FAIDA 7 ZA VITUNGUU SAUMU KWA KUKU!!!
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 6 ก.ย. 2024
- Wape kuku Vitunguu saumu mara kwa mara Uone maajabu haya kwa kuku wako👇
-Kuimarisha kinga dhidi ya magonjwa
-Kuingeza Uzarishaji wa mayai
-Upunguza harufu mbaya ya kinyesi
-Ufukuza wadudu
- Kuua bakteria wabaya
Mungu Baba wa Mbinguni akubariki mwanangu kwa mafundisho mazuri kwetu wafugaji
Amina ndugu nawe pia iwe heri ktk kazi zako
Naitwa neema materu napatikana Moshi vijijini nawashukuru Sana kwasomo lenu laufugaji wakuku nimenufaika Sana nilikuwa nafuga kwakukata tamaa lakini sasa nimekuwa mfugaji Bora nanimeweza kuzalisha vifaranga wengi ndani. Ya mwezi mmoja nakuvimudu navinakuwa vizuri ninafurahia ufugaji wakuku wakienyeji tuko pamoja katika ufugaji
Barikiwa sana🙌 Mungu awe nawe🙏🙏🙏
Naitwa Mariam naomba kuuliza hata kuku wa mayai wale wa kizungu naweza kuwapa hivyo vitunguu swarm?
Asante kwa kibindi hiki ,kitunguu saumu upewa kuku sote za kienyeji na za kishungu na ikiwa unatumia hii kitunguu saumu ni vizuri kutumia dawa za agrovet ili kushuia magonjwa
Upo sahihi🙏🙏
Asante sana jaman tumepata faida nitawambia pia na ndugu zangu wanaofuga na mimi pia napenda ufugaj nikifuga nitawapa nakumbuka kuku walikuwa wakiumwa zaman tulikuwa tunawapa tetesaklini
Barikiwa sana ndugu
Asante kwa somo
Je kitunguu maji najani yake naweza kuwapa na mara ngapi kwa wiki
Hapana iko ni sumu usiwape fuayilia somo hili👇 kujua vyakula 10 vyenye sumu kwa kuku
th-cam.com/video/hzsRQAAtlgU/w-d-xo.html
Thanks
Welcome
Ubarikiwe Saaana yaan kuku wangu walikuwa wanasinzia wamevimba macho na vifaranga nikawa asubuh nawapa pumba nawanyima maji...nawapa yaliyo na alovera na kitunguu swaumu...mme wangu alikuwa kakata tamaa....cku mbili tu wakanyanyuka jmn hili group limenisaidia.... halafu leo nmeangalia mayai n ya tofauti makubwa....halafu ilikuwa inaishia 11 inaatamia leo imefikisha 19...bado inaendelea...
Amen. Barikiwa sana 🙏
Asante kwa somo.
Kweli hata Mimi mimepata matokeo chanya kwa tiba ya vitunguu saumu na alovera
Barikiwa sana 🙏
Mnapatikana wapi
Mungu akubariki sana, kwa somo zuri 9:38
Amina KUBWA sana ndugu ✍️🙏🤲
Asante kwa somo zuri
Barikiwa pia
Na shukuru kwa ushauri.ila ni nge pendelea kufahamu gisi ya kukuza vifaranga kupitia mfumo wa kisasa,
Fuatilila video ktk Chanel hii jinsi ya kulea vifaranga
Andika jinsi ya kulea vifaranga by agalus TV
Asante SANA kwa faida hizi luluki, endelea kubarikiwa
Amina ndugu .iwe heri pia kwako
Mungu akubariki sana, kwa somo zuri
Amina KUBWA sana ndugu ✍️🙏🤲
Asante sana kwa mafundisho mazuri mimi nina vfaranga vina siku ya tano leo nilianza kuwapa maji ya Alovela Mchanganyiko na Pilipili lakini asubuhi mpapa muda huu nasikia kama vinamafua nifanyeje?
