Jinsi ya Kutunza Vifaranga vya Kuku wa Kienyeji

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 16 ก.ค. 2021
  • jinsi ya kutunza vifaranga vya kuku wa kienyeji
    Ufagaji wa vifaranga vya kuku wa kienyeji una changomoto nyingi, wafugaji wengi wamekuwa hawajui mbinu ambazo zitawasadia kuweza kutunza vifaranga vya kuku wa kienyeji katika mbinu ambazo zitawafanya vifaranga wasife. kama nawe ni miongoni mwa wafugaji hoa, siku ya leo nitakupa mbinu bora za kutunza vifaranga vya kuku wa kienyeji.

ความคิดเห็น • 152

  • @changamkiafursa
    @changamkiafursa  2 ปีที่แล้ว +3

    *OFA OFA OFA KWA WANACHANGAMKIA FURSA*
    TUFUGE KUKU WA KIENYEJI ni kitabu (Pdf) cha Muongozo wa ufugaji wa kuku wa kienyeji utakao kupa mwanga wa kufuga kuku wa kienyeji kwa mafanikio kwa kukupa mbinu za namna gani ya kuzuia Magonjwa na kupunguza gharama za uendeshaji wa mradi wako. Sasa pdf inapatikana kwa punguzo la 20%, jipatie nakala yako hiyo kwa kubonyeza link na fata maelekezo.
    wa.me/message/XOAG2ZZZDYA6J1

  • @ibrahimsanga690
    @ibrahimsanga690 3 ปีที่แล้ว +15

    Maoni yangu...
    1. Mama yao anapata shda kula.
    2. Hiyo nyavu inaleta baridi kutoka chini hata kama wanakumbatiwa. Iwepo space ya isiyo na nyavu hapohapo ndani atakapolala na watoto. Iwe na insulation materials kama maranda.
    4. Kuna kiasi cha chakula kinapotea kupitia wavu.
    4. Upo vizuri kwenye kutumia local materials.
    Kudos..unatoa hamasa nzuri..
    👏👏👏👏👏

  • @uswazinews4047
    @uswazinews4047 2 ปีที่แล้ว +1

    Asante sana bro sharing is caring

  • @ezekielkofa6734
    @ezekielkofa6734 2 ปีที่แล้ว +5

    Ningependa kufahamu hii pillet ni chakula aina gani

  • @alexmmari1807
    @alexmmari1807 2 ปีที่แล้ว

    Safin sana

  • @kafulumalima7853
    @kafulumalima7853 2 ปีที่แล้ว

    Nime.wapata.vizuri

  • @user-fg8wn2mc9y
    @user-fg8wn2mc9y 11 หลายเดือนก่อน

    Dawa ya macho mkuu macho yanafunga na hayafunguki

  • @HalidDaniel
    @HalidDaniel 3 หลายเดือนก่อน

    Oo sawa

  • @haseanatnsanya2079
    @haseanatnsanya2079 2 ปีที่แล้ว

    Maashaallaah nimependa sana somo ubalikiwe

  • @christinahenryevna9961
    @christinahenryevna9961 2 ปีที่แล้ว +3

    Very good explanation...Grrat work!!!👏👏...i love your innovations... Very creative...

  • @salehejumanne9243
    @salehejumanne9243 3 ปีที่แล้ว +1

    Nakubal Sanaa somoo zur Sanaa mkuu ja blessed

    • @changamkiafursa
      @changamkiafursa  3 ปีที่แล้ว

      Asante sana

    • @salehejumanne9243
      @salehejumanne9243 3 ปีที่แล้ว

      @@changamkiafursa 🙏🙏🙏mkuu tunajifunzaa kupitia ww ili tufikie malengo na ss

  • @jacksonmakombe7439
    @jacksonmakombe7439 3 ปีที่แล้ว

    Nzuri sana hii njia

  • @nassorokigaga2091
    @nassorokigaga2091 2 ปีที่แล้ว

    Habari za kazi nahitaji kuwa mfugaji na Nina eneo kubwa sana naomba tuwasiliane

  • @fidesbenard2836
    @fidesbenard2836 3 ปีที่แล้ว

    Uko vizuri

  • @nsiaelieza9568
    @nsiaelieza9568 3 ปีที่แล้ว

    Hongera sana

  • @StephanMabuga
    @StephanMabuga 3 หลายเดือนก่อน

    Saf kabisa nimejifunza kitu apo

  • @jamessichimata36
    @jamessichimata36 3 ปีที่แล้ว

    Nimeipenda hiyo.

