KUMEKUCHA ! Hashimu Rungwe AIBUKA "KUNA MTU ANAITWA WAZIRI MWIGURU NCHEMBA " hayajaanza leo / BAJETI
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 4 ก.ค. 2024
- 🔘JE, NA WEWE UNA HABARI?
🔘WASILIANA NA MwanaHALISI TV (+255 767 400402),
🔘WhatsApp (+)255 692 318 213
🔘Email: mwanahalisitvnews@gmail.com
🔘KWA HABARI ZA KILA SIKU: mwanahalisionline.com
Mzee kanichekesha kweli. Wenye hela ndefu ndio wanaotumia vitu vyote bure, wanyonge waendelee kuchangia wakubwa zao. Nyumba bure, magari bure, mafuta bure na matumizi ya juu sana. Mungu awaguse watukumbuke na sisi, wasije tokewa na yale ya Lazaro na tajiri jamani.😢😢😢😢
Kulikuwa na adabu walikuwa wanamjua Mungu sikuhizi hakuna Mungu ni waizi na umjomba
Kila kitu ni maliyako wanakopa kwenye benki muda mrefu ndugu zao ndio wanafanyakazi sehem nzuri tanapa bandarini uwanja wa ndege
Mkuu mzee wangu upo vzr
Lakini kweli tulipata chakula bure
Mzee huko vizuri
Ile bure iliyokuwa wanapata wananchi wote sasa imeamia kwa wakubwa wa serikali wanyonge wananyonywa
Mnyonge anyongwe na hakiyake iliwe
😂😂😂 haya Mzee wa Ubwawa
Ni kweli hata madaftar wazazi walikua hawanunui yapo madaftar ya bendera ya tanzania daftari walikuta shuleni wewe waenda t
mwiguru hafai
Mzee inchi hii imeshindikana
Nyerere angejua bora angeiba kama mobutu congo
Mzee mkweli
Leta muendekezo
Msomi kbs
Hawa ndio watu wa kuwahoji sasa sio yuvisisiem mimi nawalaumu wandishi wa habari tafuteni habari za kina sio za juu juu asant kwa chakula cha akili ,sisi nitahitaji elimu tu ya kujitambua mengine huja yenyeweeee
Na ukweli umo
Haaaa haaaa haaaaa😊😊😊😊😅😅😅😅😅😂😂😂😂😂 duuuu hatari sanaaaaa
Kweli wao kila kitu bure, mpaka matibabu bure lakini maskini alipe
Mzee ubwabwe ccm hata ugali wanatowa machozi watakupa wali umezeeka piga siasa za ukombozi siyo za kichawa
Ukigombea saivi namii ntakupigia kura ili nile ubwabwa😂
Kweli Viwanda vyote kwisha kilimo kilikuwepo sukari ,ngano Basutu ,nchi imekwisha mpaka mashamba ya mkonge nayo kwisha .
Mzee sani
Miaka ile baada ya uhuru wananchi walikuwa wachache
Ni kweli shule za bweni tulipewa kila kitu bure hadi 1978 tulitangaziwa miezi 18 ya kufunga mkanda hali iliyoendelea.
Tukiwa weng uzalishaji no mkubwa
Watu wachache vipi,inatakiwa uchumi uwe directly proposional na population,punguza hayo mashangingi mashangingi na matumizi hapo pana hela
Kweli kabisa baada ya vita ndio likaanza balaa la hali ngumu
😂
Uchaguzi umekaribia. Wameibuka
Mtangazaji mbona umekomalia sn ubwabwa 😂😂
Ndo maisha
Hii ng’ombe kumbe bado iko mzeee Muhuni hawa ndiyo walifaidi huduma ya taifa ila hawana shukurani ila naona kama mwehu fulani
Rugwe azeeki kbs yupo
Uko vizuri mzee wapashe
Waandishi hakuna tanzania hojini watu wenye akili timamu munahoji watu walio changanywa na maisha matokeo ndiyo hayo hakuna tulicho pata kweli una akili iliyo sawa unaenda kumhoji rungwe kweli muna iangusha tasnia ama mna nia ya kum dhalilisha Mzee wa watu aonekane hivyo
Duu pole ila mm naamini umemuelewa Mzee ila hutak kuwa mkweli,pole kama ni kweli hujaelewa maana huna akil
Kiongozi wa fedha hafai kibaka na fisadi John alimtimua
Shida watanzania wengi mafal
Namkubari sana huyu mzee
Mkafanya kila njia wewe na nani
Mzee toa sera zako. Ilitujue unachopendekeza ilitujue kama ni realistic
One of the difficulty in Africa leadership is about mostly out Africa politician prefer much this wait education show PhD bachelor diploma and so on but take even they sun to oversize question mark me as the abdala ahamedy is this education getting Africa seem education getting wait skin on my sense l said no l don't think so why seem education pasonol getting to Russian or chaina or western citizens are quaghty difference PhD in Africa fighting for pasonol life and extended family not pablic but wait skin leadership fighting with pablic economy this are different education between wait and we black education
Nimependa anakofia nzur sn anajuwa kuvaaa
Mzee wa Ubwabwa wewe kula ruzuku tu huna lolote
We mzee midevu inakutia wazimu kanyoe
Mzee mnafiki!
Mnafiki niwew
Watu wa ccm ukisema kweli mnafiki ….. anachosema mzee Rungwe kwa sababu tulikuwako wakati ule tuliyaona na ni kweli. Nina uhakika anachosesa mzee ni mnafiki kazaliwa juzi hayajui. Yote haya na uchumi wa nchi ya Tz kwa ujumla kudidimia , ilitokana na vita vya Kagera ni sio vinginevyo. Mpaka leo tumefunga mikanda.
😂😂😂😂
🤣🤣🤣