Wanaunafu wenzetu waliohamia Zambia na Malawi kutafuta riziki,mi walikuja kwenye kabanada kangu wakaniambia nilipiage kabango niliko andika jina langu shilingi 300,000 kwa mwaka,jamani hii Tz kweli wanaifaidi wachache,Mungu tutazame kwa jicho la kipekee
Ukenda kenya uganda burundi congo hakuna kukamatana sana police umalizane nae lkn hakuna duniani wasimamia kodi wakakabarabrani ni kuitukanisha serekali kwa maslahi ya matumbo ya tra
HAPA ni dhahili kuwa sasa wananchi wameanza kuchoka kama wanaweza kuongea mbele ya kiongozi hivi bila kuogopa serikali ilitazame tunakoelekea ipo siku wananchi watawashikia mawe viongozi na inaosha wanahasira za muda na machungu mengi
Unajua nchi hii wanazani wenye akili wapo bungeni, mahakamani na serekalini, siku hizi watu wanajua vitu vingi Sana, na kuwadanganya danganya km zaman haipo tena
yani kiongozi anae sikiliza watu wake ndiyo anae faa kuwa kiongozi yani waziri mkuu MUNGU akutunze kwakweli wewe ni baba yetu tuna kuamini una huruma na watu wahali ya chiini mtu akiwa sehemu nzuri hawezi kujua wengine wanapitia changamoto gani wa baba wanaonge mpaka wana tamani kulia kulingana na njinsi wanavyo tendewa 😢 inaa saama kama haja kukuta haya huwezi kuelewa ila ya kikukuta ndoutaelewa MUNGU awabaliki wafamya biashara mmetuwakilisha vyema tatizo watu hawa ridhiki na mishahara yao hata kidogo alicho nacho maskini na hicho pia wanataka wasimaizi mkojee? MUNGU ana waona na dhuruma zeenu
Mwigulu anahisi kuvaa skafu ya bendera ya nchi ni sifa kumbe ni ujinga huo .. tena kwa kabila lake sidhani ..kama hilo kabila lake linauwezo kufikiri na kubadilika.
Kwakweli Mwigulu nchemba ni Tatizo kwa nchi hii. ww Ni mvuruga uchumi mkubwa, mnyonyaji uchumi wa wananchi, mbambikizia makodi na matozo kwa wananchi. mwenye kiburi na wivu kwa wafanyabiasha
Lakini Tanzania kuna kudanganyana sana CCM bwana!! Tanzania kuna wafanyi biashara Wachina, Wahindi, na Waarabu mbona hatuwaoni kina Bakhresa, kina Mohamed Dewjina wale Waarabu wengine wako wapi? Wanapigwa mchanga wa Macho wanadanganywa tu masikini CCM.
Huyo mwinguli mama apo pana usiri gani asiondolewe anapiga sana hapo yy na makamshina wa TRA WAZIR MKUU WW MSAIDIZI WA MAMA SAMIA MWINGULU HAFAI ANA KIBURI CHA FEDHA WANAZO ZICHOTA HAPO
Wapeni makavu kweli mie nilikuwa sielewi kama mizigo inatoka Zambia siku hizi ndo inarudi tena Tanzania. Ndio maana Zambia imechangamka yaani na wanaijenga Kwa kasi Inaelekea kuwa kama Kariakoo. Sio mbaya lkn wawe makini Watanzani watakuumbia Nchi
Raiya wanaujua uchumi kuliko walosoma angalieni nchi mnaitia ufukara pas na sababu tre kutwa mwandege kukamata magari wanakusanya rushwa kwa viroba makufuli aliwafukuza pale wanakesha kupitisha malori ya egzepishe kupakia mizigo ya loko nikosa ispokua madereva wanatoa pesa
Yaani watu wa Dar mmefanya kazi ya wabunge..hongereni sana
Ni kweli kabisa.
Kwakweli
Safi Sana wafanyabiashata,huyo mwigulu ana phd ya ufisadi tu, Rip JPM
😂😂😂😂😂
Ni aibu aibu aibu kuja kusemwa hadharani ..heads must roll!
