KUMEKUCHA ! Hashimu Rungwe AIBUKA "KUNA MTU ANAITWA WAZIRI MWIGURU NCHEMBA " hayajaanza leo / BAJETI

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 4 ก.ค. 2024
  • 🔘JE, NA WEWE UNA HABARI?
    🔘WASILIANA NA MwanaHALISI TV (+255 767 400402),
    🔘WhatsApp (+)255 692 318 213
    🔘Email: mwanahalisitvnews@gmail.com
    🔘KWA HABARI ZA KILA SIKU: mwanahalisionline.com

ความคิดเห็น • 51

  • @sophiemsuya6507
    @sophiemsuya6507 6 วันที่ผ่านมา +5

    Mzee kanichekesha kweli. Wenye hela ndefu ndio wanaotumia vitu vyote bure, wanyonge waendelee kuchangia wakubwa zao. Nyumba bure, magari bure, mafuta bure na matumizi ya juu sana. Mungu awaguse watukumbuke na sisi, wasije tokewa na yale ya Lazaro na tajiri jamani.😢😢😢😢

  • @user-qg1iy5ov3u
    @user-qg1iy5ov3u 6 วันที่ผ่านมา +6

    Kulikuwa na adabu walikuwa wanamjua Mungu sikuhizi hakuna Mungu ni waizi na umjomba

  • @user-qg1iy5ov3u
    @user-qg1iy5ov3u 6 วันที่ผ่านมา +4

    Kila kitu ni maliyako wanakopa kwenye benki muda mrefu ndugu zao ndio wanafanyakazi sehem nzuri tanapa bandarini uwanja wa ndege

  • @prochesytesha8040
    @prochesytesha8040 5 วันที่ผ่านมา +3

    Mkuu mzee wangu upo vzr

  • @jarnskorelly464
    @jarnskorelly464 6 วันที่ผ่านมา +4

    Lakini kweli tulipata chakula bure

  • @albertbunyinyiga7581
    @albertbunyinyiga7581 4 วันที่ผ่านมา +1

    Mzee huko vizuri

  • @peterjosephat6685
    @peterjosephat6685 6 วันที่ผ่านมา +4

    Ile bure iliyokuwa wanapata wananchi wote sasa imeamia kwa wakubwa wa serikali wanyonge wananyonywa

    • @MgonjaFide
      @MgonjaFide 4 วันที่ผ่านมา

      Mnyonge anyongwe na hakiyake iliwe

  • @ndukulusudikucho_
    @ndukulusudikucho_ 4 วันที่ผ่านมา +2

    😂😂😂 haya Mzee wa Ubwawa

  • @MasterOil-qm6vw
    @MasterOil-qm6vw 5 วันที่ผ่านมา +2

    Ni kweli hata madaftar wazazi walikua hawanunui yapo madaftar ya bendera ya tanzania daftari walikuta shuleni wewe waenda t

  • @kaaakwakutuliaa5179
    @kaaakwakutuliaa5179 5 วันที่ผ่านมา +2

    mwiguru hafai

  • @user-vm4zq7kf4e
    @user-vm4zq7kf4e 5 วันที่ผ่านมา +1

    Mzee inchi hii imeshindikana

  • @user-lt1bi5nr1x
    @user-lt1bi5nr1x 4 วันที่ผ่านมา

    Nyerere angejua bora angeiba kama mobutu congo

  • @allyhasani3750
    @allyhasani3750 6 วันที่ผ่านมา +1

    Mzee mkweli

  • @samsonsamwel8782
    @samsonsamwel8782 6 วันที่ผ่านมา +2

    Leta muendekezo

  • @noelnjementi8511
    @noelnjementi8511 5 วันที่ผ่านมา +1

    Msomi kbs

  • @lovenessvisent9408
    @lovenessvisent9408 3 วันที่ผ่านมา

    Hawa ndio watu wa kuwahoji sasa sio yuvisisiem mimi nawalaumu wandishi wa habari tafuteni habari za kina sio za juu juu asant kwa chakula cha akili ,sisi nitahitaji elimu tu ya kujitambua mengine huja yenyeweeee

  • @marandoruzali1946
    @marandoruzali1946 6 วันที่ผ่านมา +1

    Na ukweli umo

  • @VictaDaudi
    @VictaDaudi 6 วันที่ผ่านมา

    Haaaa haaaa haaaaa😊😊😊😊😅😅😅😅😅😂😂😂😂😂 duuuu hatari sanaaaaa

  • @SKY-fk3fz
    @SKY-fk3fz 4 วันที่ผ่านมา

    Kweli wao kila kitu bure, mpaka matibabu bure lakini maskini alipe

  • @user-sw7tf1ob1b
    @user-sw7tf1ob1b 6 วันที่ผ่านมา +1

    Mzee ubwabwe ccm hata ugali wanatowa machozi watakupa wali umezeeka piga siasa za ukombozi siyo za kichawa

  • @shd12m55
    @shd12m55 5 วันที่ผ่านมา

    Ukigombea saivi namii ntakupigia kura ili nile ubwabwa😂

  • @leokamil6284
    @leokamil6284 5 วันที่ผ่านมา

    Kweli Viwanda vyote kwisha kilimo kilikuwepo sukari ,ngano Basutu ,nchi imekwisha mpaka mashamba ya mkonge nayo kwisha .

