TUMEFUNGA NDOA NA NILINYIMWA VISA | NDANI YA MWEZI NATAMANI KUPIGA MAKELELE KAMA NILIECHANGANYIKIWA

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 27 ส.ค. 2023
  • Jacqueline Lasway, ametueleza namna alivyokutana na mume wake kupitia kaka yake.
    Alikua kwa daladala lisiloenda likaja la kuenda akachomoka nalo 😁.
    Ameeleza jinsi alivyonyimwa visa hali ya kua ameshafunga ndoa na baadae kufanikiwa kupata permit ndani ya siku moja tu.
    Baada ya kuwasili Finland alipata shida ya sonona kwasababu ya upweke uliopo Finland.
    Thank you Jacqueline for allowing this to be online
    www.Oda.international

ความคิดเห็น • 111

  • @damariszuckschwert9489
    @damariszuckschwert9489 11 หลายเดือนก่อน +11

    Huyo kaka yake nimempenda saana.,makaka wengine manyang'au ni kutoa wanaume mbio tu. Huyu anapeana connection 😅😅

    • @OfficialDatingAssistance
      @OfficialDatingAssistance  11 หลายเดือนก่อน +5

      Kaka katisha
      Tumpe maua yake kwakweli

    • @ashurajuma2024
      @ashurajuma2024 10 หลายเดือนก่อน

      Dada angu unaongoza vizuri kipindi chako ila jaribu kwenda na mataifa mengine mana Kuna watu wanachangamoto Huku za watu weupe watu wanateseka wengine uwape elimu ili wajue Nini wanataka

    • @neemamdami7466
      @neemamdami7466 4 หลายเดือนก่อน +1

      😂😂😂😂kaka wakishua huyu

  • @jacquelinelasway
    @jacquelinelasway 11 หลายเดือนก่อน +10

    Thank you Shena for inviting me na hongera kwa kazi njema unayoifanya pia kwaajili ya jamii yetu, ubarikiwe 🌹🙏🏼.

    • @user-vc7kb6ff6t
      @user-vc7kb6ff6t 11 หลายเดือนก่อน

      Karibu Finland dada,niko Smedsby niko na mwaka na nusu 😊.

    • @misschagga8042
      @misschagga8042 10 หลายเดือนก่อน +1

      Mambo jackline karibu finland mimi dada yako kutoka kaskazini pia nipo espoo ukipenda kunitafuta karibu.Pia karibu nikuunganishe na chama cha watanzania wanaoishi hapa ufini. mimi kama mjumbe nakualika unaweza kutafuta hicho chama huko mtandaoni na kupiga simu kuuliza zaidi.🙏🙏

    • @Paula-zo2ev
      @Paula-zo2ev 8 หลายเดือนก่อน

    • @upendombaga8715
      @upendombaga8715 8 หลายเดือนก่อน

      ​@@misschagga8042ģv😮😮😮😮😮😮

    • @graceruguru2918
      @graceruguru2918 7 หลายเดือนก่อน

      Nice video....My Dream country am headed to Finland early next year

  • @MK-mz8bz
    @MK-mz8bz 9 หลายเดือนก่อน +5

    Nyie mnaomponda acheni ushamba nyie mlitaka asiolewe na mzungu ili abaki tz kucheza vikoba vyenu vya kausha damu kama nyie sheeenzi

  • @isaacmusau5380
    @isaacmusau5380 12 วันที่ผ่านมา +1

    😂😂😂 nakufuatilia dadangu Mimi kakako Toka Kenya najipata tu nasikiza interview zako ni nzuri

  • @ReginaErnest-cf6ji
    @ReginaErnest-cf6ji 11 หลายเดือนก่อน

    Amazing story umetisha kinoma🙌

  • @zonko0488
    @zonko0488 5 หลายเดือนก่อน +1

    Ukiona hivyo jua hali ngumu sana kwetu.....hii aibu lakini tufanyeje The Center Can't Hold, Things Fall Apart.