Respect kamamda Adam Zella wao wanafikili wamesomea wao tu biashara wamesahau kuwa wanaowaongoza nao niwasomi wazuri pengine kuliko wao
Wanaunafu wenzetu waliohamia Zambia na Malawi kutafuta riziki,mi walikuja kwenye kabanada kangu wakaniambia nilipiage kabango niliko andika jina langu shilingi 300,000 kwa mwaka,jamani hii Tz kweli wanaifaidi wachache,Mungu tutazame kwa jicho la kipekee
Yaaaani ndio maaana nasema mtaaani Kuna ma genius
Mh kweli Watanzania tumechoshwa nidhamu ya woga imeisha
Sio nidhamu ya woga imeisha uongozi ulioko madarakan ndo umetengeneza mazingira hayo kuanzia rais na wazir mkuu wake
Waziri wa fedha ni. Moja ya takataka za serikari hii😏
Hongela sana wafanyabiashala RIP magufuri
Hafai kuwa waziri wa fedha Jamani amtoe
Kwa kero hizi hata mm nimesajili kampuni yangu hivi karibuni, kwa wizi huu naifunga kampuni Bora niuze maandazi kuliko kukutana na TRA.
Kasome KITABU CHA kiyosaki ,ujue mbinu za KUWEKEZA bila kulipa Kodi best Huko kwenye kampuni umeenda kujinyonga mwenyewe
Hadi kwenye maandaz watakudai kodi
Iyo wizara inatakiwa isafishwe na steel wire.
Safi sana!!!! Wamemwagika sana!!!
jamani wafanya biashara watanzania mkovizuri sn mungu awabariki maoni yenu ipate ufafanuzi
Mama Samia aangalie Uwaziri wa Mwingulu,huyu jamaa hafai kuwa Waziri ndo maana Magufuli alimtoaga kuwa Waziri
Qassim majaliwa ni kiongoz bora sana natamani siku moja aiongoze hii nchi
Insha Allah
Hafai walewale
Ukenda kenya uganda burundi congo hakuna kukamatana sana police umalizane nae lkn hakuna duniani wasimamia kodi wakakabarabrani ni kuitukanisha serekali kwa maslahi ya matumbo ya tra
Huyu jamaa ananondo sana,tatizo nchi yetu inaurasimu sana ndo maana tutaendelea kumkumbuka JPM tu kwa kweli
Sio tutamkumbuka sema nitamkumbuka...
Nashukuru Mungu bado tuna watu timamu,lkn Kuna ,mwigulu,Simba Cha wene,na ........✍️🤔
HAPA ni dhahili kuwa sasa wananchi wameanza kuchoka kama wanaweza kuongea mbele ya kiongozi hivi bila kuogopa serikali ilitazame tunakoelekea ipo siku wananchi watawashikia mawe viongozi na inaosha wanahasira za muda na machungu mengi
Kabisa boss hii ni ya yajayo yanafurahisha wa tz weshachoka sasa
Unajua nchi hii wanazani wenye akili wapo bungeni, mahakamani na serekalini, siku hizi watu wanajua vitu vingi Sana, na kuwadanganya danganya km zaman haipo tena
Kabisa
Hata sisi mombasa tunalia ivoivo. Nairobi hakuna bandari lakni sisi wa mombasa tunategemea mali kutoka Nairobi.
Tutamkumbuka Magufuli kwà hali hii kweli kiongozi bora sio chama ni mtu binafsi na kujali watu na kupenda taifa lako bila kujali tumbo
Huyu mwigulu ...ni hamnazo ..ni bora wa darasa la saba....PhD ya wizi ndo aliyonayo
Ni kweli kabisa wafanya biashara wengi wa Kanda ya ziwa wanaagiza mizigi Uganda na Nairobi.
Majaliwa kiongozi bora sana apewe URAIS kiongozi sikiliza hoja Malalamiko ya wananchi kitu kizuri na kutatua
Huyu kaka apewe yote❤❤❤❤
MUNGU MUNGU MUNGU EE. Nakuomba Mh. Kasim Majaliwa awe Raisi wetu Tanzania 2025.