  • @halimaleila2323
    @halimaleila2323 3 ปีที่แล้ว

    Asante. Kwamafunzo

  • @user-jn7pi4fl5m
    @user-jn7pi4fl5m 2 ปีที่แล้ว

    Namba zako tupe

  • @abdallahidarous
    @abdallahidarous 3 ปีที่แล้ว +2

    Nakukubali sana ndugu yangu yani kila nikitazama vidio zako napata kitu ambacho nilikua skijui au nakijua ila sikitumii kwa sana Allah akuongoze

  • @fatmasmarimbo9519
    @fatmasmarimbo9519 3 ปีที่แล้ว +1

    Ahsante tuelimishen

  • @vitusvedastus3781
    @vitusvedastus3781 2 ปีที่แล้ว +1

    Asante sana sikujua kama maj ya bard huwafanya wakose raha asubuh kumbe tatizo ndo hilo

  • @dinnahkiliba5363
    @dinnahkiliba5363 3 ปีที่แล้ว +1

    ongera sana

  • @eddahmwinzi
    @eddahmwinzi 2 ปีที่แล้ว

    Nmependa

  • @mishikai1367
    @mishikai1367 2 ปีที่แล้ว

    smart

  • @beatricealkard4685
    @beatricealkard4685 3 ปีที่แล้ว +2

    Asant, nn kinasababisha kuku kuharibu mayai wakati anapolalia?

  • @naizymsangi7713
    @naizymsangi7713 9 หลายเดือนก่อน

    Tangu niijue hii channel nafurahia ufugaji niliteseka sana na vifo vya vifaranga

  • @marystellankongoki-vp1fn
    @marystellankongoki-vp1fn 9 หลายเดือนก่อน

    Nitatofautishaje kifaranga mtetea na jogoo?

  • @leahmgunda4154
    @leahmgunda4154 ปีที่แล้ว

    Kwa nini chanjo ya matone hutolewa mara 1 halafu ya kunywa kila baada ya miezi 3?

  • @margaretwanjiku9621
    @margaretwanjiku9621 2 ปีที่แล้ว

    Nivizuri kuwapa dawa ya kinga wakiwa na siku moja?

  • @monicashayo7340
    @monicashayo7340 หลายเดือนก่อน

    Naomba maelekezo kutengeneza chakula cha vifaranga nisinunue vya kiwandani

  • @soniabulyota6557
    @soniabulyota6557 3 ปีที่แล้ว

    Unauza vifaranga

  • @maryamhamad9149
    @maryamhamad9149 2 ปีที่แล้ว

    Vifaranga wa kienyeji wanapewa chanjo au hiyo anti biotic tu ndo inatosha?

  • @alanami2846
    @alanami2846 2 ปีที่แล้ว

    Mimi naomba namba zako mtaalam mimi niko Zanzibar nahitaji msaada katika ufugaji

  • @drallicemugasa3086
    @drallicemugasa3086 2 ปีที่แล้ว

    Ongela kwa ufugaji Bora naomba namba yako ya simu

  • @hafidhichagila91
    @hafidhichagila91 2 ปีที่แล้ว

    Hii piret ndio ile wanayokula kuku wa nyama au tofaut

  • @ericknyoso3643
    @ericknyoso3643 2 ปีที่แล้ว

    keep up bro

  • @teng5222
    @teng5222 2 ปีที่แล้ว +1

    Kazi ya wavu hiyo chini ya banda?

  • @monicamajebele9165
    @monicamajebele9165 2 ปีที่แล้ว

    Naomba namba yako kaka kunamaswali nataka kukuuliza

  • @kelementbushishi3687
    @kelementbushishi3687 ปีที่แล้ว

    Hogela sana nimepanda sana ufugaji wako vp nawaza nakapata namba yako tuwasiliane zaind

  • @filbertnolasco2277
    @filbertnolasco2277 3 หลายเดือนก่อน

    Naomba orodha ya chanjo anatakiwa kupew kifaranga mpk kufikisha miez 2

  • @shinoneydah9399
    @shinoneydah9399 2 ปีที่แล้ว

    kifaranga wa mwezi m1 shi ngapi

  • @faridahamadi1450
    @faridahamadi1450 2 ปีที่แล้ว

    Naomba unipe elimu usipoandaa banda la kulelea vifaranga wakashinda wanapolala na mama Yao inafaa kwa vifaranga ?