Vifaranga angalau wafike wiki 3 ndio uanze tumia mimea. Kuhusu mafua inabid uwape dawa za dukani maana ao ni vifaranga pia angalia mazingira ya mzunguko WA hewa uwe mzuri
Asante sana mwalimu kwa mafunzo yako.Hakika nimefaidika mno
Barikiwa sana🙏
Asante kwa somo.
Kama kitunguu saumu inafanya kazi kwa b'damu basi hata kuku.
Big up!
Pa 1 sana🙏🤝🤝
Asante kwa somo nzuri
Barikiwa pia ndugu 🙏🏿✍️🤝
Asante sana nimejifunza kitu
Tupo pamoja sana ndugu endelea kutufuatilia video zingine zaidi ktkt channel hii ujifunze mengi sana
Asante kwa Somo mungu akubariki
Amina ndugu barikiwa pia
Ubarikiwe Sana ndugu yangu katika hili mungu akufungulie milango ya mafanikio
Amina ndugu nawe pia iwe heri ktk kazi zako
Asante kwa mafundisho nami nitafanya hivyo,
Barikiwa
Umenifumbua macho,nimepoteza hela sana kwa dawa za dukan lakin pia naomba kuelekezwa njia sahihi ya kienyeji ktk kutotoresha kuku wa kienyeji
Kupata kuku zaidi fuatilia video hii.th-cam.com/video/SnlWEN3NgSA/w-d-xo.html pia zingatia CHANJO
Asante sana mtaalamu kwa somo zuri na linaloeleweka
Karibu Sana
Mm Niko kenya,jee hiki kitunguu Saumu Kitasaidia kwa Bata au nikwa kuku tu
Ata kwa bata Sawa tu
Somo zuri sana best , ubarikiwe ,ALLAH akuzishie kila heri
Amina ndugu.iwe heri na kwako
Asante sana ubarikiwe
Amina ndugu nawe pia
Asanteni sana kwa elimu hii Nzuri kwetu sisi wafugaji
Amina kaz njema🙏
Asante Sikujua hili kuku wangu wanatokwa navidonda mdomon na kwenye macho has vifaranga je naweza kuwasaidiaje
Iyo ni ndui kwangua vidonda paka alovera
Thank you for your encourage.
Welcome🙏
Asante sana, nimefuata polepole.
Sawa Barikiwa🙌
Naomba kujua majani yaliyo salama kuwapa kuku. Je naweza kuwapa majani ya mronge na ya mihogo. Monica
Majani yapo mengi Sana ndugu. Andika you tube tiba asili za kuku by agalus TV zitakuja.
Asante sana
Barikiwa pia
Amina.
🤝
Unafundisha vizuri sana.
Tunashukuru kwa Hilo Mungu azidi kua NAWE pia iwe heri ktk kazi zako
Asante. Sana. Kk. Kutuelimisha
Pa1🤝
Asante Kwa elim
Tupo pamoja ndugu
Thanks sana Kwa hayo masomo! Lakini yai haitanuka zaumu juu ata MTU akila hua nuka
Hapana halitanuka
Asante kwa somo
Barikiwa sana
Asante sana kwani hata nami niko na kuku lakini hawaongezeki,lakini nimejua wapi nilikua nakosea mungu akubariki.
Amen🙏🙏
Asante
Tupo pamoja ndugu
Ndugu yangu sijui nimekosea au nimezidisha kuna kuku mmoja alikua analea nikamuekea asubuh kufika jion amekufa ila vifaranga havijafa ila wala kuku wengine hawajafa sasa sijui shida nn
Tuzid fuatilila zaidi shida itakua ni nini
Nashukuru kwa somo zuri nimelielewa
Barikiwa sana ndugu tupo pa1 🙏
Josephine kemunto. Asante kwa somo nzuri
Barikiwa🙌🙏
Shukrani sana kwa mafunzo.
