MAGONJWA YA MACHO KWA KUKU NA TIBA ZAKE
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 15 ต.ค. 2024
- Magonjwa ya macho kwa kuku ni changamoto kwa wafugaji wengi. Macho ya kuku yanaweza kupatwa na changamoto hizi
#magonjwayakuku
✍️Kuvimba
✍️Kutokwa na uchafu
✍️Kutokwa na machozi
✍️Kutokwa na machozi
👉Kujua magonjwa mbalimbali ya kuku
• Magonjwa ya kuku
✍️Dawa mbalimbali za kuku video ZOTE zinapatikana hapa
• Dawa za kuku
✍️Tiba asili za kuku kwa kutibu magonjwa mbalimbali
• Tiba asili/Kienyeji za...
Asante Sana kwa SoMo kwa kweli kuku wangu wamepata changamoto hiyo ya macho kuvimba na ndani Kama Kuna mtindi mzito kwa Somo hili niwashukuru nimekitunza Jambo na mengine nilikua sijui jinsi ya kuchunguza kuku mwenye tatizo kupitia macho yake nlmbarikiwe sanaa
Pole Sana ndugu ni upungufu wa vitamins. Wape kuku wako vitamins mara kwa Mara. Ondoa uo uchafu Machoni kisha wape vitamin na dawa ya mafua
Asante sana kaka Mungu akubariki
Amina KUBWA sana ✍️🙏
Asante naomba mnitumie hiyo video niweze kuna.. Nimehangaika sana kuwatibia
Ya ugonjwa wenye dalili ipi
Was ssna nmejuelewa. Nitafanya hivyo kesho.
Asante
Barikiwa sana ndugu
Ahsante. Katika ufugaji wa kuku wa kienyeji. Ni njia gani bora. Kuwaachia wazulule ndani ya fensi au kuwafungia bandani. Naomba faida ya kila njia
Njia nzuri ni Ile nusu huria yaani kwa fensi uku ukiwafungia ndani kw muda
Asante. Sana Sana Mungu akubariki. Kwa elimu. Yako
Amina🙏🏿✍️nawe pia
Asante kwa somo zuri na umeeleza vizuri, naomba dawa ya asili ya ndui huku niliko ni mbali mji kupata dawa hiyo
Barikiwa Sana ndugu tupo pamoja
Asante, naomba nieleleze kutengeneza hiyo dawa asili. Ya alovera na. alimao
Limao na Alovera video
th-cam.com/video/sn9mzciyF64/w-d-xo.html
Hongera nimegundua dawa ya kuku
Hongera
Asante sana , ugonjwa huu umenipa hasara sana asante kwa somo.
Pole sana ndugu
Naomba mniunganishe jamn nina tatizo sana la ndui kukuwangu
Pole Sana ndugu
Jambo zuri Kwa kusaidia jamii
Hakika ndugu
Nitumie dawa gani nzuri
Tylodox mpe
Asante naomba video ya tiba ya ndui
Tiba ya Ndui video yake ni hii
th-cam.com/video/sn9mzciyF64/w-d-xo.html
Shukrani niipate pia
Pamoja ndugu
Asante kwa somo zur
Barikiwa pia
Asante, naomba hiyo video ya kutibu ndui
Video ya ndui kitibu
th-cam.com/video/sn9mzciyF64/w-d-xo.html
Thanks
Your welcome
Asante sana
Tupo pamoja ndugu
Asante Sana nimekuelewa AGALLUS tv
Pamoja ndugu 🙏🤝
Hongera sana nami nimepata elimu juu ya ugonjwa wa kuku macho
Barikiwa ndugu
Nitumie video ya jinsi ya kutibu
Tatizo LIPO Kati ya ayo ya macho
Asante kwa msaada wenu naomba video ya ya
Tiba ya asili ya ndui
th-cam.com/video/sn9mzciyF64/w-d-xo.html
@@AGALUSTV
@gardianrichard522 karibu
asante sana kwakuni saidia kujua tatizo la kuku wangu
Barikiwa pia ndugu
Jana mm naomba tu mniambie dawa ipi inaponyesha mafua nimehangaika sana napoteza pesa nyingi na vifaranga wengi mno
Pole ndugu
Asante kwa maelezo kuku wangu wanatatizo hilo naomba video ya tiba
OK bt pole nenda dukani kachukue dawa muelekeze izo dalili
Nashukuru jamani naomba video
Video ipo apo
Video ipo apo
Shukran, nitumie hiyo video ya tiba
Ok
Asante sana ndugu kwa msaada wenu, naomba msaada kama kuku ni wengi kwa tiba asili ya ndui nitaweza.... naomba kama kuna tiba nyingine kwa kuku wengi.
