FAIDA 7 ZA VITUNGUU SAUMU KWA KUKU!!!
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 9 ก.พ. 2025
- Wape kuku Vitunguu saumu mara kwa mara Uone maajabu haya kwa kuku wako👇
-Kuimarisha kinga dhidi ya magonjwa
-Kuingeza Uzarishaji wa mayai
-Upunguza harufu mbaya ya kinyesi
-Ufukuza wadudu
Kuua bakteria wabaya
Naitwa neema materu napatikana Moshi vijijini nawashukuru Sana kwasomo lenu laufugaji wakuku nimenufaika Sana nilikuwa nafuga kwakukata tamaa lakini sasa nimekuwa mfugaji Bora nanimeweza kuzalisha vifaranga wengi ndani. Ya mwezi mmoja nakuvimudu navinakuwa vizuri ninafurahia ufugaji wakuku wakienyeji tuko pamoja katika ufugaji
Barikiwa sana🙌 Mungu awe nawe🙏🙏🙏
Naitwa Mariam naomba kuuliza hata kuku wa mayai wale wa kizungu naweza kuwapa hivyo vitunguu swarm?
Mungu Baba wa Mbinguni akubariki mwanangu kwa mafundisho mazuri kwetu wafugaji
Amina ndugu nawe pia iwe heri ktk kazi zako
Asante sana jaman tumepata faida nitawambia pia na ndugu zangu wanaofuga na mimi pia napenda ufugaj nikifuga nitawapa nakumbuka kuku walikuwa wakiumwa zaman tulikuwa tunawapa tetesaklini
Barikiwa sana ndugu
Asante sana mwalimu kwa mafunzo yako.Hakika nimefaidika mno
Barikiwa sana🙏
Asante kwa kibindi hiki ,kitunguu saumu upewa kuku sote za kienyeji na za kishungu na ikiwa unatumia hii kitunguu saumu ni vizuri kutumia dawa za agrovet ili kushuia magonjwa
Upo sahihi🙏🙏
Asante sana mtaalamu kwa somo zuri na linaloeleweka
Karibu Sana
Asante kwa somo.
Kama kitunguu saumu inafanya kazi kwa b'damu basi hata kuku.
Big up!
Pa 1 sana🙏🤝🤝
Asante kwa somo nzuri
Barikiwa pia ndugu 🙏🏿✍️🤝
Mungu akubariki sana, kwa somo zuri 9:38
Amina KUBWA sana ndugu ✍️🙏🤲
Ubarikiwe, nimejifunza kitu
Amina KUBWA sana ndugu endelea kutufuatilia video zingine zaidi ktkt channel hii ujifunze mengi zaidi
Asante kwa Somo mungu akubariki
Amina ndugu barikiwa pia
Mungu akubariki sana
Amina ndugu 🙏🏿 Barikiwa pia
Ubarikiwe Sana ndugu yangu katika hili mungu akufungulie milango ya mafanikio
Amina ndugu nawe pia iwe heri ktk kazi zako
Asante SANA kwa faida hizi luluki, endelea kubarikiwa
Amina ndugu .iwe heri pia kwako
Nimeshukuru sana kwa mawaiza yako ningependa kujua kama kuku wangu ni wanyonge na wanavimba jicho moja ama yote mawili shida anaweza kua nini naomba usaidizi
Angalia hii video ina magonjwa mbali ktk macho na dawa zake
th-cam.com/video/V_OsGbOnjgA/w-d-xo.html
Asanteni sana kwa elimu hii Nzuri kwetu sisi wafugaji
Amina kaz njema🙏
Asante sana ubarikiwe
Amina ndugu nawe pia
Asante sana, nimefuata polepole.