  • @mariamtumwebaze389
    @mariamtumwebaze389 11 หลายเดือนก่อน +1

    Waaaaaaaaaaawwwwwww your story is very interesting ❤❤❤❤❤

  • @lilyjones3584
    @lilyjones3584 10 หลายเดือนก่อน +1

    Shena asante kwa kutuletea wadada na kutusimulia mapito yao kimaisha hadi kufika Ulaya au Marekani. Ila kwa mtazamo wangu bado kuna dhana ya kuona wazungu siyo watu wa kawaida! Yaani wadada wengi niliowasikiliza walidhani wazungu ni watu wa tofauti. Wazungu ni watu kama sisi, na hawapendi au inawakera kuitwa wazungu kama vile sisi tusivyopenda kuitwa majina ya kibaguzi. Tabia zao hazipishani na wanaume wengine. Haijalishi asili zao. Ushauri wangu ni kwamba jaribuni kuepuka utambulisho unaoashiria ubaguzi. Ni bora mkatumia utambulisho wa mataifa yao.

  • @aminajuma4743
    @aminajuma4743 10 หลายเดือนก่อน +2

    Dada the way anavyoongea anaonekana kabisaaa hana mkubwa yupo very simple 😅 alikua kwenye mahusiano ambazo haujui yanahusiana na nini😂😂😂

  • @katumabiyan5090
    @katumabiyan5090 2 หลายเดือนก่อน

    Mdogo wangu hongera kupata nafasi ya kuolewa. Pia nashukuru kaka yako kukusaidia kupata mume. Mungu akubaliki sana. Na pia dada shena hongera sana.

  • @annatemu4488
    @annatemu4488 9 หลายเดือนก่อน

    Interview amazing😊

  • @EpiphaniaMallya
    @EpiphaniaMallya 9 หลายเดือนก่อน

    Hongera sana Dada sway Mungu akupe maisha mazuri huko na shemeji yetu huyo

  • @omanhuawei8980
    @omanhuawei8980 11 หลายเดือนก่อน

    Nakupenda Sana dada sheli na naji funza mambo mengi sana

  • @kaupigwe
    @kaupigwe 4 หลายเดือนก่อน +1

    Lovely testimony

  • @deuskusaga8156
    @deuskusaga8156 10 หลายเดือนก่อน +1

    I like the way she narrating

  • @OnlyRuky
    @OnlyRuky 11 หลายเดือนก่อน +1

    Wawooooo very nice story and she's very beautiful

  • @mossesmasumai6168
    @mossesmasumai6168 10 หลายเดือนก่อน +2

    Huyu dada ni mimi kabisaa....visa yangu ilikuwa denied mara mbili ikabidi nishughulikie resident permit.. ila huo usumbufu wa maswali ya watu.. hee we siumeolewa mbona bado uko TZ huondoki.. jamaniii😂😂

    • @Paula-zo2ev
      @Paula-zo2ev 8 หลายเดือนก่อน

      Naweza kuuliza kitu

  • @suzanne9517
    @suzanne9517 10 หลายเดือนก่อน +1

    Dada yetu mtazania karibu Finland Hangera sana

  • @petermagaka547
    @petermagaka547 11 หลายเดือนก่อน +3

    Story tamu sana!
    Ahsante sana!
    God blass you!

  • @muhammedjuma8966
    @muhammedjuma8966 3 หลายเดือนก่อน

    Hongera shena tunajifunza sana kupitia harakat zako

  • @upendogreutert199
    @upendogreutert199 11 หลายเดือนก่อน +1

    Pole ndugu , hauko peke yako , tuko wengi siku kwanza yalinikuta hayo hayo sema tu ukiiuliza , ni Bora kuliko kujifanya unajua.

    • @esterkivaria8986
      @esterkivaria8986 4 หลายเดือนก่อน

      Kapata kaka mshua😅😅

  • @user-vc7kb6ff6t
    @user-vc7kb6ff6t 11 หลายเดือนก่อน +1

    Naomba connection na huyo dada mimi pia mgeni niko Finland tucheke wote nimempenda tu please

  • @annatemu4488
    @annatemu4488 9 หลายเดือนก่อน +1

    Yaani huyu ni mimi kabisa,hakuna kucheza mbali na geti ,nisijeachwa buree😂😂😂😂

  • @marthamlove1342
    @marthamlove1342 10 หลายเดือนก่อน +2

    Wow interview nzuri nimeipenda kumbe kuna process za kuafuata baada ya kufunga ndoa? Ni vyema kuzijua mapema manake kunyimwa visa it's so bad 😢. Siste Shena naweza kupata namba yako ya WhatsApp kuna mambo nataka kuongea na wewe.

