ไม่สามารถเล่นวิดีโอนี้
ขออภัยในความไม่สะดวก
RAIS MWINGINE AMSHANGAA MTU MREFU 7 7, AFANYA NAYE MAHOJIOANO
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 5 ก.ค. 2024
- Rais wa awamu ya Nne wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dr Jakaya Kikwete amemuuliza matatu kijana mwenye urefu wa Futi 7 na Nusu ambaye anashiriki Maonesho ya sabasaba jijini DSM akiwa kama Balozi wa Kampuni inayohusika na kujenga, kuuza, kupina viwanja, kijana ambaye amekuwa ni kivutio kikubwa katika maonesho haya ya 48.
Maswali aliyoulizwa hapa ni pamoja na kuhusu kitanda anacholalia, nguo anazovaa, lakini hata viatu anapataje saidi. N a majibu ya Julius yakawa ni oda maalum lasivyo hapati vipimo vyake madukani.
Follow us on:
FACEBOOK;
SpotiLeo: / spotileo-176. .
HabariLeo: / habarileo
DailyNews: / dailynewstz
INSTAGRAM;
HabariLeo: ....
SpotiLeo: ....
TWITTER;
Twitter HabariLeo: Ha...
Mungu fundi
Utalii tosha nembo ya taifa
Kikwete bhana😆😆😆
Huyu jama kama lebron James basketball jamaa mrefu balaa
Ningekuwa huyu jamaa ningekuwa nashikashika watu vichwa na kupiga konzi inapobidi
🙆♀🙆♀
Huyu itabidi wamkatie fungu maana maana amekua kama maonyesho
Zakayo😂😂😂