ไม่สามารถเล่นวิดีโอนี้
ขออภัยในความไม่สะดวก
CHAVDA ALIYEFUKUZWA TANZANIA YUPO MASAKI 'ANAKULA MAISHA.' AIFUNGA SERIKALI MAGOLI 6-1
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 16 ก.ย. 2023
- Ni mfanyabiashara Vidyadhar Girdharlal Chavda aliyetimuliwa nchini mwaka 1996, kwamba hatakiwi kukanyaga ardhi ya Tanzania. Alirejea kijanja, yupo anakula maisha, na ana kibali cha ukazi daraja A, huku zuio lake halijaondolewa. Sikiliza.
Ndiyo utegemee maendeleo yaletwe na Serikali inayopelekeshwa na wageni!!! Mungu atusaidie kuiponya Tanzania yetu.
Kwa kweli inatisha, hongera sana.
Halafu mtu naye anawaza serikali hii ilete maendeleo.
Hatari sana
Rabda ile meli iko wapi mandeleo jamani huyu wengekuwa wao wahindi sasa ivi yuko jela ila sisi tunamfurahiya jitu SiO latanzania
You a'r so bright, nafuatilia presentation zako Mara kwa Mara, may God bless you.
Amen!
Nakumbuka Mwaka 1995 ilibaki kiduchu Mrema akamate nchi. Lakini Mwl. Nyerere Akaingilia Kati.
Ulosema mkuu, kama ni sahihi.Mkuu unatisha, ..nakuvulia kofia, kumbe tuna watu wanao uwezo mkubwa sana wa kuchunguza na kufuatilia mambo muhimu...Tunakuhitaji.
SAFI KWA UZALENDO WAKO 🇹🇿 TANZANIA .
Mafisadi siku zote wanaacha mashimo makubwa ambayo yanakuja kujazwa na wananchi masikini na wenye uchumi wa kati.
Matokeo yake yanajengeka matabaka ktk jamii kati ya walio na wasio nacho, huku wapigaji hao wanakula bata na kuwaona watu km hawana akili
Mungu atuokoe na hawa watawala wanaoingia mikataba mibovu inayotugharimu kila Leo hatuvuki. Hayo ni magoli 6 ya miaka 60 tunakufa masikini kwasababu ya wachache! Hii katiba ndio upenyo wa watawala wetu wabinafsi.
Aliingia Tanzania wakati wa utawala wa Mkapa...
Serikali ya CCM hawana uwezo wa kufikiri mambo hapo ndipo uwezo wao wa kufikiri ulipofikia
Kuna watu wana nguvu sana kwenye nchi hii🙌🏿🙌🏿🙌🏿
Hadi inatisha aisee
If possible compile your documentaries or findings in a book.this is part of our history.
Ana nguvu sn ya kucheza na serekali zote izo zilopita aise hii nchi inataka maombi sn
Tunasubiri ujumbe huu kwa bashasha, from Cedar Rapids Iowa state USA 🇺🇸.
Inchi haiko poa kabisa, maana wazawa ndio wanao nyanyaswa katika inchi yao tofauti na wageni . Inawezekana hao wageni ndio wenye hii ichi
Nasikia uchugu wao India ukifanya kitu kidogo tu wanakunyonga muafrica sisi mabarga fresh walah duu
Tundu lissu hata hana habari au anakula naye.Ahsante sana
Tangu enzi za Amiri Jamal wahindi waliteka uchumi wa nchi hii kwa biashara za ujanjaujanja,wengi wametajirikia kwetu wakahamia Canada, Uingereza,na India na leo bado wameshikilia ukurugenzi katika biashara na makampuni makubwa kwa mitaji ya wakubwa waliojifichia humo.
Nchi yangu..Mungu tusaidie kuwa na kumbukumbu ..
Unaona ajabu ya Chavda au hongo yake .Ushangai wanachota mahela Serekalini na hakuna anaechukuliwa hatua ,Raisi mwenyewe anajua anatamka uwizi mkubwa Serekali lakini hachukui hatua yeyote yeye ni kulalamika tu kama sisi 😢utadhani hana mamlaka
👀
Tanzania serekali ipo kwà ajili ya kunyanyasa watu maskini, sio kwà ajili ya kusimamia haki,
Alikula hizo hela na vigogo, he very safe!
