FAIDA 7 ZA VITUNGUU SAUMU KWA KUKU!!!

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 6 ก.ย. 2024
  • Wape kuku Vitunguu saumu mara kwa mara Uone maajabu haya kwa kuku wako👇
    -Kuimarisha kinga dhidi ya magonjwa
    -Kuingeza Uzarishaji wa mayai
    -Upunguza harufu mbaya ya kinyesi
    -Ufukuza wadudu
    - Kuua bakteria wabaya

ความคิดเห็น • 524

  • @monicamajebele9165
    @monicamajebele9165 3 หลายเดือนก่อน +4

    Mungu Baba wa Mbinguni akubariki mwanangu kwa mafundisho mazuri kwetu wafugaji

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  3 หลายเดือนก่อน

      Amina ndugu nawe pia iwe heri ktk kazi zako

  • @neemamateru4249
    @neemamateru4249 2 ปีที่แล้ว +4

    Naitwa neema materu napatikana Moshi vijijini nawashukuru Sana kwasomo lenu laufugaji wakuku nimenufaika Sana nilikuwa nafuga kwakukata tamaa lakini sasa nimekuwa mfugaji Bora nanimeweza kuzalisha vifaranga wengi ndani. Ya mwezi mmoja nakuvimudu navinakuwa vizuri ninafurahia ufugaji wakuku wakienyeji tuko pamoja katika ufugaji

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  2 ปีที่แล้ว

      Barikiwa sana🙌 Mungu awe nawe🙏🙏🙏

    • @mariammnanka3404
      @mariammnanka3404 3 หลายเดือนก่อน

      Naitwa Mariam naomba kuuliza hata kuku wa mayai wale wa kizungu naweza kuwapa hivyo vitunguu swarm?

  • @alexndemo3020
    @alexndemo3020 2 ปีที่แล้ว +2

    Asante kwa kibindi hiki ,kitunguu saumu upewa kuku sote za kienyeji na za kishungu na ikiwa unatumia hii kitunguu saumu ni vizuri kutumia dawa za agrovet ili kushuia magonjwa

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  2 ปีที่แล้ว +1

      Upo sahihi🙏🙏

  • @VickKulekana-si1ib
    @VickKulekana-si1ib 8 หลายเดือนก่อน +1

    Asante sana jaman tumepata faida nitawambia pia na ndugu zangu wanaofuga na mimi pia napenda ufugaj nikifuga nitawapa nakumbuka kuku walikuwa wakiumwa zaman tulikuwa tunawapa tetesaklini

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  8 หลายเดือนก่อน

      Barikiwa sana ndugu

  • @nasseralkharusi2060
    @nasseralkharusi2060 3 ปีที่แล้ว +3

    Asante kwa somo
    Je kitunguu maji najani yake naweza kuwapa na mara ngapi kwa wiki

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  3 ปีที่แล้ว

      Hapana iko ni sumu usiwape fuayilia somo hili👇 kujua vyakula 10 vyenye sumu kwa kuku
      th-cam.com/video/hzsRQAAtlgU/w-d-xo.html

  • @alicengereso9258
    @alicengereso9258 28 วันที่ผ่านมา +1

    Thanks

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  28 วันที่ผ่านมา

      Welcome

  • @jackilineneemaangelo4437
    @jackilineneemaangelo4437 3 ปีที่แล้ว +22

    Ubarikiwe Saaana yaan kuku wangu walikuwa wanasinzia wamevimba macho na vifaranga nikawa asubuh nawapa pumba nawanyima maji...nawapa yaliyo na alovera na kitunguu swaumu...mme wangu alikuwa kakata tamaa....cku mbili tu wakanyanyuka jmn hili group limenisaidia.... halafu leo nmeangalia mayai n ya tofauti makubwa....halafu ilikuwa inaishia 11 inaatamia leo imefikisha 19...bado inaendelea...

