WAZUNGU WANAPENDA KUKUHAMISHIA STRESS NA NDIO ZILISABABISHA TUTENGANE NA MWENZA WANGU
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 24 ต.ค. 2023
- Francis anaishi Ujerumani ameeleza safari yake ya mahusiano kuanzia kukutana na mwenza wake mpaka kufikishana Ujerumani.
Ni Baba wa watoto wawili lakini anakwambia Stress zilipelekea kutengana.
Maisha ya kutafuta wazungu na maisha ya Ujerumani ambayo ameyaelezea kwa kina.
Thank you Francis for allowing this to be online
www.oda.international
yaani shena hii interview imenipa raha sana ,yaani huu ndo uhalisia tunahitaji experience tofauti kama hizi pia.yaani nimecheka sana aiseee
Huyu jamaa yuko interesting, natamani ungembana maswali mengi kuhusu changamoto za mahusiano atuelezee kwa kina. Ila hiyo ya kufukuzwa na mjerumani kipindi cha Winter is very common.
Hakiy
Hii interview yakibabe sana yaan nimecheka mwanzo hadi mwisho safi saaana tuletee watu dada tunafurahia na tunaelimika pia
Nikiripoti kutoka italy mm ni mark mushi wa italy uyu brother francis.amenifuraisha sana mcheshi.na iyo style yake ya kila dakika si unajua...siunajua!
Very interesting story nmempenda kaka France anasisitiza kufanya kazi kwa bidii na hasa kwa watakaopata opportunity ya kwenda kuishi ugaibuni yaani najiona kama npo na kakaangu ananipa story za maisha ya ugaibuni very interesting
Very good interview, nimependa utofauti wa hii story, imeeleza upande mwingine wa namna watu wanavyokutana na wazungu in Tz, na ikiwa watakuja kuishi nje then ameeleza upande mwingine wa life na wazungu.
Point nyingi sana, mengi ya kujifunza, ila nimecheka sana maisha ni safari 😂😂😂😂
Kila la kheri kaka Mungu akukuzie watoto, InshaAllah.Nimependa sana kufika tu ukaamua kupiga shule, hongera sana.Pole kwa kuugua kaka, baridi imeanza Europe mafua na vifua mwanzo mwisho.Get well soon.
Nimefurahi sana dada @Shena 😂unafanya kazi nzuri sanaa 🔥
Kuna maisha unaweza kuyatamani lakini mwisho wake ni changamoto sana,nyumbani ni nyumbani TU kuna uhuru sana na ndoa zetu za kiafrika Zina unafuu
Jamaa kanikumbusha bali 😅 struggles za beach 😅😅😅shena napenda ulivyo makini kusikiliza😁
Hongera michomoko yako ni zaid ya kimondo na pia pole na mafua ila punguza viongeza sitmu vimezidi. Frani nn si unajua zingatia
Jamaa yupo vizuri 😂😂😂😂😂he made my day ila wabongo mungu anawaona😅😅😅😅 dada shena cc wa Oman 🇴🇲 hututaki ila tunakupenda
😂😂huku sio ulaya 😂😂
Watching from Switzerland 🇨🇭
Dah kaka kanikumbusha mbali kwa wale marasta dah kipepeo bia bei mbaya tunaenda tukirudi tushalewa tunasev 😂😂😂😂😂😂😂😂
Napenda video zako sana. I’m learning a lot from watching them.