Endereeni kuishi mengi tuya juwe mungu zidi kutu weka waja wako tuji funze ongera mzee wangu 🙏🙏🙏🙏
"nji gani hii inakumbatia matajiri Tena wahindi? sasa nasema Mohamed enterprises akamatwe na afukuzwe njini, Chavda akamatwe anyang'anywe leseni ya biashara na afukuzwe njini! Pumzika Kwa amani Augustine Lyatonga Mrema, waziri wa mambo ya ndani enzi zile za sakata la mo na chavda
Haishangazi sana,ni nchi ya kufikirika hii.
Nikweli chavda yupo na hata mali alizokuwanazo zikataifishwa alizirudisha lkn kwa njia nyengine sio chavda chavda anambiwa alikuwa wakala lakini sio muhusika amewapokonya mali zote
Super intelligent or super rich. Kama hela anazo atafia na kuzikwa Tanzania. If you can't beat them join them. Mwacheni tu mzee huyo akiishiwa na hela atafukuzwa. Akiwa nazo atabaki.
Dah....alaaa bongo, wajanja wanapenya tuu
Muchambuzi wakweli afilika safi
Mimi kitu kikubwa viongozi wote mafisadi ili tanzania ijengwe inatakiwa tuwe na uamzi mgumu kunyonga viongozi wote walioingiza taifa ktk kashifa bila kufanya hivyo tutabaki masikini 5ufanye kama stal8n alivyo fanya urusi
Umeongea kizalendo sana
Hatari! Danger 😮
Nimakosa kuomba mungu mafisadi wasiendelee kutawala, tutoe ujinga tuandamane. Bila ivyo tutakumbuka tumeshauzwa!! Gharama za Ali Ni damu kumwagika, (bila damu ya yesu kumwagika tusinge kombolewa) ukijitoa kwako Ni Eli tu
@@stanlymwizarubi8871 some afew days I was in German where I saw how people are really committed to develop there nation without corruption all people aeons equal income atthesame time no people who claim to be leaders loiting all national funds by being given allowance which are finishing the country plus an necessary trips of our constitutional president who think this country is a monarch imagine how so called mps what is the work if not clumping hands to support the consumption of national wealth
Wapumbavu ndio waliwao. Ufisadi uliokomaa.
"Persona non grata" kwa lugha ya kigeni.
Chavda ni jina la Kihindu hivyo alikuwa Muhindi Mhindu. Na Azim Jamal, Waziri wa uchumi, zama za Nyerere, alikuwa Muhindi wa kundi la Agakhani Ismaili, na zama hizo za Rais Nyerere, wahindi wa Agakhani Ismaili ndio waliokuwa wameshika sehemu kubwa ya uchumi wa Tanzania. Miaka hizi Mashia wahindi Khoja Ithnasheri wameshika uchumi mkubwa wa Tanzania, watu kama Mo Dewji, Yusuf Manji, Fida Rashid, n.k, na wanafanya mengi na makubwa, na wanafanya watakalo, na katika wao kina Azim Dewji na Mo Dewji wanaingia ikulu na kufanya wanavyotaka, na ni watu hatari na wanaweza kumfunga mtu au kumuua maana katika wenye nguvu na usalama wa kawaida wanawatii na wanafadhili kila mahali kwa njia tofauti wakiwa tofauti katika hali tofauti
Tanzania nchi tanu sana aliezaliwa na kukulia au hata kuishi tu Tanzania hawezi ondoka kwenye nchi nyingine akawa na furaha na Raha kama akiwa tanzania
Tatizo pesa
Apewa uraia maalum kwa ufisaidi bora na kuwa mwaini bora wa karne 21 na tunu bora kutoka CCM CCM CCM
Wazaliwa wana nyimwa uraia, wageni wanapewa uraia na ndugu zao.
Shamba la Bibi
This is massive.
Great piece of investigative journalism. Saafi sana.
We are patiently waiting follow-up episode ya "majibu"...inshallah!
Please do an extensive piece about Loliondo pia....thanks in advance.
Blessed
Ah! Kumbe tokea 1976 acha aendelee kuishi tu huwenda alisamehewa
LAKINI mzee, Mrema alipanda ndege ya CHAVDA kukagua mashamba yake. Watu wakahisi amepewa kitu. Katika kesi HII MREMA hakuwa shujaa kama usemavyo!