Huwezi kuwa waziri mkuu miaka 10 halafu uwe raisi kwa katiba hii
yani kiongozi anae sikiliza watu wake ndiyo anae faa kuwa kiongozi yani waziri mkuu MUNGU akutunze kwakweli wewe ni baba yetu tuna kuamini una huruma na watu wahali ya chiini mtu akiwa sehemu nzuri hawezi kujua wengine wanapitia changamoto gani wa baba wanaonge mpaka wana tamani kulia kulingana na njinsi wanavyo tendewa 😢 inaa saama kama haja kukuta haya huwezi kuelewa ila ya kikukuta ndoutaelewa MUNGU awabaliki wafamya biashara mmetuwakilisha vyema tatizo watu hawa ridhiki na mishahara yao hata kidogo alicho nacho maskini na hicho pia wanataka wasimaizi mkojee? MUNGU ana waona na dhuruma zeenu
Kweli kabisa
Kila mtu anatafuta pesa vijana tra wanaajiriwa juzi leo wanamagari hizi ni rushwa
Yaani wee acha tu
Mwigulu anahisi kuvaa skafu ya bendera ya nchi ni sifa kumbe ni ujinga huo .. tena kwa kabila lake sidhani ..kama hilo kabila lake linauwezo kufikiri na kubadilika.
😂😂hyu jamaa ajengewe sanamu aisee
Kwakweli Mwigulu nchemba ni Tatizo kwa nchi hii.
ww Ni mvuruga uchumi mkubwa, mnyonyaji uchumi wa wananchi, mbambikizia makodi na matozo kwa wananchi.
mwenye kiburi na wivu kwa wafanyabiasha
Huyu jamaa nimemkubali anaongea point safi kabisa kutetea HAKI ni kazi jamani.
Kweli wafanybiashara Mmefanya kazi ya Wabunge kuliko wabunge wenyewe
Lakini Tanzania kuna kudanganyana sana CCM bwana!! Tanzania kuna wafanyi biashara Wachina, Wahindi, na Waarabu mbona hatuwaoni kina Bakhresa, kina Mohamed Dewjina wale Waarabu wengine wako wapi? Wanapigwa mchanga wa Macho wanadanganywa tu masikini CCM.
Jamani kiufupi Mwigulu hafai kuwepo wizara ya fedha.
Mmewachana vizuri sana,
Mnawachekea sana
Huyo mwinguli mama apo pana usiri gani asiondolewe anapiga sana hapo yy na makamshina wa TRA WAZIR MKUU WW MSAIDIZI WA MAMA SAMIA MWINGULU HAFAI ANA KIBURI CHA FEDHA WANAZO ZICHOTA HAPO
Well presented
Mwamba amerema points kinoma...afa anajua
Mwigulu hafai, si mtetezi wa wananchi, hiyowizara haiweziii
Tanzania inabunge dhaifu.
Bunge la kula mishahara.
Wachumia tumbo, nchi hii ni ngumu.
Wapeni makavu kweli mie nilikuwa sielewi kama mizigo inatoka Zambia siku hizi ndo inarudi tena Tanzania.
Ndio maana Zambia imechangamka yaani na wanaijenga Kwa kasi
Inaelekea kuwa kama Kariakoo.
Sio mbaya lkn wawe makini Watanzani watakuumbia Nchi
Walikuwa wakisema baba anatumia maguvu kukusanya kodi leo kjkowapiii
Huyu mama kumkumbatia Mwigulu, mtu ambaye hamudu kazi, kutammwangusha azame naye!
