EXCLUSIVE:MJUE LUHAGA MPINA MBUNGE MZALENDO ANAYEWASHAMBULIA MAWAZIRI na KUIKOSOA SERIKALI BILA UOGA

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 4 ก.ค. 2024
  • Makala hii inalenga Maisha Halisi ya Mbunge wa Jimbo la kisesa Mhs; LUHAGA MPINA hapa utajua Yote usiyoyajua katika Maisha Yake , Vilevile utajua Kwanini anapigwa vita Sana na MAWAZIRI na wabunge mashuhuri Tanzania
    Fuatilia Makala hii mpaka mwisho Kisha Comment tuyafahamu mawazo yako kwenye hili
    #dullysantz #santzmedia #simulizinasauti #wasafimedia #cloudsmedia #exclusive #efm #history #dullysantz #millardayo #ccm #santzmedia
  • บันเทิง

ความคิดเห็น • 187

  • @NicolasiLuhende
    @NicolasiLuhende 10 วันที่ผ่านมา +21

    😢 hongera sana mheshimiwa mpina wewe ndiyo kiongozi wa kweli

    • @wadeelegbogun3015
      @wadeelegbogun3015 10 วันที่ผ่านมา +1

      Kweli kabisa

    • @Santzmedia
      @Santzmedia  10 วันที่ผ่านมา

      Sahihi ☑️

    • @Santzmedia
      @Santzmedia  10 วันที่ผ่านมา

      🤝🇹🇿

    • @FredyKabotola
      @FredyKabotola 22 ชั่วโมงที่ผ่านมา

      ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤​@@wadeelegbogun3015

  • @wadeelegbogun3015
    @wadeelegbogun3015 10 วันที่ผ่านมา +15

    Mpina oyeeeeeeee, your the best, time will tell.

  • @MusaJuma-jr7wb
    @MusaJuma-jr7wb 10 วันที่ผ่านมา +15

    Jibu hoja Bashe mpina tunamfuatilia sana uko safi

  • @yayananajota5838
    @yayananajota5838 6 วันที่ผ่านมา +2

    It's great Men, let him be and God bless him and protect him,

  • @Dominaevance
    @Dominaevance 10 วันที่ผ่านมา +18

    Hongera Sana Mheshimiwa Luhaga Joelson Mpina, Uonevu WA Spika Juu Yako uko hadharani, Piga Moyo Konge Sisi kama Watanzania tumeona, Ni Bora wakufukuze kuliko kukubali Uonevu Huu WA hadharani.

    • @KhadijakassimMwaipaya
      @KhadijakassimMwaipaya 10 วันที่ผ่านมา +1

      Mashaalah mungu akulinde

    • @marcokaroje8980
      @marcokaroje8980 8 วันที่ผ่านมา +1

      Wapiga makofi hapo Bungeni na huyo spika wao 99% watabaki kupiga makofi mitaani 2025 hawawakilishi wananchi ila wanamwakilisha spika ambaye nae hakuchaguliwa na wananchi

  • @GraceShayo-mj3oc
    @GraceShayo-mj3oc 4 ชั่วโมงที่ผ่านมา +1

    Mungu akulinde na mabaya yote , na Mungu atakuinua sana

  • @AmosKachatiro
    @AmosKachatiro 10 วันที่ผ่านมา +4

    Nakukubali mheshimiwa

  • @hadijatwahadossa
    @hadijatwahadossa 9 วันที่ผ่านมา +6

    Hongera mpina,,, hata ukiandamwa, ,wasema kweli selikarini tunawajua...endelea
    Mungu yupo pamoja na wewe

  • @gracesage989
    @gracesage989 6 วันที่ผ่านมา +1

    Mpina Mungu akubariki usikate tamaa songa mbele Mungu yuko na wewe.

