MSTAAFU KIKWETE ASHAURI KUPUNGUA KWA GHARAMA ZA UMEME

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 5 ก.ค. 2024
  • DAR ES SALAAM: RAIS Mstaafu wa Awamu ya nne, Dk. Jakaya kikwete ameishauri shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) kuangalia uwezekano wakupunguza gharama za kuunganisha umeme ili wananchi wengi waweze kuangani umeme katika sehemu zao.
    Dk. Kikwete Ameyasema hayo leo Jijini Dar es salaam wakati akitembelea maonesho ya 48 ya Biashara ya Kimataifa (Sabasaba 2024) yanayoendelea katika Viwanja vya Mwalimu Nyerere, Barabara ya Kilwa, jijini Dar es Salaam.
    "Unaweza kuweka gharama kubwa za kuunganisha umeme, lakini ukiweka gharama ndogo wengi wakiingiza umeme gharama yako utailipa kwa kiasi wanavyotumia umeme" Amesema Dk. Kikwete.
    Follow us on:
    FACEBOOK;
    SpotiLeo: / spotileo-176. .
    HabariLeo: / habarileo
    DailyNews: / dailynewstz
    INSTAGRAM;
    HabariLeo: habarileo_tz?ig...
    SpotiLeo: spotileo?igshid...
    TWITTER;
    Twitter HabariLeo: HabariLeo?s=09

ความคิดเห็น • 25

  • @lulanjamd3886
    @lulanjamd3886 6 วันที่ผ่านมา

    Mungu akubariki Kwa kulisemea hili rasi kikwete

  • @user-ys3gt8lp5h
    @user-ys3gt8lp5h 7 วันที่ผ่านมา +1

    Leo umeongea point

  • @timothbenard8213
    @timothbenard8213 7 วันที่ผ่านมา

    Point

  • @omarybakunda2554
    @omarybakunda2554 6 วันที่ผ่านมา

    Hilo la mana sana

  • @omaryyusuph7877
    @omaryyusuph7877 6 วันที่ผ่านมา

    Fact

  • @emmanueljoseph3815
    @emmanueljoseph3815 8 วันที่ผ่านมา +2

    RIP jpm

  • @MasterOil-qm6vw
    @MasterOil-qm6vw 6 วันที่ผ่านมา

    HONGERA MZEE BABA SEMA WATATEKELEZA MAANA MAAGIZO YANATOKA LAKINI WANAJIFANYA VICHWA MAJI

  • @StAr-yu3vz
    @StAr-yu3vz 7 วันที่ผ่านมา

    Mbona Dar umeme umepanda

  • @edsonnelson4464
    @edsonnelson4464 7 วันที่ผ่านมา

    Kwa kweli hata mimi nakuunga mkono kuhusu kushushwa kwa bei ya umeme na gesi. Serikali itakuwa imefanya jambo jema

  • @frankbuliro9183
    @frankbuliro9183 8 วันที่ผ่านมา +1

    Hongera sana muheshimiwa kikwete

  • @zobakazizi7637
    @zobakazizi7637 7 วันที่ผ่านมา

    JPM alipania kuushusha. Januari Makamba ndiye alishikiria bei isishuke.

  • @tevintevin6254
    @tevintevin6254 7 วันที่ผ่านมา

    Huu mchezo popcorn 🍿 znahusika ,mpaka tufike mwakani tutaona mengi 😂😂

  • @sendorojuma4544
    @sendorojuma4544 8 วันที่ผ่านมา

    Unajielezea mno. Ulichofanya kitajisemea chenyewe!

  • @ismailhassan5209
    @ismailhassan5209 8 วันที่ผ่านมา

    Mango wa matumizi ya Gass kikaya GASS ASILIA VIPI?

  • @bonifacedanielmwakisunga9638
    @bonifacedanielmwakisunga9638 8 วันที่ผ่านมา

    Sasa hivi serikali wameongeza tozo ya shs 2000 kimya kimya bila kusema hicho kiasi Cha Nini alafu hii serikali wabunge Awana usemi wa kutetea wananchi wanatetea matumbo yao

  • @abuuramadhan8093
    @abuuramadhan8093 7 วันที่ผ่านมา

    Tunakukumbuka san mzee kikwete ndo ulianzisha Gas asilia na mwendokasi

  • @abuuramadhan8093
    @abuuramadhan8093 7 วันที่ผ่านมา +1

    Kikwete ndo alianzisha mwendo kasi, madaraja makubwa na barbara ndefu za lami, ndo alianzisha Gas Tanzania

  • @shirimabenedict5431
    @shirimabenedict5431 7 วันที่ผ่านมา +1

    Huyu mzee tushamchoka

    • @exaverysimon1064
      @exaverysimon1064 7 วันที่ผ่านมา

      acha kutusemea

    • @Kabwela776
      @Kabwela776 7 วันที่ผ่านมา

      Uko sahihi anaongea sana wakati wake hamna kitu

    • @mohamedhamismagoraonlinetv459
      @mohamedhamismagoraonlinetv459 5 วันที่ผ่านมา

      ​@@Kabwela776Maisha yako wakati yupo madarakani na hivi sasa yana tofauti gani? Jilaumu mwenyewe

  • @hamzakimaro3764
    @hamzakimaro3764 7 วันที่ผ่านมา

    RAIS WETU MSTAAFU alifanya kazi kubwa mno kwa taifa la watanzania,ila waombeza ni wale wale wanaomsonga mhesh mama yetu samia suluhu hasan,ndiyo wanaomsonga mhesh January makamba,ndiyo hao hao wanaomsonga mhesh BASHE!!tunaeafahamu vizuri mno,wakati wakiwachafua hao,wamewasifu wengine tena nusu mental kwamba wao walifanya kazi kama MALAIKA sijui nikama MANABII!!
    wanajiona wajanja ila wanajulikana LENGO lao ni nini?