WANAWAKE WANAOLEWA WAKIWA BIKRA | WANAWIVU SANA UNAOPELEKEA HATA KUUA|NCHI NDOGO ZA ULAYA ZINA FURSA

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 11 เม.ย. 2024
  • Henry ameeleza Safari yake kutoka Tanzania mpaka Azerbaijan ambapo kilichompeleka ni masomo..
    Ameeleza maisha ya Azerbaijan na fursa zinazopatokana huko, na namna mahusiano yalivyo kwa watu wa huko.
    Yeye alifocus zaidi kwenye nchi ndogo ndogo akiamini ndio zenye fursa nzuri zisizo na ushindani mwingi.
    Thank you Henry for allowing this to be online
    www.oda.international

ความคิดเห็น • 100

  • @OfficialDatingAssistance
    @OfficialDatingAssistance  3 หลายเดือนก่อน +10

    Instagram yake ni Henry Victor Boniface

  • @OlyUpowerfuljesus
    @OlyUpowerfuljesus 3 หลายเดือนก่อน +14

    Please viewers don't forget to like. Huyu dada ana content nzr zinatupa upeo wa maisha

    • @OfficialDatingAssistance
      @OfficialDatingAssistance  3 หลายเดือนก่อน

      Shukran for reminding 🙏
      Watu wachoyo kweli 😁

    • @nicekweba9920
      @nicekweba9920 3 หลายเดือนก่อน

      Watu wachoyo sana jaman

    • @user-wx9or8rw4n
      @user-wx9or8rw4n 3 หลายเดือนก่อน

      ❤❤❤❤❤❤❤❤❤​@@OfficialDatingAssistance

    • @getrudamatoto5277
      @getrudamatoto5277 3 หลายเดือนก่อน

      Da shena mbona App ya Bantu naambiwa unavailable nifanyeje

  • @user-rf4yq9yj7u
    @user-rf4yq9yj7u 3 หลายเดือนก่อน +6

    Kitu kitakachokufanya kutokubagua watu ni pale unapofikiria nyote mnavuta hewa moja na nyote mnatumia damu kuishi na nyote ni sawa mbele za mungu love u all ❤❤❤

  • @moa4122
    @moa4122 3 หลายเดือนก่อน +5

    Chakula cha Azerbajdzjan ni kitamu na kina Afya sana hasa ukenda kutembea vijijini na mashaallah ni watu wa kilimo.
    Matunda na mboga utakula hadi ukinai

  • @deusdeditsimba4452
    @deusdeditsimba4452 3 หลายเดือนก่อน +2

    Brother Henry Asante Sana nimekupata vizuri ,hiyo nchi nilikuwa naiskia Tu ,lakini sikujua Kiumbe watu wake NI Wazuri hivyo
    MUNGU akipenda ntaenda Holiday

  • @shamzone388
    @shamzone388 3 หลายเดือนก่อน +6

    Hiyo nchi inajulikana sana na huku gulf watu wengi wanakwenda kutembea na watu wao wazuri sana…

  • @user-rf4yq9yj7u
    @user-rf4yq9yj7u 3 หลายเดือนก่อน +4

    Napenda sana watu ambao hawabagui rangi dini kabila may god bless u all ❤

  • @AmosMwakasusa
    @AmosMwakasusa 3 หลายเดือนก่อน +1

    Bro nimekupenda kwa jitianda zako ktk kufuta maisha, pia nimepanda san jinsi unavyojituma kutafuta fursa za kusoma na kujituma kwako bila kukataa tamaa. utafufika mbali sana ktk elimu.

  • @ELIZABETH-uz6dv
    @ELIZABETH-uz6dv 2 หลายเดือนก่อน

    Mungu Akubariki sana my brother kwa kukututia Moyo💯🙏🙏🙏🙏

  • @mmasipeter4157
    @mmasipeter4157 3 หลายเดือนก่อน +3

    shena uko vzriiiiiiiiii sana aise daaaah unauliza maswali mazuri sana hadi rahaaaaeeeee namsimuliaji unampa nasi adi rahaaa.

  • @latahilehsein3749
    @latahilehsein3749 3 หลายเดือนก่อน +3

    Azbaijan It's a very beautiful place and its people are very friendly, and where you live, it's a bit like Baku, its people are a bit lively, but when you go to Azerbaijan, it's quiet, and when I'm in the village, I really like to go for a walk with my family

  • @MadinaMalk-yd6kp
    @MadinaMalk-yd6kp 3 หลายเดือนก่อน +4

    Nice interview da shena na kaka Henry 💐❤️❤️

  • @Janeth_Saukiwa
    @Janeth_Saukiwa 2 หลายเดือนก่อน

    Since nimeanza kufatilia Hii Page kwa kweli kuna mambo flan yamebadilika kwenye maisha yangu hususani kwenye mambo ya MAHUSIANO jamani nimepata kujitambua zaidi be blessed Sheina ❤