  • @user-jc8vt7ct9t
    @user-jc8vt7ct9t 9 วันที่ผ่านมา +3

    Viva LUHAGA MPINA

  • @julianamasunga3458
    @julianamasunga3458 9 วันที่ผ่านมา +7

    Acheni hizooo jibuni hoja zake,,,,mpina ❤

  • @mwinyisaruni8974
    @mwinyisaruni8974 8 วันที่ผ่านมา +4

    Hatuna chakukusaidia Ila tunakuombea jembe,

  • @hssanrubota3891
    @hssanrubota3891 8 วันที่ผ่านมา +3

    Huyu ni Traule wa Tanzania

  • @manawamarco6511
    @manawamarco6511 6 วันที่ผ่านมา +2

    viva luhanga mpina tunakuombea we ni jembe

  • @user-zy6vq6lz7z
    @user-zy6vq6lz7z 7 วันที่ผ่านมา +4

    Mpina apewe nchi, awe rais

  • @camilomassao8971
    @camilomassao8971 9 วันที่ผ่านมา +4

    MZALENDO

  • @bahatidamiani561
    @bahatidamiani561 5 วันที่ผ่านมา +1

    Viva Luhaga Mpina mzalendo wetu

  • @Haroonlguo
    @Haroonlguo วันที่ผ่านมา +1

    Www utakuwa mtetezi wetu mpina

  • @wanguwangu34
    @wanguwangu34 10 วันที่ผ่านมา +15

    Tanzania nzima hakuña mbunge mwenye akili na uthubutu kama luhaga Mpina, yaani CCM yote hakuna

    • @frankmaeda4284
      @frankmaeda4284 9 วันที่ผ่านมา +1

      Mpina the Great

    • @tumainimayala8187
      @tumainimayala8187 9 วันที่ผ่านมา +1

      Hakuna..yamejaa machawa wakiongozwa na kupe wao Speaker🤯

    • @joshuaandrew386
      @joshuaandrew386 8 วันที่ผ่านมา

      ​@@tumainimayala8187😂😂😂😂😂😂

    • @joshuaandrew386
      @joshuaandrew386 8 วันที่ผ่านมา

      ​@@tumainimayala8187umetishaaa Sana et kupe wao spika😂

    • @joshuaandrew386
      @joshuaandrew386 8 วันที่ผ่านมา

      ​@@tumainimayala8187umetishaaa Sana et kupe wao spika😂

  • @asteriashios1852
    @asteriashios1852 10 วันที่ผ่านมา +9

    Mpina Yuko vinzuri sana anaitetea haki na ndiye tunaempenda yaani anasema ukweli mtupu

    • @Santzmedia
      @Santzmedia  10 วันที่ผ่านมา +1

      Sahihi 🤝

  • @Ambwene
    @Ambwene 6 วันที่ผ่านมา +2

    Mpina ni Mwamba kuliko wapiga Makofi 💪 💪 💪 💪 💪 💪 💪 💪 💪 💪

  • @janethpallangyo3855
    @janethpallangyo3855 6 วันที่ผ่านมา +1

    ❤❤❤❤❤❤Mpina

  • @yayananajota5838
    @yayananajota5838 6 วันที่ผ่านมา +3

    Ukifanya kazi chini ya kivuri vcha 👹 lazima mtetezi wa haki atachhukiwa😥so badly,

  • @DiscowKajojo-no2up
    @DiscowKajojo-no2up 9 วันที่ผ่านมา +1

    Well done

  • @francisboydmwakyusa230
    @francisboydmwakyusa230 9 วันที่ผ่านมา +1

    Ukirejea elimu yake, utajua kuwa masomo aliyosoma Mpina si masomo ya mtu mwenye akili ndogo, mtu mvivu na mtu mwenye afya mgogolo. Hivyo ili kumuelewa Mpina inakutaka uwe na vigezo sawa au zaidi ya vigezo nilivyo vitaja hapo juu. Wanasiasa wengi hawana vigezo hivyo na bahati Mbaya sana Nchi yetu haija zipa taasisi kuwa vinara wa taaluma na taaluma hizo kulindwa. Kinyume chake tuna haribu, dharirisha taaluma muhimu kwa maendeleo ya Nchi Kinyume na matarajio ya kitaalamu. Nchi ikielendelea kwa aina hii ya utendaji na utoaji maamuzi, ni vigumu kujikwamua ktk maendeleo shindanishi tuliyomo kama sehemu ya dunia. Sasa siasa ikiendeshwa kama porojo au funika jamvi twende, Tuna weka rehani maisha ya Vijana na viazazi vijacho. Pls STOP THIS FOR GOOD.

