Maswsla ya charity siyo kwamba watu wamekuwa wagumu kutoa, zamani watu walikuwa wakitoa sana lakini hao wa chsrity wanajinenepesha wao na wakwao. Sasa wengi wamekata tamaa maana nyingi haziwafikii walengwa. Mimi binafsi kuliko nitoe chochote kwenye charity bora nimsaidie niliyemkuta njiani akiwa na shida, au ninayemfahamu shida zake kwa nikazitatua kwa njia hiyo.
Waafrica tukijibagua sio ubaguzi ila ila mzungu akiwabagua mnaandamana.. I always think this mentality is personal issue. Na ubaguzi uko popote. Uzuri mzee wetu alituweza watanzanzania tokea mwanzo na akajua akili za kibinadamu na Ile Ile principle ya Mungu ya Lugha kutuunganisha na yeye aliitumia Kubomoa hayo matabaka maana labda tungepigana sana😢😢😢
Kutoka kwenye urafiki kuwa wapenz na wanandoa ili muweze kutobowa inabidi msibadilishe kitu chochote wala msibadilike mbaki na vitu vyote 3 urafiki mapenz na ndoa piya mbaya zaidi ni ngmu sana kuvuka hapo ndiyomaana marafiki wengi wakiingia kwenye mausinao na marafiki zao wale mabest sana uwa wanaishia kupoteza na kuwa maadui wakubwa
Ahahaahhaah hapa Uk ukiingia tu kutoka Tz unadakwa na kutangaziwa ndoa Sharp na wa Tz wenzako😂 before hujachangamka watakutangazia ndoa so wenyeji wako ulipofikia km hawajakusanua unendaaa....namaranyingi ndoa hazidumugu becouse c waliowana bila kujuana
Hata UK-United Kingdom ni kisiwa na kina nchi 4 na bendera zake- na ukieleza unaeleza kuwa ni nchi nne zimeungana hali kadhalika Zanzibar ni muungano na Tanganyika-Tanzania bado ni kisiwa kilicho na bendera na raisi wake
@@kshamte9582 dada etu msomi wa Kenya atakua kaelewa kuwa yeye ni Mtanzania aliyezaliwa Zanzibar 😉, sababu kwenye maelezo alieleza wakenya wanajulikana kama wasomi so vitu vidogo kama hivi visiwasumbue kabisa right?
Grounding yet lively interview. Looking forward to part 2
Part 2 tena!!No pressure
ma shaa Allah kuna mengi yakujifunza hapa shukran kwa darasa nzuri sister
❤❤❤
Ahsante hadija kwa maelezo mazuri
Unakaribishwa❤❤❤
Hongeza khadija tunakupenda karibu kwenu zenjebar
Ohhh kanvaaa kisutuu!!😂😂😂😂wallahy wanichekesha hadija mimi mpemba safiii mwenzioo😂😂
😂😂😂Wabesaaaaaaa
Nabesaa shoga angu wee
Naomba account yako ya insta jirani yangu 😅
Masha Allah beautiful interview. Beautiful sisters 💕
Hongera sana my lady 😊 raha jipe mwenyewe
❤❤❤❤Naam
Masha’Allah tabarak Allah huyu ni cousin wako Zuleikha? She’s very beautiful and smart Masha’Allah
Interview nzuri yuko open sana.Unajifunza usikate tamaa fuatia ndoto yako
❤❤❤Shukran
Great hadija
❤❤❤
❤❤❤Shukran
Amaizing Hadija🎉🎉 nilijua ni Mina Ally😊🌺🌺🇩🇪
❤❤❤
I’m soo proud of you Khadija🌹👏🏼👏🏼👏🏼🌹
Mashallah bi Khadija, I just like you
This is awesome 🎉 keep up the great work ladies 😊😊
❤❤❤Shukran 🎉🎉🎉
Mashaa Allah mcheshi sana unadarasika uku unacheka😃😃😃
❤❤❤
Bismillah ma shaa Allah ❤
❤❤❤Alhamdulilah-Shukran
❤❤❤Shukran
Hongera Sana ghadijabyaani umejibu maswali yote kwaufasaha na Kama mtu ajaelewa niyeye mwenyewe thu
❤❤❤
Waoooh, hii nimependa.