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  3 ปีที่แล้ว +2

      Amen. Barikiwa sana 🙏

    • @evelynemachua519
      @evelynemachua519 3 ปีที่แล้ว +2

      Asante kwa somo.

    • @pastorhenrymashiku4178
      @pastorhenrymashiku4178 3 ปีที่แล้ว +1

      Kweli hata Mimi mimepata matokeo chanya kwa tiba ya vitunguu saumu na alovera

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  3 ปีที่แล้ว

      Barikiwa sana 🙏

    • @ndajoba7350
      @ndajoba7350 3 ปีที่แล้ว +3

      Mnapatikana wapi

  • @marydenis9707
    @marydenis9707 4 วันที่ผ่านมา

    Mungu akubariki sana, kwa somo zuri 9:38

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  3 วันที่ผ่านมา

      Amina KUBWA sana ndugu ✍️🙏🤲

  • @EstaMakala
    @EstaMakala 3 หลายเดือนก่อน +3

    Asante kwa somo zuri

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  3 หลายเดือนก่อน

      Barikiwa pia

  • @user-yd4md4cw7q
    @user-yd4md4cw7q 6 หลายเดือนก่อน +1

    Na shukuru kwa ushauri.ila ni nge pendelea kufahamu gisi ya kukuza vifaranga kupitia mfumo wa kisasa,

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  6 หลายเดือนก่อน

      Fuatilila video ktk Chanel hii jinsi ya kulea vifaranga
      Andika jinsi ya kulea vifaranga by agalus TV

  • @user-gv4jx2fp4u
    @user-gv4jx2fp4u 3 หลายเดือนก่อน +1

    Asante SANA kwa faida hizi luluki, endelea kubarikiwa

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  3 หลายเดือนก่อน

      Amina ndugu .iwe heri pia kwako

  • @marydenis9707
    @marydenis9707 4 วันที่ผ่านมา

    Mungu akubariki sana, kwa somo zuri

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  3 วันที่ผ่านมา

      Amina KUBWA sana ndugu ✍️🙏🤲

  • @MbagaKiswaga
    @MbagaKiswaga หลายเดือนก่อน +1

    Asante sana kwa mafundisho mazuri mimi nina vfaranga vina siku ya tano leo nilianza kuwapa maji ya Alovela Mchanganyiko na Pilipili lakini asubuhi mpapa muda huu nasikia kama vinamafua nifanyeje?

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  หลายเดือนก่อน

      Vifaranga angalau wafike wiki 3 ndio uanze tumia mimea. Kuhusu mafua inabid uwape dawa za dukani maana ao ni vifaranga pia angalia mazingira ya mzunguko WA hewa uwe mzuri

  • @tulisamwel41
    @tulisamwel41 2 ปีที่แล้ว +1

    Asante sana mwalimu kwa mafunzo yako.Hakika nimefaidika mno

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  2 ปีที่แล้ว

      Barikiwa sana🙏

  • @mariamnimbo8394
    @mariamnimbo8394 3 ปีที่แล้ว +5

    Asante kwa somo.
    Kama kitunguu saumu inafanya kazi kwa b'damu basi hata kuku.
    Big up!

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  3 ปีที่แล้ว

      Pa 1 sana🙏🤝🤝

    • @janetcosmas7282
      @janetcosmas7282 2 ปีที่แล้ว +1

      Asante kwa somo nzuri

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  2 ปีที่แล้ว

      Barikiwa pia ndugu 🙏🏿✍️🤝

  • @user-gx4dv3xt6f
    @user-gx4dv3xt6f วันที่ผ่านมา

    Asante sana nimejifunza kitu

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  วันที่ผ่านมา

      Tupo pamoja sana ndugu endelea kutufuatilia video zingine zaidi ktkt channel hii ujifunze mengi sana