Okay kwa sasa ni tiba hii
th-cam.com/video/lUh8uS8_x-Y/w-d-xo.html tu kumuudumia kuku 1 had mwingine
Naomba nitumie dawa ya kienyeji ya ndui
Je, kuku wakiwa na vidonda mgongoni ni ugonjwa Gani huko?
Ngoja tufuatilie zaidi japo nawe chunguza zaidi ni majeraha au
Kuku wangu wengine naona manyoya kichwani inaondoka mpaka inakuwa kipara,alafu naona jicho moja ni mwekundu sana,tafadhali nielekeze
Kupigana AU kudonoana AU wadudu kama utitiri chunguza vizur
Asante
Tupo pamoja ndugu 🙏🏿
Habari je kuku anaumwa jicho lakini halina machozi walahalina uchafu mweupe kwenye jicho naomba unisaidie
Liangalie vizuri jicho alafu Tuambie lipo vp yaani Dalili zipi unazoziona
Naiomba hyo video
Video ya ndui tiba yake
th-cam.com/video/lUh8uS8_x-Y/w-d-xo.html
Jendugu unaweza kuchanja ndui marambili
No Tena no ni mara 1 tu
Asante Sanaa kaka,vp hyo dawa inaitwaje
Majina yapo mengi ndugu cha msingi nenda dukani mwambie izo dalili
Mimi nahitaji kujua majina ya dawa za kuwapa kuku kutokana magonjwa ya macho pia na hizo vitamini zinaitwaje?
Apo HADI duka LA mifugo ndugu WATAKUPA dawa walio nayo
Nimefurahi kuwapata,je kinyesi cha njano,cheupe ni dawa zipi nzuri
ESB3, Trimizine, Trilmuscine, OTC 30% n. K zipo nyingi tu mchek muuza daka atakushaur zaidi
Ok ndugu endelea video zinakuja
Naomba Tiba ya kuku Aina ya pil
Ok
Naomba tiba ya ndui kaka,
Ndui
th-cam.com/video/sn9mzciyF64/w-d-xo.html
Dawa gani
Kwenye ugonjwa gani apo
Naomba hiyo video ya ndui yalimao na alovera
Video
th-cam.com/video/sn9mzciyF64/w-d-xo.html
Aise pia dawa ya ndui niliogundua kwakuku wangu huwa nahakikisha naomdosha maganda yote magumu katika vipele Kisha nachukua oili chafu na kuwapaka baada ya siku tatu mpaka nne anarudi katika hali yake...... Karibuni sana😅
Barikiwa sana ndugu
Kwenye banda la kuku unaweza kupuliza dawa ya rungu au kuna dawa maalumu ya kupuliza kwenye banda la kuku ilikuwa vijidudu
Zipo dawa zake tembelea duka LA mifugo
Kuku wangu wanavimba kwenye vifundo vya miguu.