  • @zabronmwaipungu2212
    @zabronmwaipungu2212 6 วันที่ผ่านมา +2

    Hilo ndo bunge letu bwaana, hajasoma alicho kiwasilisha Mpina.

  • @nyabahailani3169
    @nyabahailani3169 10 วันที่ผ่านมา +6

    Luhanga mtu mzuri sana jembe sana yaani wewe spka hufai kabisa wewe puuu

  • @RehemaSalum-vp6rf
    @RehemaSalum-vp6rf 10 วันที่ผ่านมา +4

    Mm nampenda kwasbb ni mapema kweli na anajalo maslah ya Nchi yake

  • @awadhkannah6587
    @awadhkannah6587 10 วันที่ผ่านมา +3

    Kweli kweli, watu unapinga kuingiza sukari kwa wingi wakati Wananchi wanahaha na sukari, alitaka tuendelee kununua bei ya juu, anatetea wafanya biashara wanaoficha sukari,, mzalendo wake upo wapi?

    • @allymusira2153
      @allymusira2153 9 วันที่ผ่านมา

      Hapo hata mimi nashangaa mtu anayepinga kuingiza sukari kwa wingi ili bei ishuke anaonekana eti mzalendo ujinga mtupu

    • @EzekiaMtwale
      @EzekiaMtwale 5 วันที่ผ่านมา

      Kuagiza sukari nje co shida, shida ni utaratibu uliotumika kuagiza umefuata utaratibu?! Au ni kwa faida ya wachache!!!

  • @user-ub3gy5od1m
    @user-ub3gy5od1m 10 วันที่ผ่านมา +5

    Bunge lifanywe kuwa pango la wabunge kuwa chawa kwa ajili ya kujipatia kipato, kila atimize jukumu la kuwasemea wananchi kwa maslahi ya wote

  • @GizibetLameck
    @GizibetLameck วันที่ผ่านมา +1

    Ukimo wa ccm umefika kwahali hii

  • @florakweyunga4490
    @florakweyunga4490 10 วันที่ผ่านมา +2

    Msema ukweli ni Mpz wa Mungu peke yake tu.ila Duniani Kwa sisi binadamu inakuwa ngumu.but Tumuachie Mungu ndo muweza wa yote.

    • @Santzmedia
      @Santzmedia  10 วันที่ผ่านมา

      Ahsante Sana kwa maoni yako Rafiki 🙏

  • @RajabuSikabwe-rp1lj
    @RajabuSikabwe-rp1lj 9 วันที่ผ่านมา +1

    Tatizo labashe nimadawa yakugandamizawatu wamsikilizetu hatamulikuwa munamsubili akiongeya wotekimya sioni sioni anachokifanya Bashe akikasikuoni ilawalewasiojuwa mutampongeza wakinamsukuma

  • @amohammed3390
    @amohammed3390 2 วันที่ผ่านมา +1

    Uingereza hakuna chuo kikuyu kinachitwa Scotland.

  • @user-xx8fb4ed5u
    @user-xx8fb4ed5u 10 วันที่ผ่านมา +2

    Angalia picha zote za bashe anatucheka watanzania kuwa hatuna akili!!!!!

