FAIDA 7 ZA VITUNGUU SAUMU KWA KUKU!!!

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 9 ก.พ. 2025
  • Wape kuku Vitunguu saumu mara kwa mara Uone maajabu haya kwa kuku wako👇
    -Kuimarisha kinga dhidi ya magonjwa
    -Kuingeza Uzarishaji wa mayai
    -Upunguza harufu mbaya ya kinyesi
    -Ufukuza wadudu
    Kuua bakteria wabaya

ความคิดเห็น • 547

  • @neemamateru4249
    @neemamateru4249 3 ปีที่แล้ว +4

    Naitwa neema materu napatikana Moshi vijijini nawashukuru Sana kwasomo lenu laufugaji wakuku nimenufaika Sana nilikuwa nafuga kwakukata tamaa lakini sasa nimekuwa mfugaji Bora nanimeweza kuzalisha vifaranga wengi ndani. Ya mwezi mmoja nakuvimudu navinakuwa vizuri ninafurahia ufugaji wakuku wakienyeji tuko pamoja katika ufugaji

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  3 ปีที่แล้ว

      Barikiwa sana🙌 Mungu awe nawe🙏🙏🙏

    • @mariammnanka3404
      @mariammnanka3404 8 หลายเดือนก่อน

      Naitwa Mariam naomba kuuliza hata kuku wa mayai wale wa kizungu naweza kuwapa hivyo vitunguu swarm?

  • @monicamajebele9165
    @monicamajebele9165 8 หลายเดือนก่อน +4

    Mungu Baba wa Mbinguni akubariki mwanangu kwa mafundisho mazuri kwetu wafugaji

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  8 หลายเดือนก่อน

      Amina ndugu nawe pia iwe heri ktk kazi zako

  • @VickKulekana-si1ib
    @VickKulekana-si1ib ปีที่แล้ว +1

    Asante sana jaman tumepata faida nitawambia pia na ndugu zangu wanaofuga na mimi pia napenda ufugaj nikifuga nitawapa nakumbuka kuku walikuwa wakiumwa zaman tulikuwa tunawapa tetesaklini

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  ปีที่แล้ว

      Barikiwa sana ndugu

  • @tulisamwel41
    @tulisamwel41 2 ปีที่แล้ว +1

    Asante sana mwalimu kwa mafunzo yako.Hakika nimefaidika mno

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  2 ปีที่แล้ว

      Barikiwa sana🙏

  • @alexndemo3020
    @alexndemo3020 3 ปีที่แล้ว +2

    Asante kwa kibindi hiki ,kitunguu saumu upewa kuku sote za kienyeji na za kishungu na ikiwa unatumia hii kitunguu saumu ni vizuri kutumia dawa za agrovet ili kushuia magonjwa

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  3 ปีที่แล้ว +1

      Upo sahihi🙏🙏

  • @elizakabuka6040
    @elizakabuka6040 2 ปีที่แล้ว +1

    Asante sana mtaalamu kwa somo zuri na linaloeleweka

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  2 ปีที่แล้ว

      Karibu Sana

  • @mariamnimbo8394
    @mariamnimbo8394 3 ปีที่แล้ว +5

    Asante kwa somo.
    Kama kitunguu saumu inafanya kazi kwa b'damu basi hata kuku.
    Big up!

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  3 ปีที่แล้ว

      Pa 1 sana🙏🤝🤝

    • @janetcosmas7282
      @janetcosmas7282 2 ปีที่แล้ว +1

      Asante kwa somo nzuri

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  2 ปีที่แล้ว

      Barikiwa pia ndugu 🙏🏿✍️🤝

  • @marydenis9707
    @marydenis9707 5 หลายเดือนก่อน

    Mungu akubariki sana, kwa somo zuri 9:38

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  5 หลายเดือนก่อน

      Amina KUBWA sana ndugu ✍️🙏🤲

  • @TinaTinaantoni
    @TinaTinaantoni 3 หลายเดือนก่อน +1

    Ubarikiwe, nimejifunza kitu

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  3 หลายเดือนก่อน

      Amina KUBWA sana ndugu endelea kutufuatilia video zingine zaidi ktkt channel hii ujifunze mengi zaidi