  • @jonfredkewe3451
    @jonfredkewe3451 3 หลายเดือนก่อน +1

    Jamani huyu sister Mungu ampe maisha marefu anaroho zuri ni hatari jaman umenikutanisha na wengi

  • @upendogreutert199
    @upendogreutert199 3 หลายเดือนก่อน +4

    Hawa watu ni wakitamaduni kweli kweli

  • @salmaabdallah1358
    @salmaabdallah1358 3 หลายเดือนก่อน +7

    Daa shena yani ramadhan imeisha na ushungi ushauwacha jamani kwani tunaabudu ramadhan ama tunamuabudu mungu ambae yupo daima kila siku.mungu atuongoze sote

    • @OfficialDatingAssistance
      @OfficialDatingAssistance  3 หลายเดือนก่อน +4

      Wewe ni mkamilifu wa Ramadan na baada ya Ramadan pia ? Au dini ni ushungi tu jamani ?

    • @salmaabdallah1358
      @salmaabdallah1358 3 หลายเดือนก่อน +2

      @@OfficialDatingAssistance Allah pekee ndio alokamilika,lakini shena dadangu ushungi sio katika sheria tuu bali pia huwa unakupendeza mashallah.

    • @daudsango4104
      @daudsango4104 3 หลายเดือนก่อน +4

      Mind your business Salma una mengi ya kujisaidia

    • @saidaamourali8590
      @saidaamourali8590 3 หลายเดือนก่อน +1

      😂😂 msimtishe kauliza vuzuri maana ni bora uendelee tu na maisha kama kawaida haina haja ya kumektia Allah kwa ramadhani kwani ukivaa shungi au ukibaki na maisha ya kawaida ambayo umetoka nayo kabla ya ramadhani yeye ndio anaeamua thamani ya funga yako. Sasa uliekti ndio maana umekutana hizi coments na maswali kwa huyo ungekuwa kawaida na hali yako ya mwanzo yasingekuja haya maana thamani ya funga au kukubaliwa kwa funga haamui mwanadamu

    • @Hawa-es9kn
      @Hawa-es9kn 3 หลายเดือนก่อน

      😂😂😂😂​@@daudsango4104

  • @banajuliana758
    @banajuliana758 3 หลายเดือนก่อน +6

    Hiyo ni kweli ata mimi niliolewa nikiwa bikra jwahiyo nikishindwa kumuina mme wangu anatongoza mke mwengine ikanifanya ni muache

  • @Desireyakubu
    @Desireyakubu 3 หลายเดือนก่อน +2

    Azerbaijan sio inchi ndogo ni inchi imeendelea ki uchumi na kijeshi hata juzijuzi wamepigana na Armenia wakaishinda

  • @klaussteiner94
    @klaussteiner94 3 หลายเดือนก่อน +5

    Sahivi mwamba brother victor Henry ametusanua sasa tunatembea na hashtags#twendeazerbaijan#

    • @OfficialDatingAssistance
      @OfficialDatingAssistance  3 หลายเดือนก่อน

      😁😁

    • @henryvictor1207
      @henryvictor1207 3 หลายเดือนก่อน +3

      Kwa kweli mje tuwe wengi

    • @klaussteiner94
      @klaussteiner94 3 หลายเดือนก่อน +2

      @@henryvictor1207 kabisa brother victor, asante sana kwa kutusanua blessed always kaka mkubwa

    • @faridaclara3119
      @faridaclara3119 3 หลายเดือนก่อน

      ​@@henryvictor1207hello bro henry

    • @sekikigosi8265
      @sekikigosi8265 3 หลายเดือนก่อน +2

      Hiyo nchi ndio kwanza nimeisikia leo nimeshare link kwa watu mbalimbali inaonekana ni nzuri na msimuliaji kweli tumempata,dogo hongera unajua sana kusimulia ni kama nimeshafika😂

  • @willsonsamwel1158
    @willsonsamwel1158 3 หลายเดือนก่อน

    ❤❤nimeipenda hongera hakuna kukata tamaa hiyo nzuri

  • @jooepaullas791
    @jooepaullas791 3 หลายเดือนก่อน +3

    Best interview

  • @anisiamchembe6552
    @anisiamchembe6552 3 หลายเดือนก่อน

    Ni kweli kabisa!!

  • @christiankambuga9338
    @christiankambuga9338 3 หลายเดือนก่อน

    Safi sana kaka karibu Sana Captown South Africa pia pia siku1

  • @user-iz9ci4rs3d
    @user-iz9ci4rs3d 3 หลายเดือนก่อน

    Tunashukuru sana kwa Elimu hii 🎉🎉🎉🎉

  • @CamillahDidah
    @CamillahDidah 3 หลายเดือนก่อน +1

  • @kazigembeleke5958
    @kazigembeleke5958 3 หลายเดือนก่อน +1

    Hujajibu vizuri swali la Shena, ungesema tu hapo ndipo umepapata ila natumai baadae hata wewe utafika hizo nchi kubwa ila isiwe kisingizio kufundisha English, sasa tusojua kingereza tubakie wapi!