  • @DorinaGanshonga
    @DorinaGanshonga 2 หลายเดือนก่อน +1

    Asante kwa Somo mungu akubariki

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  2 หลายเดือนก่อน

      Amina ndugu barikiwa pia

  • @user-en7pg4ym5r
    @user-en7pg4ym5r 3 หลายเดือนก่อน +1

    Ubarikiwe Sana ndugu yangu katika hili mungu akufungulie milango ya mafanikio

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  3 หลายเดือนก่อน

      Amina ndugu nawe pia iwe heri ktk kazi zako

  • @BeatriceGodwin-op4ot
    @BeatriceGodwin-op4ot 3 หลายเดือนก่อน +1

    Asante kwa mafundisho nami nitafanya hivyo,

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  3 หลายเดือนก่อน

      Barikiwa

  • @EliaNyamajeje
    @EliaNyamajeje 3 หลายเดือนก่อน +1

    Umenifumbua macho,nimepoteza hela sana kwa dawa za dukan lakin pia naomba kuelekezwa njia sahihi ya kienyeji ktk kutotoresha kuku wa kienyeji

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  3 หลายเดือนก่อน

      Kupata kuku zaidi fuatilia video hii.th-cam.com/video/SnlWEN3NgSA/w-d-xo.html pia zingatia CHANJO

  • @elizakabuka6040
    @elizakabuka6040 ปีที่แล้ว +1

    Asante sana mtaalamu kwa somo zuri na linaloeleweka

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  ปีที่แล้ว

      Karibu Sana

  • @LangoniHassanMohamed
    @LangoniHassanMohamed หลายเดือนก่อน +1

    Mm Niko kenya,jee hiki kitunguu Saumu Kitasaidia kwa Bata au nikwa kuku tu

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  หลายเดือนก่อน

      Ata kwa bata Sawa tu

  • @jumakivumbi-xs1of
    @jumakivumbi-xs1of 3 หลายเดือนก่อน +1

    Somo zuri sana best , ubarikiwe ,ALLAH akuzishie kila heri

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  3 หลายเดือนก่อน

      Amina ndugu.iwe heri na kwako

  • @seydinekyiwera
    @seydinekyiwera หลายเดือนก่อน +1

    Asante sana ubarikiwe

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  หลายเดือนก่อน

      Amina ndugu nawe pia

  • @pastorhenrymashiku4178
    @pastorhenrymashiku4178 3 ปีที่แล้ว +1

    Asanteni sana kwa elimu hii Nzuri kwetu sisi wafugaji

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  3 ปีที่แล้ว

      Amina kaz njema🙏

  • @beautykamaghe9778
    @beautykamaghe9778 3 ปีที่แล้ว +1

    Asante Sikujua hili kuku wangu wanatokwa navidonda mdomon na kwenye macho has vifaranga je naweza kuwasaidiaje

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  3 ปีที่แล้ว

      Iyo ni ndui kwangua vidonda paka alovera

  • @marthaokerio7336
    @marthaokerio7336 3 ปีที่แล้ว +3

    Thank you for your encourage.

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  3 ปีที่แล้ว

      Welcome🙏

  • @jenifferkasuve5633
    @jenifferkasuve5633 2 ปีที่แล้ว +1

    Asante sana, nimefuata polepole.

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  2 ปีที่แล้ว

      Sawa Barikiwa🙌

  • @monicanyinondi4871
    @monicanyinondi4871 3 หลายเดือนก่อน +1

    Naomba kujua majani yaliyo salama kuwapa kuku. Je naweza kuwapa majani ya mronge na ya mihogo. Monica

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  3 หลายเดือนก่อน

      Majani yapo mengi Sana ndugu. Andika you tube tiba asili za kuku by agalus TV zitakuja.

  • @JoslineKavugho
    @JoslineKavugho 2 หลายเดือนก่อน +1

    Asante sana

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  2 หลายเดือนก่อน

      Barikiwa pia

  • @ChristopherMkama-ud6ch
    @ChristopherMkama-ud6ch 3 หลายเดือนก่อน +1

    Amina.