Ukiwa na fedha utakwama wapi Kwa serikali hii ya mafisadi?
Huyu anezulumu kipawa oil com dare salamu eneo lote kachukuwa na anasema wskazi wa pale hawatambui
Kwa taarifa hii tunayopewa kumhusu bwana Chavda ambae hatakiwi kuwepo hapa nchini kisheria kwani aliondolewa na serikali yttetu ama sivyo kama mahakama ilimwondolea agizo hilo au Rais alimpa msamaha vinginevyo uwepo wake ni kinyume cha sheria na mamlaka husika zimtafute akamatwe. Na kupelekwa mahakamani apewe adhabu na baadae aondolewe apelekwe kwao India.
Sheria ya nchi ipo wazi in black $ white, kama aliondolewa na baadae akarudi hilo ni kosa la jinai na kama mamlaka husika wanajua yupo na hamchukulii hatua ya kumkamata na kumpeleka mahakamani basi nao wamevunja sheria ya nchi na wahusika sheria ichukuliwe dhidi yaao, hakuna mtu aliye juu ya sheriawisho, nasisitiza kukua bwana Chavda akamatwe haraka sana na afikishwe mahakamani ili aadhibiwe kwa kkukiuka kukiuka sheria na baada ya adhabu yake arudishwe kwao(deportation) India point blank fullstop.
CHAVDA ALITOROKA AU aliamrishwa kutoka nchini?
Chavda nimtu wa rushwa na amewadhibiti viongozi wengi wa ccm na serikali
Mrema hakufukuzishwa kazi na Chavda, hoja ya kufukuzwa ilikuwa dhahiri ni baada ya yeye kuamua kukaa upande wa wabunge na kuanza kuishutumu serikali. Alikosa kucomply na uwajibikaji wa pamoja kwa kuwa hoja ilianzia kwenye cabinet na huko alikuwa na nafasi ya kutetea msimamo wako na hakuweza kuwashawishi mawaziri wenzake. Tukumbuke kwamba Mrema alikuwa anajiandaa kugombea urais na kwa nature ya CCM watu aina ya Mrema Huwa hawapewi nafasi na yeye alishasoma alama za nyakati. Chavda anaipenda Tanzania ndo maana anaminyana kuishi hapa. Ufisadi unaozungumzwa ni ule wa kukopeshwa fedha na serikali ili kufufua mashamba ya mkonge. Hii ndio ilikuwa hoja ya Mrema kwenye kampeni yake ya urais
Issue hapa mtu alishafukuzwa kwa amri ya serikali miaka mingi iliyopita bado yupo baada ya kurdish kinyemela. Jee vyombo vya serikali vinafanya nini. Kama serikali zetu zinashindwa jambo dogo kama hili zitaweza makubwa kama mkataba wa bandari? Aibu tupu.
Wewe na mimi tunazungumza kitu kimoja kwa maneno tofauti.
@@AnsbertNgurumosawa kabisa
@@ulomirabiel6980sidhani Kama Chavda ni target ya state apparatus Kama tunavyoaminishwa
Pindua hoja kwa hoja na ushahindi Kama sk anavyofanya watu watakuelewa saaana
Huyo tindu lisu nae ni matako tu
Huyu mwandishi anamadini makubwa sana na mada zake ni zaukweli tupu
Haya mr. Ngurumo umeyakoroga bora uanza kunywa ww kwanza
UFISADI
Huyu mwamba anaweza kuwekea Password ambayo inaweza isitoleqw hata na watalaam wa Israel,
By the way nimekuvulia kofia wewe ni ni mwamba ina interagency ya Cuba
Eeeeh mungu wangu.mlowezi analindwa hatari.hiii
Mungu/MUNGU sio mungu
Hongo.Rushwa.😢
Atakoka kwa duwa tuu ya Watanzania tuu 😂😂😂 chadema kazi hiyo
Yatajibiwa lini Ngurumo?
Soon
Mungu tusaidie tumalize kwanza hawa waarabu na bandari halafu tuwatafute wahindi baadaye tuwaingilie wa chaga na mwisho tumalizane ss wenyewe.marehemu baba wa taifa alituonya tuepukane na hii balaa ambayo wengi hawaioni.
Marehemu Baba wa taifa hakuzungumzia ubaguzi kwa watu wanaoliangamiza taifa. Elewa wewe.
