Asante sana ndugu yangu lwa mafinzo......mimi huwa nkipata changamoto ya madawa ya vifaranga wakiwa wadogo,,,,kuna maduka mengi wanatuuzui madawa yenye sio halali.nengeomba uniambie majina madawa ya kila stage ya kuku.
Nimefurahi sana kupata somo hili kwa undani zaidi. Asante sana maelekezo yanajitoshereza. Naamini nitaanza hilo jaribio mara tu kuku wangu atakapo totoa
Nashukuru kwa some zuri,je hiyo dawa ya asili uliotaja kama alovera unawezaa ukawachanganyia vifaranga kwenye maji siku ya kwanza ulivyowatoa kwa mama yao pamoja na hiyo vitamin
Nimesikiliza maelezo yako kwa umakini wa hali ya juu sana,Nimejifunza vitu vingi mno. niseme asante sana kwa elimu hiii. Naomba msaada wa haya maswali haya 1.Mama wa vifaranga mara baaada ya kumnyang'anya wale watoto anachukua muda gani tena kunza kutaga ? 2.Utagaji wake unaendelea kama awali au utapungua ?
Baada ya wiki 2 hadi 3 kuanza kutaga Tena japo utategemea na lishe utakayo mpa. Utagaji hautapungua kama lishe itakua nzuri. Tunashukuru pia na wewe kwa kutufuatilia
We ni mwalimu mzuri nimeelewa ,asante kwa somo zuri ila nachangamoto ya kuku wangu hawatotoi mayai yote nayomwachia mpaka inatia uvivu inanilazimu kupeleka mayai kwenye mashine
Hongereni sana mimi nimeanza ufugaji wa kuku asili tatizo vifaranga vinakufa sana najitahidi madawa na vyakula ila nafeli naomba msaada ya ratiba za chanjo na madawa na mchanganyiko wa chakula
Mko vizur Sana kaka lakin hapo kwenye magazet Kuna changamoto kwasababu vifaranga wanapokuwa wengi hata kinyesi kinaongezeka,na hii naweza kusababsha vifaranga kupata magonjwa.Ushauri wangu Bora kuweka wavu pale chin sio gazeti!!!!
Nashukuru sana kwa somo lenu na vipindi endelevu. Naomba munielekez vizuri kuhusu mchanganyiko wa vyakula bora vya kulea vifaranga na kuwap kuku watage bila kungoja msimu
Hutegemea utunzaji wa vifaranga kama atawalea vitoto yeye mwenyewe kuku atachelewa na apo utapata idadi y vifranga vichanche kwa mwaka ila kama uta lea vifaranga wewe. Kuku mara baada ya kutotoa atakaa wiki mbili ata taga tena sasa apo utahesabu siku 21 atatotoa tena na kurudia tena kutaga baada ya wik 2 tusaidiane hesabu kidogo ndani ya mwaka atataga mara ngapi?🙏🙏
Asante sana kwa somo zuri jee kama kuku wanapiga sana chafya na wana kunya sana maji ttzo ninini?? Na jee mimi nimekua nikiwapa sana mchunga jee hauna madhara kwao
Sasa mwalimu tunashukuru kwa utaalamu, ila sasa hayo magazeti tutayapata wapi mara kwa mara hapa kijijini ? Na ningeomba unitajiye mitishamba ambayo yanasaidiya kutibu kuku wa asili , maisha ya kijijini ndo hayo tena wala duka la dawa labda hakuna
Fuatilila video zetu ratiba ya chanjo za kuku kupitia Channel hii ya AGALUS ONLINE TV. Na jinsi ya kulea vifaranga masomo yote yapo pia. Karibu Sana ndugu ktk ufugaji kuku
Ni ukweli kabisa hata mimi nilikuwa nafuga vifaranga hadi 80 nilikuwa natumia madawa ya agrovet mahali pa kulala nilikuwa natumia box nanikatoboa mashimo shimo nakuwawakishia mwanga wa taa hadi asubuhi hilo funzo ni nzuri kabisa
Habari za asubuh kaka sorry again nilikua nauliza kipindi bado wako na mama yao zile siku 3 za mwanzo watakua wanakula iyo iyo stata au ni kuku wa kienyeji nitaanza kuwapa chanjo ya sina gani na muda wa kuwapa iyo chanjo nianze wakiwa na week ngapi nisaidie pls nimevutiwa sana kaka pls.