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  3 หลายเดือนก่อน

      🤝

  • @ChristopherMkama-ud6ch
    @ChristopherMkama-ud6ch 3 หลายเดือนก่อน +1

    Unafundisha vizuri sana.

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  3 หลายเดือนก่อน

      Tunashukuru kwa Hilo Mungu azidi kua NAWE pia iwe heri ktk kazi zako

  • @aminamooni1488
    @aminamooni1488 2 ปีที่แล้ว +1

    Asante. Sana. Kk. Kutuelimisha

  • @FidesUlomi
    @FidesUlomi 3 หลายเดือนก่อน +1

    Asante Kwa elim

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  3 หลายเดือนก่อน

      Tupo pamoja ndugu

  • @teresamaina9700
    @teresamaina9700 3 ปีที่แล้ว +1

    Thanks sana Kwa hayo masomo! Lakini yai haitanuka zaumu juu ata MTU akila hua nuka

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  3 ปีที่แล้ว

      Hapana halitanuka

  • @hildampita
    @hildampita 3 หลายเดือนก่อน +1

    Asante kwa somo

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  3 หลายเดือนก่อน

      Barikiwa sana

  • @janesalama2165
    @janesalama2165 3 ปีที่แล้ว +1

    Asante sana kwani hata nami niko na kuku lakini hawaongezeki,lakini nimejua wapi nilikua nakosea mungu akubariki.

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  3 ปีที่แล้ว +1

      Amen🙏🙏

  • @rozambuba
    @rozambuba 2 หลายเดือนก่อน +1

    Asante

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  2 หลายเดือนก่อน

      Tupo pamoja ndugu

  • @abdallahomary5782
    @abdallahomary5782 2 หลายเดือนก่อน +1

    Ndugu yangu sijui nimekosea au nimezidisha kuna kuku mmoja alikua analea nikamuekea asubuh kufika jion amekufa ila vifaranga havijafa ila wala kuku wengine hawajafa sasa sijui shida nn

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  2 หลายเดือนก่อน

      Tuzid fuatilila zaidi shida itakua ni nini

  • @sophiamoshi4070
    @sophiamoshi4070 2 ปีที่แล้ว +1

    Nashukuru kwa somo zuri nimelielewa

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  2 ปีที่แล้ว

      Barikiwa sana ndugu tupo pa1 🙏

  • @user-dn2nr2gj7f
    @user-dn2nr2gj7f 3 ปีที่แล้ว +1

    Josephine kemunto. Asante kwa somo nzuri

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  3 ปีที่แล้ว

      Barikiwa🙌🙏

  • @cathelinemutunga796
    @cathelinemutunga796 3 ปีที่แล้ว +1

    Shukrani sana kwa mafunzo.

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  3 ปีที่แล้ว

      Barikiwa🙌🙌

  • @sarahkaposwe7650
    @sarahkaposwe7650 3 หลายเดือนก่อน +1

    Asante sn kwa ushauri

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  3 หลายเดือนก่อน

      Tupo pamoja ndugu

  • @salomelaizer8290
    @salomelaizer8290 3 ปีที่แล้ว +1

    Ukwel nabarikiwa sana na somo la ufugaji Mungu na akubariki sana

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  3 ปีที่แล้ว

      Amen 🙏

  • @DottoLiguluka
    @DottoLiguluka 3 หลายเดือนก่อน +1

    Naomba ushaur kuku wangu wanaacha mayai bila kutotoa akitotoa mawili mengine anabakiza nifanyeje?

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  3 หลายเดือนก่อน

      Zijue sababu za kuku kushindwa kutotoa mayai
      th-cam.com/video/m040lgLmp-g/w-d-xo.html

  • @TukelyeNkwama
    @TukelyeNkwama หลายเดือนก่อน +1

    Kitunguu swaum hakitoshi kama chanjo kuku wa kienyeji?