  • @deuskusaga8156
    @deuskusaga8156 10 หลายเดือนก่อน

    Bigup🎉

  • @georgeascona5457
    @georgeascona5457 11 หลายเดือนก่อน

    jackline yuko vizuri

  • @muhammedjuma8966
    @muhammedjuma8966 3 หลายเดือนก่อน

    Kw kweli nainjoe sana tunajifunza vitu vingi sana ktk mahisha haya

  • @fettyrashid9042
    @fettyrashid9042 11 หลายเดือนก่อน +1

    Mchanga mzuri hadi anakera,hongera Shena kwa interview zako 🙏

  • @neemalema2545
    @neemalema2545 9 หลายเดือนก่อน

    Ohhhh jamaniiiiii kaka na dada ... Nimeipenda hiiii

  • @ghaosalsalum
    @ghaosalsalum 11 หลายเดือนก่อน

    Atuletee feedback kipindi cha winter hali ilikuwaje

  • @zenaisjastin964
    @zenaisjastin964 9 หลายเดือนก่อน +1

    My classmate laswiyo 😍😍

  • @pillizegega3302
    @pillizegega3302 11 หลายเดือนก่อน

    Mwendo wa kucheza karibu na geti🤣🤣🤣🤣🤣🤣, I can relate lol

  • @ashaally1787
    @ashaally1787 11 หลายเดือนก่อน

    Hahaha 🤣 Nice interview

  • @catherinekihengu2420
    @catherinekihengu2420 9 หลายเดือนก่อน

    Nimempenda Jackline kaeleza vzr Sana hana maringo

  • @EpiphaniaMallya
    @EpiphaniaMallya 9 หลายเดือนก่อน

    Kusafiri nchi usiyoijua kiukweli ushamba lazima uwe nao kiukweli mdogo wangu. Dah! Umenikumbusha nilipofika Spain kwa mara ya kwanza njiani kuangalia pantalla ilitugharimu maana sikuwahi kusafiri popote. Japo tulikuja Spain kidini

  • @IreneMwanaa-zo2wz
    @IreneMwanaa-zo2wz 7 หลายเดือนก่อน

    Dada shena mbena mwenzangu mitandao inanishinda mimi

  • @user-uu3zq6ug7e
    @user-uu3zq6ug7e 5 หลายเดือนก่อน

    Hi madam i need this datingsite bt i don't know how to join

  • @kaupigwe
    @kaupigwe 4 หลายเดือนก่อน

    Amen

  • @sophiarwehumbiza209
    @sophiarwehumbiza209 11 หลายเดือนก่อน +1

    dada shena naomba nimpatie namba yangu niwe na ongea nae mim napenda kupiga story san kam hatojali

  • @ednaednamillanzinia2826
    @ednaednamillanzinia2826 11 หลายเดือนก่อน +1

    Karibu Oulu Jackline ,Finland 🇫🇮 nina 2 years sasa hapa.

    • @jacquelinelasway
      @jacquelinelasway 11 หลายเดือนก่อน +1

      Asante Edna😊

    • @christinewomanoffaith5479
      @christinewomanoffaith5479 10 หลายเดือนก่อน

      ​@@jacquelinelaswayinsta una acc?
      Jmn nishachoka kukaa bongo uwiii Yesu nikumbuke😅

    • @karlymathew9864
      @karlymathew9864 9 หลายเดือนก่อน

      ​@@jacquelinelaswaynatamani rafiki wa nje unaweza kubali jack

    • @evancepeniel6951
      @evancepeniel6951 4 หลายเดือนก่อน

      @@jacquelinelasway unatumia accout gani intagram dada

  • @user-vc7kb6ff6t
    @user-vc7kb6ff6t 11 หลายเดือนก่อน

    Interview ya leo hadi raha😂😂😂

  • @stellanestory458
    @stellanestory458 10 หลายเดือนก่อน

    A360 Jackie hongera mama!!!!!

  • @laetitiamathe5779
    @laetitiamathe5779 10 หลายเดือนก่อน

    ♥️♥️♥️

  • @vumiliamande2185
    @vumiliamande2185 9 หลายเดือนก่อน

    Kiubaridi cha ukweli kweli. Karibuni hapa Finland. Mimi niko hapa Helsinki.

