SABABU 4 ZA VIFARANGA KUFA

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 18 ธ.ค. 2024

ความคิดเห็น • 105

  • @eddyrich.3312
    @eddyrich.3312 ปีที่แล้ว +2

    Napenda sana kufuga kuku wa kienyeji nimepata elimu ya kuanzia nategemea kupata mengi mazuri kutoka kwenu.

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  ปีที่แล้ว

      Karibu Sana ndugu fuatilia channel hii Ina mambo mengi mazuri

    • @VeridianaLuhende
      @VeridianaLuhende 27 วันที่ผ่านมา +1

      Asante naomba niendelee kupata masomo haya maana nimepoteza vifaranga sana

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  27 วันที่ผ่านมา

      @VeridianaLuhende karibu sana ndugu endelea kutufuatilia video zingine zaidi ktkt channel hii ujifunze mengi zaidi

  • @DorinaGanshonga
    @DorinaGanshonga 6 หลายเดือนก่อน +4

    Ninashukuru kwa masomo kuku wangu wanaumwa macho,Ninaomba msaidie chajo na lishe ya vifaranga

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  6 หลายเดือนก่อน

      Macho yanakua je ndugu. Angalia video hii 👇 magonjwa 5 ya Macho kwa kuku na dawa zake
      th-cam.com/video/V_OsGbOnjgA/w-d-xo.html

  • @jonisiamangewa-xn6uf
    @jonisiamangewa-xn6uf หลายเดือนก่อน +1

    Habari za jioni , nimefurahi kwa kujifunza, ninaomba msaada wako , kuku wangu wangu wanatoa kinyesi Cha damu,

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  หลายเดือนก่อน

      Pole sana ndugu wape dawa inaitwa Amplolium

  • @verdianamateru3104
    @verdianamateru3104 6 หลายเดือนก่อน +1

    Asante Sana kwa elimu nzuri ya ufugaji wa kuku.

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  6 หลายเดือนก่อน

      Barikiwa pia

  • @phocuskarumuna1140
    @phocuskarumuna1140 2 ปีที่แล้ว +1

    Asante sana kwa somo zuri sana aisee kulikuwa na tatizo hilo sana la vifaranga kufa na tusijue ni kwa sababu gani

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  2 ปีที่แล้ว

      Pole ndugu na Karibu

  • @AishaMaulid-i7t
    @AishaMaulid-i7t 2 หลายเดือนก่อน

    Asante Kwa Drs naomba mafunzo ya vfrg wa kienyej na dawa za asil

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  2 หลายเดือนก่อน

      Tiba asili/Kienyeji za kuku Aina zote: th-cam.com/play/PL8xez8Eh4s0GAj-_RugCAMpIbo4c13kDL.html

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  2 หลายเดือนก่อน

      Uleaji WA vifaranga
      th-cam.com/play/PL8xez8Eh4s0HoNxv6Z8q2rDM1i8sCH2GT.html

  • @zabibumbawala5216
    @zabibumbawala5216 4 หลายเดือนก่อน +1

    Faida ya vitunguu swaumu

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  4 หลายเดือนก่อน

      Faida za Vitunguu saumu kwa kuku
      th-cam.com/video/2UFuBrIJA-A/w-d-xo.html

  • @janethmasangula5233
    @janethmasangula5233 2 ปีที่แล้ว +1

    Habarí yako asante kwa somo zuri la vifaranga naomba kujua ni chakula gani nimpe kifaranga hadi mwezi uishe na na ni dawa gani pia nitumie ubarikiwe kwamba utanpa jibu

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  2 ปีที่แล้ว +1

      Ni chakula cha vifaranga cha dukani yaaani Broiler stater. Na dawa kwa vifaranga anza na vitamins yenye anti biotic
      Fuatilia zaidi masomo ya uleaji w vifaranga
      th-cam.com/play/PL8xez8Eh4s0ENNDvJHA3l1dLb6SOmAv3b.html