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  หลายเดือนก่อน

      Hapana hakina uwezo WA kukinga virus 🦠

  • @carolinemuthoni6514
    @carolinemuthoni6514 3 ปีที่แล้ว +1

    shukrani kwa huo ujumbe

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  3 ปีที่แล้ว

      Barikiwa 🙌

  • @devothaonesmo8602
    @devothaonesmo8602 2 ปีที่แล้ว +1

    Asante Sana kwa mafunzo

  • @helgamasaki6239
    @helgamasaki6239 3 ปีที่แล้ว +1

    Mungu awabariki kwa kazi nzur mnayoifanya,

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  3 ปีที่แล้ว

      Amina kubwa sana🙏🙏

  • @AlfredMaingi-mb3ch
    @AlfredMaingi-mb3ch 2 หลายเดือนก่อน +1

    Nakupa bigup mwalimu kutupatia lulu.

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  2 หลายเดือนก่อน

      Barikiwa pia

  • @paulinadeemay
    @paulinadeemay 6 หลายเดือนก่อน +1

    Mungu akubariki sana

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  6 หลายเดือนก่อน

      Amina ndugu 🙏🏿 Barikiwa pia

  • @annaaligawesa8446
    @annaaligawesa8446 3 หลายเดือนก่อน +1

    Asante kwa masomo mazuri na ya kelimisha. Mimi ni mfugaji wa kuku wa kienyeji, naomba namba ya simu kwa mawasiliano.

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  3 หลายเดือนก่อน

      Sawa ndugu tutakutumia

    • @neemapaul6085
      @neemapaul6085 2 หลายเดือนก่อน +1

      Wanatumia siku ngapi

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  2 หลายเดือนก่อน

      Kama tiba wanatumia mfululizo kwa siku 3 hadi 5 kama Kinga angalau kila wiki Mara 1 AU 2

  • @demetriangilwa2674
    @demetriangilwa2674 3 ปีที่แล้ว +1

    Asante sana, ngoja kesho niwape

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  3 ปีที่แล้ว

      Ok Kila la heri🙏

  • @user-rq6ok5ru9p
    @user-rq6ok5ru9p 3 หลายเดือนก่อน +1

    Asante kwa somo zuri kumbe dawa tunazo nyumbani lakini hatujui napiga hatua mbele kwa somo hili. Swali Kuna vitunguu vya kienyeji na vya kisasa je vyote vinafaa?

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  3 หลายเดือนก่อน

      Hakika ndugu. Ila vitunguu vyote vinatumika tu

  • @mariammnanka3404
    @mariammnanka3404 3 หลายเดือนก่อน +1

    Samahani nataka kujuwa ni kuku wote hata wale.wa kizungu au ni kienyeji tu,by Mariam