OK ngoja tufuatilie zaidi sababu ni nini
Mm wakwangu kuku ndio ameanza kuvimba nifanye uvimbe usiendelee au uishe kabisa?
apo kwenye video hujaelewa wapi ndugu
Habari mimi naazakufuga vifaranga nataka ushauri niwape chakula gani na chanjo gani iliwasiwe na magonjwa yoyote mpaka wanakuwa
Fuatilia video za vifaranga Kujifunza zaidi
th-cam.com/play/PL8xez8Eh4s0HoNxv6Z8q2rDM1i8sCH2GT.html
Naomba kujia vitamini gani ni nzuri zaidi kwa kuku wa kienjeji
Wakubwa au wadogo ndugu
Jamani mm kuku wangu wanaumwq na ugonjwa wa macho ila wana vipel vya ndui nifanyaje
Tiba ya asili Ndui video hii apa
th-cam.com/video/sn9mzciyF64/w-d-xo.html
Habari kuku wakienyeji vifaranga unawachisha na mama yao wiki ngapi
Angalau wiki 4
Habari vifaranga ukimuacha na mama yao unawapa chakula gani
Nitumie video ya kutibu ndui
Tiba asili ya ndui
th-cam.com/video/sn9mzciyF64/w-d-xo.html
Habari vifaranga vya kuku wa kienyeji wanapewa dawa gani
Ktk ugonjwa gani
Siku ya kwanza hadi wanakuwa wakubwa
Vifaranga vya kuku wa kienyeji wakitotolewa unawachisha na mama yao wiki ngapi
Habari kuku wangu mimi wanapata ndui kabla ya mwenzi kufika kwaiyo nifanyeje nambiwa nisiwachanje mpaka wamalize nyukesto na gomboro nisaidie
Tumia net AU wavu usiopitisha mbu Kufugia vifaranga. Inaonekana eneo lako Lina maambukiz MAKUBWA ya ndui. Pia wape vitamin Mara kwa Mara
Thank you
Barikiwa sana
Umesema kuwa kuna vitamin yenye dawa na nyingine hamna je ni vitamin gani yenye dawa
Apo muone muuza Duka la mifugo atakupa aliyo nayo maamna zipo aina nyingi
Habari mpendwa mimi nitotoreshe vifaranga vya chotara naomba msaada wenu kwanzia saba ya kwanza na kuendelea unawapa dawa gani mpaka wafike chanjo ya ndui
Jifunze chanjo za kuku kupitia Channel hii ya AGALUS TV
Naomba unitumie video za hizo chanjo
Chanjo za kuku
Video zipo apa
th-cam.com/play/PL8xez8Eh4s0Fddy6ANglB_HUAHuO0nkMi.html
Naomba maelezo ya kuku kuwa na vipele machon
Tiba ya ndui
th-cam.com/video/sn9mzciyF64/w-d-xo.html
Kuku wakienyeji vifaranga unawachisha na mama yao wiki ngapi
Angalau wiki 4
Sasa kama kukiwa na upele umefunga kwenye jicho unatakiwa kufañyaj, mana nliambiwa duka la dawa kama vipele vimefunika jicho nikamue vp hii imekaaje
Ivyo ivyo ndugu 'kama ulivyo elekezwa dukani. Kama hutaweza muhudumia mwenyewe mwalike mtaalam wa mifugo
Niliwatibu kwa limao na alovera wamepona
Hongera sana🙏🏿
Naomba unitumie video ya dawa ya mafua na vijipele au vidonda. Mbarikiwe
Dawa ya mafua nenda daka la mifugo lililo karibu, na kuhusu tiba ya ivyo vipele ni alovera na limao .angalia video hii
th-cam.com/video/sn9mzciyF64/w-d-xo.html
Habari je kuku kwenye chakula chao ukawachanyia chokaa inamadhara
Ila iwe chokaa ya mifugo siyo ya kujengea nyumba
Thanks you 🤲🏻
Your welcome
Habari je kuku ukiwapa masalo inamadhara kwa kuku wakapata minyoo
Watapata pia magonjwa ya matumbo
Thank you 🤲🏻
Welcome
Nitumie na mm video ya dawa ya ndui
#tibaasili
Habari kuku unawapa chakula vizuri lakini hawaachi kupigana nisaidie niwape dawa gani
Punguza Majogoo. Pia Funga mboga mboga AU majani. Fuata uwiano wa Majogoo na matetea kama ufahamu tuambie
Sifahamu nielekeze
Tetea 10 kwa jogoo 1 ila uyu jogoo awe vizuri kupanda 🤔 kama humuamini basi wawe jogoo 2 kwa tetea 10
Bado wadogo wana miezi mitatu
Bado majogoo mdogo wanamiezi mitatu
Dawa gani?