  • @piusjaphet2760
    @piusjaphet2760 8 วันที่ผ่านมา +1

    Visheria vya Tanzania ndio zinalitia umasikini wa mawazo na woga

  • @SuleimanMussa-x5i
    @SuleimanMussa-x5i 8 วันที่ผ่านมา +1

    Nyinyi amuna lolote mama ana piga kz muasheni kisa ni mzanzbar endekuw mbara mwenzenu munge mpaa sifa zote ila ss wazanzbr muna tubagua kwanza muna tunyonya hatutaki tna kuw nanyi

  • @LeonardSiasi
    @LeonardSiasi 4 วันที่ผ่านมา +1

    Komaa 0:50

  • @user-cj2iq1qv6n
    @user-cj2iq1qv6n 9 วันที่ผ่านมา +1

    NA MPINA ATAFUKUZWA KIMEZENGWE KAMA ALIVYOFUKUZWA NDUGAI

  • @SaruniChristophersabaya
    @SaruniChristophersabaya 4 วันที่ผ่านมา +1

    Nyie watanzania ni makuma sana ukweli unauma

  • @patiellulu6063
    @patiellulu6063 3 วันที่ผ่านมา +1

    Chadema

  • @jumamayonga8914
    @jumamayonga8914 8 วันที่ผ่านมา +3

    Namuomba mwenyezi Mungu yanayotokea kenya yasitokee kwetu. Lakini hali sivyo. Mpina anatetea wananchi

  • @abdallahmakange6173
    @abdallahmakange6173 9 วันที่ผ่านมา +1

    Tanzania inchi ya ajabu sana mtu aneongea hukweli ndio mungo.😢😢muhongo ndio mkweli....😢😢😢😢

  • @evaristjoseph8151
    @evaristjoseph8151 5 วันที่ผ่านมา +1

    Unajua nakuelewa sana mpina ?

  • @MilloWamilonga-ft8ir
    @MilloWamilonga-ft8ir 8 วันที่ผ่านมา +1

    Mpina hana ulaji ndio shida yote, mpeni uwaziri atulize kichwa chake cha ovyo.

  • @user-rm8fd3wh3w
    @user-rm8fd3wh3w 9 วันที่ผ่านมา +1

    Tulia you you said nonsense.mpina he is done right to people

  • @AnabElmi-kx6ml
    @AnabElmi-kx6ml 5 วันที่ผ่านมา +1

    Luhaga mpina amekosea kufuta sheria angepaswa asubiri maelekezo ya spika hivyo sheria ifuate mkondo kumpa adhabu anayostahili

  • @hamzakimaro3764
    @hamzakimaro3764 9 วันที่ผ่านมา +1

    BASHE asikusumbue huyu watu wapo nyuma yake!!subiri muda si mrefu watajitokeza!!

  • @allyfutto8763
    @allyfutto8763 9 วันที่ผ่านมา +3

    Spina atapigwavita vitality Sanaa kwakuwa mdadisi na watadharilika wengine kwa kumuhandama

  • @shijandobehe4953
    @shijandobehe4953 10 วันที่ผ่านมา +9

    Viva mpina Wewe ni mwamba

  • @janiafaomaa5120
    @janiafaomaa5120 9 วันที่ผ่านมา +2

    MPINA MZALEDO WA SAN TZ MEDIA ANATUMIWA NA MABEPARI WAKUBWA KILA MTU ANAJUWA LAKINI SASA HIVI KAKWAMA UJANJA UMEMUWISHIA

    • @Santzmedia
      @Santzmedia  9 วันที่ผ่านมา +1

      Mhh....?

  • @isayasimwinga2854
    @isayasimwinga2854 9 วันที่ผ่านมา +1

    Spika hana kosa, amefanya sehemu yake.

  • @user-jm3ms2ry5v
    @user-jm3ms2ry5v 7 วันที่ผ่านมา +1

    Mpina bana Hadi penarty

  • @simonchristian6319
    @simonchristian6319 10 วันที่ผ่านมา +1

    Nyaraka zilisemaje?tunataka hapo,usipotezee hiyo mada humo😅

  • @user-jj7qv7kh2s
    @user-jj7qv7kh2s 10 วันที่ผ่านมา +4

    Hakika mpina ni mwanga wa Taifa ila bashe ipo siku tutakuwajibisha.

  • @mwinyisaruni8974
    @mwinyisaruni8974 8 วันที่ผ่านมา +1

    Anayepingwa angali anaona ukweli basi yeye ajuaye ukweli atatenda yake ,

  • @zabronmwaipungu2212
    @zabronmwaipungu2212 6 วันที่ผ่านมา +1

    Mama yangu wanajipigia makofi tu daa!

