MBUTANANGA |WATANZANIA WA UINGEREZA WANASHARE MAPENZI| NILIJUA NI MUME KUMBE ALIKUA NA MIPANGO YAKE
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 22 เม.ย. 2024
- Mbutananga ameeleza Safari ya maisha yake kutokea kua house girl mpaka kua mcheza muziki ambao muziki ulimfikisha UK kwa mara ya kwanza
Kwasasa anazaidi ya miaka 35 Ulaya, na anamiliki maduka na ametoa ajira nchini Uingereza.
Ameeleza Safari yake ya mahusiano na changamoto alizokutana nazo, Umaarufu wake ulipoanzia na ametoa darasa kwa vijana kujituma kutafuta pesa.
Thank you Mbutananga for allowing this to be online
www.oda.international
Hii interview uirudie imekatakata sana
🙏🙏🥰🥰
Nakubali nimeshindwa kuifuatilia kwa sababu hiyo
P😅 people ❤ clothes on IMVU Ohio and 😊😅ß g😢 case w.xx All Qqqqqppppppqqppp@@Judy-dy4zt
Nimempenda huyu dada❤moyo wake mzuri umemponza maskini wanaume wetu hawaaminiki hata kidogo japo naamini waaminifu wapo japo sijakutana nao. God bless you Mbuta
Yaani Hongera sana mbutananga uko vizuri sana una roho nzuri
Iam addicted to this channel 😘😘
You have a problem
Why?
Mchaga Mungu moyoni,akili kichwani,pesa mfukoni,kipaumbele kazi,mume anakuja mwenyewe,mbutananga pole na hongera.bikiramaria mbele.
Huyu dada hajui anakotoka na anakokwenda na story yake! Hivyo akajipange upya na mipango yake, ndipo arudi tena na Story mpya, siyo hii! Inaonekana hana mipangilio mazuri ya njia zake. Tumemsikiliza na hatukupata chochote, tulichopata, ni kuwa yeye ni nanihii! Hatukuelewi mpendwa wetu! Hongera kwa mafanikio yako….
Yaani nilivyosikia jina la mbutananga nikamkumbuka mange na Story zake,jamani mbona ni mmama mwenye hekima na mpole,tena mpambanaji mwenyewe, nimempenda mnooo
Mange ni mtu mbaya sana yaani kakuaribia reputation yako sana kwa mitusi yake 😢 dada wa watu ni very clever tena anajitambua hasa. Hongera mbutananga kwa maendeleo yako ya kibiashara huko London ❤
Mange ni wivu unamsumbwa na kuchafua reputation ya wliyo nje ugaibuni .
Mbutananga! Shena umeamua kufukua ya zamani umempata Gigimoney wa zamani🎉
I see me on her story, wanawake wapambanaji hawajawahi kubahatika kwenye mahusiano,,and God has blinded loose men.. ujanja wowote unaofanyika ni suala la muda utajulikana na kurudi ulikotoka,, big up na tumejifunza pakubwa, mwenyezi mungu ampe shifaa mama ako...
Hongera sana dada happy birthday Mungu akutunze🎂🍷🍾🎉🎉❤❤❤❤
Chagga girl from Kilema to the world. Mpambanaji sana hongera.
Hongera sana dada uko vizuri. ... Mchagga halali bwana mpaka kieleweke. Nikimaanisha ni WASAKA TONGE KWELI KWELI.... mimi mchagga wa Marangu.
Interview zako ni nzr zinatufungua tatizo sauti na picha siyo guarity sometime, au cm yangu cjui
Mbutananga nimekupenda bure❤
Nzuri sana
Ubarikiwe Shena,
Tunajifunza mengi..
Happy birthday to you my dear 🎉🎉🎉🎂🎁🌹♥️
Ila mara zote wenye moyo mzuri ndio Mungu huwabarik zaidi na zaid yan ule moyo wao wa kutoa hujikuta wanapata zaid 😊😊😊
Mungu awabariki watoaji wote na happy birthday flora 🎉🎂🎂🎈❤
Allah barik flora lymo ( mbutananga)❤
Unastaili kubarikiwa zaidi maana una moyo wa kutoa kirahisi. Mungu atakuzidishia mara dufu. Nimekukubali dada.