Kwenye ugonjwa gani apo ndugu
Naomba video ya ndui
Andika Tiba asili ya ugonjwa wa ndui by agalus TV
Dawa ya duwi ya kienyenji na jisi ya kutumia
Tiba ya asili ndui
th-cam.com/video/sn9mzciyF64/w-d-xo.html
Vifaranga vya kuku wakienyeji unawapa dawa gani kuazia ya kwanza hadi wanapokuwa wakubwa
Dawa zote miez miwili ya mwanzo
th-cam.com/video/bj5xRWqzhhM/w-d-xo.html
Asante
@FatihiyaIssa tupo pamoja
Naomba maelezo kuhusu dawa ya macho kwa kutumia dawa ya asili.
Ndui
th-cam.com/video/sn9mzciyF64/w-d-xo.html
Jamani ninakuku wa cloila wa mwezi mmoja na wiki mbili lakini wanatokwa na vidonda au vipele vigumu mwisho hupungua uzito na kufa
Pole Sana ndugu ni ndui iyo fuatilia video hii
th-cam.com/video/sn9mzciyF64/w-d-xo.html
Naomba video kuhusu dawa ya asili ya ndui
Video ya ndui
th-cam.com/video/sn9mzciyF64/w-d-xo.html
Naomba dawa yandui matumizi yake yalimao na alovela
Ndui kwa kuku
th-cam.com/video/sn9mzciyF64/w-d-xo.html
Nitumie hiyo link
Ya video hii au
Tatizo-la-kuvimba-kichwa--kwenye-shingo-inaonekana-kama-damu-nyeusi-imejaa-ni-ugonjwa-gani-na-tiba-yake-nitumie-dawa-ipi
'ngoja tunalifanyia kazi ndugu 🙏🏿
Naomba nisaidie muongozo sahihi wa kulisha kuku chotara maana naona chakula nikichanganya kinaisha kwa muda mfupi sana mm ni mgeni katika ufugaji
Jitahidi uwe na mzani pia fuatilia kiasi anachokula kuku kwa cku Kupitia somo hili
th-cam.com/video/eEdCdGU_53o/w-d-xo.html
Naomba vidio ya dawa ya ndui ya asili
Andika you tube tiba asili ya ndui by agalus TV zitakuja video
Nitumie hiyo link mkuu
Link ya video gani
Habari nisaidie kuku anayetaga akiumwa unampa dawa gani
ANAUMWA nini? Tujue kwanza
Haarishi na hana mafua ukimshika wamoto asubuhi tulimpa mwalovela
MPE antibiotics kama OTC 20%
MPE antibiotics kama OTC 20%
Thank you huduma zenu nzuri sana
Nitumie hiyo na video ya ndui
OK ila waweza andika apo you tube tiba asili ya ndui by agalus TV zitakuja video
Naikubali hii agalu TV
Karibu
Nitumie dawa gan wanatoa uchafu kwenye macho
Uyatoe uo uchafu Kisha wape Vitamin na dawa za mafua
Naiomba hiyo link ya kutibu kwa kientej alivera na limao
Tafuta you tube tiba ASILI ya ndui by agalus tv
Sasa kwa nini mnaziba dawa?
Sawa tundu tutalifanyia kaz
Nisaidie kuku wa kienyeji ukitaka watotoe vifaranga vingi unawaekea maranda au mchanga
Maranda
Heeei..naomba.hiyo.video..ya.limao.naalovera.jinsi.ya.kuchanganya.plz.