  • @user-lt1bi5nr1x
    @user-lt1bi5nr1x 4 วันที่ผ่านมา

    Mzee sani

  • @emilianchibinda82
    @emilianchibinda82 6 วันที่ผ่านมา +1

    Miaka ile baada ya uhuru wananchi walikuwa wachache
    Ni kweli shule za bweni tulipewa kila kitu bure hadi 1978 tulitangaziwa miezi 18 ya kufunga mkanda hali iliyoendelea.

    • @allyhasani3750
      @allyhasani3750 6 วันที่ผ่านมา

      Tukiwa weng uzalishaji no mkubwa

    • @remigusluambana9880
      @remigusluambana9880 6 วันที่ผ่านมา +2

      Watu wachache vipi,inatakiwa uchumi uwe directly proposional na population,punguza hayo mashangingi mashangingi na matumizi hapo pana hela

  • @leokamil6284
    @leokamil6284 5 วันที่ผ่านมา

    Kweli kabisa baada ya vita ndio likaanza balaa la hali ngumu

  • @knight6757
    @knight6757 6 วันที่ผ่านมา

    😂

  • @bernardjohn8788
    @bernardjohn8788 5 วันที่ผ่านมา

    Uchaguzi umekaribia. Wameibuka

  • @kichenjekichenje2072
    @kichenjekichenje2072 6 วันที่ผ่านมา

    Mtangazaji mbona umekomalia sn ubwabwa 😂😂

  • @jeisawaya7638
    @jeisawaya7638 4 วันที่ผ่านมา

    Hii ng’ombe kumbe bado iko mzeee Muhuni hawa ndiyo walifaidi huduma ya taifa ila hawana shukurani ila naona kama mwehu fulani

  • @noelnjementi8511
    @noelnjementi8511 5 วันที่ผ่านมา

    Rugwe azeeki kbs yupo

  • @user-my5yp6xx5s
    @user-my5yp6xx5s 6 วันที่ผ่านมา

    Uko vizuri mzee wapashe

  • @jeisawaya7638
    @jeisawaya7638 4 วันที่ผ่านมา

    Waandishi hakuna tanzania hojini watu wenye akili timamu munahoji watu walio changanywa na maisha matokeo ndiyo hayo hakuna tulicho pata kweli una akili iliyo sawa unaenda kumhoji rungwe kweli muna iangusha tasnia ama mna nia ya kum dhalilisha Mzee wa watu aonekane hivyo

    • @lovenessvisent9408
      @lovenessvisent9408 3 วันที่ผ่านมา

      Duu pole ila mm naamini umemuelewa Mzee ila hutak kuwa mkweli,pole kama ni kweli hujaelewa maana huna akil

  • @user-zb5qz6fk1v
    @user-zb5qz6fk1v 4 วันที่ผ่านมา

    Kiongozi wa fedha hafai kibaka na fisadi John alimtimua

  • @ramadhanishabani807
    @ramadhanishabani807 4 วันที่ผ่านมา

    Shida watanzania wengi mafal

  • @KenedyThabiti
    @KenedyThabiti 5 วันที่ผ่านมา

    Namkubari sana huyu mzee

  • @jeisawaya7638
    @jeisawaya7638 4 วันที่ผ่านมา

    Mkafanya kila njia wewe na nani

  • @zengomikomangwa9264
    @zengomikomangwa9264 6 วันที่ผ่านมา +1

    Mzee toa sera zako. Ilitujue unachopendekeza ilitujue kama ni realistic

  • @abdalahgunda1319
    @abdalahgunda1319 6 วันที่ผ่านมา

    One of the difficulty in Africa leadership is about mostly out Africa politician prefer much this wait education show PhD bachelor diploma and so on but take even they sun to oversize question mark me as the abdala ahamedy is this education getting Africa seem education getting wait skin on my sense l said no l don't think so why seem education pasonol getting to Russian or chaina or western citizens are quaghty difference PhD in Africa fighting for pasonol life and extended family not pablic but wait skin leadership fighting with pablic economy this are different education between wait and we black education

  • @noelnjementi8511
    @noelnjementi8511 5 วันที่ผ่านมา +1

    Nimependa anakofia nzur sn anajuwa kuvaaa

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole7438 5 วันที่ผ่านมา

    Mzee wa Ubwabwa wewe kula ruzuku tu huna lolote

  • @AbdulmujibAhmed
    @AbdulmujibAhmed 6 วันที่ผ่านมา

    We mzee midevu inakutia wazimu kanyoe

  • @aliyageorge6794
    @aliyageorge6794 6 วันที่ผ่านมา

    Mzee mnafiki!

    • @peterjosephat6685
      @peterjosephat6685 6 วันที่ผ่านมา +1

      Mnafiki niwew

    • @elioimer8423
      @elioimer8423 5 วันที่ผ่านมา

      Watu wa ccm ukisema kweli mnafiki ….. anachosema mzee Rungwe kwa sababu tulikuwako wakati ule tuliyaona na ni kweli. Nina uhakika anachosesa mzee ni mnafiki kazaliwa juzi hayajui. Yote haya na uchumi wa nchi ya Tz kwa ujumla kudidimia , ilitokana na vita vya Kagera ni sio vinginevyo. Mpaka leo tumefunga mikanda.

  • @bilid4128
    @bilid4128 3 วันที่ผ่านมา

    😂😂😂😂

  • @chapaboyclassic3907
    @chapaboyclassic3907 6 วันที่ผ่านมา

    🤣🤣🤣