Hakika mungu akutangulie
Happy birthday Mbutananga
Nimekupenda dada yangu
Love you dada Mbutananga❤❤
Enjoy your special day baby girl,life is too short..happy Birthday and thanks for sharing your story❤❤❤
Kiukweli wanaume waki Africa wengi wao hiyo ndiyo tabia yao qapo kqa àjili ya maslah na ndiyo maana kinachotakiwa katika mahusiano usimhidumie mwanaume hata kama una kipato kikubwa zaizi yake huwa hawana shukrani tena hawajali kabisa maumivu yako,
Jamani huondo hatujaufaidi mtandao hujatulia very sad
Siku nyingi sijakuona mbuta, Happy birthday 🎂 🍹💐🍾🍺🥂🌺🥳🎂🎊🎊🎊🎊🎊🎊🎊🎊🎊🎊
The Mbutananga herself ❤
I love you so much sis Mbutananga you are a powerful woman! I have learnt alot today
Kipindi kizuri sana, ingawa Internet ilikuwa inasumbua na kukata kata❤❤❤❤❤
Happybirthday dada maish marefu yenye baraka💜💙
Nafurahi kuona channel inakua mungu akufikishe mbali da shena
Nimekupenda jamani mdada happy birthday❤
Nice interview da shena na da mbutananga💐🥰🥰❤️
Ila Mbutananga ana drama 🤣🤣😂😂😂😂😂😂kaona aweke mapulizo Yani huyu Ni Comedian 😂😂😂😂😂😂😂😂
Jamani ni birthday yake
@@omary909 drama tu humjui vizur kumbe 🤣🤣🤣🤣🤣🤣hapo alisahau wine 🍷 na picha za bikira Maria tuombee Neema 🫣, huwa nampenda lkn yani nkiona post zake napita nacheka sana
😂😂😂😂😂
Waaume wa bongo dio walivyo. Umefanya vizuri.
Waaaiiii ,mchaga gani wewe bana ,wanaume wanakutapeli, watu wanakutaka kwa documents tu , una skili ya biashara sema mapenzi zero .pole. muombe mungu akupatie wa ukweli
Dont judge my dear
Happy birthday 🎉 story nzuri
Da shena mambo naomba utuletee wale mastaa wa Zaman waliohamia ughaibuni tupate kujua maisha yao ya sasa yakoje na familia zao
InshaAllah
@@OfficialDatingAssistancemambo vp... Alafu mbona story yake yule kaka haipo tena?
😅😅😅 mungu anakuzumu
@@OfficialDatingAssistance 😘
@@OlipBeautyCorner kwann 😅😅😅
Mbitananfa akunda sana
Ure roho nshå sana
MUNGU AKSAIJE
Happy birthday Buntananga.Njoo inbox nikupatie mtu mwema
Ni uchaguzi wa znz mwaka 1995, maalim sefu alilianzisha baada ya salmini amour kushinda
Dada Shena tuletee boss koku wa sweden
Waoooooo asante shena uliona comment yangu ya kumleta mbutanangaaaa 😅
Dada hayo mambo ya kuvu
nja vitu haisaidii unapopata tatizo kuwa mtulivu kwanza tafakali kabla ya kutenda unapokuwa na hasila jizuie
Huyu mtu mzima hivyo hajielewi hata kujieleza pia kama gari bovu enzi hizo kulikuwa hamna viza yoyote miaka hiyo 1990 ,95,96,97,98,,99 nakumbuka ilikuwa haina visa miaka hiyo tulikuwa tunakuja na kuondoka huyu dada ni mwingi funza anamuwaisha ndio maana niva alimpatia mpaka wameenda polisi hovyoo kabisa hajielewi kwanza alivyosema watu wanashea mabwana uk labda yeye kwa kungangania wanaume za watu sisi tuku huku wala hatu share hawo mabwana ni yeye huyo anapita kuhangaika na mabwana ili wamsaidie kutumia hela sababu. Hajielewi
Ongera ❤❤❤
Happy Birthday Florah
Wow lovely teachings
Pole sana, operation ya tonsils.
Mpora wangu amecheza kama Messi😂..Rudisha ile mbuzi kijijini..Well done Mchaga wangu mwenye maduka yake Mtaa wa mihela😂👏🏾
Happy birthday dadaa
Kwanza umependeza sana
Pole lakini lugha uliyotumia badilisha SIYO watanzania wote SEMA baadhi ya watanzania kwa sababu unatudharirisha wote ni hai uliowaona tu narudia Kuna watu wanajiheshimu na wanayo hofu ya MUNGU.