Sawa Barikiwa🙌
Asante kwa mafundisho nami nitafanya hivyo,
Barikiwa
Nashukuru kwa somo zuri nimelielewa
Barikiwa sana ndugu tupo pa1 🙏
Mungu akubariki sana, kwa somo zuri
Amina KUBWA sana ndugu ✍️🙏🤲
Asante sana nimejifunza kitu
Tupo pamoja sana ndugu endelea kutufuatilia video zingine zaidi ktkt channel hii ujifunze mengi sana
Asante. Sana. Kk. Kutuelimisha
Pa1🤝
Shukuran kabisa Akuvarik Mola
Amin🙏🙏Kubwa
Unafundisha vizuri sana.
Tunashukuru kwa Hilo Mungu azidi kua NAWE pia iwe heri ktk kazi zako
Na shukuru kwa ushauri.ila ni nge pendelea kufahamu gisi ya kukuza vifaranga kupitia mfumo wa kisasa,
Fuatilila video ktk Chanel hii jinsi ya kulea vifaranga
Andika jinsi ya kulea vifaranga by agalus TV
Asante sana Mungu akubariki
Amina KUBWA🙏🙏✍️
Asante Kwa elim
Tupo pamoja ndugu
Asante sn kwa ushauri
Tupo pamoja ndugu
Barikiwa sana
Amina ✍️ Nawe pia ndugu 🙏🏿
Asnt, Mwenyeezi Mungu akujaalie kwa somo zuri
Amina ndugu endelea kutufuatilia video zingine zaidi ktkt channel hii ujifunze mengi zaidi
Nimeipenda pia nahitaji kufika
@JacobMwaimu karibu sana ndugu endelea kutufuatilia video zingine zaidi ktkt channel hii ujifunze mengi zaidi
Thank you for your encourage.
Welcome🙏
Shukrani sana kwa mafunzo.
Barikiwa🙌🙌
Thanks sana Kwa hayo masomo! Lakini yai haitanuka zaumu juu ata MTU akila hua nuka
Hapana halitanuka
Somo zuri sana best , ubarikiwe ,ALLAH akuzishie kila heri
Amina ndugu.iwe heri na kwako
shukran kwa somo
Pa1 sana🤝
Asante Sikujua hili kuku wangu wanatokwa navidonda mdomon na kwenye macho has vifaranga je naweza kuwasaidiaje
Iyo ni ndui kwangua vidonda paka alovera
Ahsante kaka
PA moja ndugu, 🙏🙏
shukrani kwa huo ujumbe
Barikiwa 🙌
Asante Sana kwa mafunzo
Pa1🤝
Josephine kemunto. Asante kwa somo nzuri
Barikiwa🙌🙏
Asante sana, ngoja kesho niwape
Ok Kila la heri🙏
Mungu awabariki kwa kazi nzur mnayoifanya,
Amina kubwa sana🙏🙏
Nakupa bigup mwalimu kutupatia lulu.
Barikiwa pia
Asante kwa somo
Big up
Barikiwa🙌
Asante sana kwa mafundisho mazuri mimi nina vfaranga vina siku ya tano leo nilianza kuwapa maji ya Alovela Mchanganyiko na Pilipili lakini asubuhi mpapa muda huu nasikia kama vinamafua nifanyeje?
Vifaranga angalau wafike wiki 3 ndio uanze tumia mimea. Kuhusu mafua inabid uwape dawa za dukani maana ao ni vifaranga pia angalia mazingira ya mzunguko WA hewa uwe mzuri
Uko vizur mwalim
Barikiwa sana ndugu🙏🤝
Kuku anatoa kinyes kinaMaj maji meng samahani shida
Rangi gani? Kama cha kawida angalia chakula chako
Chakul sijachangany nimenunua kiwandani muda mwingin maji Maj ya kawaida muda rang ya tofal so wot
Ok ni dalili ya coccidiosis. Apo kachukue tu dawa dukani Zipo nyingi kama vile Amprolium n.k mwambie kuku wangu wanatoa kinyesi cha rangi ya tofari. Kuna somo hili kuhusu kila ugonjwa na dawa zake🙏👇👇
th-cam.com/video/DiG5lAtaZ88/w-d-xo.html
Ukwel nabarikiwa sana na somo la ufugaji Mungu na akubariki sana
Amen 🙏
Asante kwasomi
Pa1🤝
Asante sana somo nimelipenda
Barikiwa
Naomba kujua majani yaliyo salama kuwapa kuku. Je naweza kuwapa majani ya mronge na ya mihogo. Monica
Majani yapo mengi Sana ndugu. Andika you tube tiba asili za kuku by agalus TV zitakuja.
