ambazo ni muhimu katika kuongeza kipato.
Thank you Latifa Gloria for allowing this to be online
www.oda.international
Toka nitoke tumboni mwa mama yangu Leo ndo siku ya kwanza kuona mwanamke mkenya mwenye Hekima nahisi ana hofu ya Mungu😍 coz wakenya wanawake mmmmh😴
💯
Umenena kweli
😂😂😂
Mmh watuonea
Uyu alishakaa tanzania kwaiyo anauwo moyo wa ekima
@@marthageorge5043 kabisa Tz adabu tunayo hata wao wanajuwa
Shida ya wanawake wanaotoka Africa wakifika Europe county hasa walioko kwenye Ndoa wanashindwa kuelewa hii ni ndoa yani wewe na mume wako mnatakiwa mtafute pesa kwa ajili ya maisha yenu,hilo hawataki kujuwa wengi wanakuwa kwenye ndoa lakini siku zote anawaza kumchuna huyo mzungu jamani hamtafika mbali chuna kistaarabu uwe na utu pia yeye mzungu anafanya kazi pengine kipato kidogo hawataki kuchangia chochote wapo tu kama bilinganya zilizooza badilikeni maisha kusaidiana.
Smart masha Allah, Mwenyezi mungu awazidishie daima kutupa muongozo wa mambo mengi.
Ameen ameen
On the course of the day... nime angalia interview.
Hata mimi lugha ya kijerumani, nilifundishwa na mtu kutoka Poland lkn alikuwa ananipenda mpaka wanafunzi wenzangu kutoka Ukraine na Russia wanaona wivu.
Kisheria ni miaka mitatu kupata uraia.
Hakika dada ameongea vizuri sanaa na nimejifunza vingi mnoo
Thanks so much mdogo wangu .
Ahsante pia kwa darasa amazing ulilotupatia. Ubarikiwe sana 🙏
Asante dada Latifa nimejifunza kitu
Dada umeongea vizur sana nimekuelewaa sana ,una hekima na busaraa sanaaa,kwa mkenya uko na hekima sanaaa
Asante kwa ujumbe mzuri
Jamani naomba mnielekeze unajiunga vipi.natamani sanalkn hata sielewi.naomba kuelekezwa plz.
Nice interview
God bless you
Asante sana dada latifa mana nimejifunza kitu kikubwa sana
Anaongea kiswahili vzr
This interview 🔥🔥🔥🔥
Marafiki shikamooni khaaaa 🙌🙌🙌
Umependeza Shena sikati Tamara huyo mama kaolewa Na mzungu😂😂
Mzungu haangalii umri my dear,anaangalia upendo alionao kwako😍😍🥰🥰,so wee endelea kusubiri my dear 😂😂😂
❤❤❤❤
Thank you for this story tena❤
You are so welcome 🤗
Interview nzuri sana, Ujerumani ni nouma , mimi Lugha ni changamoto hakii ila napambana hahahaa, driving nikama unafanya diploma course😅.Hongereni sana Interview nimeipenda❤
Latifah.. In want talk to you plz
Anaongea kama zari❤
Barikiwa sana Ratifa🎉🎉
*Latifa
Hawataki 50/50 lakini wanajua kuwalazimisha wazungu kulipa mahari ingawaje siyo desturi yao. Haya maisha hayana balance
😅💃
Yes
Dada umebarikiwa hekima 🎉🎉
Jamani leo kazini kwangu Mgerman mmoja kavua nguo zote eti ana relax jamani nimeangalia chini dk 10 basi mke wake alikuwepo anafurahia yani sasa hapo mbele ngoja ninyamaze ila wazungu duuuuuh!😃
😂😂😂😂😅😅😅
Dah😂😂😂😂😂
Duuu wohiiiiii mie😂😂😂😂
Ni kawaida kwao
Vp!!yaliomo yamoo!????
hawa n kawaida yao kuna jirani yetu ameolewa na mjeruman na wanaishi bongo huyo mjeruman akiwa nyumbana huwa havaagi nguo na wanaishi na watoto wao wakike yaan wameshazoea hayo maisha
Mmmh😢
Huyu dada nimempenda
Jee ikatokea munatengana mme na mke vp kuhusu joint account mtagawana pesa au vp
kwa ujerumani ni asilimia 30 mpaka 50, lakini inategemea na class yako
Class yako ya nini?
@@PureSoul-rf4xd tax class, tuseme madaraja ya kodi
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Una miaka mingapi dada latifa?
Naomba nikutumie namba yangu namaongezi nawewe please
Dada tafuta Ausbildung ufanye,hata ya muda mfupi, kama Pflege upate cheti chako,yaani ukiwa na cheti chako hawakusumbui kabisa wajerumani, wakikuletea shida unaweza acha kazi haraka ukatafuta nyingine haraka,ukiwa na cheti yako pia mshahara unakuwa mkubwa kidogo,halafu kazi ya pflege haina umri wala kuchelewa.
Uko mkweli kabisa unachokiongea mapenzi ni bahati kupata ataedhamini moyo wako
Latifa una miaka mingapi mbona mdogo
Kulipia online dating tunalipiaje na ni sh ngapi??
Karibu kwa ukurasa wetu wa Instagram I subscribe utakuta maelezo yote hayo
@official_datingassistance
Yaani nimempenda sana huyu Dada ni mstarabu sana' anaongea vizuri ana hekima sana
Unaongea vizuri ahsante Ratifa
Mm nimeshindwa kabisaa kujiunga toka mwez wa kwanza naumia