  • @lawrencemayengo9416
    @lawrencemayengo9416 2 ปีที่แล้ว

    Nimepend na nimejifunza pia

  • @abshamsadick2209
    @abshamsadick2209 3 ปีที่แล้ว +1

    Habari, asante kwa somo zur, naomba kuuliza khs banda la kulelea vifaranga je hua hakina dirisha la hewa au linatakiwa kuwa je?

  • @aqulinaprotas-yx8qk
    @aqulinaprotas-yx8qk ปีที่แล้ว

    Hiyo sijui pilet ndio nini kwa kiswahili na inapatikana wapi

  • @zenaiskilawe9766
    @zenaiskilawe9766 2 ปีที่แล้ว

    Je wanapewa chanjo wakiwa na umri gani

  • @geofreyjoseph9246
    @geofreyjoseph9246 2 หลายเดือนก่อน

    Niko mazingira yenye baridi sana eneo la makete sasa kuku vifaranga havikui kabisa vya kienyeji na huwa sijui shida ni nini boss

  • @RehemaMajura-vo6dw
    @RehemaMajura-vo6dw ปีที่แล้ว

    Habari naomba kujua dawa ya vidonda vinavyowatoka vifaranga kichwani

  • @aminaseha5043
    @aminaseha5043 7 หลายเดือนก่อน

    Hizo chupa za patika na wapi

  • @salimnazir6000
    @salimnazir6000 ปีที่แล้ว

    Namba ya Ili tufanye biashara

  • @TEACHER.CLEOPHAS
    @TEACHER.CLEOPHAS 2 ปีที่แล้ว

    Very beautiful chicks. 💜❤️💚💙💖
    Unawachanganyia maji na antibiotic gani haswa?

  • @emanuelkatoli2298
    @emanuelkatoli2298 2 ปีที่แล้ว

    Kiukweli kuku wa kienyeji wakubwa ni wana mwamwa hikchakula una kabiliana aje naiyo changamoto

  • @halimamashimba4424
    @halimamashimba4424 2 ปีที่แล้ว

    Hiyo antibaytic ni ipi Mbona hujataja Jina lake

  • @user-ts9jc5zt9f
    @user-ts9jc5zt9f 3 หลายเดือนก่อน

    Pilet inatengenezwaje au inauzwa dukani

  • @StephanMabuga
    @StephanMabuga 3 หลายเดือนก่อน

    Nitumie namba yako

  • @rahachuma8948
    @rahachuma8948 2 ปีที่แล้ว

    Hayo machupa umeyafanyaje mpaka yamekuwa hivyo natamani niwe na vyombo kama hivyo kwa kulishia vifaranga

  • @beatricealkard4685
    @beatricealkard4685 3 ปีที่แล้ว

    Kwann kweny band chini umewek wavu kwan mbao hazifai

  • @faithwanyoike1201
    @faithwanyoike1201 2 ปีที่แล้ว

    Kazi nzuri lakini hio nyumba ya kuku haijanipendeza..

  • @user-my2tp8iz9d
    @user-my2tp8iz9d 7 หลายเดือนก่อน

    hicho chakula nikienda dukani nisema nataka chakula Gani?

  • @leedsoldat2961
    @leedsoldat2961 2 ปีที่แล้ว

    Hiv hiyo anti biotic haitohasiriwa na maji ya moto

  • @abelsonmaserimaseri4377
    @abelsonmaserimaseri4377 3 ปีที่แล้ว +6

    Unafanya Kaz nzuri sana,,,,ila naomba utuwekee video ya jins ya kutengeneza Banda Bora la kulelea vifaranga!

  • @edgersikanda
    @edgersikanda ปีที่แล้ว

    Madawa za chanjo kwa vifaranga ni zipi

  • @mkumbushilwasamuelmkisi5123
    @mkumbushilwasamuelmkisi5123 ปีที่แล้ว

    Have

  • @emanuelkatoli2298
    @emanuelkatoli2298 2 ปีที่แล้ว

    Piret nini?....