Somos nzuri tafata ushauri wako
Sawa
Ngoja nijaribu kwa vifaranga
Fanya ivyo🙏
Ilawenyew nisaso
Sawa tu wape kila mwez angalau mara 1 mfurulizo siku 5/7
Umenifumbua macho,nimepoteza hela sana kwa dawa za dukan lakin pia naomba kuelekezwa njia sahihi ya kienyeji ktk kutotoresha kuku wa kienyeji
Kupata kuku zaidi fuatilia video hii.th-cam.com/video/SnlWEN3NgSA/w-d-xo.html pia zingatia CHANJO
Asante kwa masomo mazuri na ya kelimisha. Mimi ni mfugaji wa kuku wa kienyeji, naomba namba ya simu kwa mawasiliano.
Sawa ndugu tutakutumia
Wanatumia siku ngapi
Kama tiba wanatumia mfululizo kwa siku 3 hadi 5 kama Kinga angalau kila wiki Mara 1 AU 2
Asante sana kwani hata nami niko na kuku lakini hawaongezeki,lakini nimejua wapi nilikua nakosea mungu akubariki.
Amen🙏🙏
Ubarikiwe Saaana yaan kuku wangu walikuwa wanasinzia wamevimba macho na vifaranga nikawa asubuh nawapa pumba nawanyima maji...nawapa yaliyo na alovera na kitunguu swaumu...mme wangu alikuwa kakata tamaa....cku mbili tu wakanyanyuka jmn hili group limenisaidia.... halafu leo nmeangalia mayai n ya tofauti makubwa....halafu ilikuwa inaishia 11 inaatamia leo imefikisha 19...bado inaendelea...
Amen. Barikiwa sana 🙏
Asante kwa somo.
Kweli hata Mimi mimepata matokeo chanya kwa tiba ya vitunguu saumu na alovera
Barikiwa sana 🙏
Mnapatikana wapi
Barikiwa
Amina .Tupo PAMOJA NDUGU
Shukran mpendwa
Barikiwa🙌
@@AGALUSTV Nawe pia mpendwa uenipa maarifa shukran
Pa1 🤝🤝🤝🙏🙏🙏
Na mm vifaranga wanakufa sana na kuku wanaharisha sana naweza kuwapa
Wape tu itawasaidia
Asanteeeeee
🙏🤝🤝
Asante kwa somo zuri
Pa1 sana🤝🤝🤝
Ahsante kwahilo somo.
Barikiwa🙌🙏
Asante nimependa somo hilo
Pa 1🤝🤝
Ahsante kwa somo zuri
Pa1🤝
Kuku wangu wanapenda sana vitunguu
Ni vizuri wape tu
Asante Sana kaka
Pa1🤝🤝
Asanti Sana
Barikiwa
Duu Asante
Barikiwa sana
Asante sana,
Pa1🤝
Asante kwa somo zuri kumbe dawa tunazo nyumbani lakini hatujui napiga hatua mbele kwa somo hili. Swali Kuna vitunguu vya kienyeji na vya kisasa je vyote vinafaa?
Hakika ndugu. Ila vitunguu vyote vinatumika tu
Thanks
Welcome🙏
Leo ndio nimeona nalala yako Kaka nikiludi tz nitajifuza ufugaji je ? Unapatikana wilayagani?
Barikiwa Sana ndugu
Asante sana boss. Hiyo mara kwa mara ni mara ngapi kwa wiki?
Angalau Mara 2 kwa wiki
Asantee
Barikiwa sana🙌
Mm Niko kenya,jee hiki kitunguu Saumu Kitasaidia kwa Bata au nikwa kuku tu
Ata kwa bata Sawa tu
Mnaenda mbali
Pa1🤝🤝
Tunashukur kwa somo
Tupo pamoja ndugu
Amina.