  • @DorinaGanshonga
    @DorinaGanshonga 8 หลายเดือนก่อน +1

    Asante kwa Somo mungu akubariki

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  8 หลายเดือนก่อน

      Amina ndugu barikiwa pia

  • @paulinadeemay
    @paulinadeemay 11 หลายเดือนก่อน +1

    Mungu akubariki sana

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  11 หลายเดือนก่อน

      Amina ndugu 🙏🏿 Barikiwa pia

  • @Zainabmilanzi-p3j
    @Zainabmilanzi-p3j 8 หลายเดือนก่อน +1

    Ubarikiwe Sana ndugu yangu katika hili mungu akufungulie milango ya mafanikio

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  8 หลายเดือนก่อน

      Amina ndugu nawe pia iwe heri ktk kazi zako

  • @JANEBGOYA
    @JANEBGOYA 8 หลายเดือนก่อน +1

    Asante SANA kwa faida hizi luluki, endelea kubarikiwa

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  8 หลายเดือนก่อน

      Amina ndugu .iwe heri pia kwako

  • @CollinsAgoi-e3y
    @CollinsAgoi-e3y 3 หลายเดือนก่อน +1

    Nimeshukuru sana kwa mawaiza yako ningependa kujua kama kuku wangu ni wanyonge na wanavimba jicho moja ama yote mawili shida anaweza kua nini naomba usaidizi

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  3 หลายเดือนก่อน

      Angalia hii video ina magonjwa mbali ktk macho na dawa zake
      th-cam.com/video/V_OsGbOnjgA/w-d-xo.html

  • @pastorhenrymashiku4178
    @pastorhenrymashiku4178 3 ปีที่แล้ว +1

    Asanteni sana kwa elimu hii Nzuri kwetu sisi wafugaji

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  3 ปีที่แล้ว

      Amina kaz njema🙏

  • @seydinekyiwera
    @seydinekyiwera 7 หลายเดือนก่อน +1

    Asante sana ubarikiwe

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  7 หลายเดือนก่อน

      Amina ndugu nawe pia

  • @jenifferkasuve5633
    @jenifferkasuve5633 3 ปีที่แล้ว +1

    Asante sana, nimefuata polepole.

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  3 ปีที่แล้ว

      Sawa Barikiwa🙌

  • @BeatriceGodwin-op4ot
    @BeatriceGodwin-op4ot 8 หลายเดือนก่อน +1

    Asante kwa mafundisho nami nitafanya hivyo,

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  8 หลายเดือนก่อน

      Barikiwa

  • @sophiamoshi4070
    @sophiamoshi4070 2 ปีที่แล้ว +1

    Nashukuru kwa somo zuri nimelielewa

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  2 ปีที่แล้ว

      Barikiwa sana ndugu tupo pa1 🙏

  • @marydenis9707
    @marydenis9707 5 หลายเดือนก่อน

    Mungu akubariki sana, kwa somo zuri

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  5 หลายเดือนก่อน

      Amina KUBWA sana ndugu ✍️🙏🤲

  • @BariatuAbutwaha
    @BariatuAbutwaha 5 หลายเดือนก่อน

    Asante sana nimejifunza kitu

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  5 หลายเดือนก่อน

      Tupo pamoja sana ndugu endelea kutufuatilia video zingine zaidi ktkt channel hii ujifunze mengi sana

  • @aminamooni1488
    @aminamooni1488 3 ปีที่แล้ว +1

    Asante. Sana. Kk. Kutuelimisha

  • @nandagohadijah6180
    @nandagohadijah6180 3 ปีที่แล้ว +1

    Shukuran kabisa Akuvarik Mola

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  3 ปีที่แล้ว

      Amin🙏🙏Kubwa

  • @ChristopherMkama-ud6ch
    @ChristopherMkama-ud6ch 8 หลายเดือนก่อน +1

    Unafundisha vizuri sana.