  • @Kibasa-nz8kl
    @Kibasa-nz8kl ปีที่แล้ว +1

    Vifalanga wangu wanakufa sana nifanyeje

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  ปีที่แล้ว

      Jifunze jinsi ya kulea vifaranga kwanza

  • @janemburu1551
    @janemburu1551 2 ปีที่แล้ว +1

    Very useful.Thanks

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  2 ปีที่แล้ว

      Thank you be blessed

  • @hajihamad9488
    @hajihamad9488 2 ปีที่แล้ว +1

    Kindly share video of caring vifaranga. Your lesson is very constructive. Shukran

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  2 ปีที่แล้ว +1

      Thank you for your advice 👏✍️🤝

  • @uwezoshem9173
    @uwezoshem9173 2 ปีที่แล้ว +1

    Asante Sana

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  2 ปีที่แล้ว

      Barikiwa sana🙏🏿

  • @janemburu1551
    @janemburu1551 2 ปีที่แล้ว +1

    Je mnauza vifaranga

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  2 ปีที่แล้ว

      Hapana kwa sasa

  • @bakarimwachanga8803
    @bakarimwachanga8803 2 ปีที่แล้ว +1

    Je kifaranga anahitajika kupata joto la nyuzi ngapii

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  2 ปีที่แล้ว

      ✍️🙏🏿

  • @youtub8320
    @youtub8320 2 ปีที่แล้ว +1

    Nisaidue ndg vifaranga wangu wanaishiwa nguvu miguuni na kufa

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  2 ปีที่แล้ว

      Pole sana vp una dawa gani na je chanjo uliwapa? Na wana umri gani

  • @evodiusemmanuel4203
    @evodiusemmanuel4203 ปีที่แล้ว +1

    Je vifalanga wakitotolewa kunadawa zao wangu wanakufa Sana ni chakula gan wapewe

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  ปีที่แล้ว

      Wape vitamins na chakula bora kile cha vifaranga

  • @shelternimzihirwa3583
    @shelternimzihirwa3583 2 ปีที่แล้ว +1

    Barikiwa

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  2 ปีที่แล้ว

      Amina ndugu nawe pia

  • @fundijumakimbaru7622
    @fundijumakimbaru7622 ปีที่แล้ว +1

    Nitumie

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  ปีที่แล้ว

      Nini ndugu tukutumie

  • @jenifermselle9561
    @jenifermselle9561 8 หลายเดือนก่อน +2

    Naomba video za kulea vifaranga

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  8 หลายเดือนก่อน

      Video zote za kulea vifaranga
      th-cam.com/play/PL8xez8Eh4s0HoNxv6Z8q2rDM1i8sCH2GT.html

  • @NayratDarwesh
    @NayratDarwesh 7 หลายเดือนก่อน +1

    Habari ndugu mimi vifaranga wangu wanakufa sana wanava koti wanatetemeka wanakufa kwa siku wanakufa wa 5 mpaka 6 ni saidie ndugu

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  7 หลายเดือนก่อน

      Pole Sana ndugu apo wape dawa za Coccidiosis. Vp uliwapa chanjo ya Gumboro?

  • @agnesjosephmmbaga1530
    @agnesjosephmmbaga1530 2 ปีที่แล้ว +1

    Asante sana nimejifunza toka kwako ndo nimechukua vifaranga tar 1 mwezi huu nitazingatia hayo .asante sana