🤝
We no mwalim mzr saana
Barikiwa pia
Kuku wangu nawawekea vitunguu swaumu kwenye maji nashukuru wana endelea vizuri ila mimi nawawekea kila siku je niendelee kuwawekea au niache.
Angalau kwa wiki Mara 2
Asante nimefaidika naomba kukuuliza je naweza kutumia kwa broilers
Yaaah unaweza ni kuwa zoesha tu
Kwa hiyo nikimpa kuku kitunguuswaumu , vip nyama yakw haiwezi kunuka kitunguuswaumu swaumu?
Hapana hakuna uhusiano
Nko vzr
Barikiwa🙌
Asante kwa madam je unaposema kuku anaongeza utagaji , anaweza Taga mayai mawili kwa siku?
Hapana kuku hawez taga mayai 2 kwa siku. Mzunguko w kutengeneza yai ni masaa 23 hadi 26 kwa iyo hakuna kw siku kuku ni yai 1 tu. Hii inasaidia kuku kutoruka siku kwnye kutaga unauhakika kila cku kupata yai🙏🙏
Nashukuru sana ndugu kwa Somo zuri,naomba kuuliza je kwa kuku wa mayai wa kisasa,yaani layers inafaa?
Nzuri pia ukitumia
Asante sana Kwa Elimu hii. Ila naomba aliye na group la wafugaji la Whatsapp aniunge au anitumie link nijiunge.
OK Sawa Sawa
ASante Sana
Tupo pamoja ndugu
Nauliza vitunguhu ivyo tunawapa kuku wa umri gani?
Kuanzia wik ya 4++
Nashukuru kwa mada
Barikiwa🙌
@@AGALUSTV hbr yko Mimi kuku wangu mwezi wa 7 huu hawajawahi kutaga hata siku 1 nifanye nn naomba unisaidie
Ni wa aina gani kisasa au kienyeji kwa maelezo zaidi wasap+255765467484
Asante saaana..
Barikiwa🙌
Kuku wangu wanakula mayai nifanyeje ili kukomesha ilo tatizo?
Wape madini ya chokaa na mifupa au DCP zipo madukani 🙏
Mm ninafuga kuku wamayai Ila wanadonoana mpaka kutoana utumbo nisaidie wamepunguza production Sana wanakufa karibuni kilasiku kwa issue ya kudonoana
Pole Sana ndugu. Chakula unafanyaje yaan unachanganya AU kununua? Mboga mboga AU majani. Upungufu wa protini ktk mwili w kuku upelekea ivyo
Ambao tayari wana maambukizi ya cocsiodisiss kitunguu swaumu kitawafaa ?
IKIWA ugonjwa upo atua ya a Wali
Naomba ushaur kuku wangu wanaacha mayai bila kutotoa akitotoa mawili mengine anabakiza nifanyeje?
Zijue sababu za kuku kushindwa kutotoa mayai
th-cam.com/video/m040lgLmp-g/w-d-xo.html
Ndugu yangu sijui nimekosea au nimezidisha kuna kuku mmoja alikua analea nikamuekea asubuh kufika jion amekufa ila vifaranga havijafa ila wala kuku wengine hawajafa sasa sijui shida nn
Tuzid fuatilila zaidi shida itakua ni nini
Na kifaranga kumpa sawa ama
Tena ndyo vizur
I'll try this method
Welcome, 🙏
It is so helpful my little brother used to solve much problems facing his chicks
I LIKE THIS TV
Welcome🙏
Asante nimepata elimu zuri ila mbona kuku wangu wakikaa pamoja wanapigana sana
Video yake ni hii kuku kupigana sababu na tba
th-cam.com/video/KUBFDRb1TD4/w-d-xo.html
Kitunguu swaum hakitoshi kama chanjo kuku wa kienyeji?
Hapana hakina uwezo WA kukinga virus 🦠
Katabazi killian kaka asante kwa shulen
Pa 1 sana🤝🤝