Barikiwa🙌🙌
Asante sn kwa ushauri
Tupo pamoja ndugu
Ukwel nabarikiwa sana na somo la ufugaji Mungu na akubariki sana
Amen 🙏
Naomba ushaur kuku wangu wanaacha mayai bila kutotoa akitotoa mawili mengine anabakiza nifanyeje?
Zijue sababu za kuku kushindwa kutotoa mayai
th-cam.com/video/m040lgLmp-g/w-d-xo.html
Kitunguu swaum hakitoshi kama chanjo kuku wa kienyeji?
Hapana hakina uwezo WA kukinga virus 🦠
shukrani kwa huo ujumbe
Barikiwa 🙌
Asante Sana kwa mafunzo
Pa1🤝
Mungu awabariki kwa kazi nzur mnayoifanya,
Amina kubwa sana🙏🙏
Nakupa bigup mwalimu kutupatia lulu.
Barikiwa pia
Mungu akubariki sana
Amina ndugu 🙏🏿 Barikiwa pia
Asante kwa masomo mazuri na ya kelimisha. Mimi ni mfugaji wa kuku wa kienyeji, naomba namba ya simu kwa mawasiliano.
Sawa ndugu tutakutumia
Wanatumia siku ngapi
Kama tiba wanatumia mfululizo kwa siku 3 hadi 5 kama Kinga angalau kila wiki Mara 1 AU 2
Asante sana, ngoja kesho niwape
Ok Kila la heri🙏
Asante kwa somo zuri kumbe dawa tunazo nyumbani lakini hatujui napiga hatua mbele kwa somo hili. Swali Kuna vitunguu vya kienyeji na vya kisasa je vyote vinafaa?
Hakika ndugu. Ila vitunguu vyote vinatumika tu
Samahani nataka kujuwa ni kuku wote hata wale.wa kizungu au ni kienyeji tu,by Mariam
Wote ndugu
Asanteeeeee
🙏🤝🤝
Asante kwasomi
Pa1🤝
Shukran mpendwa
Barikiwa🙌
@@AGALUSTV Nawe pia mpendwa uenipa maarifa shukran
Pa1 🤝🤝🤝🙏🙏🙏
Asante sana Mungu akubariki
Amina KUBWA🙏🙏✍️
Asante nimefaidika naomba kukuuliza je naweza kutumia kwa broilers
Yaaah unaweza ni kuwa zoesha tu
We no mwalim mzr saana
Barikiwa pia
Nawapa Mara ngapi kw wiki
Mara moja
Asante kwa somo
Big up
Barikiwa🙌
Shukuran kabisa Akuvarik Mola
Amin🙏🙏Kubwa
Mm ninafuga kuku wamayai Ila wanadonoana mpaka kutoana utumbo nisaidie wamepunguza production Sana wanakufa karibuni kilasiku kwa issue ya kudonoana
Pole Sana ndugu. Chakula unafanyaje yaan unachanganya AU kununua? Mboga mboga AU majani. Upungufu wa protini ktk mwili w kuku upelekea ivyo
Aina aja ya chanjo
Chanjo ni muhimu sana ndugu. Maana magonjwa ya chanjo mengi ni ya virusi.
Leo ndio nimeona nalala yako Kaka nikiludi tz nitajifuza ufugaji je ? Unapatikana wilayagani?
Barikiwa Sana ndugu
Nauliza vitunguhu ivyo tunawapa kuku wa umri gani?
Kuanzia wik ya 4++
Na mm vifaranga wanakufa sana na kuku wanaharisha sana naweza kuwapa
Wape tu itawasaidia
Asante Sana kaka
Pa1🤝🤝
Asante sana somo nimelipenda
Barikiwa
Mimi ninafuga kuku wa kisasa na wananisumbua Sana kuhusu mafua nimetumia dawA za dukani nimefeli. Je nifanyaje ili wapone.
Pole ndugu. Jitahidi kutafuta dawa zingine w atapona. Pia HAKIKISHA hewa ipo nzuri bandani. Mzunguko mzuri. Mtumie mtaalam w mifugo aliyekaribu nawe a one mazingira ya banda
I like natural remedies you provide to us it is so helpful
Sure so helpful🙏🙏
Ahsante kwahilo somo.