Mimi kichwa cha habari tu kimenitoa jasho mimi mwenyewe nipo uingereza mwaka 23 na mume wangu na watt ukiona hivo hao wote ni madunga embe kwani yy katulia si kuna mwaka mmoja huyu alianzisha bifu huko Tz na yule bongo movie Niva watu tunamzoom😅😅
Happy birthday 🎂 🥳
Happy birthday to you Florah 🎂 🎉❤
Pole,operesheni yako ya tonsils ulifanyiwa na wanafunzi madakatari..ndo zao wazungu
Kabla sijaanza hata kusikiliza nimeanza kucheka tuu mbuta wetuu jamani tulikumis😂
Mm nimekupenda bure
Nimefulahi sana hadi raha
nakupenda flora.
Dada yangu Flora lyimo
Hii interview hainogi kuna wakati haina sauti
Mambo Shena kwani yule kaka part 3 sijasikia Bwana, mtafute Bwana tuujue anaendelea na je alifika marekani?
Hio interview inaitwaje nami nifuatilie inaonekana ni nzuri
Ndugu yangu,, tupe mambo ..mchaga wangu
Da Flora mi mchapakazi kweli nikachukue Mimi Bwana , niajiri utafurahi
Na ungemshauri kwa nini hajafikiria ktumia dating app?
Nimependa jina kwa historia yako lazima mshangao
Dada mzuri Sana jamani,
Ameacha kuvaa michupi na kutupia picha mitandaoni?
Duuu dolla 300 😂😅 ama kweli uliliwa
Happy birthday da florah
Nalijia hilo duka hapa togo kinondoni vitu vyake ni og jaman hongera kwahilo
Flora ni mchati amazing 😂😂😂😂
Happy birthday,mawasiliano Jamani Dada
Safiiii
Shena we mstaarabu mnoo hongera sana
Shukran dear 🙏
Smhn DD Shena tangu mimefahami kipindi chako nimekipenda sn haafu pia nakufananisha na DD mmoja jmn yaani utafkiri ni Pacha wako
Huyo msukuma alikuloga jamani ,upendo sana unagarama
Huna visa wala passport lakini una ticket 😂 kali hio
Mbona kugoogle kichaga😅
Ilikatika sound
Hao watanzania wanaoshare mapenzi ni hao madunga embe tupo huku na heshima zetu na waume zetu na family zetu mpaka tushaozesha huku badilisheni kichwa cha habari hao wanaoshea ni hao madunga embe😢😢
DADA MBUTA NAMPENDA SANA AJIPENDA MPAMBANAJI
Umesahau na wewe ulivotoka uingereza kuenda Tanzania kuenda kuolewa na Niva ukamchafua mpaka Eshe Buheti tunakufatilia wewe dada ndio maana muna share wanaume wewe mwenyewe hukutulia au umesahau ukanunua mpaka pete ya uchumba wewe mwenyewe 😂😂😂
Naomba kaz dear maana napenda nije huko
Utapewaje ticket na pp huna, apo flo umetupiga
Hasikiki vzr Dada.
Hatusikuu
Sister samahani mimi nipo zangu arusha naomba unisadie websites zuri za kutafuta wa chumba wa USA
Sema nipo hapa UK Ila Sina mazoea ya kwenda kukutana na kila mbongo so hicho anachokiongea kwa kweli sikijui, na hata Sina mwenza mbongo pia.
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Hatusikiii
Jamani huyo ni jirani yng Klema naomba na yake ni miaka mingi imepita.
Huyu anakatika katika. Hasikiki
KILEMA NI KILEMA TUU SIO MARANGU NI MARANGU
Katika interview zote jaman hii network ya mbuta imetutoa raha ila tunataman kuisia vizur
😂😂😂😂eeh kuiba mume wa mtu tena?????
Shena rudia hii interview
How young are you my dear????🎉
Mbutananga Kama Kichaga vilee 😂
Mbutananga ni Mchaga wewe
Naelewa hili neno and I am chaga as well sikuwahi interview that nimeshangaa kidogo 😂
Ni kweli ni Chaga girl😅
Hongera sana mbuta and happy Birthday 🎂 kikubwa hakuna kukata tamaa