Jinsi ya Kutunza Vifaranga vya Kuku wa Kienyeji
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 16 ก.ค. 2021
- jinsi ya kutunza vifaranga vya kuku wa kienyeji
Ufagaji wa vifaranga vya kuku wa kienyeji una changomoto nyingi, wafugaji wengi wamekuwa hawajui mbinu ambazo zitawasadia kuweza kutunza vifaranga vya kuku wa kienyeji katika mbinu ambazo zitawafanya vifaranga wasife. kama nawe ni miongoni mwa wafugaji hoa, siku ya leo nitakupa mbinu bora za kutunza vifaranga vya kuku wa kienyeji.
*OFA OFA OFA KWA WANACHANGAMKIA FURSA*
TUFUGE KUKU WA KIENYEJI ni kitabu (Pdf) cha Muongozo wa ufugaji wa kuku wa kienyeji utakao kupa mwanga wa kufuga kuku wa kienyeji kwa mafanikio kwa kukupa mbinu za namna gani ya kuzuia Magonjwa na kupunguza gharama za uendeshaji wa mradi wako. Sasa pdf inapatikana kwa punguzo la 20%, jipatie nakala yako hiyo kwa kubonyeza link na fata maelekezo.
wa.me/message/XOAG2ZZZDYA6J1
Yt
D
W
Nimeshindwa kudowloard hiyo pdf nilikuwa naomba jinsi ya kudowloard nikijaribu kudowloard inaleta whattaapps
Maoni yangu...
1. Mama yao anapata shda kula.
2. Hiyo nyavu inaleta baridi kutoka chini hata kama wanakumbatiwa. Iwepo space ya isiyo na nyavu hapohapo ndani atakapolala na watoto. Iwe na insulation materials kama maranda.
4. Kuna kiasi cha chakula kinapotea kupitia wavu.
4. Upo vizuri kwenye kutumia local materials.
Kudos..unatoa hamasa nzuri..
👏👏👏👏👏
Asante sana bro sharing is caring
Ningependa kufahamu hii pillet ni chakula aina gani
Safin sana
Nime.wapata.vizuri
Dawa ya macho mkuu macho yanafunga na hayafunguki
Oo sawa
Maashaallaah nimependa sana somo ubalikiwe
Amina
Very good explanation...Grrat work!!!👏👏...i love your innovations... Very creative...
Thanks 😊
Nakubal Sanaa somoo zur Sanaa mkuu ja blessed
Asante sana
@@changamkiafursa 🙏🙏🙏mkuu tunajifunzaa kupitia ww ili tufikie malengo na ss
Nzuri sana hii njia
Asante sana
Habari za kazi nahitaji kuwa mfugaji na Nina eneo kubwa sana naomba tuwasiliane
Karibu sana
Uko vizuri
Pamoja sana
Hongera sana
Asante sana
Saf kabisa nimejifunza kitu apo
Nimeipenda hiyo.
Pamoja sana
Asante. Kwamafunzo
Tuko pamoja
@@changamkiafursa naomba namba yako ya simu
Namba zako tupe
Nakukubali sana ndugu yangu yani kila nikitazama vidio zako napata kitu ambacho nilikua skijui au nakijua ila sikitumii kwa sana Allah akuongoze
Amin 🤲
Ahsante tuelimishen
Tunashukuru kwa kufatilia
Asante sana sikujua kama maj ya bard huwafanya wakose raha asubuh kumbe tatizo ndo hilo
Asante kwa kufatilia vipindi vyetu
ongera sana
Asante sana kiongozi
Nmependa
Asante sana
smart
Asant, nn kinasababisha kuku kuharibu mayai wakati anapolalia?
Tangu niijue hii channel nafurahia ufugaji niliteseka sana na vifo vya vifaranga
Nitatofautishaje kifaranga mtetea na jogoo?
Kwa nini chanjo ya matone hutolewa mara 1 halafu ya kunywa kila baada ya miezi 3?
Nivizuri kuwapa dawa ya kinga wakiwa na siku moja?
Naomba maelekezo kutengeneza chakula cha vifaranga nisinunue vya kiwandani
Unauza vifaranga
Vifaranga wa kienyeji wanapewa chanjo au hiyo anti biotic tu ndo inatosha?
Mimi naomba namba zako mtaalam mimi niko Zanzibar nahitaji msaada katika ufugaji
Ongela kwa ufugaji Bora naomba namba yako ya simu
Hii piret ndio ile wanayokula kuku wa nyama au tofaut
keep up bro
Kazi ya wavu hiyo chini ya banda?
Naomba namba yako kaka kunamaswali nataka kukuuliza
Hogela sana nimepanda sana ufugaji wako vp nawaza nakapata namba yako tuwasiliane zaind
Naomba orodha ya chanjo anatakiwa kupew kifaranga mpk kufikisha miez 2
kifaranga wa mwezi m1 shi ngapi
Naomba unipe elimu usipoandaa banda la kulelea vifaranga wakashinda wanapolala na mama Yao inafaa kwa vifaranga ?
Nimepend na nimejifunza pia
Vizuri
Habari, asante kwa somo zur, naomba kuuliza khs banda la kulelea vifaranga je hua hakina dirisha la hewa au linatakiwa kuwa je?
Linawekwa kwa juu ili kulinda joto
Hiyo sijui pilet ndio nini kwa kiswahili na inapatikana wapi
Je wanapewa chanjo wakiwa na umri gani
Niko mazingira yenye baridi sana eneo la makete sasa kuku vifaranga havikui kabisa vya kienyeji na huwa sijui shida ni nini boss
Habari naomba kujua dawa ya vidonda vinavyowatoka vifaranga kichwani
Hizo chupa za patika na wapi
Namba ya Ili tufanye biashara
Very beautiful chicks. 💜❤️💚💙💖
Unawachanganyia maji na antibiotic gani haswa?