Glad to hear that 🙏🙏
Toka ujerumani nawasikiliza😊
Shena utaniua nimecheka hapo kwenye Elfu 10 inaning'inia🤗
😂😂😂 huyu kweli kigamboni moja
Aisee the struggle is real 😂
Eti na kazi hapa,maisha haya
Yesu tusaidie
Kumbe sio wadada tu hata wakaka wanapambana
Safiii
leo storry inafuraisha sanaaaaa
Yuko vzr Sanaa unajua vitu vya ukwelii havinaga kuchosha
Kazi kwa Huku ni Zaidi ya mume na mke mengine ndiyo yanafuata mimi nipo Germany
Pia kuhusu Stress ni 100% true yaani wana hiyo Tabia sana kugawia watu stess zao yaani hata akikuona kama unapoga simu na watu wa nyumbani alf unaongea kiswahili na unacheka alf yeye ana stress ni hatari😊
Mm naitwa Mohamed natokea nchi Oman napenda kusikiliza maujuano Manzuri sana na yanafundisha sana kweli hongera 😊❤❤😂😂😂😂
👌
@@shenjamamzingi7950jamaa anazungumza ukweli kabisa pole sana kweli my bro MC kabobo elimu nzuri kabisa big up sana kweli my bro
Ya Leo nzuri nimeipenda 😅😅😅😅😅 msela kama msela 😅😅😅😂😂😂
Jamaa safii sana
Hongera kijana unaakili sana
Nimempenda bure
Madimples kuruka😊the narration style is the most interesting part😂😂
Jamn uyu kaka amenichesha shenzii zakoo 🤣🤣🤣
Mmjerumany anaiwaza sana pesa yuko radhi afe pesa irudi kwa serikali
Yaani jamanii nimechekaa huyu kaka amenipa raha,khaaa,very interesting story
Hahaaa nimecheka kwa Sauti shena leo Mgeni amechangamka kweli
Napenda anavyosema kwa wazungu hapa.
Yani...Nimekupenda Kaka Umetupa Ujumbe Mzito
Nataka kuandika ninaogopa, mimi ni Mtanzania na nilikua na ishi na Mtanzania na tumetengana, maisha ya hapa bila kusaidiana hayaendi, useme kiafrika afrika mwanamke afanye kila kitu,
Hii interview nimeipenda
Hiyo ya kukugawia stress ni kweli kabisa😅😅😅yani wana stress sana, hawajui kujicontrol
Hiyo ni tabia ya wajerumany wanajipa stress za kifala sana
@@priscambwambo1030 🤣🤣🤣sana yani, tatizo pia ukiwa huishi katika kumjua Mungu unakuwa huna kabisa tumaini, kitu kidogo kinakuvuruga... kuishi nao inataka uwe sawasawa kiakili😅😅😅😅
Haha nyie baba wawili anachekesha sana
Kaka uko sawa,
Story nzuri bro mc kabobo 😂😂😂😂🤣😅😅🤣
Jamaa katisha😂😂😂
Habibt shena Nacheka tu hapa Nondoooooo
interview imenipa furaha jamaa yuko wazi kijiwe nakijuwa sana icho pale kigambon
Kwamba na ww ushatia maguu pale😂😂😂😂
Nimecheka 😂 interview nzur kaka mcheshi ❤
Mwamba is very charming👊✊
dada shena tunaomba siku uzungumzie process za kusafiri baada ya kufunga ndoa na watu wa ughibuni.wengi wamekua wana stuck baada ya kufunga ndoa hawajui wapi waanzie
Nitumie full mail adress yako nikupe njia zote unazotakiwa wwna mwenzawako mfanye kuwakilisha hizo documents ubalozi husika.
Fungia tu huko uliko
Kaka Anapeng'a kimtindo🤧😆
Kaka unaonekana unakunywa sanaa.😂😂
💯 na apunguze kuvuta majani.
Muache tu ndugu stress za ulaya , ulaya mume wako au mke wako aziii yako ni number moja. Mme mtu anakuwa spare tu
This man is so funny 😂 ❤jokes
Yaan leo nimecheka sana kiukweli
Wajerumani noma
Upo...Hambo Kaka Angu
Daah yaani story ya huyu kaka umenichekesha sana😂😂😂
Yani unapiga pombe mpaka shetani anakuogopa
sawa baharia kwelii hio stant zenyewe japo kwa rasta nilikua naogopa sana kupandisha juu nembo mjani
Kaka namependa stori umeongea ukweli
Wazungu Wazungu tuko nao huku jamani unatakiwa kuwaelewa
🔥🔥🔥🔥🔥
au zama keepleft nakusoma sana na casino palee skani
Ila air port yetu mmmh
Kila mtu ana malalamiko ya hiyo airport, serikali inatakiwa kuliangalia swala hili
Yaaani huyu kaka nishidaaa
Ulema ukweli Airport ya bongo wanazingua sana
Mwanamke alipigwa na kitu kizito.