  • @neemaseiler1122
    @neemaseiler1122 3 หลายเดือนก่อน

    Madini mengi,asante

  • @evampuya-mp9vf
    @evampuya-mp9vf 3 หลายเดือนก่อน

    Kijana ameelezea vzr jamani nitashea hii interview na bint yangu yaani alishakata tamaa kbs asante saana shena barikiwa saana

  • @DoreenMwanga-dg7xp
    @DoreenMwanga-dg7xp 3 หลายเดือนก่อน

    Shena naomba basi utuletee hawa ambae yupo Germany anapatikana TikTok sana sana

  • @kadhyanassor5046
    @kadhyanassor5046 2 หลายเดือนก่อน

    Mbona wa gulf ndo wengi wanaenda huko ni nchi ndogo na watu wake wastaarabu..

  • @amoskagika8884
    @amoskagika8884 3 หลายเดือนก่อน

    Me ni mfuatiliaji wa michezo. Nimeijua Azerbaijian kupitia football hasa final ya Europa League ya mwaka 2019 Kati ya Chelsea na Arsenal mji mkuu Baku, lakin pia ni waliwahi kuwa wadhamini wa club ya Atletico Madrid mbele ya jezi zao kulikuwa na neno Azerbaijan

  • @upendogreutert199
    @upendogreutert199 3 หลายเดือนก่อน +1

    Ni deal kivipi jamani leo nimechelewa live imenipita

  • @vero57
    @vero57 3 หลายเดือนก่อน +1

    Nimechelewa live

  • @gwantwamwalyaje8515
    @gwantwamwalyaje8515 2 หลายเดือนก่อน

    Na Mimi Nime Wapata Mko Powa

  • @moa4122
    @moa4122 3 หลายเดือนก่อน

    Mbona waemarati wengi na waomani wanapenda kutalii azerbajdzjan . Azerbajdzjan ni nchi ya watalii sana na kuna fursa kubwa ya biashara kwa kampuni mbali mbali. Na walipofanya euro vision song contens ndio wamejipatia umaarufu sana

  • @jamilajamal1584
    @jamilajamal1584 3 หลายเดือนก่อน

    Mmmh🏃🏻🏃🏻🏃🏻

  • @liannsambu7264
    @liannsambu7264 3 หลายเดือนก่อน

    But ata kwa wadada mbona inawezekana kwa wadada wa kiafrica maana wengi ni waaminifi 💯💯💯💯💯

  • @liannsambu7264
    @liannsambu7264 3 หลายเดือนก่อน

    Nimependa culture yao maana ni waaminifu , DO MAPENZI YANAWEZA KUWA HUKO NA ZAIDI NAONA BAADHI YA VIGU MBONA KAMA INAFANANA NA BAADHI YA TAMADUNI ZA KIAFRICA

  • @devothasimbi6495
    @devothasimbi6495 3 หลายเดือนก่อน +3

    Ameongea ukweli nimempenda

    • @joyceKingu
      @joyceKingu 3 หลายเดือนก่อน +1

      This is a very brilliant young man

    • @joyceKingu
      @joyceKingu 3 หลายเดือนก่อน +1

      I wish you the best. Umetusaidia Nawaz ya maana. Vijana zingatieni.

  • @carolineoyieko4791
    @carolineoyieko4791 3 หลายเดือนก่อน

    Dada naomba nbr ya huyu kaka,nione vile naweza wasaidia hawa watoto ninao walea,wamemaliza shule lakini vile niwasaidie wapate kazi,mimi ndie kama mamayao

  • @mwanaidikingazi4222
    @mwanaidikingazi4222 3 หลายเดือนก่อน +1

    Shena leo umepatikana nchi inajina gumu 😂😂😂

  • @AbdullahamanSadala-iu6xf
    @AbdullahamanSadala-iu6xf 3 หลายเดือนก่อน

    Mama naomba unipe namba ya huyo jamaa kwa ajili ya mwanangu

  • @tradamus4158
    @tradamus4158 3 หลายเดือนก่อน +1

    Tutafutie mtanzania anaeishi nchi ya Siberia mji yakutsk tupate experience yahuko maana nasikia Kuna baridi sio poa ukizubaa nje daika kadhaa tu unaganda unakua kajiwe frani hivi kabarafu 😂😅