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  3 หลายเดือนก่อน

      Wote ndugu

  • @KADALAtv255
    @KADALAtv255 2 ปีที่แล้ว +1

    Asanteeeeee

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  2 ปีที่แล้ว

      🙏🤝🤝

  • @happyhaule9003
    @happyhaule9003 2 ปีที่แล้ว +1

    Asante kwasomi

  • @user-wq9je9bl6v
    @user-wq9je9bl6v 3 ปีที่แล้ว +2

    Shukran mpendwa

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  3 ปีที่แล้ว

      Barikiwa🙌

    • @user-wq9je9bl6v
      @user-wq9je9bl6v 2 ปีที่แล้ว +1

      @@AGALUSTV Nawe pia mpendwa uenipa maarifa shukran

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  2 ปีที่แล้ว

      Pa1 🤝🤝🤝🙏🙏🙏

  • @neemashirima6121
    @neemashirima6121 2 ปีที่แล้ว

    Asante sana Mungu akubariki

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  2 ปีที่แล้ว

      Amina KUBWA🙏🙏✍️

  • @saadaali9892
    @saadaali9892 2 ปีที่แล้ว +1

    Asante nimefaidika naomba kukuuliza je naweza kutumia kwa broilers

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  2 ปีที่แล้ว

      Yaaah unaweza ni kuwa zoesha tu

  • @AgnesMboma-zv4xx
    @AgnesMboma-zv4xx 2 หลายเดือนก่อน +2

    We no mwalim mzr saana

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  2 หลายเดือนก่อน

      Barikiwa pia

  • @jackSwai-gd7hh
    @jackSwai-gd7hh 2 หลายเดือนก่อน +2

    Nawapa Mara ngapi kw wiki

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  2 หลายเดือนก่อน

      Mara moja

  • @mutumaromano2533
    @mutumaromano2533 3 ปีที่แล้ว +1

    Asante kwa somo
    Big up

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  3 ปีที่แล้ว

      Barikiwa🙌

  • @nandagohadijah6180
    @nandagohadijah6180 2 ปีที่แล้ว +1

    Shukuran kabisa Akuvarik Mola

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  2 ปีที่แล้ว

      Amin🙏🙏Kubwa

  • @user-zt4cx6ig3s
    @user-zt4cx6ig3s 2 หลายเดือนก่อน +1

    Mm ninafuga kuku wamayai Ila wanadonoana mpaka kutoana utumbo nisaidie wamepunguza production Sana wanakufa karibuni kilasiku kwa issue ya kudonoana

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  2 หลายเดือนก่อน

      Pole Sana ndugu. Chakula unafanyaje yaan unachanganya AU kununua? Mboga mboga AU majani. Upungufu wa protini ktk mwili w kuku upelekea ivyo

  • @neemapaul6085
    @neemapaul6085 2 หลายเดือนก่อน +2

    Aina aja ya chanjo

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  2 หลายเดือนก่อน

      Chanjo ni muhimu sana ndugu. Maana magonjwa ya chanjo mengi ni ya virusi.

  • @morjanoman5181
    @morjanoman5181 2 หลายเดือนก่อน +1

    Leo ndio nimeona nalala yako Kaka nikiludi tz nitajifuza ufugaji je ? Unapatikana wilayagani?

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  2 หลายเดือนก่อน

      Barikiwa Sana ndugu

  • @KakoziAsumani
    @KakoziAsumani หลายเดือนก่อน +1

    Nauliza vitunguhu ivyo tunawapa kuku wa umri gani?

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  หลายเดือนก่อน

      Kuanzia wik ya 4++

  • @aminajum1655
    @aminajum1655 2 ปีที่แล้ว +1

    Na mm vifaranga wanakufa sana na kuku wanaharisha sana naweza kuwapa

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  2 ปีที่แล้ว

      Wape tu itawasaidia

  • @felistusmuthio1266
    @felistusmuthio1266 3 ปีที่แล้ว +1

    Asante Sana kaka

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  3 ปีที่แล้ว

      Pa1🤝🤝

  • @user-wq9je9bl6v
    @user-wq9je9bl6v 3 ปีที่แล้ว +1

    Asante sana somo nimelipenda

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  3 ปีที่แล้ว

      Barikiwa

  • @shazilulutavi7165
    @shazilulutavi7165 ปีที่แล้ว +1

    Mimi ninafuga kuku wa kisasa na wananisumbua Sana kuhusu mafua nimetumia dawA za dukani nimefeli. Je nifanyaje ili wapone.

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  ปีที่แล้ว

      Pole ndugu. Jitahidi kutafuta dawa zingine w atapona. Pia HAKIKISHA hewa ipo nzuri bandani. Mzunguko mzuri. Mtumie mtaalam w mifugo aliyekaribu nawe a one mazingira ya banda

  • @ibrajames6288
    @ibrajames6288 3 ปีที่แล้ว +2

    I like natural remedies you provide to us it is so helpful

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  3 ปีที่แล้ว

      Sure so helpful🙏🙏

  • @roselusenaka7548
    @roselusenaka7548 3 ปีที่แล้ว +1

    Ahsante kwahilo somo.