Maneno yako dhahabu na serikal ifanye uchunguzi na chavya na watu anao dili nao mawakala wake wote wa mali zake
Ccm na mahakama shida tupu
Raia wazawa wanao ishi nje ya nchi hawakubaliwi kwenye nchi yao lakini fisadi hili ilnahaki zaidi ya wazawa
Aibu ya serikari ya ccm
Hiyu anavitu vingi vya dhulma
Ndugu Ngurumo, umesema mlienda uhamiaji kuulizia hayo unayohoji. Uhamiaji waliwapa majibu gani?
Neno la mwisho katika sentensi ya mwisho la husika. Vita subira.
😢 Kazi yako iendelee,elimu inahitajika
Hawa ni wale waliosema wameweka serikali mfukoni kwa vyovyote wapo watu waliomsaidia Chavda wasaliti Nyerere tu ndiyo aliyewaweza kwa kuwapga viboko
NASIKIA PIA GAVANA WA BOT 2008 Balali walidai alifia Marekani baada ya matuhuma Kuzidi lakini mwili wake haujawahi Kurudi Tanzania Nawasi wasi kama Alikufa au Ni Changa La Macho Tu!!! Nchi imeoza
NIMEUPENDA WIMBO HUO 2. SWALA LA SHAVDA LINAHITAJI WATAALAM
Huu ni kweli mtupu.huyu jamaa ana akili sana kanikumbusha mbali. Niombe vyombo vya usalama viingie kazini vimng'oe hili jambazi
🙈😢😢😢😳🙈
Alaa, kumbe. Mambo hayo yapo hapa hapa Tanzania?
Nani afungwe kengele😢
Muulizeni huyi ndugu aliyeanzisha hii mada
Nchi hii ina ujambazi mwingi msingi wa uovu huu ni ufisadi uliokithiri
Nimrod ni mh. Tujiulize huyu mbunge alimteteaje mtu aliyeamriwa kuondoka...money talks..
Nimrod Mkono ni marehemu sasa. Amefariki dunia mwaka huu.
Chavda aondoke😢
Haya mambo ya kuilalamikia serikali ifike wakati tuiache. Nani asiejua nchi haina serikali bali genge la wezi wasio hata na akili ya kuzaliwa. Swali linakuja sisi tunaolalamika tunafanya nini? Maneno mengi sana
Tunapiga kelele. Ndio wajibu wetu mmojawapo.
CHADEMA wanamweza na wazee wa MBEZA wana mapinduzi kazi nyingine iyo Ngorongoro Bandari na CHAVDA uyo wa CCM chadema wanamapinduzi mtusaidiye jamanii
CCM IMEJAA VILAZA WANACHAGUANA KICHAWI CHAWI NI GENGE LA WANGA NA WAHUNI NA MAJUHA,BUNGE LIMEJAA MISUKULE NA TUNAONGOZWA NA VIONGOZI WASIO NA DIRA WALA UZALENDO NA HAWANA UWEZO HATA WA KUFIKIRI ZAIDI WANAKUZA MATUMBO TU,NCHI YETU INATIA AIBU!!
Fedha fedheha😅
Basi umeshamaliza? Alikutapeli? Nilizani utaleta picha yake na anachofanya Tz, hawezi kukaa tu nyumbani. Ungemkodi private detective.