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  8 หลายเดือนก่อน

      Tunashukuru kwa Hilo Mungu azidi kua NAWE pia iwe heri ktk kazi zako

  • @kashindiMulumba
    @kashindiMulumba 11 หลายเดือนก่อน +1

    Na shukuru kwa ushauri.ila ni nge pendelea kufahamu gisi ya kukuza vifaranga kupitia mfumo wa kisasa,

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  11 หลายเดือนก่อน

      Fuatilila video ktk Chanel hii jinsi ya kulea vifaranga
      Andika jinsi ya kulea vifaranga by agalus TV

  • @neemashirima6121
    @neemashirima6121 2 ปีที่แล้ว

    Asante sana Mungu akubariki

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  2 ปีที่แล้ว

      Amina KUBWA🙏🙏✍️

  • @FidesUlomi
    @FidesUlomi 8 หลายเดือนก่อน +1

    Asante Kwa elim

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  8 หลายเดือนก่อน

      Tupo pamoja ndugu

  • @sarahkaposwe7650
    @sarahkaposwe7650 8 หลายเดือนก่อน +1

    Asante sn kwa ushauri

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  8 หลายเดือนก่อน

      Tupo pamoja ndugu

  • @laulymo2063
    @laulymo2063 ปีที่แล้ว +1

    Barikiwa sana

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  ปีที่แล้ว

      Amina ✍️ Nawe pia ndugu 🙏🏿

  • @ShamimuKanju
    @ShamimuKanju 3 หลายเดือนก่อน

    Asnt, Mwenyeezi Mungu akujaalie kwa somo zuri

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  3 หลายเดือนก่อน

      Amina ndugu endelea kutufuatilia video zingine zaidi ktkt channel hii ujifunze mengi zaidi

    • @JacobMwaimu
      @JacobMwaimu 2 หลายเดือนก่อน +1

      Nimeipenda pia nahitaji kufika

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  2 หลายเดือนก่อน

      @JacobMwaimu karibu sana ndugu endelea kutufuatilia video zingine zaidi ktkt channel hii ujifunze mengi zaidi

  • @marthaokerio7336
    @marthaokerio7336 3 ปีที่แล้ว +3

    Thank you for your encourage.

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  3 ปีที่แล้ว

      Welcome🙏

  • @cathelinemutunga796
    @cathelinemutunga796 3 ปีที่แล้ว +1

    Shukrani sana kwa mafunzo.

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  3 ปีที่แล้ว

      Barikiwa🙌🙌

  • @teresamaina9700
    @teresamaina9700 3 ปีที่แล้ว +1

    Thanks sana Kwa hayo masomo! Lakini yai haitanuka zaumu juu ata MTU akila hua nuka

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  3 ปีที่แล้ว

      Hapana halitanuka

  • @jumakivumbi-xs1of
    @jumakivumbi-xs1of 8 หลายเดือนก่อน +1

    Somo zuri sana best , ubarikiwe ,ALLAH akuzishie kila heri

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  8 หลายเดือนก่อน

      Amina ndugu.iwe heri na kwako

  • @susanruhunga6373
    @susanruhunga6373 3 ปีที่แล้ว +1

    shukran kwa somo

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  3 ปีที่แล้ว

      Pa1 sana🤝

  • @beautykamaghe9778
    @beautykamaghe9778 3 ปีที่แล้ว +1

    Asante Sikujua hili kuku wangu wanatokwa navidonda mdomon na kwenye macho has vifaranga je naweza kuwasaidiaje