Wanaiba pamoja
Ni kweli tunaomba mfutilie miradi yote mnayo peana kuna majungu sana hata hapa nilipo
Barabbara kabisa babamdogo👍🤳
Kodi ya kitenge Zambia milioni 30 Hadi 50 Tanzania milioni 300 just imagine
Muheshimiwa Majaliwa, ni mvumilivu sana
Ulitaka asiwe mvumilivu? Kiongoz sahihi Ni Yule anaeruhusu watoe keep zao hata km anaguswa yeye mwenyewe ajue mapungufu yake
Jamn Kuna watu tunaishi nao lkn wanavitu vikubwa xna cheo kumbe Ni bahati tu ukipata nafax usiichez wapo watanzania weng hawajapat nafx ila wanauwez kuliko ww mwigulu mh nipeni maua yangu
Mzungumzaji moja mwenye ndevu kabla ya wafanyabiashara wa mikoani ameongea vizuri sana kama anafanya kazi TRA
Mkutano wa wafanyabiashara wamefanya kazi ya bunge kabisaa maana wabunge ndio walewale hawana uchungu
Umoja ni nguvu 💪💪
😂😂😂😂😂😂 daaaaah! Nouma sana
Huyu jamaa ajengewe sanam
Tuna bandari haitusaidi waeleze wa TZ , Allah atusaidie,
Mwigulu hafai hata kuongoza kuku wa nyumbani kwake
Mabunge bungeni yapo yapo tu dadeq watu hapa wanaongea points za muhimu😢
Uko sawa ndugu ni aibu tz
Ajiuzulu tu uyoo mwiguluu
Uongozi mbaya haustahili kuendelea kuwepo
Nimekubali
Maofisa wa TRA wote wasimamishwe na wakubwa wao wote na Mali zao zichunguzwe wafilisiwe,kinyume Cha hapo ni kupakana mafuta Kwa mgongo wa chupa.
Mwigulu chembe kama nimuzalendo ni Bora ajiuzuli kama anaipenda Tza asisubili wat wamechoka
Mizigo inaagizwa Nairobi na uganda
Mwigulu na hafai kuwa waziri kabisa mama huna mtu hapo mpka vita itatokea UK I'm leaving huyu mnyeramba
Anajichekesha kipumbavu kama chizi kaokota mkate jalalani fukuza hilo yeye ndio anasababisha maisha kua magumu tz
Mungu fundi
Dah dah
Mwigulu AJIUZULU UWAZIRI NI MWIZI
Na Scarf ya nchi shingoni,,Muoneeni huruma jmn
Aonewe huruma kwa kuiba fedha za nchi ?
PM ni jabali hata Magu alimkubali akamteua
Nakupenda sana wazili wangu mkuu
Ni kweli kabisa
Bila wabunge wa upinzani bunge ni uozo tu
Uzinduzi ikulu
Ety ajiuzuru....😂😂
Kweli
Sisi Tanzania hatuna waziri wa fedha huyu ni kanjanja yaani changa la macho
Uzur wa JPM angetoaa hapo hapo mamuzi
Raiya wanaujua uchumi kuliko walosoma angalieni nchi mnaitia ufukara pas na sababu tre kutwa mwandege kukamata magari wanakusanya rushwa kwa viroba makufuli aliwafukuza pale wanakesha kupitisha malori ya egzepishe kupakia mizigo ya loko nikosa ispokua madereva wanatoa pesa
Hili ni bunge baada ya lile la sita
Hii serikali inatufanya tuzidi kuhangaika sana
Haki hiki nikichambo Cha mwaka 😅woi
TRA wanatunyanyasa mpaka tunatamani kufunga shule
Akili nyingi sana huyu
Upigaji tu uku tarime simenti yakenya 15000 tanzania 20000 vip acha wizi
Mtakoma magufuli amesha fungua macho ya wanannchi
safiiii
Mwigulu ana PhD ya tozo tu🤣
Tatizo mwigulu tu apo
Ana chekacheka tuu hapo
Mwiguru Nchemba
Nchi ya Tanzania niya Ajabu mnyeramba kuwa waziri wa fedha haifai kabixa
👏🏽👏🏽👏🏽
Asantee
Hivi huyu raisi si amtumbue
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂nyie mmesoma sana😂😂😂😂😂😂😂😂😂makavu lev
Watu wamechoka😂😂😂