Barikiwa🙌🙏
Asante nimependa somo hilo
Pa 1🤝🤝
Asante kwa madam je unaposema kuku anaongeza utagaji , anaweza Taga mayai mawili kwa siku?
Hapana kuku hawez taga mayai 2 kwa siku. Mzunguko w kutengeneza yai ni masaa 23 hadi 26 kwa iyo hakuna kw siku kuku ni yai 1 tu. Hii inasaidia kuku kutoruka siku kwnye kutaga unauhakika kila cku kupata yai🙏🙏
So inamaana haezi waekea hicho kitunguu kila siku
Ndio iwe kama Kinga angalau kila wiki Mara 1 AU 2
Duu Asante
Barikiwa sana
Asanti Sana
Barikiwa
Vitunguu swaumu nisalama kwa vifalanga nakama nisalama nimalangapi kwa mwezi peter mafuru kutoka mwanza
Ni salama tena sana kwa vifaranga. Wape tu kuku wako angalau Mara 2 kwa wiki
Somos nzuri tafata ushauri wako
Sawa
Kuku wangu nawawekea vitunguu swaumu kwenye maji nashukuru wana endelea vizuri ila mimi nawawekea kila siku je niendelee kuwawekea au niache.
Angalau kwa wiki Mara 2
Mualimu naomba msaada vipi ntapata kuku chotara kurelor ❓sababu mi na ishi inje la Tanzania nipo Mozambique Ashanti
Uku Tanzania hadi Mozambique ni mbali utawasafirisha vp
Broiler tuwape nao kwenye maji
Ndio
Asante saaana..
Barikiwa🙌
Kuku wangu wanakula mayai nifanyeje ili kukomesha ilo tatizo?
Wape madini ya chokaa na mifupa au DCP zipo madukani 🙏
Ahsante kwa somo zuri
Pa1🤝
Barikiwa sana
Amina ✍️ Nawe pia ndugu 🙏🏿
Kuku wangu wanakula mayai nifanyeje
Apo ni lishe mbovu, hasa Madini fuatilila video hii sababu na tiba ya kuku kula mayai
th-cam.com/video/g60lTm-IjT0/w-d-xo.html
mwalimu ni nilikuwa naomba fomla ya kuchanganya cha kula cha kuku wanao taga kuku wa kienyeji
Formula yake ni hii ktk video hiii
th-cam.com/video/-4ho30cWUFM/w-d-xo.html
Nashukuru sana ndugu kwa Somo zuri,naomba kuuliza je kwa kuku wa mayai wa kisasa,yaani layers inafaa?
Nzuri pia ukitumia
Ahsante kaka
PA moja ndugu, 🙏🙏
Barikiwa
Amina .Tupo PAMOJA NDUGU
Asante sana Kwa Elimu hii. Ila naomba aliye na group la wafugaji la Whatsapp aniunge au anitumie link nijiunge.
OK Sawa Sawa
Kuku wangu wanapenda sana vitunguu
Ni vizuri wape tu
Naweza kuchanganya kitunguu swaumu na tangawizi? Na kuna watu wanawapa kuku kitunguu majid na hawadhuriki mimi sijawahi wapa lakin kuna rafiki tango anawapa!!
Ndyo waweza changanya
Tunashukur kwa somo
Tupo pamoja ndugu
Asante nimepata elimu zuri ila mbona kuku wangu wakikaa pamoja wanapigana sana
Video yake ni hii kuku kupigana sababu na tba
th-cam.com/video/KUBFDRb1TD4/w-d-xo.html
Kuhusu mkaa ndoo moja ya pumba nitachanganya kiasi gani
Lita 1 hadi 2 utege utegemea na size ya Mkaa wako
Wapewe kila baada ya muda gani?
Kwa wik Mara 2
I'll try this method
Welcome, 🙏
It is so helpful my little brother used to solve much problems facing his chicks