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  3 ปีที่แล้ว

      Iyo ni ndui kwangua vidonda paka alovera

  • @josephjoseph4586
    @josephjoseph4586 2 ปีที่แล้ว +1

    Ahsante kaka

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  2 ปีที่แล้ว

      PA moja ndugu, 🙏🙏

  • @carolinemuthoni6514
    @carolinemuthoni6514 3 ปีที่แล้ว +1

    shukrani kwa huo ujumbe

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  3 ปีที่แล้ว

      Barikiwa 🙌

  • @devothaonesmo8602
    @devothaonesmo8602 3 ปีที่แล้ว +1

    Asante Sana kwa mafunzo

  • @سهيلالزهراني-ض5ي
    @سهيلالزهراني-ض5ي 3 ปีที่แล้ว +1

    Josephine kemunto. Asante kwa somo nzuri

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  3 ปีที่แล้ว

      Barikiwa🙌🙏

  • @demetriangilwa2674
    @demetriangilwa2674 3 ปีที่แล้ว +1

    Asante sana, ngoja kesho niwape

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  3 ปีที่แล้ว

      Ok Kila la heri🙏

  • @helgamasaki6239
    @helgamasaki6239 3 ปีที่แล้ว +1

    Mungu awabariki kwa kazi nzur mnayoifanya,

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  3 ปีที่แล้ว

      Amina kubwa sana🙏🙏

  • @AlfredMaingi-mb3ch
    @AlfredMaingi-mb3ch 8 หลายเดือนก่อน +1

    Nakupa bigup mwalimu kutupatia lulu.

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  8 หลายเดือนก่อน

      Barikiwa pia

  • @mutumaromano2533
    @mutumaromano2533 3 ปีที่แล้ว +1

    Asante kwa somo
    Big up

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  3 ปีที่แล้ว

      Barikiwa🙌

  • @MbagaKiswaga
    @MbagaKiswaga 6 หลายเดือนก่อน +1

    Asante sana kwa mafundisho mazuri mimi nina vfaranga vina siku ya tano leo nilianza kuwapa maji ya Alovela Mchanganyiko na Pilipili lakini asubuhi mpapa muda huu nasikia kama vinamafua nifanyeje?

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  6 หลายเดือนก่อน +1

      Vifaranga angalau wafike wiki 3 ndio uanze tumia mimea. Kuhusu mafua inabid uwape dawa za dukani maana ao ni vifaranga pia angalia mazingira ya mzunguko WA hewa uwe mzuri

  • @tatukarata6072
    @tatukarata6072 3 ปีที่แล้ว +2

    Uko vizur mwalim

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  3 ปีที่แล้ว

      Barikiwa sana ndugu🙏🤝

    • @tatukarata6072
      @tatukarata6072 3 ปีที่แล้ว +1

      Kuku anatoa kinyes kinaMaj maji meng samahani shida

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  3 ปีที่แล้ว

      Rangi gani? Kama cha kawida angalia chakula chako

    • @tatukarata6072
      @tatukarata6072 3 ปีที่แล้ว +1

      Chakul sijachangany nimenunua kiwandani muda mwingin maji Maj ya kawaida muda rang ya tofal so wot

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  3 ปีที่แล้ว

      Ok ni dalili ya coccidiosis. Apo kachukue tu dawa dukani Zipo nyingi kama vile Amprolium n.k mwambie kuku wangu wanatoa kinyesi cha rangi ya tofari. Kuna somo hili kuhusu kila ugonjwa na dawa zake🙏👇👇
      th-cam.com/video/DiG5lAtaZ88/w-d-xo.html

  • @salomelaizer8290
    @salomelaizer8290 3 ปีที่แล้ว +1

    Ukwel nabarikiwa sana na somo la ufugaji Mungu na akubariki sana

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  3 ปีที่แล้ว

      Amen 🙏

  • @happyhaule9003
    @happyhaule9003 3 ปีที่แล้ว +1

    Asante kwasomi

  • @فاطمةمحمد-ذ4س
    @فاطمةمحمد-ذ4س 3 ปีที่แล้ว +1

    Asante sana somo nimelipenda

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  3 ปีที่แล้ว

      Barikiwa

  • @monicanyinondi4871
    @monicanyinondi4871 8 หลายเดือนก่อน +1

    Naomba kujua majani yaliyo salama kuwapa kuku. Je naweza kuwapa majani ya mronge na ya mihogo. Monica

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  8 หลายเดือนก่อน

      Majani yapo mengi Sana ndugu. Andika you tube tiba asili za kuku by agalus TV zitakuja.