Neoxychick formula
Kiukweli kuku wa kienyeji wakubwa ni wana mwamwa hikchakula una kabiliana aje naiyo changamoto
Hiyo antibaytic ni ipi Mbona hujataja Jina lake
Pilet inatengenezwaje au inauzwa dukani
Nitumie namba yako
Hayo machupa umeyafanyaje mpaka yamekuwa hivyo natamani niwe na vyombo kama hivyo kwa kulishia vifaranga
Kwann kweny band chini umewek wavu kwan mbao hazifai
Kazi nzuri lakini hio nyumba ya kuku haijanipendeza..
Asante
😅😅😅
hicho chakula nikienda dukani nisema nataka chakula Gani?
Hiv hiyo anti biotic haitohasiriwa na maji ya moto
Unafanya Kaz nzuri sana,,,,ila naomba utuwekee video ya jins ya kutengeneza Banda Bora la kulelea vifaranga!
Asante sana
@@changamkiafursa nataka mniunge kwenye group la wasap
Napenda sn
Madawa za chanjo kwa vifaranga ni zipi
Have
Piret nini?....
Hongera sana kaka. Video iko vizuri na maelezo yako yanaeleweka. Swali ,Je hicho chakula chao hakichanganywi na pumba? Na wanatakiwa kipewa hicho chakula kwa muda gani?
Hakichanganywi, wanapewa kwa wiki 5-6
Bei ikoje ya hicho chakula?
Naipata wap samahani nipo dodoma,
apo kwenye machupa ya maji bdo cjaelewa vzr mkuu
Sawa nitandaa tutorial yake
Asante mkuu
hao vifaranga ulowahamisha , wana siku ngapi
Walikuwa na siku 4
Inakuaje kuku wa kienyeji anataga mayai mengi
chakula cha vifalanga nini na nini
Kwa siku huwa wanakula kuasi gan Cha chakula? Na janjo unawapa wakiwa na umri gan au siku ngap?
Wakiwa vifaranga siwapimii ila wakifikisha wiki 4 naanza kuwapumia.
Chanjo nawapa siku ya 7, 14, 21, 28 na wakifikisha wiki 8
Mbona vifaranga ni vikubwa vina umli. Gani.pia mbegu gani
Hapo walikuwa na siku 6 toka kuanguliwa
Kuku mmoja jike anauwezo wa kutoto hadi mayai mangapi??
Itategemea na ukubwa wa umbo Lake, wengine ni kuanzia 14 - 18
Pilet ni chakula kipo madukani special?
Ndio
Hii chakula naeza pata wapi
Kipo maduka ya vyakula vya mifugo
Y
Pilet nini
Kuku wawil wanaanguaje vifaranga 33
Inawezekana kama umewapa 20 kila mmoja
Pileti ni nini?
Chakula cha chengachenga
Hongera brother nimejifanza jmbo kutoka kwako......✍🇴🇲🇹🇿
Je ktk hayo maji unatiya chonjo gani kuwapa vifaranga?
Asante brother
Kaka tusaiedie mawasiliano yako
Mbona yako kwenye video nyingi
hayo maji unabadiri kwa mda gani kiongozi
Kila ninapoona yamechafuka
hbr mkali hayo machupa ya maji unayatoboatoboa ili kutoa maji?
Hizi pellets za vifaranga 0 - 4 weeks hakuna namna ya kutengeneza, maana maeneo nlipo ziwezi pata
Hakuna kwa sababu ili kupata hizo punje unachukua stater ambayo imechanganywa tayari
What if nikitia maji starter ili isipotee nyingi??
Sio sahihi
Kuku hatakiwi kula chakula chenye unyevu
Ni umri gani unafaa kuwapa chanjo
Siku 7, 14, 21 na 28
Naomba kama una group whatsap niunge tafadhali
Vifaranga wa mama mwengine hawapigwi ns hy mama alokuwa sio wake?? Mama mlezi unampa hy hy starter wanayokula vifaranga??
Hapana, huwa nawaatamisha siku moja hivyo ukiwachangaya wanakua hawajajua kuwatofautisha
@@changamkiafursa hapo kuna maswali mawili kama sijakosea umejibu moja....mama kuku nae anatumia hiyohiyo starter na hayo maji ya vitamini
Ndio wala haina madhara kwake. Baada ya wiki 4, unamtoa nje aendelee na mzunguko wa utagaji
@@changamkiafursa shukran sana mkuu nimekuelewa
Tuko pamoja
Mbona vifaranga wanaingia ndani ya chombo Cha chakula?watakunya humo WATAOTA gonjwa ww
Kadri wanavyokuwa wanakosa uwezo wa kuingia lakini wakiwa chini ya umri wa wiki moja hakuna namna. Hawawezi kuugua maana wanapata antibiotics
Unakaa wapi? Namba yako tafadhali
0656528455
Maji hayo unachanganya na nini mkuu
Neoxychick formula ni antibiotiki yenye vitamins
naomba kuuliza pumba nini
Napenda Sana ufugaji wa kuku lkn najua wanataka malezi ya hali ya juu ndio ufanikiwe. Nilijaribu na Nikawa naenda kwa kasi Sana ila nilipoondoka kumuachia mtunzi mwengine walikufa km nzige na sikujua sababu. Nn sababu ya kuku kufa kwa mpigo Tena wakubwa kwa wadogo
Ugonjwa wa Kideri
Chanjo ya ugonjwa wa kideri ni ipi na huchanjwa Kila baada ya muda gani ?
Hongera Sana naomba unielekeze kutengeneza hicho kidude Cha kuwekea chakula,kazi njema