Ok
Wangu 1 kavimba macho yote yani kama mduara jichon
Pole Sana ndugu apo MPE dawa ya mafua makali
Habari kuku analaliya mayai yanaharibika kabla ya siku 21
Yana haribika je ndugu
Hayana viroboto wala utitiri nakitotoa yanaharibika tatizo nini nisaidie
Yaan yanakua visa AU na maana anayaacha mengine au
Hayawi viza ukivunja mayai unaona vifaranga vimekufa na akitotoa mayai mengine anayaacha
Apo ishu ni ubora wa tetea na joto ktk kiota
Nitumie hiyo video ya Tibaya ndui
Video ipo apa
th-cam.com/play/PL8xez8Eh4s0GAj-_RugCAMpIbo4c13kDL.html
Habari kuku akiwa anataga mayai marefu yanancha ndefu tatizo nini
Si tatzo ilo ila ayo mayai Yana Majogoo kwa ndani
Thank you 😍
✍️🔥👌🤝
Naomba video ya ndui namna ya kutibu
Itafute video ktk channel hii jinsi y kutibu ndui by agalus TV
Elasmo arto naomba kutumiwa video ya somo la ugonjwa huuo wa macho kwa kutumia tiba aslili
Apo Kuna magonjwa mengi sasa cjui upi apo ndugu
Samahan naitaji kujifunza jinsi yakufuga na kulima . napataje namba kwaajili ya mawasiliano binafsi
Masomo yote tunajifunza kupitia kwenye channel hii. Jitahidi kuuliza maswali ya uhitaji nasi tutakusaidia Bure 🙏🏿🤝
Jinsi ya kutibu ndui kwa dawa za asili
Video ya tiba asili ya ndui
th-cam.com/video/sn9mzciyF64/w-d-xo.html
Tumeni video yadawaio
Zipo kwenye channel hii tafuta tu dawa za kuku by Agalus TV
Mbona ulikua unaelezea kulikuwa na kivuli naomba niambie inaitwajwe hiyo dawa ya macho
Ok
Aante naomba ya kuku ya macho
Unaomba nini apo
Naomba melezo ya dawa ya asili ya ugonjwa wa ndui kwa kuku
Andika you tube. Tiba, asili ya ugonjwa wa ndui by agalus TV
Je ukiwapa kuku mwarubaini.mwalovela.majani ya mpapai .na majani ya mronge ukayatwanga pamoja nikaroweka jioni mpaka asubuhi nikawakamulia hakuna tatizo
Usichanganye vyote ivyo. Tumia kimoja kimoja
Thank you
Tunashukuru saana mtalaamu wetu shida niliyo nayo kuku wangu wamefika stege ya kuanza kutaaga lakini hawataagi na majogoo yapo,tatizo inakuwa ni nn
OK Aina gani ya kuku?
Kuku wa kienyeji
Dawa ya macho haikuonekana kwenye video hii. Naomba jina la dawa hiyo
OK japo kw ushauri dukani wanazo
Habari nahitaji Tiba ya ndui
Video ya Tiba ya asili ya ndui ni hii
th-cam.com/video/sn9mzciyF64/w-d-xo.html
Nitumie link au video ya magonjwa ya macho na dawa zake .
Link yake ni hii
th-cam.com/video/V_OsGbOnjgA/w-d-xo.html
I have watched the video thanks but there was a shadow on part of medicines to use.
OK we have noted it✍️sorry for Convinience🙏🏿 we have noted
Hii dawa ya mafua na vitamin unaweza kuzichanganya
Sawa tu
Vifaranga ukiwataka kuwachoma chanjo ya ndui ni wiki ngapi ili uwachanje nisaidie
Miez 2
Miez 2
Thank you
Your welcome
Tafadhali .....bizari ni nini?
In English it's called Turmeric