    • @jaffjeff6912
      @jaffjeff6912 3 หลายเดือนก่อน

      Unamaanisha Sebia au

  • @mackjr5291
    @mackjr5291 3 หลายเดือนก่อน

    Naomba tupate mawasiliano yake

  • @upendogreutert199
    @upendogreutert199 3 หลายเดือนก่อน +2

    SO binti Ukiwa huna BIKRA jipangeni kwa nchi hii 😂😅

    • @henryvictor1207
      @henryvictor1207 3 หลายเดือนก่อน +1

      Huku ni rahisi kumkuta mdada wa 35 years na bado hajaguswa, yaani mpaka ndoa aguswe😅😅😅

    • @user-iz9ci4rs3d
      @user-iz9ci4rs3d 3 หลายเดือนก่อน

      Wako vinzur sana 😂😂😂😂

    • @mackjr5291
      @mackjr5291 3 หลายเดือนก่อน

      ​@@henryvictor1207habari kaka, naomba mawasiliano yako email

  • @moa4122
    @moa4122 3 หลายเดือนก่อน

    Kutambea kwingi kuona mengi

  • @artuarnold1371
    @artuarnold1371 3 หลายเดือนก่อน

    Ameongea vizuri sana ila apo pakusema kwamba alimpa mwanamke ela bure bure katudanganya wanaume tunajijua sisi

    • @OfficialDatingAssistance
      @OfficialDatingAssistance  3 หลายเดือนก่อน +1

      Tabia yako haiwezi kua ya mwingine.. kila mtu na utu wake 🤷‍♀️

  • @rehemadaudi4390
    @rehemadaudi4390 3 หลายเดือนก่อน

    Hao ni wanyaturu kabisa

  • @lucaslyaruu8244
    @lucaslyaruu8244 3 หลายเดือนก่อน

    Kwa kuwa huko hawatumii lugha ya kiingereza, ili muweze kuwasiliana inabidi kujifunza lugha kwanza au inakuwaje?

    • @neemaseiler1122
      @neemaseiler1122 3 หลายเดือนก่อน

      Sio lazima,masomo ni kwa kiingereza

  • @nashonikazabukeye5259
    @nashonikazabukeye5259 3 หลายเดือนก่อน

    Niunganishe na hyo muabazajan nimuoee kama ana weza kuja kuisha Tanzania

  • @ibrahimmarwa2638
    @ibrahimmarwa2638 3 หลายเดือนก่อน

    Wana wivu kama nyegere 😂😂

  • @thobiasntobi363
    @thobiasntobi363 2 หลายเดือนก่อน

    Story zako zinakwama kwama. Hadi ina boa kujufatilia

    • @OfficialDatingAssistance
      @OfficialDatingAssistance  2 หลายเดือนก่อน

      Pole
      Mbona hiyo video haikwami au internet yako ? Video iliyokwama ni moja tu mpaka sasa 😁

  • @klaussteiner94
    @klaussteiner94 3 หลายเดือนก่อน +1

    Yaliyomoyamo?kwamkapa hatoki mtu?🤣🤣🤣🤣

  • @Juke995
    @Juke995 3 หลายเดือนก่อน +1

    Kaka ni very intelligent ongea yake tu ni unaona he's a brilliant guy 🙌 sio wale waswahil ulaya wanachamba kama susy bale😢....hiyo nchi haina tofauti n uturuki 🙌 wabongo hawaiwezi watauliwa sana 😂

  • @masomekitwala3758
    @masomekitwala3758 2 หลายเดือนก่อน

    Unaakili sn ww kaka,mpaka huyo dada anaekuhoji anakutaman,bahati mbaya ameolewa

    • @OfficialDatingAssistance
      @OfficialDatingAssistance  2 หลายเดือนก่อน +2

      Kumekucha 😳🤣

    • @sophiakassim6784
      @sophiakassim6784 หลายเดือนก่อน

      😂😂 ila wabongo 🙌🙌

    • @LinahRwambali
      @LinahRwambali หลายเดือนก่อน

      Duh comment imenchekesha sana hii

    • @maryammrembe345
      @maryammrembe345 7 วันที่ผ่านมา

      Kheee😅😂

    • @LinahRwambali
      @LinahRwambali 7 วันที่ผ่านมา +1

      @@masomekitwala3758 duuuh msiusemee moyo, vipi mumewe akiona iyo comment? Wabongo tunapenda sana matani, tupunguze masihara mengine jamaniii

  • @bindawood978
    @bindawood978 3 หลายเดือนก่อน

    Mahojiano mazuri sana nimepata faida

  • @kazigembeleke5958
    @kazigembeleke5958 3 หลายเดือนก่อน

    Ila huyu bro kamchoma bongo zozo!

  • @mohrecaps
    @mohrecaps 3 หลายเดือนก่อน

    Sasa wewe ulikuwa unatafuta nini huko Mamba dating sites

  • @zurfapahenge8802
    @zurfapahenge8802 3 หลายเดือนก่อน