Pale kwenye kiota chakula si lazima ila maji waweza mpa mama mtu kwenye chombo kdogo tu akanywa na vifaranga waweza pia wawekea chakula kdogo sana. Vifaranga anakaa bila kula kw izo siku 2 bila shida. Kuhusu Ratba ya chanjo kuna somo tulitoa fuatilia hili👇👇 th-cam.com/video/uakD0dx61Rg/w-d-xo.html
Banda lako lipoje? Ila fuatilia somo hili tiba ya utitili ni kisamvu pia vitunguu saumu th-cam.com/video/3BpbwyWgSb0/w-d-xo.html Kuhusu vitunguu saumu👇 th-cam.com/video/2UFuBrIJA-A/w-d-xo.html
Mimi Niko kijijini nataka kusafirisha dawa ya new casto,na wanasema ikipata joto unakuwa imeharibika,nanikitoka mjini saa 8 mchana nakokwenda nifika saa 1 jioni ,je nitaisafirisheje Naomba msaada wa njia ya kuisafirisha
Samahani kidogo na dawa ya minyoo nitaanza kuwapa hao vifaranga wakiwa na umri gani usinichoke pls kaka na pia ktk hili kuna mtu kasema kuliko kuweka box au gazet tutumie wavu huo wavu ni wa aina gani ambao nitawawekea chakula nielimishe tusaidiane pls
Wala usijali tupo kwa ajiri y kaz hii. Ila dawa za minyoo ni baada ya miez 3. Wire ni chicken wire ni ule wenye vitundu vidogo vidogo unapatikana Hard ware. Maduka y ujenz , 🙏🙏
I'm much interested God bless you for educating us.
Welcome🙏
❤
Asante sana ndugu yangu lwa mafinzo......mimi huwa nkipata changamoto ya madawa ya vifaranga wakiwa wadogo,,,,kuna maduka mengi wanatuuzui madawa yenye sio halali.nengeomba uniambie majina madawa ya kila stage ya kuku.
Fuatilia dawa hizi
th-cam.com/video/bj5xRWqzhhM/w-d-xo.html
Asante sana kwa somo zuri, nataka kujua ni baada ya muda gani kuku wa kubwa wanapewa chanjo na ni chanjo gani
Kuku wa umri gani na ni wa Aina gani
Lakini chanjo za kuku ratiba video yake
th-cam.com/video/uakD0dx61Rg/w-d-xo.html
Nimefurahi sana kupata somo hili kwa undani zaidi. Asante sana maelekezo yanajitoshereza. Naamini nitaanza hilo jaribio mara tu kuku wangu atakapo totoa
Tupo pamoja ndugu 🙏🏿 Barikiwa pia
Asante kwa mafunxo ya ufugaji wa vifaranga. Nimrpokea naamini nitakuwa na vigaranga ving8 hivi karibuni
Hongera sana
Nashukuru kwa elimu na nina amini kua nitafikia malengo ya ufugajimkuku wa kienyeji,malengo yangu ni kiua na kuku elfu moja
Barikiwa sana ndugu
Uko vizuri mwalimu wa ufugaji nashukuru sana
Barikiwa pia ndugu 🙏🏿
Nashukuru kwa some zuri,je hiyo dawa ya asili uliotaja kama alovera unawezaa ukawachanganyia vifaranga kwenye maji siku ya kwanza ulivyowatoa kwa mama yao pamoja na hiyo vitamin
Vifaranga angalau wawe na umri wa wiki 3++
Nimesikiliza maelezo yako kwa umakini wa hali ya juu sana,Nimejifunza vitu vingi mno. niseme asante sana kwa elimu hiii. Naomba msaada wa haya maswali haya
1.Mama wa vifaranga mara baaada ya kumnyang'anya wale watoto anachukua muda gani tena kunza kutaga ?