  • @neemalema2545
    @neemalema2545 9 หลายเดือนก่อน

    Eti ashamuelewa tayari😂

  • @user-qb3hx2ku9v
    @user-qb3hx2ku9v 11 หลายเดือนก่อน

    Pole sana na ongera sana hata ningekuwa mm ningekuwa mlinzi wake mbaka asubuhi, umepata mume bila shida wengine miaka 5 sasa tupo tunaangaika hatujapata😢😢😢

    • @sophiakassim6784
      @sophiakassim6784 10 หลายเดือนก่อน

      🤣🤣🤣🤣🏃🏽‍♀️🏃🏽‍♀️🏃🏽‍♀️

    • @user-qb3hx2ku9v
      @user-qb3hx2ku9v 10 หลายเดือนก่อน

      @@sophiakassim6784 naumia kweli my siyo uongo miaka tano nipo dubai uko natafuta mzungu mbaka leo naishia kupewa namba unatumiwa picha ukifungua unakutana na vitu siyo video siyo naishia kulia sasa kwanini unipe namba yako kama haupo serious natumia simu 2 zote zimejaa app kila haina unaoijuwa wewe sipati nimeweka picha ya kawaida lakin matapa wahindi pakstani ndo wapo serious na mimi ndoto yangu mzungu mzungu jana niepata mmoja akanipenda kweli kutuma picha babu kibabu sikuamini kupiga video call nilichoka babu yule

  • @salmanmagwe2612
    @salmanmagwe2612 3 หลายเดือนก่อน

    Wadada mnahimizana mambo ya ajabu mno,hamfikirii kujiendeleza kimaisha,mkiamini wazungu watawatoa kimaisha,hadi kero

  • @valenakomba9218
    @valenakomba9218 9 หลายเดือนก่อน

    So you're a Finish Madame?. Pole kwa baridi. Tutumie samaki.

  • @georgeascona5457
    @georgeascona5457 11 หลายเดือนก่อน +2

    wachaga ni pisi kali hatari

  • @isaacmusau5380
    @isaacmusau5380 12 วันที่ผ่านมา

    Aliona picha aki weeee

  • @MaaneML
    @MaaneML 11 หลายเดือนก่อน

    Shena kindly link me with a genuine dating site.

  • @dayana5513story
    @dayana5513story 11 หลายเดือนก่อน

    Yan nimepitwa na hii interview but imenifulaisha😅😅😅 uyu binti nimchangamfu

  • @modelroseoscarphilip6482
    @modelroseoscarphilip6482 10 หลายเดือนก่อน +1

    Mm nimenyimwa visa mara mbili sasahivi nimetulia kidogo🥹🥹🥹 embassy wanazinguaaaa

  • @alexharriskajjubi1914
    @alexharriskajjubi1914 10 หลายเดือนก่อน +1

    Kuusu simu bwana mtu asiejua au kama haijawahi kukutokea utadhani kuna ka mchezo flani ila mtandao inaingiliana sana unapiga dar mtu anapokea wa Somalia 🇸🇴 😅😅😅

  • @ntayega.a.hamissi9760
    @ntayega.a.hamissi9760 11 หลายเดือนก่อน

    Nimeogopa sn aliposema neno upweke

  • @Jessy-f9w
    @Jessy-f9w 10 หลายเดือนก่อน

    Dada yupo charming hatari,anaongea mpaka rahaa

  • @Serenawilson11
    @Serenawilson11 7 หลายเดือนก่อน +1

    Wazungu wengi hawaelew mahari 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 nakumbuka mgermany wangu alikua hataki nkasema hutaki haya wasalimie mbona alitoa 😂😂😂😂😂😂

    • @zaydelabay9776
      @zaydelabay9776 6 หลายเดือนก่อน

      😂😂😂😂 mi nataka ng'ombe 20, mbuzi 200. Na kuku 300😂😂😂

    • @zaydelabay9776
      @zaydelabay9776 6 หลายเดือนก่อน

      Bado mashangaz hela zao

    • @Serenawilson11
      @Serenawilson11 6 หลายเดือนก่อน

      @@zaydelabay9776 hahahahaha chizi kweli

  • @Paula-zo2ev
    @Paula-zo2ev 10 หลายเดือนก่อน

    Dada anaitwa nani uyu jaman

  • @ShannyOthmany
    @ShannyOthmany 3 หลายเดือนก่อน

    Muulize watu wa Finland ni watu wa aina gani? Namaanisha wanaroho nzuri ama

  • @everose276
    @everose276 10 หลายเดือนก่อน

    😂😂😂😂 yaani hizo heka za huyo dada za kusubiri kusafiri na kero za wabongo unaondoka lini hata mimi nilikereka, ila hizo hekaheka za airport ndio zimenichekesha. Hivi kumbe wabongo wengi tunakuga hatujui vitu vingi. Raha jamani 😂😂😂

