MITI 10 BORA AMBAYO NI TIBA KWA KUKU
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 11 ม.ค. 2024
- #tibaasilizakuku #uleajiwavifaranga
✍️Jifunze tiba zingine za asili AU kienyeji za kuku kupitia video hizi
• Tiba asili/Kienyeji za...
👇follow us wasap channel
whatsapp.com/channel/0029Va9g...
👇follow us telegram via
t.me/agalustv
⏩ other videos • Uleaji wa Vifaranga vy...
Bando Langu halijaenda Bure ,God bless you
Amen 🙏🏿 Same too
Asante
Tupo pamoja ndugu
Asante Kwa elimu
Barikiwa pia
Ahsante kwa. Soma LA leo
Tupo pamoja ndugu
Habari ni mfugaji mgen na napenda sana ufugaji nitakusumbua sana ngoja nikufatilie
Karibu Sana ndugu
Asante kwakutujuza mtalaam wetu na mwalimu, sasa matumizi umesema nikiwa siku tano ama nne, sasa sali langu ni gili : ukiwapa dawa hizi, utawapa tena baada y'a mwezi ama miezi mi ngapi ili uhakukishe kuku wako wa naenda vizuri, tiba nikila baada y'a mda gani
Angalau kila mwez
Kama kuku haumwi angalau Kila mwezi mara 1
Asante kwa kutuelezea mtaalamu wetu mm ninatatizo moia ni vifaranga vyangu wanajisaidia kinyesi Cha kaki halafu ,wameanza kushuka mabega Nini shida nisaidieni
Hongera Kwa ufugaji na elimu nzuri, kuku wangu wana changamoto ya kuvaa Makoti, pia wanapata choo Cha brown nimewapa dawa ya dukani ila jee naweza kuwapa mmea kama saumu, majan ya papai na mpera???
Ni coccidiosis iyo ndugu.Mbali na dawa zingatia usafi. Iyo mimea hakuna unaweza kuku saidia
Matumizi ya mwarobaini kwa kuku yako
Ngoja video yake inakuja
Nina kuku wang ambao hawakui tang watotolewe n mamayo je Kuna miti gan ambay yawez ungez ukuaj wao tafadhal naomba kujuzwa
Miti hapana ila boresha lishe na Hali ya joto
Naomba unieleweshe nielewe
Kwenye mti Gani apo ukaelewa
Ndugu mm nakufuatilia sana kimya kimya
Natumia mwarobain matokeo wanaacha kutaga
Nn tatz
Yaan ukitumia tu mwalobaini wanaacha kutaga? Na mwalobaini Unatumia kwa ajiri Ya kutibu nini?
Je naweza kutumia dawa zote kwa mara moja
Hapana
Naomba kujua mapalachichi je???
Ngoja tufuatilie zaidi kujua
Ni mimea gani aumajani yanayohusika Sana kwenyekutibu minyoo?
Majani ya mpapai
Asante kwa somo zuri. Naweza kuchanganya majani hayo kwenye maji yao ya kunywa?
Yaani majani yote ayo 10?
Molinga ndio mlonge?
Ndio
Majani ya muembe matumizi yake yakoje
Yaani una maana unataka kujua nini
Naomba msaada wa faida ya majani ya magimbi kwa kuku
Mmmh ngoja tufuatilie tuone kama kuna faida
Magimbi yanasaidia nn kwa kuku
Ni Kinga kwa magonjwa maana Yana vitamin pia
Za uzima Samahani vip kuhusu mmea WA mchunga unasaidia nini Kwa kuku?
Ngoja tufuatilie zaidi ndugu tutakujibu
asante kwa masomo mazuri
Barikiwa pia
Je nikichemsha majanihayo Kuna tatizo@@AGALUSTV
Asante
Tupo pamoja ndugu