2.Utagaji wake unaendelea kama awali au utapungua ?
Baada ya wiki 2 hadi 3 kuanza kutaga Tena japo utategemea na lishe utakayo mpa. Utagaji hautapungua kama lishe itakua nzuri. Tunashukuru pia na wewe kwa kutufuatilia
Mungu akubariki wewe si mchoyo wa elimu Hadi nimehamasika.
Amina ndugu nawe pia iwe heri ktk kazi zako
Asante Sana...napenda kufuga Ila vifaranga vinakufa Sana Sasa nimeelimika
Saafi sana kwa kuelewa karibu Tena ktk ufugaji kuku
shukrani kwa kugawa maarifa huu ni mradi ninaoutamani Sana ila kwa sasa hivi niko juu juu bado nitakapokuwa nimetulia mbona nisiufanye
Barikiwa sana
Samahani kaka, Mimi nimejenga Banda la banzi kwa ajili ya vifaraga, 16:35 kwandani ukutani nikaweka kapeti je ni sawa kwa afya ya vifaranga
Vitu vyenye kuteleza c vizur kw vifaranga vya siku 1 hadi 7 pia kapeti halivyonzi kinyesi. Ni vizur ukatumia magazet. Pia kuleta barid kwa vifaranga
Toa kapeti haraka sababu inasababisha baridi kali.
Yes tupo pamoja
Thanks for your support, I have learned alot And trust you will be blessed.keep on updating us,
You have become my resource person.
Welcome🙏🙏
We ni mwalimu mzuri nimeelewa ,asante kwa somo zuri ila nachangamoto ya kuku wangu hawatotoi mayai yote nayomwachia mpaka inatia uvivu inanilazimu kupeleka mayai kwenye mashine
Ok Kuna mbinu hii ya kwa kuku kushindwa kutotoa mayai . Video
th-cam.com/video/wgm_6tAEcLw/w-d-xo.html
Asante kwa somo zur napenda kufuga naomba kujua Zaid kuhusu dawa kuanzia kifaranga wasiku 1 had mda gan ana acha kunywa dawa mnisaidie
Sawa ndugu fuatilia video hii apa. Pia angalia video za chanjo za kuku
th-cam.com/video/bj5xRWqzhhM/w-d-xo.html
Hongereni sana mimi nimeanza ufugaji wa kuku asili tatizo vifaranga vinakufa sana najitahidi madawa na vyakula ila nafeli naomba msaada ya ratiba za chanjo na madawa na mchanganyiko wa chakula
Pole sana ndugu. Ebu tuanze apa jinsi ya kulea vifaranga👇
th-cam.com/video/4xqTBAKBHs4/w-d-xo.html
Mko vizur Sana kaka lakin hapo kwenye magazet Kuna changamoto kwasababu vifaranga wanapokuwa wengi hata kinyesi kinaongezeka,na hii naweza kusababsha vifaranga kupata magonjwa.Ushauri wangu Bora kuweka wavu pale chin sio gazeti!!!!
Yaaaah upo sahihi kabisa 🙏🙏
Great lessons
Thank you
Nashukuru sana kwa somo lenu na vipindi endelevu.