  • @dorcasassenga2005
    @dorcasassenga2005 3 ปีที่แล้ว

    Hongera sana kaka. Video iko vizuri na maelezo yako yanaeleweka. Swali ,Je hicho chakula chao hakichanganywi na pumba? Na wanatakiwa kipewa hicho chakula kwa muda gani?

    • @changamkiafursa
      @changamkiafursa  3 ปีที่แล้ว

      Hakichanganywi, wanapewa kwa wiki 5-6

    • @rahachuma8948
      @rahachuma8948 2 ปีที่แล้ว

      Bei ikoje ya hicho chakula?

  • @helgamasaki6239
    @helgamasaki6239 2 ปีที่แล้ว

    Naipata wap samahani nipo dodoma,

  • @agnessfabian3292
    @agnessfabian3292 3 ปีที่แล้ว +1

    apo kwenye machupa ya maji bdo cjaelewa vzr mkuu

  • @maryamhamad9149
    @maryamhamad9149 3 ปีที่แล้ว +1

    hao vifaranga ulowahamisha , wana siku ngapi

  • @jacklinealphonse5760
    @jacklinealphonse5760 ปีที่แล้ว

    Inakuaje kuku wa kienyeji anataga mayai mengi

  • @mamamlezi9520
    @mamamlezi9520 2 ปีที่แล้ว

    chakula cha vifalanga nini na nini

  • @eliudmagnus7965
    @eliudmagnus7965 3 ปีที่แล้ว

    Kwa siku huwa wanakula kuasi gan Cha chakula? Na janjo unawapa wakiwa na umri gan au siku ngap?

    • @changamkiafursa
      @changamkiafursa  3 ปีที่แล้ว

      Wakiwa vifaranga siwapimii ila wakifikisha wiki 4 naanza kuwapumia.
      Chanjo nawapa siku ya 7, 14, 21, 28 na wakifikisha wiki 8

  • @iddakafuku3521
    @iddakafuku3521 3 ปีที่แล้ว +1

    Mbona vifaranga ni vikubwa vina umli. Gani.pia mbegu gani

    • @changamkiafursa
      @changamkiafursa  3 ปีที่แล้ว

      Hapo walikuwa na siku 6 toka kuanguliwa

  • @mercypeter162
    @mercypeter162 2 ปีที่แล้ว

    Kuku mmoja jike anauwezo wa kutoto hadi mayai mangapi??

    • @changamkiafursa
      @changamkiafursa  2 ปีที่แล้ว

      Itategemea na ukubwa wa umbo Lake, wengine ni kuanzia 14 - 18

  • @oskamsafiri2814
    @oskamsafiri2814 3 ปีที่แล้ว +1

    Pilet ni chakula kipo madukani special?

  • @owarejevason6296
    @owarejevason6296 3 ปีที่แล้ว +1

    Hii chakula naeza pata wapi

  • @mkumbushilwasamuelmkisi5123
    @mkumbushilwasamuelmkisi5123 ปีที่แล้ว

    Y

  • @GRACENYONI-pp4st
    @GRACENYONI-pp4st หลายเดือนก่อน

    Pilet nini

  • @christinaexaud1506
    @christinaexaud1506 2 ปีที่แล้ว

    Kuku wawil wanaanguaje vifaranga 33

    • @changamkiafursa
      @changamkiafursa  2 ปีที่แล้ว +1

      Inawezekana kama umewapa 20 kila mmoja

  • @edrickgration1173
    @edrickgration1173 2 ปีที่แล้ว

    Pileti ni nini?

  • @fatimahants1526
    @fatimahants1526 3 ปีที่แล้ว

    Hongera brother nimejifanza jmbo kutoka kwako......✍🇴🇲🇹🇿
    Je ktk hayo maji unatiya chonjo gani kuwapa vifaranga?

  • @prettyh7509
    @prettyh7509 3 ปีที่แล้ว

    Kaka tusaiedie mawasiliano yako

  • @jumamnyonge
    @jumamnyonge 3 ปีที่แล้ว +1

    hayo maji unabadiri kwa mda gani kiongozi

    • @changamkiafursa
      @changamkiafursa  3 ปีที่แล้ว +1

      Kila ninapoona yamechafuka

    • @agnessfabian3292
      @agnessfabian3292 3 ปีที่แล้ว +1

      hbr mkali hayo machupa ya maji unayatoboatoboa ili kutoa maji?