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  2 ปีที่แล้ว

      Amina ndugu 🤝🙏🏿

  • @bakarimwachanga8803
    @bakarimwachanga8803 2 ปีที่แล้ว +2

    Naomba video

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  2 ปีที่แล้ว

      Jinsi ya kulea vifaranga
      th-cam.com/video/4xqTBAKBHs4/w-d-xo.html

  • @everlynelumadi7882
    @everlynelumadi7882 2 ปีที่แล้ว +1

    Kindly share more videos

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  2 ปีที่แล้ว

      Thanks ✍️alots

  • @fabianmihale3715
    @fabianmihale3715 ปีที่แล้ว +1

    Napongeza mnatusaidia

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  ปีที่แล้ว

      Barikiwa pia ndugu kwa kua nasi

  • @jamilaramadhani-h1v
    @jamilaramadhani-h1v 3 หลายเดือนก่อน +1

    Inavutia

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  3 หลายเดือนก่อน

      Hakika

  • @Kibasa-nz8kl
    @Kibasa-nz8kl ปีที่แล้ว +1

    Nitumie vyombo vya aina Gani kwa ajili ya vifalanga

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  ปีที่แล้ว

      Vipo MADUKA ya mifugo vyombo vya maji na chakula

    • @Kibasa-nz8kl
      @Kibasa-nz8kl ปีที่แล้ว

      @@AGALUSTV nashukulu kwa maelekezo yako

  • @evodiusemmanuel4203
    @evodiusemmanuel4203 ปีที่แล้ว +1

    Je majb tunayapataje maana wangu anatotoa wk hii

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  ปีที่แล้ว

      Zingatia ayo tulivyo yaeleza kwenye somo

  • @MuniraHomslay
    @MuniraHomslay ปีที่แล้ว +1

    Nikweli tunashindwa kukuza vifaranga

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  ปีที่แล้ว

      Tutaweza tu taratibu ndugu

  • @ELISHAALFAXARD-s4t
    @ELISHAALFAXARD-s4t 9 หลายเดือนก่อน +1

    Naomba kutumiwa video hizo za kulea vifaranga na vyakulaa

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  9 หลายเดือนก่อน

      Fuatilia video zote zipo kkt channel hii

  • @EstherKadeghe
    @EstherKadeghe 6 หลายเดือนก่อน +1

    Mimi nimetotolisha vifaranga 12 na vimekufa vyote

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  6 หลายเดือนก่อน

      😭😭Pole Sana ndugu

  • @AmiduNgwembe
    @AmiduNgwembe หลายเดือนก่อน +1

    Nilikuwa naomba video ya jinsi ya kulea vifaranga

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  หลายเดือนก่อน

      Uleaji WA vifaranga
      th-cam.com/play/PL8xez8Eh4s0ENNDvJHA3l1dLb6SOmAv3b.html

  • @ednarwakatale8883
    @ednarwakatale8883 2 ปีที่แล้ว +1

    Nitumie video za kulea vifaranga

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  2 ปีที่แล้ว

      Somo LA kulea vifaranga
      th-cam.com/video/4xqTBAKBHs4/w-d-xo.html

  • @amininkala5393
    @amininkala5393 ปีที่แล้ว +1

    Mimi nashida vifaranga wangu wanamyezi miwili nanusu lakin wameanza kushusha mbawa na kutoa uhalo mweupe nakuteteneka vinakufa tu

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  ปีที่แล้ว

      Chanjo zipi uliwapa

  • @hamisimadiva
    @hamisimadiva 4 หลายเดือนก่อน

    Mmi wangu wanakufa ndani ya miezi 2 wanavaa koti na wanatowa maji midomini

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  4 หลายเดือนก่อน

      Jifunze dawa kwa miez 2 ya mwanzo
      th-cam.com/video/bj5xRWqzhhM/w-d-xo.html

  • @ommycoin6661
    @ommycoin6661 2 ปีที่แล้ว +1

    Jinsi ya kulea vifaranga

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  2 ปีที่แล้ว

      Hello somo LA jinsi ya kulea vifaranga. Ni. Hilli
      th-cam.com/video/4xqTBAKBHs4/w-d-xo.html

  • @samwelmboje5336
    @samwelmboje5336 ปีที่แล้ว +1

    Shida au tatizo gani kuku anaatamia vizuri na anatotoa vizuri tu ila Sasa hufa zote vingali vidogo tu je huyo anatatizo gani?