  • @umandejuma5798
    @umandejuma5798 3 ปีที่แล้ว +1

    Somos nzuri tafata ushauri wako

  • @happyjimmy7361
    @happyjimmy7361 3 ปีที่แล้ว +1

    Ngoja nijaribu kwa vifaranga

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  3 ปีที่แล้ว

      Fanya ivyo🙏

    • @happyjimmy7361
      @happyjimmy7361 3 ปีที่แล้ว +1

      Ilawenyew nisaso

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  3 ปีที่แล้ว

      Sawa tu wape kila mwez angalau mara 1 mfurulizo siku 5/7

  • @EliaNyamajeje
    @EliaNyamajeje 8 หลายเดือนก่อน +1

    Umenifumbua macho,nimepoteza hela sana kwa dawa za dukan lakin pia naomba kuelekezwa njia sahihi ya kienyeji ktk kutotoresha kuku wa kienyeji

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  8 หลายเดือนก่อน

      Kupata kuku zaidi fuatilia video hii.th-cam.com/video/SnlWEN3NgSA/w-d-xo.html pia zingatia CHANJO

  • @annaaligawesa8446
    @annaaligawesa8446 8 หลายเดือนก่อน +1

    Asante kwa masomo mazuri na ya kelimisha. Mimi ni mfugaji wa kuku wa kienyeji, naomba namba ya simu kwa mawasiliano.

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  8 หลายเดือนก่อน

      Sawa ndugu tutakutumia

    • @neemapaul6085
      @neemapaul6085 8 หลายเดือนก่อน +1

      Wanatumia siku ngapi

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  8 หลายเดือนก่อน

      Kama tiba wanatumia mfululizo kwa siku 3 hadi 5 kama Kinga angalau kila wiki Mara 1 AU 2

  • @janesalama2165
    @janesalama2165 3 ปีที่แล้ว +1

    Asante sana kwani hata nami niko na kuku lakini hawaongezeki,lakini nimejua wapi nilikua nakosea mungu akubariki.

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  3 ปีที่แล้ว +1

      Amen🙏🙏

  • @jackilineneemaangelo4437
    @jackilineneemaangelo4437 3 ปีที่แล้ว +22

    Ubarikiwe Saaana yaan kuku wangu walikuwa wanasinzia wamevimba macho na vifaranga nikawa asubuh nawapa pumba nawanyima maji...nawapa yaliyo na alovera na kitunguu swaumu...mme wangu alikuwa kakata tamaa....cku mbili tu wakanyanyuka jmn hili group limenisaidia.... halafu leo nmeangalia mayai n ya tofauti makubwa....halafu ilikuwa inaishia 11 inaatamia leo imefikisha 19...bado inaendelea...

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  3 ปีที่แล้ว +2

      Amen. Barikiwa sana 🙏

    • @evelynemachua519
      @evelynemachua519 3 ปีที่แล้ว +2

      Asante kwa somo.