❤❤❤
Hongera sister ❤❤🎉
❤❤❤Shukran
Hongera khadija
❤❤❤
Nice interview da shena na da
❤❤❤Shukran
Funzo n usijidharau nimependa sana
Sauti yake nzuri sana..nene,inasikika,.. anafaa kuwa mwimbaji mzuri..
Khadija, Raya anakusalimu
Waaleika salaam 😊
Nice big dada
❤❤❤Asante
Nimempenda Sana mgeni dada shena
❤❤❤
Maswsla ya charity siyo kwamba watu wamekuwa wagumu kutoa, zamani watu walikuwa wakitoa sana lakini hao wa chsrity wanajinenepesha wao na wakwao. Sasa wengi wamekata tamaa maana nyingi haziwafikii walengwa. Mimi binafsi kuliko nitoe chochote kwenye charity bora nimsaidie niliyemkuta njiani akiwa na shida, au ninayemfahamu shida zake kwa nikazitatua kwa njia hiyo.
Nimekusoma unayoyasema ni maneno mazima na kila mtu na mapenzi yake kwenye kusaisiya ,Mola alete kheri zake Ameen
Woow darasa zuri kwelikweli
Naam!jipende-kua na love story yako mwenyewe hata akija mtu kutaka mahusiano atakukuta unajielewa
HII NDIO TAFAUTI YA WAZANZIBARI NA WATANGANYIKA. LUGHA PEKE YAKE INAJIELEZA, IS A PURE SWAHILI AND ENGLISH LAGUAGES👀!
We nae embu tutolee unzanzibar na utanganyajika uko…
I second you on this!! English top notch, great kiswahili
Mlete mzanzibar anae ishi Zanzibar uje utupe ki English chako cha market kua markiti
@@salmabasil385 please calm down
Waafrica tukijibagua sio ubaguzi ila ila mzungu akiwabagua mnaandamana.. I always think this mentality is personal issue.
Na ubaguzi uko popote.
Uzuri mzee wetu alituweza watanzanzania tokea mwanzo na akajua akili za kibinadamu na Ile Ile principle ya Mungu ya Lugha kutuunganisha na yeye aliitumia Kubomoa hayo matabaka maana labda tungepigana sana😢😢😢
Kutoka kwenye urafiki kuwa wapenz na wanandoa ili muweze kutobowa inabidi msibadilishe kitu chochote wala msibadilike mbaki na vitu vyote 3 urafiki mapenz na ndoa piya mbaya zaidi ni ngmu sana kuvuka hapo ndiyomaana marafiki wengi wakiingia kwenye mausinao na marafiki zao wale mabest sana uwa wanaishia kupoteza na kuwa maadui wakubwa
Allah kareem 🙏🏾 wakati utaleta wajibu InshaAllah kheir
Ahahaahhaah hapa Uk ukiingia tu kutoka Tz unadakwa na kutangaziwa ndoa Sharp na wa Tz wenzako😂 before hujachangamka watakutangazia ndoa so wenyeji wako ulipofikia km hawajakusanua unendaaa....namaranyingi ndoa hazidumugu becouse c waliowana bila kujuana
Neno nalo
Kumbeeee
Zanzibar sis nchi Ni kisiwa the means of Tanzania 🇹🇿 the name came from Zanzibar as well
Hata UK-United Kingdom ni kisiwa na kina nchi 4 na bendera zake- na ukieleza unaeleza kuwa ni nchi nne zimeungana hali kadhalika Zanzibar ni muungano na Tanganyika-Tanzania bado ni kisiwa kilicho na bendera na raisi wake
@@kshamte9582 dada etu msomi wa Kenya atakua kaelewa kuwa yeye ni Mtanzania aliyezaliwa Zanzibar 😉, sababu kwenye maelezo alieleza wakenya wanajulikana kama wasomi so vitu vidogo kama hivi visiwasumbue kabisa right?
Shida!mie ni Mzanzibari niliyezaliwa Kenya na wazanzibari pia ni wasomi ni kuwa tu hawajulikani sana
@@kshamte9582Tena wingi Kuna Wazanzibar wasomi na wamefanya Mambo Makubwa Duniani sema wapo low key
Kwahiyo Japan, Malaysia, Madagascar na visiwa vyengine si kwasababu ni visiwa?
Mpemba fyoko amenifurahisha sana
❤❤❤❤❤❤❤