    • @christinewomanoffaith5479
      @christinewomanoffaith5479 10 หลายเดือนก่อน +1

      😂😂yalinikuta OR Tambo SA🙌🙌mi ndo nilikuwa wa mwisho nasubiriwa dkk 1

    • @everose276
      @everose276 10 หลายเดือนก่อน +1

      😀😀😀 kwa kweli ni vichekesho. Mimi nilitaka kuachwa airport bongo jamani eti hawanioni kweli list ya tickets zao, weee mzungu alitaja ticket namba yangu kwa kichwa pale pale ticket ikaonekana😀😀

  • @user-jn3be7to5z
    @user-jn3be7to5z 11 หลายเดือนก่อน

    Natarajia kwenda Finland November ila naogopa mno nahc nitakua nachanganyikiwa kama huyu dada😅😂

    • @OfficialDatingAssistance
      @OfficialDatingAssistance  11 หลายเดือนก่อน

      Usiogope,
      Kikubwa utakua unajichanganya na some activities tu
      Usiogope step yako ya maisha, keep going 💪🏾

    • @user-iz9ci4rs3d
      @user-iz9ci4rs3d 10 หลายเดือนก่อน

      Amen

  • @isaacmusau5380
    @isaacmusau5380 12 วันที่ผ่านมา

    😂😂😂😂😂😂😂 yababa story

  • @user-iz9ci4rs3d
    @user-iz9ci4rs3d 10 หลายเดือนก่อน

    😂😂😂😂❤❤

  • @rosemunisi818
    @rosemunisi818 8 หลายเดือนก่อน +1

    Wenye hatuna kaka

    • @SuzanneMyles
      @SuzanneMyles 4 หลายเดือนก่อน

      Tunapambana wenyewe😂😂😂

  • @vumiliamande2185
    @vumiliamande2185 6 หลายเดือนก่อน

    Tervetuloa Finland

  • @chrysanthushakaunga6560
    @chrysanthushakaunga6560 6 หลายเดือนก่อน +1

    Lasway au swai ? Wachaga ndiyo swai laswai siyo wachaga

  • @bernadethamgendi4407
    @bernadethamgendi4407 11 หลายเดือนก่อน

    Nimeingia kwenye dating site mojawapo duu.. hizo message nilizopata za application mpaka nimechanganyikiwa,simu mpaka inakaribia kujaa. Niko njia panda mdogo wangu shena nisaidie..

    • @saeaaa8571
      @saeaaa8571 10 หลายเดือนก่อน +1

      Hata mimi shoga nina wik kweny hiy app dating jmn hiz sms hat hujui wap uanze na tumalizie wapi kaaah

    • @christinewomanoffaith5479
      @christinewomanoffaith5479 10 หลายเดือนก่อน +1

      App ipi?
      Maana ziko nyingi

    • @rosemunisi818
      @rosemunisi818 8 หลายเดือนก่อน

      App gani

  • @zanuraa2468
    @zanuraa2468 10 หลายเดือนก่อน

    Siku mkititumuuuana huko 😅mtuletee humu humu ! Kaka kishauza dadamtu duh sie wa east njaaa jamani 😅

    • @jacquelinelasway
      @jacquelinelasway 9 หลายเดือนก่อน +1

      Mind your language, aliponiuza ulikuwepo, ukiacha roho mbaya na gubu utafika mbalii

    • @jacquelinelasway
      @jacquelinelasway 9 หลายเดือนก่อน +2

      Na ukiendelea ivi ukizeeka utakua mchawiiiiii 😂😂

    • @Paula-zo2ev
      @Paula-zo2ev 8 หลายเดือนก่อน

      @@jacquelinelasway naomba nikuone in box nakupataje Nina shida nataka kukuuliza

  • @laetitiamathe5779
    @laetitiamathe5779 10 หลายเดือนก่อน

    ❤❤

  • @Serenawilson11
    @Serenawilson11 7 หลายเดือนก่อน

    Wazungu wengi hawaelew mahari 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 nakumbuka mgermany wangu alikua hataki nkasema hutaki haya wasalimie mbona alitoa 😂😂😂😂😂😂