    • @pastorhenrymashiku4178
      @pastorhenrymashiku4178 3 ปีที่แล้ว +1

      Kweli hata Mimi mimepata matokeo chanya kwa tiba ya vitunguu saumu na alovera

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  3 ปีที่แล้ว

      Barikiwa sana 🙏

    • @ndajoba7350
      @ndajoba7350 3 ปีที่แล้ว +3

      Mnapatikana wapi

  • @christinemganga
    @christinemganga 8 หลายเดือนก่อน +1

    Barikiwa

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  8 หลายเดือนก่อน

      Amina .Tupo PAMOJA NDUGU

  • @فاطمةمحمد-ذ4س
    @فاطمةمحمد-ذ4س 3 ปีที่แล้ว +2

    Shukran mpendwa

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  3 ปีที่แล้ว

      Barikiwa🙌

    • @فاطمةمحمد-ذ4س
      @فاطمةمحمد-ذ4س 3 ปีที่แล้ว +1

      @@AGALUSTV Nawe pia mpendwa uenipa maarifa shukran

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  3 ปีที่แล้ว

      Pa1 🤝🤝🤝🙏🙏🙏

  • @aminajum1655
    @aminajum1655 3 ปีที่แล้ว +1

    Na mm vifaranga wanakufa sana na kuku wanaharisha sana naweza kuwapa

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  3 ปีที่แล้ว

      Wape tu itawasaidia

  • @KADALAtv255
    @KADALAtv255 3 ปีที่แล้ว +1

    Asanteeeeee

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  3 ปีที่แล้ว

      🙏🤝🤝

  • @nyingos
    @nyingos 3 ปีที่แล้ว +2

    Asante kwa somo zuri

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  3 ปีที่แล้ว

      Pa1 sana🤝🤝🤝

  • @roselusenaka7548
    @roselusenaka7548 3 ปีที่แล้ว +1

    Ahsante kwahilo somo.

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  3 ปีที่แล้ว

      Barikiwa🙌🙏

  • @victoriaisang6470
    @victoriaisang6470 3 ปีที่แล้ว +1

    Asante nimependa somo hilo

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  3 ปีที่แล้ว

      Pa 1🤝🤝

  • @sarabendera7688
    @sarabendera7688 3 ปีที่แล้ว +1

    Ahsante kwa somo zuri

  • @AthumaniSwalehe-t9h
    @AthumaniSwalehe-t9h ปีที่แล้ว +1

    Kuku wangu wanapenda sana vitunguu

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  ปีที่แล้ว

      Ni vizuri wape tu

  • @felistusmuthio1266
    @felistusmuthio1266 3 ปีที่แล้ว +1

    Asante Sana kaka

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  3 ปีที่แล้ว

      Pa1🤝🤝

  • @estherokumu8927
    @estherokumu8927 8 หลายเดือนก่อน +1

    Asanti Sana

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  8 หลายเดือนก่อน

      Barikiwa

  • @doricemachumu8485
    @doricemachumu8485 3 ปีที่แล้ว +1

    Duu Asante

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  3 ปีที่แล้ว

      Barikiwa sana

  • @nurudinamchome6852
    @nurudinamchome6852 3 ปีที่แล้ว +1

    Asante sana,

  • @FloraRaymond-j3m
    @FloraRaymond-j3m 8 หลายเดือนก่อน +1

    Asante kwa somo zuri kumbe dawa tunazo nyumbani lakini hatujui napiga hatua mbele kwa somo hili. Swali Kuna vitunguu vya kienyeji na vya kisasa je vyote vinafaa?

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  8 หลายเดือนก่อน

      Hakika ndugu. Ila vitunguu vyote vinatumika tu

  • @eddahmwinzi
    @eddahmwinzi 3 ปีที่แล้ว +1

    Thanks

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  3 ปีที่แล้ว

      Welcome🙏

  • @morjanoman5181
    @morjanoman5181 7 หลายเดือนก่อน +2

    Leo ndio nimeona nalala yako Kaka nikiludi tz nitajifuza ufugaji je ? Unapatikana wilayagani?

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  7 หลายเดือนก่อน

      Barikiwa Sana ndugu

  • @ebelyrugema434
    @ebelyrugema434 ปีที่แล้ว +1

    Asante sana boss. Hiyo mara kwa mara ni mara ngapi kwa wiki?

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  ปีที่แล้ว

      Angalau Mara 2 kwa wiki

  • @salamamulonganile1618
    @salamamulonganile1618 3 ปีที่แล้ว +1

    Asantee

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  3 ปีที่แล้ว

      Barikiwa sana🙌

  • @LangoniHassanMohamed
    @LangoniHassanMohamed 7 หลายเดือนก่อน +1

    Mm Niko kenya,jee hiki kitunguu Saumu Kitasaidia kwa Bata au nikwa kuku tu

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  7 หลายเดือนก่อน

      Ata kwa bata Sawa tu

  • @janewanjira7401
    @janewanjira7401 3 ปีที่แล้ว +1

    Mnaenda mbali

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  3 ปีที่แล้ว

      Pa1🤝🤝

  • @JastineMfumbuzi
    @JastineMfumbuzi 10 หลายเดือนก่อน +1

    Tunashukur kwa somo

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  10 หลายเดือนก่อน

      Tupo pamoja ndugu

  • @ChristopherMkama-ud6ch
    @ChristopherMkama-ud6ch 8 หลายเดือนก่อน +1

    Amina.