Naomba munielekez vizuri kuhusu mchanganyiko wa vyakula bora vya kulea vifaranga na kuwap kuku watage bila kungoja msimu
Ok 🙏
Mm naitaji nijue vifalanga ninawaifaz vp napia naomba nijue kuku niaze na watot au wakubwa
Kwa wakienyeji anza na wakubwa saizi ya kat. Fuatilia somo hili👇 jinsi ya kuanza ufugaji mambo muhimu
th-cam.com/video/N-DBOzac8pU/w-d-xo.html
Asante sana kaka
Barikiwa pia
Asante kwa somo zuri la utunzaji wa vifaranga nimefirahi
Barikiwa Sana ndugu
Kaka mungu akubariki sana matamanio yangu ni kufuga
Amina ndugu nawe pia iwe heri ktk iyo kaz
Shukrani father good job
💯 pa1 sana
Asante sana kwa somo hili nimejifunza na nmeelewa
Pa 1🤝🤝
Wewe ni mstaraabu sana ubarikiwe broo
Amina ndugu iwe heri na kwako
Ubarikiwe sana kwa somo zuri
Amina ndugu nawe pia iwe heri ktk kazi zako
Nashukuru Kwa elimu hii mungu awabariki
Amina ndugu nawe pia iwe heri kwako
Habar kaka naomba kuuliza vifaranga wangu wanashusha mbawa nawapa dawa lkn hawaponi wanakuwa kama wanasinzia
Dawa gani uliwapa
Hongera Sana kaka kwakutupa ujuzi mzuri
Pa1🙏
Nimefurahi sana tufafanulie vizuri ili tuweze kuinua kipato kiurahisi zId nimeipenda sana
Mungu akubariki nawe pia 🙏
Shukrani Sana,, lakini mnapatikana mkoa upi,, kwa anaehutaji kujifunza kwa kutazama physically
Karibu Sana ndugu
@@AGALUSTV wapi mnapatikana
Dar.,bukoba,mbeya, moro, kote tunawatu tunafanya nao kazi
Mungu akubariki kwa faraja zuri
Amin🤝🙏🙏
Some zuri nimelipenda naomba kujua kuku anauwezo was kutotoa vifaranga vingapi kwa mwaka
Hutegemea utunzaji wa vifaranga kama atawalea vitoto yeye mwenyewe kuku atachelewa na apo utapata idadi y vifranga vichanche kwa mwaka ila kama uta lea vifaranga wewe. Kuku mara baada ya kutotoa atakaa wiki mbili ata taga tena sasa apo utahesabu siku 21 atatotoa tena na kurudia tena kutaga baada ya wik 2 tusaidiane hesabu kidogo ndani ya mwaka atataga mara ngapi?🙏🙏
Asante sana kwa somo zuri jee kama kuku wanapiga sana chafya na wana kunya sana maji ttzo ninini??
Na jee mimi nimekua nikiwapa sana mchunga jee hauna madhara kwao
Ni ugonjwa wa mafua wape dawa za mafua na kikohoz. Kuhusu ayo majani si shida ila usiwape kila cku wape angalau kwa wiki Mara 1/2
Asalamu alaykum mimi niko Zanzibar nahitajikufuga kuku wa kienjeji lakini wezi wa kuku ni wengi samahani nifaje ili nifuge kwasalama
Pole sana ndugu apo ni kuboresha mazingira ya nyumbani kwako kama vile kujenga fensi n.k
Asantee sana kaka kwa somo zur sana hongera kaka
Barikiwa pia
Sasa mwalimu tunashukuru kwa utaalamu, ila sasa hayo magazeti tutayapata wapi mara kwa mara hapa kijijini ? Na ningeomba unitajiye mitishamba ambayo yanasaidiya kutibu kuku wa asili , maisha ya kijijini ndo hayo tena wala duka la dawa labda hakuna
Sawa ndugu ila waweza andika apo you tube tiba asili za kuku by agalus TV zitakuja video nyingi Sana za mimea kwa kuku
Naomba kujua jinsi ya kujenga banda la vifaranga vya kuku saso ..kuku 50 linakuwaje
Banda la vifaranga
th-cam.com/users/shorts4lnSnguqLS0?feature=share
Meseleman niko na kuku 7 na majogoo mawili lakini tatizo kila wakiangua mayaii kisha wanaacha mayai hawaya lakini shida nn pengine naomba ushauri