YAANI wahindi Wanatafuna Nchi Vibaya mno!wanaishi Upanga na Kariakoo Nyumba Za Serikali wamenunua Kwa bei ya Bure kabisa hii nchi Tunaongozwa Na viongozi Wabovu sana na hawajielewi!!Ni shamba la Bibi
Inchi yetu kwa rushwa cjui lini itaisha
Posta yote imeuziwa wahindi hakuna mbongo posta
WAHINDI NA WACHINA NA WAARABU NA SASA WAKURDISH NA WATURUKI WANAIAHI NCHI HII BILA VIBALI NI KAMA WANAINGIA CHOONI NA KUTOKA!!UHAMIAJI NA POLISI HAWANA HABARI ZAIDI WANATAFUTA RAIA WEMA WA KUWAONEA TU ILI KULINDA MASLAHI YA WALANCHI
Gurumo umenikumbusha mbili sana wakati huo nilikuwa na miaka 22 bado Niko shule ilitikisa sana Kwa mate do yake mabovu ya utapeli wa fedha za mikonge kama nakumbuka millioni miatisa akapewa PI ya kiondoka nchini da nchi zetu ni hatari sana uzalendo wanaoubiri ni ipi
Tanzania madhalimu afadhali hawakumuuwa
Mahakama zetu ni corrupt sana. Bahati mbaya Majaji wakubwa na wanaoheshimika sana nao wamehusika kwenye njama za kifeshuli kama hizi
INAONEKANA MAGOLI YOTE 6 UNAYOONGLEA NI MAGOLI HALALI..SABABU ANAFUATA TARAIBU ZA KISHERIA... KWAHYO WEWW ENDELEA KUTAFUTA MAGOLI YA KUSAWAZISHA.. ILI MRADI YAWE HALALI ..KAMA YAKE
😄
Kama kwa magu ilishindikana basi magu alikua mnafiki alilenga asiye wapenda tu kisiasa
Ndiyo unajua leo?😂
@@Joe-tr2vk tangu azuie mikutano ya vyama
Mr.Ansbert,kama mmetumwa kwa malipo tafadhalini hali ya hewa hivi sasa nchini kwetu sio nzuri.kama uzalendo pls stay the course.kipachi ulicho nacho ni kikubwa sana kumbuka umepewa na mungu.dalili zinaonyesha brother upo upande mmoja.haupendezi brother.hakuna tatizo kuwa Chadema au CCM au kutokuwa chama chochote,tatizo ni kutafuta mada ambazo zinaweza zikaleta sintofahamu na furugu nchini.
Usiuvae ujinga kwa kiwango hicho
@@jonasmushi5145 Jamaa ni kenge kweli. Linaendekeza ukondoo huku nchi inatafunwa,acha watoto wake wakute nchi imebaki kama Somalia ndiyo atajipongeza kwa ukondoo wake😂
Endelea kuwaogopa hao wezi acha ndugu awanange ushetani wao
Ndio maana hata vyama tulivyonavyo avina uwezo mbona hata chadema hawaongelei maswali hayo
One thing at a time. Hakuna mtu anaweza kujua na kusema kila kitu tena kwa wakati mmoja
Mrema kuondoka chama cha mapinduzi alisigina katiba kwa mguu wake mwenyewe BUNGENI KULE DODOMA na akaondoka .na kuanzisha chama chake cha NCCR MAGEUZI...
Mrema alianzisha NCCR? Wewe ulizaliwa mwaka gani?
Hapa ujue unaongea mkongwe 1961 na hata alip0anzisha chama kuna mchimba madini wa mererani ana hoteli inaitwa palsons hotel iliopo hapa mjini arusha lakini kwa sasa ni marehemu na alikuwa na timu inayoitwa palsons sport club na ilishacheza ligi.kuu ya tanzania alinunua land rover 110 shot cheses akampa mrema kwa ajili ya kugombea urais kwenye chama chake na mimi niikuwa kwenye kampeni alitingisha chama cha mapinduzi mpaka nyerere akaja kusaidia kampeni pale moshi.. hakufika arusha sababu mwanae nyerere alikuwa anaitwa makongoro nyerere alikuwa anagombea ubunge kupitia chama charema na akashinda akawa mbunge lakini ccm walienda mahakamani na wakamuengua makongoro na alishatumikia ubunge miaka mitatu..... stori ni ndefu tuishie hapo
@@dismaslalubare4196 Unaleta stori mingi kwa swali rahisi tu. Mrema ndiye muasisi wa NCCR? Marando asemaje?
@@Joe-tr2vk yaishe mkuu
Sasa kama anaipenda Tanzania wewe inakuudhi Nini. Kama Kuna uhalifu anafanya tufahamishe zaidi ya historian za zamani. Usituchoshe bwana
😆 😂 😆 tunazidiana upeo, ndugu yangu. Nawe maoni yako yameheshimiwa tu, usijali.
Kwa ulivyo mjinga unaona hili halina maana
Siyo Bandari peke yake fisadi jingine kesi miaka kumi na zaidi tena ya uwizi wa mapato ujumu uchumi
Kama mpaka John Magufuli kashindwa basi ,huyo hawezekani tena,mwacheni tuu yeye ni bingwa
😂😂
Kumbe magu bae alikuwa mnafiki akiwachukia wanaompinga CCM ni ileile