  • @lucasmugoma2870
    @lucasmugoma2870 7 วันที่ผ่านมา +1

    Tanzaaaani ndio nini

  • @KenedyThabiti
    @KenedyThabiti 9 วันที่ผ่านมา +1

    Hatuna spika hapo anatete uovu mpina wewe mwamba njoo upande wapili

  • @DiwaniMwafongo
    @DiwaniMwafongo 9 วันที่ผ่านมา +1

    " lt is very danger.." kiingereza cha Bashe.... Bashe say " lt is very dangerous........kweli watanzania hatujui kiingereza

    • @Santzmedia
      @Santzmedia  9 วันที่ผ่านมา +1

      😆😆

    • @josephlorri431
      @josephlorri431 8 วันที่ผ่านมา

      Bashe ndo anajiona sana anajua lugha ya malikia..mara kwa mara huwa anaongea maneno ya kiingereza bila sababu yoyote.. lakini hawezi kutengeneza sentence ya kiingereza

  • @adoniemanuel908
    @adoniemanuel908 10 วันที่ผ่านมา +1

    Hivo inatakiwakua kusimamia haki hata kama watatoa roho yako siku itafika yakitikea kama ya kenya utabaki salama wrwe na familia yako ole wa hao wachumia tumbo kitakua kilio na kusaga meno

    • @Santzmedia
      @Santzmedia  10 วันที่ผ่านมา

      ⚖️ ndio tatizo

  • @yahayahussein3224
    @yahayahussein3224 9 วันที่ผ่านมา +1

    Hana uzalendo wowote zaidi ya kuwa Fitina

    • @bcozhenry2698
      @bcozhenry2698 9 วันที่ผ่านมา

      😂😂😂fuvu lako halina uwezo wa kupima mambo ya kitaifa! Kula tu vya konakona

  • @jumamayonga8914
    @jumamayonga8914 8 วันที่ผ่านมา +3

    Mpina keep on

  • @JmMsukuma-c8l
    @JmMsukuma-c8l 2 วันที่ผ่านมา +1

    Mwanetu mpina kaza tuko nyuma yako

  • @AbdulMndizi-p8n
    @AbdulMndizi-p8n 6 วันที่ผ่านมา +1

    Mpina ni mwamba pekee anaeishi

  • @al-bleproshooteur1922
    @al-bleproshooteur1922 8 วันที่ผ่านมา +1

    😢

  • @janiaoma7093
    @janiaoma7093 7 วันที่ผ่านมา +1

    Kelele nyigi mpina wataka nenda chadema mwazo msigwa hapedezewa ukaeda ccm na wewe hukupededezewa hamamia chadema usileie tabu mtu moja wewe nani

  • @ndukulusudikucho_
    @ndukulusudikucho_ 9 วันที่ผ่านมา +2

    Uzalendo sio kutoa shutuma Kwa wenzio bila ushahid, Bunge sio sehem kuleta chuki, hasad, na wivu bila hoja, wako pale kuwakilisha Wananchi na kutunga Sheria sio majungu, adhabu aliopewa iwe fundisho Kwa wengine, leta hoja zenye mashiko sio mihemko, maana jamaa bado anaota awamu ya tano tu

    • @NdageKitahama
      @NdageKitahama 8 วันที่ผ่านมา +2

      Ww ni pumba za mpunga hujui chochote maana Kama umeshindwa kuelewa hoja alizotoa mpina na ushahidi kautoa mbele ya bunge unataka ushahidi aina gani ww hata darasani unaonekana ilikuwa ziro

    • @JesusJesus-ny1sm
      @JesusJesus-ny1sm 8 วันที่ผ่านมา

      Wapumbavu kama wewe ndiyo mmetufanya tuwe masikini maisha magumu Tanzania hii !!!! Km hujuwi kaa kimya, Pumbavu sana.