Yawezekana mazingira ya viota si Mazur au Aina ya kuku wana asili ya chotara
@@AGALUSTV kwahiyo chakufanya ni nini
Peleka kwa mashine mayai
Kuku wengi hupata maradhi na kufa kwa wingi suala je ifanyike nini kuwaokoa na janga hili
Zingati DAWA na CHANJO izi
th-cam.com/video/bj5xRWqzhhM/w-d-xo.html
Elimu nzuri Mungu awabariki
Amina KUBWA 🙏🤝
Ubarikiwe sana kaka masomo Yako yanatujenga mno
Amina ndugu nawe pia iwe heri ktk kazi
Asante sana kwa somo zuri mmo hapo umenigusa sana je kwangu ni shida kupata jiko kama hilo je mbadala nitumie jiko gani? naitwa Veronica
Taa za joto za kuku
Naomba kujua n aina gan ya chakula cha kulishia vifaranga
Crumble stater
Ninashukuru Kwa hili SoMo endelea kutuelimisha ili kitusaidia Kwa ufugaji Bora kama wewe Mungu akubarriki
Amina ndugu nawe pia iwe heri ktk kazi zako
Mimi napenda ufugaji wa kuku lakini sina na ujuzi zaidi kuusu janjo yao na nama ya kukuza vifaraga
Fuatilila video zetu ratiba ya chanjo za kuku kupitia Channel hii ya AGALUS ONLINE TV. Na jinsi ya kulea vifaranga masomo yote yapo pia. Karibu Sana ndugu ktk ufugaji kuku
Asante sana kwa somo lavifaranga,🙏
Barikiwa sana ndugu tupo pa1 🙏
Aise nilikua na wazo la kufuga kuku sasa mmenipa hamasa zaidi mungu awabariki sana ipo cku ntawapa mrejesho wa masomo yenu ..thank you very much ❤
Barikiwa sana ktk hatua mpya ya uchaguzi 🙏
Ubarikiwe sana katka hatua mpya ya ufugaji🙌
Hata mm leo ndio siku ya kwanza kupitia huku nimependa mungu awe nasi mafanikio tutayapata
Amin
Amina🙏
Mimi safu azizi nashukuru kwa elimu ya ufugaji wa kuku naomba Kila mnapotoa darasa nami nilipate
Barikiwa Sana ndugu apo ni subscribe tu utapata taarifa
Asante sana somo zur nilkua nauliza ukiwa mazingira ambayo hayapatikan hayo majko ya joto hauwez kutumia njia nyingine kuleta joto?
Tumia umeme na balbu iwe ni wat 100, au 200
Asante I Sana mmenishawishi kwel
Karibu sana kwenye ufugaji. 🙏
Asante sana nimejifunza vya kutosha,endapo una banda ambalo lina sakafu ya saruji natakiwa kudandaza magazeti?
Ndyo mabox kwanza then gazet
naombeni mnisaidie dawa ya mapele kwa vifaranga
Video hii itakusaidia Sana
th-cam.com/video/sn9mzciyF64/w-d-xo.html
Asante kwa somo zuri. Ni nini tatizo la kuku kula mayai yao,? Msaada please
Sababu na Tiba ya kuku kula mayai. Video
th-cam.com/video/g60lTm-IjT0/w-d-xo.html
Asante mkuu hilo jiko nitaliptaje sasa niko mwanza
Sisi tupo mbali nawe ila watafute wauze vyungu wanayo
Haya asante mkuu
Pa1🤝
Bro ili somo umeelezea vizuri sana... yan ume reflect reality ya katika ufugaji wa kuku.. tofaut na video nyingine nlizoona mtandaon
Pa 1🤝 Barikiwa
Alovea nzuri kwa vifaranga...vifaranga vina wiki tatu naweza huvitenga
Yaaah vizuri TU sasa jifunze jinsi ya kulea vifaranga kwanza
Naweza muwekea kuku Mayai ya kisasa?
Kama Yana mbegu sawa tu waweza
Mm Nina changamoto kuku wanakula mayai nafanaje naomba msaada
Ongeza DCP AU midini ya chokaa na mifupa ktk mchanganyiko wako, chakula
Je naweza kupata namba yako ili uje kwenye banda langu kwa maelekezo ya karibu
Upo wapi ndugu
Asante sana kwa somo zuri
Barikiwa sana
Kuku anatakiwa kupata chanjo kila baada ya muda gani?