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  ปีที่แล้ว

      Jifunze zaidi jinsi ya kulea vifaranga

  • @upendolutego3731
    @upendolutego3731 2 ปีที่แล้ว +1

    Shukrani

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  2 ปีที่แล้ว

      Barikiwa sana

  • @amourmumbere7254
    @amourmumbere7254 11 หลายเดือนก่อน +1

    Asate ku tufunza

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  11 หลายเดือนก่อน

      Tupo pamoja ndugu

  • @kashindiMulumba
    @kashindiMulumba 9 หลายเดือนก่อน +1

    Jinsi ya lulea vi faranga

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  9 หลายเดือนก่อน

      Video zipo ktk channel hii andika jinsi ya kulea vifaranga by agalus TV

  • @mercyngaeje5400
    @mercyngaeje5400 2 ปีที่แล้ว

    Jinsi ya kutengeneza chakula Cha.kuku

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  2 ปีที่แล้ว

      Chakula cha kuku hutegemea umri Wao. Zipo formula za vifaranga, wanaokua na wanaotaga. Jifunze zaidi Kupitia masomo haya
      th-cam.com/play/PL8xez8Eh4s0Ettq9rfYN2okbgi0ionZdU.html

  • @mbarakasadiki870
    @mbarakasadiki870 2 ปีที่แล้ว +1

    Naweza kupata namba yako

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  2 ปีที่แล้ว

      Wasap +255765467484

  • @ansilambala6534
    @ansilambala6534 2 ปีที่แล้ว +1

    Duh alikufa 40 so sad

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  2 ปีที่แล้ว

      Mmmh pole sana ndugu🙆‍♀️

  • @GratienPaluku
    @GratienPaluku 5 หลายเดือนก่อน +1

    samahani tafazali sana munitumiye video zenu mafunzo yana ni vutia ; aksanti kwa yote

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  5 หลายเดือนก่อน

      Enendelea kufuatilia video ktk channel hii zipo nyingi Sana

  • @alicechibanhila3208
    @alicechibanhila3208 ปีที่แล้ว +1

    Je agalus mnauza vifaranga?
    Ninataka kuanza kufuga wa nyama hivyo nataka nianzie na angalau 100.
    Hivi sasa nimefuatilia masomo na mimeweza kuwa na kuku wa kienyeji wengi.
    Nahitaji nifuge wa kuuza maana hawa nafuga wakienyeji. Mimekuwa na uelewa wa chakula madawa ila nahitaji vifaranga wa mwendo kasi

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  ปีที่แล้ว

      Kwa sasa hapana hatuuzi ndugu.

  • @deoluvaco7380
    @deoluvaco7380 2 ปีที่แล้ว

    Jinsi ya kulea kifaranga mpaka akue

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  2 ปีที่แล้ว

      Video ya uleaji wa vifaranga ni hii
      th-cam.com/video/4xqTBAKBHs4/w-d-xo.html

    • @AnnajacksonJacksoni
      @AnnajacksonJacksoni ปีที่แล้ว

      ​@@AGALUSTVAsante

    • @hamisimadiva
      @hamisimadiva 4 หลายเดือนก่อน

      Kweli

    • @hamisimadiva
      @hamisimadiva 4 หลายเดือนก่อน

      Mmi wangu wanakufa ndani ya miezi 2 wanavaa koti na wanatowa maji midomini

  • @JohnAlendu-z7k
    @JohnAlendu-z7k 4 หลายเดือนก่อน

    N

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  4 หลายเดือนก่อน

      ✍️

  • @athomaniamanzi8521
    @athomaniamanzi8521 2 ปีที่แล้ว +1

    Kuaroni

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  2 ปีที่แล้ว

      Language please 🤷‍♀️ try to use English or swahili

  • @christinelennox9054
    @christinelennox9054 6 หลายเดือนก่อน +1

    Asante sana

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  6 หลายเดือนก่อน

      Tupo pamoja

  • @AmiduNgwembe
    @AmiduNgwembe หลายเดือนก่อน +1

    Jinsi ya kulea vifaranga

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  หลายเดือนก่อน

      Uleaji WA vifaranga
      Uleaji wa vifaranga vya kuku: th-cam.com/play/PL8xez8Eh4s0ENNDvJHA3l1dLb6SOmAv3b.html