  • @Mima-cl2im
    @Mima-cl2im 9 วันที่ผ่านมา +1

    Speaker dictator. Huyu mama amelibeba bunge hili kama mali yake. Huyu Bashe asituletee kiingereza chake cha Kenya.

  • @aliakrabi8321
    @aliakrabi8321 7 วันที่ผ่านมา +1

    acha uwongo wewe, sio university of scotland, hicho ni chuo kingine. alisomea univ of Strathclyde, Glasgow, scotland.

  • @raphaelondego7703
    @raphaelondego7703 9 วันที่ผ่านมา +1

    Agomee sasa urais.

  • @zacharialtd9519
    @zacharialtd9519 9 วันที่ผ่านมา +1

    Mbona miaka mnamuwekea michache sana

    • @Santzmedia
      @Santzmedia  9 วันที่ผ่านมา +1

      Miaka gani Rafiki

  • @HabibuSaid-up5sn
    @HabibuSaid-up5sn 10 วันที่ผ่านมา +2

    Mzalendo gani anauchungu atamani kurudiswa uwaziri tatizo ya watanzania munajisahau 2 SI alitesa Wa vuvi huyu igekuwa afaa magu asigemtoa

    • @Santzmedia
      @Santzmedia  10 วันที่ผ่านมา

      😥

    • @joctanmtambi895
      @joctanmtambi895 10 วันที่ผ่านมา

      Alikamata wavuvi washenzi anaovua kwa kutumia nyavu zenye sumu nakuzichoma Moto nyavu zote haramu​@@Santzmedia

    • @Mima-cl2im
      @Mima-cl2im 9 วันที่ผ่านมา

      ACHA KUPOTOSHA. KAMA HUELEWI NYAMAZA

    • @user-gv8yn9lg1i
      @user-gv8yn9lg1i 9 วันที่ผ่านมา

      Wabunge wakipiga makofi" ndioooo" mnasema bunge la ndioooo, akipatikana mbunge KAMA MPINA, pia hamtaki, sasa msimamo wako ni upi????

  • @user-bz5ti6op6z
    @user-bz5ti6op6z 5 วันที่ผ่านมา +1

    Amewahi kupima samaki na rula huyu.

  • @ChristinaWengae-ps5jr
    @ChristinaWengae-ps5jr 9 วันที่ผ่านมา +1

    Hongera sana kaka yangu mung akusaidie

  • @salumnassornassor9733
    @salumnassornassor9733 10 วันที่ผ่านมา +1

    Haiki itabakia kua haki uyo speaker atakiongea unajua kua anatetea uovu

    • @Santzmedia
      @Santzmedia  10 วันที่ผ่านมา

      🤝🇹🇿

  • @MsafiriKadege
    @MsafiriKadege 9 วันที่ผ่านมา +1

    Ka mkubwa nakupenda mpaka naumwa na nataka kuwa kama wewe

  • @user-jl5un4wf3u
    @user-jl5un4wf3u 6 วันที่ผ่านมา +1

    HuyoMpina niakilinyingi naujuzi nyie hamutaki wenye akili? nimaajabu.

  • @MatesoMatanga-bs3bt
    @MatesoMatanga-bs3bt 8 วันที่ผ่านมา +1

    Ila nyie

  • @user-rg5sg1xz8p
    @user-rg5sg1xz8p 9 วันที่ผ่านมา +3

    Wamebakia wachache sana hapa tanganyika

  • @GeofreyMwandanji-ot2lf
    @GeofreyMwandanji-ot2lf 9 วันที่ผ่านมา

    Jemedali wakweli

  • @user-sx3ys1gs9p
    @user-sx3ys1gs9p 9 วันที่ผ่านมา +1

    Bashe alikua yule wa magufuri ila huyu wa Sasa hamna kitu

    • @Santzmedia
      @Santzmedia  9 วันที่ผ่านมา +1

      Kwanini??!!

  • @Mima-cl2im
    @Mima-cl2im 9 วันที่ผ่านมา +1

    Serikali ya CCM haitaki wabunge wasomi na wenye kuelewa. Wabunge wengi ueleo wawo ni mudogi sana. Kazi yao ni kukubali kila kitu kwa kusema NDIYO. Kwa kifupi watanzania hatuna wawakirishi. Na tuna chama cha siasa kimoja na demokrasia ya bandia.