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  3 ปีที่แล้ว

      Barikiwa🙌🙏

  • @victoriaisang6470
    @victoriaisang6470 3 ปีที่แล้ว +1

    Asante nimependa somo hilo

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  3 ปีที่แล้ว

      Pa 1🤝🤝

  • @dominaamadeus6665
    @dominaamadeus6665 2 ปีที่แล้ว +1

    Asante kwa madam je unaposema kuku anaongeza utagaji , anaweza Taga mayai mawili kwa siku?

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  2 ปีที่แล้ว

      Hapana kuku hawez taga mayai 2 kwa siku. Mzunguko w kutengeneza yai ni masaa 23 hadi 26 kwa iyo hakuna kw siku kuku ni yai 1 tu. Hii inasaidia kuku kutoruka siku kwnye kutaga unauhakika kila cku kupata yai🙏🙏

  • @nchidabajuma9401
    @nchidabajuma9401 2 หลายเดือนก่อน +1

    So inamaana haezi waekea hicho kitunguu kila siku

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  2 หลายเดือนก่อน

      Ndio iwe kama Kinga angalau kila wiki Mara 1 AU 2

  • @doricemachumu8485
    @doricemachumu8485 3 ปีที่แล้ว +1

    Duu Asante

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  3 ปีที่แล้ว

      Barikiwa sana

  • @estherokumu8927
    @estherokumu8927 3 หลายเดือนก่อน +1

    Asanti Sana

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  3 หลายเดือนก่อน

      Barikiwa

  • @issakiagati4649
    @issakiagati4649 2 ปีที่แล้ว +1

    Vitunguu swaumu nisalama kwa vifalanga nakama nisalama nimalangapi kwa mwezi peter mafuru kutoka mwanza

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  2 ปีที่แล้ว

      Ni salama tena sana kwa vifaranga. Wape tu kuku wako angalau Mara 2 kwa wiki

  • @umandejuma5798
    @umandejuma5798 3 ปีที่แล้ว +1

    Somos nzuri tafata ushauri wako

  • @neemapaul6085
    @neemapaul6085 2 หลายเดือนก่อน +1

    Kuku wangu nawawekea vitunguu swaumu kwenye maji nashukuru wana endelea vizuri ila mimi nawawekea kila siku je niendelee kuwawekea au niache.

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  2 หลายเดือนก่อน

      Angalau kwa wiki Mara 2

  • @amaradiombera2198
    @amaradiombera2198 2 ปีที่แล้ว +1

    Mualimu naomba msaada vipi ntapata kuku chotara kurelor ❓sababu mi na ishi inje la Tanzania nipo Mozambique Ashanti

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  2 ปีที่แล้ว

      Uku Tanzania hadi Mozambique ni mbali utawasafirisha vp

  • @NuruSaidi-un4gz
    @NuruSaidi-un4gz 2 หลายเดือนก่อน +1

    Broiler tuwape nao kwenye maji

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  2 หลายเดือนก่อน

      Ndio

  • @graceswai9166
    @graceswai9166 3 ปีที่แล้ว +2

    Asante saaana..

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  3 ปีที่แล้ว

      Barikiwa🙌

    • @happyhaule9003
      @happyhaule9003 2 ปีที่แล้ว +1

      Kuku wangu wanakula mayai nifanyeje ili kukomesha ilo tatizo?