Fuatilila video za chanjo zote za kuku ktk channel hii
Ni ukweli kabisa hata mimi nilikuwa nafuga vifaranga hadi 80 nilikuwa natumia madawa ya agrovet mahali pa kulala nilikuwa natumia box nanikatoboa mashimo shimo nakuwawakishia mwanga wa taa hadi asubuhi hilo funzo ni nzuri kabisa
Hakika🙏
Brother mie mfugaji mpya nimeelewa kwanza ila uku kwetu mkaa mzito ishu
Tutafute namna ya kupata
Sisi wengine ambao tuna tatizo la uziwi wapi tunapata bandiko la maandishi?
Sawa ndugu tunalifanyia kaz
Vifalaga vina pokuwa na mwezi 0 sikuya kwaza Nita vifuga mdagani miezi migapi waze kutaga kuzwa kibiashala
Kuku wa kienyeji ni miez 7 hadi 8
Hongela kaka mambo yameiva kwaufundishaj wenu
Barikiwa sana🙏
Barikiwa🙌
Mimi ni mgeni wa kufuga nataka nianze kufuga je lazima niwe na banda kubwa
Utegemea na mtaji wako pia na eneo lako
Hili jiko nalipataje nikiwa Kenya nahitaji Jiko mbili maana sidhani kama kenya zapatikana
Sokoni kwa wauza vyungu
Elimu nzuri nawashukuru
Barikiwa pia ndugu
Vipi nata wapi vifaranga vya kuku si broiler? Na ni bei gani kifaranga
Tutaendeleea kuwasiliana kukupa taarifa zaidi
Asante
Barikiwa Sana ndugu
Asante kwa somo zuri,
Baada ya kuwalisha starter kwa wiki nne hapo unawalisha Nini Tena?
Grower
Nashukru sana kwa somo hili
Tupo pamoja ndugu
Asante kwa fundisho,je gazeti utakuwa unabadilisha baada ya siku ngapi?
Yakichafuka tu. Angalau wiki mbili
Mashallah brother
Tupo pamoja ndugu
Samahanni wakiwa wadogo kamawiki mbili unawap chakulagani pamoja na dawa gani
Ni kuku wa Aina gani... Kuhusu dawa Jifunze ratiba ya chanjo za kuku kupitia video ktk channel hii andika tu ratiba ya chanjo za kuku by agalus TV
He nikitaka vifaranga wa kienyeji nawapataje ni sh ngap
Kwa sasa uzalishaji umepungua kdogo. Tulionao hatuuzi ndugu. Japo tutakutafuta wa kiongongezekq zaidi
Be blessed
Amen 🙏🏿 you too
Naomba orodha ya kutengenez chakula Cha kuku hatua zote
Video ya. Chakula cha kuku Aina ZOTE ipo apa
th-cam.com/play/PL8xez8Eh4s0Ettq9rfYN2okbgi0ionZdU.html
Nili wapa chanjo wakafa wote. Ili kuwa sababu Gani?
Pole Sana ndugu walikua Wana umri gani na ni chanjo gani uliwapa
Asante Ni Kwa mafuzo
Barikiwa sana🙏
Mm nilipata changamoto ya vifaranga kudonoana sana. Nifanyeje?
Ongeza vyakula vya protein, Kisha Funga majani AU maboga mboga mara kwa Mara
Je nao wahitaji chanjo kila baada ya miezi mitatu?Naitwa Sara mbonea
'ndio ratiba ya chanjo ipo pale pale
'ndio ratiba ya chanjo ipo pale pale
Nashukur kwa elimu ya ufugaj kuku
Barikiwa pia
Habari za asubuh kaka sorry again nilikua nauliza kipindi bado wako na mama yao zile siku 3 za mwanzo watakua wanakula iyo iyo stata au ni kuku wa kienyeji nitaanza kuwapa chanjo ya sina gani na muda wa kuwapa iyo chanjo nianze wakiwa na week ngapi nisaidie pls nimevutiwa sana kaka pls.