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  8 หลายเดือนก่อน

      🤝

  • @AgnesMboma-zv4xx
    @AgnesMboma-zv4xx 7 หลายเดือนก่อน +2

    We no mwalim mzr saana

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  7 หลายเดือนก่อน

      Barikiwa pia

  • @neemapaul6085
    @neemapaul6085 8 หลายเดือนก่อน +1

    Kuku wangu nawawekea vitunguu swaumu kwenye maji nashukuru wana endelea vizuri ila mimi nawawekea kila siku je niendelee kuwawekea au niache.

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  8 หลายเดือนก่อน

      Angalau kwa wiki Mara 2

  • @saadaali9892
    @saadaali9892 3 ปีที่แล้ว +1

    Asante nimefaidika naomba kukuuliza je naweza kutumia kwa broilers

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  3 ปีที่แล้ว

      Yaaah unaweza ni kuwa zoesha tu

  • @hongerakalinga4557
    @hongerakalinga4557 2 ปีที่แล้ว +1

    Kwa hiyo nikimpa kuku kitunguuswaumu , vip nyama yakw haiwezi kunuka kitunguuswaumu swaumu?

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  2 ปีที่แล้ว

      Hapana hakuna uhusiano

  • @phinamagezi4313
    @phinamagezi4313 3 ปีที่แล้ว +1

    Nko vzr

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  3 ปีที่แล้ว

      Barikiwa🙌

  • @dominaamadeus6665
    @dominaamadeus6665 3 ปีที่แล้ว +1

    Asante kwa madam je unaposema kuku anaongeza utagaji , anaweza Taga mayai mawili kwa siku?

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  3 ปีที่แล้ว

      Hapana kuku hawez taga mayai 2 kwa siku. Mzunguko w kutengeneza yai ni masaa 23 hadi 26 kwa iyo hakuna kw siku kuku ni yai 1 tu. Hii inasaidia kuku kutoruka siku kwnye kutaga unauhakika kila cku kupata yai🙏🙏

  • @eradolyamuya3929
    @eradolyamuya3929 3 ปีที่แล้ว +1

    Nashukuru sana ndugu kwa Somo zuri,naomba kuuliza je kwa kuku wa mayai wa kisasa,yaani layers inafaa?

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  3 ปีที่แล้ว

      Nzuri pia ukitumia

  • @PAULMANJALLA-ig7ll
    @PAULMANJALLA-ig7ll ปีที่แล้ว +1

    Asante sana Kwa Elimu hii. Ila naomba aliye na group la wafugaji la Whatsapp aniunge au anitumie link nijiunge.

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  ปีที่แล้ว

      OK Sawa Sawa

  • @felixyegon-gb5ri
    @felixyegon-gb5ri ปีที่แล้ว +1

    ASante Sana

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  ปีที่แล้ว

      Tupo pamoja ndugu

  • @KakoziAsumani
    @KakoziAsumani 6 หลายเดือนก่อน +1

    Nauliza vitunguhu ivyo tunawapa kuku wa umri gani?

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  6 หลายเดือนก่อน

      Kuanzia wik ya 4++

  • @leahwamono3277
    @leahwamono3277 3 ปีที่แล้ว +1

    Nashukuru kwa mada

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  3 ปีที่แล้ว

      Barikiwa🙌

    • @najmadada6878
      @najmadada6878 3 ปีที่แล้ว

      @@AGALUSTV hbr yko Mimi kuku wangu mwezi wa 7 huu hawajawahi kutaga hata siku 1 nifanye nn naomba unisaidie

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  3 ปีที่แล้ว

      Ni wa aina gani kisasa au kienyeji kwa maelezo zaidi wasap+255765467484

  • @graceswai9166
    @graceswai9166 3 ปีที่แล้ว +2

    Asante saaana..