Ila huyu kaka anachekesha😂😂
Eti ule ht mate washikaji wajue wa kwako.
Chakula tu na bia ,hela imeisha 😂😂 nimecheka jmn
Nimecheka tuhakikishe kama wako
Sema unajuanini kaka tumemuelewa sana achukue mauwa yake😅😅😅😅😅
The guy his funny
Nimechekaa,eti Mamba😂😂😂😂😂😂
Hiyo ya kuokota hela imenikumbusha mbali baba watoto kunasiku alikwama mahali hana hata sent moja, ananjaa gari imeisha mafuta na ni kipindi cha baridi , akashuka kwenye gari akawa anazungukazunguka , mara mbele yake akaona kitu cha kijani mbele yake mara pa Euro 100 , akasema hiyo siku ndio aliamini Mungu yupo.
Unaweza bahatika siku ukaokota kaka Ayangu😂
Shena story zako sjui unaweka nn aseee nikianza sikiliza lazma nisinzie jmn😂zinabembeleza
interview unacheka mwanzo mwisho 🤣🤣🤣
Toka Italia 🇮🇹 nawasikiliza
Hongera sana kweli
Kwa nn alienda na cheti cha kuzaliwa airport? Passport na viza basi tosha
Kaka hawa raha yao unakuwa tu na kiu chako cha kiafrka pembena unakula raha nacho maana ujinga mtupu na hawa watu. 😂😂😂😂😂😂
😂😂😂et night spirt
Huyu kaka anavituko nimecheka sana
Kaka unatoa siri za kambi
Sijaelewa kitu. Mtu huweza kukatiwa ticket ya ndege kwenda nje bila kutumia passport?
huy jamaa anaishi maeneo gani Germany
Iyo ya waturuki ni mwaka gan maana mrad wa dege umessimamama muda
Nadhani hadi kazi yako ya Bongo uliikumbuka bro Wajerumany wanakupa stress na zisizo za lazima . Wanaboa sana . Na kupa stress anataka usiwe na furaha kaka unasema ukweli kabisa hakuna mttu mwenye mjerumany pasta kichwa japo Nina mume mjerumany namkimbza akiniletea upuuzi .stress wamezaliwa nazo
Prisca naomba interview, manake sio kwa ungangari huo +4367764790884
😂😂😂
mbona km mtumia madawa ya kulevya
😅😅😅😅
😂😂😂😂.
😂😂😂😂😂😂
😂😂😂😂
Hahahah 😅
Industry 😂😂😂
Yani kwa jinsi ninavyopenda story najihisi nipo na nyie hapo, Nimejikuta nacheka kwa sauti, hongereni kwa mahojiano mazuri pia kwa muda wenu.
Boring
Dada unatureteya magiga yavuta makamasi bereya wantu hayana marezi kawa u2afuze yadupa gicyefucyefu
Wewe unamalezi? au unajiona umetimia heshimu hisia za mtu!
Jua kuandika kwanza😂
nenda kajifunze kwanza kusoma na kuandika.
acha ujinga nnimefanya hii kipindi nikiwa naumwa.. endelea kupata msoto wenzako tunaishi, ningekutukatana ila naheshimu kazi ya dada shena
nimekuzidi kila kitu, kielimu mpaka kiuchumu.. mi nafanya PHD sasa hivi wewe una nini darasa la saba
beach boy nimempenda
😂😂
😂😂
😂😂😂😂😂😂
😂😂😂