  • @MatesoMatanga-bs3bt
    @MatesoMatanga-bs3bt 8 วันที่ผ่านมา +1

    Bc two

  • @alisalimo2861
    @alisalimo2861 8 วันที่ผ่านมา +1

    Huyo ataka umarufu huyo mpina sio alikua waziri mbona alishindwa

  • @msafirimaulidi5054
    @msafirimaulidi5054 10 วันที่ผ่านมา +1

    Lkn uyu si alikuw wazir wa ccm

  • @josephjohn2114
    @josephjohn2114 4 วันที่ผ่านมา +1

    Elimu yake umechapia acha uongo.

    • @Santzmedia
      @Santzmedia  4 วันที่ผ่านมา +1

      Ukweli ni upi Mzee??!!

  • @husseinjosephitocho6754
    @husseinjosephitocho6754 9 วันที่ผ่านมา +1

    spika na kisomari cha mchongo vyote ni panya road

    • @Santzmedia
      @Santzmedia  9 วันที่ผ่านมา +1

      😆😆😆

  • @user-xh8kd9ze7o
    @user-xh8kd9ze7o 9 วันที่ผ่านมา +1

    Mweshiwa mpina tunakupenda Sana, ww Ni mbunge mzalendo mungu atakulinda

    • @Santzmedia
      @Santzmedia  9 วันที่ผ่านมา +1

      🇹🇿

  • @epimackjohn461
    @epimackjohn461 9 วันที่ผ่านมา +2

    MPINA ni bingwa aliyebeba sifa kubwa sana kwa wananchi kwa UHODARI , wewe msomali BASHE unazungumza kwa kuremba na kakiingereza , lakini MPINA wengi wamemkubali . SPIKA ameenda mbio mno kumhukumu na ameonyesha woga wa kuumbuka kwa washirika wake .

  • @FadhiliMesha-pd2th
    @FadhiliMesha-pd2th 10 วันที่ผ่านมา +3

    bunge humo Kuna bunge au bunge la ccm

  • @user-cj2iq1qv6n
    @user-cj2iq1qv6n 9 วันที่ผ่านมา +2

    Luhaga Mpina Ni Mzalendo Wa Kwer Akutakiwa Kua Chama Cha Ccm Ccm Wezi Tu Hawapendi Wabunge Wanaowatetea WANANCHI MBONA WATANGANYIKA WOTE TUNAJUA

  • @MartinYakobo-io1og
    @MartinYakobo-io1og 5 วันที่ผ่านมา +1

    Muongo wwewe

    • @Santzmedia
      @Santzmedia  5 วันที่ผ่านมา +1

      Ok sawa

  • @simonchristian6319
    @simonchristian6319 10 วันที่ผ่านมา +1

    😂😂😂😂😂😂. Uonevu huoooo

  • @jumamayonga8914
    @jumamayonga8914 8 วันที่ผ่านมา +2

    Huo ushahidi aliouta mbona haukuwekwa wazi bungeni?

  • @jamesmboneko2952
    @jamesmboneko2952 8 วันที่ผ่านมา +1

    Mpina uko juu sana. Watanzania tupo nyuma yako

  • @eddahkobong271
    @eddahkobong271 9 วันที่ผ่านมา +2

    Kila msema ukweli siku zote ni mbaya.

  • @JoshuakaruJoshu-pk3es
    @JoshuakaruJoshu-pk3es 9 วันที่ผ่านมา +2

    Mpina wanamwanza tukopamoja nawewe muache spika awalinde wahalifu

  • @user-yr1dv2oq7r
    @user-yr1dv2oq7r 8 วันที่ผ่านมา +1

    Mpina jembe

  • @mwinyisaruni8974
    @mwinyisaruni8974 8 วันที่ผ่านมา +1

    Haya bwana jembe pambana ulibakia ukiwapambania Tz mungu akutangulie,