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  3 ปีที่แล้ว

      Barikiwa🙌

    • @happyhaule9003
      @happyhaule9003 3 ปีที่แล้ว +1

      Kuku wangu wanakula mayai nifanyeje ili kukomesha ilo tatizo?

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  3 ปีที่แล้ว

      Wape madini ya chokaa na mifupa au DCP zipo madukani 🙏

  • @PeterMmary-p8q
    @PeterMmary-p8q 7 หลายเดือนก่อน +1

    Mm ninafuga kuku wamayai Ila wanadonoana mpaka kutoana utumbo nisaidie wamepunguza production Sana wanakufa karibuni kilasiku kwa issue ya kudonoana

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  7 หลายเดือนก่อน

      Pole Sana ndugu. Chakula unafanyaje yaan unachanganya AU kununua? Mboga mboga AU majani. Upungufu wa protini ktk mwili w kuku upelekea ivyo

  • @godfreyobadiah7892
    @godfreyobadiah7892 ปีที่แล้ว +1

    Ambao tayari wana maambukizi ya cocsiodisiss kitunguu swaumu kitawafaa ?

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  ปีที่แล้ว

      IKIWA ugonjwa upo atua ya a Wali

  • @DottoLiguluka
    @DottoLiguluka 8 หลายเดือนก่อน +1

    Naomba ushaur kuku wangu wanaacha mayai bila kutotoa akitotoa mawili mengine anabakiza nifanyeje?

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  8 หลายเดือนก่อน

      Zijue sababu za kuku kushindwa kutotoa mayai
      th-cam.com/video/m040lgLmp-g/w-d-xo.html

  • @abdallahomary5782
    @abdallahomary5782 7 หลายเดือนก่อน +1

    Ndugu yangu sijui nimekosea au nimezidisha kuna kuku mmoja alikua analea nikamuekea asubuh kufika jion amekufa ila vifaranga havijafa ila wala kuku wengine hawajafa sasa sijui shida nn

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  7 หลายเดือนก่อน

      Tuzid fuatilila zaidi shida itakua ni nini

  • @mariammariam1128
    @mariammariam1128 3 ปีที่แล้ว +1

    Na kifaranga kumpa sawa ama

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  3 ปีที่แล้ว

      Tena ndyo vizur

  • @khadujifuad9360
    @khadujifuad9360 3 ปีที่แล้ว +1

    I'll try this method

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  3 ปีที่แล้ว +1

      Welcome, 🙏

    • @nyerioduong8369
      @nyerioduong8369 3 ปีที่แล้ว +1

      It is so helpful my little brother used to solve much problems facing his chicks

  • @nyerioduong8369
    @nyerioduong8369 3 ปีที่แล้ว +1

    I LIKE THIS TV

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  3 ปีที่แล้ว

      Welcome🙏

  • @rahmamunakhan6458
    @rahmamunakhan6458 2 ปีที่แล้ว

    Asante nimepata elimu zuri ila mbona kuku wangu wakikaa pamoja wanapigana sana

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  2 ปีที่แล้ว

      Video yake ni hii kuku kupigana sababu na tba
      th-cam.com/video/KUBFDRb1TD4/w-d-xo.html

  • @TukelyeNkwama
    @TukelyeNkwama 6 หลายเดือนก่อน +1

    Kitunguu swaum hakitoshi kama chanjo kuku wa kienyeji?

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  6 หลายเดือนก่อน

      Hapana hakina uwezo WA kukinga virus 🦠

  • @kiliankatabazi5353
    @kiliankatabazi5353 3 ปีที่แล้ว +1

    Katabazi killian kaka asante kwa shulen

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  3 ปีที่แล้ว

      Pa 1 sana🤝🤝