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  2 ปีที่แล้ว

      Wape madini ya chokaa na mifupa au DCP zipo madukani 🙏

  • @sarabendera7688
    @sarabendera7688 3 ปีที่แล้ว +1

    Ahsante kwa somo zuri

  • @laulymo2063
    @laulymo2063 ปีที่แล้ว +1

    Barikiwa sana

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  ปีที่แล้ว

      Amina ✍️ Nawe pia ndugu 🙏🏿

  • @raibashaha8816
    @raibashaha8816 ปีที่แล้ว +2

    Kuku wangu wanakula mayai nifanyeje

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  ปีที่แล้ว

      Apo ni lishe mbovu, hasa Madini fuatilila video hii sababu na tiba ya kuku kula mayai
      th-cam.com/video/g60lTm-IjT0/w-d-xo.html

  • @deogodi1655
    @deogodi1655 2 ปีที่แล้ว +1

    mwalimu ni nilikuwa naomba fomla ya kuchanganya cha kula cha kuku wanao taga kuku wa kienyeji

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  2 ปีที่แล้ว

      Formula yake ni hii ktk video hiii
      th-cam.com/video/-4ho30cWUFM/w-d-xo.html

  • @eradolyamuya3929
    @eradolyamuya3929 2 ปีที่แล้ว +1

    Nashukuru sana ndugu kwa Somo zuri,naomba kuuliza je kwa kuku wa mayai wa kisasa,yaani layers inafaa?

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  2 ปีที่แล้ว

      Nzuri pia ukitumia

  • @josephjoseph4586
    @josephjoseph4586 2 ปีที่แล้ว +1

    Ahsante kaka

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  2 ปีที่แล้ว

      PA moja ndugu, 🙏🙏

  • @user-xu7yr4iv6y
    @user-xu7yr4iv6y 3 หลายเดือนก่อน +1

    Barikiwa

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  3 หลายเดือนก่อน

      Amina .Tupo PAMOJA NDUGU

  • @PAULMANJALLA-ig7ll
    @PAULMANJALLA-ig7ll ปีที่แล้ว +1

    Asante sana Kwa Elimu hii. Ila naomba aliye na group la wafugaji la Whatsapp aniunge au anitumie link nijiunge.

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  ปีที่แล้ว

      OK Sawa Sawa

  • @user-xs8td7ec1e
    @user-xs8td7ec1e 10 หลายเดือนก่อน +1

    Kuku wangu wanapenda sana vitunguu

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  10 หลายเดือนก่อน

      Ni vizuri wape tu

  • @lestherusitukanesanasomaam1339
    @lestherusitukanesanasomaam1339 ปีที่แล้ว +1

    Naweza kuchanganya kitunguu swaumu na tangawizi? Na kuna watu wanawapa kuku kitunguu majid na hawadhuriki mimi sijawahi wapa lakin kuna rafiki tango anawapa!!

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  ปีที่แล้ว

      Ndyo waweza changanya

  • @JastineMfumbuzi
    @JastineMfumbuzi 5 หลายเดือนก่อน +1

    Tunashukur kwa somo

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  5 หลายเดือนก่อน

      Tupo pamoja ndugu

  • @rahmamunakhan6458
    @rahmamunakhan6458 2 ปีที่แล้ว

    Asante nimepata elimu zuri ila mbona kuku wangu wakikaa pamoja wanapigana sana

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  2 ปีที่แล้ว

      Video yake ni hii kuku kupigana sababu na tba
      th-cam.com/video/KUBFDRb1TD4/w-d-xo.html

  • @user-co1gs8eg9d
    @user-co1gs8eg9d 2 หลายเดือนก่อน +1

    Kuhusu mkaa ndoo moja ya pumba nitachanganya kiasi gani

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  2 หลายเดือนก่อน

      Lita 1 hadi 2 utege utegemea na size ya Mkaa wako

  • @lawimoses2514
    @lawimoses2514 11 หลายเดือนก่อน +1

    Wapewe kila baada ya muda gani?

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  11 หลายเดือนก่อน

      Kwa wik Mara 2

  • @khadujifuad9360
    @khadujifuad9360 3 ปีที่แล้ว +1

    I'll try this method

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  3 ปีที่แล้ว +1

      Welcome, 🙏

    • @nyerioduong8369
      @nyerioduong8369 3 ปีที่แล้ว +1

      It is so helpful my little brother used to solve much problems facing his chicks