Pale kwenye kiota chakula si lazima ila maji waweza mpa mama mtu kwenye chombo kdogo tu akanywa na vifaranga waweza pia wawekea chakula kdogo sana. Vifaranga anakaa bila kula kw izo siku 2 bila shida. Kuhusu Ratba ya chanjo kuna somo tulitoa fuatilia hili👇👇
th-cam.com/video/uakD0dx61Rg/w-d-xo.html
Somo zuri. Kuna mawasiliano ya moja kwa moja kupitia Whatsapp?
Tunaandaa utaratibu uo ndugu
Nashukuru kwa somo zuri
Barikiwa pia
Nitapata wapi majiko ya udongo mimi Sina utaramu wa kutengeneza ni Silvanus Robert songambele urambo Tabora
Kwa wauza vyungu
Aki tuko Kenya nimependa aki kuku utajili
Hakika ndugu karibu Sana Katika ufugaji
Nataka kujua tiba za asili kwakuku wakienyeji
Tiba za asili za kuku videos
th-cam.com/play/PL8xez8Eh4s0GAj-_RugCAMpIbo4c13kDL.html
Kuna dawa gani za asilia kutibu magonjwa mbali mbali?
Tiba asili za kuku jifunze zaidi kupitia video
th-cam.com/play/PL8xez8Eh4s0GAj-_RugCAMpIbo4c13kDL.html
Naomba uni add kwenye group ili nijifunze zaid
Hatuna group ndugu. Tukifungua ntaku add
Jmn mm kuku wanakufa kwa utitiri nawek dawa lkn ikisha totoa baada y siku tatu vimepata vifaranga jmn nisaidieni
Banda lako lipoje? Ila fuatilia somo hili tiba ya utitili ni kisamvu pia vitunguu saumu
th-cam.com/video/3BpbwyWgSb0/w-d-xo.html
Kuhusu vitunguu saumu👇
th-cam.com/video/2UFuBrIJA-A/w-d-xo.html
asante kwa somo zuri mbeya mpo sehemu gani? naomba namba za simu ili niwatafute
Ok
Haki nimeipenda 🙏🙏🙏
Karibu sana ndugu🙏🏿🙏🏿
Shukran kwa sote ila nauliza jiko huwa linakaaa waZi mda wte au inakuaje?
,hapana mfuniko wa jiko una achwa nafasi kidogo wazi si full opening
Je banda likifunikwa pote vip hewa maana banda hilo picha haijaonesha vizuri naomba nielewe vizuri
Kwa vifaranga Sababu ya barid haina shida
Mimi Niko kijijini nataka kusafirisha dawa ya new casto,na wanasema ikipata joto unakuwa imeharibika,nanikitoka mjini saa 8 mchana nakokwenda nifika saa 1 jioni ,je nitaisafirisheje Naomba msaada wa njia ya kuisafirisha
Kwa maelezo zaidi waweza muona muuza dawa. Lakini uwa wanatoa na barafu
Nimelisukiliza ili Somo umesema baada ya wk nne ndiyo tuwape chanjo na zile za asili tunawapa wakiwa na muda gani
Dawa za asili hazina Ratba maalum yaani wewe uwe na tabia y kuwapa tu Mara kwa mara
Samahani naomba kuuliza unapoona kifaranga kazubaa au kushusha mbawa utampa dawa gani yaasili
Vitunguu saumu utavisaga na kuviweka kwa maji baada kumenya
Asanteee
Barikiwa Sana ndugu
Samahani kidogo na dawa ya minyoo nitaanza kuwapa hao vifaranga wakiwa na umri gani usinichoke pls kaka na pia ktk hili kuna mtu kasema kuliko kuweka box au gazet tutumie wavu huo wavu ni wa aina gani ambao nitawawekea chakula nielimishe tusaidiane pls
Wala usijali tupo kwa ajiri y kaz hii. Ila dawa za minyoo ni baada ya miez 3. Wire ni chicken wire ni ule wenye vitundu vidogo vidogo unapatikana Hard ware. Maduka y ujenz , 🙏🙏