  • @jacksontumaini9108
    @jacksontumaini9108 3 ปีที่แล้ว +1

    Hizi pellets za vifaranga 0 - 4 weeks hakuna namna ya kutengeneza, maana maeneo nlipo ziwezi pata

    • @changamkiafursa
      @changamkiafursa  3 ปีที่แล้ว +1

      Hakuna kwa sababu ili kupata hizo punje unachukua stater ambayo imechanganywa tayari

    • @siyakinga2769
      @siyakinga2769 2 ปีที่แล้ว

      What if nikitia maji starter ili isipotee nyingi??

    • @changamkiafursa
      @changamkiafursa  2 ปีที่แล้ว

      Sio sahihi

    • @changamkiafursa
      @changamkiafursa  2 ปีที่แล้ว

      Kuku hatakiwi kula chakula chenye unyevu

  • @musalalika5888
    @musalalika5888 2 ปีที่แล้ว

    Ni umri gani unafaa kuwapa chanjo

  • @selemansuleiman9603
    @selemansuleiman9603 2 ปีที่แล้ว

    Naomba kama una group whatsap niunge tafadhali

  • @muhammedwakif6216
    @muhammedwakif6216 3 ปีที่แล้ว +2

    Vifaranga wa mama mwengine hawapigwi ns hy mama alokuwa sio wake?? Mama mlezi unampa hy hy starter wanayokula vifaranga??

    • @changamkiafursa
      @changamkiafursa  3 ปีที่แล้ว +1

      Hapana, huwa nawaatamisha siku moja hivyo ukiwachangaya wanakua hawajajua kuwatofautisha

    • @jumamnyonge
      @jumamnyonge 3 ปีที่แล้ว +1

      @@changamkiafursa hapo kuna maswali mawili kama sijakosea umejibu moja....mama kuku nae anatumia hiyohiyo starter na hayo maji ya vitamini

    • @changamkiafursa
      @changamkiafursa  3 ปีที่แล้ว +2

      Ndio wala haina madhara kwake. Baada ya wiki 4, unamtoa nje aendelee na mzunguko wa utagaji

    • @muhammedwakif6216
      @muhammedwakif6216 3 ปีที่แล้ว

      @@changamkiafursa shukran sana mkuu nimekuelewa

    • @changamkiafursa
      @changamkiafursa  3 ปีที่แล้ว

      Tuko pamoja

  • @gilbatcarlo8418
    @gilbatcarlo8418 3 ปีที่แล้ว

    Mbona vifaranga wanaingia ndani ya chombo Cha chakula?watakunya humo WATAOTA gonjwa ww

    • @changamkiafursa
      @changamkiafursa  3 ปีที่แล้ว

      Kadri wanavyokuwa wanakosa uwezo wa kuingia lakini wakiwa chini ya umri wa wiki moja hakuna namna. Hawawezi kuugua maana wanapata antibiotics

  • @bibletv9818
    @bibletv9818 3 ปีที่แล้ว

    Unakaa wapi? Namba yako tafadhali

  • @kishingochangawa5383
    @kishingochangawa5383 ปีที่แล้ว

    naomba kuuliza pumba nini

  • @halimashaib9102
    @halimashaib9102 3 ปีที่แล้ว

    Napenda Sana ufugaji wa kuku lkn najua wanataka malezi ya hali ya juu ndio ufanikiwe. Nilijaribu na Nikawa naenda kwa kasi Sana ila nilipoondoka kumuachia mtunzi mwengine walikufa km nzige na sikujua sababu. Nn sababu ya kuku kufa kwa mpigo Tena wakubwa kwa wadogo

    • @changamkiafursa
      @changamkiafursa  3 ปีที่แล้ว

      Ugonjwa wa Kideri

    • @lembrislaboo7247
      @lembrislaboo7247 2 ปีที่แล้ว

      Chanjo ya ugonjwa wa kideri ni ipi na huchanjwa Kila baada ya muda gani ?

    • @benardmwaipaja8577
      @benardmwaipaja8577 2 ปีที่แล้ว

      Hongera Sana naomba unielekeze kutengeneza hicho kidude Cha kuwekea chakula,kazi njema